MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!

MAAJABU: MTOTO MDOGO AOMBEA na KUPONYA WATU KWA MAJI, ALIKAA TUMBONI MWA MAMA YAKE MIEZI 36!
Mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 2 na nusu, Eunice Atieno, mkazi wa kijii cha BUKAMA, RYORA, Tanzania ameshangaza watu baada ya kuonesha maajabu ya kuponya watu kwa maombi na maji, tofauti kabisa na umri wake. Global TV imefika kijijini hapo kujionea na kuzungumza na wazazi wa mtoto huyo....fuatilia makala haya ya kusisimua....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 2 000

  • @mkhondoj.feruzi2052
    @mkhondoj.feruzi20522 жыл бұрын

    Mtoto wa 11, alizaliwa baada ya miaka 3, alizaliwa tarehe 11, mwezi wa 11, 2018 (11, 11, 11) possibly kuna 11 nyingine ambazo hazikuwekwa records. Maajabu!

  • @sifahamuli4958

    @sifahamuli4958

    2 жыл бұрын

    Bikira Maria hawezi ponya Naamini ni roho mtakatifu, na kuomba kwa jina la yesus Naamini roho wa Mungu ndiyo alimuinhiya, na ule mama mtoto anaesema ni Malaika wa Mungu, alakini apana bikira Maria

  • @sifahamuli4958

    @sifahamuli4958

    2 жыл бұрын

    Apana imani ya catholiqeu

  • @sifahamuli4958

    @sifahamuli4958

    2 жыл бұрын

    Wow

  • @sifahamuli4958

    @sifahamuli4958

    2 жыл бұрын

    Mungu aendeleye kumuongezeya upako mupya

  • @mnegrowbs4349

    @mnegrowbs4349

    2 жыл бұрын

    Ukitaka kupata 11 ingine utaipata kwenye mwaka wake wa kuzaliwa (2018) yaani 2+0+1+8=11. Nadhani umeshaipata. Kuna kitu hapa juu ya Huyo mtoto ambacho kinaendelea na hakitajulikana kwa kupitia mifumo ya kiimani (dini) ambayo inaonekana kama ndiyo iko juu yake. Ndiyo maana hata kanisa halijui ila linataka kuchunguza.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91412 жыл бұрын

    Mungu awezamtumia mtu yeyote na miujiza yake ni mikubwa..hatuna la kusema tumuachie Mungu, mtoto anasema tuombe na kutubu..TUOMBE NA KUTUBU NDIYO UJUMBE..TUOMBE NA TUTUBU.

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    2 жыл бұрын

    Afadhari ww umeongea vyamaana kuliko wanaowatukana eti njaa mbaya 🤲🤲

  • @davisnitu890

    @davisnitu890

    2 жыл бұрын

    Umesahau Tufunge

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand94732 жыл бұрын

    Hayo ndiomaombi kweli maana uyumtoto hajajua kutafuta umaarufu au kutafuta hela anatumiwa na Mungu kabisa. Mungu aliwatumia watu wazima sasa badae wanajichanganya nakutaka hela.

  • @shukhuranpetro5796

    @shukhuranpetro5796

    2 жыл бұрын

    Amakweli wengi tutaangamia kwa mauzauza haya

  • @joyceogola8026

    @joyceogola8026

    2 жыл бұрын

    Pp

  • @waytvtz2549

    @waytvtz2549

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo shida yako ni hela tu au nn

  • @renildevenerand9473

    @renildevenerand9473

    2 жыл бұрын

    @@waytvtz2549 amna sio shida yangu milimanisha wengi wanatudanganya kuwa walitumwa na Mungu nakuomba hela eti ndio waombee watu

  • @dayanapastor2322

    @dayanapastor2322

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @miriamwaithera3680
    @miriamwaithera36802 жыл бұрын

    What God can do no man can do what a wonderful miracle may God continue to protect you baby Angel ❤️❤️❤️❤️

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph17472 жыл бұрын

    Ahsante mama wa Yesu mama Maria kwa miujiza katika nchi yetu Tanzania na bara la Africa. Tunahitaji miujuza iki watu waweze kukuamini na kumfuata Mungu. Mungu mlinde mtoto na familia yake.

  • @selestinenafula3388

    @selestinenafula3388

    2 жыл бұрын

    atukuzwe mungu mbinguni,maana ufalme wa mbinguni ni wao watoto

  • @theodoramasako5971

    @theodoramasako5971

    2 жыл бұрын

    Glory to God,ahsante Mama wa Yesu Mama Maria kupitia mtoto huyu,umlinde na familia yake,kupitia kwake tupone.

