PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...

PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...
CREDIT: VIDEO HII INAKUJIA KWA HISANI YA 'KLNT Online TV'
Mwanasheria nguli wa Kenya, Profesa Patrick Lumumba amehutubia vijana wa Kitanzania ambapo ameeleza mambo mengi...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 92

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 Жыл бұрын

    Asante kwa kuienzi lugha safi ya kiswahili inayojitosheleza bila kuchanganya kizungu.

  • @nafutarymajogoro30
    @nafutarymajogoro30 Жыл бұрын

    Professor huyu huw namkubali sana kwa speech zake

  • @lulochristv
    @lulochristv Жыл бұрын

    I really admire the way he is delivering his messages when he takes the podium,. The way he is organizing all his speeches, I admire and deeply love this man, well knowledgeable in both theological ideologies, social, economics, historical and political things.🙌🏾. 👏🏾. . . May the Lord keep him for us, Africans.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56777 ай бұрын

    Professor Lumumba ni Zaidi ya wengine Nakukubali zaidi ya Zaidi wewe ni Bora Bora Bora mno wewe ni Mhimili wa Africa..watakaoshindwa kukuelewa tuwazike hawana Faida hata tukiishi nao hawatafaa kwa lolote...❤❤❤

  • @chrispuspaul5682
    @chrispuspaul5682 Жыл бұрын

    professor is eloquent in both english and swahili. wakenya hua hatumpi heshma anazo stahiki

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga2645 Жыл бұрын

    Asante Sana Professor, umeongea Kiswahili kizuri Sana kuliko waswahili

  • @lubavacastory1831

    @lubavacastory1831

    11 ай бұрын

    Kwani Lumumba sio mswahili?

  • @kheriabdu7763
    @kheriabdu7763 Жыл бұрын

    We need him to be president of Zanzibar

  • @isayarozeck7512
    @isayarozeck7512 Жыл бұрын

    This is Real meaning Of Professor, More Appriciate PLO,

  • @amosbusingyewarugaba2550
    @amosbusingyewarugaba2550 Жыл бұрын

    Profesa huyu ananivutia kila mala ninapomsikiliza...Mungu ampe maisha marefu

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Жыл бұрын

    Jambo mtumishi wa Mungu, nashukuru, kuona unaongeya kiswahili safi, maana kila nikikufatiliya, naona kingereza sana, uwe natuchangiya kiswahili kwa hutuba zote popote unapo hutubu, ili wa Africa wengi tuwe na changiya na wengine wana kiswahili. Asante

  • @kilinyonellious
    @kilinyonellious9 ай бұрын

    I really admire how Plo has content in his speech,,, congrats man of wisdom 💪

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Жыл бұрын

    Mungu akupe umri mrefu Prof.Lumumba.

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati Жыл бұрын

    Son of Africa - Proud and love your work PLO-Lumumba.

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 Жыл бұрын

    Bora bandari tumpe huyu prof❤

  • @t.kolwali1807
    @t.kolwali180711 ай бұрын

    Waaa! PLO umegonga ndipo. Umezungumza Kiwahili safi sana kweli. Sisi wakenya tunakupenda sana.

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Жыл бұрын

    Hongera sana profesa kwa speech inayoeleweka sana na elimu ya kutosha

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Жыл бұрын

    Ningependa sana awe anaongea kiswahili katika hotuba zake zote inapendeza sana ataeleweka zaidi

  • @user-hp7vm9mv9x
    @user-hp7vm9mv9x10 ай бұрын

    Professor lumumba is an African hello.

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Жыл бұрын

    Mungu ibariki Afrika, pamoja na watu wake, wabarki wazalendo wetu wt waliothubutu kuipigania Afrika yao kwa moyo wa dhati kbs. Wasamehe pia madhambi ya wapumzike kwa amani. Tusamehe waafrika wt na kulifanya bara letu kua lenye nguvu na huru ktk imani na fikra.

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 Жыл бұрын

    Atlist professor leo umeongea kiswahili nami nimekuelewa vzri

  • @jimbipeter4520
    @jimbipeter4520 Жыл бұрын

    Ww ni magufuli mtupu🥰

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Жыл бұрын

    Nice work,you are a real Professor🎉🎉🎉

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge Жыл бұрын

    Proffessor wewe ni kichwa pia kwa Africa...Mungu akutunze.

