SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"

#MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.

Пікірлер: 220

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Жыл бұрын

    Mwl.Nyerere amerudi mpaka raha .Ana upendo sana makongoro na watu na Tanzania pia .hongera mtoto wa mzee wetu wa taifa.

  • @BernardUrassa
    @BernardUrassa3 ай бұрын

    You deserve high position for sure,you remind us our beloved Father of our Nation Julius Nyerere,Thank you Sir.God bless you

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91412 жыл бұрын

    Mwalimu Nyerere ni mwalimu pia kwa wazazi wengi, tujifunze kuishi maisha ambayo watoto wetu hawatatuonea aibu bali watajivunia kuitwa watoto wetu..Mungu azidi kukutunza mhshmw.

  • @shedrackytwinsy2206

    @shedrackytwinsy2206

    2 жыл бұрын

    M

  • @mackiemguhi692
    @mackiemguhi6922 жыл бұрын

    Nimependa hotuba yake. Ubinadamu kwanza. Mbwembwe zimenogesha lkn alichokuwa anaongea anakifahamu." Barakoa hoyeee!

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    2 жыл бұрын

    Wenye akili wanamuelewa alichokuwa anamaanisha.Alikuwa anafikisha ujumbe.

  • @lucasharison2441

    @lucasharison2441

    2 жыл бұрын

    Makongoro Ana jipya kichwani akuna kitu baba yake alikuwa na uwezo mkubwa sana

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar97334 ай бұрын

    Ahsante Muheshimiwa Makongoro kwa hotuba nzuri za kumkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kwa bidii zake za kazi na mengineyo aloyafanya ya maendeleo.ya nchi yetu Tanzania.

  • @samuelnyariki7275
    @samuelnyariki7275 Жыл бұрын

    Wonderful, legacy's records are in the register of our creator. In the fullness of time he reveals how his servants worked when they were on earth. Even Nyerere's grand children will bear testimony at 200 years of his remembrance. Great men's works live on for many seasons.

  • @user-sv2cc4xn1m
    @user-sv2cc4xn1m6 ай бұрын

    Hongera sana Mzee Makongoro Mungu akujalie Maisha mema na hekima zaidi.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19892 жыл бұрын

    Makongoro anapenda kufarahi na watu TENA ni mtoto wa mjini sana nasikia lugha zake

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 жыл бұрын

    Kweli lazima kuena comedy kidogo

  • @mikekamili6686
    @mikekamili66864 ай бұрын

    Huyu mwana wa Marehemu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere nimcheshi kweli 😂. Ana hekima na talanta ya kuwa msanii. Usemi wake hapa umenifurahisha sana. Mwenyezi Mungu ayiweke roho ya marehemu Mwalimu Nyerere pahali pema peponi 🙏.

  • @profbznesyohana6989
    @profbznesyohana69892 жыл бұрын

    Makongoro ni kichwa sana japo wengi hawamuelewi, amewaponda sana tena kwa kutumia tafisida kali

