MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!
MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!
Mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 2 na nusu, Eunice Atieno, mkazi wa kijii cha BUKAMA, RYORA, Tanzania ameshangaza watu baada ya kuonesha maajabu ya kuponya watu kwa maombi na maji, tofauti kabisa na umri wake. Global TV imefika kijijini hapo kujionea na kuzungumza na wazazi wa mtoto huyo....fuatilia makala haya ya kusisimua....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 2 000
Mtoto wa 11, alizaliwa baada ya miaka 3, alizaliwa tarehe 11, mwezi wa 11, 2018 (11, 11, 11) possibly kuna 11 nyingine ambazo hazikuwekwa records. Maajabu!
@sifahamuli4958
2 жыл бұрын
Bikira Maria hawezi ponya Naamini ni roho mtakatifu, na kuomba kwa jina la yesus Naamini roho wa Mungu ndiyo alimuinhiya, na ule mama mtoto anaesema ni Malaika wa Mungu, alakini apana bikira Maria
@sifahamuli4958
2 жыл бұрын
Apana imani ya catholiqeu
@sifahamuli4958
2 жыл бұрын
Wow
@sifahamuli4958
2 жыл бұрын
Mungu aendeleye kumuongezeya upako mupya
@mnegrowbs4349
2 жыл бұрын
Ukitaka kupata 11 ingine utaipata kwenye mwaka wake wa kuzaliwa (2018) yaani 2+0+1+8=11. Nadhani umeshaipata. Kuna kitu hapa juu ya Huyo mtoto ambacho kinaendelea na hakitajulikana kwa kupitia mifumo ya kiimani (dini) ambayo inaonekana kama ndiyo iko juu yake. Ndiyo maana hata kanisa halijui ila linataka kuchunguza.
Mungu awezamtumia mtu yeyote na miujiza yake ni mikubwa..hatuna la kusema tumuachie Mungu, mtoto anasema tuombe na kutubu..TUOMBE NA KUTUBU NDIYO UJUMBE..TUOMBE NA TUTUBU.
@fatemaligalawa1918
2 жыл бұрын
Afadhari ww umeongea vyamaana kuliko wanaowatukana eti njaa mbaya 🤲🤲
@davisnitu890
2 жыл бұрын
Umesahau Tufunge
Hayo ndiomaombi kweli maana uyumtoto hajajua kutafuta umaarufu au kutafuta hela anatumiwa na Mungu kabisa. Mungu aliwatumia watu wazima sasa badae wanajichanganya nakutaka hela.
@shukhuranpetro5796
2 жыл бұрын
Amakweli wengi tutaangamia kwa mauzauza haya
@joyceogola8026
2 жыл бұрын
Pp
@waytvtz2549
2 жыл бұрын
Kwa hiyo shida yako ni hela tu au nn
@renildevenerand9473
2 жыл бұрын
@@waytvtz2549 amna sio shida yangu milimanisha wengi wanatudanganya kuwa walitumwa na Mungu nakuomba hela eti ndio waombee watu
@dayanapastor2322
2 жыл бұрын
Hakika
What God can do no man can do what a wonderful miracle may God continue to protect you baby Angel ❤️❤️❤️❤️
Ahsante mama wa Yesu mama Maria kwa miujiza katika nchi yetu Tanzania na bara la Africa. Tunahitaji miujuza iki watu waweze kukuamini na kumfuata Mungu. Mungu mlinde mtoto na familia yake.
@selestinenafula3388
2 жыл бұрын
atukuzwe mungu mbinguni,maana ufalme wa mbinguni ni wao watoto
@theodoramasako5971
2 жыл бұрын
Glory to God,ahsante Mama wa Yesu Mama Maria kupitia mtoto huyu,umlinde na familia yake,kupitia kwake tupone.
