Ijue historia ya mtoni kwa AZIZI ALLY, tajiri aliyemkataza NYERERE kuvaa kaptula

Ойын-сауық

__
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
*******************************************
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZread: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/

Пікірлер: 80

  • @jumakisailo1066
    @jumakisailo10662 жыл бұрын

    Mwenyeezimungu amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi. In-shaallah..❤️❤️❤️

  • @jumakisailo1066

    @jumakisailo1066

    2 жыл бұрын

    Ama kweli historia ya Azizi Ally imenisisimua vilivyo..❤️😭

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity45033 жыл бұрын

    Allah amrehemu na amrzuqu pepo ya juu kabisa Azeez Ali

  • @azadida801
    @azadida8012 жыл бұрын

    Allah amsamehe, amhurumie, na ampe makazi firdausi mwamba kabisa huyu aziz ally na wazazi wake na vizazi vyake. Amiin

  • @christopherkiswaga9270

    @christopherkiswaga9270

    17 күн бұрын

    Hizi ni shuhuda zinapaswa kukifundisha kizazi chetu kuipenda nchi yetu , watu , na kuwapa heshima viongozi ambao Mungu amewaweka kuongoza nchi yetu.

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera47972 жыл бұрын

    Historia stahiki. ASANTE MZEE WETU AZIZ ALLY KIDONYO.Mwenyezi MUNGU akulaze mahala pema peponi.

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya7942 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu amrehemu in shaallah

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 ай бұрын

    Ni kweli na ndio maana Waislam ni wengi sana kuliko kiriso❤❤❤👍👍👍mtangazaji ongera sana'tuletee mambo mengine mazuri

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64744 жыл бұрын

    Mashallah Allah amsamehe amfanyie kaburi lake kua nyumba ya peponi aamiyna

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Mungu amrehemu!!!

  • @mzuvendi
    @mzuvendi3 жыл бұрын

    Allah amrehemu..wengi wa waasisi wa Tanganyika Nyerere alihakikisha wanafutika..Kitabu cha mwana historia Mohamed Said kinachambua habari zao kwa urefu zaidi...

  • @stanslausmteme8455

    @stanslausmteme8455

    2 жыл бұрын

    Mohamed said anamengi sn yule mzee ni hazina

  • @msellemseif3102

    @msellemseif3102

    Жыл бұрын

    Kwa hakika ni hazina..

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza96894 жыл бұрын

    Wazee wengi wakiislamu wamefunikwa Mungu anawaona

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa 😢

  • @jumabakary2796
    @jumabakary2796 Жыл бұрын

    Mungu mlaze pema peponi mzee wetu Aziz Ally

  • @lawrencehezronmwakalebela2738
    @lawrencehezronmwakalebela27383 жыл бұрын

    Uko vizuri. Ila uliposema mwafrica wa kwanza kununua gari umekosea labda useme mtanzania wa kwanza kununua gari

  • @chomaroyalchiefdom1907

    @chomaroyalchiefdom1907

    3 жыл бұрын

    Nchi inayoitwa Tanzania haikuwepo, imezaliwa baada ya kuungana na Zanzibar mwaka 1964. Pengine labda angesema ni Mtanganyika wa kwanza kwenye eneo hilo la Mtoni kununua gari.

  • @111dudi
    @111dudi4 жыл бұрын

    Nimefurahi historian ya Aziz Ali imefukuliwa. Natamani mchango wake zaidi atolewe ujulikane. Hatajwi katika historia ya wanaharakati wa uhuru. Tulifundishwa kuwa Nyerere ndiye aliyekuwa kila kitu katika TANU. Aziz na wenzake walitupiliwa mbali na Nyerere na wala hakuwataja wala kuwajali. Picha zinawasuta.wengi wao walikuwa ni waislam ambayo Leo hawamo katika kutawala wala chama

  • @salumkanju1732

    @salumkanju1732

    4 жыл бұрын

    Leo nimepata mwanga, Kilasiku nilikuwa najiuliza huyu Aziz Ally alikuwa ni nani mpaka eneo kubwa la temeke likapewa jina lake, Yani itokee tu eneo liitwe jina lamtu bila lolote jambo??? Nimesikiliza na kuelewa mambo vizuri, Baba yangu aliwahi kunisimulia sana habar hizi za uhuru wa Tanganyika ila sehem kubwa alisema ukweli umefichwa mwanangu soma zaidi iko siku yatakutoka machozi haki ikijulikana....leo hii nimeziona apo picha ambazo baba akinisimulia alikuwa akinionesha roho inaniuma nimelia sana adi watoto wangu wananishangaaa...HAMZA AZIZ alipewa ukuu wa polisi 1972-1973 kisha akaambulia kashfa kutokana na dini yake....

