God Jesus May u countinue showing our Muslims brothers that u are a real path.... nobody cometh to the Lord bt by u only
@mathewrongorongo88413 жыл бұрын
Kwakweli kwa YESU kunaraha sanaa
@davidsolomon52403 жыл бұрын
Praise the lord 🙏🙌!Bwana Mungu wa Israel awabariki Sana watumishi wa Bwana Kwa jina kuu la mfalme YESU!
@benardzacharia11723 жыл бұрын
Amen!! huu ushuhuda ni wa kweri kabisa mana nilisha wah kukusikiliza zaman sana mtumish na huja ongeza wala kupunguza neno+++ ubarikiwe sana
@romanusfikiri3194
3 жыл бұрын
Kumbe amewahi kuusimulia before? Mungu ambariki sana
@mohdbest9488
3 жыл бұрын
kwa hiyo ushuhuda ukiwa wazamani haui uongo? kwa taarif yako ukristo bil uongo hausimami zindukeni amkeni jamani kondoo
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
@@mohdbest9488 nyie ndio wa kuzinduka. Mwenzenu kazinduka kaijua kweli. Mbona poleni
@mohdbest9488
2 жыл бұрын
@@janetsemahimbo8083 utakufa na midhambi yako kwa udhabiki kassome ujue ukweli acha kudanganywa kwa Mungu hutakuwa na mtetezi
@janetsemahimbo8083
Жыл бұрын
@@mohdbest9488 Subiri moto wa milele
@isabellisabellwairimukingo15363 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana. Asante Ndugu Jacktan kwa kazi nzuri. Mungu akubariki 🙏🙏
@swaumabdul29683 жыл бұрын
Ameen nakubali kabisa kwa jina la yesu kila viumbe watasujudu mbele zake
@sallygrace14953 жыл бұрын
Kama umemchagua Yesu, hakuna "demon, devil au mchawi" hakuna kitu kitakusumbua, Nguvu za Baba Mungu na Yesu nipekee 🕆🙌 🙏
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mmm acha kabisa ,Hapo ndo Ametangaza vita kali
@bonykaulagwa2688
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 hakuna cha kuogopa ukiwa na yesu kikamilifu
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Amen amen Hallelujah kweli kabisa Yesu ndiye jibu asante sana Mtumishi wa Bwana kwa ushuhuda wako barikiwa kabisa
@user-zv3wv4gg8y2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda wako
@MamaKenny-pv2ix Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Bwana aende Lee kukupaka Mafuta Sanaaaa!!!!!!
@alexndambukiemmanuel38943 жыл бұрын
Jameni Jameni Jameni, uislamu, Mungu gani anayekuwa na uhusiano na majini?..Hivi hamuoni mumepotea nyie wafuasi wa kiislamu bwana?... Kwa upole, mgeukieni Yesu enyi waislamu , mtapata uzima was milele... Yesu aliwatoa mapepo kwa wanadamu ,nyie mwawaalika majini kwa watu....
@rosemongi52733 жыл бұрын
Asante mtumishi kwa elim nzuri nimjifunza mengi kupitia ushuhuda huu, barikiwa Sana kwa jina la Yesu.
@pericykiko61983 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Neema zaidi Baba yetu
@annacharles28423 жыл бұрын
Mungu akubariki Dr. wa kiroho
@mimsbaibe6mimsgul7373 жыл бұрын
Glory to God always am a Christian but yu know more than me hongera umenibless nmesoma mengi I think that's why many pple in Saudi wanapenda kuaisha udi yesu akulide na unjili iendelee.
@jamilankaya36672 жыл бұрын
Ni kweli kabisa jina la yes Ni Moto kea majini
@nswilayella32953 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@abrahamkyando40483 жыл бұрын
Yesu Kristo akubariki sana
@erickouma3 жыл бұрын
Umenifurahisha sana eti "kile kijini kikaniambia....", yaan jinsi kilivyo kidogo
@melckizedeckdaudi4746
3 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
@melckizedeckdaudi4746
3 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
@happynessmarki27803 жыл бұрын
Glory to GOD Glory to GOD yaaani MUNGU naomba utufungue macho na fahamu zetu tupate kuuona ukuu wako maishan mwetu Ameeen
@dodoted50333 жыл бұрын
Roho mtakatifu azidi kutawala Roho yako. Yule mtu aliyekuwa na mapepo wa makaburini alipoponywa na Yesu alienda akahubiri akashuhudia ufalme wa Mungu akihubiri. Mimi nakuamini mtumishi. Eneza injili ya Bwana na ubarikiwe sana. Watakuamini tu mpendwa,hata Paulo alikimbiwa na wanafunzi wa Yesu,mpaka Roho alipowashuhudia kuwa yu upande wao😀❤
@josephinemumbua1593 жыл бұрын
Pastor ushuuda wako umenifuza mengi nisio yajua mungu aishi na wewe na awambariki Kwa kazi yenu zuri
@Born5519Jesus3 жыл бұрын
Sheikh Amir. Aaaah yani umetia moto. Barikiwa Sana. Sasa umenifanya nimeongeza imani yangu maradafu. Ulichambua vizuri. Nakuelezea. Huku kenya Baraka tu. Barikiwa Sana. Promover Tv MUNGU awabariki. Shuhuda hizi nazi sambaza kwa rafiki ili waone jinsi Mwenyezi MUNGU anavyojidhirisha. Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🔥🔥🔥🔥
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@adrianoscar1974 Жыл бұрын
Yesu ni Mfalme wa wafalme
@yeshuasweapon43843 жыл бұрын
Kweli ulikuwa umepotea kaka YESU kakuokoa
@catherinefoluso3 жыл бұрын
Bwana Yesu Apewe Sifa!