@theresaelizabethelijah117
Жыл бұрын
Amen
@JaneOkotsi
Ай бұрын
Amen
@FaustinMwamba
23 күн бұрын
Aaaaanaye Linda mutu ni mungu sio maman Maria imama Maria ni kiumbe kya mungu
Baba mzazi pole sana kuna mambo matatu mhim uyafahamu mzazi na watazamaji pia.1.tendo la kukaa tumboni miaka3 siyo bwana. 2.Hugo MTU anaye mtokea siyo malaika Bali ni mzim wa uganga unao jionyesha kupitia mtoto, Huyo mtoto hana tatizo ila kuna mapepo humo,. 3.kuhusu uponyaji siyo kigezo Bali kigezo ni kuupima huo muujiza kama umetokana na Bwana au la,. 4.Mungu hana mipaka ya amtumie nani.,anatumia MTU yeyote,hivyo wazazi kwa wakati huu mnaweza kuwa mmenogewa na aina ya maisha mapya na ufumbuzi au utatuzi wa changamoto mlizokuwa nazo.,,msidanganyike Huyo nguvu siyo ya MUNGU.samahani lakini kwa kuvuruga ugali .
@user-fs6yd5rt1h
2 ай бұрын
😢😢😢
@user-mj9tb3pp1q
27 күн бұрын
Kwa nini unahukumu? Tangu lini mwanga na giza vikashirikiana? Mungu tu ndiye anajua umuhimu wa mtoto.
This Angel is Awesome,God:s servant,anointed,blessed.GLORY TO GOD.
Praise be to God for this gift,she is indeed a blessing from God,she is protected by the blood of our lord Jesus Christ, thank you mama Mary.
@christinemukete1942
Жыл бұрын
God you chose this little girl to do what you want her to do, to heal pls Hod you will cover her with your precious blood and the parents and who help to work with her bless them and give her more wisdom to work has God has plan for her. I pray the blood of Jesus to cover her 24/7 in her ministry in Jesus name. Amen & Amen
@user-sp4jz1mz9d
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@shemcola7518
Ай бұрын
😅
@shemcola7518
Ай бұрын
❤prayform
The all three names she has are exactly like mine... Eunice Atieno Otieno 😍 😍 such a blessed baby
@janekanini5331
Жыл бұрын
Hapa ni Kenya? Coz naskia io ascent ni kijaluo
Blessed be God, Blessed be His Holy name, Blessed be Jesus Christ true God and true man, Blessed be the Holy Spirit, the Paracalet, Blessed be Our Mother, Virgin Mary.
Yaani kadili kunavyokucha mabadiliko yanakuwa mengi na muda ni mchache kwa kweli kila mtu na imani yake nikuomba mwisho mwema 🤲🏾
@annastacianjoki5021
2 жыл бұрын
Amina
@jumaaljabri7646
2 жыл бұрын
Atupe mwisho mwema
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
Uongo mtupu huu dalili za kiama izo
@markmainaonundu6442
2 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 chunguza vyema
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda NA unapotea dini yako ya uslaam
Mungu wetu ni mwaminifu na anatumia vyombo vidhaifu kufanya kazi yake. Siku moja Mungu akinipa uwezo nitaenda kumuona huyu mtoto. Mungu akubariki na akulinde akupe Manisha marefu kwa jina la Yesu Kristo.
@zakarianguro822
Жыл бұрын
Tuungane cku ya kwenda mpendwa
She's a blessing. God bless her and use her mightly for conversion of souls
@lydiahnjoroge4587
Жыл бұрын
LET US THANK OUR MOTHER MARY FOR A GREAT GIFT
Hapo kwenye kukaa miaka mitatu tumboni inabidi utueze vizur cos hospital kuna monitoring ya wamama wajawazito nadhani wangeshakufanyia c/s
@sarahigobeko3020
2 жыл бұрын
Sure
Watu watamiminika huko kama maji hakikisheni barabara zinapitika magari yatakuja mengi sana
Ni jambo la kumshukuru Mungu Kwa neema yake ya kujidhihilisha Kwa kutenda kazi kwa njia ya mtoto kama huyu.
Mr Issack Mungu akubariki kwa tendo hili ulilolifanya kumsaidia mtoto huyu. Mungu akuzidishie. Pia nawapongeza kituo hiki cha TV kufuatilia habari za kijana huyu na kutufahamisha. Wengi hutoa taarifa za tukio mwanzoni na baada ya hapo watu tunakuwa hatujui tena nini kinaendelea
Amina, Nakuja,Nishuhudie Maajabu ya Mungu Mkuu.Nimemuona ndiye...
@saidihalifa8479
2 жыл бұрын
Nataman kuja huko nitumie hayo maji jamani ahimidiwe mungu
This beautiful Angelic girl has to be protected. She's highly gifted.
