BAADA YA KAULI YA RAIS SAMIA TUNDU LISU AMJIBU KWA UKALI AMTAJA MWANAE AMENILETEA RUSHWA

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: KusagaMedia
Instagram: kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320/videos
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?lang=en

Пікірлер: 114

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Heche,Mbowe,Mnyika na makamanda wengine mko wapi?

  • @Nyalafu

    @Nyalafu

    Ай бұрын

    Salum Mwalimu pia alipotelea wapi

  • @nabii-zc1hm

    @nabii-zc1hm

    Ай бұрын

    ​@@Nyalafuatakuwa alipotelea kwenye noti ya mia

  • @veronicanicholaus3375
    @veronicanicholaus3375Ай бұрын

    Kigaboni nako tumefukuzwa.

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020Ай бұрын

    Muungano unaumiza Tanganyika! Zanzibar kukoshwari lakini Tanganyika hakuna peace tunavurugwa sana.

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020Ай бұрын

    Tanganyika tulipigwa changa machoni! Zanzibar wako vizuri.

  • @matiredms917
    @matiredms917Ай бұрын

    Mbona hii ni hotuba ya Tundu Lissu ya tarehe nane June na siyo majibu ya Tundu Lissu wa kauli ya Samia? Huu ni uhuni tu kwa upande wa Mtangazaji?

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    Ай бұрын

    Kweli kabisa huu ni uhuni kupitiliza.ujinga tu.

  • @1961nungwi

    @1961nungwi

    Ай бұрын

    Ni kutokuheshimu watazamaji wenu na wasikilizaji wenu!

  • @gracemima5234
    @gracemima5234Ай бұрын

    Tuambie utawafanyia nini watanzania? Ni kusema huyu mama si mama yetu! Wewe utaleta manadiliko gani?

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986Ай бұрын

    Mm kichwa kiko sawa kweli

  • @user-gy5gu1mn4x

    @user-gy5gu1mn4x

    Ай бұрын

    Wew shonga asha kiongosi wetu

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44Ай бұрын

    Mungekuwa Congo

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    Huwezi kuzuia mafuriko kwa Mikono😂😂😂😂

  • @dyoa6987
    @dyoa698725 күн бұрын

    Upuuzi tu

  • @RichardMeena-sm5vm
    @RichardMeena-sm5vmАй бұрын

    🙏🙏🙏

  • @charlzmboya
    @charlzmboyaАй бұрын

    MH LISU WATANZANIA TUPO PAMOJA NA WEWE UNACHO ZU NGUMZA UNAELEWEKA KWA ASILIMIA 100...CHAPA KAZI BABA AMSHA NA ENDELEA KUWAELIMISHA WATANZANIA ...TUNAKUPE DA TUNAKUAMINI TUPO PAMOJA MH

  • @salhaomar5382

    @salhaomar5382

    Ай бұрын

    Katika hao watanzania mimi nitoe

  • @paulmathias6328

    @paulmathias6328

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂saf sanaaaaaa lisu nakukubar sanaaaaaa

  • @Abdallahshadia
    @AbdallahshadiaАй бұрын

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rfАй бұрын

    Mama Abdul izo ni mvua za Rasha rasha Bdo mda

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760Ай бұрын

    Kweli Watanzania tunakuwa walegevu kiasi cha kukatisha tamaa! Yaani hongo ya wazi ya hizo pikipiki 700 kila mkoa, tena zikiwa tayari na jina la anayetarajiwa kuwa mgombea u Rais 2025, bado watu hawataki TL aikemee kama rushwa ktk uchaguzi? Kama hilo halikemewi kwa vile ni la Rais SSH, hiyo rushwa nyingine kwingineko kwa nini inakemewa na kuchukuliwa hatua?? Inastaajabisha sana jinsi mambo yalivyo hovyo hovyo hapa nchini; someone once said: CERTAIN THINGS ONLY HAPPEN IN TZ!