  • @theresaelizabethelijah117

    @theresaelizabethelijah117

    Жыл бұрын

    Amen

  • @JaneOkotsi

    @JaneOkotsi

    Ай бұрын

    Amen

  • @FaustinMwamba

    @FaustinMwamba

    23 күн бұрын

    Aaaaanaye Linda mutu ni mungu sio maman Maria imama Maria ni kiumbe kya mungu

  • @lewissinkalatz.3914
    @lewissinkalatz.39142 жыл бұрын

    Baba mzazi pole sana kuna mambo matatu mhim uyafahamu mzazi na watazamaji pia.1.tendo la kukaa tumboni miaka3 siyo bwana. 2.Hugo MTU anaye mtokea siyo malaika Bali ni mzim wa uganga unao jionyesha kupitia mtoto, Huyo mtoto hana tatizo ila kuna mapepo humo,. 3.kuhusu uponyaji siyo kigezo Bali kigezo ni kuupima huo muujiza kama umetokana na Bwana au la,. 4.Mungu hana mipaka ya amtumie nani.,anatumia MTU yeyote,hivyo wazazi kwa wakati huu mnaweza kuwa mmenogewa na aina ya maisha mapya na ufumbuzi au utatuzi wa changamoto mlizokuwa nazo.,,msidanganyike Huyo nguvu siyo ya MUNGU.samahani lakini kwa kuvuruga ugali .

  • @user-fs6yd5rt1h

    @user-fs6yd5rt1h

    2 ай бұрын

    😢😢😢

  • @user-mj9tb3pp1q

    @user-mj9tb3pp1q

    27 күн бұрын

    Kwa nini unahukumu? Tangu lini mwanga na giza vikashirikiana? Mungu tu ndiye anajua umuhimu wa mtoto.

  • @lillianochieng2751
    @lillianochieng2751 Жыл бұрын

    This Angel is Awesome,God:s servant,anointed,blessed.GLORY TO GOD.

  • @priscillakarande8324
    @priscillakarande83242 жыл бұрын

    Praise be to God for this gift,she is indeed a blessing from God,she is protected by the blood of our lord Jesus Christ, thank you mama Mary.

  • @christinemukete1942

    @christinemukete1942

    Жыл бұрын

    God you chose this little girl to do what you want her to do, to heal pls Hod you will cover her with your precious blood and the parents and who help to work with her bless them and give her more wisdom to work has God has plan for her. I pray the blood of Jesus to cover her 24/7 in her ministry in Jesus name. Amen & Amen

  • @user-sp4jz1mz9d

    @user-sp4jz1mz9d

    2 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @shemcola7518

    @shemcola7518

    Ай бұрын

    😅

  • @shemcola7518

    @shemcola7518

    Ай бұрын

    ❤prayform

  • @mayunee0529
    @mayunee05292 жыл бұрын

    The all three names she has are exactly like mine... Eunice Atieno Otieno 😍 😍 such a blessed baby

  • @janekanini5331

    @janekanini5331

    Жыл бұрын

    Hapa ni Kenya? Coz naskia io ascent ni kijaluo

  • @sylvianyandie7586
    @sylvianyandie75862 жыл бұрын

    Blessed be God, Blessed be His Holy name, Blessed be Jesus Christ true God and true man, Blessed be the Holy Spirit, the Paracalet, Blessed be Our Mother, Virgin Mary.

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj86402 жыл бұрын

    Yaani kadili kunavyokucha mabadiliko yanakuwa mengi na muda ni mchache kwa kweli kila mtu na imani yake nikuomba mwisho mwema 🤲🏾

  • @annastacianjoki5021

    @annastacianjoki5021

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @jumaaljabri7646

    @jumaaljabri7646

    2 жыл бұрын

    Atupe mwisho mwema

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    2 жыл бұрын

    Uongo mtupu huu dalili za kiama izo

  • @markmainaonundu6442

    @markmainaonundu6442

    2 жыл бұрын

    @@zalhathasaid2060 chunguza vyema

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda NA unapotea dini yako ya uslaam

  • @jaelblessings3361
    @jaelblessings33612 жыл бұрын

    Mungu wetu ni mwaminifu na anatumia vyombo vidhaifu kufanya kazi yake. Siku moja Mungu akinipa uwezo nitaenda kumuona huyu mtoto. Mungu akubariki na akulinde akupe Manisha marefu kwa jina la Yesu Kristo.

  • @zakarianguro822

    @zakarianguro822

    Жыл бұрын

    Tuungane cku ya kwenda mpendwa

  • @fredmaria5639
    @fredmaria5639 Жыл бұрын

    She's a blessing. God bless her and use her mightly for conversion of souls

  • @lydiahnjoroge4587

    @lydiahnjoroge4587

    Жыл бұрын

    LET US THANK OUR MOTHER MARY FOR A GREAT GIFT

  • @kasuku5412
    @kasuku54122 жыл бұрын

    Hapo kwenye kukaa miaka mitatu tumboni inabidi utueze vizur cos hospital kuna monitoring ya wamama wajawazito nadhani wangeshakufanyia c/s

  • @sarahigobeko3020

    @sarahigobeko3020

    2 жыл бұрын

    Sure

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson96182 жыл бұрын

    Watu watamiminika huko kama maji hakikisheni barabara zinapitika magari yatakuja mengi sana

  • @peterleonard1441
    @peterleonard14412 жыл бұрын

    Ni jambo la kumshukuru Mungu Kwa neema yake ya kujidhihilisha Kwa kutenda kazi kwa njia ya mtoto kama huyu.