@l.comics6348
2 жыл бұрын
She's protected by the blood of Jesus already
Kuhusu moto: zaidi tunaweza kurejea tukio la Musa. Mungu alimtokea Musa katika kichaka kinacho waka moto bila kuungua. Kut 3-4. Pia katika waraka Kwa waebrania tunasoma hivi: "maana Mungu wetu ni moto ulao." Waebrania 12:29
@mediatricixopetu853
Жыл бұрын
Prisy lod nazindi kumpa nguvu
Ee Mwenyezi Mungu kupitia maombezi ya mtoto yunisi kwa uweza wa mama bikira Maria naomba Mungu atende miujiza yake juu ya familia yangu apate kujiziilisha kwa shida na changamoto ninazoendelea kuzipitia
Mlete Muhimbili asaidie watoto wa Salatani. Mwanangu arifariki past 3 weeks but I feel the pain watoto wana pitia.
@demycratia2567
2 жыл бұрын
Wapelekee pale
@gladnesnghwasa2670
2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu..fanyika balozi uwe sehemu ya utumishi..tafuta namba zao za cm ufanye mawasiliano na familia aweze kuja kufikia watoto wanaopitia watoto.Yesu anaweza
@wasilaahmad5459
2 жыл бұрын
Umeongea point
@ukiasili352
2 жыл бұрын
Pole sana dear Mungu akutie nguvu
@emmymsukwa5576
2 жыл бұрын
@@ukiasili352 asante dear
Jesus continue filling her with the Holy Spirit 🙏🙏🙏
@joanjeronno8972
2 жыл бұрын
Amen
@gladystinah5928
2 жыл бұрын
Ave Maria
@bakarhamis3977
2 жыл бұрын
Acheni biashara yesu mwenyewe hakuingia kanisani
She is a blessing from God period,How can I find to heal my mother tafadhali
Mungu ameikumduka familia hiialeluya✝️✝️✝️🛐🛐🛐🥰🥰🥰🥰💪💪💪💪👍👍👍👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Maajabu hayo lideni mtoto huyo vizuri na mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Amina Amina jina la bwana lihimidiwe mungu akutunze daima mtoto wetu
@dorothmtwale8184
2 жыл бұрын
Acheni watoto waje kwangu ufalme Wa mbingu ni wao
@berrrylochieng2324
2 жыл бұрын
Please naomba mwenyeji anipe muelekeo nataka kuja na ni ngapi tikiki kutoka Nairobi
@efrasiamkalawa9743
Жыл бұрын
Mungu akulinde mtoto daima tunakupenda sanaaa baby girl
Mungu ameikumbuka familia hii aleluya 🙏🙏🙏🙏
@zachariahmakeja8092
2 жыл бұрын
Amina
Glory be to God , he's using this kid for the world have changed and the elders have denying the world of God , using it as the house of business may the lord forgive them
Asante Mungu kwa muujiza wako kupitia kwa mtoto huyu mdogo,kweli Mungu unamwinue yeyote umpendae
@christinekukesi1246
2 жыл бұрын
how wonderful power is yourk
@christinekukesi1246
2 жыл бұрын
I would like to know your area ,even paster can't do that
Wanadamu tujiweke tayari unyakuo umekaribia mwenye sikio naasikie kristo yu karibu kurudi 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@hopeeli9641
2 жыл бұрын
Hakika
@danomolo475
2 жыл бұрын
Definitely
Mungu ni mweza wa yote kwa kila amwaminie na kumuomba.
Mwenyezi mungu endelea kumlinda mtoto huyu...mwongezee nguvu zaidi
TUNAOMBA NUMBER ZA SIMU YAKO .
Mungu akulinde mtoto uwasaidie watanzania wapate uponyaji na ulimwengu mzima ❤️❤️
@salomeogutu8490
2 жыл бұрын
Amina
Mary, Mother of perpetual Help pray for us, now and always. Amen.
Mungu ana sili lake kwenye watu yake 🙏. Stay blessed baby girl and your family 🙏❤️
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam
Uvivu wa kusoma neno na kutaka kumjua Mungu ndo utafanya watu wamsujudie shetani. Amkeni...!