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 Жыл бұрын

    I do admire this professor 👏👏

  • @lembrismoringelaizerlaizer8741
    @lembrismoringelaizerlaizer8741 Жыл бұрын

    Be more blessed

  • @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks
    @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks Жыл бұрын

    Asante mwalimu nakutakiya maisha malefu

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    PH. LUMUMBA 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @chivatsitsory3399
    @chivatsitsory3399 Жыл бұрын

    Long live our African leader

  • @BASILHOTAY-dp1ss
    @BASILHOTAY-dp1ss Жыл бұрын

    Good speech

  • @efraimumwakibibi4303
    @efraimumwakibibi4303 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki limumba, MUNGU ibariki Tanzania

  • @user-gq9tz5nw3v
    @user-gq9tz5nw3v10 ай бұрын

    Thank you for your intellectual

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 Жыл бұрын

    asanteni sana

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Жыл бұрын

    Mungu akubariki

  • @user-hf9lo2es3z
    @user-hf9lo2es3z11 ай бұрын

    Da kipawa Cha pekee ,barikiwa

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Жыл бұрын

    Nakupenda xan mkuu mambo yko ni mwanga

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Жыл бұрын

    Ni kweli waasisi wa mwanzo wa nchi za Afrika walikuwa ni vijana wenye uazalendo, uaminifu na nidhamu

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Жыл бұрын

    Mungu mkuuu

  • @bimulokagera622
    @bimulokagera622 Жыл бұрын

    PLO huyu anatakiwa kupewa uraia wa Tanzania na tumjengee sanamu la kumbukumbu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira935011 ай бұрын

    Huyu ni Prof kweli

  • @stephenkamau8051
    @stephenkamau805111 ай бұрын

    Suprised he knows kiswahili🙆🏾‍♂

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын

    Ishi miaka mingi mtu Wa Mungu.

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 Жыл бұрын

    Kiswahili saaaaaaafi sana ameongea prof utadhani ni mTZ duhh

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Huyu ni professor wa ukweli😊

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Жыл бұрын

    Kuna kijana yupo hapo ameshiriki kuuza bandari ameingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi na sasa ni waziri.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын

    Yuko wapi natamani nikutane naye..anipe elimu kidogo

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Жыл бұрын

  • @7675kio
    @7675kio11 ай бұрын

    Hotuba nzuri sana kwa kuisikiliza lakini ina mapungufu mengi kwenye utekelezaji. Kwa mfano, nani wa kulaumiwa kwa vijana wetu kukimbilia ulaya? Nani asiyependa maisha rahisi? Wanaolaumu vijana wameshindwa kutengeneza mazingira rafiki ambayo yatawawezesha vijana kujipatia mkate wao wa kila siku. Wengi wanawaambia vijana wajiajiri mbona wao hawajiajiri. Bahati nzuri nina uzoefu wa kuajiriwa na kjiajiri. Kujiajiri hasa kwenye kilimo sio rahisi kama wengo wanavyosema. Hata hivyo, mapungufu hayo hayaifanyi hutuba hiyo kuwa moja ya hotuba bora sana kutoka kwa mtu bora sana Afrika.

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Жыл бұрын

    Tatizo viongo wa kiafrica hasa hawa wa Sasa wapo kimasrahi Yao na vizazi vyao tu,, ndo maana tunatoka kwenda ng'ambo ✋

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 Жыл бұрын

    Wewe mzee MUNGU akubaliki uwe na Maisha marefu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira935011 ай бұрын

    namkubali saan hyu Prof,nataman apew nafas kuelimisha vijana zaid kwan ni mtu makini saan na anaongea kiswahil sanifu zaid.ana madin saan ktk bongo yake

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Жыл бұрын

    Mbona imeishia nusu bana dah GLOBAL TV vp tena

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Жыл бұрын

    Lumumba ongelea mkataba wa bandari wa tanzania na dubai.

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Жыл бұрын

    Kuna vijana wenye akili za wizi humo ndani naona hawamwelewi😆😆

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 Жыл бұрын

    NaOmba kupata link ya hii ibada full

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal77987 ай бұрын

    Natafuta videos zake za kiswahili.

