Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza

Пікірлер: 313

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones96454 жыл бұрын

    Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu

  • @christophertarimo5047

    @christophertarimo5047

    3 жыл бұрын

    Sio mchezo

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda4164 жыл бұрын

    itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo98337 жыл бұрын

    Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??

  • @josephkisura8898
    @josephkisura88984 жыл бұрын

    Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe

  • @helencyprian6044

    @helencyprian6044

    3 жыл бұрын

    Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu

  • @geraldcargotransporters8544
    @geraldcargotransporters85447 жыл бұрын

    Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu

  • @jensennashon6147
    @jensennashon61477 жыл бұрын

    Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute

  • @meshackkwigize9848

    @meshackkwigize9848

    4 жыл бұрын

    Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka

  • @iddisambalo8421
    @iddisambalo84217 жыл бұрын

    Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact

  • @tithombilinyi3006

    @tithombilinyi3006

    6 жыл бұрын

    iddi sambalo a

  • @daybrelimite6126
    @daybrelimite61267 жыл бұрын

    Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}

  • @isayamachaine4705
    @isayamachaine4705 Жыл бұрын

    Lissu is always ahead of time

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe73976 жыл бұрын

    SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,

  • @helencyprian6044

    @helencyprian6044

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @TegooMuhando
    @TegooMuhando2 ай бұрын

    Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby

  • @venancemsanjila1895
    @venancemsanjila18957 жыл бұрын

    Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya7 жыл бұрын

    Shetani tu ndo atampiga Lisu

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala81195 жыл бұрын

    Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??

  • @abdallahantony9524

    @abdallahantony9524

    3 жыл бұрын

    Hana hata kidogo

  • @emanuelbelato7524
    @emanuelbelato75247 жыл бұрын

    lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika

  • @mwajumafadhily7712
    @mwajumafadhily77126 жыл бұрын

    Mnyama Lissu long life man

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын

    Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda

  • @priscamalima2276

    @priscamalima2276

    7 жыл бұрын

    افلح السريرس nakupenda bulee

  • @samwelmwinyi7879
    @samwelmwinyi78797 жыл бұрын

    Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!

  • @raibena2695
    @raibena26957 жыл бұрын

    hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa

  • @aggreyenock1221

    @aggreyenock1221

    7 жыл бұрын

    Raibena ! hawana akili hao

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    Na hatutabadilika kamwe

  • @fabianvenance2891

    @fabianvenance2891

    6 жыл бұрын

    Raibena ! Hua nakuelewa sana hata nisipokula najisikia kama mtanzania

  • @sammysammy5483

    @sammysammy5483

    4 жыл бұрын

    Rebeka ww huna akili fala ww

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL6 жыл бұрын

    Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi

  • @arnoldarnold6271
    @arnoldarnold62714 жыл бұрын

    Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time

  • @manywelemanywele7621
    @manywelemanywele76216 жыл бұрын

    Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum

  • @benny4345
    @benny43457 жыл бұрын

    mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭

  • @spiritualman_7

    @spiritualman_7

    Жыл бұрын

    😂😂😂😢

  • @DanielDaniel-ey8th
    @DanielDaniel-ey8th7 жыл бұрын

    No one like Lissu, God bless you!

  • @fnnyanda5993

    @fnnyanda5993

    3 жыл бұрын

    Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao. Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.

  • @severinepetro4395
    @severinepetro43954 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu kamanda

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani12355 жыл бұрын

    Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.

  • @erickrobinson8826
    @erickrobinson88267 жыл бұрын

    dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU

  • @Tutindaga
    @Tutindaga7 жыл бұрын

    ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU

  • @aggreyenock1221

    @aggreyenock1221

    7 жыл бұрын

    V Allen una akili sana Dada angu

  • @emmanuelmsigwa714

    @emmanuelmsigwa714

    7 жыл бұрын

    walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.

  • @thetreasure2230

    @thetreasure2230

    7 жыл бұрын

    V Allen una IQ kubwa sana.

  • @getrudadodieck7164

    @getrudadodieck7164

    6 жыл бұрын

    tundu lissu

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu3 ай бұрын

    Huyu jamaa noma sana

  • @robertonaftal4856
    @robertonaftal48567 жыл бұрын

    Mzee lissu ww unajua yan

  • @TheQaled
    @TheQaled7 жыл бұрын

    Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom

  • @luganokapula6267

    @luganokapula6267

    7 жыл бұрын

    Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn

  • @beatusnestory1158

    @beatusnestory1158

    7 жыл бұрын

    Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.

  • @alexlyova5115
    @alexlyova51157 жыл бұрын

    LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!

  • @thetreasure2230
    @thetreasure22307 жыл бұрын

    JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.

  • @engbugomolajulius1018

    @engbugomolajulius1018

    7 жыл бұрын

    The XYZ were jamaa umeona mbali sana.

  • @isackmabanza4937
    @isackmabanza4937 Жыл бұрын

    Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥

  • @noelasimon1878
    @noelasimon18783 жыл бұрын

    kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua

  • @boniphasmvungi9807
    @boniphasmvungi98077 жыл бұрын

    tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala62247 жыл бұрын

    Shikamooo tundu lisu

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard55387 жыл бұрын

    Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli

  • @jumajasjas2925
    @jumajasjas29257 жыл бұрын

    point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...

