DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Пікірлер: 231
KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI
@daytonlennon9487
3 жыл бұрын
not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD
@arijohan3511
3 жыл бұрын
@Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)
Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like
Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli. Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪
@morangaqatar8963
3 жыл бұрын
Africa murdered Africa, that is how cheap we are
@annamacky5848
3 жыл бұрын
We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!
@edwinkimani4557
3 жыл бұрын
It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.
Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo
Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!
Ananias Edgar pongezi👍 Kazi safi Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽
Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!
Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC
@mariekapongo2041
3 жыл бұрын
Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕
@alfayeedbuya603
3 жыл бұрын
Nchi ya vita
@geofreysenka7091
2 жыл бұрын
Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa
@geofreysenka7091
2 жыл бұрын
Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu
I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍 "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏
Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako
Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace
@manirihotheigenedelphine6027
Жыл бұрын
Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.
Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese
Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.
Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏
Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊
@byishimoobednday779
3 жыл бұрын
Hhhh
@byishimoobednday779
3 жыл бұрын
Hatari sana
@mathiaszakaria7052
3 жыл бұрын
Khaaaaaa😆😅
@belindagiliard8977
3 жыл бұрын
Hata Mimi, nisingeolewa tena
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
@@belindagiliard8977 umeona eeeehh🤗🤗
Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍
The Hero never die✊✊
As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba
Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba
Ulipo tupo 😍
Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse
Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌
Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele
Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12
The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.
Safi sana mpagaze
Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH
Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo
Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa
Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏
@OmanOman-nz2bg
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
ananias edgar & denis mpagaze.
Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania
Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar
@OmanOman-nz2bg
2 жыл бұрын
Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪
Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏
Notre lidere reste en paix
@flova7022
2 жыл бұрын
Merci beaucoup
Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭
Lumumba R I P Brother
Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa
@fasterwalker1464
3 жыл бұрын
Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi
@abuusufian6506
3 жыл бұрын
@@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia
@fasterwalker1464
3 жыл бұрын
@@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality
I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR
@Aaron-nu7dv
2 жыл бұрын
fake
Thank you for this history
Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.
Asante kwastory zamaana
R.I.P. lumumba,from USA
@josephcharles6315
Жыл бұрын
Ninyi xi ndo mulimuua
Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba
Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏
Sauti yako bro☆MOTO☆
Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u
Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua
I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA
@josephatjordan5560
3 жыл бұрын
Iko poa hyo
Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed
Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu
RIP my leader Patrice
@samsonhumbe8220
Жыл бұрын
Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.
Be blessed bro
Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪
@stevek8318
3 жыл бұрын
I'm your new manager na nimesoma hii!!
@rhodarichard4366
3 жыл бұрын
Big dod nakushtak kwa bos wako😣
Rip lumumba
Maskini lumumba,Allah akurehemu
Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿
Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa
Big up saana mpagaze na Ananias
"Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍
Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!
Atr sana
He was the hero
Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda
@khadijagundumu6210
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Big up sana
Nakweli malkom X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"
Hongera sana best.
Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.
A hero
Napenda sana iyi
Voice of Ananias 🔥🔥
@AnaniasEdgarTV
3 жыл бұрын
Asante sana
R.i.p Magufuli
Hawa wazungu! Tuwaangalie tu hawatupendi
Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli
Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Hahaha
Tunakulewa sn Kaka much lov
god bless you
Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui. Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.
@godykisirinya8345
3 жыл бұрын
Asante xana bro mashujaa was Africa
Naipenda
asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc
Nzuri sanaaa
Mobutu msenge Sana 😥
Dah. Binadamu sio watu believe me.
Nakubal mkuu
Hongera
Limumba forever
Kumbe hizi kesi za uchochezi waanzilishi ni mabeberu?
Dah!hii sauti hii
Dah watu hawana utu mpumzka kwa Amani Lumumba.
11:19 Kanyama
afrika nikwetu naipenda afrika naipenda nchi yangu Tanzania tuwewazalendo jamani
Lumumba nilimpenda sana lakini wendawazimu wakamuuwa ndomana cogo inarudinyuma
@dausonevarister7909
3 жыл бұрын
Whta they did to lumumba, is what they did to JPM
Nasema kila siku mimi amna kama wewe jamani amnaaa
Mabutu ndie alieizamisha Kongo Kwa story hii anapaswa alainiwe
Good
Tatizo ni serikali za kupewa na wazungu na kuwaamini wao ndio wakombozi kumbe wanatung'ong'a
Bigup
Salut xana ndugu pamoja xana
Halafu.....bado....tunaendelea kuwaabudu wazungu