HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA

Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconetanzania

Пікірлер: 361

  • @mckamongo5354
    @mckamongo53543 жыл бұрын

    Hongela sana TBC hiki ndicho nilitamani kukiona kama kijana waleo nimependa history hiyo

  • @delphinusbarakamathphytuto7012
    @delphinusbarakamathphytuto70123 жыл бұрын

    Hekima sio mvi.... hata wapumbavu wanazeeka, mh. J.M.K alionesha ukomavu mkubwa hapo.. Asanteni sana TBC online.

  • @timorpathsullusi7055
    @timorpathsullusi70553 жыл бұрын

    Kikwete dah! Ulikua umekomaa kisiasa, had Mwl. Nyerere akasimama kukupigia makofi.👍👍

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga84903 жыл бұрын

    Man of the People Lt Col(rtd) Comrade Kikwete alitumia mbinu za kimkakati za Kijeshi kujiandaa kuwa Rais hii inaitwa "Long Term Information Before the War."

  • @leonarddamian
    @leonarddamian3 жыл бұрын

    Nyerere alifurahi sana kwa sababu kikwete aliongea kitu ambacho alitaka kusikia.

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile90623 жыл бұрын

    Wazeee wa zamani walikuwa na busara hebu msingie mwl nyerere na Al khasani Mwinyi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya22693 жыл бұрын

    Tumetoka mbali, tunakwenda mbali, mungu ni mwema sana , Mungu ibariki Tanzania

  • @maverickcreativesolutions8285
    @maverickcreativesolutions82853 жыл бұрын

    This is some good content. tunaomba vitu kama hivi tuoneshe vizazi vyetu tuweze kutambua historia ya nchi yetu. Proudly Tanzanian

  • @emperor5330

    @emperor5330

    3 жыл бұрын

    i admire you tanzanians.........................am kenyan

  • @sketchbabu

    @sketchbabu

    3 жыл бұрын

    Kabisa kabisa, hara kama mtaiweka exclusive content tutafurai sana.

  • @vailethamin8439

    @vailethamin8439

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @theonlyeye9738

    @theonlyeye9738

    2 жыл бұрын

    .i.loo

  • @davidbochela1441

    @davidbochela1441

    Жыл бұрын

    Nchi imetoka mbali...sana.

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi7853 жыл бұрын

    Nyerere alionaa kikwetee anakitu kikubwaa sanaaa

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche3523 жыл бұрын

    Kikwete amenifurahisha mnoooo

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia3123 жыл бұрын

    Kama umegundua wajumbe walianza zaman na si mwaka huu kama mm nipe like 🥰🥰🥰

  • @mutalemwagabrie9791

    @mutalemwagabrie9791

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu jamani 😂😂😂😂😂😂

  • @user-mw1wy4lm6d

    @user-mw1wy4lm6d

    15 күн бұрын

    Aliye mwona ummy teacher!

  • @amanisengele9684
    @amanisengele96843 жыл бұрын

    Hongereni Tbc kwa utunzaji wa makala nzur Kama hizi n msaada kwa vizaz vijavyo

  • @majulakizango943
    @majulakizango9433 жыл бұрын

    Kumbukumbu nzuri Sana, maneno mazuri ya Jknyerere,JKikwete, R.I.P Jemedali Mkapa great president aliefungua pazia la kuwa president ndani ya vyama vingi....big up TBC this is fantastic memory

  • @issamunga9039
    @issamunga90393 жыл бұрын

    Kwa kweli Mzee alikuwa na busara saana ingawa mimi binafsi si kumuelewa wakati ule , lakini kwa sasa nimabaini kuwa alifanya maamuzi ya kuiokoa nchi kweli. Chaguo lake kwa Mkapa lilikuwa sahihi.

  • @misanamaige490

    @misanamaige490

    Жыл бұрын

    Tanzania yetu ni nchi nzuri sana. Wapumzike kwa amani Julius Nyerere na Benjamin Mkapa. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha viongozi wetu wastaafu mzee Ali Hassan Mwinyi na mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Busara na hekima zao bado zinahitajika kuendeleza amani na umoja wa Watanzania. Kidumu chama cha mapinduzi

  • @jamalmuhsini9954
    @jamalmuhsini99543 жыл бұрын

    Hongereni TBC kutupatia historia sisi vizazi vichanga

  • @athumangullam3854
    @athumangullam38543 жыл бұрын

    A man and half ..Jakaya 💪

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar86873 жыл бұрын

    Shaaban Kisu maa shaa allah umejaaliwa Sauti adhym iliyonegesha makala hii ahsanteni....

