Part 3_SINTOSAHAU KUZIMU-USHUHUDA WA KWELI WA KATRINA ALIYEKUWA JINI MTU MLA WATU

JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 44

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku523 жыл бұрын

    Wenye tukakataa kutowa fungu la kumi kwa habari zetu hata kwa shetani fungu la kumi linatolewa asante Sana dada kwa kutuelimisha

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Fungu la kumi anapewa Nani maana kabila la lawi walipewa kaz ya kuombea nduguze kwamba lawi wasifanye kazi yyte ila ya hekaluni tu so nduguzao watoe fungu la kumi waliruhusiwa lawi kula watakapoletewa na nduguzao manake walikua makuhani kabla ya yesu kuja duniani, lkn hivi leo wote tuliompokea yesu tumefanywa kuwa makuhani baada ya pazia la hekalu kupasuka katkat, Sasa je ww hapo unaetaka fungu la kumi unaitwa Nani? Unamwombea Nani na je huna shughuli yoyote unayojishughulisha nayo kwamba unakaa hekaluni tu? Wakristo someni maandko vzr muyaelewe vzr maana mnaibiwa mpinga kristo anatafsiri maandko vibaya ili kuwapoteza wakristo kwasababu ukitoa fungu la kumi ww Ni mpnga kristo unamaanisha yesu hajafa msalabani na kufufuka au kwamba yesu hajaja duniani ,

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz71143 жыл бұрын

    Yaani unaona ni kama bongo movie yani. Dadangu pole sana Mungu akulinde na Akubariki sana. Jacktan Barikiwa sana Mungu amekutumia kutufungua macho

  • @daviddavid-gq8zp
    @daviddavid-gq8zp10 ай бұрын

    Hao majini(mashetani) ni waislam wapo kwenye Koran Surah al jinn 72...Pole sana dada yangu,Mungu akubariki kwa jina la Lord Jesus pamoja na mtumishi Jactan.

  • @roseester5484
    @roseester54843 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi nazidi kufuguliwa kwa kupitia ushuhuda wako

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba83723 жыл бұрын

    Kaka Jacktan kupitia vipindi vya shuhuda tunajifunza kuwa na tahadhari na wanadamu was aina Fulani ya imani! Kwa kweli in hatari sana, ila Dada huyu abarikiwe sana anatoa uwazi wore ,Halleluyah! Nina LA Bwana lihimidiwe sana, tumshike sana Mungu ,tudumu katika sala na kusoma Neno LA Mungu kwa bidii, maana ndiyo taa ya miguu yetu na mwangaza was njia zetu, shetani mbaya sana!

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls3 жыл бұрын

    Eye opener explains why things are going on. Very scary chilling things going on.

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Yani sijaona kama huyu Mungu, muumba mbingu na dunia,sifa nizako YEHOVA

  • @lutherstephano6910
    @lutherstephano69103 жыл бұрын

    Jacktani Msafiri,,,,,,nakuomba sana mshauri kuacha kuvaa wigi na kuvaa suruali,,,coz Bwana Hapendezwi na hayo

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Sawa ataupata ujumbe

  • @lutherstephano6910

    @lutherstephano6910

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz uwe na maisha marefu yenye baraka kubwa

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    @@lutherstephano6910 Amen

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37283 жыл бұрын

    Mungu ni mwema siku zote

  • @ikabako2454
    @ikabako24543 жыл бұрын

    Asante dada. Majini ni mabingwa wa viini macho jamani. Ndugu zangu wa imani zote mkiwaamini hawa mnapotea kabisa

  • @irenekafugugu1333
    @irenekafugugu1333 Жыл бұрын

    Jamani jamani Nashukuru huyu muumba wa mbingu na nchi anavotupigania

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84903 жыл бұрын

    Doh mapito haya mazito kweli

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66503 жыл бұрын

    Ubarikiwe Jacktan

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike78723 жыл бұрын

    Amen Mungu ni mwaminifu na anabadilisha be blessed siz.