@chelagatmalakwen7804
3 жыл бұрын
Glory to God for this testimony. Can I get his number .....for sure this is a true servant God.
@jennjaja15863 жыл бұрын
Mungu ni mwema asifiwe. Amen.
@nizaelluka6273 жыл бұрын
Kwa yesu ni raha sana, ubarikiwe
@glorianishimwe15873 жыл бұрын
Mungu akubariki mucungaji
@mussapeter85223 жыл бұрын
Mimi Mussa naomba uniombee sana mtumishi wa Mungu nusumbuliwa na magonjwa pia ninapotaka kwenda kanisani inakuja roho ya kugaili
@Born5519Jesus3 жыл бұрын
Sheikh Amir Mwenyezi MUNGU akubariki yani nahisi tu uwepo wake Mwenyezi Mungu 🔥🔥🔥
@kelvinramson21643 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@jaredochieng47253 жыл бұрын
Asante yesu kwa ushuhuda wa nguvu. 💪💪💪💪
@lilianngushi15312 жыл бұрын
Nazidi kujifunza mengi zaidi Mtumishi wa Mungu Jackson.
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Thanks for sharing with us very good testimony.
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Nasemaga jini anaga mali ni kiini macho tuu ndo mana lzm utoe sadaka kwao za damu na kualibu family...kwann awatoi mali bure bila mashart?kwakua lzm mjue amna cha bure ata mikopo bank lzm ujaze form na ela juuu ndipo upewe mkopo na apo umelipa ela nusa na utalipa zaidi ya ulivyo tegemea
@kemalswaleh95273 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa mungu haktani msafiri napenda kufatilia ushuhuda wako na neno lamungu unalotuhubiria ubarikiwe sana mungu azidi kukupa nguvu uzidi kuwafunguwa watu wa mungu nakuangalia kutoka kenya mombasa Cecilia nahitaji maombi mtumishi wa mungu ndoa yangu inashida,biashara kila nikifanya inaanguka,kila nifanyalo haliendi naamini yesu kristo nibwana nakupitia ushuhuda huu naamini yesu kristo ndo njia yakweli na uzima
@monalisajuma56413 жыл бұрын
AMEEN MTUMISHI mungu akubariki sana
@trophywilson72112 жыл бұрын
Jina la Yesu tu hata Nabii wa uongo anataja labda Damu ya Yesu sawa
@josephinemumbua1593 жыл бұрын
Pastor God bless you for your testimony
@kinotititus87983 жыл бұрын
Majini-malaika waliohasi mbinguni pamoja na shetani
@wairimumuchiri27753 жыл бұрын
Your testimony is similar with jonh Ramirez who use to be a high priest in the kingdom of darkness.
@thelonewolf44293 жыл бұрын
Misiko kidini dini sana lakini kusema kweli jina la YESU KRISTO ni hatari maana jinalake ukilitaja tu siotu pepo peke yake bali kilanguvu ya giza utafta njia yaku kwepea yaan YESU ndio kilakitu. Huna iziri au nini jina pekeyake nakuamini basi apo umeshamaliza... YESU KRISTO njo babalao waukweli... nimeona pepo wengi washa kimbia kupitiya hilo jina...
@annewanjiku523 жыл бұрын
Huyu ni shetani anakutokea mfano wa mwana wa Adam yani anajifananisha na yesu jameni shetani ameshindwa milele daima Amen
@nizaelluka6273 жыл бұрын
Amina amina,
@aimerinamugisho51823 жыл бұрын
Yesu iko nanguvu na mamuraka asifiwe sana
@fei36683 жыл бұрын
jackatan usitucheleweshe baba😰barikiwa
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hIOcr8Zsj5SflJc.html
@mosesmboka65203 жыл бұрын
Nice work mtumishi
@bennackmtie76713 жыл бұрын
Jamani ubarikiwe mtumishi dah!
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Tunasema sisi waislam ni wachawi jamani wanashirikiana na majini ndo mala kila sheikh anajua majina ya majini na kazi zao kwetu Sisi awana nafasi washindwe kwa jina la Yesu......sasa jini anaongea kiarabu anasoma Qran ndo nn sasa?alafu mnasema Allah ni Mungu 😂😂😂😂😂Allah sio Mungu bali ni miungu na mana mnatumia tasibin na Roma catholic wao wanatumia rozari wote aho ni yule mpinga kristo
@@eastcuisines124 HONGERA KUWA NA MUNGU MWENYE MAMA
@eastcuisines124
3 жыл бұрын
shenjama mzingi Mungu akurehemu na kwa wakat wake utaelewa kumuheshim na kumkiri
@Lifeisspiritual3 жыл бұрын
Freshi kabisa. Yesu ni bwana. Wapi Part 3?