  • @RutinikiGosbert

    @RutinikiGosbert

    26 күн бұрын

    Kwakweli ndugu watanzania hatujielewi baadhi lakini maana hii ni hongo na pesa za umma ndo zinanunua izo pikipiki

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    HIVI MBONA HAMTOI TATHIMIN YA MAANDAMANO AU ILIKUWA N JOGINGI😂😂 NAOMBA KUWASILISHA

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    Ай бұрын

    UMEJUAJE?

  • @williammarete3970
    @williammarete397024 күн бұрын

    Zungumza tu sera ili tukubali au tukatae. Usimguse mtu! Anaweza kuitwa mama kulingana na athari zake kwetu wote.Hilo tuachie sisi.

  • @glorymungure7740
    @glorymungure7740Ай бұрын

    😄😄😄

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Jibuni hoja safari hii habebwi mtu na mama

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44Ай бұрын

    Kamaunamradi wakufuga unapashwa kununua maeneo kwaajili yamifugo yakwako

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETAАй бұрын

    LAKINI MBONA WALINZI NI KAMA NI MAPACHA?

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44Ай бұрын

    Watu niwajinga kweli mumtu anasaidia wakaaji atinimubaya kuanzia wakatiwa maguli ilikuwahivyo tu watanzania hamunashukrani

  • @manuchochannel5538

    @manuchochannel5538

    Ай бұрын

    Duh hicho kiswahili😅😅

  • @athumanimhina1869
    @athumanimhina1869Ай бұрын

    Muandishi akili huna hutuba ni ya tarehe nane na mama kaongea jana wasemaje kuwa kamjibu mama?

  • @Khalidhassan-fb2qm
    @Khalidhassan-fb2qm27 күн бұрын

    Me lisu bamkubali ila sipendi akiongelea mambo ya dini tuu nd namchukia

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44Ай бұрын

    Bila Kodi hakunamaendeleo

  • @user-jl5uh1xq9f

    @user-jl5uh1xq9f

    Ай бұрын

    Kodi inakanuni yake sio Kodi ya hovyohovyo.

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6lАй бұрын

    Nyie watanganyuka mnacheka kusema mtu atafanya mkurano au atakuwa mahabusu hayo ndo yakucheka lisu akiwa serious au mbowe nyie mnacheka

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856128 күн бұрын

    Tundulisu huwa hun 25:40 ahoja zaidi ya kumsema Rais hakuna Rais ambaye hujawahi msema .pikipiki hizo zinakuhusu nini nawewe nunuwa uwape wanachama wako

  • @ImaniAdam-go6eg
    @ImaniAdam-go6egАй бұрын

    gg

  • @femidayahaya9293

    @femidayahaya9293

    Ай бұрын

    Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie

  • @femidayahaya9293

    @femidayahaya9293

    Ай бұрын

    Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    @FrankMwakatundu-cu6bd

    Ай бұрын

    Tatizo lako kubwa hujui lolote kuhusu siasa inahusisnaje na Mungu!!!

  • @femidayahaya9293

    @femidayahaya9293

    Ай бұрын

    MUNGU AKUBARIKI

  • @JoelJoel-xu7lj
    @JoelJoel-xu7ljАй бұрын

    Toa Sera utatuletea Nini tupe ukitawara utaiendeshaje nchi elimu ndogo wewe huwezi ungekua umesomea uchumi kerere tuu

  • @user-kv6vc8sd7c
    @user-kv6vc8sd7cАй бұрын

    Kwanza mimi na hasara kumsema vibaya Rais mala nyingi muache afanye kazi kama wewe huoni kazi anazofanya kasafishwe macho

  • @JoelJoel-xu7lj
    @JoelJoel-xu7ljАй бұрын

    Isitoshe hotuba kuwatukana polisi kila siku matusi tupe utatufanyia Nini wewe ukipewa nchi

  • @samwelnevele7796

    @samwelnevele7796

    Ай бұрын

    Hana jipya kibaraka wa wazungu huyu

  • @makobamasawemangu4122

    @makobamasawemangu4122

    27 күн бұрын

    We ni mwehu police gani katukanwa

  • @samwelnevele7796

    @samwelnevele7796

    26 күн бұрын

    Ona ulivyo na tatizo la afya ya akili hiloooo jibu kwa hoja matusii yanakushusha utu wako na kama unahasira usijibu hoja nayo huwa ni hekima

  • @azruntravel4306
    @azruntravel4306Ай бұрын

    kijiti kimekukaza jiulize wale waliowahi kutawala Zanzibar walikuwa kutokea wapi?

