HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
IDD AMIN DADA OUME wa Uganda ni mwafrika pekee aliyebebwa kichwani na wazungu kama wao walivyotufanyia enzi za utumwa.
Dunia ikashangaa, Afrika ikaduwaa,Waganda wakashangilia wasijue baada ya wenzao ni wao! Kweli alipowamaliza wageni alihamia kwa waganda waliofikiri tofauti nay eye.
#HISTORIAYAAMIN
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 461
DAAAAAH HII KTU SAFII MLIYOANZISHA NAPATA KUJIFUNZA NA KUJUA MENGI HONGERENI SANAAA GLOBAL ENDELEENI KUPATA ELIMU HII YA HISTORIA MUNGU AWABARIKI SANAA.
@azzakhamiz3858
5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa story yani daaah inatisha kwakweli
@miswagatz1580
5 жыл бұрын
Nzuri
@mwamvitashaban3178
5 жыл бұрын
Peter Michael
@thomasmario950
5 жыл бұрын
Hongera sana msimuliaji kwa history mbalimbali nzuri zenye kufunza sana Mungu akusaidie sana
@abdullahiahmed5343
3 жыл бұрын
Haya sio historia sahihi....mbovu na usiokuwa na hakika
Mimi nampenda sana *Idi* *Amin* sisi waafrika tusiwe watu wa kuambiwa kila kitu. Wazungu wanatuambia historia bandia ya kuwachukia viongozi wetu. Ni vipi *Amin* alikuwa mzuri wakati wazungu wanamtumia kuwaua watu waliohusika na Mau Mau nchini Kenya. Akapelekwa north eastern Kenya kupambana na wasomali na bado mzuri. *Milton* *Obote* akawa hana faida kwa wazungu sababu aliwafungia *interests* zao wakamtumia *Amin* tena kupindua serikali yake akahamia Tanzania kwa nyerere. Amin kuingia uongozini akawa Pan-Africanist, hafanyi vile wazungu wanataka. Akaapa kuitumikia Uganda na wananchi akawa mbaya wakaandika historia mbaya kumhusu. Tukawa brainwashed, tukawaamini wazungu. Sisemi alikuwa mzuri, kuuwa aliuwa watu na si wengi wasemavyo wazungu. Hata Kenya, kenyatta aliuwa wengi, aliyemfuata, ni rais Moi akauwa na kuwafunga wengi, wazungu kimya sababu wanakula kwa meza moja. Waafrika tuamke twatumiwa vibaya. Umefika wakati tuwatambue viongozi wetu sis wenyewe. Mimi nampenda sana H.E, Field Marshal, President for Life, Maj. Gen. Al Hadji Doctor, VC DSO MC, BC, CiC, Father of twins, Lord of all the clans in the land, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas, the cook with all the firewood, the queen termite, Conqueror of the British Empire(CBE) in Africa in General and Uganda in Particular. Speaker of truth, Pan-Africanist, Maj. Gen. President *Idi* *Amin* *Dada*
@sultansaidisaid-ft6yv
7 күн бұрын
hivi jaman au basi iddi amin dada pepon
Ikiwa unakubali kaz ya uyu mtangazaji weka like yako
Idd Amin was a Legend.... story mbaya zipo kumhusu story nzuri kumhusu zipo...... nasimama kwenye positivity he was a Legend
@ramadhanboi6485
4 жыл бұрын
Big Zhumbe ;kabisaa brooo he was a man 😥😥
Uyujamaa hanae simulia.. Hanatakiwa hapewe mshahara Mara tatu hanao lipwa kwel hanafanya kz vema nimemfatilia Sana yupo vizur Kk mungu hakubariki!
@emmalyanga3726
5 жыл бұрын
Ndugu kiswahili fasaha anae simulia Anatakiwa apewe. Anaolipwa
@barakachami8218
5 жыл бұрын
Emma Lyanga true kz nzur
@lulanjamd3886
5 жыл бұрын
Wewe Baraka Unatumia ha badala ya A .Jifunze kiswahili
@sabinamaremi1498
5 жыл бұрын
Baraka Chami ujue unaboa kiswahi gani hicho au hujui kusoma
@justinemganiwa5764
5 жыл бұрын
We unaongea madudu gani
Historia shwari mno! Asante Kaka Edgar kwa simulizi bomba sana!!