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn2 ай бұрын

    Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki afrika

  • @BrendaKimario-ys7lk
    @BrendaKimario-ys7lk Жыл бұрын

    Nampenda Makongoro...sichoki kumsikilizaga,!.. Makongoro Mungu azidi kukuinua😅

  • @user-kw8pe9pk4l
    @user-kw8pe9pk4l22 сағат бұрын

    Makongoro.mtani wangu upo vizuri kwa utani mi muhaya

  • @selemanimadeha4658
    @selemanimadeha46582 жыл бұрын

    Speach za makongoro zinahitaji akili kubwa Sana kuzielewa

  • @salehalisalum5466

    @salehalisalum5466

    Жыл бұрын

    Namuelewa saana

  • @GeoffreyMaweu
    @GeoffreyMaweu4 ай бұрын

    Kiswahili chatuzidi sisi wakenya lakini hongera makongoro

  • @SmonTangas
    @SmonTangas9 ай бұрын

    Kaka umetisha sana ooyee

  • @SmonTangas

    @SmonTangas

    9 ай бұрын

    Sawakaka nakuheshim sana unajuaa

  • @SmonTangas

    @SmonTangas

    9 ай бұрын

    Sawaaa

  • @calvinkambanga8312
    @calvinkambanga8312 Жыл бұрын

    Namkubali sana majaliwa na mama samia wanafanya kazi

  • @amosshidai8378
    @amosshidai83785 ай бұрын

    A good teacher

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya58555 ай бұрын

    Daaa point sana sana

  • @RevCharlesJPeter
    @RevCharlesJPeter8 ай бұрын

    Siku moja mtoto mmoja wapo wa Mwl. Nyerere akiwa Rais itakuwa raha sana. Tutakuwa tunaita Rais Nyerere

  • @marthamungure1777

    @marthamungure1777

    5 ай бұрын

    Rosemary asingefariki angepanda sana.

  • @user-eq2nq6os7v
    @user-eq2nq6os7v10 ай бұрын

    Congratulations ❤❤❤

  • @muhwezitimothy1316
    @muhwezitimothy1316 Жыл бұрын

    Asante sana

  • @kanyamagaraabdallah8300
    @kanyamagaraabdallah83002 жыл бұрын

    oui je attends bien , et je dit que , dieu benisse Rais nyerere du TZ , ameeni

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Жыл бұрын

    Very nice speech excellent 100 mcheshi sana una roho nyeupe sana Kama baba yako

  • @peterboniface2975

    @peterboniface2975

    Жыл бұрын

    U

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY2 жыл бұрын

    Safi

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro19523 ай бұрын

    Kuna vitu vitatu tu ambavyo mtu huna uwezo au uhuru ea kuchagua. Vitu hivyo ni:- 1. Mungu wako 2. Mzazi wako na 3. Jirani yako. TAFAKARI

  • @deuskalinga2449
    @deuskalinga24498 ай бұрын

    Good speaker hono. Makongoro

  • @ignatiusm.ndwiga7438
    @ignatiusm.ndwiga7438 Жыл бұрын

    A good speaker. God bless him.❤

  • @SmonTangas

    @SmonTangas

    9 ай бұрын

    Sawa ccm oyeee

  • @SmonTangas

    @SmonTangas

    9 ай бұрын

    Hapo sawa

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Жыл бұрын

    😍🥰♥️🔥🔥🔥 Makongoro oyeee

  • @kazitembo4928
    @kazitembo49283 ай бұрын

    Makongoro oyeeeh,, lakini mzee wasila akawepo yupo

  • @beckasalum2620
    @beckasalum26202 жыл бұрын

    Ongera makongoro, mungu mpunguzie azabuza kabur mwalim nyelele

  • @user-yd9up9zg4t
    @user-yd9up9zg4t5 ай бұрын

    Mungu ibariki Tanzaniaaa

  • @yusrakahera7589
    @yusrakahera7589Күн бұрын

    Oyoooo kererereeerr

  • @salummwanga8181
    @salummwanga81812 жыл бұрын

    Sionagi umuhim wa vituko kwake, labda umsifie kuwa anachapa kaz, vituko na vichekesho vinasaidia nn ktk jamii za sasa?

  • @meshackchavo4928
    @meshackchavo49282 жыл бұрын

    Nakukubali sana makongoro

  • @FelisianLiheta-nf2nr
    @FelisianLiheta-nf2nr Жыл бұрын

    Safi sana

  • @peterkesimba9619
    @peterkesimba96192 жыл бұрын

    Very wise

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Жыл бұрын

    Namkubali sanaa best yangu apo vipi Sasa lol!

  • @michaelkaswahili9593
    @michaelkaswahili9593 Жыл бұрын

    Ok

  • @nickdhaemperor-ox7sz
    @nickdhaemperor-ox7sz Жыл бұрын

    Natamani sana niingie Tanzania

  • @magrethtitus

    @magrethtitus

    Жыл бұрын

    Karibu

  • @hamadsheni8997

    @hamadsheni8997

    11 ай бұрын

    Uje kufanyaje kaa hukohuko

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV2 жыл бұрын

    Yani katika wanasiasa sichoki kuwasikiliza ni huyu ,lisu,msigwa,mbowe,na lema

  • @haroldtarimo3115

    @haroldtarimo3115

    2 жыл бұрын

    uko sahihi Makobgoro huchoki kumsikiliza

  • @magrethmeela154

    @magrethmeela154

    Жыл бұрын

    Mmmh huyu simuelewaginhuyu jamaa.