@charlesn4289
3 жыл бұрын
Hakika Yesu ni BWANA wa mabwana.prt3 ndio hiyo imedunda! Haleluya
@mishibaron50213 жыл бұрын
Yesu ni bwana ...hakuna wakufanana naye
@sarahyvonne45803 жыл бұрын
Ila ndugu yangu,umewacha uislamu,umekuja kutafuta yesu,uwe makini sana wakristo wengi wanabudu yesu bandia,ndio maana vituko vimejaa makanisani,mara mchungaji,nimsherati,mara nguvu zake ni za giza,mara, amefungua.kanisa kutafuta pesa,ila anahaja na yesu kristo,mara anataka abudiwe yeye, miujiza mingi lkn yesu hayupo ,wameva ngozi yakondoo kumbe ndani ni mmbwa mwitu,yani mimi ni mesnafunzi wa yesu,ila yanayo tendeka makanisani leo hii,hua nabaki nikishangaa
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Ala kumb, halafu mnategemea waisilam wote wawe waumini. Mkimuona muisilam anafanya uovu mnaanza kichanganya waisilam wote
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Na huyo hajawahi kua muisilam ni kafiri mwenzenu tangu hapo awali tushakuzoeeni
@adriandanford208
3 жыл бұрын
Be healed in jesus name
@commisormboga1970
2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Natamani kabla hujafa upate neema ya kumjua Yesu ninani... maana Mtume wenu yule ni mwanadamu tu ambae nayeye anasubiri hukumu kama sisi.. kwahio jitafakari nafsi ako kwanza, soma vzuri upate maarifa wengi wenu mnabishanaga halafu maarifa kichwani hamna zaidi ya kufata mkumbo kwa viongozi wenu. kaa umwombe Mungu akupe maarifa. YESU ANARUDI KUUHUKUMU ULIMWENGU SIKU ZIMEISHA.
@blackman75323 жыл бұрын
Wenye mawazo yakufikilia kuwa mwenye mapepo anaweza kutumia kwanza mapepo huwa ya nasema yote uliyo nayo kama ni feki unaumbulika Hao hawajui lolote wakajifunze Imani sio kurukia Gari kwa mbele.
@pastornyundo18353 жыл бұрын
Hongera
@didatratranee25313 жыл бұрын
Huyu alikuwa muislam lakini anaetumikia majini hakuwa anamtumikia mungu kwa hy sio kila muislam anatumikia majini wengine wanamtumikia mungu waislam tuendelee na ibada ya kweli maana hata walookoka wapo wanaowatumikia majini na upako was uwongo na wapo walookoka was kweli cha msingi tumtafute mungu kwa kweli
@erickmislakuba41363 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu usirudi nyuma Mtumish
@lilianngushi15312 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri Sana, kuhusu.majini
@djbj-yh9jy Жыл бұрын
Rakini Mimi siwamini wupako uuu😮😮😮
@lilyrose79833 жыл бұрын
Cjakuelewa kakangu unasema mlikuwa Ziwa Tanganyika badae tena unasema baharini.Ila asante kwa ushuhuda mzuri.Be blessed
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Kwana bahari ni nini sini hiyo Tanganyika
@bilalihamis19753 жыл бұрын
Inabidi uweke na english substiles ile asikike kwa wengi zaidi
@colletaadan92613 жыл бұрын
Ulipoona mwangaza,hiyo ilikuwa Siku yako ya mtembeleo,hivyo nguvu zote za majini ziliteketezwa kwa nguvu za roho mtakatifu.
@mussapeter85223 жыл бұрын
Napatikana Magu Mwanza
@Ali-ui7qh2 жыл бұрын
MUONGO WW NJAA UMEKUTOA AKILI ALLAH AKBAR SUBHANA LLAH
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Uongo Nini badilikeni ndugu zetu
@wahurabathi48453 жыл бұрын
Jesus is lord of lord king of kings.
@tantinemwemendi87903 жыл бұрын
Mungu atuhokowe kweli duniani kunamitiani
@blessedlovedandfavoured41293 жыл бұрын
Mbona hakuna notifications please check your account sir....
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
The videos are not yet public, it is always starts to be available only for our members especially on WhatsApp.
@sifaeliamazia60223 жыл бұрын
Waislamu ata awajitambui
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Nyie ndio msiojitambua mnaeabudu mtu anakula, kunywa, kunya, kulala, kazaliwa.....km nyie
@sifaeliamazia6022
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 kumbe ataujielewi maskini.....Yesu alifanyika kuwa mwili akaja duniani soma maandiko
@manirahofelix169318 күн бұрын
Jesus saves
@glorianishimwe15873 жыл бұрын
Tup mwendelezo jactani
@mercyjesus66373 жыл бұрын
Jactan muendelezo please
@rehemasimonmsemo31393 жыл бұрын
Hizo sura za kuita majini usirudie kuzisoma huku maana kuna watu watafanya majaribio
@enuelabunimkali95293 жыл бұрын
Nzooni phwa jesu asena: phwa Jesu kuna uzima na amani
@humphreykiveu94283 жыл бұрын
Part 3
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hIOcr8Zsj5SflJc.html
@humphreykiveu9428
3 жыл бұрын
Thanks, looks like the videos were uploaded 3 days ago but nothing shows up. Could you please share the link for part 4 too .