@strongmummy580
2 жыл бұрын
Exactly akii watu kupotea kukoza Marifa
@chamwenyewecjembe7359
2 жыл бұрын
Ulijuaje ha ha haaa Alkaa tumbuni miaka mitatu . Mmmmmm
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Ahsant dada yangu ni shirki NA kukufuru NA kutoka katika dini yako ya uslaam
Mtoto huyu katumwa na mungu. Acheni imani za kipumbavu! Nimeona watu husema mtoto wa shetani? Unawezaje kuamini shetani anaweza na usiamini mungu aweze? Yesu alisema mkiwazuia watu wasishangilie mawe yatashangilia hakika huyo mtoto ni jiwe lililo pata nguvu ya yesu.
@theohermana5220
2 жыл бұрын
Kwani watoto wa Fatima ilikuwaje? Watu walikuwa hawaamini...... Watoto walitishiwa na kuwekwa gerezani .lakini walisimama imara na yale waliyokuwa wakiyasema maana neema za Mungu zilikuwa ndani yao.. Tusali na kuacha dhambi
@kamulikamuli530
2 жыл бұрын
Mama Maria anazidi kung'ara. Mtoto mwenyewe anasema mama yangu mzuri sana. Haleluya
@judithkatabaro3294
2 жыл бұрын
Tumesikia mengi mama maria akiwa tokea lusia fransisi na yasinta mala yesu aliongea kwa sauti na mitume leo hiikizazi ni kibishi sana
@witneskilinda5034
2 жыл бұрын
@@judithkatabaro3294 maria atawatokeaje watu!? make Biblia iko kimya kuhuxu maixha ya bikira maria! na wengi wanadai bikira maria alipalizwa mbingini lkn ukisoma maandiko matakatifu hayathibitishi madai hayo
@salomeogutu8490
2 жыл бұрын
Very true
Glory be to GOD,he has the reason why he sent little angel to bless people ningependa kukuja huko nami nibarikiwe tafadhali nikaunty gani
Asante Mama wa Yesu, Asante Mungu wetu kwa kutupenda hivi hata ukayaruhusu haya! Amina!
@masimbiiyikirenga2894
Жыл бұрын
Asante mama mariya kwa tuonesha miujiza mama
Kama mama hujaenda kwa wagaga wa kishenzi kutafuta huyo mtoto, basi Mungu wa mbinguni ajidhihilishe katka hiyo huduma yake na kama sio kusudi la Mungu mwenyewe, hiyo huduma na ife katika jina la Yesu kristo aliye hai
@tabithanganga9240
2 жыл бұрын
Hakuna guvu za Giza utajaa jina la Jesu na kusema watu watumbu wacha kusagilia setani uwoni munguni setani Hana guvu
Nime furai sana kwa Ajili ya huyu Malaika wa baba Mungu 🙏 ♥️
@beatricemoraa5261
2 жыл бұрын
Namimi nataka nikuche nimuone
@beatricemoraa5261
2 жыл бұрын
Mungu wetu niwahajabu mungu amulinde saiidi
This is divine healing. Keep up the good work.
@faze_narq6890
2 жыл бұрын
That’s witchcraft sorry!! The devil masquerading as an angel of light!!! There’s nothing called Holy water in the Bible!! We have the precious blood 🩸 of Jesus Christ of Nazareth!!! By Jesus stripes we are healed!! Not by no plain old satanically inspired and cultic water !!! The Bible says that they overcame the devil by the blood of the lamb and by the word of their testimony!!! And you can’t worship Mary either that’s idolatry! There were many virgins in her day but God chose her just as a vessel to carry the holy babe! She had favor with God not because she didn’t have sins cause the word says all have sinned and have fallen short of God’s Glory! She need Jesus Christ to save her just like you and me do!! There is only one holy God, God the father son and Holy Ghost, God three in one holy trinity right? So where does Mary show up there? Where does Holy Pope show up there? Don’t gamble with your souls!!!
Mother Mary pray for us
Mnakumbuka enzi za Babu wa loliondo... Pia huko kibosho kulikuwa na mtt wa B Maria
@aminielmbise2013
2 жыл бұрын
Kibosho ten jaman
Mungu anaweza,🇴🇲
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Ni shirki thambi isio samehewa milele
Ameeen mtoto wangu Mungu mwingi wa mazuri na yakupendeza sana
Maajabu ya Mungu haya,,, Asante kwa Mungu kwa kutumia kizazi chetu.
MUNGU MWEMA KWAKO AKULINDE MTOTO ILI AKAMILISHE ALILOANZISHA NDANI MWAKE...🙏🙏🙏🙏🙏
May this child be blessed to do the good work. Amen.
Wooow... I love this..to God be the glory 🙏🙏🙏
May God continue to shine in the young child,let mother Mary continue to appear to that young child.naomba aniombee Niko na uvimbe nda in yangu,ndugu yangu Ako na shida ya kufa kifafa,mamangu Ako na shida ya mguu , sister angu Ako na shida ya mguu wa kuria na ndugu yangu Ako na shida mingi ya magonjwa na mguu wangu wa kushoto Kwa magoti umeajana naomba kupitia mama maria ni pone
@mogirenyaboke3401
2 жыл бұрын
Katoliki watu wengi tunaamini kuwa bikira maria anaonekana Kwa watu ,na mama anapenda watu ambao wanapenda kusali sana rosari na kutupu dhambi zetu,
Asante Yesu Kristo
Mungu ameona watu wakubwa wamefanya dhambi sana,ameamua kumia watoto
@winifridakasibu2900
2 жыл бұрын
Mm sijaamini maana watu wanambinu nyingi za kutafuta ela ,ngoja tuone
May Almighty lord continue protect this little girl she is a gift from our mother Mary , keep it up to help our people who is sick be bless little girl 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Huyu Mtumishi wa Mungu Mwenye umri mdogo....aachwe aponye watu corona jameni... Mungu Apewe Sifa
@mamy8220
2 жыл бұрын
😁😁😁😁🤣🤣🤣 mungu amutunze💪💕💕💕🙏🙏🙏🙏
Mungu ampe maisha marefu na ya utakatifu huyu mtoto
@vidiliesonala1898
2 жыл бұрын
How can I get in touch with her I really need her prayer
Our mother Mary is real,is our interceder . Tunakupenda mama Maria
@awinojuju8522
2 жыл бұрын
She is
I am proud to be a Cathoric Christian ,oh my God thank you
@charlesmusomba4873
2 жыл бұрын
Glory to God
@juliusnyamari8657
2 жыл бұрын
Mimi julius naomba mungu amupe maisa Marefu aendelee kutuombea sisi wenye dambi
May Almighty God who chooses this child continues to keep her and the family from all evil in Jesus name
@israelwilson1237
Жыл бұрын
Jesus is lord 🙏
@francafattori8998
Жыл бұрын
Amen and Amen 🤲✝️🤲✝️💖🕊🌟❤️❤️❤️🌟🌟🌟🌟🌟😘😘😘🕊🕊
Libarikiwe tumbo lililombeba mtoto huyo
@clememallya4257
2 жыл бұрын
🙏
@marywanjiku9890
2 жыл бұрын
@@clememallya4257 mungu Na azidi kumutumia aponye wengi.zaidi ya yote amuekee ulinzi ..
This is awesome I love this
Amen, kupitia maombi ya huyu mtoto magojwa ya familia yangu yameisha.mambaya ya familia yameisha, utuiangi ya dawa saa kurefia hasa George grdson amepona. Amina
Mungu zidi kumpa maono huyu mtoto
@emmanuelsangaemmanuelsanga2055
2 жыл бұрын
Kwenda kujitibu happy ndipo mpate ufahamu
Asante Yesu sifa kwako Yesu
All Glory to God, Almighty God bless this Little Angel 😇
SALAMU MARIA UMEJAA NEEMA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE NA YESU MZAO WA TUMBO LAKO AMEBARIKIWA, MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU UTUOMBEE SISI WAKOSEFU SASA NA SAA YA KUFA KWETU AMINA
Mungu Ashukuriwe. Huu ni WEMA wa Mungu. Wazazi Mungu Awabariki. Amen.
Blessings upon the young child may she live to help many people who are sick. We thank God for empowering her. One day hopes to visit.
@euniceauma1266
Жыл бұрын
Our mighty God is doing great wonders. Can be seen from the unknown tobecome known global wide.His name be glorified. Let the little girl live long to save lives of hopeless servants Amen.Amen.Amen.