Asante sana kwa historia hiyo muhimu sana, Ndio maana Mungu wa Israeli mwenye mamlaka atailinda Kenya na kuitetea kwa ukarimu wa kuruhusu jeshi la Mungu wa Majeshi kujaza mafuta hapa kwetu Kenya...BABA wa mbinguni kusije kukawa na mkatili kama huyo tena UGANDA. UILINDE UGANDA NA AFRICA YOTE.
@mpagazedenis8395
5 жыл бұрын
Ameen
Huwa nakufwatilia sana kutoka hapa Nairobi, kazi nzuri ndugu yangu
Nnachoshangaaa mimi story za Iddi Amin ambaz n mbaya n hku Tanzania i huk kwao Uganda wanamuelewa kam Shujaa wa Nchi yao. Hzo xtory za msingi il ukikua unajifunza unajua ukwel. Ndiio maaana hta ile triangle trade kule sekondari ni Hovyo t il ukixom unajua
@hashimutambala7730
5 жыл бұрын
Iddi amini alikuwa ni mwema Sana sema kachafuliwa kwa chuki binafsi ya nyelele kwa ajili ya dini nyelele mkirsto Iddi ni muislam na Iddi alipenda Uganda iwe ni nchi ya kiislam
@asiliyakechuma7335
5 жыл бұрын
Mm naomba unisimulie history ya Eid amin
@africangirls482
5 жыл бұрын
@@hashimutambala7730 huo ndo ukweli mkuu me sisemi tena kitu sema tu nyerere alitupandikiza chuki lakn idiamini nimtu poa sana
@kidundasalum4088
4 жыл бұрын
Hueleweki ulichosema
@jastinimwita1028
3 жыл бұрын
@@hashimutambala7730 kwani nyie mnapenda wakristo? Tumia ubongo kufikiri mkuu...
Asante kwa kazi nzuri na kutupatiya historia nzuri Mungu akubariki kwa kazi yako
@ashifighter8159
5 жыл бұрын
Una itwa nan isntgrm?
@fistonkyuing9888
5 жыл бұрын
Fidjok fiston
@lucaspius1430
5 жыл бұрын
Fiston Kyuing kweli
Napenda kusikiza histolia ya Global TV....nikiwa hapa Kenya.... Tuko pamoja
@danielshauri6390
4 жыл бұрын
Asanteni sana
najisikia murua sana mashaalah👏 ninaposikiliza simulizi za historia zako usichoke kutusimulia daily🙏
Asante kwa hii historia Nzuri na sauti yako ya kuvutia
@keziaayubu8614
5 жыл бұрын
Paka raha jamn hanavyo tafasir
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
@@keziaayubu8614 sanaa
@ashifighter8159
5 жыл бұрын
Una itwa nan instgrm
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
@@ashifighter8159 omwanajuma-Tz-255
@michaelvutakamba1126
5 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla et hii ina itwa kuondoa kero kwa kutumia kero hahaaaa atari xana broooooooooooo "
Kaka mungu akupe maisha mema hakika unavutia sana utangazaji wako Ni zaidi ya grobal tv
@AnaniasEdgarTV
5 жыл бұрын
Amina
Unastahili tuzo ya thamani Sanaa.Big up Ananias
Mungu Amrehemu Iddi Amini amlaze mahali pema peponi. Nyerere Mungu amlaani kwa udini aliokua akileta na ambao unaendelea mpaka sasa Mungu amchome tu...........
@hemedytengu5718
6 ай бұрын
Aamin 🤲
Naomba aongezewe mshahara huyu muandaaji na msimuliaji...yaani ana manjonjo uyo..
MtangaZaji/Msimuliaji yupo Tofauti saaaana....... Gud Job.... MAMBO SWADAKTA
I can't stop watching your stories, proud to be Tanzanian
Story imepangwa vizur sana
@omarysweya1439
5 жыл бұрын
Haruna Kayega
Allah akurehem Iddi Amini Akujaalie Jannat Firdausi ulikuwa kidume kweli kweli
Nilikua nasubiria muapload kwa hamu👍👍👍👍👍
Mtangazaji upo safiii umeeleweka
Broo Honestly speaking una Sauti nzuri asee!!
