MASANJA AMVUNJA MBAVU MAGUFULI KWA VITUKO VYAKE "WATU WANATEMBEA NA VIDONGE, UMEPIGA MAPIGO"

Пікірлер: 103

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard73313 жыл бұрын

    Masanja unajua Kaka ila unachukiwa Sana na baadhi ya watu ila siyo lazima kila mtu akupende lazima uchague upande mmoja Kama binadamu Godbless you.

  • @Omega_Kitwika
    @Omega_Kitwika3 жыл бұрын

    Kama umemuona rowasa apigi makofi gonga like

  • @marympemba1829
    @marympemba18293 жыл бұрын

    Umesema kweli masanja. Kazi ni mzuri imefanywa na rais magufuli Na uongozi wake. Hongera ccm👏🏾👏🏾🙏🙏

  • @goodlucklinus141
    @goodlucklinus1413 жыл бұрын

    Kazi nzuri masanja Big up👍👍👍

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Mungu mbariki raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri Jembe mchapa kazi hapa Kazi tu

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom5093 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😍😍 Masanja you kill me JPM oyeeee

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90883 жыл бұрын

    Kweli Masanja Wapige kazi

  • @addanovatus1906
    @addanovatus19063 жыл бұрын

    Amefanya kampeni ya pekee yake, Mungu yupo anampeleka wangu vingine na sisi tunachekelea tu jmn, siku moja atakuwa mtu flani, tutakuwa tunatoa historia

  • @kinotasontravel3883

    @kinotasontravel3883

    3 жыл бұрын

    Sana tena kampeni za mwaka huu watanzania wote wameziona live

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Jamani hizi skuna za masanja 😂😂😂😂🤣🤣🤣haki nimecheka

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida20743 жыл бұрын

    Wasanii acheni kuligawa Taifa kulirudisha pamoja ni kazi ngumu sana. Uchaguzi umeisha vijembe vinatoka wapi kama sio kutaka kujengea Watanzania tabia ya kulipiza visasi.

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo13023 жыл бұрын

    Green City Mbeya tumefanya yetu hatutaki mchezomchezo sisi tulimpeleka wenyew bunge akaenda kukimbia vikao tumempiga chini wenyewe saiz akasimamie hotel yake kule mlima Roreza 😂😂 bungeni atapasikia tu

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    3 жыл бұрын

    ""no retreat no surrender"" pigo la ngapi hilo???😂😂😂😂

  • @jacksonmzee1661

    @jacksonmzee1661

    3 жыл бұрын

    Ana hotel Roleza,wewe unayemponda una nini? Zaidi ya kumiliki matunguri ya kuloga binadamu wenzio

  • @dennischeyo1302

    @dennischeyo1302

    3 жыл бұрын

    Nina nyumba uyole nsalaga,mapogolo chunya, kyela Serengeti na kikota ileje harafu nina heka 15 kimbereke chunya

  • @shibilitimedia3312

    @shibilitimedia3312

    3 жыл бұрын

    @@dennischeyo1302 umekomesha

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    3 жыл бұрын

    @@jacksonmzee1661 pole naona povu,subiri next time umcjague

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan97733 жыл бұрын

    Makofi kwake masanja mkandamizaji👏👏👏👏👏👏👏👏😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 Hongera Sana kutunoa ✔️✔️✔️

  • @norbertlilungulu5018
    @norbertlilungulu50183 жыл бұрын

    Masanja bhana ana kipaji huyu jamaa

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu53873 жыл бұрын

    Hahahaaaaa,,,,,safi sana,,,kazi nzuri

  • @jacksonherment1722
    @jacksonherment17223 жыл бұрын

    Tuchange Katina utuongoze miaka mingi raise wetu mzalendo umefanya mengi mungu akulinde baba wantaifa let umetutoa mdomoni mwa nyangumi wabahanini

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42303 жыл бұрын

    Masanja kama masanjaa👏👏😂

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone56013 жыл бұрын

    Masanja umetisha Sana mzee baba

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya56933 жыл бұрын

    Kama sichekagi Ila nimecheka Leo mbavu zangu mie ubarikiwe kwa kuniongezea sku za kuishi

  • @henryndosi1114
    @henryndosi11143 жыл бұрын

    MAGUFULI BABA LAO 🇹🇿 kwa maendeleo ya Watanzania

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92183 жыл бұрын

    Kijana Massanja nili kuona kwenye kamera zangu za kiroho endelea kupigania tz.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43813 жыл бұрын

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @rozadelialweve9306

    @rozadelialweve9306

    3 жыл бұрын

    jembe letu mpambanaji wetu mitano tena unastahili pongezi rais wangu kipenzi changu

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia18273 жыл бұрын

    Masanja🙌🏼🙌🏼🔥

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward30933 жыл бұрын

    Masanja unakipaji kweli kweli.