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni352 жыл бұрын

    Mr Issack Mungu akubariki kwa tendo hili ulilolifanya kumsaidia mtoto huyu. Mungu akuzidishie. Pia nawapongeza kituo hiki cha TV kufuatilia habari za kijana huyu na kutufahamisha. Wengi hutoa taarifa za tukio mwanzoni na baada ya hapo watu tunakuwa hatujui tena nini kinaendelea

  • @henryxavery1713
    @henryxavery17132 жыл бұрын

    Amina, Nakuja,Nishuhudie Maajabu ya Mungu Mkuu.Nimemuona ndiye...

  • @saidihalifa8479

    @saidihalifa8479

    2 жыл бұрын

    Nataman kuja huko nitumie hayo maji jamani ahimidiwe mungu

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda49372 жыл бұрын

    This beautiful Angelic girl has to be protected. She's highly gifted.

  • @l.comics6348

    @l.comics6348

    2 жыл бұрын

    She's protected by the blood of Jesus already

  • @peterleonard1441
    @peterleonard14412 жыл бұрын

    Kuhusu moto: zaidi tunaweza kurejea tukio la Musa. Mungu alimtokea Musa katika kichaka kinacho waka moto bila kuungua. Kut 3-4. Pia katika waraka Kwa waebrania tunasoma hivi: "maana Mungu wetu ni moto ulao." Waebrania 12:29

  • @mediatricixopetu853

    @mediatricixopetu853

    Жыл бұрын

    Prisy lod nazindi kumpa nguvu

  • @MelisaAidan
    @MelisaAidanАй бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu kupitia maombezi ya mtoto yunisi kwa uweza wa mama bikira Maria naomba Mungu atende miujiza yake juu ya familia yangu apate kujiziilisha kwa shida na changamoto ninazoendelea kuzipitia

  • @emmymsukwa5576
    @emmymsukwa55762 жыл бұрын

    Mlete Muhimbili asaidie watoto wa Salatani. Mwanangu arifariki past 3 weeks but I feel the pain watoto wana pitia.

  • @demycratia2567

    @demycratia2567

    2 жыл бұрын

    Wapelekee pale

  • @gladnesnghwasa2670

    @gladnesnghwasa2670

    2 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu..fanyika balozi uwe sehemu ya utumishi..tafuta namba zao za cm ufanye mawasiliano na familia aweze kuja kufikia watoto wanaopitia watoto.Yesu anaweza

  • @wasilaahmad5459

    @wasilaahmad5459

    2 жыл бұрын

    Umeongea point

  • @ukiasili352

    @ukiasili352

    2 жыл бұрын

    Pole sana dear Mungu akutie nguvu

  • @emmymsukwa5576

    @emmymsukwa5576

    2 жыл бұрын

    @@ukiasili352 asante dear

  • @lucymugo4589
    @lucymugo45892 жыл бұрын

    Jesus continue filling her with the Holy Spirit 🙏🙏🙏

  • @joanjeronno8972

    @joanjeronno8972

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @gladystinah5928

    @gladystinah5928

    2 жыл бұрын

    Ave Maria

  • @bakarhamis3977

    @bakarhamis3977

    2 жыл бұрын

    Acheni biashara yesu mwenyewe hakuingia kanisani

  • @chebsemmie8691
    @chebsemmie869112 күн бұрын

    She is a blessing from God period,How can I find to heal my mother tafadhali

  • @meriyeseb
    @meriyeseb Жыл бұрын

    Mungu ameikumduka familia hiialeluya✝️✝️✝️🛐🛐🛐🥰🥰🥰🥰💪💪💪💪👍👍👍👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lincyluseno5964
    @lincyluseno59642 жыл бұрын

    Maajabu hayo lideni mtoto huyo vizuri na mungu awabariki sana🙏🙏🙏

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro44052 жыл бұрын

    Amina Amina jina la bwana lihimidiwe mungu akutunze daima mtoto wetu

  • @dorothmtwale8184

    @dorothmtwale8184

    2 жыл бұрын

    Acheni watoto waje kwangu ufalme Wa mbingu ni wao

  • @berrrylochieng2324

    @berrrylochieng2324

    2 жыл бұрын

    Please naomba mwenyeji anipe muelekeo nataka kuja na ni ngapi tikiki kutoka Nairobi

  • @efrasiamkalawa9743

    @efrasiamkalawa9743

    Жыл бұрын

    Mungu akulinde mtoto daima tunakupenda sanaaa baby girl

  • @salomeogutu8490
    @salomeogutu84902 жыл бұрын

    Mungu ameikumbuka familia hii aleluya 🙏🙏🙏🙏

  • @zachariahmakeja8092

    @zachariahmakeja8092

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @ezekiel2034
    @ezekiel20342 жыл бұрын

    Glory be to God , he's using this kid for the world have changed and the elders have denying the world of God , using it as the house of business may the lord forgive them

