Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza
Пікірлер: 313
Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu
@christophertarimo5047
3 жыл бұрын
Sio mchezo
itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu
Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??
Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe
@helencyprian6044
3 жыл бұрын
Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu
Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu
Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute
@meshackkwigize9848
4 жыл бұрын
Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka
Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact
@tithombilinyi3006
6 жыл бұрын
iddi sambalo a
Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}
Lissu is always ahead of time
SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,
@helencyprian6044
3 жыл бұрын
Asante sana
Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby
Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA
Shetani tu ndo atampiga Lisu
Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??
@abdallahantony9524
3 жыл бұрын
Hana hata kidogo
lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika
Mnyama Lissu long life man
Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda
@priscamalima2276
7 жыл бұрын
افلح السريرس nakupenda bulee
Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!
hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa
@aggreyenock1221
7 жыл бұрын
Raibena ! hawana akili hao
@rosehillary8742
7 жыл бұрын
Na hatutabadilika kamwe
@fabianvenance2891
6 жыл бұрын
Raibena ! Hua nakuelewa sana hata nisipokula najisikia kama mtanzania
@sammysammy5483
4 жыл бұрын
Rebeka ww huna akili fala ww
Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.
Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi
Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time
Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum
mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭
@spiritualman_7
Жыл бұрын
😂😂😂😢
No one like Lissu, God bless you!
@fnnyanda5993
3 жыл бұрын
Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao. Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.
Mungu akupe maisha malefu kamanda
Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.
dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU
ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU
@aggreyenock1221
7 жыл бұрын
V Allen una akili sana Dada angu
@emmanuelmsigwa714
7 жыл бұрын
walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.
@thetreasure2230
7 жыл бұрын
V Allen una IQ kubwa sana.
@getrudadodieck7164
6 жыл бұрын
tundu lissu
Huyu jamaa noma sana
Mzee lissu ww unajua yan
Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom
@luganokapula6267
7 жыл бұрын
Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn
@beatusnestory1158
7 жыл бұрын
Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn
Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.
LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!
JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.
@engbugomolajulius1018
7 жыл бұрын
The XYZ were jamaa umeona mbali sana.
Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥
kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua
tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa
Shikamooo tundu lisu
Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli
point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...
@mahewasamwel398
2 жыл бұрын
Sio kuhojiwa wafungwe kabsa
Lissuuu saluti kwk
Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!
Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥
@babuwaziri715
3 жыл бұрын
Dua yako mungu ameijibu
lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda
Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye
sawa tindu lisu leo umewapa ukweli
Tundu always iz back
Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe
2onesheni kisomi wapi mnafki sio chuki zenu na ujinga 2 ulio watawala,msikilize vzr pnt zake wenyewe warowezi wanamuogopa muone evn spika sura yake haina furaha,wao kazi yao kumsifu rais hadi muda unaisha,CHADEMA kule kwa wasomi na waelewa
@helencyprian6044
3 жыл бұрын
Hujakosea kabisa, sikiliza alofuata baada ya lisu halafu jipe jibu
Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!
Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina
LISSU the Legend
Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.
Nani anasikiliza hii mwaka April 20121
@kwisa4899
3 жыл бұрын
👍
@babuwaziri715
3 жыл бұрын
Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo
@yuzotv458
3 жыл бұрын
hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!
MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie
SHIKAMOO LISSU
Hizi ndio hoja zenye Afya..... Lissu endeleza babu, watu wanashindwa kutofautisha kupinga na kukosoa kwamba ni mambo mawili tofauti. Niligemea JPM angekuwa anawapongeza wale wote waliokuwa wanazungumzia ili suala wakati likiwa changa. Hivi kusifiwa lazima asifiwe mkubwa tu mdogo huwa hasifiwi??? Rais awaunge mkono hawa jamaa huwa wana hoja zenye mashiko mno.... Hao wabunge wake hawana msaada wanakosa maarifa na wamejaa uwoga. Mh. Rais acha watu wakukosoe na kukupinga kwani ili ndio litakujenga zaidi kwani wewe ndio muamuzi wa kile unachokiona ni sahihi, ila ushauri mzuri chukua.