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Ай бұрын

    MAKAFIRI WA UINGEREZA NDIO WALIOTAWALA ZANZIBAR Waliotawala Zanzibar ni Makafiri kutoka Uingereza na ndio walotoa Uhuru Kamili kwa Sheikh Muhammed Shamte al-Shirazi kwa niaba ya Wazanzibari.🎉❤🎉 Makafiri wa Tanganyika na Wabara walojiita Wafrika walikereka na waliubatiza kuwa ni Uhuru wa Bandia. Waliwapindua Wazanzibari kwa sababu ya Dini yao ya KIISLAM na kuunganishwa na Tanganyika kwa faida ya Kanisa na Usekula✝️ KWAKHERI UKOLONI KHEKHERI UHURU ZANZIBAR ARIJOJO 😂😂

  • @THEPOTTINGBENCH
    @THEPOTTINGBENCH29 күн бұрын

    Lissu akachukue ubunge tu!

  • @RutinikiGosbert

    @RutinikiGosbert

    26 күн бұрын

    Rais wa mioyo ya watu

  • @RutinikiGosbert

    @RutinikiGosbert

    26 күн бұрын

    Mimi Lissu mwangu ni chaguo mpenda haki na mkweli kura yangu na familia yangu ni kwako 25

  • @williammarete3970
    @williammarete397024 күн бұрын

    Swala la kuitwa MAMA tuachie. Uchungu wa mwana anaujua mama. Uchungu wa mama anaujua mwana! Ana UCHUNGU wa kweli na sisi watoto wake wa Kitanzania.

  • @user-rn9og1rk3l

    @user-rn9og1rk3l

    20 күн бұрын

    Mavi ya kuku wewe

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796Ай бұрын

    Lisu mungu hawezi kukupa nchi wewe kwa kuwa unadaiwa fedha nyingi na wafadhiribwako wakoloni weupe cha zaidi mungu atakunyang'anya pumzi kwa uchochezi

  • @aaronswai3092

    @aaronswai3092

    Ай бұрын

    Wewe nani umsemee Mungu kwa ishu za Lisu?

  • @samwelnevele7796

    @samwelnevele7796

    Ай бұрын

    @@aaronswai3092 mkono wa mungu mfalme wa aman

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448Ай бұрын

    LIsu hahahahahaha amegawa nini?kaka ndo maana wanakupiga hahaha ume mtait sana samia japo kuuza ardhi yetu sio sawa kabisa

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475Ай бұрын

    Hao wanaosikiliza kwako mkutanoni wachekapo wanakucheka wewe LISU. Hutambui hili? Sera zako Baba ndizo zinazotakiwa. Unatushangaza ati!

  • @user-kv6vc8sd7c

    @user-kv6vc8sd7c

    Ай бұрын

    Huyo Lisu ana tatizo la Afya ya Akiri Akatibiwe baada ya kuongea mambo ya msingi anamsema RAis kwanza anatuzazalisha sisi wanawake

  • @user-kv6vc8sd7c

    @user-kv6vc8sd7c

    Ай бұрын

    Hata mama wa mwenzio ni mama Yako

  • @user-kv6vc8sd7c

    @user-kv6vc8sd7c

    Ай бұрын

    Umechoka achia uongozi kwa vijana .kapumzike

  • @user-kv6vc8sd7c

    @user-kv6vc8sd7c

    Ай бұрын

    Kama unaweza kumsema vibaya mtu ambayo alikuja kukuona Nairobi hospital ulivyopigwa risasi jee sisi wengine wa mama utatujali?