  • @mahewasamwel398

    @mahewasamwel398

    2 жыл бұрын

    Sio kuhojiwa wafungwe kabsa

  • @joxeesetty1980
    @joxeesetty19807 жыл бұрын

    Lissuuu saluti kwk

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26405 жыл бұрын

    Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo6364 жыл бұрын

    Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥

  • @babuwaziri715

    @babuwaziri715

    3 жыл бұрын

    Dua yako mungu ameijibu

  • @zabronhamad9530
    @zabronhamad95306 жыл бұрын

    lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda

  • @christantkitaka4946
    @christantkitaka49463 жыл бұрын

    Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye

  • @marryshilla2922
    @marryshilla29227 жыл бұрын

    sawa tindu lisu leo umewapa ukweli

  • @saidjagger.5543
    @saidjagger.55434 жыл бұрын

    Tundu always iz back

  • @johngavile5106
    @johngavile51065 жыл бұрын

    Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe

  • @samuelmuhina3186
    @samuelmuhina31867 жыл бұрын

    2onesheni kisomi wapi mnafki sio chuki zenu na ujinga 2 ulio watawala,msikilize vzr pnt zake wenyewe warowezi wanamuogopa muone evn spika sura yake haina furaha,wao kazi yao kumsifu rais hadi muda unaisha,CHADEMA kule kwa wasomi na waelewa

  • @helencyprian6044

    @helencyprian6044

    3 жыл бұрын

    Hujakosea kabisa, sikiliza alofuata baada ya lisu halafu jipe jibu

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 Жыл бұрын

    Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian75324 жыл бұрын

    Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo50473 жыл бұрын

    LISSU the Legend

  • @peninamartin9867
    @peninamartin98677 жыл бұрын

    Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 жыл бұрын

    Nani anasikiliza hii mwaka April 20121

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    3 жыл бұрын

    👍

  • @babuwaziri715

    @babuwaziri715

    3 жыл бұрын

    Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    3 жыл бұрын

    hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!

  • @kovuchanelstar9446
    @kovuchanelstar94466 жыл бұрын

    MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour94597 жыл бұрын

    SHIKAMOO LISSU

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb7 жыл бұрын

    Hizi ndio hoja zenye Afya..... Lissu endeleza babu, watu wanashindwa kutofautisha kupinga na kukosoa kwamba ni mambo mawili tofauti. Niligemea JPM angekuwa anawapongeza wale wote waliokuwa wanazungumzia ili suala wakati likiwa changa. Hivi kusifiwa lazima asifiwe mkubwa tu mdogo huwa hasifiwi??? Rais awaunge mkono hawa jamaa huwa wana hoja zenye mashiko mno.... Hao wabunge wake hawana msaada wanakosa maarifa na wamejaa uwoga. Mh. Rais acha watu wakukosoe na kukupinga kwani ili ndio litakujenga zaidi kwani wewe ndio muamuzi wa kile unachokiona ni sahihi, ila ushauri mzuri chukua.

  • @manish-fp1fb

    @manish-fp1fb

    7 жыл бұрын

    Lissu anachokoza mada... tupo hapa tulipo because of u mnaojiita chama tawala.

  • @barakamusa9745

    @barakamusa9745

    6 жыл бұрын

    lisuuu

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni22857 жыл бұрын

    siku Tundu lisu akaacha kupiga kelele Tanzania tutaibiwa hadi vichwa vyetu

  • @frankmanga3721
    @frankmanga37217 жыл бұрын

    Tundu lisu oyeeee

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim64026 жыл бұрын

    Wewe ni kifaa Allah atakulipa

  • @shamssaid7632
    @shamssaid76327 жыл бұрын

    Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada

  • @hajihajiobery8317

    @hajihajiobery8317

    6 жыл бұрын

    Shams Said

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda607910 ай бұрын

    JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤

  • @samuelmuhina3186
    @samuelmuhina31867 жыл бұрын

    watanzania 2badilike msomi anaongea kwa fact(improved by evidance),Tundu anashawishi ila ccm wanaleta uelewa wao2,hapo ana hadi report zote anaonesha,lini kulifanyika nini mfano lini walipiga saini juu ya hiyo mikataba,anahoji kwanini washuhurikiwe wengine waachwe.mnaosema mnafki 2onesheni 2one mki2zidi pnt 2nafuata mawazo yenu,pr tibaijuka mwenyewe kasisitiza serikali im2mie

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    Jamani mumuelewe Huyu Lissu anamaana sana.HAkurupuki

  • @Adryfierce
    @Adryfierce7 жыл бұрын

    Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah

  • @evaristedward8557
    @evaristedward85577 жыл бұрын

    Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!

