HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconetanzania
Пікірлер: 361
Hongela sana TBC hiki ndicho nilitamani kukiona kama kijana waleo nimependa history hiyo
Hekima sio mvi.... hata wapumbavu wanazeeka, mh. J.M.K alionesha ukomavu mkubwa hapo.. Asanteni sana TBC online.
Kikwete dah! Ulikua umekomaa kisiasa, had Mwl. Nyerere akasimama kukupigia makofi.👍👍
Man of the People Lt Col(rtd) Comrade Kikwete alitumia mbinu za kimkakati za Kijeshi kujiandaa kuwa Rais hii inaitwa "Long Term Information Before the War."
Nyerere alifurahi sana kwa sababu kikwete aliongea kitu ambacho alitaka kusikia.
Wazeee wa zamani walikuwa na busara hebu msingie mwl nyerere na Al khasani Mwinyi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍
Tumetoka mbali, tunakwenda mbali, mungu ni mwema sana , Mungu ibariki Tanzania
This is some good content. tunaomba vitu kama hivi tuoneshe vizazi vyetu tuweze kutambua historia ya nchi yetu. Proudly Tanzanian
@emperor5330
3 жыл бұрын
i admire you tanzanians.........................am kenyan
@sketchbabu
3 жыл бұрын
Kabisa kabisa, hara kama mtaiweka exclusive content tutafurai sana.
@vailethamin8439
3 жыл бұрын
Kabisa
@theonlyeye9738
2 жыл бұрын
.i.loo
@davidbochela1441
Жыл бұрын
Nchi imetoka mbali...sana.
Nyerere alionaa kikwetee anakitu kikubwaa sanaaa
Kikwete amenifurahisha mnoooo
Kama umegundua wajumbe walianza zaman na si mwaka huu kama mm nipe like 🥰🥰🥰
@mutalemwagabrie9791
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu jamani 😂😂😂😂😂😂
@user-mw1wy4lm6d
15 күн бұрын
Aliye mwona ummy teacher!
Hongereni Tbc kwa utunzaji wa makala nzur Kama hizi n msaada kwa vizaz vijavyo
Kumbukumbu nzuri Sana, maneno mazuri ya Jknyerere,JKikwete, R.I.P Jemedali Mkapa great president aliefungua pazia la kuwa president ndani ya vyama vingi....big up TBC this is fantastic memory
Kwa kweli Mzee alikuwa na busara saana ingawa mimi binafsi si kumuelewa wakati ule , lakini kwa sasa nimabaini kuwa alifanya maamuzi ya kuiokoa nchi kweli. Chaguo lake kwa Mkapa lilikuwa sahihi.
@misanamaige490
Жыл бұрын
Tanzania yetu ni nchi nzuri sana. Wapumzike kwa amani Julius Nyerere na Benjamin Mkapa. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha viongozi wetu wastaafu mzee Ali Hassan Mwinyi na mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Busara na hekima zao bado zinahitajika kuendeleza amani na umoja wa Watanzania. Kidumu chama cha mapinduzi
Hongereni TBC kutupatia historia sisi vizazi vichanga
A man and half ..Jakaya 💪
Shaaban Kisu maa shaa allah umejaaliwa Sauti adhym iliyonegesha makala hii ahsanteni....
@audaxbizimana8084
Жыл бұрын
Huyu jamaa amepewa sauti amazing na anaitendea kazi
Kama Umekuja Kwa Ajili Ya Kikwete, Anaanzia 8:33
@yirgayemyirgah7820
3 жыл бұрын
Shukran sana
@jelasnkoma4240
3 жыл бұрын
umeokoa
@swahiliforex
3 жыл бұрын
@@jelasnkoma4240 😅😅
@richardsolomon1268
3 жыл бұрын
umetisha sanaaaaa
@simbomart6186
3 жыл бұрын
Kweli 8:33 nimesogeza Ila angevaa jez ya CCM angepita
I always appreciate JK for the way he is.
Dah we mzee ulijaliwa busara sana mungu akutunze mstaafu jk
TBC, mmefurahisha Moyo wangu,,, TBC inogile!!!
@maverickcreativesolutions8285
3 жыл бұрын
Kwakweli hasa
Mh. Jakaya ni bonge la diplomatic leader
@jameskileo955
3 жыл бұрын
Hakika huyu ni jungu kuuu
@jameskileo955
3 жыл бұрын
Watu kama huyu baba ni wachache mno ktk nnchi zetu hasa linapokuja swala la Democrasia
Mpaka wazee wakasimama ama kwli busara za jakaya ni kubwa sana,,tump haki yake
@salimhusseni4784
3 жыл бұрын
Hiyo ndio matunda ya mwalim nyerere kwabusara nahekima alifanikiwa kwajenga akina ally hassan mkapa na jakaya mrisho kikwete wamelelewa kwenye mikono salama ya baba wataifa leo hii tunaona viongoz wavyama wanakosa busara hekima hawana ni waongo wapo kimaslai yaho hawajal ata kama taifa litaingia kwenye mitego yawalafi na misukosuko wapo tayar ilimrad wahowafanikishe matakwa yaho wapi tunakwenda hakuna hajuae ni mwenyeez mungu tu ndie hajuae InshaAllah tuepushe na shari ambazo zitaligawa taifa letu Amin
@innocentmtashobya1102
2 жыл бұрын
Kabisa jamaa ana busara sana sio wale jamaa wababe "nimesema,.kuanzia leo stak........"
JK n genius
Baba Jakaya hakika hekima zako ni kubwa sana🙌🙌
JK yuko vizuri sanaa.
Safi TBC.Vijana wa leo tumejifunza mambo kadhaa kutoka kwenye hii vidieo rekodi.asante
Sijui Tanzania mlifanyia mungu nini kusudi awape viongozi wazuri hivi. Mimi si Mtanzania lakini nitawapa watoto wangu fursa ya kuwa watanzania kwa kuoa mtanzania eheheh
@elijahaywago7274
3 жыл бұрын
@@rashidseif6095 Kiongozi wetu wa kwanza alifanya juu chini akauwa wapinzani wake. Wanasiasa shupavu kama Tom Mboya (rafiki mkubwa wa Nyerere) na wengine walipigwa risasi na kuwawa sababu za ki siasa. Rais huyo pia alieneza ukabila na kuweka jamaa zake uongozini. Pesa nyingi ziliibuwa na hiyo iliendelea kufanyika ata kwenye atamu wa rais wa pili. Tanzania najuwa pia mko na changamoto zenu lakini ukabila na ufisadi pamoja na mapendeleo ya ki jamii haijawathiri sana kama sisi. Ata wakenya wengi wanaomba kupata rais kama magufuli au nyerere.
Hongera sana J.M.kikwete
Kikwete alikua mdogo saana lakini akili yake ilikua komavu sana,hongera sana kikwete
@josephkisaro1377
2 жыл бұрын
Kikwete hakuwa mdogo alikuwa na miaka 50, mkapa 60, mwinyi 68 na mwalimu alikuwa na 70 ..
@zamzamseif5637
Жыл бұрын
@@josephkisaro1377alikua na miaka 44!! Mdogo tu.
Nilichojifunza mimi hapo ni kuwa, uzee unakuja kwa kasi. Kikwete wa miaka 25 iliyopita ni kijana mdogo kabisa. Mcheki leo. Hivyo tunapaswa kutambua tu kuwa ujana ni maji ya moto.
@leaderdanojoro.1925
Жыл бұрын
Hakika
Nan kaona watu walikua wengi na nguo za nyumban kuliko kijani ya leo 🥰🥰🥰
@katerelomkuyati6764
2 жыл бұрын
Kwekwekwekwekwekwe
Aliweka akiba ya 2005,,, Kizazi cha kina membe kinasepaga aisee
Kumbu kumbu nzur sana ahsante TBC
Wa magomeni mpoooooooooo! ...tupooooooooooooo! Hilo vibe sio poa! ...siasa ni maisha!
Du! Kikwete noma alikuwa anataka ashike madaraka akiwa msela
Kikwete charismatic leader
Nakumbuka vizuri, Kikwete alibadili suti siku hio kama vile a naenda kuowa
Mzee Jk anabadilika ngozi na nywele tu kwa uzee ila kiungeaji, tabasamu, kicheko na body language viko vilelvile. Nimefurahi sana maana kipindi hicho bado nanyonya ziwa la mama
Yaani moja ya stori niliyoipenda hii na mtangazaji wangu Wa muda wote sued mwinyi
@thomassenga2526
3 жыл бұрын
Siyo swedi mwinyi wewe
@philipongilini8604
3 жыл бұрын
Shaban kissu
Asante sana TBC kwa post hii. Siasa za Tanzania zina mvuto wa aina yake katika bara la Afrika. Hii ni kwa ajili ya ustaarabu na usafi wake. Afrika in mengi ya kujifunza kutokana na siasa pia historia ya Tanzania.
Kongole sana Mzee Jk kwa busara zako nyingi
Hadi leo nawasikiliza Mungu ibariki Tanzania wabariki viongozi wetu.....Mungu walaze pema waasisi wetu walotanguliaa
Hongera sana tbc kwa kumbukumbu hii kwa kizazi cha leo
Dah mheshimiwa mkapa alikua na bahat sana kupigiwa kampeni na Nyerere ushindi lazima
@joezeno8
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Never forget you, president JAKAYA,masomo yako kila siku yanazidi kueleweka.ninaushauri mkubwa kwa ccm ipo siku nitautoa.
@mwegetejoseph4925
3 жыл бұрын
Hatari sana
@jescamatumula2110
Жыл бұрын
@@mwegetejoseph4925 7 Ok.
Asante Sana TBC hakika nimefarijika mno kuona namna wazee wetu walivyokua Wana Jenga hoja lakin nimefurahi kuona namna Mh wetu JK Alivyothubutu kugombea akiwa na umri mdogo Sana ,,,!!!!!! Vijana tuendeleee kupambanaa,,!!!!! Asante TBC ,,,,!!!!!!
Jakaya Mrisho Kikwete. Nakukubali sana sanaaa.
Kipindi kizuri sana , hongereni TBC
@zynabmanyandeshi7143
3 жыл бұрын
Nami nimejifunza mengi leo
Tanzania nnchi yangu nakupenda sana
Its like Hon. Benjamin Mkapa is still alive. May you continue resting in peace legendary
@user-hw2yu6lu9m
8 ай бұрын
😊
Kikwete has always had charisma
@Gracemima
11 ай бұрын
Kikwete was a useless leader
Hapo kikwete alikuwa mdogo xn asingeweza kupewa nchi
@kileohemed4958
4 ай бұрын
Kapewa na Utuuzima wake kipi alichokifanya aaaah Shit...
Kwa mara ya kwanza namuona mwal. Nyerere Mwenyez
Safi na hongela shabani kisu nimependa maneno ya kikwete mwanasiasa mkongwe mkomavu mvumilivu
R I P Ben Mkapa
Ongera Sana tbc hakika nimejifunza kitu kikubwa sana
He was bright kikwete
Kikwete tokea kijana kbs ika kikwete kwakwel Ni mtu Wa busara sana
Kikwete akiongea uwa mda wote anacheka tyu hanaga noma uyo
@ThobiasMarandu
3 жыл бұрын
Kikwete is very Intelligent, Kama mara kumi ya Magufuli hivi.
@idanysedrc1200
4 ай бұрын
Ogopa sana watu wanaongea hvyo wanaakili nyingi mno i.e Nyerere
Concession speech of Dr. Kikwete was an indication of his maturity in politics.
@leonarddamian
3 жыл бұрын
Yeah so true
@masagajeremia6033
3 жыл бұрын
Exactly
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz... Siasa bado zilikuwa na mvuto ...siyo kwa sasa
Jk ni noma sana alimfanya mwalimu anyanyuke ,halafu leo hii umfananisha na watu wasiojulikana
Mwenyezi mbarik JK , amekomaa Kisiasa saana
Kipnd kizur 💯Sijapoteza bando bure👊👊
Mtangazaji ananikumbusha RTD RADIO TANZANIA DAR -ES- SALAAM
Kumbe wajumbe walikuepo tangia apo
TBC upo vizuri sana kwa kutunza kumbukumbu
Mwalimu alisimama kumpgia kikwete makofi kwakuwa lengo kuu lilishakamilika, hongera jakaya kwa uvumilivu wako hatimae nawew ukawa president
Kikwete alionesha furaha ya wazi kabisa na ni sawa Mungu alimlipa fadhila zake kwa kuwa rais aliyefuata. Siyo miaka ya hivi karibuni anayekosa nafasi hukasirika.
@salumismail6253
3 жыл бұрын
Ni kweli wengi wanakuwa wamejawa na tamaa za harakaharaka kutaka kuongozà
Tulio kuja huku baada ya kummiss magufuli tulike hapa
Kikwete looks young and handsome lol
@katerelomkuyati6764
2 жыл бұрын
Like me!!!
Naona ndani ya chimwaga hall😁😁😁leo hi tunatumia kama darasa wa udom-chss wanaelewa
Jk.ingekuwa wapinzani wa tanzania wana akili nzuri kama ya father jakaya. Wangesha itoa ccm madarakani.lakini kwa jinsi wapinzani walivyo sasa watasubiri sana.jk mfano bira sana Africa.asante
JK ni mtu na nusu. One of the most legendary politicians in Africa. Kudos.
ASNT TBC. HIZI HISTORY ZINATUSAIDIA KUJUA TUMETOKA WP. TUKO WP. TUNAENDA WP. NA TUNAENDAJE ENDAJE. ASNT.
@zynabmanyandeshi7143
3 жыл бұрын
Ni kweli kbs
JK mungu aendelee kukulinda tuone BUSARA ZAKO
Dah hayati baba wa taifa kasimama kwa hotuba ya mzee kikwete
Kama ulikuwa hujui kama mimi kuwa Nyerere kashawahi kufika kariakoo achia like
@nasrahassan7346
Жыл бұрын
ndo nasikia hapo kaliakoo
Alafu mzee nyerere alipiga titedi Safi kabisa sijui ipo makumbusho pale
Respect kwa mzee Kikwete maneno aliyoyasema kwa situation ile ni watu wachache sana wanaoweza. Wengine wangeshahama chama lakini yeye alichagua hekima na kuheshimu wakubwa
Nawapongeza sana TBC kwa kuandaa kipindi hiki, kwakweli kinafundisha historia halisi ya Tanzania kitawasaidia sana vijana na watoto wetu na vizazi vijavyo tulikotoka kama nchi. Hongera kwa kazi nzuri ya kutukuka.......
TBC hoyeeee...mmetukumbusha kitu muhimu sana ya kwamba bila ya.CCM nchi hii vyama vingine bado saaana..viongozi.wanaotokana na CCM wanaongoza kwa ufahamu wao
Kikwete alishinda kulikuwa n figisu
kunautofauti kati ya hutba ya hayati William Mkapa na Mh. Kikwete
Kikwete, the best
@mturijackonia9138
2 жыл бұрын
Kikwete mvumilivu Sana katoka mbali ni baba etu tu muombee adum
Wale wa 93. tujuane... Tuna miaka 2 apo.. maji pia hatuezi kuita Mma😂😂
@benedictordaniely8332
3 жыл бұрын
20/10/1993
@charlieadam646
4 ай бұрын
4/01/1993
Ka kikwete kalikuwa kadooooooooogooo sanaaa ndo maaana WAJUMBE walimkata daaaaaa🤗😅
@kaswakija6002
3 жыл бұрын
Kametoka Mbali aise kamepambana sana🥰🙏
@mayaally2512
3 жыл бұрын
Alipata baba wa taifa aliona tu muda wake bado aliongoza wakiwa wa 3 hayati kigoda na mkapa mkapa na yeye .
Msimuliaji Upo vzr
Mwisho nilifarijika na hotuba ya Kikwete na namna mwl.Nyerere alivyo pigia makofi hotuba ya Kikwete
Kikwete
RIP OMMARY ALLY JUMAA
@katerelomkuyati6764
2 жыл бұрын
Umeniumiza moyo sana
R.I.P NYERERE R.I.P MKAPA R.I.P DR OMARY R.I.P DR JUHN POMBE MAGUFULI
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Dah
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
1999....2020...2001....2021
Hatari Sana
J.K great president ever!!
Kikwete hasa wewe ni mkomavu wa kisiasa usiye kuwa na chuki hakika wewe umebaki kuwa hazina ya taifa
Nimemuona John Komba Tu RIP Mzee Wa Kwetu.
Hakika Jakaya anayaishi Maisha halali ya Mwanasiasa.
Mzee kikwete ndio rais wangu bora ccm kuwahi kutokea
Hekima za Kikwete ni kipaji na ni fundisho kwamba mvumilivu hula mbivu, na wakati wa Mungu ndo bora zaidi, muda wake ulifika akawa rais na akaongoza vizuri sana. Pia ukiona mtu anashindwa mchujo anahamia chama kingine basi hizo ni tamaa
@mapenzighasia5270
2 жыл бұрын
Mgombea urais mshindi wapili ccm hakuamia chama kingine Bali aliongeza nguvu kwa mshindi wakwanza ccm hayati B.W.Mkapa,naona vijana mmejifunza kitu kizuri sana