  • @noelmugizi5853
    @noelmugizi58532 жыл бұрын

    Anabahatisha

  • @andrewalbin3847
    @andrewalbin38473 ай бұрын

    7:00 vidole oyeeee😂😂😂

  • @missangela6720
    @missangela67202 жыл бұрын

    Waliomwelewa alichozungumza jmn

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 Жыл бұрын

    Yani hata mbele ya raisi yeye anaendelea na vituko😅

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Жыл бұрын

    As philosopher as the father

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    Sawa!

  • @fauziakimath7446

    @fauziakimath7446

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe.sanaaaaaa

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald42772 жыл бұрын

    Duh

  • @samuelkamau3418
    @samuelkamau34182 жыл бұрын

    Why no one will mention how he is a spitting resemblance of Mwalimu Julius Nyerere

  • @josephkithama9739
    @josephkithama9739 Жыл бұрын

    Wakati tukisoma Tabora,alikuwa anapiga bendi ya Tabora Boys alikuwa mpigaja mzuri wa bass guitar, watu walikuwa wanachanganyikiwa.mtu wa watu kama baba wa Taifa

  • @user-cw2hf5zp6u
    @user-cw2hf5zp6u2 ай бұрын

    Daah namkubali

  • @eugenenkandu1287
    @eugenenkandu1287 Жыл бұрын

    Like father Like son

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo2 жыл бұрын

    Hata baba yake alikua mcheshi sana

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga65572 жыл бұрын

    Wenye akili nyingi tumekuelewa 🤣😆😆💪💪

  • @emanuelmuna1242
    @emanuelmuna12422 жыл бұрын

    Barakoa hoyeeee😂😂😂

  • @ramaaman9173
    @ramaaman91732 жыл бұрын

    Vizurisana inaletaupendo kwa wazalendo wa Tanzania tumkumbuke mwalimu

  • @allymwazoa2284
    @allymwazoa22848 ай бұрын

    Kama utani vile lkn Msg inafika vizuri kama ilivyokusudiwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Makongoro mmpe uongozi tu kwa vile ni mtoto wa hayati nyerere lakini ni mtu wa comedian sana kwa kuongeza jiji la arusha ni bomu kabisa mlevi sana

  • @whimsymaverick3057

    @whimsymaverick3057

    2 жыл бұрын

    Jiji la Arusha haiko Manyara we MTU. Huijui hata nchi Yako unathubutuje KUCOMMENT?

  • @laurinfred2931

    @laurinfred2931

    2 жыл бұрын

    @@whimsymaverick3057 😅😅 mwambie afatilie hata hutuba za Mwl Nyerere zilikuwa na ucheshi ndani yake

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd11 ай бұрын

    Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa na wasi wasi kuwa baada ya Mwal. kung'atuka nchi hii itakuwaje? Juu ya umoja wetu, uwadilifu wa viongozi na mengine mengi. Namshukuru Sana Mungu wasi wasi wangu ulikuwa sahihi kabisa tangu Mwal. ang'atuke TUNASHUHUDIA UFISADI MTUPU awamu kwa awamu!!! Na sasa umoja wetu u mashakani, sote TUNASHUHUDIA MKATABA WA DP WORLD ULIVYO uibua UDINI NA UMETUGAWA AAJABU!!! WATU wameacha kujibu HOJA WANACHOMEKEA UDINI!!! Kama hawajui madhara MAKUBWA yanayosababishwa na UDINI. WAISLAMU NA WAKRISTO TUMEISHI KAMA NDUGU MIAKA YOTE YA MWAL. UFISADI HAUKUSHUHUDIWA, KAMA NIMESAHAU NIKUMBUSHE!!! UFISADI BAADA YA MWAL. NITAKUKUMBUSHA KWA UFUPI: LOLIONDO, UFISADI HUU ULIONDOKA NA UHAI WA MWANDISHI WA HABARI NDG YETU KATABARO, EPA, ITPL, MEREMETA NA RICHIMOND N.K. MWALIMU ALIWAHI KUSEMA KUWA : SIKUWA NAAPA KWA KUTANIA MUNGU SI MTAANI WANGU, HUYO NDIYE MWALIMU J. K. NYERERE. NANI KAMA NYERERE MIONGONI MWAO?