@sarahyvonne45803 жыл бұрын
Ila kiukweli sikuizi,nivigum kutambua mtumishi wa kweli,maana wengi sikuizi,wanatumia nguvu za giza,tena watu wana wamini,yani tunashindwa kumkubali yesu kikamilifu ilikutambua yupi mtumishi wa kweli
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Wote wanatumia nguvu za giza. Ukimkubali Yesu kisawa sawa basi atakupeleka kwenye uisilam. Mana Yesu ni muisilam kama Mitume wote waliopita
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Wewe ukiamua kumkubali YESU mkubali TU,usisubiri watu wakushawishi.
Una maana hakuna wachingaji wanaopata nguvu za uponyaji toka kuzimu? Tunaambuwa kuna manabii wengi wanapata nguvu kwa shetani na wanaponya kwa jina la Yesu... yako makanisa ya kiroho wanafanya uponyaji ila ni counterfeited.... wanataja jina la yesu but they dont mean it... wako wachawi wanaingia kanisani kuharibu ibada wanataja jina la yesu ... Naomba kujifunza zaidi...
@nooor1120
3 жыл бұрын
Hapo sasa
@hassankombo4475
3 жыл бұрын
Wapo wachungaji wanapata nguvu kutoka kwa shetani na wanatumia jina la yesu ila ni raisi sana kuwagundua
@augustinebright1369
3 жыл бұрын
@@hassankombo4475 nakusoma ila wanaenda huko wapate maelfu ya wafuasi na wanapata mkuu... na ukiuliza waumini wao wanasema tumeipima roho "kama 1 Yoh 4:1".... na bado wako polini hawatambui...Huwa natamani mnaowatambua muwataje wazi
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Laa tushriku billahi. Ikiwa wanamshirikisha Mungu na alichokiumba bila ya khofu na kutafuta wafuasi ilhali wanajua kama ni upotovu na ukafiri watashindwa kumshirikisha na shaitwani?
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
@@hassankombo4475 sio kweli tangu miaka na miaka mnawaamin ilhali wanatumia nguvu za giza acheni chuki zenu binafsi juu ya uislam
@melissaayuma7379 Жыл бұрын
Nahitaji kuwasiliana nawe mtumishi
@judiththomas3165 Жыл бұрын
Tofauti ya jini na pepo nigani?
@merryn.mwambene29453 жыл бұрын
Bwana Yesu kiristo asifiwe wapendwa namba ya mutumisha sheikhe ariye okoka yawasapu arisahahu kuweka kwenye cd 0763280587
@boyyotally19663 жыл бұрын
Njaa mbaya
@patricknanyaro6391
3 жыл бұрын
Jifunze ,dini zetu zinatupeleka pabaya.
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Njaa mbaya au inaeza kua muongo hajawahi kua muisilam. Kwani si tushawazoea. Hawana namna ya kuthibitisha dini yao kua ni dini isipokua kusema uongo
@samutykuntathebantu8402
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 umwa kabisa
@fastnetpangani66503 жыл бұрын
Nakupongeza sana kwa kutokewa na Yesu, lakini nilitaka kujua kabla ya kuingia kwenye imani nyingine ,je hukuwahi kujiuliza ukweli wa hizi imani ?
@ramadhaninyangasa72753 жыл бұрын
Muongo !! Tumikia dunia kesho kiama nijikoni, ikiwa hujasilimu
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Sio mwongo hiyo ni kweli. Badilikeni njia mnayoiendea sio nzuri
@merryn.mwambene29453 жыл бұрын
Namba ya WhatsApp 0763280587
@nizaelluka6273 жыл бұрын
Panatisha apo
@selemanali50533 жыл бұрын
Sasa wewe ulipewa majini 99 utatoaje majini hukua na imani
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Badilikeni wandugu
@carolinewanjiku57273 жыл бұрын
Ushuhuda wanguvu una mafunzo mengi.lulu ni nini in English?
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
Lulu is Pearl
@carolinewanjiku5727
3 жыл бұрын
Thanks l never knew
@carolinewanjiku5727
3 жыл бұрын
Nasubiri kwa hamu muendelezo wa testimony
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 amen
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 kiswahili is very rich in words but only known to coastal regions!!
@joyceshile63223 жыл бұрын
SASA WEWE ALIPOKUSALIMIA HIYO SALAMU YA KISLAM, ULIJUAJE KAMA NI JINI? WAKATI MAJINI HUWAJUIIII, AU AKIKUPIGIA SIMU KAMA ATAKUJA?
@mishibaron5021
3 жыл бұрын
Kama umgonjwa wa masikio enda hosii ukasafishwe kila kitu ameeleza vizur...hukusikia akisema aliambiwa wakati huyo jini alipokua anakuja....rudia video tena ukitoka hosii
@isongacharlesnilanga2582
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nasemaje mpaka wakang'oe hiyo ngoma ya sikio wamwekee nyingine ndio atasikiliza na ataelewa
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Hayo ndio mnaodanganywa na kwa kua hamna elimu mnashindwa kujua majini ni kama sisi wanadini tofauti
@mishibaron5021
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 mmmmh naona mayb ni kama wewe na ukoo wako juu mnakunywa mpaka damu...hujielewi wewe okoka umjue yesu kristo ndio utajua jini ni nani na alitoka wapi
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Kiswahili kimeeleweka jamani mbona
@selemanali50533 жыл бұрын
Hapana hujajibu swali mbona wapo mapasta wnatumia nguvu za giza na nikweli usizuie ukwer hata mashekhe wapo wanatumia uchawi au majini
@jamesswai6583
3 жыл бұрын
Mapasta wanaotumia nguvu za Giza wamepotea na wao wanajijua lakini mashehe wanaotumia majini ni kawaida yao.
