Part 4_SINTOSAHAU KUZIMU-USHUHUDA WA KWELI WA KATRINA ALIYEKUWA JINI MTU MLA WATU
JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 101
Huyu dada amenibariki kuliko kawaida.Nimejua mengi sana kuhusu maisha ya kiroho na namna ya kushinda falme za giza. Nakutia moyo dada usiache kutoa ushuhuda utafungua wengi sana.
Waislam wanatakiwa wampokee YESU kristo ,maana ndio Alfa na omega,mwanzo na mwisho.
@mabulamasunga7378
3 жыл бұрын
Mioyo yao migumu na wanaogopa suluba akiokoka
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Yanagoma majn yao
@zeuscus501
3 жыл бұрын
Kati ya yesu na Mungu nani wa kumpokea ?
Ubarikiwe mtumishi, hapo nimekuelewa. Pia Mungu akubariki Mr Jactann Unaulizia maswali ambayo na watazamaji tunahtaji. Big up.
Truly tuitaji tumshikilie yesu Sana, maana mashetani hawalalali Mwenyezi Mungu atusaidie aki
Uhhhh thank you sir atlist nimejibiwa swali lenye limekua likisumbua ufaham wangu GOD bless u💯🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Weslam okokeni njooni kwa yesu
Yesu pekee ndio njia ya uzima!
Kusema kweli sikuwa najua kuwa Muslims wanaabudu mapepo, nilikuwa nasikia tu but Leo nimeamini kweli Mwenyezi Mungu atuokoe, nimebarikiwa Sana Asante kwa ushuhuda wako umenisaidia sana na naamini utasaidia wengi, barikiwa Sana AMINA
May God bless u .ur testmony is touched
Barikiwa sana kupitia ushuuda wako nimejifunza vingi Sana ' nabarikiwa na shuuda hiki kipindi kidumu , kinatuinua na kutufundisha
In God we trust barikiwa testimony is touching kwa yesu kuna raha I wish ur prayers can save some pple wenye ulipeleka kwa jina la Yesu.
Hongera mtumishi wa Mungu Jactani,kazi yako Ni njema, ubarikiwe mno
Mawigi risptic heren marangi ya makucha mikufu bangili, ni mali ya mapepo, wengi wanajiita wameokoka na bado wanavaa vitu hivyo ujue uko chini ya himaya yake bado kwakutokujua
@fredrickmichael2317
3 жыл бұрын
Ni kweli
@chazgunda5823
3 жыл бұрын
Nguo makochi mc mapanzia je ? Ni mali za nani? Acha mawazo finyu imani yako ndo itakuponya
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Sio wote waitao bwanabwana watafanyaje vile..............jaza hpo nimesahu mm
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yes hayo mawigi na mavazi ya KIUME yaani suluzli hereni kewa mlokole havifai
@appleelia9965
Жыл бұрын
Mungu humpa kila mtu neema ya wokovu hatua kwa hatua. Maana hata mtu ambaye leo hujipambi haimaanishi ulianza hivyo! Hii ni Neema ya Roho Mtakatifu. Na inategemea alivyookoka aliangukia mikonon mwa mchungaji mwenye iman ip juu ya hayo mapambo. Mm namhesabu hajapata mahali sahihi pa kuukulia wokovu wake
Mwmbie katalina ààche mapambo ili amuone Mungu mana akifa hivyo alivyo kuzinu kutamfulahia
Doctor wa Roho Barikiweni Sana Watumishi Wa Mungu
Nabalikiwa sana kupitia hii chanel yani napata nguvu moyoni mwangu 🙏
Yaan jinsi mlivomuandama huyu dada kwa mapambo na mavazi yake mpaka unabaki kushangaa..!! Jamani mambo ya Mungu ni ya ajabu sana ..lugha za MUNGU NI za kiroho na ni za ajabu sana.. ukisoma kiumakini na kiundani ndipo utaelewa na pia Mungu anaongea jamani so akimsihi na kumuambia aache ataacha kwa makusudi yake...!! Vitu vyoote ni mali ya Bwana. Maana halisi za maandiko ya kibibilia ni tofauti na mnazofikiri..