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal77987 ай бұрын

    Natafuta videos za Kuza za kiswahili

  • @dicksonmmasy55
    @dicksonmmasy55 Жыл бұрын

    Kuna watu tunatamana hata huyu professor aishi.mpaka siku Afrika imwelewe

  • @oscanyakunga

    @oscanyakunga

    Жыл бұрын

    Safi kabisaa

  • @jamesjahasa4726
    @jamesjahasa4726 Жыл бұрын

    Hawa ndio ma professor waafrika walio Bora baba anaongea kiswahili huyu hachanganyi lugha ya kikoloni

  • @RobertPaul-cg3rl
    @RobertPaul-cg3rl8 күн бұрын

    MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 tha are main purposes are to Advocate of human rights and their resources in TANZANIA and African in general, to emphasize the people of Tanzania and African in general to avoid any entrance of climinal,to maintain peace, unity, independence, solidarity, rights, and responsibilities in case of Economic development especially in Tanzania poorly people living standard

  • @jahsuncamara-kb2ec
    @jahsuncamara-kb2ec Жыл бұрын

    Remember mooroko mole shhh secret squirrel 🐿️🐿️🐿️🐿️🐿️

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭daaaaaah

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Ulaya hakuna maisha kwa mwafrika😅

  • @barakabahati6600

    @barakabahati6600

    Жыл бұрын

    Ni mateso tu 😂😅😂

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 Жыл бұрын

    Bado sisi utumwa unatung'ng'ania kwa mfano ukiangalia kama mama zetu wanakimbizana na kununua nywele ili tu wafanane na wazungu

  • @oklahommy9838
    @oklahommy983811 ай бұрын

    Huyu proffesor kiswahili ni hatari kiingereza ndio udiseme kabisaa

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Жыл бұрын

    Phd

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Жыл бұрын

    Anajitahd kuongea lugha mbili kww ufasaha kiswahili na English

  • @chombasimon
    @chombasimon Жыл бұрын

    Waobinafsisha bandari wanaelewa speech hii kweli?

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Жыл бұрын

    kumbe unajua kiswahili barbara

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge Жыл бұрын

    Huyu ni mwafrica halisi

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Жыл бұрын

    Mwalimu angeuchanachana kwa hoja mkataba wa dhalimu wa DPW 😢..

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 Жыл бұрын

    Huyu mzee anachokisema anajifungua upande huu na wakati huohuo anafunika upande wa pili,,tu anasema kuhusu cc vijana tumepunguza uzalendo,,noo,c kweli,,yeye aongee na siasa za Afrika na viongozi wetu na kasumba zao za ubinafc ndiO zinatufny vijana tuwe hivi,,vyama tawala vinaona wao ndio watawala milele ,,,Ihanda ni mfano hai, Rwanda pia,,mbona hazungumziagi hizi tawala zakiafrica?

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Жыл бұрын

    Maprofesa wetu wanafanya utafiti wa watu wenye nguvu na kiume na kusaini mikataba ambayo hata mwanchi wa kawaida hawezi kusaini

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    Uyu mtu ameongea kitu ambacho mwenye kusikiza inagonga kwa moyo

  • @African511
    @African511 Жыл бұрын

    Huyu Prof nchini kwao wanamchukulia poa poa sana,lakini nje na nchi yake ni lulu kabisa sisi tunamuona.

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 Жыл бұрын

    Fuuuu

  • @wilfredsamson6128
    @wilfredsamson6128 Жыл бұрын

    Atakufa hana alichotusaidia zaid yakulipwa kwenye haya makongamano

  • @kdloon2030

    @kdloon2030

    Жыл бұрын

    Unataka akusaidie nini kukupa kazi au kukurahishia maisha yako?Yeye anakupa muongozo,na kukufungua akili.Mengine utafanya mwenyewe coz hata mabadiliko huanza na wewe mwenyewe.

  • @BASILHOTAY-dp1ss

    @BASILHOTAY-dp1ss

    Жыл бұрын

    Kwani Shida Iko wapi, ww unalipwa wap

  • @oscanyakunga

    @oscanyakunga

    Жыл бұрын

    @😀😀😀😀😀😀😀

  • @ufanisi901

    @ufanisi901

    11 ай бұрын

    Wilfred wewe ni shenzi sana. Akili yako iko wapi? Ubongo wako ni ubongolala!

  • @pastorwilsonchiusa2910
    @pastorwilsonchiusa2910 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana Professor hakika nimebarikiwa sana na mafundisho yako, Uko vizuri hata katika kufundisha Neno la MUNGU. Hakika wewe ni mwana Afrika mzarendo kweli kweli, na Kiswahili chako kimeokoka. Wewe ni zawadi ya Wana Afrika.

  • @oscanyakunga

    @oscanyakunga

    Жыл бұрын

    Yaaan kawapiga nainjili? Saaafi

  • @abrahamesibanze7394

    @abrahamesibanze7394

    Жыл бұрын

    Plo kiswahili unakielewa barabara si mjaluo wakawaida