  • @audaxbizimana8084

    @audaxbizimana8084

    Жыл бұрын

    Huyu jamaa amepewa sauti amazing na anaitendea kazi

  • @swahiliforex
    @swahiliforex3 жыл бұрын

    Kama Umekuja Kwa Ajili Ya Kikwete, Anaanzia 8:33

  • @yirgayemyirgah7820

    @yirgayemyirgah7820

    3 жыл бұрын

    Shukran sana

  • @jelasnkoma4240

    @jelasnkoma4240

    3 жыл бұрын

    umeokoa

  • @swahiliforex

    @swahiliforex

    3 жыл бұрын

    @@jelasnkoma4240 😅😅

  • @richardsolomon1268

    @richardsolomon1268

    3 жыл бұрын

    umetisha sanaaaaa

  • @simbomart6186

    @simbomart6186

    3 жыл бұрын

    Kweli 8:33 nimesogeza Ila angevaa jez ya CCM angepita

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal46083 жыл бұрын

    I always appreciate JK for the way he is.

  • @venturejackson6357
    @venturejackson63573 жыл бұрын

    Dah we mzee ulijaliwa busara sana mungu akutunze mstaafu jk

  • @jamaa2760
    @jamaa27603 жыл бұрын

    TBC, mmefurahisha Moyo wangu,,, TBC inogile!!!

  • @maverickcreativesolutions8285

    @maverickcreativesolutions8285

    3 жыл бұрын

    Kwakweli hasa

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv55743 жыл бұрын

    Mh. Jakaya ni bonge la diplomatic leader

  • @jameskileo955

    @jameskileo955

    3 жыл бұрын

    Hakika huyu ni jungu kuuu

  • @jameskileo955

    @jameskileo955

    3 жыл бұрын

    Watu kama huyu baba ni wachache mno ktk nnchi zetu hasa linapokuja swala la Democrasia

  • @samwelkibogoyo1958
    @samwelkibogoyo19583 жыл бұрын

    Mpaka wazee wakasimama ama kwli busara za jakaya ni kubwa sana,,tump haki yake

  • @salimhusseni4784

    @salimhusseni4784

    3 жыл бұрын

    Hiyo ndio matunda ya mwalim nyerere kwabusara nahekima alifanikiwa kwajenga akina ally hassan mkapa na jakaya mrisho kikwete wamelelewa kwenye mikono salama ya baba wataifa leo hii tunaona viongoz wavyama wanakosa busara hekima hawana ni waongo wapo kimaslai yaho hawajal ata kama taifa litaingia kwenye mitego yawalafi na misukosuko wapo tayar ilimrad wahowafanikishe matakwa yaho wapi tunakwenda hakuna hajuae ni mwenyeez mungu tu ndie hajuae InshaAllah tuepushe na shari ambazo zitaligawa taifa letu Amin

  • @innocentmtashobya1102

    @innocentmtashobya1102

    2 жыл бұрын

    Kabisa jamaa ana busara sana sio wale jamaa wababe "nimesema,.kuanzia leo stak........"

  • @juliusmaricha8836
    @juliusmaricha88363 жыл бұрын

    JK n genius

  • @ayubuadamu8587
    @ayubuadamu85873 жыл бұрын

    Baba Jakaya hakika hekima zako ni kubwa sana🙌🙌

  • @raphaelnyigo8740
    @raphaelnyigo87403 жыл бұрын

    JK yuko vizuri sanaa.

