BAADA YA KAULI YA RAIS SAMIA TUNDU LISU AMJIBU KWA UKALI AMTAJA MWANAE AMENILETEA RUSHWA
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: KusagaMedia
Instagram: kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320/videos
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?lang=en
Пікірлер: 114
Heche,Mbowe,Mnyika na makamanda wengine mko wapi?
@Nyalafu
Ай бұрын
Salum Mwalimu pia alipotelea wapi
@nabii-zc1hm
Ай бұрын
@@Nyalafuatakuwa alipotelea kwenye noti ya mia
Kigaboni nako tumefukuzwa.
Muungano unaumiza Tanganyika! Zanzibar kukoshwari lakini Tanganyika hakuna peace tunavurugwa sana.
Tanganyika tulipigwa changa machoni! Zanzibar wako vizuri.
Mbona hii ni hotuba ya Tundu Lissu ya tarehe nane June na siyo majibu ya Tundu Lissu wa kauli ya Samia? Huu ni uhuni tu kwa upande wa Mtangazaji?
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Kweli kabisa huu ni uhuni kupitiliza.ujinga tu.
@1961nungwi
Ай бұрын
Ni kutokuheshimu watazamaji wenu na wasikilizaji wenu!
Tuambie utawafanyia nini watanzania? Ni kusema huyu mama si mama yetu! Wewe utaleta manadiliko gani?
Mm kichwa kiko sawa kweli
@user-gy5gu1mn4x
Ай бұрын
Wew shonga asha kiongosi wetu
Mungekuwa Congo
Huwezi kuzuia mafuriko kwa Mikono😂😂😂😂
Upuuzi tu
🙏🙏🙏
MH LISU WATANZANIA TUPO PAMOJA NA WEWE UNACHO ZU NGUMZA UNAELEWEKA KWA ASILIMIA 100...CHAPA KAZI BABA AMSHA NA ENDELEA KUWAELIMISHA WATANZANIA ...TUNAKUPE DA TUNAKUAMINI TUPO PAMOJA MH
@salhaomar5382
Ай бұрын
Katika hao watanzania mimi nitoe
@paulmathias6328
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂saf sanaaaaaa lisu nakukubar sanaaaaaa
❤
Mama Abdul izo ni mvua za Rasha rasha Bdo mda
Kweli Watanzania tunakuwa walegevu kiasi cha kukatisha tamaa! Yaani hongo ya wazi ya hizo pikipiki 700 kila mkoa, tena zikiwa tayari na jina la anayetarajiwa kuwa mgombea u Rais 2025, bado watu hawataki TL aikemee kama rushwa ktk uchaguzi? Kama hilo halikemewi kwa vile ni la Rais SSH, hiyo rushwa nyingine kwingineko kwa nini inakemewa na kuchukuliwa hatua?? Inastaajabisha sana jinsi mambo yalivyo hovyo hovyo hapa nchini; someone once said: CERTAIN THINGS ONLY HAPPEN IN TZ!
@RutinikiGosbert
26 күн бұрын
Kwakweli ndugu watanzania hatujielewi baadhi lakini maana hii ni hongo na pesa za umma ndo zinanunua izo pikipiki
HIVI MBONA HAMTOI TATHIMIN YA MAANDAMANO AU ILIKUWA N JOGINGI😂😂 NAOMBA KUWASILISHA
@YOSHUAMWAMPETA
Ай бұрын
UMEJUAJE?
Zungumza tu sera ili tukubali au tukatae. Usimguse mtu! Anaweza kuitwa mama kulingana na athari zake kwetu wote.Hilo tuachie sisi.
😄😄😄
Jibuni hoja safari hii habebwi mtu na mama
Kamaunamradi wakufuga unapashwa kununua maeneo kwaajili yamifugo yakwako
LAKINI MBONA WALINZI NI KAMA NI MAPACHA?
