Makongoro Nyerere avunja mbavu , Amwambia KIKWETE wewe una NG'AA siogopi kustaafu, sasa hivi bado
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Жүктеу.....
Пікірлер: 88
@ibrahimdotto52344 ай бұрын
I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu
@patrickmlowe97489 ай бұрын
Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi
@touches4lifeonlinetv464 ай бұрын
Uko so talented ujumbe umefika🎉
@allydilunga156310 ай бұрын
Jamaa yupo vyema🎉
@user-gr7tb7jv2m10 ай бұрын
Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni
@iddiabdallah73524 ай бұрын
Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini
@didasseveline901310 ай бұрын
Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!
@mropeamadeus54
10 ай бұрын
Akili nyingi
@mosesjnr8436
10 ай бұрын
😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu
@EzzyK43810 ай бұрын
I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂
@jamesjoseph682510 ай бұрын
Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo
@storyzatowntz
9 ай бұрын
😅😅😅😅
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@priscillandekere88467 ай бұрын
Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri
@jeffhard57739 ай бұрын
Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel
@sarahsteven31624 ай бұрын
😊
@LeylatVlogs10 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba
@fatmasalim829310 ай бұрын
Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana
@jumanneenos248110 ай бұрын
Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba
@dostovan5142
9 ай бұрын
🤣🤣🤣
@brother_majesty10 ай бұрын
Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.
@yusuphchankwa475910 ай бұрын
Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@zefamange728110 ай бұрын
WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU
@yusuphmsigiti87310 ай бұрын
Iko poa hiyo.
@rosemkude48044 ай бұрын
Senti hamsini... 😅😅😅😊
@gigoyrn439410 ай бұрын
😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@robertmwangomale10 ай бұрын
Chawa
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@petermkumbo509410 ай бұрын
Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.
@abdallahkihanza48210 ай бұрын
Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Acheni njaa za kijingajinga
@davidmfune106310 ай бұрын
Huyu mwamba
@sifamanyori-kf9vq9 ай бұрын
Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu
@rosemarymwakitwange625710 ай бұрын
Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.
@hassansalum2572
10 ай бұрын
Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?
@bonifacejames34
10 ай бұрын
Sasa hapo nini cha ajabu?
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!
@ladislausngoyinde4384
10 ай бұрын
Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu
@kainimlowe964610 ай бұрын
Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa
@patrickmukundichalamila3038
10 ай бұрын
Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@jumakatanje955
3 күн бұрын
Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana
@user-or8ow5vr7m10 ай бұрын
Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee
@hijazhija316
10 ай бұрын
Wivu.chuki.
@babalao910
10 ай бұрын
Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.
@hemedrashid2921
10 ай бұрын
wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa
@TheAlman
10 ай бұрын
Imekuumaaaa eehhh
@hamadsuleiman5177
10 ай бұрын
Unaumia ukiwa wapi
@andrewkilulu10 ай бұрын
1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna 2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢 3/magufuli Amka
@bakariamour1024
10 ай бұрын
Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe
@yusufismail3116
10 ай бұрын
Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@jumakapilima729510 ай бұрын
Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?
@sifamanyori-kf9vq9 ай бұрын
Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo
@ramadhanimtetu365610 ай бұрын
😂😂😂😂
@gabrielpott33254 ай бұрын
Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu
@user-hm9oi1vl4e4 ай бұрын
Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭
@thejordanband151610 ай бұрын
Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..
@bonabonala555910 ай бұрын
huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!
@detlantamarooned1809
10 ай бұрын
Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Chuki hazifai
@rolencevedasto1009
4 ай бұрын
Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu
@makongoronyerere156410 ай бұрын
Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch
@hajihassan5433
10 ай бұрын
Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.
@makongoronyerere1564
10 ай бұрын
@@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila
@ahz6907
10 ай бұрын
Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo
@yusufismail3116
10 ай бұрын
Roho yako ina KUTU
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Angalia maneno yako
@nelsonnyamle10 ай бұрын
Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania
@fridageorge2809
10 ай бұрын
Kumuelewa mpaka uwe na akili nyingi sana kama za kwakwe!
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
@@KassimSalumu-fk6ykamini hivyo
@barakajoseph22347 ай бұрын
Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bonabonala55594 ай бұрын
makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu
Пікірлер: 88
I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu
Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi
Uko so talented ujumbe umefika🎉
Jamaa yupo vyema🎉
Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni
Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini
Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!
@mropeamadeus54
10 ай бұрын
Akili nyingi
@mosesjnr8436
10 ай бұрын
😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu
I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂
Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo
@storyzatowntz
9 ай бұрын
😅😅😅😅
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri
Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel
😊
🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba
Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana
Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba
@dostovan5142
9 ай бұрын
🤣🤣🤣
Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.
Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU
Iko poa hiyo.
Senti hamsini... 😅😅😅😊
😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
Chawa
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.
Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Acheni njaa za kijingajinga
Huyu mwamba
Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu
Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.
@hassansalum2572
10 ай бұрын
Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu
@jumakapilima7295
10 ай бұрын
Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?
@bonifacejames34
10 ай бұрын
Sasa hapo nini cha ajabu?
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!
@ladislausngoyinde4384
10 ай бұрын
Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu
Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa
@patrickmukundichalamila3038
10 ай бұрын
Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@jumakatanje955
3 күн бұрын
Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana
Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee
@hijazhija316
10 ай бұрын
Wivu.chuki.
@babalao910
10 ай бұрын
Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.
@hemedrashid2921
10 ай бұрын
wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa
@TheAlman
10 ай бұрын
Imekuumaaaa eehhh
@hamadsuleiman5177
10 ай бұрын
Unaumia ukiwa wapi
1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna 2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢 3/magufuli Amka
@bakariamour1024
10 ай бұрын
Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe
@yusufismail3116
10 ай бұрын
Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?
Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo
😂😂😂😂
Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu
Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭
Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..
huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo
@user-ok4kn8tu4m
10 ай бұрын
Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!
@detlantamarooned1809
10 ай бұрын
Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Chuki hazifai
@rolencevedasto1009
4 ай бұрын
Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu
Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch
@hajihassan5433
10 ай бұрын
Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.
@makongoronyerere1564
10 ай бұрын
@@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila
@ahz6907
10 ай бұрын
Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo
@yusufismail3116
10 ай бұрын
Roho yako ina KUTU
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Angalia maneno yako
Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania
@fridageorge2809
10 ай бұрын
Kumuelewa mpaka uwe na akili nyingi sana kama za kwakwe!
@KassimSalumu-fk6yk
10 ай бұрын
Kivipi
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
@@KassimSalumu-fk6ykamini hivyo
Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata
@officialentertainment1995
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu
😂😂😂