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard73313 жыл бұрын

    Sawa masanja..

  • @presseg.6362
    @presseg.63623 жыл бұрын

    Masanja wewe ni Wa pekee katika nchi yetu, piga kazi

  • @thamu3133
    @thamu31333 жыл бұрын

    😂😂😂😂 leo nmecheka kwel masanja

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel38833 жыл бұрын

    Safi sana Masanja

  • @edgarkataiwa2202
    @edgarkataiwa22023 жыл бұрын

    Good work

  • @nasibujunior5351
    @nasibujunior53513 жыл бұрын

    Kinaitwa rosa

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni95493 жыл бұрын

    big up masanja

  • @bernardmkama4057

    @bernardmkama4057

    3 жыл бұрын

    Jipendekeze,utateuliwa

  • @joanmassawe8754
    @joanmassawe87543 жыл бұрын

    Masanja unaakili za ziada mambo yo te na maneno yote yanatoka kichwani bila kusoma mahali kweli nimekubali hujaribu ila unaweza

  • @justusgration8695
    @justusgration86953 жыл бұрын

    Hongera Sana

  • @razackkambi5903
    @razackkambi59033 жыл бұрын

    Masanja

  • @julynchaila8818
    @julynchaila88183 жыл бұрын

    Hahahahahaha mchungaji kiatu chako tu nimekipenda

  • @farouqbanda8656
    @farouqbanda86563 жыл бұрын

    Icho kiatu kiatu kinatesa

  • @jacksonmalolage9476
    @jacksonmalolage94763 жыл бұрын

    Big up

  • @alverakiiza7532
    @alverakiiza75323 жыл бұрын

    Ila masanja jamani!

  • @presseg.6362

    @presseg.6362

    3 жыл бұрын

    Hahahahahahahahaha, jamani uwiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @tulizosteven3193
    @tulizosteven31933 жыл бұрын

    Uyu naye anatafuta kuteuliwa haeleweki mchungaji au mwigizaji saiz kila mtu anachumia tumbo lake

  • @malelemethusela5540

    @malelemethusela5540

    3 жыл бұрын

    Simba

  • @mariajason3547
    @mariajason35473 жыл бұрын

    Watu wanavaa vaa suti kujifanya wastaaarabu kumbe majambazi namba 1 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wasanja waambie hahahahhahahaha nimecheka kwa kweli

  • @danielkilango1375
    @danielkilango13753 жыл бұрын

    Hatarii

  • @fatmakhamis7876
    @fatmakhamis78763 жыл бұрын

    Sasa hiyo bakora si uiweke chini jamani si utaumiza watu macho jamaniiii

  • @sikudhankhamis2818

    @sikudhankhamis2818

    3 жыл бұрын

    Da fatma

  • @fatmakhamis7876

    @fatmakhamis7876

    3 жыл бұрын

    @@sikudhankhamis2818 naaam mdogo wangu jamani

  • @JeremiahMalegesi
    @JeremiahMalegesi2 ай бұрын

    Nzuri

  • @officialjohanesmkandara4301
    @officialjohanesmkandara43013 жыл бұрын

    Niambieni icho kiatu alicho vaa masanja kinaitwaje nataka nikinunue 😂😂😂😂

  • @rikywayne

    @rikywayne

    3 жыл бұрын

    raizoni

  • @dannyunatuparahababu4740

    @dannyunatuparahababu4740

    3 жыл бұрын

    😅😅😅

  • @erodeshayo8672

    @erodeshayo8672

    3 жыл бұрын

    Ckuna hiyo

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenifanya chiz walah ukinunue ww utakiweza?

