Mwakyembe alivyo mtaja Lowassa Bungeni sakata la Richmond
Mwakyembe alivyo mtaja Lowassa Bungeni sakata la Richmond
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 36
Tatizo ilikuwa u wazri mkuu pumzika Kwa Amani Edward Lowasa
Mwekyembe tunakumiss sana bungeni hakika kwenye serikali zote ulikuwa waziri bora kabisa kuwai kutokea japo hii ilipelekea kuwa na watesi wengi walitaka hata kuutoa uhai wako lkn hakika mungu alikuwa mwema kwako
Mtukufu ni Mungu pekee
Siasa za Tanzania ni tatizo jambo lililofanyika kwa manufaa ya taifa linaelezwa katika hali ya kumchongisha mtu na jamii za kuendeleza chuki zinazomfanya asiweze kushiriki katika mambo ya jamii.Kwa hali hii Polisi, Hakimu na fani zingine watu wake wanapata shida kushiriki na jamii.Waziri wape Semina wajue wajibu wao kutofautisha muda sahihi kwa matumizi sahihi.
We miss you in the parliament!!!
Big up mr mwakyembe and mwana sheria
Mwakyembe ni moja kati ya walio tamani nafazi ya waziri mkuu
Kuna watu wanasema mwakyembe alikuwa anatamani uwaziri mkuu, hili Alina mashiko, UKIMFATILIA Mwakyembe akiwa bungeni huwa mzarendo na ananyooka sio hili la Richmond Tu hata kwenye mijadala mingine Mwakyembe huwa ananyooka anaongea wazi. Wewe mfatilie krip zake. Iliperekea mbaka kawekewa mambo furani kwenye tauro. Ukiona mtu anataka kupotezwa ujue kawakaria kooni. Mwakyembe alikuwa mzalendo
@user-zl3le1wz2u
4 ай бұрын
Awe hata Spika tu akina mama wanaogopa kusutana hadi kuuza bandari yetu
Thanks you
Mwakembe huyu n rabish y kiongozi
@user-zl3le1wz2u
4 ай бұрын
Unafurahia Richmond Elimu ni ukombozi si kuiba angeenda kuna fursa sio kutunyonya sisi maskini
Hiv yuko wap huyu mzee sas hiv
Safi sana baba Harrison mwakyembe
Duh..!?
I will never believe CCM
Leo wewe upo wapi?
Hongera mwanasheria mkuu kwa kweli inabidi uwafahamishe SSi tunataka maendeleo na maendelea tut atapata kupita ccm mungu ibariki Tanzania mbariki na Rais wetu
Akika alikuwa mzalendo
musikate tamaa serikali yangu wazalendo tupo nyuma yenu
@kessykessy950
7 жыл бұрын
Medadi Clement rais anafanya kazi nzuri sana pamoja na watendAji wake
@kessykessy950
7 жыл бұрын
jaman rais akifanya mazuri watu wanachukia wanataka tufanye nn ili tuwaletee wananchi maendeleo baba endelea kutuletea maendeleo
pelekeni sasa ushahid il sakata la #Richmond liishe bhanaa aaah
@owennyorido1876
7 жыл бұрын
utakesha Sana KAKA Kama matusi ndio ungozi 2020 mtaongoza
Leo lowassa tunaambiwa ni shujaa na hakuhusika na Richmind😂
@Frankgamanuel
5 ай бұрын
Wewe unasemaje?...
@ziadasadiki8196
5 ай бұрын
HAIFAI KUMSEMA VIBAYA MAREHEMU. HATA WEWE UKIFA HIVYO HIVYO. KIFO NI JAMBO ZITO.
Makyembe na wewe si yamekupata?
Wapinzani kwa stori hii ya mr mwakyembe kwa kweli 2090 labda ndio kutuongoza chadema
@sadickmponyamilly
7 жыл бұрын
Sharifs Mussa wewweee kaaa hvohvo tyuu kwa taarfa yko 2020 #Chadema madarakani
@dickluckyvictor6571
7 жыл бұрын
Mussamussa Mussa ww utaotaaaa 2020 imooooo
Mwakyembe ni mnafiki
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Unafiki wake nini?
@leonardchoma3765
5 ай бұрын
Mwakyembe ana unafiki gani?Watu kama Mwakyembe ni wachache Sana katika nchi yetu.
@HabariPunde
5 ай бұрын
Unafiki wake ni upi?
Watu wa Jimbo lake walitambua hawafai wakamkataa Mwakyembe, Mnazani nyei mnamfahamu zaidi yao? Haya yote walijionea zamani,wakamwaga. Uzalendo huanzia nyumbani.