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau25852 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa muujiza wako kupitia kwa mtoto huyu mdogo,kweli Mungu unamwinue yeyote umpendae

  • @christinekukesi1246

    @christinekukesi1246

    2 жыл бұрын

    how wonderful power is yourk

  • @christinekukesi1246

    @christinekukesi1246

    2 жыл бұрын

    I would like to know your area ,even paster can't do that

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51932 жыл бұрын

    Wanadamu tujiweke tayari unyakuo umekaribia mwenye sikio naasikie kristo yu karibu kurudi 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @hopeeli9641

    @hopeeli9641

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @danomolo475

    @danomolo475

    2 жыл бұрын

    Definitely

  • @gasperkweka3761
    @gasperkweka37612 жыл бұрын

    Mungu ni mweza wa yote kwa kila amwaminie na kumuomba.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22322 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu endelea kumlinda mtoto huyu...mwongezee nguvu zaidi

  • @josephkalonga550
    @josephkalonga5502 жыл бұрын

    TUNAOMBA NUMBER ZA SIMU YAKO .

  • @furahia2510
    @furahia25102 жыл бұрын

    Mungu akulinde mtoto uwasaidie watanzania wapate uponyaji na ulimwengu mzima ❤️❤️

  • @salomeogutu8490

    @salomeogutu8490

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @veroaroma2689
    @veroaroma26892 жыл бұрын

    Mary, Mother of perpetual Help pray for us, now and always. Amen.

  • @salamaumulisa6112
    @salamaumulisa61122 жыл бұрын

    Mungu ana sili lake kwenye watu yake 🙏. Stay blessed baby girl and your family 🙏❤️

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha16182 жыл бұрын

    Uvivu wa kusoma neno na kutaka kumjua Mungu ndo utafanya watu wamsujudie shetani. Amkeni...!

  • @strongmummy580

    @strongmummy580

    2 жыл бұрын

    Exactly akii watu kupotea kukoza Marifa

  • @chamwenyewecjembe7359

    @chamwenyewecjembe7359

    2 жыл бұрын

    Ulijuaje ha ha haaa Alkaa tumbuni miaka mitatu . Mmmmmm

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Ahsant dada yangu ni shirki NA kukufuru NA kutoka katika dini yako ya uslaam

  • @martinsadru220
    @martinsadru2202 жыл бұрын

    Mtoto huyu katumwa na mungu. Acheni imani za kipumbavu! Nimeona watu husema mtoto wa shetani? Unawezaje kuamini shetani anaweza na usiamini mungu aweze? Yesu alisema mkiwazuia watu wasishangilie mawe yatashangilia hakika huyo mtoto ni jiwe lililo pata nguvu ya yesu.

  • @theohermana5220

    @theohermana5220

    2 жыл бұрын

    Kwani watoto wa Fatima ilikuwaje? Watu walikuwa hawaamini...... Watoto walitishiwa na kuwekwa gerezani .lakini walisimama imara na yale waliyokuwa wakiyasema maana neema za Mungu zilikuwa ndani yao.. Tusali na kuacha dhambi

  • @kamulikamuli530

    @kamulikamuli530

    2 жыл бұрын

    Mama Maria anazidi kung'ara. Mtoto mwenyewe anasema mama yangu mzuri sana. Haleluya

  • @judithkatabaro3294

    @judithkatabaro3294

    2 жыл бұрын

    Tumesikia mengi mama maria akiwa tokea lusia fransisi na yasinta mala yesu aliongea kwa sauti na mitume leo hiikizazi ni kibishi sana

  • @witneskilinda5034

    @witneskilinda5034

    2 жыл бұрын

    @@judithkatabaro3294 maria atawatokeaje watu!? make Biblia iko kimya kuhuxu maixha ya bikira maria! na wengi wanadai bikira maria alipalizwa mbingini lkn ukisoma maandiko matakatifu hayathibitishi madai hayo

  • @salomeogutu8490

    @salomeogutu8490

    2 жыл бұрын

    Very true

  • @fredrickakwera207
    @fredrickakwera2072 жыл бұрын

    Glory be to GOD,he has the reason why he sent little angel to bless people ningependa kukuja huko nami nibarikiwe tafadhali nikaunty gani

  • @justinamkulu2011
    @justinamkulu20112 жыл бұрын

    Asante Mama wa Yesu, Asante Mungu wetu kwa kutupenda hivi hata ukayaruhusu haya! Amina!