Watu niwajinga kweli mumtu anasaidia wakaaji atinimubaya kuanzia wakatiwa maguli ilikuwahivyo tu watanzania hamunashukrani
@manuchochannel5538
Ай бұрын
Duh hicho kiswahili😅😅
Muandishi akili huna hutuba ni ya tarehe nane na mama kaongea jana wasemaje kuwa kamjibu mama?
Me lisu bamkubali ila sipendi akiongelea mambo ya dini tuu nd namchukia
Bila Kodi hakunamaendeleo
@user-jl5uh1xq9f
Ай бұрын
Kodi inakanuni yake sio Kodi ya hovyohovyo.
Nyie watanganyuka mnacheka kusema mtu atafanya mkurano au atakuwa mahabusu hayo ndo yakucheka lisu akiwa serious au mbowe nyie mnacheka
Tundulisu huwa hun 25:40 ahoja zaidi ya kumsema Rais hakuna Rais ambaye hujawahi msema .pikipiki hizo zinakuhusu nini nawewe nunuwa uwape wanachama wako
gg
@femidayahaya9293
Ай бұрын
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
@femidayahaya9293
Ай бұрын
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
@FrankMwakatundu-cu6bd
Ай бұрын
Tatizo lako kubwa hujui lolote kuhusu siasa inahusisnaje na Mungu!!!
@femidayahaya9293
Ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI
Toa Sera utatuletea Nini tupe ukitawara utaiendeshaje nchi elimu ndogo wewe huwezi ungekua umesomea uchumi kerere tuu
Kwanza mimi na hasara kumsema vibaya Rais mala nyingi muache afanye kazi kama wewe huoni kazi anazofanya kasafishwe macho
Isitoshe hotuba kuwatukana polisi kila siku matusi tupe utatufanyia Nini wewe ukipewa nchi
@samwelnevele7796
Ай бұрын
Hana jipya kibaraka wa wazungu huyu
@makobamasawemangu4122
27 күн бұрын
We ni mwehu police gani katukanwa
@samwelnevele7796
26 күн бұрын
Ona ulivyo na tatizo la afya ya akili hiloooo jibu kwa hoja matusii yanakushusha utu wako na kama unahasira usijibu hoja nayo huwa ni hekima
kijiti kimekukaza jiulize wale waliowahi kutawala Zanzibar walikuwa kutokea wapi?
@khatibal-zinjibari6956
Ай бұрын
MAKAFIRI WA UINGEREZA NDIO WALIOTAWALA ZANZIBAR Waliotawala Zanzibar ni Makafiri kutoka Uingereza na ndio walotoa Uhuru Kamili kwa Sheikh Muhammed Shamte al-Shirazi kwa niaba ya Wazanzibari.🎉❤🎉 Makafiri wa Tanganyika na Wabara walojiita Wafrika walikereka na waliubatiza kuwa ni Uhuru wa Bandia. Waliwapindua Wazanzibari kwa sababu ya Dini yao ya KIISLAM na kuunganishwa na Tanganyika kwa faida ya Kanisa na Usekula✝️ KWAKHERI UKOLONI KHEKHERI UHURU ZANZIBAR ARIJOJO 😂😂
Lissu akachukue ubunge tu!
@RutinikiGosbert
26 күн бұрын
Rais wa mioyo ya watu
@RutinikiGosbert
26 күн бұрын
Mimi Lissu mwangu ni chaguo mpenda haki na mkweli kura yangu na familia yangu ni kwako 25
Swala la kuitwa MAMA tuachie. Uchungu wa mwana anaujua mama. Uchungu wa mama anaujua mwana! Ana UCHUNGU wa kweli na sisi watoto wake wa Kitanzania.
@user-rn9og1rk3l
20 күн бұрын
Mavi ya kuku wewe
Lisu mungu hawezi kukupa nchi wewe kwa kuwa unadaiwa fedha nyingi na wafadhiribwako wakoloni weupe cha zaidi mungu atakunyang'anya pumzi kwa uchochezi
@aaronswai3092
Ай бұрын
Wewe nani umsemee Mungu kwa ishu za Lisu?
