MAKONGORO NYERERE AMKUMBUKA MAGUFULI - "UNAWEZA KUKUTA NDIYE MALAIKA wa MAJIPU HUKO JUU" - UTACHEKA!
MAKONGORO NYERERE AMKUMBUKA MAGUFULI - "UNAWEZA KUKUTA NDIYE MALAIKA wa MAJIPU HUKO JUU" - UTACHEKA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 92
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@gwimbugwarupori6555
Жыл бұрын
hiyo camon20 mnauzaje
@omarytexesunauwababa4587
5 ай бұрын
😂 . Mlnlnkjljjjlljnnnnljkl0009 ,klioo 😮m 😮😢😊😮😅🎉😂😢
Kucheka huondoa msongo wa mawazo. Ni faraja! Furaha huunganisha watu pamoja. Asante Mkuu!
Maji hufuata mkondo daaah watu wanaenjoy Kama enzi za nyerere
Maongoro you are the best leader and comedian uwe invited pale Cheka tu au watu Baki.
Uko vzr kaka unapenda sana kucheka na watu inaonyesha ni Jin's gan unapenda watu
Ahahahhaa aisee Mungu akuweke zaidi Mh.Makongolo
Unaonyesha ni jinsi gani ulimkubali JPM kuliko shangazi bandari
Mzee makongoro ni Noma sanaaa Jamaa ni comedi sanaaaaa..spice zotee
Tumekumisii sanaaa mkuu wa mkoa wa rukwa huku manyara
Namkubali sana Mzee Makongoro.. Good Leader makes happy people around Him...
Hongera Nyerere kwa uzao mwema
I like it very nice speech
Msg sent!!!! Sio milele n RIP JPM
Mzee uyu anatalent ya comedy Kama babaake mzee Julius nyerere
Huyu mzee ni mcheshi 😅😅😅
😂😂😂😂nimecheka. Unanikumbusha mzee Nyerere
Best one in our country
Nlililegwa na machozi kidogo baadae nkaanza kucheka.
Hili jamaa kiukweli linafurahisha kweli
Makongoro you are atalented comedian and great administrater you are the likes of ronald reagan."big ups"
R.i.p Magufuli wangu
Yupo vizuriii
😂😂😂da! Mzee nakukubal sanaaa
Kwa hali hiyo,mkuu utaishi miaka mingi 😂😂
Ss tunampenda mkuu mkoa mtoto wa nyerere
Nyerere kaacha Mtoto ubarikiwe Sana
Unamfanyia mzaha Mwenyezi Mungu eti unamuita mzee dah mhm
@vuzotv22
Жыл бұрын
Anamaanisha baba yake mzee Nyerere
Ww mcheshi Sana ❤❤❤ more
Huyu kumueleaa msikilize mara mbili
Raha sana,nimecheka sana.
Dah!kweli Mungu akuongoze bro
Nimependa ucheshi wako mzee
Mkuu upo vizuri sana .paka umemtaja jembee
Njoo DAR Man.....
Nimecheka sana Mzee makongolo ni mchangamfu sana
Ni kali mno.
Makongoro utatuuwa...ha haa haaa
😂😂😂😂😂😂😂 huyu mzee amenifanya nifurahi pamoja na shida nilizonazo.
Mungu akulinde kiukweli maji yafata mkondo
Makongolo uko vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣
Makongoro oyee safii
Yanga
Ni kalama ya uzao hiyo asante
😢😢😢
Don't joke with our Hero
😂😂😂😂😂😂😂 asee mzee alituachia burudani
Katakana oyee
DHIHAKA, MKIPATA NAFAS MSIMDHIHAKI MAREHEMU, ASANTE.
Makongoro ni kiongozi mzuri unaeweza kumkabili kama Rafiki bila woga wowote.Anampa furaha masikini na Tajiri wa mbali na wakaribu
Astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah
Dahh 😅😅😅 t.
Dah Nyerere kamlandisha mtto wake mpaka utani .Baba wa Taifa J.K.Nyerere jina lako liimidiwe ulitetea Taifa laiti viongozi wakaiga mifumo yako watafika mbali kuwatumikia watanzania Kwa HAKI.
Tunataka mtoto wa baba wa taifa awe Rais naye mwanamke hawezi nchi hii
Izokazi zakuwapa watu wakomedi
Kuna kipindi tunahitaji Viongozi kama Hawa. Tunacheka Sana kuounguza mawazo ya maisha magumu😂😂😂
Remove Magufuri on this, 😢
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅 dahh
😂😂
Tunacheka nchi nayo inacheka,yani ujinga ni nini??? Ujinga ni muchekeshaji anapocheka wakati yeye ndio anachekesha.
Atakuwa huyo malaika wa majipu lakini sio Wa Mungu
rai kwa viongozi mashujaa mue mnawajenga watoto wenu kabla hamjaondoka dunian huyu makongoro kwakua alichagua kua mwana siasa basi babake angemwandaa kuwa mwanasiasa shujaa na mzalendo na kusaidia inchi na wanainchi nasio kua comedian wa inchi inakera sana sasahivi tanzania inapasuka navita inakaribia ye yuko busy na kuchekesha viongozi bila manufaa yoyote kwa taifa au wanainchi bure kabsa
@moshisamike5537
Жыл бұрын
Acha upimbi ww kaangalie speech za mwl.nyerere nyingi za kuchekesha
@nathankihiyo6194
Жыл бұрын
@@moshisamike5537mwambie
@gustavompemba1781
Жыл бұрын
Nend kwanz kanunue ped usituandikie pumba
@mustafaseif3586
Жыл бұрын
Mungu atatuepusha na vita pia mm sijaona kosa lolote hapo hebu acheni chuki za kijinga
@mustafaseif3586
Жыл бұрын
Ww unataka kiongoz awe amenuna tu
wewe sio mtotto wa nyerere wewe ni mchumia tumbo kwa kutumia baba yako wa kambo nyerere hakua chawa hata ndugu zako awajawaii kua chawa hata siku moja ni wewe unae iga kucheka kama nyerere tu njaa itakuaibisha
@emmanuelnchacha742
10 ай бұрын
Usimkosoe mwenzako wewe umefanya nini cha maana?
@Makala360
10 ай бұрын
Acha ukuma ww tulia na njaa ako
@giztony2009
3 ай бұрын
Acha usengeee
Duuh makongoro unachekesha Sana 😅😅
Maongoro you are the best leader and comedian uwe invited pale Cheka tu au watu Baki.
Duu mkuu huyo noma
Hayupo wa kumpa kura mama samia hata tone
@user-yk1ug4bq7c
4 ай бұрын
Mm Nampa
😂😂😂
😂😂