@godfreysafaryjohn6785
4 жыл бұрын
Mimi safari
Wow asante
Daaah shukran global kwa kunifunua akili na kunipa faida zaidi ya kuijua Africa na utawala wa kikoloni kwa sasa ni (watalii/wawekezaji) mmh Africa bado tuko utumwani
Nakuku bali sn mzeebaba uko vzr sn
Hii ni nzuri Sana... Keep on
Historia ya Idi Amini Imepotoshwa wala hakua hivyo Mnavyoisimulia he was a Good man
@shabanimarijani662
5 жыл бұрын
If he was a good man please tell us a good history of iddi amin.we hope that you know much better about IDD amin.
@ndagaujenzi1211
4 жыл бұрын
Wapumbavu kama ninyi ndio mnaamini he was a good man....imagine the whole world to hate you...why then?
Hatar xana gonga like hapa kama mtu wa pili
Dah huyu Jamaa kuna maneno mengi sana ya uhongo
Msimuliaji yupo vizuri sanaaaa
Hamna mwenye uhakika juu ya jambo lolote ispokua mungu ndio anajua yawezekana alikua mtu bomba bali akazuliwa uongo kama vitabu vya mungu vilichafuliwa iweje historia ya mwanadam ikaacha kuchafuliwa
@user-lt9sp7wv1j
5 жыл бұрын
Kiukweli kwa hizi historia najihisi faraja mnooooo hadi najikuta nawoch mara kibao video moja
@user-lt9sp7wv1j
5 жыл бұрын
Ila kama kuna uwezekano muanze kuleta na historia za makabila mbalimbali hapa bongo kwa kuonesha mila zao na destuli na chimbuko lake ila ni vzuri iwe ni kwa video inayoonesha moja kwa moja na sio picha
Jamn nyerere baba amefanya kazi kubwa na naamini magufuli mungu amemleta kwa niaba yake
Nyerere mkatolik na iddi Amini muislamu anaejua haki hakuwez kuwa na salama apo.
@venasmlega6727
2 ай бұрын
Umeanza udin naww
Duh! Asnten kwa kutujuza ya kale global tv mpo vzr sana hongereni ila msikae kimya muwe mnatuwekea mambo ya kale tuyajue vzr
@asmamtoaichew9446
5 жыл бұрын
O
Navutiwa sana na utangazaji wako very impressive
@globaltv_online
5 жыл бұрын
Thanks.
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
@@globaltv_online kaka upo vizur sanaa hongera sana instar unatumia nani
@globaltv_online
5 жыл бұрын
@@beatricekamengekamenge5543 Ananiasedgar_tz
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
@@globaltv_online poa kaka
Ningependa Kuviona vizazi vya Iddi Amin
Much Respect 🤔
am happy to be in this class learning has no end
Huyu mhariri ndio anafaa kupewa utangazaji dunia nzima maanake yuafaham kazi yake vilivyo,pewa kinywaji mzee kwa bill yangu
Edgar Unajua sana unasauti nzur sana na maneno mazur sana
Mtanqazaji uko vzr sana na sauti inaskika vzr sana
Nakupenda ,unasema kweli
Msimuliaje congratulations....🙏
Hongereni sana Global tv
@shijaimhamila3604
5 жыл бұрын
Hongera sana kaka
@muchijp3266
5 жыл бұрын
W muongo 2
@globaltv_online
5 жыл бұрын
@@muchijp3266 Hatuwezi kutoa taarifa za uongo kiuwepesi hivyo.
TANZANIA ya enzi zile iliyokuwa na umoja siyo 'UPINGAJI' kila jambo ndo maana umoja uliiwezesha kushinda vita ingekuwa leo hii tungepigwa saana maana IDD AMINI angekuwa anapewa siri za nchi na watanzania.
@allywendo2553
5 жыл бұрын
Gghuza migyango
@titothoya1618
4 жыл бұрын
Pale tatizo linapo ingia nyumbani wenyeji huja wakatafuta suluhisho hata kama kuna utengano. Hivyo basi Tanzania ya sasa ina uwezo katika kila jambo litakalo kabili Taifa
@boylondontztz920
4 жыл бұрын
Haahahaha sijui umewaza nn,siku hizi bongo kuna watoboa siri wengi sana
Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipenda na waganda
Hivi hii story ukiisikiliza kwa makini na huu huongozaji wa magu kam nisaw magu nae nikatili km idd amini
@hemedsalim8837
4 жыл бұрын
Waache wanaoelewa nyamaza
Adui wa mzazi wangu ni adui yangu huwezi kuwachukia wazazi wetu ukanipenda mim mimi namchukia uyo amini hadi leo
I Appreciate ur voice
Hatar sana huyo Id amin
Very informative and educative!Kudos Edgar!