  • @masimbiiyikirenga2894

    @masimbiiyikirenga2894

    Жыл бұрын

    Asante mama mariya kwa tuonesha miujiza mama

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya63002 жыл бұрын

    Kama mama hujaenda kwa wagaga wa kishenzi kutafuta huyo mtoto, basi Mungu wa mbinguni ajidhihilishe katka hiyo huduma yake na kama sio kusudi la Mungu mwenyewe, hiyo huduma na ife katika jina la Yesu kristo aliye hai

  • @tabithanganga9240

    @tabithanganga9240

    2 жыл бұрын

    Hakuna guvu za Giza utajaa jina la Jesu na kusema watu watumbu wacha kusagilia setani uwoni munguni setani Hana guvu

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu25092 жыл бұрын

    Nime furai sana kwa Ajili ya huyu Malaika wa baba Mungu 🙏 ♥️

  • @beatricemoraa5261

    @beatricemoraa5261

    2 жыл бұрын

    Namimi nataka nikuche nimuone

  • @beatricemoraa5261

    @beatricemoraa5261

    2 жыл бұрын

    Mungu wetu niwahajabu mungu amulinde saiidi

  • @agnesndetei4404
    @agnesndetei44042 жыл бұрын

    This is divine healing. Keep up the good work.

  • @faze_narq6890

    @faze_narq6890

    2 жыл бұрын

    That’s witchcraft sorry!! The devil masquerading as an angel of light!!! There’s nothing called Holy water in the Bible!! We have the precious blood 🩸 of Jesus Christ of Nazareth!!! By Jesus stripes we are healed!! Not by no plain old satanically inspired and cultic water !!! The Bible says that they overcame the devil by the blood of the lamb and by the word of their testimony!!! And you can’t worship Mary either that’s idolatry! There were many virgins in her day but God chose her just as a vessel to carry the holy babe! She had favor with God not because she didn’t have sins cause the word says all have sinned and have fallen short of God’s Glory! She need Jesus Christ to save her just like you and me do!! There is only one holy God, God the father son and Holy Ghost, God three in one holy trinity right? So where does Mary show up there? Where does Holy Pope show up there? Don’t gamble with your souls!!!

  • @roselambert6700
    @roselambert67002 жыл бұрын

    Mother Mary pray for us

  • @nimfatarimo4092
    @nimfatarimo40922 жыл бұрын

    Mnakumbuka enzi za Babu wa loliondo... Pia huko kibosho kulikuwa na mtt wa B Maria

  • @aminielmbise2013

    @aminielmbise2013

    2 жыл бұрын

    Kibosho ten jaman

  • @saudambinga3832
    @saudambinga38322 жыл бұрын

    Mungu anaweza,🇴🇲

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Ni shirki thambi isio samehewa milele

  • @gekonejames7944
    @gekonejames79442 жыл бұрын

    Ameeen mtoto wangu Mungu mwingi wa mazuri na yakupendeza sana

  • @jollyali4937
    @jollyali49372 жыл бұрын

    Maajabu ya Mungu haya,,, Asante kwa Mungu kwa kutumia kizazi chetu.

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge93832 жыл бұрын

    MUNGU MWEMA KWAKO AKULINDE MTOTO ILI AKAMILISHE ALILOANZISHA NDANI MWAKE...🙏🙏🙏🙏🙏

  • @wilderbonareri2113
    @wilderbonareri21132 жыл бұрын

    May this child be blessed to do the good work. Amen.

  • @virginianjerimuiruri3989
    @virginianjerimuiruri39892 жыл бұрын

    Wooow... I love this..to God be the glory 🙏🙏🙏

  • @mogirenyaboke3401
    @mogirenyaboke34012 жыл бұрын

    May God continue to shine in the young child,let mother Mary continue to appear to that young child.naomba aniombee Niko na uvimbe nda in yangu,ndugu yangu Ako na shida ya kufa kifafa,mamangu Ako na shida ya mguu , sister angu Ako na shida ya mguu wa kuria na ndugu yangu Ako na shida mingi ya magonjwa na mguu wangu wa kushoto Kwa magoti umeajana naomba kupitia mama maria ni pone

  • @mogirenyaboke3401

    @mogirenyaboke3401

    2 жыл бұрын

    Katoliki watu wengi tunaamini kuwa bikira maria anaonekana Kwa watu ,na mama anapenda watu ambao wanapenda kusali sana rosari na kutupu dhambi zetu,

  • @vickystellah3194
    @vickystellah31942 жыл бұрын

    Asante Yesu Kristo

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto2672 жыл бұрын

    Mungu ameona watu wakubwa wamefanya dhambi sana,ameamua kumia watoto

  • @winifridakasibu2900

    @winifridakasibu2900

    2 жыл бұрын

    Mm sijaamini maana watu wanambinu nyingi za kutafuta ela ,ngoja tuone

  • @nancyojowi5380
    @nancyojowi5380 Жыл бұрын

    May Almighty lord continue protect this little girl she is a gift from our mother Mary , keep it up to help our people who is sick be bless little girl 🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @Akalithereat
    @Akalithereat2 жыл бұрын

    Huyu Mtumishi wa Mungu Mwenye umri mdogo....aachwe aponye watu corona jameni... Mungu Apewe Sifa