@samwelnevele7796
Ай бұрын
@@aaronswai3092 mkono wa mungu mfalme wa aman
LIsu hahahahahaha amegawa nini?kaka ndo maana wanakupiga hahaha ume mtait sana samia japo kuuza ardhi yetu sio sawa kabisa
Hao wanaosikiliza kwako mkutanoni wachekapo wanakucheka wewe LISU. Hutambui hili? Sera zako Baba ndizo zinazotakiwa. Unatushangaza ati!
@user-kv6vc8sd7c
Ай бұрын
Huyo Lisu ana tatizo la Afya ya Akiri Akatibiwe baada ya kuongea mambo ya msingi anamsema RAis kwanza anatuzazalisha sisi wanawake
@user-kv6vc8sd7c
Ай бұрын
Hata mama wa mwenzio ni mama Yako
@user-kv6vc8sd7c
Ай бұрын
Umechoka achia uongozi kwa vijana .kapumzike
@user-kv6vc8sd7c
Ай бұрын
Kama unaweza kumsema vibaya mtu ambayo alikuja kukuona Nairobi hospital ulivyopigwa risasi jee sisi wengine wa mama utatujali?
Maandamano yenu faida yake iko wapi
@victaboy7273
Ай бұрын
Vipi na wewe. Una ungainly nyumbani au umelala njaa
Watanzania serkali imewadekesha kabisa huyu mupinzani alikosavyakushitaki serkali kabisa aje Congo mashariki. Aone wanaoteswa
Amna kitu apa Kwisha kazi
Mkutano una watu kumi na migomba kibao
@exaverysimon1064
Ай бұрын
,,,😂😂😂😂😂😂 em kunywa soda af ulipe ehenzi kabisa😅😅
@lucaschisamalo2852
Ай бұрын
Hujielewi wewe eti watu 10 lissu hasombi watu na malori
Binafsi sipendi approach unayoutumia mhe Lissu! Instead of critics mi nadhani ungejikita kwenye Sera zaidi. Sishabikii chama chochote ila nadhani watanzania wanapenda zaidi kusikia mikakati ya maendeleo rather than kusikia ukimtuhumu mtu kwa hili au lile. Angalia point zitakazomkomboa mwananchi ndio unaweza kuwavutia watu zaidi kuliko ku diss
@victaboy7273
Ай бұрын
Umesema binafsi, so ungekaa kimya au husiangalie video crip zake. Hujalazimishwa
@karolikisaka8991
Ай бұрын
Sera chadema wameshasema kwa Sasa wanatufindisha tuwe na ufahamu wa kutambua Hali ya nchi na nini kinaendelea.anatufjndisha ni kwanini ccm wameshindwa kutupatia maendeleo
@adenmwakalobo760
Ай бұрын
Kweli kuamsha mifugo ni kazi kubwa sana! Yaani wewe hutaki azungumzie rushwa ya wazi hiyo ya hizo pikipiki 700 ushee kila mkoa kwa wapiga kura, unataka badala yake azungumzie tu yeye atakavyoleta maendeleo kwa watu, hivi unaelewa usemacho wewe? Maendeleo gani yataletwa na Rais anayetaka achaguliwe 2025 kwa hongo ya pikipiki? Kama hilo kwako si hoja bali 'maendeleo' basi wewe kioja, mfugo😢
@leonardmallya7923
Ай бұрын
Kama hauna akili nzuri utashindwa kumuelewa mh Lisu.Mungu azidi kubariki na kulinda kwani anawazindua akili Watanzania hasa Watanganyika
Wewe tukana Tu hupati Kitu nenda Kwa zungu wakufire
Tundu sera hana hajui akipata uongozi atatufanyia nini,kazi yake kulalamika
hutba mavisana,haieleweki maanayake
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
@karolikisaka8991
Ай бұрын
Sera tusubiri kampeni kwa Sasa ni elimu ya kujitambua. Jitahidini kukubali mabadiliko
Huna hoja utawapanda wadini wezako tu nawachaga
Jinga sana wewe
@user-mo3ik6go6r
Ай бұрын
Kuwa na hakili kidogo
@allonjoseph5467
Ай бұрын
jinga ni ww unae pata lushwa kutoka ccm wana nchi tuna teseka huku mtaan
Mpuuzi huyu kwann hakufa
@sophiaamnaay9726
Ай бұрын
Kweli umepofuka wala huoni maovu hata kusikia hakuna. Si Shangai hata darasani mwl akifundisha wapo wapatao A na wapo wa pato F. Sasa wewe upo kwa hao wa F.