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461Ай бұрын

    Hapa utadhani VITUKO kumbe kwa hapo hapo utakuta hujagundua NONDO za hali ya juu zilizojaa MANTIKI ,baadaye saana ndo utakuja kugundua analenga kitu . Ndivyo alivokuwa babake MWL J.K.NYERERE .

  • @stantonemgao3771
    @stantonemgao3771 Жыл бұрын

    Lijenje yuko wapi mbona linapotezewa?

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Жыл бұрын

    Dah huyu jamaa anaongea kama Nyerere!!

  • @user-ct3um3fr6j
    @user-ct3um3fr6j4 ай бұрын

    Aijirudii bwana enzi mungu amlazemahali pema

  • @drkalokola5861

    @drkalokola5861

    4 ай бұрын

    Kumbe kwenye Chawa umo.

  • @drkalokola5861

    @drkalokola5861

    4 ай бұрын

    Baba wa Taifa hakuwa mnyonyaji wala hakuwa fisadi. Mwalimu alikuwa mzalendo. Mwalimu aliwachukia wanyonyaji na hasa wakoloni Mamboleo.

  • @jamesmuringi1791
    @jamesmuringi17915 ай бұрын

    Nawapenda nyie ndugu watanzania. Mola kawapa kisichopatikana duniani.

  • @BernardUrassa
    @BernardUrassa3 ай бұрын

    👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾✔️✔️✔️

  • @tibonmbingi1082
    @tibonmbingi10822 ай бұрын

    Hayo ndo mnayoweza

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad26922 жыл бұрын

    Nimemuona manara

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Жыл бұрын

    Makongoro bana anachekesha sana aisee

  • @uzimaafricanheritagetv8189
    @uzimaafricanheritagetv8189Ай бұрын

    L

  • @mwazaniedward8119
    @mwazaniedward8119 Жыл бұрын

    Sport

  • @briansancedo9336
    @briansancedo93362 жыл бұрын

    Mwalimu nyerere ametuachia picha halisi

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    aslm mumu plz anzishabishara yakwakoo itwe jina hiloo nimekutabiriya jina zuri kabisaa ukishindwa kufanya bisharas ni weww

  • @drkalokola5861
    @drkalokola58614 ай бұрын

    Aibu.

  • @johnmabugalusalulo2066
    @johnmabugalusalulo20666 ай бұрын

    Siasa ni nzuli kwa mwana siasa aliye iva kisiasa,siyo kama wale wanao piga siasa kama wanagombana nawa tu,mala kutukana mala kukejeli mala kupiga siasa za kuzalaulina mala kusimanga viongozi walio tangulia mbele za haki,siasa iliyo nzuli niile yenye usitalabu kama vile makongoro anavo ipiga kama kinanda cha kanisa ni safisana

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s4 ай бұрын

    Jemeni my Kiswahili siyo fasihi. But naskia Makongolo Nyerere akisema "Wanapenda Kiki", Jemeni nini maana ya KIKI? Salam's kutoka Toronto Canada

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman31582 жыл бұрын

    Makamu mpya wa Zamani tangu uhuru

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala61622 жыл бұрын

    Ccm hamuoni aibu kukusanyana dhambi zimewajaa Kwa kunyanyasa watu na unafiki mwingi? Pindi magufuli yupo hai mlikuwa hamumwambii akikosea alipokufa mnaanza kusema kakosea je yakwenu ambayo mpo sahihi ni yapi? Mungu anawaona Tubuni ,Tunataka katiba mpya,tume huru ya uchaguzi