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986Ай бұрын

    Maandamano yenu faida yake iko wapi

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    Ай бұрын

    Vipi na wewe. Una ungainly nyumbani au umelala njaa

  • @byamungujustin44
    @byamungujustin44Ай бұрын

    Watanzania serkali imewadekesha kabisa huyu mupinzani alikosavyakushitaki serkali kabisa aje Congo mashariki. Aone wanaoteswa

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5snАй бұрын

    Amna kitu apa Kwisha kazi

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    Mkutano una watu kumi na migomba kibao

  • @exaverysimon1064

    @exaverysimon1064

    Ай бұрын

    ,,,😂😂😂😂😂😂 em kunywa soda af ulipe ehenzi kabisa😅😅

  • @lucaschisamalo2852

    @lucaschisamalo2852

    Ай бұрын

    Hujielewi wewe eti watu 10 lissu hasombi watu na malori

  • @abdallahhashim236
    @abdallahhashim236Ай бұрын

    Binafsi sipendi approach unayoutumia mhe Lissu! Instead of critics mi nadhani ungejikita kwenye Sera zaidi. Sishabikii chama chochote ila nadhani watanzania wanapenda zaidi kusikia mikakati ya maendeleo rather than kusikia ukimtuhumu mtu kwa hili au lile. Angalia point zitakazomkomboa mwananchi ndio unaweza kuwavutia watu zaidi kuliko ku diss

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    Ай бұрын

    Umesema binafsi, so ungekaa kimya au husiangalie video crip zake. Hujalazimishwa

  • @karolikisaka8991

    @karolikisaka8991

    Ай бұрын

    Sera chadema wameshasema kwa Sasa wanatufindisha tuwe na ufahamu wa kutambua Hali ya nchi na nini kinaendelea.anatufjndisha ni kwanini ccm wameshindwa kutupatia maendeleo

  • @adenmwakalobo760

    @adenmwakalobo760

    Ай бұрын

    Kweli kuamsha mifugo ni kazi kubwa sana! Yaani wewe hutaki azungumzie rushwa ya wazi hiyo ya hizo pikipiki 700 ushee kila mkoa kwa wapiga kura, unataka badala yake azungumzie tu yeye atakavyoleta maendeleo kwa watu, hivi unaelewa usemacho wewe? Maendeleo gani yataletwa na Rais anayetaka achaguliwe 2025 kwa hongo ya pikipiki? Kama hilo kwako si hoja bali 'maendeleo' basi wewe kioja, mfugo😢

  • @leonardmallya7923

    @leonardmallya7923

    Ай бұрын

    Kama hauna akili nzuri utashindwa kumuelewa mh Lisu.Mungu azidi kubariki na kulinda kwani anawazindua akili Watanzania hasa Watanganyika

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014Ай бұрын

    Wewe tukana Tu hupati Kitu nenda Kwa zungu wakufire

  • @athumanimhina1869
    @athumanimhina1869Ай бұрын

    Tundu sera hana hajui akipata uongozi atatufanyia nini,kazi yake kulalamika

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8xАй бұрын

    hutba mavisana,haieleweki maanayake

  • @AishaAli-yo3zk
    @AishaAli-yo3zkАй бұрын

    Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa

  • @karolikisaka8991

    @karolikisaka8991

    Ай бұрын

    Sera tusubiri kampeni kwa Sasa ni elimu ya kujitambua. Jitahidini kukubali mabadiliko

  • @nassorcholo2515
    @nassorcholo2515Ай бұрын

    Huna hoja utawapanda wadini wezako tu nawachaga

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850Ай бұрын

    Jinga sana wewe

  • @user-mo3ik6go6r

    @user-mo3ik6go6r

    Ай бұрын

    Kuwa na hakili kidogo

  • @allonjoseph5467

    @allonjoseph5467

    Ай бұрын

    jinga ni ww unae pata lushwa kutoka ccm wana nchi tuna teseka huku mtaan

  • @yasakilube9946
    @yasakilube9946Ай бұрын

    Mpuuzi huyu kwann hakufa

  • @sophiaamnaay9726

    @sophiaamnaay9726

    Ай бұрын

    Kweli umepofuka wala huoni maovu hata kusikia hakuna. Si Shangai hata darasani mwl akifundisha wapo wapatao A na wapo wa pato F. Sasa wewe upo kwa hao wa F.