  • @thejuanaa2459

    @thejuanaa2459

    3 жыл бұрын

    Inaitwa gonga sneck

  • @WailidMsawatu-xm3uu
    @WailidMsawatu-xm3uu10 ай бұрын

    tutamukumbuka xan jembe

  • @ziadamaulid9089
    @ziadamaulid90893 жыл бұрын

    Jaman masanja hivo viatu

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31693 жыл бұрын

    Huku ngaramtoni bado jamani mhe waambie watuletee jamani yamewekwa maeneo tu kuanzia huku masai land kwa idd hakuna naomba ukisoma tusaidie

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu65793 жыл бұрын

    😁

  • @paulamkalanga4438
    @paulamkalanga44383 жыл бұрын

    Pata habari motomoto za mastaa unaowapenda kwa kubonyeza link hii JECO HABARI play.google.com/store/apps/details?id=com.jeco.newstz

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila91853 жыл бұрын

    Mwendawazimu hyu

  • @martinhinda5233

    @martinhinda5233

    3 жыл бұрын

    Mwenyewe utakufa na presha jamaa anazidi kuwa super star ⭐ hela anazo nyingi afu na umaarufu wewe jee!! Hahaha

  • @devidpanja115
    @devidpanja1153 жыл бұрын

    Noo retreaat no surender

  • @rajaiabdul8640
    @rajaiabdul86403 жыл бұрын

    Watu mbona hawacheki

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro69303 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shiahkarbalah1990
    @shiahkarbalah19903 жыл бұрын

    hi

  • @naturelle1097
    @naturelle10973 жыл бұрын

    Nimependa hivo viatu

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya42833 жыл бұрын

    Me sichoki kuangalia kila ntakapo ione 😃

  • @apostlekelvinmpepo2404
    @apostlekelvinmpepo24043 жыл бұрын

    Kwaya

  • @joycekrishina9488
    @joycekrishina94883 жыл бұрын

    Sakaya

  • @dianashija5674
    @dianashija56743 жыл бұрын

    Hivi viatu vinaitwa kuku kapanda baisikeli bata kavaa laizoni ha ha ha haaaaaa

  • @melkioriharry1953
    @melkioriharry19533 жыл бұрын

    Sawa

  • @michaelkusenta8960
    @michaelkusenta89603 жыл бұрын

    Masanja juu

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын

    mi kiatu chako to

  • @tonnyanthonys2159
    @tonnyanthonys21593 жыл бұрын

    Viparaka

  • @mamadaniel4035
    @mamadaniel40353 жыл бұрын

    Ukombozi Tv

  • @martinkisha6307
    @martinkisha63073 жыл бұрын

    Anatafuta kiki

  • @agustinoboaz2214
    @agustinoboaz22143 жыл бұрын

    Pita uko

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje86933 жыл бұрын

    hahahaha

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi65843 жыл бұрын

    Kweli Kulikuwa na shida ya usafiri. Ukerewe. Bukoba..na Mwanza.... niliishi huko miaka kumi.

  • @ARAPHAJUMA-ws6mo
    @ARAPHAJUMA-ws6mo2 ай бұрын

    Masanja Kaz nzuri

  • @shaibhamdun5225
    @shaibhamdun52253 жыл бұрын

    Hivo nyinyi nyote hamna kazi Na vipara vyenu mnassikiliza mwenda wazimu huyu.

  • @yusuphabinala4120

    @yusuphabinala4120

    3 жыл бұрын

    Sio lazma kumpenda😏😏

  • @vedastusnestory6060

    @vedastusnestory6060

    3 жыл бұрын

    😂😂🤣

  • @dianadavid3609
    @dianadavid36093 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11703 жыл бұрын

    Mbona hata haichekeshi?

  • @ismailahmed5133

    @ismailahmed5133

    3 жыл бұрын

    Sio rahic kila kitu uelewe vingine kausha ,,,maana havina umuhimu kwako,,

  • @dawaseif3699

    @dawaseif3699

    3 жыл бұрын

    Masanja kipaji jaman MaashaaAllah

  • @alicekyai2746
    @alicekyai27463 жыл бұрын

    Mpumbavu tu wewe ukome

  • @sharifuoman6146

    @sharifuoman6146

    3 жыл бұрын

    Alice Kyai nani mpumbavu?uwe na kiasi mjinga wewe hela huna simu yenyewe ya kuazima

  • @julianamasunga700

    @julianamasunga700

    3 жыл бұрын

    Acha hizo bhana...

  • @nuruontv6541

    @nuruontv6541

    3 жыл бұрын

    Alice koma wewe

  • @Omega_Kitwika
    @Omega_Kitwika3 жыл бұрын

    Kama umemuona rowasa apigi makofi gonga like

Келесі