Makongoro Nyerere avunja mbavu , Amwambia KIKWETE wewe una NG'AA siogopi kustaafu, sasa hivi bado

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Пікірлер: 88

  • @ibrahimdotto5234
    @ibrahimdotto52344 ай бұрын

    I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu

  • @patrickmlowe9748
    @patrickmlowe97489 ай бұрын

    Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv464 ай бұрын

    Uko so talented ujumbe umefika🎉

  • @allydilunga1563
    @allydilunga156310 ай бұрын

    Jamaa yupo vyema🎉

  • @user-gr7tb7jv2m
    @user-gr7tb7jv2m10 ай бұрын

    Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah73524 ай бұрын

    Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini

  • @didasseveline9013
    @didasseveline901310 ай бұрын

    Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!

  • @mropeamadeus54

    @mropeamadeus54

    10 ай бұрын

    Akili nyingi

  • @mosesjnr8436

    @mosesjnr8436

    10 ай бұрын

    😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu

  • @EzzyK438
    @EzzyK43810 ай бұрын

    I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph682510 ай бұрын

    Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo

  • @storyzatowntz

    @storyzatowntz

    9 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @officialentertainment1995

    @officialentertainment1995

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @priscillandekere8846
    @priscillandekere88467 ай бұрын

    Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri

  • @jeffhard5773
    @jeffhard57739 ай бұрын

    Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    5 ай бұрын

    Kwel

  • @sarahsteven3162
    @sarahsteven31624 ай бұрын

    😊

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs10 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim829310 ай бұрын

    Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos248110 ай бұрын

    Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    9 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @brother_majesty
    @brother_majesty10 ай бұрын

    Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa475910 ай бұрын

    Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @zefamange7281
    @zefamange728110 ай бұрын

    WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU

  • @yusuphmsigiti873
    @yusuphmsigiti87310 ай бұрын

    Iko poa hiyo.

  • @rosemkude4804
    @rosemkude48044 ай бұрын

    Senti hamsini... 😅😅😅😊

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn439410 ай бұрын

    😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale10 ай бұрын

    Chawa

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @petermkumbo5094
    @petermkumbo509410 ай бұрын

    Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48210 ай бұрын

    Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi

  • @user-ok4kn8tu4m

    @user-ok4kn8tu4m

    10 ай бұрын

    Acheni njaa za kijingajinga

  • @davidmfune1063
    @davidmfune106310 ай бұрын

    Huyu mwamba

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq9 ай бұрын

    Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange625710 ай бұрын

    Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.

  • @hassansalum2572

    @hassansalum2572

    10 ай бұрын

    Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    10 ай бұрын

    Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?

  • @bonifacejames34

    @bonifacejames34

    10 ай бұрын

    Sasa hapo nini cha ajabu?

  • @user-ok4kn8tu4m

    @user-ok4kn8tu4m

    10 ай бұрын

    Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    10 ай бұрын

    Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe964610 ай бұрын

    Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa

  • @patrickmukundichalamila3038

    @patrickmukundichalamila3038

    10 ай бұрын

    Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @jumakatanje955

    @jumakatanje955

    3 күн бұрын

    Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m10 ай бұрын

    Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    10 ай бұрын

    Wivu.chuki.

  • @babalao910

    @babalao910

    10 ай бұрын

    Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.

  • @hemedrashid2921

    @hemedrashid2921

    10 ай бұрын

    wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa

  • @TheAlman

    @TheAlman

    10 ай бұрын

    Imekuumaaaa eehhh

  • @hamadsuleiman5177

    @hamadsuleiman5177

    10 ай бұрын

    Unaumia ukiwa wapi

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu10 ай бұрын

    1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna 2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢 3/magufuli Amka

  • @bakariamour1024

    @bakariamour1024

    10 ай бұрын

    Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe

  • @yusufismail3116

    @yusufismail3116

    10 ай бұрын

    Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729510 ай бұрын

    Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq9 ай бұрын

    Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu365610 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott33254 ай бұрын

    Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu

  • @user-hm9oi1vl4e
    @user-hm9oi1vl4e4 ай бұрын

    Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭

  • @thejordanband1516
    @thejordanband151610 ай бұрын

    Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..

  • @bonabonala5559
    @bonabonala555910 ай бұрын

    huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo

  • @user-ok4kn8tu4m

    @user-ok4kn8tu4m

    10 ай бұрын

    Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    10 ай бұрын

    Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Chuki hazifai

  • @rolencevedasto1009

    @rolencevedasto1009

    4 ай бұрын

    Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere156410 ай бұрын

    Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    10 ай бұрын

    Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.

  • @makongoronyerere1564

    @makongoronyerere1564

    10 ай бұрын

    @@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila

  • @ahz6907

    @ahz6907

    10 ай бұрын

    Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo

  • @yusufismail3116

    @yusufismail3116

    10 ай бұрын

    Roho yako ina KUTU

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Angalia maneno yako

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle10 ай бұрын

    Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania

  • @fridageorge2809

    @fridageorge2809

    10 ай бұрын

    Kumuelewa mpaka uwe na akili nyingi sana kama za kwakwe!

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    10 ай бұрын

    Kivipi

  • @officialentertainment1995

    @officialentertainment1995

    4 ай бұрын

    ​@@KassimSalumu-fk6ykamini hivyo

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph22347 ай бұрын

    Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata

  • @officialentertainment1995

    @officialentertainment1995

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55594 ай бұрын

    makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda60274 ай бұрын

    😂😂😂

Келесі