Kauli ya Baba wa Taifa J. K. Nyerere juu ya maendeleo

Пікірлер: 26

  • @iddyjuma3896
    @iddyjuma38964 жыл бұрын

    Alifirikilia mbali sana mzee wetu Baba yetu mwalimu nyerere

  • @juliusosoroomwoyo8848
    @juliusosoroomwoyo88485 ай бұрын

    Ninamhongera huyu Baba wa Taifa Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.

  • @Maryc2G
    @Maryc2GАй бұрын

    Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga52624 ай бұрын

    Asante Mwalimu na Baba wa Taifa letu

  • @ibrahimngubiagai1027
    @ibrahimngubiagai1027 Жыл бұрын

    Daaa baba ungerudi wew, ningeomba nusu saa tujadili mambo muhimu ya kitaifa

  • @sabasmorice1226
    @sabasmorice1226 Жыл бұрын

    Imetubidi kuendelea kujifunza Kwako Mwalim Julias K Nyerere.

  • @williamkirway4620
    @williamkirway46203 жыл бұрын

    Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.

  • @frankcharles319
    @frankcharles3195 жыл бұрын

    mzee hatari sana anajua mno mno

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын

    Kwa kweli ndo maana uliitwa 'mwalimu"

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12566 ай бұрын

    Julius ulifundisha vizuri. Ila haupo leo wanafunzi wako wameuza nchi yote baba. Hatujui tufanye nini

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa87282 жыл бұрын

    Mwalimu atafundisha dunia yote kwa wakati wote.

  • @jeidamgimba557
    @jeidamgimba5575 жыл бұрын

    Wewe ni Baba Kelli.

  • @erickaloyce3303
    @erickaloyce3303 Жыл бұрын

    leo 14/10/2022 tunakukumbuka sana baba tz had sasa haina nira

  • @andasonmdede5653
    @andasonmdede565311 ай бұрын

    Utakumbukwa daima

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83346 жыл бұрын

    Mzee mkali

  • @user-fk3wq2or6q
    @user-fk3wq2or6q9 ай бұрын

    Aliona.mbali

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Жыл бұрын

    Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.

  • @solomonimgaya1004
    @solomonimgaya10045 жыл бұрын

    Airbus +Wahadzabe

  • @josephjila957
    @josephjila9572 жыл бұрын

    Madickteta Kweli tunao wetu

  • @williamkirway5074
    @williamkirway50743 жыл бұрын

    Mwl anakiri kiongozi,anaweza kuwazuia uhuru wao,demokrasia yao,hatuangalii maendeleo zaidi ya uhuru wao.

  • @maregesimafuru4199

    @maregesimafuru4199

    3 жыл бұрын

    Tunabishana kuhusu mambo ya kijimga jinga tu wa sio uhuru

  • @user-jm9jm8gv9j
    @user-jm9jm8gv9j9 ай бұрын

    Aslimia kumba hawana uchungu na watu

  • @salmamloly2390
    @salmamloly23902 жыл бұрын

    E

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs Жыл бұрын

    Chetu ni chetu

Келесі