God works in different ways!
Glory To JEHOVAH. God can use even a child to save and to convey His Message. Blessed be The Name Of The Most High God.God The Father God The Son And God The Holy Spirit.
Yesu anasema wengi watakuja kwa jina langu mwe binadamu wanateseka Sana jamani tusome neno
@robbyomwoyo4850
2 жыл бұрын
Tukumbuke mambo ya uyoga
Mungu ni mwema Mimi nimeshuhudia mtu kamapona miguu baada ya kutumia maji ya huyu mtoto alikuwa amepalalaizi katumia siku moja tu akaanza kutembea
@mtzhalisi2232
2 жыл бұрын
Tunaomba contacts ndugu
@shadrackambogo5646
2 жыл бұрын
Bukama ni wilaya ya Rorya barabar ya kwenda shirati
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Wewe ramathani huo ni shirk
@user-ke2tr9kl9n
Ай бұрын
tunaomba nambaa za hao wazazi wakee
Mungu ni mkuu. May the little girl pray for the whole world, for an end of corona virus
That is a gift from God amen🙏🙏🙏🙏
Mtoto wa 11, kazaliwa tarehe 11, mwezi wa 11. God is good
@stephenwakunyala4004
2 жыл бұрын
Jamani tunapataje namba zake?
Tusiwe wepesi kukufuru Mambo tusiyoyajua.Tumwache Mungu atatoa majibu mwenyewe
@strongmummy580
2 жыл бұрын
Kweli Ata saitani kusali
@ambirohmaureen1126
2 жыл бұрын
Ukweli kabisaa
Glory to God God Almighty
I really need prayers from this little angel please
Mungu amufungulie zaidi ili atufungue macho sisi zote kwa imani
Pregnancy 3yrs. Why hospital did not induce or do emergency c section. It doesn’t sound right.
@florahemmanuel8323
2 жыл бұрын
Even me I'm still Asking myself ooh
It is so shocking that people cannot differentiate between idolatry n true worship of God.
Mathayo 24:24 Tusome Biblia tuamke!.... tutaona foleni za kuelekea rorya😂...biashara za kishetani and people are too blind to see.
@paulrwechungura5342
2 жыл бұрын
Kwa ushahidi upi
@catherinechifebe5800
2 жыл бұрын
NI VILE MLIPOTOSHWA KUHUSU MAMA MARIA...ANAMAKUBWA AMBAYO NYIE HAMKUYAJUA.......MAMA MARIA ANANGUVU ILA NYIE MSIO WAKATOLIKI HAMJUI SASA SAA IMEFIKA. MUMJUE MAMA HUYU.......YEYE SIE MUNGU...ILA ANANGUVU KUBWA KULIKO MALAIKA KULIKO VIUMBE WOTE ......SASA IWAPO MALAIKA WANANGUVU KUBWA KWANINI MAMA HUYU ALIYE MBEBA MUNGU ASIWE NA NGUVU....WAKE UP
@katarinaJ
2 жыл бұрын
@@catherinechifebe5800 where in the bible does Jesus or any of His apostles direct us to pray or worship mary???? Where in the bible does it say mary has more power than angels?😂😂😂Give me a scripture, sio maneno maneno tu.... The Bible says 1 Timothy 2:5 [5]For,There is ONE God and ONE Mediator who can reconcile God and humanity-the man Christ Jesus. 1 Timotheo 2:5 [5]Kwa sababu Mungu ni MMOJA, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni MMOJA, Mwanadamu Kristo Yesu; Wapi hapo wanasema maria ni mpatanishi??😏 Nani aliyemwaga damu yake msalabani kutuokoa wanadamu?? Wanafunzi walipomwomba Yesu awafundishe kuomba aliwafundishaje? BABA YETU ULIYE MBINGUNI...... hakuna maria hapo Maria is a fantasy created by pagan rome, and the gullible are too blind to follow.... SOMA BIBLIA! AMKA!! ACHA UPAGANI! Biblia INAKATAZA kuomba waliokufa....inaitwa necromancing na adhabu yake ni hellfire. Soma kumbukumbu la Torati. Wakatoliki hawasomagi biblia kwa uchambuzi wa kina ndio maana wengi wanapotoshwa. Yes, hata shetani ana nguvu za kufanya miujiza. Imeandikwa pia kwenye Biblia. Hilo si la kushangaza pia
@dativajoachimwai1194
2 жыл бұрын
Wanatumia maji kukemea pepo. ila biblia inatuambia tutumie jina la Yesu. Tusome biblia itatusaidia.miujiza sio kiashiria cha mtu kuwa na Roho wa Mungu
@cipladapretty8617
2 жыл бұрын
@@katarinaJ saf sana ubarkiwe maana nashangaa mijitu inakoment Mungu humu kwa huu upuuz wa kshetan
God bless you..