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Acheni kubalansi hoja. Uwepo wa wachungaji na manabii washirikina na wachawi haibadirishi ukweli wa ushuhuda huu. Tatizo kuna mambo mengi ya siri ambayo Mashekh wanawaficha waumini wao wasijue nini kiko nyuma ya pazia katika Uislamu.Huyu si Shekhe wa kwanza kutoa ushuhuda km huu.Wapo weeengi sana. Je wote hawa wananunuliwa? Na wananunuliwa kwa faida ya nani? Unawezaje kumnunua msomi km huyu aliyebobea kwenye dini? Dini haimpeleki mtu mbinguni. Yesu hakuja kwa ajili ya Wakristo km wachache wanavyozani, bali kwa wanadamu wote.
@wardawarda3427
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kweli
@violettemitchel6772
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 Kweli kabisa
@hassankombo4475
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 yesu akuja kwa wakristo tuu bali bali kwa watu wote na dini zote na alisema amna ataekuja kwa baba bila mimi ndimi njia kweli na uzima atakae niamini na kuokoka atarithi uzima wa milele
@germainekahambu3 жыл бұрын
Mimi nina swali?kwa nini ma shehe wanafunja watu aina ya majini shabaha yawo ni nini?
Пікірлер: 167
God Jesus May u countinue showing our Muslims brothers that u are a real path.... nobody cometh to the Lord bt by u only
Kwakweli kwa YESU kunaraha sanaa
Praise the lord 🙏🙌!Bwana Mungu wa Israel awabariki Sana watumishi wa Bwana Kwa jina kuu la mfalme YESU!
Amen!! huu ushuhuda ni wa kweri kabisa mana nilisha wah kukusikiliza zaman sana mtumish na huja ongeza wala kupunguza neno+++ ubarikiwe sana
@romanusfikiri3194
3 жыл бұрын
Kumbe amewahi kuusimulia before? Mungu ambariki sana
@mohdbest9488
3 жыл бұрын
kwa hiyo ushuhuda ukiwa wazamani haui uongo? kwa taarif yako ukristo bil uongo hausimami zindukeni amkeni jamani kondoo
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
@@mohdbest9488 nyie ndio wa kuzinduka. Mwenzenu kazinduka kaijua kweli. Mbona poleni
@mohdbest9488
2 жыл бұрын
@@janetsemahimbo8083 utakufa na midhambi yako kwa udhabiki kassome ujue ukweli acha kudanganywa kwa Mungu hutakuwa na mtetezi
@janetsemahimbo8083
Жыл бұрын
@@mohdbest9488 Subiri moto wa milele
Ushuhuda mzuri sana. Asante Ndugu Jacktan kwa kazi nzuri. Mungu akubariki 🙏🙏
Ameen nakubali kabisa kwa jina la yesu kila viumbe watasujudu mbele zake
Kama umemchagua Yesu, hakuna "demon, devil au mchawi" hakuna kitu kitakusumbua, Nguvu za Baba Mungu na Yesu nipekee 🕆🙌 🙏
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mmm acha kabisa ,Hapo ndo Ametangaza vita kali
@bonykaulagwa2688
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 hakuna cha kuogopa ukiwa na yesu kikamilifu
Amen amen Hallelujah kweli kabisa Yesu ndiye jibu asante sana Mtumishi wa Bwana kwa ushuhuda wako barikiwa kabisa
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda wako
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Bwana aende Lee kukupaka Mafuta Sanaaaa!!!!!!
Jameni Jameni Jameni, uislamu, Mungu gani anayekuwa na uhusiano na majini?..Hivi hamuoni mumepotea nyie wafuasi wa kiislamu bwana?... Kwa upole, mgeukieni Yesu enyi waislamu , mtapata uzima was milele... Yesu aliwatoa mapepo kwa wanadamu ,nyie mwawaalika majini kwa watu....
Asante mtumishi kwa elim nzuri nimjifunza mengi kupitia ushuhuda huu, barikiwa Sana kwa jina la Yesu.
Mungu akuzidishie Neema zaidi Baba yetu
Mungu akubariki Dr. wa kiroho
Glory to God always am a Christian but yu know more than me hongera umenibless nmesoma mengi I think that's why many pple in Saudi wanapenda kuaisha udi yesu akulide na unjili iendelee.
