Kauli ya Baba wa Taifa J. K. Nyerere juu ya maendeleo
Жүктеу.....
Пікірлер: 26
@iddyjuma38964 жыл бұрын
Alifirikilia mbali sana mzee wetu Baba yetu mwalimu nyerere
@juliusosoroomwoyo88485 ай бұрын
Ninamhongera huyu Baba wa Taifa Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.
@Maryc2GАй бұрын
Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere.
@mataypanga52624 ай бұрын
Asante Mwalimu na Baba wa Taifa letu
@ibrahimngubiagai1027 Жыл бұрын
Daaa baba ungerudi wew, ningeomba nusu saa tujadili mambo muhimu ya kitaifa
@sabasmorice1226 Жыл бұрын
Imetubidi kuendelea kujifunza Kwako Mwalim Julias K Nyerere.
@williamkirway46203 жыл бұрын
Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.
@frankcharles3195 жыл бұрын
mzee hatari sana anajua mno mno
@meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын
Kwa kweli ndo maana uliitwa 'mwalimu"
@ignasnyembo12566 ай бұрын
Julius ulifundisha vizuri. Ila haupo leo wanafunzi wako wameuza nchi yote baba. Hatujui tufanye nini
@nabiimgongolwa87282 жыл бұрын
Mwalimu atafundisha dunia yote kwa wakati wote.
@jeidamgimba5575 жыл бұрын
Wewe ni Baba Kelli.
@erickaloyce3303 Жыл бұрын
leo 14/10/2022 tunakukumbuka sana baba tz had sasa haina nira
@andasonmdede565311 ай бұрын
Utakumbukwa daima
@raymondkaswaga83346 жыл бұрын
Mzee mkali
@user-fk3wq2or6q9 ай бұрын
Aliona.mbali
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.
@solomonimgaya10045 жыл бұрын
Airbus +Wahadzabe
@josephjila9572 жыл бұрын
Madickteta Kweli tunao wetu
@williamkirway50743 жыл бұрын
Mwl anakiri kiongozi,anaweza kuwazuia uhuru wao,demokrasia yao,hatuangalii maendeleo zaidi ya uhuru wao.
@maregesimafuru4199
3 жыл бұрын
Tunabishana kuhusu mambo ya kijimga jinga tu wa sio uhuru
Пікірлер: 26
Alifirikilia mbali sana mzee wetu Baba yetu mwalimu nyerere
Ninamhongera huyu Baba wa Taifa Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.
Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere.
Asante Mwalimu na Baba wa Taifa letu
Daaa baba ungerudi wew, ningeomba nusu saa tujadili mambo muhimu ya kitaifa
Imetubidi kuendelea kujifunza Kwako Mwalim Julias K Nyerere.
Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.
mzee hatari sana anajua mno mno
Kwa kweli ndo maana uliitwa 'mwalimu"
Julius ulifundisha vizuri. Ila haupo leo wanafunzi wako wameuza nchi yote baba. Hatujui tufanye nini
Mwalimu atafundisha dunia yote kwa wakati wote.
Wewe ni Baba Kelli.
leo 14/10/2022 tunakukumbuka sana baba tz had sasa haina nira
Utakumbukwa daima
Mzee mkali
Aliona.mbali
Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.
Airbus +Wahadzabe
Madickteta Kweli tunao wetu
Mwl anakiri kiongozi,anaweza kuwazuia uhuru wao,demokrasia yao,hatuangalii maendeleo zaidi ya uhuru wao.
@maregesimafuru4199
3 жыл бұрын
Tunabishana kuhusu mambo ya kijimga jinga tu wa sio uhuru
Aslimia kumba hawana uchungu na watu
E
Chetu ni chetu