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    3 жыл бұрын

    @@salumkanju1732 iko siku tutakutana wote mbele ya Allah na kila mtu atapata haki yake

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334014 күн бұрын

    Tunaomba hii historia uindeleze tujue zaidi ya hapo

  • @maulidmtowi3937
    @maulidmtowi39374 жыл бұрын

    Kweli haki aipotei japo itacheleweshwa ila ipo siku itakufikia tu HISTORIA HAIFICHIKI HASWA IKIWA NZURI KAMA HII SAFI SANA endeleeni kutufukulia makabur yaliyo fichwa kwenye hii nchi yapo mengi tu

  • @lucasthomas188

    @lucasthomas188

    10 ай бұрын

    Yapi sasa jaamani tena🤣🤣🤣

  • @halimasalim6629
    @halimasalim66293 жыл бұрын

    Mashallah Allah amrehemu ampe jannah

  • @muh_tz
    @muh_tz4 жыл бұрын

    Kwa Azizi Ally.... Shushaaaaaa!!!

  • @samuelm2742

    @samuelm2742

    4 жыл бұрын

    Watu kama hawa hawato patikana tena daima

  • @hafidhothman4588

    @hafidhothman4588

    3 жыл бұрын

    Hahahahhaha

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo23482 жыл бұрын

    Hakika huyu alikua mtu mwema sana. Tena akabarikiwa mali nyingi , mtu ana lorry Tipper mwaka 1930. Leo vijana akinunua Spacio hawasalimii watu. Nyambaffff

  • @capteinchuimchafu7894

    @capteinchuimchafu7894

    2 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂

  • @gracejulius3966

    @gracejulius3966

    2 жыл бұрын

    Usinivunje mbavu

  • @dioskorimtalo2348

    @dioskorimtalo2348

    2 жыл бұрын

    Ndio hivyo Grace hahahaha

  • @khalifanassor9072
    @khalifanassor90723 жыл бұрын

    Allah awarehemu

  • @emamuharamain4552
    @emamuharamain45524 жыл бұрын

    Sisi tukiwaambia kua uhuru wa nchi hii asili ya imetoka kwa Waislamu lakin hamtaki, na bado mtakuja kueleza kila haki INSHAALLAAH,

  • @Kibaba12

    @Kibaba12

    4 жыл бұрын

    Sijawahi kuona mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe asee

  • @mzuvendi

    @mzuvendi

    3 жыл бұрын

    @@Kibaba12 inaonyesha wee ni nyumbu khasa!

  • @Kibaba12

    @Kibaba12

    3 жыл бұрын

    cool moods sawa naona mlimchagu sheikh kuwa na raisi wa kwanza wa nchi sio

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa..nimesikia story ya bibi zaituni matola na wenzie wengi wote waislamu kule mbeya bi zatuni Allah amrehemu alikua akimficha rais Nyerere kwa kumvisha baibui ili asionekane na wa British

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    3 жыл бұрын

    @@mzuvendi 👍🏻👍🏻

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206 Жыл бұрын

    Niskilize izo story za uwongo tu ntafanyaje

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 жыл бұрын

    HAKIKA NYERERE ALIKUWA MWIZI WA FADHILA!!

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Жыл бұрын

    Si utani mungu inajua

  • @bestman8182
    @bestman818215 күн бұрын

    Kiingereza sasa😅😅😅

  • @mugabugadi
    @mugabugadi Жыл бұрын

    Nawapa ta

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Жыл бұрын

    Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi

  • @lucasthomas188

    @lucasthomas188

    10 ай бұрын

    Kwa hiyo

  • @fj8317

    @fj8317

    8 ай бұрын

    acha udini uhuru umepiganiwa na watanganyika

  • @simonnembomadola7512

    @simonnembomadola7512

    8 ай бұрын

    @@fj8317 Aisee,unaitoa hufahamu.Watanganyika hawana din?

  • @saidiswalehe566
    @saidiswalehe5663 жыл бұрын

    Abalikiwe

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup683 жыл бұрын

    Stori tam

  • @khalifanassor9072
    @khalifanassor90723 жыл бұрын

    Kwa kweli uhuru wa Tanzania umetwafutwa na waislam

  • @gracejulius3966

    @gracejulius3966

    2 жыл бұрын

    Kwani kuna shida ? Jambo la Msingi ni kwamba wote walikuwa Watanganyika. Udini hauna nafasi katika nchi hii.