Ni kweli kabisa jina la yes Ni Moto kea majini
Ubarikiwe mtumishi
Yesu Kristo akubariki sana
Umenifurahisha sana eti "kile kijini kikaniambia....", yaan jinsi kilivyo kidogo
@melckizedeckdaudi4746
3 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
@melckizedeckdaudi4746
3 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
Glory to GOD Glory to GOD yaaani MUNGU naomba utufungue macho na fahamu zetu tupate kuuona ukuu wako maishan mwetu Ameeen
Roho mtakatifu azidi kutawala Roho yako. Yule mtu aliyekuwa na mapepo wa makaburini alipoponywa na Yesu alienda akahubiri akashuhudia ufalme wa Mungu akihubiri. Mimi nakuamini mtumishi. Eneza injili ya Bwana na ubarikiwe sana. Watakuamini tu mpendwa,hata Paulo alikimbiwa na wanafunzi wa Yesu,mpaka Roho alipowashuhudia kuwa yu upande wao😀❤
Pastor ushuuda wako umenifuza mengi nisio yajua mungu aishi na wewe na awambariki Kwa kazi yenu zuri
Sheikh Amir. Aaaah yani umetia moto. Barikiwa Sana. Sasa umenifanya nimeongeza imani yangu maradafu. Ulichambua vizuri. Nakuelezea. Huku kenya Baraka tu. Barikiwa Sana. Promover Tv MUNGU awabariki. Shuhuda hizi nazi sambaza kwa rafiki ili waone jinsi Mwenyezi MUNGU anavyojidhirisha. Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🔥🔥🔥🔥
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
Yesu ni Mfalme wa wafalme
Kweli ulikuwa umepotea kaka YESU kakuokoa
Bwana Yesu Apewe Sifa!
@chelagatmalakwen7804
3 жыл бұрын
Glory to God for this testimony. Can I get his number .....for sure this is a true servant God.
Mungu ni mwema asifiwe. Amen.
Kwa yesu ni raha sana, ubarikiwe
Mungu akubariki mucungaji
Mimi Mussa naomba uniombee sana mtumishi wa Mungu nusumbuliwa na magonjwa pia ninapotaka kwenda kanisani inakuja roho ya kugaili
Sheikh Amir Mwenyezi MUNGU akubariki yani nahisi tu uwepo wake Mwenyezi Mungu 🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana mtumishi
Asante yesu kwa ushuhuda wa nguvu. 💪💪💪💪
Nazidi kujifunza mengi zaidi Mtumishi wa Mungu Jackson.
Thanks for sharing with us very good testimony.
Nasemaga jini anaga mali ni kiini macho tuu ndo mana lzm utoe sadaka kwao za damu na kualibu family...kwann awatoi mali bure bila mashart?kwakua lzm mjue amna cha bure ata mikopo bank lzm ujaze form na ela juuu ndipo upewe mkopo na apo umelipa ela nusa na utalipa zaidi ya ulivyo tegemea
Mungu akubariki Mtumishi wa mungu haktani msafiri napenda kufatilia ushuhuda wako na neno lamungu unalotuhubiria ubarikiwe sana mungu azidi kukupa nguvu uzidi kuwafunguwa watu wa mungu nakuangalia kutoka kenya mombasa Cecilia nahitaji maombi mtumishi wa mungu ndoa yangu inashida,biashara kila nikifanya inaanguka,kila nifanyalo haliendi naamini yesu kristo nibwana nakupitia ushuhuda huu naamini yesu kristo ndo njia yakweli na uzima
AMEEN MTUMISHI mungu akubariki sana
Jina la Yesu tu hata Nabii wa uongo anataja labda Damu ya Yesu sawa
Pastor God bless you for your testimony
Majini-malaika waliohasi mbinguni pamoja na shetani
Your testimony is similar with jonh Ramirez who use to be a high priest in the kingdom of darkness.
Misiko kidini dini sana lakini kusema kweli jina la YESU KRISTO ni hatari maana jinalake ukilitaja tu siotu pepo peke yake bali kilanguvu ya giza utafta njia yaku kwepea yaan YESU ndio kilakitu. Huna iziri au nini jina pekeyake nakuamini basi apo umeshamaliza... YESU KRISTO njo babalao waukweli... nimeona pepo wengi washa kimbia kupitiya hilo jina...
Huyu ni shetani anakutokea mfano wa mwana wa Adam yani anajifananisha na yesu jameni shetani ameshindwa milele daima Amen
Amina amina,
Yesu iko nanguvu na mamuraka asifiwe sana
jackatan usitucheleweshe baba😰barikiwa
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hIOcr8Zsj5SflJc.html
Nice work mtumishi
Jamani ubarikiwe mtumishi dah!
Tunasema sisi waislam ni wachawi jamani wanashirikiana na majini ndo mala kila sheikh anajua majina ya majini na kazi zao kwetu Sisi awana nafasi washindwe kwa jina la Yesu......sasa jini anaongea kiarabu anasoma Qran ndo nn sasa?alafu mnasema Allah ni Mungu 😂😂😂😂😂Allah sio Mungu bali ni miungu na mana mnatumia tasibin na Roma catholic wao wanatumia rozari wote aho ni yule mpinga kristo
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
Mchawi Wewe na wenzio
@davidamwai2478
3 жыл бұрын
@@shenjamamzingi7950 kubali ukweli usije ukaipoteza nafsi yako
@eastcuisines124
3 жыл бұрын
kweli kabisa HAKUNA MUNGU ZAIDI YA YESU KRISTU
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
@@eastcuisines124 HONGERA KUWA NA MUNGU MWENYE MAMA
@eastcuisines124
3 жыл бұрын
shenjama mzingi Mungu akurehemu na kwa wakat wake utaelewa kumuheshim na kumkiri
Freshi kabisa. Yesu ni bwana. Wapi Part 3?