@manish-fp1fb
7 жыл бұрын
Lissu anachokoza mada... tupo hapa tulipo because of u mnaojiita chama tawala.
@barakamusa9745
6 жыл бұрын
lisuuu
siku Tundu lisu akaacha kupiga kelele Tanzania tutaibiwa hadi vichwa vyetu
Tundu lisu oyeeee
Wewe ni kifaa Allah atakulipa
Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada
@hajihajiobery8317
6 жыл бұрын
Shams Said
JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤
watanzania 2badilike msomi anaongea kwa fact(improved by evidance),Tundu anashawishi ila ccm wanaleta uelewa wao2,hapo ana hadi report zote anaonesha,lini kulifanyika nini mfano lini walipiga saini juu ya hiyo mikataba,anahoji kwanini washuhurikiwe wengine waachwe.mnaosema mnafki 2onesheni 2one mki2zidi pnt 2nafuata mawazo yenu,pr tibaijuka mwenyewe kasisitiza serikali im2mie
@rosehillary8742
7 жыл бұрын
Jamani mumuelewe Huyu Lissu anamaana sana.HAkurupuki
Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah
Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!
Wew utapata uraizi mim chma chdema
woooh thatz great
Nakukubali sana lisu
Mungu tubariki watoto wa Tz
SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤
Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭
@babuwaziri715
3 жыл бұрын
Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?
lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie
tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu
respect u!
Mashine ya kazi hiyo
The legend tundu lisu
Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.
The MASTER!
Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi
Msio mpenda kaja shikamo lisu wambie ukweli hao ujumbe umefika
@simbadume3126
7 жыл бұрын
Hana kitu huyo, usimdhamini atakudis-appoint mbele, huyu rais wa sasa sio mkurupukaji kama wengi wanavyodhani...tumpe muda tutaona. Hakuna jipya hapo!
@Adryfierce
7 жыл бұрын
Simba Dume Muda upi tena, mtu karibia anaingia mwaka wa tatu lkn hamna alichofanya zaid ya bla bla tu
@abdallahrenatus6677
7 жыл бұрын
+Simba Dume kaibua mambo mengi Na hayajakmilka
@samweldanford4660
6 жыл бұрын
Shujaa
mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu
Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza
A Very skilled M. P
Acha wafu msifie mfu kisha mfe mzikane...uzalendo kwanza kumpiga Jpm ni sawa na kuongea kimakonde ulaya ...Watz HATUWASOMI KABISAAA na visiasa vyenu feki mtasubili sana.
lisu love you so much
Kamandaaaa
makinikia yale mabilioni yameishia wapi wadau?
Lissu akisikia tena waneno aliyosema sijui atajisikiaje?
Sema baba seeeemaaaa!!
Huyu jamaa anajua sanaa, sema kaja kubadirika uku mwisho.
I had to revisit 😢
unajuwa bhna naomba watu wenye uelewe na waelewe tatizo lililopo bungeni ni hoja na kusifiana, je kina nani wanatoa hoja na kina nani wanatoa sifa? wabunge wa upinzani mm binafsi nawapenda Sana kwasababu wao ndo wanampa changamoto raisi kila saa afanye mambo mazuri Lakini Hawa wa ccm sio wote baadhi kwakweli wao ndo chanzo hata mamikataba mabovu kusainiwa na kuendelea kusainiwa coz wao kila saa ni watu wakuafiki na kusifia tu. ushauli watu watulize mawazo yao wachangia vitu walivyo na uhakika navyo na kuniamini waache kufata mkumbo
@saidbenjamin721
7 жыл бұрын
kweli kabisa
Nikitaka kuangalia bunge mwakahuu,nitajikusha
nakuelewa mpaka naumwa kaka
Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi
we mzee jipya una kwa magu mtasubiri sana
Tunakumis Mh Lisu
Wew tundulisu ulichemka hapo mbona magufuli kaweza leo umeumbuka kweli wew
Mungu yupo juu ya nchi,ila swali langu huwa ni,kwa maslahi ya nani,wachache wasemao kweli wafungwe?