  • @mamy8220

    @mamy8220

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁🤣🤣🤣 mungu amutunze💪💕💕💕🙏🙏🙏🙏

  • @amedeusaminiel192
    @amedeusaminiel1922 жыл бұрын

    Mungu ampe maisha marefu na ya utakatifu huyu mtoto

  • @vidiliesonala1898

    @vidiliesonala1898

    2 жыл бұрын

    How can I get in touch with her I really need her prayer

  • @ignatiuszippyatuma4552
    @ignatiuszippyatuma45522 жыл бұрын

    Our mother Mary is real,is our interceder . Tunakupenda mama Maria

  • @awinojuju8522

    @awinojuju8522

    2 жыл бұрын

    She is

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida66672 жыл бұрын

    I am proud to be a Cathoric Christian ,oh my God thank you

  • @charlesmusomba4873

    @charlesmusomba4873

    2 жыл бұрын

    Glory to God

  • @juliusnyamari8657

    @juliusnyamari8657

    2 жыл бұрын

    Mimi julius naomba mungu amupe maisa Marefu aendelee kutuombea sisi wenye dambi

  • @josephmaryodey105
    @josephmaryodey1052 жыл бұрын

    May Almighty God who chooses this child continues to keep her and the family from all evil in Jesus name

  • @israelwilson1237

    @israelwilson1237

    Жыл бұрын

    Jesus is lord 🙏

  • @francafattori8998

    @francafattori8998

    Жыл бұрын

    Amen and Amen 🤲✝️🤲✝️💖🕊🌟❤️❤️❤️🌟🌟🌟🌟🌟😘😘😘🕊🕊

  • @martinamadege3842
    @martinamadege38422 жыл бұрын

    Libarikiwe tumbo lililombeba mtoto huyo

  • @clememallya4257

    @clememallya4257

    2 жыл бұрын

    🙏

  • @marywanjiku9890

    @marywanjiku9890

    2 жыл бұрын

    @@clememallya4257 mungu Na azidi kumutumia aponye wengi.zaidi ya yote amuekee ulinzi ..

  • @gathonigatika2552
    @gathonigatika25522 жыл бұрын

    This is awesome I love this

  • @lucyiburu5588
    @lucyiburu55882 жыл бұрын

    Amen, kupitia maombi ya huyu mtoto magojwa ya familia yangu yameisha.mambaya ya familia yameisha, utuiangi ya dawa saa kurefia hasa George grdson amepona. Amina

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo69322 жыл бұрын

    Mungu zidi kumpa maono huyu mtoto

  • @emmanuelsangaemmanuelsanga2055

    @emmanuelsangaemmanuelsanga2055

    2 жыл бұрын

    Kwenda kujitibu happy ndipo mpate ufahamu

  • @generosakinemo5490
    @generosakinemo54902 жыл бұрын

    Asante Yesu sifa kwako Yesu

  • @stephenmusyoka3938
    @stephenmusyoka39382 жыл бұрын

    All Glory to God, Almighty God bless this Little Angel 😇

  • @elizabethndago4561
    @elizabethndago45612 жыл бұрын

    SALAMU MARIA UMEJAA NEEMA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE NA YESU MZAO WA TUMBO LAKO AMEBARIKIWA, MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU UTUOMBEE SISI WAKOSEFU SASA NA SAA YA KUFA KWETU AMINA

  • @francopalermo3674
    @francopalermo36742 жыл бұрын

    Mungu Ashukuriwe. Huu ni WEMA wa Mungu. Wazazi Mungu Awabariki. Amen.

  • @annkala7533
    @annkala75332 жыл бұрын

    Blessings upon the young child may she live to help many people who are sick. We thank God for empowering her. One day hopes to visit.

  • @euniceauma1266

    @euniceauma1266

    Жыл бұрын

    Our mighty God is doing great wonders. Can be seen from the unknown tobecome known global wide.His name be glorified. Let the little girl live long to save lives of hopeless servants Amen.Amen.Amen.

  • @jonhstoneowegi9137
    @jonhstoneowegi91372 жыл бұрын

    God works in different ways!

  • @monicanyamu2207
    @monicanyamu22072 жыл бұрын

    Glory To JEHOVAH. God can use even a child to save and to convey His Message. Blessed be The Name Of The Most High God.God The Father God The Son And God The Holy Spirit.

  • @festinambona2860
    @festinambona28602 жыл бұрын

    Yesu anasema wengi watakuja kwa jina langu mwe binadamu wanateseka Sana jamani tusome neno

  • @robbyomwoyo4850

    @robbyomwoyo4850

    2 жыл бұрын

    Tukumbuke mambo ya uyoga

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka2952 жыл бұрын

    Mungu ni mwema Mimi nimeshuhudia mtu kamapona miguu baada ya kutumia maji ya huyu mtoto alikuwa amepalalaizi katumia siku moja tu akaanza kutembea

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    2 жыл бұрын

    Tunaomba contacts ndugu

  • @shadrackambogo5646

    @shadrackambogo5646

    2 жыл бұрын

    Bukama ni wilaya ya Rorya barabar ya kwenda shirati

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Wewe ramathani huo ni shirk

  • @user-ke2tr9kl9n

    @user-ke2tr9kl9n

    Ай бұрын

    tunaomba nambaa za hao wazazi wakee

  • @ndindachristine3771
    @ndindachristine37712 жыл бұрын

    Mungu ni mkuu. May the little girl pray for the whole world, for an end of corona virus

  • @dominickmakoko56
    @dominickmakoko562 жыл бұрын

    That is a gift from God amen🙏🙏🙏🙏

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema19692 жыл бұрын

    Mtoto wa 11, kazaliwa tarehe 11, mwezi wa 11. God is good

  • @stephenwakunyala4004

    @stephenwakunyala4004

    2 жыл бұрын

    Jamani tunapataje namba zake?