Mungu anainua walio wake kwa roho na kweli aleluya 🙏
@irenejuliusemanuel2181
2 жыл бұрын
lvi mpaka sasa uyo moto yupo kweri
@janetwanjala7645
2 жыл бұрын
Glory to God amen
Thank you lord
Sadaka ya babu yake imejidhirisha.Mungu azidi kumuimarisha ili mtoto atumike kuyagusa maisha ya binadamu wanaotaabika na magonjwa.Mama Bikira Maria aendelee kumtunza vyema mtumishi wa Mungu Eunice.amina
@evaristchuwa7652
2 жыл бұрын
Hapo ndo tunaona umuhimu wa kimtolea Mungu
@magrethmwita892
2 жыл бұрын
On piont sadaka za babu yake bila kudai hata mia !!!! Ndiyo mafuno hayo ,sadaka ni jibu tosha kwa Mungu
We thank God Almighty
Remember Mary appeared to the 3 children in Medjeguore and Guadaluope in france. Mary mother seems to be appearing to her.
Amazing miracle little angel
Hail Mary Full of Grace Blessed are you among Women and Blessed is fruit of your Womb Jesus Holy Mary Mother of God Pray for us siner now and the hour of our death AMEN 🙏🙏🙏🌹
@rogatianmtenga7265
2 жыл бұрын
Amen
@goodhoperunyoro7057
2 жыл бұрын
Mungu azidi kumpigania
@rogatianmtenga7265
2 жыл бұрын
Amen
@saveodenyo2931
2 жыл бұрын
Amen.
@yohanadeus8725
2 жыл бұрын
@@saveodenyo2931 jaman
Glory to God.
Hakuna anaemuabudu mama maria,mama maria tunamuheshimu na kumuomba atuombee,kama Mungu mwwnyew alimtumia yeye ili yesu azaliwe kwann asimtumie tena kutuletea habari njema..kama huamini nyamaza ila usikufuru,ipo siku utaelewa na kuamin wakat wa Mungu ukifika.AVE MARIA!
Mother Mary I Trust in you.
GLORY BE TO GOD MAY SHE BE A BLESSING TO MANY MORE GRACE APOSTLE EUNICE HALLELUJAH
Iyo sehemu ni mkoa gani na pia tunaomba mtutumie namba za simu ili tuweze kufika mahala alipo,Asante.
@hnettech6275
2 жыл бұрын
Mkoa Mara Wilaya ya Rorya
@godfreyntangana4769
2 жыл бұрын
ni mkoa wa mara wilaya ya rorya kijiji cha bukama au soko laboro
Glory to God 🙏🙏🙏🙏
Nimekumiss Sana yuniss na family yenu kiujumla mwenyezi mungu azidi kuwalinda
Tafuteni watumishi wa kuaminika wa ichunguze iyo loho iliyo ndani yake kama imetoka kwa MUNGU au laa
@adiventisamsoni9896
2 жыл бұрын
Wdwe unafikiri imetoka wap
@emmanuelsangaemmanuelsanga2055
2 жыл бұрын
Hiyo ni roho ya utambuzi na haitokani na Mungu kabisa
@berthandollo3227
2 жыл бұрын
@@emmanuelsangaemmanuelsanga2055 kumekucha
@santacla7009
2 жыл бұрын
@@emmanuelsangaemmanuelsanga2055 kusema kwako hakutabadilisha chochote...kubao mandugu wengi wa Thomas
@ladonll
Жыл бұрын
Wachungaji wa sasa wanataka tu hela, wengi wao ni waongo tu. 😂😂