@abdullahiahmed5343
3 жыл бұрын
This is just information intended in a hidden way...Neither is it educative nor imformative
Kizazi sana kamanda
Nime enjoy sana Thanks! Tuekeeni storia Kama izi mbona mtafraia maisha WENYEW na WATAKAO follow account wataongezeka Amini nawaambia
Kashmir shujaa wa mfano mwenyeakili ,mcha Mungu ,jasiri wa kuigwa...
Yan anania nakupenda bure ninge kuwa na Dada ningekupa uoe I love you sana
@asiaseif7229
4 жыл бұрын
Ana mchumba huyo😀😀
Nimeipenda hii ase na iwe endelefu
Naipenda sauti yako hiko poa
nimependa sana bro jinsi unavyo simulia vizur sana
unatangaza vizuri sana
Waooo respect brother
Naumia sana kwa nn nilipata D ya history o level.. unajua sana I feel you
Ananias Edgar unasimulia makala vizuri sana. Hongera sana
Safiiiiiii sana Ananis Ediger kazi nzuri
Mku uwezo wako mkubwa sana kusimulia. Napenda sana
simuulizi nzuri
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu majeshi yetu na viyongoz wote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza vyem taifa retu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Kazi nzuli asante kwa elimu
Idd Amn dada
Hiii history sio rafiki kabisa maana uongo nimwingi kuliko ukweli,, pumbavu sanaa
Iko pow sana
Da unaelezea ka ulikwepo vile, safi sana
Historia kaichakachua nyerere sababu ya chuki zake za kidin kati yak na idd amin ,lakin ualisia amin hakuw muuaj
@ramadhanboi6485
4 жыл бұрын
Ramadhani Mandoa asante kwakusema ukweli broo kwasababu ukienda uganda mshikaji anajulikana kama legend
Zamani waliolewa wadogo..ila siku hizi wanachezewa wadogo alafu hawaolewi
@josephjiloya7805
5 жыл бұрын
duh
@yasinamiri7649
5 жыл бұрын
Acha ushabik wa kijinga na sikwel waliolewa wajiwa wadogo usicho kijua uliza ili ujue bro
@vuaipanduhaji3681
4 жыл бұрын
Ha ha haa 😂😂😂 imepenya iyooo
jamaa unajuwa kuelezea sana bi gup..rest in peace Mwl.juliusi kambalage nyerere hakika umetuokoa
Nice for good story
Kaka mpaganzi upo vzr sana tena sana..never seen
IDD amin nduri...hakika kifo na mizani kisha utalipwa kulingana na hesabu zako...we mwenyezimungu uwalipe hawa madhalimu walioyafanya. .adhabu ya jahannam mileelee.kwan wanaweza kuuua lkn kuumba ni uwezo wako tu ya rabbi.
@yusufally6853
4 жыл бұрын
Uwalipe laaana tu LLAH hao adhabu isiyokomma
tnx for enlighten
Sauti mashallah uwiiiii sipat picha ukiwa......😍😍😍😍
Nakubal sana kaka kwa kazi zako
i loovw your information
Asante kaka
Dah noma sana
Hongera waelezea vyema sana
Vzuri sana
Kazi nzuri sana msimulizi upo vizuri
Kaka uko vizur mpka raha big up sana
No comment mana sijui nani mkweli
@omarmhmammed216
5 жыл бұрын
Zaituni Intiaz historia haikusanyi mabaya tu hata mazur nayo muyaseme
Uko vizuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii xanaaaaaaaa xafiiiiiiiii
Umetisha San bro mungu akutangulie
Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipendwa na waganda je mnajua kwann.kwann walitaka azikwe Uganda?
@jemakhalifa6807
4 жыл бұрын
tujuze
Uko vizuri sn sijutii MB zangu
STORY NZURI SANAAA
@iyobotz4746
4 жыл бұрын
Da saf sanaaaa
Global nawakubali kwa kutoa elimu njema kupitia tv yenu
Safini sana
Umbali kutoka kwenye hasira ni mdogo
mwanangu unajua sana
Anaitwa yasini arafat