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa4812 жыл бұрын

    Tusiwe wepesi kukufuru Mambo tusiyoyajua.Tumwache Mungu atatoa majibu mwenyewe

  • @strongmummy580

    @strongmummy580

    2 жыл бұрын

    Kweli Ata saitani kusali

  • @ambirohmaureen1126

    @ambirohmaureen1126

    2 жыл бұрын

    Ukweli kabisaa

  • @martharmoranga2541
    @martharmoranga25412 жыл бұрын

    Glory to God God Almighty

  • @cesskemush8635
    @cesskemush86352 жыл бұрын

    I really need prayers from this little angel please

  • @naomymose1866
    @naomymose18662 жыл бұрын

    Mungu amufungulie zaidi ili atufungue macho sisi zote kwa imani

  • @MaryMary-ci2ek
    @MaryMary-ci2ek2 жыл бұрын

    Pregnancy 3yrs. Why hospital did not induce or do emergency c section. It doesn’t sound right.

  • @florahemmanuel8323

    @florahemmanuel8323

    2 жыл бұрын

    Even me I'm still Asking myself ooh

  • @spokenwordseedbride753
    @spokenwordseedbride7532 жыл бұрын

    It is so shocking that people cannot differentiate between idolatry n true worship of God.

  • @katarinaJ
    @katarinaJ2 жыл бұрын

    Mathayo 24:24 Tusome Biblia tuamke!.... tutaona foleni za kuelekea rorya😂...biashara za kishetani and people are too blind to see.

  • @paulrwechungura5342

    @paulrwechungura5342

    2 жыл бұрын

    Kwa ushahidi upi

  • @catherinechifebe5800

    @catherinechifebe5800

    2 жыл бұрын

    NI VILE MLIPOTOSHWA KUHUSU MAMA MARIA...ANAMAKUBWA AMBAYO NYIE HAMKUYAJUA.......MAMA MARIA ANANGUVU ILA NYIE MSIO WAKATOLIKI HAMJUI SASA SAA IMEFIKA. MUMJUE MAMA HUYU.......YEYE SIE MUNGU...ILA ANANGUVU KUBWA KULIKO MALAIKA KULIKO VIUMBE WOTE ......SASA IWAPO MALAIKA WANANGUVU KUBWA KWANINI MAMA HUYU ALIYE MBEBA MUNGU ASIWE NA NGUVU....WAKE UP

  • @katarinaJ

    @katarinaJ

    2 жыл бұрын

    @@catherinechifebe5800 where in the bible does Jesus or any of His apostles direct us to pray or worship mary???? Where in the bible does it say mary has more power than angels?😂😂😂Give me a scripture, sio maneno maneno tu.... The Bible says 1 Timothy 2:5 [5]For,There is ONE God and ONE Mediator who can reconcile God and humanity-the man Christ Jesus. 1 Timotheo 2:5 [5]Kwa sababu Mungu ni MMOJA, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni MMOJA, Mwanadamu Kristo Yesu; Wapi hapo wanasema maria ni mpatanishi??😏 Nani aliyemwaga damu yake msalabani kutuokoa wanadamu?? Wanafunzi walipomwomba Yesu awafundishe kuomba aliwafundishaje? BABA YETU ULIYE MBINGUNI...... hakuna maria hapo Maria is a fantasy created by pagan rome, and the gullible are too blind to follow.... SOMA BIBLIA! AMKA!! ACHA UPAGANI! Biblia INAKATAZA kuomba waliokufa....inaitwa necromancing na adhabu yake ni hellfire. Soma kumbukumbu la Torati. Wakatoliki hawasomagi biblia kwa uchambuzi wa kina ndio maana wengi wanapotoshwa. Yes, hata shetani ana nguvu za kufanya miujiza. Imeandikwa pia kwenye Biblia. Hilo si la kushangaza pia

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    2 жыл бұрын

    Wanatumia maji kukemea pepo. ila biblia inatuambia tutumie jina la Yesu. Tusome biblia itatusaidia.miujiza sio kiashiria cha mtu kuwa na Roho wa Mungu

  • @cipladapretty8617

    @cipladapretty8617

    2 жыл бұрын

    @@katarinaJ saf sana ubarkiwe maana nashangaa mijitu inakoment Mungu humu kwa huu upuuz wa kshetan

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael23172 жыл бұрын

    God bless you..

