Ijue historia ya mtoni kwa AZIZI ALLY, tajiri aliyemkataza NYERERE kuvaa kaptula
Ойын-сауық
__
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
*******************************************
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZread: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/
Пікірлер: 80
Mwenyeezimungu amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi. In-shaallah..❤️❤️❤️
@jumakisailo1066
2 жыл бұрын
Ama kweli historia ya Azizi Ally imenisisimua vilivyo..❤️😭
Allah amrehemu na amrzuqu pepo ya juu kabisa Azeez Ali
Allah amsamehe, amhurumie, na ampe makazi firdausi mwamba kabisa huyu aziz ally na wazazi wake na vizazi vyake. Amiin
@christopherkiswaga9270
17 күн бұрын
Hizi ni shuhuda zinapaswa kukifundisha kizazi chetu kuipenda nchi yetu , watu , na kuwapa heshima viongozi ambao Mungu amewaweka kuongoza nchi yetu.
Historia stahiki. ASANTE MZEE WETU AZIZ ALLY KIDONYO.Mwenyezi MUNGU akulaze mahala pema peponi.
Mwenyezi mungu amrehemu in shaallah
Ni kweli na ndio maana Waislam ni wengi sana kuliko kiriso❤❤❤👍👍👍mtangazaji ongera sana'tuletee mambo mengine mazuri
Mashallah Allah amsamehe amfanyie kaburi lake kua nyumba ya peponi aamiyna
@shifaaal-baity4503
3 жыл бұрын
Ameen
Mungu amrehemu!!!
Allah amrehemu..wengi wa waasisi wa Tanganyika Nyerere alihakikisha wanafutika..Kitabu cha mwana historia Mohamed Said kinachambua habari zao kwa urefu zaidi...
@stanslausmteme8455
2 жыл бұрын
Mohamed said anamengi sn yule mzee ni hazina
@msellemseif3102
Жыл бұрын
Kwa hakika ni hazina..
Wazee wengi wakiislamu wamefunikwa Mungu anawaona
@shifaaal-baity4503
3 жыл бұрын
Kweli kabisa 😢
Mungu mlaze pema peponi mzee wetu Aziz Ally
Uko vizuri. Ila uliposema mwafrica wa kwanza kununua gari umekosea labda useme mtanzania wa kwanza kununua gari
@chomaroyalchiefdom1907
3 жыл бұрын
Nchi inayoitwa Tanzania haikuwepo, imezaliwa baada ya kuungana na Zanzibar mwaka 1964. Pengine labda angesema ni Mtanganyika wa kwanza kwenye eneo hilo la Mtoni kununua gari.
Nimefurahi historian ya Aziz Ali imefukuliwa. Natamani mchango wake zaidi atolewe ujulikane. Hatajwi katika historia ya wanaharakati wa uhuru. Tulifundishwa kuwa Nyerere ndiye aliyekuwa kila kitu katika TANU. Aziz na wenzake walitupiliwa mbali na Nyerere na wala hakuwataja wala kuwajali. Picha zinawasuta.wengi wao walikuwa ni waislam ambayo Leo hawamo katika kutawala wala chama
@salumkanju1732
4 жыл бұрын
Leo nimepata mwanga, Kilasiku nilikuwa najiuliza huyu Aziz Ally alikuwa ni nani mpaka eneo kubwa la temeke likapewa jina lake, Yani itokee tu eneo liitwe jina lamtu bila lolote jambo??? Nimesikiliza na kuelewa mambo vizuri, Baba yangu aliwahi kunisimulia sana habar hizi za uhuru wa Tanganyika ila sehem kubwa alisema ukweli umefichwa mwanangu soma zaidi iko siku yatakutoka machozi haki ikijulikana....leo hii nimeziona apo picha ambazo baba akinisimulia alikuwa akinionesha roho inaniuma nimelia sana adi watoto wangu wananishangaaa...HAMZA AZIZ alipewa ukuu wa polisi 1972-1973 kisha akaambulia kashfa kutokana na dini yake....
@shifaaal-baity4503
3 жыл бұрын
@@salumkanju1732 iko siku tutakutana wote mbele ya Allah na kila mtu atapata haki yake
Tunaomba hii historia uindeleze tujue zaidi ya hapo
Kweli haki aipotei japo itacheleweshwa ila ipo siku itakufikia tu HISTORIA HAIFICHIKI HASWA IKIWA NZURI KAMA HII SAFI SANA endeleeni kutufukulia makabur yaliyo fichwa kwenye hii nchi yapo mengi tu
@lucasthomas188
10 ай бұрын
Yapi sasa jaamani tena🤣🤣🤣
Mashallah Allah amrehemu ampe jannah
Kwa Azizi Ally.... Shushaaaaaa!!!
@samuelm2742
4 жыл бұрын
Watu kama hawa hawato patikana tena daima
@hafidhothman4588
3 жыл бұрын
Hahahahhaha
Hakika huyu alikua mtu mwema sana. Tena akabarikiwa mali nyingi , mtu ana lorry Tipper mwaka 1930. Leo vijana akinunua Spacio hawasalimii watu. Nyambaffff
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂
@gracejulius3966
2 жыл бұрын
Usinivunje mbavu
@dioskorimtalo2348
2 жыл бұрын
Ndio hivyo Grace hahahaha
Allah awarehemu
Sisi tukiwaambia kua uhuru wa nchi hii asili ya imetoka kwa Waislamu lakin hamtaki, na bado mtakuja kueleza kila haki INSHAALLAAH,
@Kibaba12
4 жыл бұрын
Sijawahi kuona mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe asee
@mzuvendi
3 жыл бұрын
@@Kibaba12 inaonyesha wee ni nyumbu khasa!