  • @sarahjames2287

    @sarahjames2287

    Ай бұрын

    Nafikiri atapata 0 plus na ni kibaka ameache Lidu wetu ni mkombozi wa Taifa hili

  • @pennymahombo9528

    @pennymahombo9528

    Ай бұрын

    Hivyo unajeuri ya kumwambia MUNGU aliyemuumba kwa nini kumpa uzima Kiumbe wake,naogopa sana, au una kiburi cha uzima au huamini kuwa yuko MUNGU anayesema USIUE roho zote ni Mali yake,ingia kwenye magoti utubu,maana hapo unamkosoa MUNGU anayetoa Amri. 'USIUE'!!!!!!!!!

  • @yasakilube9946

    @yasakilube9946

    Ай бұрын

    @@pennymahombo9528 mtu anaesapoti ushoga anahaja gni kuishi dunian

  • @yasakilube9946

    @yasakilube9946

    Ай бұрын

    @@sarahjames2287 mkombozi au mtetezi wa mashoga

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107Ай бұрын

    Unapoendelea kumsema Vibaya Samia, ndio unaifanya nafasi yako ya kushinda hata nafasi ya Udiwani, hao unaowahutubia nusu na robo ni wapenzi wa Samia "keep my words"

  • @allonjoseph5467

    @allonjoseph5467

    Ай бұрын

    ww lissu yupo sawa na wala haja msema samia vibaya anaisemea ccm bas namna wanavo tunynyasa

  • @xaixaiobrigado4846

    @xaixaiobrigado4846

    Ай бұрын

    Wacha wamsemao vibaya waseme;Naa, amsemae vizuri aseme!

  • @xaixaiobrigado4846

    @xaixaiobrigado4846

    Ай бұрын

    Anoweza kushinda uchaguzi huwa anaiba kura?

  • @michaelmabula7444

    @michaelmabula7444

    Ай бұрын

    Lisu anaongea sahihi Sie watanganyika kama hatutajitambua Tumekwisha

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014Ай бұрын

    Muongo mkubwa Wewe

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Wajinga ni wewe mchawa wa samia nani anayetaka utumwa wa wa Zanzibar ila ninyi wachawa wakubw. Hongera mtangazaji na Hongera jembe la wa Tanganyika Tundu Lissu

  • @kassidpandu866

    @kassidpandu866

    Ай бұрын

    kelele za chura tu hizooooo

  • @AlexanderJoachim-uu6rw

    @AlexanderJoachim-uu6rw

    Ай бұрын

    Demokrasiaaaaa

  • @AlexanderJoachim-uu6rw

    @AlexanderJoachim-uu6rw

    Ай бұрын

    Mimi nampenda sana rais wa nchi yangu.simtaji kwa jina kwa kuwa ni kumkosea adabu.yeye ni mh.mtukufu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania.

  • @AlexanderJoachim-uu6rw

    @AlexanderJoachim-uu6rw

    Ай бұрын

    Pia nampenda saana mh.tundulisu kwa kuwa ni mwana harakati wa mageuzi kupitia chama chake ndani ya vyama vya upinzani.lkn pia namwona kama ni nabii au mtume wa kisiasa.e.bu tuone vissiom yake

  • @dorothmsuya1686

    @dorothmsuya1686

    Ай бұрын

    Eti jembe la Tanganyika! 2025 atakua mundu! Nimekaa palee!😅😅😅😅😅

  • @dorahy1579
    @dorahy1579Ай бұрын

    Kuliko wewe Afadhali Samia Suluhu Hassan

  • @AishaAli-yo3zk
    @AishaAli-yo3zkАй бұрын

    Hunachamaana tena lissu

  • @nassorcholo2515
    @nassorcholo2515Ай бұрын

    Chama chachaga hii hichooo huna mpya

  • @charlzmboya
    @charlzmboyaАй бұрын

    Hawa vbaraka wa ccm wasio jielewa ipo cku wataelewa tu ni wajinga ila wataelimika tu ...LISU NO:¹

  • @AishaAli-yo3zk
    @AishaAli-yo3zkАй бұрын

    Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    Ай бұрын

    Mfano sera zipi??