  • @salomeogutu8490
    @salomeogutu84902 жыл бұрын

    Mungu anainua walio wake kwa roho na kweli aleluya 🙏

  • @irenejuliusemanuel2181

    @irenejuliusemanuel2181

    2 жыл бұрын

    lvi mpaka sasa uyo moto yupo kweri

  • @janetwanjala7645

    @janetwanjala7645

    2 жыл бұрын

    Glory to God amen

  • @ruvinatete9517
    @ruvinatete95172 жыл бұрын

    Thank you lord

  • @ancyfridaprosper8633
    @ancyfridaprosper86332 жыл бұрын

    Sadaka ya babu yake imejidhirisha.Mungu azidi kumuimarisha ili mtoto atumike kuyagusa maisha ya binadamu wanaotaabika na magonjwa.Mama Bikira Maria aendelee kumtunza vyema mtumishi wa Mungu Eunice.amina

  • @evaristchuwa7652

    @evaristchuwa7652

    2 жыл бұрын

    Hapo ndo tunaona umuhimu wa kimtolea Mungu

  • @magrethmwita892

    @magrethmwita892

    2 жыл бұрын

    On piont sadaka za babu yake bila kudai hata mia !!!! Ndiyo mafuno hayo ,sadaka ni jibu tosha kwa Mungu

  • @gracemarandu2889
    @gracemarandu28892 жыл бұрын

    We thank God Almighty

  • @msemaukwelic4836
    @msemaukwelic48362 жыл бұрын

    Remember Mary appeared to the 3 children in Medjeguore and Guadaluope in france. Mary mother seems to be appearing to her.

  • @kendimutunga
    @kendimutunga2 жыл бұрын

    Amazing miracle little angel

  • @roselyneachieng7638
    @roselyneachieng76382 жыл бұрын

    Hail Mary Full of Grace Blessed are you among Women and Blessed is fruit of your Womb Jesus Holy Mary Mother of God Pray for us siner now and the hour of our death AMEN 🙏🙏🙏🌹

  • @rogatianmtenga7265

    @rogatianmtenga7265

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @goodhoperunyoro7057

    @goodhoperunyoro7057

    2 жыл бұрын

    Mungu azidi kumpigania

  • @rogatianmtenga7265

    @rogatianmtenga7265

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @saveodenyo2931

    @saveodenyo2931

    2 жыл бұрын

    Amen.

  • @yohanadeus8725

    @yohanadeus8725

    2 жыл бұрын

    @@saveodenyo2931 jaman

  • @jacintawmwakio5378
    @jacintawmwakio53782 жыл бұрын

    Glory to God.

  • @mercykigomba1814
    @mercykigomba18142 жыл бұрын

    Hakuna anaemuabudu mama maria,mama maria tunamuheshimu na kumuomba atuombee,kama Mungu mwwnyew alimtumia yeye ili yesu azaliwe kwann asimtumie tena kutuletea habari njema..kama huamini nyamaza ila usikufuru,ipo siku utaelewa na kuamin wakat wa Mungu ukifika.AVE MARIA!

  • @deliahmayeku9975
    @deliahmayeku99752 жыл бұрын

    Mother Mary I Trust in you.

  • @virginiamaina8271
    @virginiamaina82712 жыл бұрын

    GLORY BE TO GOD MAY SHE BE A BLESSING TO MANY MORE GRACE APOSTLE EUNICE HALLELUJAH

  • @monicalufuta3971
    @monicalufuta39712 жыл бұрын

    Iyo sehemu ni mkoa gani na pia tunaomba mtutumie namba za simu ili tuweze kufika mahala alipo,Asante.

  • @hnettech6275

    @hnettech6275

    2 жыл бұрын

    Mkoa Mara Wilaya ya Rorya

  • @godfreyntangana4769

    @godfreyntangana4769

    2 жыл бұрын

    ni mkoa wa mara wilaya ya rorya kijiji cha bukama au soko laboro

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai6232 жыл бұрын

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @happynessjohn3904
    @happynessjohn39042 жыл бұрын

    Nimekumiss Sana yuniss na family yenu kiujumla mwenyezi mungu azidi kuwalinda

  • @jescalaurent6242
    @jescalaurent62422 жыл бұрын

    Tafuteni watumishi wa kuaminika wa ichunguze iyo loho iliyo ndani yake kama imetoka kwa MUNGU au laa

  • @adiventisamsoni9896

    @adiventisamsoni9896

    2 жыл бұрын

    Wdwe unafikiri imetoka wap

  • @emmanuelsangaemmanuelsanga2055

    @emmanuelsangaemmanuelsanga2055

    2 жыл бұрын

    Hiyo ni roho ya utambuzi na haitokani na Mungu kabisa

  • @berthandollo3227

    @berthandollo3227

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelsangaemmanuelsanga2055 kumekucha

  • @santacla7009

    @santacla7009

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelsangaemmanuelsanga2055 kusema kwako hakutabadilisha chochote...kubao mandugu wengi wa Thomas

  • @ladonll

    @ladonll

    Жыл бұрын

    Wachungaji wa sasa wanataka tu hela, wengi wao ni waongo tu. 😂😂

Келесі