  • @bonybabalao8921
    @bonybabalao89214 жыл бұрын

    Wew utapata uraizi mim chma chdema

  • @jobmbwilo7960
    @jobmbwilo79606 жыл бұрын

    woooh thatz great

  • @gichochore9990
    @gichochore99903 жыл бұрын

    Nakukubali sana lisu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64643 жыл бұрын

    Mungu tubariki watoto wa Tz

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda607910 ай бұрын

    SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤

  • @salummawazo4324
    @salummawazo43243 жыл бұрын

    Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭

  • @babuwaziri715

    @babuwaziri715

    3 жыл бұрын

    Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?

  • @patrickpaul5692
    @patrickpaul56926 жыл бұрын

    lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie

  • @danielnyangi7806
    @danielnyangi78067 жыл бұрын

    tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu

  • @fayeezomar8283
    @fayeezomar82837 жыл бұрын

    respect u!

  • @boscojohn4120
    @boscojohn41205 жыл бұрын

    Mashine ya kazi hiyo

  • @tanzaniatheroyaltour518
    @tanzaniatheroyaltour5182 жыл бұрын

    The legend tundu lisu

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka69614 жыл бұрын

    Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.

  • @jumaedward7110
    @jumaedward71102 жыл бұрын

    The MASTER!

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын

    Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi

  • @markkayuni9775
    @markkayuni97757 жыл бұрын

    Msio mpenda kaja shikamo lisu wambie ukweli hao ujumbe umefika

  • @simbadume3126

    @simbadume3126

    7 жыл бұрын

    Hana kitu huyo, usimdhamini atakudis-appoint mbele, huyu rais wa sasa sio mkurupukaji kama wengi wanavyodhani...tumpe muda tutaona. Hakuna jipya hapo!

  • @Adryfierce

    @Adryfierce

    7 жыл бұрын

    Simba Dume Muda upi tena, mtu karibia anaingia mwaka wa tatu lkn hamna alichofanya zaid ya bla bla tu

  • @abdallahrenatus6677

    @abdallahrenatus6677

    7 жыл бұрын

    +Simba Dume kaibua mambo mengi Na hayajakmilka

  • @samweldanford4660

    @samweldanford4660

    6 жыл бұрын

    Shujaa

  • @mohamedmnjeja6182
    @mohamedmnjeja6182 Жыл бұрын

    mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu

  • @guliyinyabungi332
    @guliyinyabungi33210 ай бұрын

    Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza

  • @hopekacheranga2065
    @hopekacheranga20655 жыл бұрын

    A Very skilled M. P

  • @amosdaudi9793
    @amosdaudi97937 жыл бұрын

    Acha wafu msifie mfu kisha mfe mzikane...uzalendo kwanza kumpiga Jpm ni sawa na kuongea kimakonde ulaya ...Watz HATUWASOMI KABISAAA na visiasa vyenu feki mtasubili sana.

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu67626 жыл бұрын

    lisu love you so much

  • @lucasmagori5784
    @lucasmagori57847 жыл бұрын

    Kamandaaaa

  • @denisfidelismapunda4316
    @denisfidelismapunda43166 жыл бұрын

    makinikia yale mabilioni yameishia wapi wadau?

  • @sometimes5621
    @sometimes56214 жыл бұрын

    Lissu akisikia tena waneno aliyosema sijui atajisikiaje?

  • @stephanothomas3585
    @stephanothomas35856 жыл бұрын

    Sema baba seeeemaaaa!!

  • @shedeck8974
    @shedeck89743 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua sanaa, sema kaja kubadirika uku mwisho.

  • @paulowangoma4932
    @paulowangoma4932 Жыл бұрын

    I had to revisit 😢

  • @sebambangwa5009
    @sebambangwa50097 жыл бұрын

    unajuwa bhna naomba watu wenye uelewe na waelewe tatizo lililopo bungeni ni hoja na kusifiana, je kina nani wanatoa hoja na kina nani wanatoa sifa? wabunge wa upinzani mm binafsi nawapenda Sana kwasababu wao ndo wanampa changamoto raisi kila saa afanye mambo mazuri Lakini Hawa wa ccm sio wote baadhi kwakweli wao ndo chanzo hata mamikataba mabovu kusainiwa na kuendelea kusainiwa coz wao kila saa ni watu wakuafiki na kusifia tu. ushauli watu watulize mawazo yao wachangia vitu walivyo na uhakika navyo na kuniamini waache kufata mkumbo

  • @saidbenjamin721

    @saidbenjamin721

    7 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto13733 жыл бұрын

    Nikitaka kuangalia bunge mwakahuu,nitajikusha

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu67626 жыл бұрын

    nakuelewa mpaka naumwa kaka

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria256810 ай бұрын

    Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi

  • @johaivenilutimba7587
    @johaivenilutimba75877 жыл бұрын

    we mzee jipya una kwa magu mtasubiri sana

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph144 жыл бұрын

    Tunakumis Mh Lisu

  • @mussabulugu6319
    @mussabulugu63194 жыл бұрын

    Wew tundulisu ulichemka hapo mbona magufuli kaweza leo umeumbuka kweli wew

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu3667 жыл бұрын

    Mungu yupo juu ya nchi,ila swali langu huwa ni,kwa maslahi ya nani,wachache wasemao kweli wafungwe?