BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.

Пікірлер: 354

  • @afyatv2220
    @afyatv22203 жыл бұрын

    Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile6313 жыл бұрын

    Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole96174 жыл бұрын

    Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏

  • @alhaji6094
    @alhaji60946 жыл бұрын

    Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo

  • @kavassay8899
    @kavassay88994 жыл бұрын

    Mboowe mungu akupe miaka10000

  • @isaacnewkaboy9132
    @isaacnewkaboy91326 жыл бұрын

    Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u

  • @nabiipetermaganga.7715
    @nabiipetermaganga.77154 жыл бұрын

    Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu

  • @stephenmkulia9745
    @stephenmkulia97456 жыл бұрын

    Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.

  • @jacobolucas5935
    @jacobolucas59354 жыл бұрын

    Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda

  • @bulessatv3323
    @bulessatv33234 жыл бұрын

    Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla

  • @Nestory_mvwata.
    @Nestory_mvwata.

    Umetisha sana mzee

  • @paschalinejoginda5702
    @paschalinejoginda57026 жыл бұрын

    jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa

  • @mathiaspaulina7355
    @mathiaspaulina73556 жыл бұрын

    mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?

  • @musamabura5200
    @musamabura52006 жыл бұрын

    Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!

  • @rashidyishika6868
    @rashidyishika68684 жыл бұрын

    We wazir Mkuu kumb Msanii??

  • @venancebasil4656
    @venancebasil46566 жыл бұрын

    daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno

  • @pendomartini447
    @pendomartini4476 жыл бұрын

    Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......

  • @micamathew6433
    @micamathew64335 жыл бұрын

    Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.

  • @africanstears7755
    @africanstears77555 жыл бұрын

    cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi

  • @jordankaaya606
    @jordankaaya6066 жыл бұрын

    Duuu mbna swali la msingi halijajibika?