DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI

DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Пікірлер: 231

  • @mrbweichum
    @mrbweichum3 жыл бұрын

    KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI

  • @daytonlennon9487

    @daytonlennon9487

    3 жыл бұрын

    not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD

  • @arijohan3511

    @arijohan3511

    3 жыл бұрын

    @Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)

  • @tygertz181
    @tygertz1813 жыл бұрын

    Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like

  • @vincentmaloba2290
    @vincentmaloba22903 жыл бұрын

    Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli. Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪

  • @morangaqatar8963

    @morangaqatar8963

    3 жыл бұрын

    Africa murdered Africa, that is how cheap we are

  • @annamacky5848

    @annamacky5848

    3 жыл бұрын

    We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!

  • @edwinkimani4557

    @edwinkimani4557

    3 жыл бұрын

    It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.

  • @elizabethalphonce1081
    @elizabethalphonce10813 жыл бұрын

    Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo

  • @stevek8318
    @stevek83183 жыл бұрын

    Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Жыл бұрын

    Ananias Edgar pongezi👍 Kazi safi Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽

  • @Elfuego257
    @Elfuego2572 жыл бұрын

    Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!

  • @babugsafari281
    @babugsafari2813 жыл бұрын

    Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC

  • @mariekapongo2041

    @mariekapongo2041

    3 жыл бұрын

    Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕

  • @alfayeedbuya603

    @alfayeedbuya603

    3 жыл бұрын

    Nchi ya vita

  • @geofreysenka7091

    @geofreysenka7091

    2 жыл бұрын

    Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa

  • @geofreysenka7091

    @geofreysenka7091

    2 жыл бұрын

    Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    2 жыл бұрын

    @@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Жыл бұрын

    I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍 "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏

  • 3 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa42883 жыл бұрын

    Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace

  • @manirihotheigenedelphine6027

    @manirihotheigenedelphine6027

    Жыл бұрын

    Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.

  • @zigashaneadvice3977
    @zigashaneadvice39772 жыл бұрын

    Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn37987 ай бұрын

    Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.

  • @enockcheruiyot5919
    @enockcheruiyot59193 жыл бұрын

    Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor65773 жыл бұрын

    Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊

  • @byishimoobednday779

    @byishimoobednday779

    3 жыл бұрын

    Hhhh

  • @byishimoobednday779

    @byishimoobednday779

    3 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @mathiaszakaria7052

    @mathiaszakaria7052

    3 жыл бұрын

    Khaaaaaa😆😅

  • @belindagiliard8977

    @belindagiliard8977

    3 жыл бұрын

    Hata Mimi, nisingeolewa tena

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    3 жыл бұрын

    @@belindagiliard8977 umeona eeeehh🤗🤗

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Жыл бұрын

    Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍

  • @nathanaelshombana645
    @nathanaelshombana6453 жыл бұрын

    The Hero never die✊✊

  • @byishimoobednday779
    @byishimoobednday7793 жыл бұрын

    As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba

  • @bernardmukinji3065
    @bernardmukinji30653 жыл бұрын

    Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba

  • @abdallahmgotto7865
    @abdallahmgotto78653 жыл бұрын

    Ulipo tupo 😍

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 Жыл бұрын

    Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse

  • @situsengadiego3662
    @situsengadiego36623 жыл бұрын

    Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌

  • @wataifab.7790
    @wataifab.77903 жыл бұрын

    Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele

  • @farukiabass5020
    @farukiabass50202 жыл бұрын

    Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12

  • @joaoonesmocumaio2362
    @joaoonesmocumaio2362 Жыл бұрын

    The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.

  • @tanzanianchiyangu8984
    @tanzanianchiyangu89843 жыл бұрын

    Safi sana mpagaze

  • @Unkown30476
    @Unkown304768 ай бұрын

    Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj18223 жыл бұрын

    Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret6603 жыл бұрын

    Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏

  • @OmanOman-nz2bg

    @OmanOman-nz2bg

    2 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Nuyama1
    @Nuyama13 жыл бұрын

    ananias edgar & denis mpagaze.

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry80113 жыл бұрын

    Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania

  • @musasimba3689
    @musasimba36893 жыл бұрын

    Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar

  • @OmanOman-nz2bg

    @OmanOman-nz2bg

    2 жыл бұрын

    Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏

  • @tresorsamson9200
    @tresorsamson92003 жыл бұрын

    Notre lidere reste en paix

  • @flova7022

    @flova7022

    2 жыл бұрын

    Merci beaucoup

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga65572 жыл бұрын

    Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭

  • @emmanuelbawili2104
    @emmanuelbawili21043 жыл бұрын

    Lumumba R I P Brother

  • @abuusufian6506
    @abuusufian65063 жыл бұрын

    Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa

  • @fasterwalker1464

    @fasterwalker1464

    3 жыл бұрын

    Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    3 жыл бұрын

    @@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia

  • @fasterwalker1464

    @fasterwalker1464

    3 жыл бұрын

    @@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR

  • @Aaron-nu7dv

    @Aaron-nu7dv

    2 жыл бұрын

    fake

  • @kakozialbert2482
    @kakozialbert24823 жыл бұрын

    Thank you for this history

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise78083 жыл бұрын

    Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4763 жыл бұрын

    Asante kwastory zamaana

  • @babamarc4325
    @babamarc43253 жыл бұрын

    R.I.P. lumumba,from USA

  • @josephcharles6315

    @josephcharles6315

    Жыл бұрын

    Ninyi xi ndo mulimuua

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 Жыл бұрын

    Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba

  • @malakoasaniasani2249
    @malakoasaniasani22493 жыл бұрын

    Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏

  • @osm721
    @osm7213 жыл бұрын

    Sauti yako bro☆MOTO☆

  • @lulu8206
    @lulu82062 жыл бұрын

    Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79652 жыл бұрын

    Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA

  • @josephatjordan5560

    @josephatjordan5560

    3 жыл бұрын

    Iko poa hyo

  • @anthonywilliamjohn6696
    @anthonywilliamjohn66963 жыл бұрын

    Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani7402 жыл бұрын

    Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @rashidyally8715
    @rashidyally87152 жыл бұрын

    Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu

  • @Topnews6148
    @Topnews61483 жыл бұрын

    RIP my leader Patrice

  • @samsonhumbe8220

    @samsonhumbe8220

    Жыл бұрын

    Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.