Hakika naendelea kubarikiwa na huu ushuhuda unanifungua zaidi barikiwa sana Mtumishi
Nime barikiwa kwa ushuhuda wako, mungu hakubariki
Good bless you and your job, keep it up.
Tunajifunza mambo mengi thanks for your testimony God bless you Amen
Dada Asante Sana kwaushunda , umeniinua kiroho🇰🇪🙋
Nmebarikiwa sn na huu ushuhuda,Mungu akubarik kaka Jaktan 🙏
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
Ndio maana wengi kizazi hichi hakiwenzi hata kazi za myumbani somo lingine. Nani kweli mogojwa mengine sio ya kawaida asante kwa kutufunguwa macho dada. Jumbo lingine ni wakristo kuchukiana yesu akasema amri kubwa ni upendo may God have mercy upon us all in Jesus Name
Asante dada🙏🙏🙏
Ee Yesu uwe nami sikù zote
Ushuda nzuri,nasikiza sana hata time ya comment haiko.hakika wewe Sio mwoga maana una yesu .
Asante sana.. hizi shuhunda zinaniimalusha Sana kiroho.. God bless you. Zile roho za watu waliokufa huishi wapi?.
Mungu azidi kutukomboa kupitia ushuhuda wa dada etu mzr tunakupenda
amen
Hakuomba funguo bali alimnyanganya shetani
Majini na wao ni ndugu
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mimi naomba kujua maana ya mahandaki , na ugaibuni hizo vitu maana yake ni Nini??
Nawafuatilia vizuri Jacktan nikiwa nairobi
Bwana asifiwe nimefrahia ushuhuda huu ilanaomba pia aongeree frimasion watumishi wanao jiunga navitu wanavyotumia
@liliankelvin4662
3 жыл бұрын
Hila dada nakuomba wewe sasa ni mchungaji pili nikioo cha jamii usivae suruali usijichubue, usiweke kope usivae wigi, ni chukizo kwa mungu
haukuwa ndaniyarkisto kwasababu unafundisha watukuvamawi gihatutaki kuonatena mutuanae rezeya ushuhuda namawigi??????? anaperekawatu kuzimutena
OMG 😲
Dada pia atujibie hili swali je.nikweli marehemu kanumba alichukuliwa kimiujiza nakwamba anatumika kuzimu?
@EngJosh
3 жыл бұрын
Itakusaidia nn Ndugu
Naomba kuuliza ughaibuni na kuzimu inamaana ni tofauti?
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Utajibiwa, endelea kufatilia
God bless you.
🤔🤔🙏🙏🙏🙏
Hongera Mtumishi lkn toa hayo makope na ma weaving mahereni
@eunicehezron3481
3 жыл бұрын
AMINA
@wemamanikana9791
3 жыл бұрын
Kweli kabisa, akiacha kuvaa hayo manywele na mapambo atakuwa mlokole kweli kweli
Duuu kazi unashangaa haya mambo mungu tusaidie
@josephinepetet122
3 жыл бұрын
Ashukuliwe Mungu kwa kukutoa huko wapo wengine hawajaipata hiyo neema
@joesikaluzwe4218
3 жыл бұрын
Umeshinda wewe dada kwenye jina ra yesu christo usirudiye nyuma
@joesikaluzwe4218
3 жыл бұрын
Na taka kujuwa nyota yamtu waga inaonekanaje
@Mazoea
3 жыл бұрын
@@joesikaluzwe4218 mambo ya nyota ni unajimu ni ushirikina.....