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz8363 жыл бұрын

    Safi TBC.Vijana wa leo tumejifunza mambo kadhaa kutoka kwenye hii vidieo rekodi.asante

  • @elijahaywago7274
    @elijahaywago72743 жыл бұрын

    Sijui Tanzania mlifanyia mungu nini kusudi awape viongozi wazuri hivi. Mimi si Mtanzania lakini nitawapa watoto wangu fursa ya kuwa watanzania kwa kuoa mtanzania eheheh

  • @elijahaywago7274

    @elijahaywago7274

    3 жыл бұрын

    @@rashidseif6095 Kiongozi wetu wa kwanza alifanya juu chini akauwa wapinzani wake. Wanasiasa shupavu kama Tom Mboya (rafiki mkubwa wa Nyerere) na wengine walipigwa risasi na kuwawa sababu za ki siasa. Rais huyo pia alieneza ukabila na kuweka jamaa zake uongozini. Pesa nyingi ziliibuwa na hiyo iliendelea kufanyika ata kwenye atamu wa rais wa pili. Tanzania najuwa pia mko na changamoto zenu lakini ukabila na ufisadi pamoja na mapendeleo ya ki jamii haijawathiri sana kama sisi. Ata wakenya wengi wanaomba kupata rais kama magufuli au nyerere.

  • @annasanana5192
    @annasanana51923 жыл бұрын

    Hongera sana J.M.kikwete

  • @petroerinest6962
    @petroerinest69623 жыл бұрын

    Kikwete alikua mdogo saana lakini akili yake ilikua komavu sana,hongera sana kikwete

  • @josephkisaro1377

    @josephkisaro1377

    2 жыл бұрын

    Kikwete hakuwa mdogo alikuwa na miaka 50, mkapa 60, mwinyi 68 na mwalimu alikuwa na 70 ..

  • @zamzamseif5637

    @zamzamseif5637

    Жыл бұрын

    @@josephkisaro1377alikua na miaka 44!! Mdogo tu.

  • @jackobchibago1812
    @jackobchibago18123 жыл бұрын

    Nilichojifunza mimi hapo ni kuwa, uzee unakuja kwa kasi. Kikwete wa miaka 25 iliyopita ni kijana mdogo kabisa. Mcheki leo. Hivyo tunapaswa kutambua tu kuwa ujana ni maji ya moto.

  • @leaderdanojoro.1925

    @leaderdanojoro.1925

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia3123 жыл бұрын

    Nan kaona watu walikua wengi na nguo za nyumban kuliko kijani ya leo 🥰🥰🥰

  • @katerelomkuyati6764

    @katerelomkuyati6764

    2 жыл бұрын

    Kwekwekwekwekwekwe

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita15763 жыл бұрын

    Aliweka akiba ya 2005,,, Kizazi cha kina membe kinasepaga aisee

  • @kondonassoro7770
    @kondonassoro777013 күн бұрын

    Kumbu kumbu nzur sana ahsante TBC

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga37073 жыл бұрын

    Wa magomeni mpoooooooooo! ...tupooooooooooooo! Hilo vibe sio poa! ...siasa ni maisha!

  • @mtopelamussa7440
    @mtopelamussa74402 жыл бұрын

    Du! Kikwete noma alikuwa anataka ashike madaraka akiwa msela

  • @wawajunior6633
    @wawajunior66333 жыл бұрын

    Kikwete charismatic leader

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu3 жыл бұрын

    Nakumbuka vizuri, Kikwete alibadili suti siku hio kama vile a naenda kuowa

  • @tawfiqmbagwa9407
    @tawfiqmbagwa94073 жыл бұрын

    Mzee Jk anabadilika ngozi na nywele tu kwa uzee ila kiungeaji, tabasamu, kicheko na body language viko vilelvile. Nimefurahi sana maana kipindi hicho bado nanyonya ziwa la mama

  • @luganomasebo6606
    @luganomasebo66063 жыл бұрын

    Yaani moja ya stori niliyoipenda hii na mtangazaji wangu Wa muda wote sued mwinyi

  • @thomassenga2526

    @thomassenga2526

    3 жыл бұрын

    Siyo swedi mwinyi wewe

  • @philipongilini8604

    @philipongilini8604

    3 жыл бұрын

    Shaban kissu

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels5553 жыл бұрын

    Asante sana TBC kwa post hii. Siasa za Tanzania zina mvuto wa aina yake katika bara la Afrika. Hii ni kwa ajili ya ustaarabu na usafi wake. Afrika in mengi ya kujifunza kutokana na siasa pia historia ya Tanzania.