@charlesn4289
3 жыл бұрын
Hakika Yesu ni BWANA wa mabwana.prt3 ndio hiyo imedunda! Haleluya
Yesu ni bwana ...hakuna wakufanana naye
Ila ndugu yangu,umewacha uislamu,umekuja kutafuta yesu,uwe makini sana wakristo wengi wanabudu yesu bandia,ndio maana vituko vimejaa makanisani,mara mchungaji,nimsherati,mara nguvu zake ni za giza,mara, amefungua.kanisa kutafuta pesa,ila anahaja na yesu kristo,mara anataka abudiwe yeye, miujiza mingi lkn yesu hayupo ,wameva ngozi yakondoo kumbe ndani ni mmbwa mwitu,yani mimi ni mesnafunzi wa yesu,ila yanayo tendeka makanisani leo hii,hua nabaki nikishangaa
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Ala kumb, halafu mnategemea waisilam wote wawe waumini. Mkimuona muisilam anafanya uovu mnaanza kichanganya waisilam wote
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Na huyo hajawahi kua muisilam ni kafiri mwenzenu tangu hapo awali tushakuzoeeni
@adriandanford208
3 жыл бұрын
Be healed in jesus name
@commisormboga1970
2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Natamani kabla hujafa upate neema ya kumjua Yesu ninani... maana Mtume wenu yule ni mwanadamu tu ambae nayeye anasubiri hukumu kama sisi.. kwahio jitafakari nafsi ako kwanza, soma vzuri upate maarifa wengi wenu mnabishanaga halafu maarifa kichwani hamna zaidi ya kufata mkumbo kwa viongozi wenu. kaa umwombe Mungu akupe maarifa. YESU ANARUDI KUUHUKUMU ULIMWENGU SIKU ZIMEISHA.
Wenye mawazo yakufikilia kuwa mwenye mapepo anaweza kutumia kwanza mapepo huwa ya nasema yote uliyo nayo kama ni feki unaumbulika Hao hawajui lolote wakajifunze Imani sio kurukia Gari kwa mbele.
Hongera
Huyu alikuwa muislam lakini anaetumikia majini hakuwa anamtumikia mungu kwa hy sio kila muislam anatumikia majini wengine wanamtumikia mungu waislam tuendelee na ibada ya kweli maana hata walookoka wapo wanaowatumikia majini na upako was uwongo na wapo walookoka was kweli cha msingi tumtafute mungu kwa kweli
Mungu akutie nguvu usirudi nyuma Mtumish
Ushuhuda mzuri Sana, kuhusu.majini
Rakini Mimi siwamini wupako uuu😮😮😮
Cjakuelewa kakangu unasema mlikuwa Ziwa Tanganyika badae tena unasema baharini.Ila asante kwa ushuhuda mzuri.Be blessed
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Kwana bahari ni nini sini hiyo Tanganyika
Inabidi uweke na english substiles ile asikike kwa wengi zaidi
Ulipoona mwangaza,hiyo ilikuwa Siku yako ya mtembeleo,hivyo nguvu zote za majini ziliteketezwa kwa nguvu za roho mtakatifu.
Napatikana Magu Mwanza
MUONGO WW NJAA UMEKUTOA AKILI ALLAH AKBAR SUBHANA LLAH
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Uongo Nini badilikeni ndugu zetu
Jesus is lord of lord king of kings.
Mungu atuhokowe kweli duniani kunamitiani
Mbona hakuna notifications please check your account sir....
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
The videos are not yet public, it is always starts to be available only for our members especially on WhatsApp.
Waislamu ata awajitambui
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Nyie ndio msiojitambua mnaeabudu mtu anakula, kunywa, kunya, kulala, kazaliwa.....km nyie
@sifaeliamazia6022
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 kumbe ataujielewi maskini.....Yesu alifanyika kuwa mwili akaja duniani soma maandiko
Jesus saves
Tup mwendelezo jactani
Jactan muendelezo please
Hizo sura za kuita majini usirudie kuzisoma huku maana kuna watu watafanya majaribio
Nzooni phwa jesu asena: phwa Jesu kuna uzima na amani
Part 3
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hIOcr8Zsj5SflJc.html
@humphreykiveu9428
3 жыл бұрын
Thanks, looks like the videos were uploaded 3 days ago but nothing shows up. Could you please share the link for part 4 too .
Ila kiukweli sikuizi,nivigum kutambua mtumishi wa kweli,maana wengi sikuizi,wanatumia nguvu za giza,tena watu wana wamini,yani tunashindwa kumkubali yesu kikamilifu ilikutambua yupi mtumishi wa kweli
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Wote wanatumia nguvu za giza. Ukimkubali Yesu kisawa sawa basi atakupeleka kwenye uisilam. Mana Yesu ni muisilam kama Mitume wote waliopita
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Wewe ukiamua kumkubali YESU mkubali TU,usisubiri watu wakushawishi.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwaiyo kumbe majini yanaongea kialabu 🙄🤔🤔🤭
Una maana hakuna wachingaji wanaopata nguvu za uponyaji toka kuzimu? Tunaambuwa kuna manabii wengi wanapata nguvu kwa shetani na wanaponya kwa jina la Yesu... yako makanisa ya kiroho wanafanya uponyaji ila ni counterfeited.... wanataja jina la yesu but they dont mean it... wako wachawi wanaingia kanisani kuharibu ibada wanataja jina la yesu ... Naomba kujifunza zaidi...