  • @charlesngwembele4541

    @charlesngwembele4541

    2 жыл бұрын

    Ukiona walikuwa hawamuambii ni kwasababu alikuwa dikteta

  • @zeralucyntazimila6600

    @zeralucyntazimila6600

    2 жыл бұрын

    @@charlesngwembele4541 huo ni unafiki na wala siyo udikiteta ni ujinga kumsema mtu aliyelala

  • @laurinfred2931

    @laurinfred2931

    2 жыл бұрын

    @@zeralucyntazimila6600 fact

  • @josephkithama9739
    @josephkithama9739 Жыл бұрын

    Ulikuwa una mwita Mwalimu au Baba?

  • @michaelkimune7024
    @michaelkimune70243 ай бұрын

    Ndugu zetu mna wengi wa kuwafaa-mpokeeni huyo!

  • @tibonmbingi1082

    @tibonmbingi1082

    2 ай бұрын

    Baki nae tu,huku hatuna kibanda Cha kumuweka

  • @januaymagori4642
    @januaymagori46422 жыл бұрын

    tumelewa 😂😂😂😂

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail54198 ай бұрын

    Makongoro hoooye

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 Жыл бұрын

    Ok mh makongoro mungu akubariki sana!

  • @yustasemayengo3068
    @yustasemayengo3068 Жыл бұрын

    Bwana ni mwema san

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    Iskadafaaauuu haa

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon36248 ай бұрын

    R.I.P JKNyerere🙏

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Naona hata aibu kuendelea kutizama na kusikiliza

  • @sundaykomba1327
    @sundaykomba13272 жыл бұрын

    Kama siyo mtu smart kumwelewa makongoro itakuwa ngumu sana

  • @kazembeally1619

    @kazembeally1619

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    kaka shikamio kiki long distance Orr short kiki

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania53152 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makongoro oyeeeèeeeeeeeeeeeeeeeee!

  • @keffaonchiri7813
    @keffaonchiri78134 ай бұрын

    Mako hoooye!

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72462 жыл бұрын

    Kutoa kofia kutoa kofia kutoa kofia waaaaa !😁😁😁😁😁

  • @magrethmollel1078

    @magrethmollel1078

    2 жыл бұрын

    Huyo atakuwa amelewa huyo

  • @noelmugizi5853
    @noelmugizi58532 жыл бұрын

    Kawaponda kwenye kustaafu,nadhani wengine awakumhelewa kama wakina Kinana nawengineo mambumbumbu.

  • @jacquelinesemu1347

    @jacquelinesemu1347

    Жыл бұрын

    Asante thamk you

  • @Leminelimited
    @Leminelimited4 ай бұрын

    M23

  • @LerwenceokuloMolle
    @LerwenceokuloMolle5 ай бұрын

    Makongoro my friend ulisaliwa kweli

  • @ElastoMashine-nw2dz
    @ElastoMashine-nw2dz3 ай бұрын

    Baba Mm Elasto Bagamoyo Mjoo.ule samaki .samàkdds

  • @tondiyeamani2948
    @tondiyeamani2948 Жыл бұрын

    Nina amini

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13194 ай бұрын

    Sun of first late julias kambarege first president repablic of tanzanian regional commissioner of ngorongoro but leader stroke comedian following late julias kambarege Nyerere jokes during his life time on his leadership can crush late people get angry at the beginning of meetings but at the end laphing sun also on seem truck creat lmotion of angry at the end laphing sun of late julias kambarege Nyerere makongoro Nyerere short briefing under full gavment official

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Жыл бұрын

    Bro i guess is possessed with Nyerere spirit

  • @RevCharlesJPeter

    @RevCharlesJPeter

    8 ай бұрын

    Exactly 💯

  • @user-yy5eb3ih5t
    @user-yy5eb3ih5t4 ай бұрын

    , 0:33 😮55

Келесі