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly28113 жыл бұрын

    Kongole sana Mzee Jk kwa busara zako nyingi

  • @maryamrubea34
    @maryamrubea342 жыл бұрын

    Hadi leo nawasikiliza Mungu ibariki Tanzania wabariki viongozi wetu.....Mungu walaze pema waasisi wetu walotanguliaa

  • @godfreyeustard8044
    @godfreyeustard80443 жыл бұрын

    Hongera sana tbc kwa kumbukumbu hii kwa kizazi cha leo

  • @eliahinnocent9419
    @eliahinnocent94193 жыл бұрын

    Dah mheshimiwa mkapa alikua na bahat sana kupigiwa kampeni na Nyerere ushindi lazima

  • @joezeno8

    @joezeno8

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @wazirimavilu5710
    @wazirimavilu57103 жыл бұрын

    Never forget you, president JAKAYA,masomo yako kila siku yanazidi kueleweka.ninaushauri mkubwa kwa ccm ipo siku nitautoa.

  • @mwegetejoseph4925

    @mwegetejoseph4925

    3 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @jescamatumula2110

    @jescamatumula2110

    Жыл бұрын

    @@mwegetejoseph4925 7 Ok.

  • @clemencejames7279
    @clemencejames7279 Жыл бұрын

    Asante Sana TBC hakika nimefarijika mno kuona namna wazee wetu walivyokua Wana Jenga hoja lakin nimefurahi kuona namna Mh wetu JK Alivyothubutu kugombea akiwa na umri mdogo Sana ,,,!!!!!! Vijana tuendeleee kupambanaa,,!!!!! Asante TBC ,,,,!!!!!!

  • @babanicole815
    @babanicole8152 жыл бұрын

    Jakaya Mrisho Kikwete. Nakukubali sana sanaaa.

  • @lyakaonlinemedia.1428
    @lyakaonlinemedia.14283 жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana , hongereni TBC

  • @zynabmanyandeshi7143

    @zynabmanyandeshi7143

    3 жыл бұрын

    Nami nimejifunza mengi leo

  • @vailethamin8439
    @vailethamin84393 жыл бұрын

    Tanzania nnchi yangu nakupenda sana

  • @amidumselle5659
    @amidumselle56593 жыл бұрын

    Its like Hon. Benjamin Mkapa is still alive. May you continue resting in peace legendary

  • @user-hw2yu6lu9m

    @user-hw2yu6lu9m

    8 ай бұрын

    😊

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi48273 жыл бұрын

    Kikwete has always had charisma

  • @Gracemima

    @Gracemima

    11 ай бұрын

    Kikwete was a useless leader

  • @allymsega5639
    @allymsega56392 жыл бұрын

    Hapo kikwete alikuwa mdogo xn asingeweza kupewa nchi

  • @kileohemed4958

    @kileohemed4958

    4 ай бұрын

    Kapewa na Utuuzima wake kipi alichokifanya aaaah Shit...

  • @efraimobadia4944
    @efraimobadia49443 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza namuona mwal. Nyerere Mwenyez

  • @kedmonjosephrugundu9125
    @kedmonjosephrugundu91253 жыл бұрын

    Safi na hongela shabani kisu nimependa maneno ya kikwete mwanasiasa mkongwe mkomavu mvumilivu

  • @mimimoop2617
    @mimimoop26173 жыл бұрын

    R I P Ben Mkapa

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana12713 жыл бұрын

    Ongera Sana tbc hakika nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge47963 жыл бұрын

    He was bright kikwete

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12183 жыл бұрын

    Kikwete tokea kijana kbs ika kikwete kwakwel Ni mtu Wa busara sana

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala2763 жыл бұрын

    Kikwete akiongea uwa mda wote anacheka tyu hanaga noma uyo

  • @ThobiasMarandu

    @ThobiasMarandu

    3 жыл бұрын

    Kikwete is very Intelligent, Kama mara kumi ya Magufuli hivi.

  • @idanysedrc1200

    @idanysedrc1200

    4 ай бұрын

    Ogopa sana watu wanaongea hvyo wanaakili nyingi mno i.e Nyerere

  • @godfreykacholi121
    @godfreykacholi1213 жыл бұрын

    Concession speech of Dr. Kikwete was an indication of his maturity in politics.