@Kibaba12
3 жыл бұрын
cool moods sawa naona mlimchagu sheikh kuwa na raisi wa kwanza wa nchi sio
@shifaaal-baity4503
3 жыл бұрын
Kweli kabisa..nimesikia story ya bibi zaituni matola na wenzie wengi wote waislamu kule mbeya bi zatuni Allah amrehemu alikua akimficha rais Nyerere kwa kumvisha baibui ili asionekane na wa British
@shifaaal-baity4503
3 жыл бұрын
@@mzuvendi 👍🏻👍🏻
Niskilize izo story za uwongo tu ntafanyaje
HAKIKA NYERERE ALIKUWA MWIZI WA FADHILA!!
Si utani mungu inajua
Kiingereza sasa😅😅😅
Nawapa ta
Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi
@lucasthomas188
10 ай бұрын
Kwa hiyo
@fj8317
8 ай бұрын
acha udini uhuru umepiganiwa na watanganyika
@simonnembomadola7512
8 ай бұрын
@@fj8317 Aisee,unaitoa hufahamu.Watanganyika hawana din?
Abalikiwe
Stori tam
Kwa kweli uhuru wa Tanzania umetwafutwa na waislam
@gracejulius3966
2 жыл бұрын
Kwani kuna shida ? Jambo la Msingi ni kwamba wote walikuwa Watanganyika. Udini hauna nafasi katika nchi hii.
@nicholousmtemi3902
6 ай бұрын
Daaa watu wanapenda udini kila mahali ko nyerere kama hakutafuta au hakuhusika ikawaje akawa raisi
Safi mtangazaji tulikuwa hatujui jina ilo limetoka wapi?tujuze na wazee wengine maarufu.
Huo ndio uislam, nyie msiokuwa waislam,upingeni uislam, wapigeni vita waislam lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Iko siku mtaelewa tu.
Ili mtu umtawale umnyime, elimi, umpe umasikini, pia umuondolee historian yake ya kweli kwa ilo nyerere alifanikiwa watu wengi hawajui ni kinanani waliopigania huru wengi ujua nyerere ila ktk oradha ya kweli hakuna mkristo hata mmoja aliyepigania uhuru wa nchi hii
Wakristo hawataki kuisikia historia hii wanajiona wao ndio kila kitu Tanzania wamefunika historia ya waasisi wetu kwa sababu ya ubinafsi tu kabla ya Uhuru watanzania tulikuwa wamoja bila kujali dini au kabila
@erastobartalome2709
3 жыл бұрын
Umekosea wewe ndio umeleta huo ubaguzi sasa
@monicahovda4524
2 жыл бұрын
Kwa hiii Tanzania ? Habari za utofaiti wa Iman. Mmmmh watu wanazaliana mpka, Sasa utakuta huyu Muasisi matawi ya kizazi chake ni hao hao tofauti tofauti za hizo Iman, Lakini kitachobaki hapo ni (generation) kizazi chake, kiwe Iman hii au Iman ile ndio hivyo Generation inavyokwenda, mradi wote ni ndugu waliotokana na mtu Mmja, hamuwezi kujijua.
@stanlaymanya687
2 жыл бұрын
Axeee binadam bwanaa!!! Udin wann katka ukombozi was taifa!!!? Tusipandiane chuki na kujiweka special Awamu zote waislam na wakristo wanaachiana uraiss mlitaka muwekwe mfukoni waislam, wakristo, wapagan walikufa kwaajili ya hi nchi.
@JASIRIGR
2 жыл бұрын
Hiyo dini yenyewe uliletewa na waarabu ambao walikuwa wanawatesa babu na bibi zako, tumia kichwa kufikilia.
@estermpagama9664
2 жыл бұрын
Walioachiwa mbona walishindwa kuendeleza udini si kitu kizuri tunaishi na familia zetu waislamu yaani tuwaache tusiwasomeshe
Waislam ndio wapigania huru wa nchi hii nyerere aliwekwa km shati
@flavianaludovick7830
2 жыл бұрын
Ukisema hvyo unakosea,zamani watu wengi walidharau elimu,ilikua sio rahis kudai uhuru kama huna uelewa,Nyerere alikua kasoma kwa hiyo ilikua rahis ku
@flavianaludovick7830
2 жыл бұрын
Kuwasiliana na wakolon ndipo Watanganyika walipomtumia yy kwa ajili ya kudai uhuru,yaliyofuata ni matokeo tuu,hata zamani dini haikuwepo wapo wa Kristo walioitwa majina ya kiislam wengi tu,mfano mababu zetu.
@richardbegga6679
2 жыл бұрын
Haaa haaa
@lucasthomas188
10 ай бұрын
Kwa hiyo🤗🤣🤣😅
.
Mgoa ni muhindi
@dokasalim943
Жыл бұрын
Mdigo sio mgoa ( Mdigo kutoka Tanga ) 🇹🇿
@mamlomamlo9064
Жыл бұрын
@@dokasalim943 yeye aliajiriwa na goa
Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi