Mwakyembe alivyo mtaja Lowassa Bungeni sakata la Richmond

Mwakyembe alivyo mtaja Lowassa Bungeni sakata la Richmond
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 36

  • @user-xe3lm5wl6y
    @user-xe3lm5wl6y5 ай бұрын

    Tatizo ilikuwa u wazri mkuu pumzika Kwa Amani Edward Lowasa

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn5 ай бұрын

    Mwekyembe tunakumiss sana bungeni hakika kwenye serikali zote ulikuwa waziri bora kabisa kuwai kutokea japo hii ilipelekea kuwa na watesi wengi walitaka hata kuutoa uhai wako lkn hakika mungu alikuwa mwema kwako

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp6 ай бұрын

    Mtukufu ni Mungu pekee

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u5 ай бұрын

    Siasa za Tanzania ni tatizo jambo lililofanyika kwa manufaa ya taifa linaelezwa katika hali ya kumchongisha mtu na jamii za kuendeleza chuki zinazomfanya asiweze kushiriki katika mambo ya jamii.Kwa hali hii Polisi, Hakimu na fani zingine watu wake wanapata shida kushiriki na jamii.Waziri wape Semina wajue wajibu wao kutofautisha muda sahihi kwa matumizi sahihi.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    We miss you in the parliament!!!

  • @alvangidion9366
    @alvangidion93665 жыл бұрын

    Big up mr mwakyembe and mwana sheria

  • @user-um3uw1sw1k
    @user-um3uw1sw1k5 ай бұрын

    Mwakyembe ni moja kati ya walio tamani nafazi ya waziri mkuu

  • @azizimangara9024
    @azizimangara90245 ай бұрын

    Kuna watu wanasema mwakyembe alikuwa anatamani uwaziri mkuu, hili Alina mashiko, UKIMFATILIA Mwakyembe akiwa bungeni huwa mzarendo na ananyooka sio hili la Richmond Tu hata kwenye mijadala mingine Mwakyembe huwa ananyooka anaongea wazi. Wewe mfatilie krip zake. Iliperekea mbaka kawekewa mambo furani kwenye tauro. Ukiona mtu anataka kupotezwa ujue kawakaria kooni. Mwakyembe alikuwa mzalendo

  • @user-zl3le1wz2u

    @user-zl3le1wz2u

    4 ай бұрын

    Awe hata Spika tu akina mama wanaogopa kusutana hadi kuuza bandari yetu

  • @petrolukumay6627
    @petrolukumay66275 жыл бұрын

    Thanks you

  • @user-op7eu9gv6x
    @user-op7eu9gv6x5 ай бұрын

    Mwakembe huyu n rabish y kiongozi

  • @user-zl3le1wz2u

    @user-zl3le1wz2u

    4 ай бұрын

    Unafurahia Richmond Elimu ni ukombozi si kuiba angeenda kuna fursa sio kutunyonya sisi maskini

  • @allytauka8196
    @allytauka81965 ай бұрын

    Hiv yuko wap huyu mzee sas hiv

  • @Gsamir694
    @Gsamir6945 ай бұрын

    Safi sana baba Harrison mwakyembe

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56775 ай бұрын

    Duh..!?

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke5 ай бұрын

    I will never believe CCM

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12565 ай бұрын

    Leo wewe upo wapi?

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa84447 жыл бұрын

    Hongera mwanasheria mkuu kwa kweli inabidi uwafahamishe SSi tunataka maendeleo na maendelea tut atapata kupita ccm mungu ibariki Tanzania mbariki na Rais wetu

  • @user-gs2ld6ly5e
    @user-gs2ld6ly5e5 ай бұрын

    Akika alikuwa mzalendo

  • @medadiclement7335
    @medadiclement73357 жыл бұрын

    musikate tamaa serikali yangu wazalendo tupo nyuma yenu

  • @kessykessy950

    @kessykessy950

    7 жыл бұрын

    Medadi Clement rais anafanya kazi nzuri sana pamoja na watendAji wake

  • @kessykessy950

    @kessykessy950

    7 жыл бұрын

    jaman rais akifanya mazuri watu wanachukia wanataka tufanye nn ili tuwaletee wananchi maendeleo baba endelea kutuletea maendeleo

  • @sadickmponyamilly
    @sadickmponyamilly7 жыл бұрын

    pelekeni sasa ushahid il sakata la #Richmond liishe bhanaa aaah

  • @owennyorido1876

    @owennyorido1876

    7 жыл бұрын

    utakesha Sana KAKA Kama matusi ndio ungozi 2020 mtaongoza

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45815 ай бұрын

    Leo lowassa tunaambiwa ni shujaa na hakuhusika na Richmind😂

  • @Frankgamanuel

    @Frankgamanuel

    5 ай бұрын

    Wewe unasemaje?...

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    5 ай бұрын

    HAIFAI KUMSEMA VIBAYA MAREHEMU. HATA WEWE UKIFA HIVYO HIVYO. KIFO NI JAMBO ZITO.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza4 ай бұрын

    Makyembe na wewe si yamekupata?

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa84447 жыл бұрын

    Wapinzani kwa stori hii ya mr mwakyembe kwa kweli 2090 labda ndio kutuongoza chadema

  • @sadickmponyamilly

    @sadickmponyamilly

    7 жыл бұрын

    Sharifs Mussa wewweee kaaa hvohvo tyuu kwa taarfa yko 2020 #Chadema madarakani

  • @dickluckyvictor6571

    @dickluckyvictor6571

    7 жыл бұрын

    Mussamussa Mussa ww utaotaaaa 2020 imooooo

  • @agnesmbogo3753
    @agnesmbogo37535 ай бұрын

    Mwakyembe ni mnafiki

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    5 ай бұрын

    Unafiki wake nini?

  • @leonardchoma3765

    @leonardchoma3765

    5 ай бұрын

    Mwakyembe ana unafiki gani?Watu kama Mwakyembe ni wachache Sana katika nchi yetu.

  • @HabariPunde

    @HabariPunde

    5 ай бұрын

    Unafiki wake ni upi?

  • @makibadatela7865
    @makibadatela78655 ай бұрын

    Watu wa Jimbo lake walitambua hawafai wakamkataa Mwakyembe, Mnazani nyei mnamfahamu zaidi yao? Haya yote walijionea zamani,wakamwaga. Uzalendo huanzia nyumbani.