  • @leonarddamian

    @leonarddamian

    3 жыл бұрын

    Yeah so true

  • @masagajeremia6033

    @masagajeremia6033

    3 жыл бұрын

    Exactly

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz... Siasa bado zilikuwa na mvuto ...siyo kwa sasa

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne33502 жыл бұрын

    Jk ni noma sana alimfanya mwalimu anyanyuke ,halafu leo hii umfananisha na watu wasiojulikana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_9 ай бұрын

    Mwenyezi mbarik JK , amekomaa Kisiasa saana

  • @juliusdaud8239
    @juliusdaud82393 жыл бұрын

    Kipnd kizur 💯Sijapoteza bando bure👊👊

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura90113 жыл бұрын

    Mtangazaji ananikumbusha RTD RADIO TANZANIA DAR -ES- SALAAM

  • @trio9911
    @trio99113 жыл бұрын

    Kumbe wajumbe walikuepo tangia apo

  • @rajabually8659
    @rajabually86592 жыл бұрын

    TBC upo vizuri sana kwa kutunza kumbukumbu

  • @salumkanju1732
    @salumkanju17323 жыл бұрын

    Mwalimu alisimama kumpgia kikwete makofi kwakuwa lengo kuu lilishakamilika, hongera jakaya kwa uvumilivu wako hatimae nawew ukawa president

  • @shaibumandova6108
    @shaibumandova61083 жыл бұрын

    Kikwete alionesha furaha ya wazi kabisa na ni sawa Mungu alimlipa fadhila zake kwa kuwa rais aliyefuata. Siyo miaka ya hivi karibuni anayekosa nafasi hukasirika.

  • @salumismail6253

    @salumismail6253

    3 жыл бұрын

    Ni kweli wengi wanakuwa wamejawa na tamaa za harakaharaka kutaka kuongozà

  • @wakusinitv
    @wakusinitv3 жыл бұрын

    Tulio kuja huku baada ya kummiss magufuli tulike hapa

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown58853 жыл бұрын

    Kikwete looks young and handsome lol

  • @katerelomkuyati6764

    @katerelomkuyati6764

    2 жыл бұрын

    Like me!!!

  • @nehemiaemmanuel1386
    @nehemiaemmanuel13863 жыл бұрын

    Naona ndani ya chimwaga hall😁😁😁leo hi tunatumia kama darasa wa udom-chss wanaelewa

  • @acstv7185
    @acstv71852 жыл бұрын

    Jk.ingekuwa wapinzani wa tanzania wana akili nzuri kama ya father jakaya. Wangesha itoa ccm madarakani.lakini kwa jinsi wapinzani walivyo sasa watasubiri sana.jk mfano bira sana Africa.asante

  • @castosemiono7155
    @castosemiono7155 Жыл бұрын

    JK ni mtu na nusu. One of the most legendary politicians in Africa. Kudos.

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian54943 жыл бұрын

    ASNT TBC. HIZI HISTORY ZINATUSAIDIA KUJUA TUMETOKA WP. TUKO WP. TUNAENDA WP. NA TUNAENDAJE ENDAJE. ASNT.

  • @zynabmanyandeshi7143

    @zynabmanyandeshi7143

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kbs

  • @ramahamis5793
    @ramahamis57933 жыл бұрын

    JK mungu aendelee kukulinda tuone BUSARA ZAKO

  • @rajimoonsima7984
    @rajimoonsima79843 жыл бұрын

    Dah hayati baba wa taifa kasimama kwa hotuba ya mzee kikwete

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem933 жыл бұрын

    Kama ulikuwa hujui kama mimi kuwa Nyerere kashawahi kufika kariakoo achia like

  • @nasrahassan7346

    @nasrahassan7346

    Жыл бұрын

    ndo nasikia hapo kaliakoo

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua67163 жыл бұрын

    Alafu mzee nyerere alipiga titedi Safi kabisa sijui ipo makumbusho pale

  • @ahmadjuma2538
    @ahmadjuma25384 ай бұрын

    Respect kwa mzee Kikwete maneno aliyoyasema kwa situation ile ni watu wachache sana wanaoweza. Wengine wangeshahama chama lakini yeye alichagua hekima na kuheshimu wakubwa

  • @africanuschalamila2740
    @africanuschalamila27403 жыл бұрын

    Nawapongeza sana TBC kwa kuandaa kipindi hiki, kwakweli kinafundisha historia halisi ya Tanzania kitawasaidia sana vijana na watoto wetu na vizazi vijavyo tulikotoka kama nchi. Hongera kwa kazi nzuri ya kutukuka.......