Marufuku kujiita Dr wa roho iwe mwanzo na mwisho Dr wa roho Ni YESUKRISTO peke yake, Yani huna tofaut na wale wanoita makanisa Yao et kanisa la ukomboz manake Kuna ukomboz mwngne duniani? Me spend ujue .......me ntaendelea kuwachukia waislam km mungu anavomchukia shetani kwamaana mtu yy aliye kinyume na bwana wangu YESUKRISTO yuko kinyume namm namm niko kinyume nae, mwislam Hana huruma na hata km alishawah kukufanyia wema flani chunga Sana Hawa Ni watu waajabu Sana kumbe wanayakumbatia kabsa wanasema et majn Ni viumbe vya mungu jamn hata km lkn vikiwa chini ya laana hivo viumbe tuvipende hvohvo? Hapana tena mungu anisamehe kabsa katk Hilo siwez
@veronicanguga8016
3 жыл бұрын
Umecoment sehemu nyingi nimekuona ila nakuona unashida kubwa sana ya akili yako, haiposawa unahitaji ukombozi usijione upo sahii. Tafuta msaada haraka kabla hujaanza kuvua nguo
Na manywele yake ya bandia
Ubarikiwe
@Neymarjr2013
3 жыл бұрын
Mungu akubariki
@getrudeuronu8177
3 жыл бұрын
Mamb
Vipi dada kunauwezekano ukatoa baadhi ya watu ulipeleka ama walikufa😣
Muonekanao tu ni shida yan mchungaji anavaaje suruali jamn duuuh
@brigithadidas5128
3 жыл бұрын
Yani binadamu kati ya yooote aliyoongea ww umeona ilo tu la kukosoa
@hugowilfredlukoo4971
3 жыл бұрын
Suluali sio tatizo tatizo ni uelewa wa asili ya mavazi
@angelalaizer3895
3 жыл бұрын
@@brigithadidas5128 anamnyoshea kidole wakati huyu mbingu anatoboa.atashangaa.
Colona nsuo imetoka kuzimu😌😌😌😌
Hiyo sehemu inaitwa Gamboshi nimeisikia sana.. Inastahili makanisa ya jengwe uko mingi.
@akilimussa4571
3 жыл бұрын
Henry, ngoja tukutume ukawe mchungaji huko
@salomenachunga3590
3 жыл бұрын
Hhhh, sio kila sehemu ya kupeleka ufalme read your bible throgh the power of the holy spirit utaelewa kwa nn gambosh
Ugaibuni ni nini kwa Kingereza?
Mh
VIP mawigi, rangi kwa kucha ni halali?
mwambiye nabandohaja acawucawe????
Acha uongo mbwa wewe hapo tu umevaa shetani kichwani hakuna cha mtumishi wa Mungu kafie mbele vya hilo wigi jisitiri natena ikome kutaja misikiti taja makafiri wenzako wanao ruhusu ndoa za jinsia moja
Kumbe jackitan kumbe ukinyoa unywele unapendeza!!!
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
😆☑️
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz kabsa ulibadilika skukujua yan
@LucyKapinga-fg4dk
3 ай бұрын
Please na promover naomba namba ya Mchungaji Fedreck jumanne@@PromovertvTz
Kupitia udhuhuda wa huyu dada nimeamini kweli Kanumba anatumika kuzimu kwa mimi. Nilishamuona kny ulimwengu wa roho
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Lini ???anafanya nini?
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Ulimwona akasemaje
JACKTAN MUSAFIRI ASANTI BARIKIWA NA BWANA YESU KRISTO ❣️ LAKINI Mwambie mchunganji atoe maheleni na manywele ya kubandika manake ni mali ya shetani 😥 akae vile YESU KRISTO ❣️ alivyo muumba Asanti ❣️ BWANA YESU KRISTO ❣️
Kaokoka mbona kaweka wig kichwani sijaelewa? ao kwa mtu alieokoka kuweka kwele bandia kichwani ni sawa?
@neemalambo9790
3 жыл бұрын
Sio sawa
@kingdavid1924
3 жыл бұрын
Sio sawa kabisa na ni dhambi kabisa. Mungu ni mwaminifu atamfundisha na roho mtakatifu yupo atamsaidia na naamini ataacha ingawa hili kwa wakristo wengi ni shida ila wengine walishapona na wameshaelewa.
@brigithadidas5128
3 жыл бұрын
Ambao hatujui tusaidie kibiblia ni dhambi kivipi
@neemanzengele7169
3 жыл бұрын
Mpaka Roho Mtakatifu azungumze naye Yesu atambadilisha polepole naamini hivyo kwa jina la Yesu.
@tunusanga4701
3 жыл бұрын
Bado yupo kwenye transformation...atabadilika siku hadi siku