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi50763 жыл бұрын

    Simama kwelikweli kwa maagano Kama hayo mkamate yesu sana

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi50763 жыл бұрын

    Msikiti na majini ni ndg majini yamesilimu msikitini Ila ukiokoka na kumwamini yesu unakuwa huru mapepo yanaogopa yesu tu

  • @ikabako2454

    @ikabako2454

    3 жыл бұрын

    Sio kweli. Kuna majini wakristo pia na nimesikia kwa hawa hawa wanaotoa ushuhuda. Na binadamu hana asili au ushirika na majini. Majini wote ni waasi na matapeli na mashetani. Waganga ndio wanaowapoteza watu. Mfano damu hairuhusiwi kunywa. Kitabu cha quran kimekataza kunywa damu ila leo hii mnakunywa tu damu mkiita kichuri na kisusio.

  • @myself4128

    @myself4128

    3 жыл бұрын

    @@ikabako2454 wachinjaji wakuu na wapenda damu ni waislamu, masheikh wengi wanachinja sasa ilo andiko umelitoa wapi eti la kukataza damu? Hakuna jini linaitwa yohana,majini yooote maislamu,hakuna pepo linaloweza kumtaja Kristo ila mtu anayemilikiwa namajini sawa,,Waganga maarufu wengi ni masheikh na wanatumia Quraan

  • @myself4128

    @myself4128

    3 жыл бұрын

    @@ikabako2454 sio kiivo katika dini zingine mfano waislamu wanaamini kuna majini mazuri na wanamtumikia allah.. Soma al baqra 2:102 allah alileta uchawi

  • @lucasbyamasu8893

    @lucasbyamasu8893

    3 жыл бұрын

    Pole Sana

  • @ikabako2454
    @ikabako24543 жыл бұрын

    Tukiwaambia vinanda na miziki havifai katika ibada mnakataa. Hayo ni mambo ya huko kuzimu. Asante dada

  • @martinmaryogo3676

    @martinmaryogo3676

    3 жыл бұрын

    mmmmh sio kwamba shetan ndo anaiga vitu vya mungu??? km hvo vinanda na mzik

  • @johnmelele1450
    @johnmelele14503 жыл бұрын

    Ameeeen YESU kristo BWANA

  • @Priscakihiyo4352
    @Priscakihiyo43523 жыл бұрын

    Poleeee sanaaaaaaaaaa dada yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza76613 жыл бұрын

    Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu.

  • @tayanabenard4392

    @tayanabenard4392

    3 жыл бұрын

    Mwenzetu umetoka sayari gani...video imepostiwa leo lkn ww inaonekana umecomment 4 days ago.....hebu tujuze

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli27083 жыл бұрын

    Mawigi na mahereni mbona kama bado uko misili

  • @mariajili6319
    @mariajili63193 жыл бұрын

    Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu56973 жыл бұрын

    Pole mashetani ni wabaya💪

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal77183 жыл бұрын

    Yesu ni mwema na damu yake

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi87903 жыл бұрын

    Duniani kuna mambo

  • @debbiebambohappy1341
    @debbiebambohappy13413 жыл бұрын

    Naomba link ya part 1 and two. Thanks

  • @glorytoGod639

    @glorytoGod639

    3 жыл бұрын

    Andika kichwa cha habari kama cha part 3, ukisearch itakuletea

  • @debbiebambohappy1341

    @debbiebambohappy1341

    3 жыл бұрын

    @@glorytoGod639 nimeziona zote. Thanks

  • @naketizainabu7803

    @naketizainabu7803

    3 жыл бұрын

    Andika part1 sitosahahu kuzimu

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    @@debbiebambohappy1341 hukujua kweli

  • @leahkatto8820
    @leahkatto88203 жыл бұрын

    Mungu tutetee

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries33863 жыл бұрын

    Heri wewe hufichi,kona la yesu liinuliwe.

Келесі