  • @monikasteven3064
    @monikasteven30643 жыл бұрын

    Be blessed bro

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi94003 жыл бұрын

    Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪

  • @stevek8318

    @stevek8318

    3 жыл бұрын

    I'm your new manager na nimesoma hii!!

  • @rhodarichard4366

    @rhodarichard4366

    3 жыл бұрын

    Big dod nakushtak kwa bos wako😣

  • @estherawa1885
    @estherawa18853 жыл бұрын

    Rip lumumba

  • @user-qg2sw9bj2i
    @user-qg2sw9bj2i2 жыл бұрын

    Maskini lumumba,Allah akurehemu

  • @hassanmsuya6692
    @hassanmsuya66923 жыл бұрын

    Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿

  • @josephatraymond4902
    @josephatraymond49023 жыл бұрын

    Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa

  • @alainonge7752
    @alainonge77523 жыл бұрын

    Big up saana mpagaze na Ananias

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Жыл бұрын

    "Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍

  • @themagnet4236
    @themagnet42362 жыл бұрын

    Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe40573 жыл бұрын

    Atr sana

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau25273 жыл бұрын

    He was the hero

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda

  • @khadijagundumu6210

    @khadijagundumu6210

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dicksonmwangi5499
    @dicksonmwangi54993 жыл бұрын

    Big up sana

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga65572 жыл бұрын

    Nakweli malkom X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi2023 жыл бұрын

    Hongera sana best.

  • @manirihotheigenedelphine6027
    @manirihotheigenedelphine6027 Жыл бұрын

    Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd3 жыл бұрын

    A hero

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y4 ай бұрын

    Napenda sana iyi

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah45993 жыл бұрын

    Voice of Ananias 🔥🔥

  • @AnaniasEdgarTV

    @AnaniasEdgarTV

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @kondosaid216
    @kondosaid2162 жыл бұрын

    R.i.p Magufuli

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi13413 жыл бұрын

    Hawa wazungu! Tuwaangalie tu hawatupendi

  • @juliuskulokhoma8020
    @juliuskulokhoma80203 жыл бұрын

    Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli

  • @mkobelwaprosper5832
    @mkobelwaprosper58323 жыл бұрын

    Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔

  • @abufauzan9417

    @abufauzan9417

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana2783 жыл бұрын

    Tunakulewa sn Kaka much lov

  • @nyotadjuma5172
    @nyotadjuma5172Ай бұрын

    god bless you

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi28753 жыл бұрын

    Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui. Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.

  • @godykisirinya8345

    @godykisirinya8345

    3 жыл бұрын

    Asante xana bro mashujaa was Africa

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y4 ай бұрын

    Naipenda

  • @mikomomalombi2987
    @mikomomalombi29873 жыл бұрын

    asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc

  • @erickrichard4292
    @erickrichard42923 жыл бұрын

    Nzuri sanaaa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28873 жыл бұрын

    Mobutu msenge Sana 😥

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango84093 жыл бұрын

    Dah. Binadamu sio watu believe me.

  • @toweman6484
    @toweman64843 жыл бұрын

    Nakubal mkuu

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally1113 жыл бұрын

    Hongera

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia15633 жыл бұрын

    Limumba forever

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu20533 жыл бұрын

    Kumbe hizi kesi za uchochezi waanzilishi ni mabeberu?

  • @mkuuhapingwi
    @mkuuhapingwi3 жыл бұрын

    Dah!hii sauti hii

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56583 жыл бұрын

    Dah watu hawana utu mpumzka kwa Amani Lumumba.

  • @ChristophMcThe
    @ChristophMcThe3 жыл бұрын

    11:19 Kanyama

  • @aloycekimario6177
    @aloycekimario61773 жыл бұрын

    afrika nikwetu naipenda afrika naipenda nchi yangu Tanzania tuwewazalendo jamani

  • @jenny20254
    @jenny202543 жыл бұрын

    Lumumba nilimpenda sana lakini wendawazimu wakamuuwa ndomana cogo inarudinyuma

  • @dausonevarister7909

    @dausonevarister7909

    3 жыл бұрын

    Whta they did to lumumba, is what they did to JPM

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Nasema kila siku mimi amna kama wewe jamani amnaaa

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani74162 жыл бұрын

    Mabutu ndie alieizamisha Kongo Kwa story hii anapaswa alainiwe

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu58622 жыл бұрын

    Good

  • @samgwazay1208
    @samgwazay12083 жыл бұрын

    Tatizo ni serikali za kupewa na wazungu na kuwaamini wao ndio wakombozi kumbe wanatung'ong'a

  • @ZadokAsaph
    @ZadokAsaphАй бұрын

    Bigup

  • @emanuelstanley1710
    @emanuelstanley17103 жыл бұрын

    Salut xana ndugu pamoja xana

  • @denicemwitakabwere6770
    @denicemwitakabwere67703 жыл бұрын

    Halafu.....bado....tunaendelea kuwaabudu wazungu

Келесі