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    6 ай бұрын

    Daaa watu wanapenda udini kila mahali ko nyerere kama hakutafuta au hakuhusika ikawaje akawa raisi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Safi mtangazaji tulikuwa hatujui jina ilo limetoka wapi?tujuze na wazee wengine maarufu.

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334014 күн бұрын

    Huo ndio uislam, nyie msiokuwa waislam,upingeni uislam, wapigeni vita waislam lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Iko siku mtaelewa tu.

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын

    Ili mtu umtawale umnyime, elimi, umpe umasikini, pia umuondolee historian yake ya kweli kwa ilo nyerere alifanikiwa watu wengi hawajui ni kinanani waliopigania huru wengi ujua nyerere ila ktk oradha ya kweli hakuna mkristo hata mmoja aliyepigania uhuru wa nchi hii

  • @saidbakari7476
    @saidbakari74763 жыл бұрын

    Wakristo hawataki kuisikia historia hii wanajiona wao ndio kila kitu Tanzania wamefunika historia ya waasisi wetu kwa sababu ya ubinafsi tu kabla ya Uhuru watanzania tulikuwa wamoja bila kujali dini au kabila

  • @erastobartalome2709

    @erastobartalome2709

    3 жыл бұрын

    Umekosea wewe ndio umeleta huo ubaguzi sasa

  • @monicahovda4524

    @monicahovda4524

    2 жыл бұрын

    Kwa hiii Tanzania ? Habari za utofaiti wa Iman. Mmmmh watu wanazaliana mpka, Sasa utakuta huyu Muasisi matawi ya kizazi chake ni hao hao tofauti tofauti za hizo Iman, Lakini kitachobaki hapo ni (generation) kizazi chake, kiwe Iman hii au Iman ile ndio hivyo Generation inavyokwenda, mradi wote ni ndugu waliotokana na mtu Mmja, hamuwezi kujijua.

  • @stanlaymanya687

    @stanlaymanya687

    2 жыл бұрын

    Axeee binadam bwanaa!!! Udin wann katka ukombozi was taifa!!!? Tusipandiane chuki na kujiweka special Awamu zote waislam na wakristo wanaachiana uraiss mlitaka muwekwe mfukoni waislam, wakristo, wapagan walikufa kwaajili ya hi nchi.

  • @JASIRIGR

    @JASIRIGR

    2 жыл бұрын

    Hiyo dini yenyewe uliletewa na waarabu ambao walikuwa wanawatesa babu na bibi zako, tumia kichwa kufikilia.

  • @estermpagama9664

    @estermpagama9664

    2 жыл бұрын

    Walioachiwa mbona walishindwa kuendeleza udini si kitu kizuri tunaishi na familia zetu waislamu yaani tuwaache tusiwasomeshe

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын

    Waislam ndio wapigania huru wa nchi hii nyerere aliwekwa km shati

  • @flavianaludovick7830

    @flavianaludovick7830

    2 жыл бұрын

    Ukisema hvyo unakosea,zamani watu wengi walidharau elimu,ilikua sio rahis kudai uhuru kama huna uelewa,Nyerere alikua kasoma kwa hiyo ilikua rahis ku

  • @flavianaludovick7830

    @flavianaludovick7830

    2 жыл бұрын

    Kuwasiliana na wakolon ndipo Watanganyika walipomtumia yy kwa ajili ya kudai uhuru,yaliyofuata ni matokeo tuu,hata zamani dini haikuwepo wapo wa Kristo walioitwa majina ya kiislam wengi tu,mfano mababu zetu.

  • @richardbegga6679

    @richardbegga6679

    2 жыл бұрын

    Haaa haaa

  • @lucasthomas188

    @lucasthomas188

    10 ай бұрын

    Kwa hiyo🤗🤣🤣😅

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad31253 жыл бұрын

    .

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Жыл бұрын

    Mgoa ni muhindi

  • @dokasalim943

    @dokasalim943

    Жыл бұрын

    Mdigo sio mgoa ( Mdigo kutoka Tanga ) 🇹🇿

  • @mamlomamlo9064

    @mamlomamlo9064

    Жыл бұрын

    @@dokasalim943 yeye aliajiriwa na goa

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Жыл бұрын

    Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi

Келесі