@sarahjames2287
Ай бұрын
Nafikiri atapata 0 plus na ni kibaka ameache Lidu wetu ni mkombozi wa Taifa hili
@pennymahombo9528
Ай бұрын
Hivyo unajeuri ya kumwambia MUNGU aliyemuumba kwa nini kumpa uzima Kiumbe wake,naogopa sana, au una kiburi cha uzima au huamini kuwa yuko MUNGU anayesema USIUE roho zote ni Mali yake,ingia kwenye magoti utubu,maana hapo unamkosoa MUNGU anayetoa Amri. 'USIUE'!!!!!!!!!
@yasakilube9946
Ай бұрын
@@pennymahombo9528 mtu anaesapoti ushoga anahaja gni kuishi dunian
@yasakilube9946
Ай бұрын
@@sarahjames2287 mkombozi au mtetezi wa mashoga
Unapoendelea kumsema Vibaya Samia, ndio unaifanya nafasi yako ya kushinda hata nafasi ya Udiwani, hao unaowahutubia nusu na robo ni wapenzi wa Samia "keep my words"
@allonjoseph5467
Ай бұрын
ww lissu yupo sawa na wala haja msema samia vibaya anaisemea ccm bas namna wanavo tunynyasa
@xaixaiobrigado4846
Ай бұрын
Wacha wamsemao vibaya waseme;Naa, amsemae vizuri aseme!
@xaixaiobrigado4846
Ай бұрын
Anoweza kushinda uchaguzi huwa anaiba kura?
@michaelmabula7444
Ай бұрын
Lisu anaongea sahihi Sie watanganyika kama hatutajitambua Tumekwisha
Muongo mkubwa Wewe
Wajinga ni wewe mchawa wa samia nani anayetaka utumwa wa wa Zanzibar ila ninyi wachawa wakubw. Hongera mtangazaji na Hongera jembe la wa Tanganyika Tundu Lissu
@kassidpandu866
Ай бұрын
kelele za chura tu hizooooo
@AlexanderJoachim-uu6rw
Ай бұрын
Demokrasiaaaaa
@AlexanderJoachim-uu6rw
Ай бұрын
Mimi nampenda sana rais wa nchi yangu.simtaji kwa jina kwa kuwa ni kumkosea adabu.yeye ni mh.mtukufu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
@AlexanderJoachim-uu6rw
Ай бұрын
Pia nampenda saana mh.tundulisu kwa kuwa ni mwana harakati wa mageuzi kupitia chama chake ndani ya vyama vya upinzani.lkn pia namwona kama ni nabii au mtume wa kisiasa.e.bu tuone vissiom yake
@dorothmsuya1686
Ай бұрын
Eti jembe la Tanganyika! 2025 atakua mundu! Nimekaa palee!😅😅😅😅😅
Kuliko wewe Afadhali Samia Suluhu Hassan
Hunachamaana tena lissu
Chama chachaga hii hichooo huna mpya
Hawa vbaraka wa ccm wasio jielewa ipo cku wataelewa tu ni wajinga ila wataelimika tu ...LISU NO:¹
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
@victaboy7273
Ай бұрын
Mfano sera zipi??