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman93343 жыл бұрын

    TBC hoyeeee...mmetukumbusha kitu muhimu sana ya kwamba bila ya.CCM nchi hii vyama vingine bado saaana..viongozi.wanaotokana na CCM wanaongoza kwa ufahamu wao

  • @sampartick2235
    @sampartick22353 жыл бұрын

    Kikwete alishinda kulikuwa n figisu

  • @othmansuleiman6140
    @othmansuleiman61403 жыл бұрын

    kunautofauti kati ya hutba ya hayati William Mkapa na Mh. Kikwete

  • @utamuwaleo1970
    @utamuwaleo19703 жыл бұрын

    Kikwete, the best

  • @mturijackonia9138

    @mturijackonia9138

    2 жыл бұрын

    Kikwete mvumilivu Sana katoka mbali ni baba etu tu muombee adum

  • @charlieadam646
    @charlieadam6463 жыл бұрын

    Wale wa 93. tujuane... Tuna miaka 2 apo.. maji pia hatuezi kuita Mma😂😂

  • @benedictordaniely8332

    @benedictordaniely8332

    3 жыл бұрын

    20/10/1993

  • @charlieadam646

    @charlieadam646

    4 ай бұрын

    4/01/1993

  • @masundelwa
    @masundelwa3 жыл бұрын

    Ka kikwete kalikuwa kadooooooooogooo sanaaa ndo maaana WAJUMBE walimkata daaaaaa🤗😅

  • @kaswakija6002

    @kaswakija6002

    3 жыл бұрын

    Kametoka Mbali aise kamepambana sana🥰🙏

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    3 жыл бұрын

    Alipata baba wa taifa aliona tu muda wake bado aliongoza wakiwa wa 3 hayati kigoda na mkapa mkapa na yeye .

  • @adelinachengula8519
    @adelinachengula85193 жыл бұрын

    Msimuliaji Upo vzr

  • @allykiba9727
    @allykiba97272 жыл бұрын

    Mwisho nilifarijika na hotuba ya Kikwete na namna mwl.Nyerere alivyo pigia makofi hotuba ya Kikwete

  • @shaby988
    @shaby9883 жыл бұрын

    Kikwete

  • @Adeen.1
    @Adeen.13 жыл бұрын

    RIP OMMARY ALLY JUMAA

  • @katerelomkuyati6764

    @katerelomkuyati6764

    2 жыл бұрын

    Umeniumiza moyo sana

  • @johnbernad3407
    @johnbernad34072 жыл бұрын

    R.I.P NYERERE R.I.P MKAPA R.I.P DR OMARY R.I.P DR JUHN POMBE MAGUFULI

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    Dah

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    1999....2020...2001....2021

  • @rodgersmbonea7417
    @rodgersmbonea74172 жыл бұрын

    Hatari Sana

  • @victorsanga2229
    @victorsanga22293 жыл бұрын

    J.K great president ever!!

  • @johnbernad6806
    @johnbernad68063 жыл бұрын

    Kikwete hasa wewe ni mkomavu wa kisiasa usiye kuwa na chuki hakika wewe umebaki kuwa hazina ya taifa

  • @moemussa5212
    @moemussa52123 жыл бұрын

    Nimemuona John Komba Tu RIP Mzee Wa Kwetu.

  • @saidmasanga8707
    @saidmasanga87073 жыл бұрын

    Hakika Jakaya anayaishi Maisha halali ya Mwanasiasa.

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif45643 жыл бұрын

    Mzee kikwete ndio rais wangu bora ccm kuwahi kutokea

  • @ginonochachaisaya7357
    @ginonochachaisaya73573 жыл бұрын

    Hekima za Kikwete ni kipaji na ni fundisho kwamba mvumilivu hula mbivu, na wakati wa Mungu ndo bora zaidi, muda wake ulifika akawa rais na akaongoza vizuri sana. Pia ukiona mtu anashindwa mchujo anahamia chama kingine basi hizo ni tamaa

  • @mapenzighasia5270

    @mapenzighasia5270

    2 жыл бұрын

    Mgombea urais mshindi wapili ccm hakuamia chama kingine Bali aliongeza nguvu kwa mshindi wakwanza ccm hayati B.W.Mkapa,naona vijana mmejifunza kitu kizuri sana