@nooor1120
3 жыл бұрын
Hapo sasa
@hassankombo4475
3 жыл бұрын
Wapo wachungaji wanapata nguvu kutoka kwa shetani na wanatumia jina la yesu ila ni raisi sana kuwagundua
@augustinebright1369
3 жыл бұрын
@@hassankombo4475 nakusoma ila wanaenda huko wapate maelfu ya wafuasi na wanapata mkuu... na ukiuliza waumini wao wanasema tumeipima roho "kama 1 Yoh 4:1".... na bado wako polini hawatambui...Huwa natamani mnaowatambua muwataje wazi
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Laa tushriku billahi. Ikiwa wanamshirikisha Mungu na alichokiumba bila ya khofu na kutafuta wafuasi ilhali wanajua kama ni upotovu na ukafiri watashindwa kumshirikisha na shaitwani?
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
@@hassankombo4475 sio kweli tangu miaka na miaka mnawaamin ilhali wanatumia nguvu za giza acheni chuki zenu binafsi juu ya uislam
Nahitaji kuwasiliana nawe mtumishi
Tofauti ya jini na pepo nigani?
Bwana Yesu kiristo asifiwe wapendwa namba ya mutumisha sheikhe ariye okoka yawasapu arisahahu kuweka kwenye cd 0763280587
Njaa mbaya
@patricknanyaro6391
3 жыл бұрын
Jifunze ,dini zetu zinatupeleka pabaya.
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Njaa mbaya au inaeza kua muongo hajawahi kua muisilam. Kwani si tushawazoea. Hawana namna ya kuthibitisha dini yao kua ni dini isipokua kusema uongo
@samutykuntathebantu8402
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 umwa kabisa
Nakupongeza sana kwa kutokewa na Yesu, lakini nilitaka kujua kabla ya kuingia kwenye imani nyingine ,je hukuwahi kujiuliza ukweli wa hizi imani ?
Muongo !! Tumikia dunia kesho kiama nijikoni, ikiwa hujasilimu
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Sio mwongo hiyo ni kweli. Badilikeni njia mnayoiendea sio nzuri
Namba ya WhatsApp 0763280587
Panatisha apo
Sasa wewe ulipewa majini 99 utatoaje majini hukua na imani
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Badilikeni wandugu
Ushuhuda wanguvu una mafunzo mengi.lulu ni nini in English?
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
Lulu is Pearl
@carolinewanjiku5727
3 жыл бұрын
Thanks l never knew
@carolinewanjiku5727
3 жыл бұрын
Nasubiri kwa hamu muendelezo wa testimony
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 amen
@lutufyodixon9997
3 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 kiswahili is very rich in words but only known to coastal regions!!
SASA WEWE ALIPOKUSALIMIA HIYO SALAMU YA KISLAM, ULIJUAJE KAMA NI JINI? WAKATI MAJINI HUWAJUIIII, AU AKIKUPIGIA SIMU KAMA ATAKUJA?
@mishibaron5021
3 жыл бұрын
Kama umgonjwa wa masikio enda hosii ukasafishwe kila kitu ameeleza vizur...hukusikia akisema aliambiwa wakati huyo jini alipokua anakuja....rudia video tena ukitoka hosii
@isongacharlesnilanga2582
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nasemaje mpaka wakang'oe hiyo ngoma ya sikio wamwekee nyingine ndio atasikiliza na ataelewa
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Hayo ndio mnaodanganywa na kwa kua hamna elimu mnashindwa kujua majini ni kama sisi wanadini tofauti
@mishibaron5021
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 mmmmh naona mayb ni kama wewe na ukoo wako juu mnakunywa mpaka damu...hujielewi wewe okoka umjue yesu kristo ndio utajua jini ni nani na alitoka wapi
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Kiswahili kimeeleweka jamani mbona
Hapana hujajibu swali mbona wapo mapasta wnatumia nguvu za giza na nikweli usizuie ukwer hata mashekhe wapo wanatumia uchawi au majini
@jamesswai6583
3 жыл бұрын
Mapasta wanaotumia nguvu za Giza wamepotea na wao wanajijua lakini mashehe wanaotumia majini ni kawaida yao.
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Acheni kubalansi hoja. Uwepo wa wachungaji na manabii washirikina na wachawi haibadirishi ukweli wa ushuhuda huu. Tatizo kuna mambo mengi ya siri ambayo Mashekh wanawaficha waumini wao wasijue nini kiko nyuma ya pazia katika Uislamu.Huyu si Shekhe wa kwanza kutoa ushuhuda km huu.Wapo weeengi sana. Je wote hawa wananunuliwa? Na wananunuliwa kwa faida ya nani? Unawezaje kumnunua msomi km huyu aliyebobea kwenye dini? Dini haimpeleki mtu mbinguni. Yesu hakuja kwa ajili ya Wakristo km wachache wanavyozani, bali kwa wanadamu wote.
@wardawarda3427
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kweli
@violettemitchel6772
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 Kweli kabisa
@hassankombo4475
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 yesu akuja kwa wakristo tuu bali bali kwa watu wote na dini zote na alisema amna ataekuja kwa baba bila mimi ndimi njia kweli na uzima atakae niamini na kuokoka atarithi uzima wa milele
Mimi nina swali?kwa nini ma shehe wanafunja watu aina ya majini shabaha yawo ni nini?