Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid5665
4 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily5149
4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau5657
4 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua6650
4 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee7186
3 жыл бұрын
sana...
@isakaally36414 жыл бұрын
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha7557
3 жыл бұрын
Ameniii
@ringoaskali76254 жыл бұрын
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq5829
4 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan8286
4 жыл бұрын
AMIN
@hassansaid99254 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
@nasrangayenda18534 жыл бұрын
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
@florianarchard94514 жыл бұрын
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.3894
4 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses8439
4 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
@sadockalfred67504 жыл бұрын
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq5829
4 жыл бұрын
Ameen
@chibothedon5674 жыл бұрын
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
@beachgizaarea53704 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
@jumaaiddy69334 жыл бұрын
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
@libanjama81544 жыл бұрын
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho9366
4 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo9049
4 жыл бұрын
Exactly brother
@saidinalmsofethatsgoodwaya64544 жыл бұрын
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
@eliasjillanga31584 жыл бұрын
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
@magynzioka11224 жыл бұрын
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
@kimambomedia77664 жыл бұрын
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
@bibletv98184 жыл бұрын
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
@jambostaamringa94904 жыл бұрын
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
@ivanymtaki35854 жыл бұрын
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez9229
4 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga9859
4 жыл бұрын
Come on men
@barakamakabara35574 жыл бұрын
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
@paulmaziku2404 жыл бұрын
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku240
4 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
@lucymacha95783 жыл бұрын
Asante baba kwa kazi nzuri
@simionmaregesi97384 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz5527
3 жыл бұрын
😆😆😆
@sweetmama68854 жыл бұрын
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
@emmanuelmosha31074 жыл бұрын
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
@ignasiissaya17183 жыл бұрын
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
@hishamally48464 жыл бұрын
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
@buthaymaahmad5573 жыл бұрын
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
@sengeremaxleo92954 жыл бұрын
We need more leaders like this man
@OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
@jacobmbogella90274 жыл бұрын
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
@peterkaombwe6251 Жыл бұрын
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
@vivarealrapper43444 жыл бұрын
Sukuma ndani
@charlesnyabori76694 жыл бұрын
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco4719
4 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
@frankkaiza36584 жыл бұрын
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
@shufaaiddi10504 жыл бұрын
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb4184
4 жыл бұрын
👏👏👏👏
@abdulimalikhamadi10784 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
@sharonke74424 жыл бұрын
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
@julytito38914 жыл бұрын
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia1462
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida2369
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito3891
4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
@zulekhaally35244 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc3422
4 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight4253
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames7574
4 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
@paiwanjara35024 жыл бұрын
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
@mkapaliberatus27743 жыл бұрын
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
@jumandutu22754 жыл бұрын
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
@abdulkillya26554 жыл бұрын
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj6230
4 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald1561
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed5031
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez9229
4 жыл бұрын
hhhhhh
@dottokulwa70754 жыл бұрын
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
@mohammedshaaban95094 жыл бұрын
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni7010
4 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza9631
4 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar622
4 жыл бұрын
Wewe je?
@revocutuswillibard68544 жыл бұрын
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
@cleofasnyoni38364 жыл бұрын
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
@mohamedirajabu74054 жыл бұрын
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
@meddy_upette95114 жыл бұрын
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
@abdulmembe23494 жыл бұрын
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
@mbotwambotwa21862 жыл бұрын
Hongera sana tutakumiss tu
@ahmadjuma38164 жыл бұрын
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
@methewmigodela42114 жыл бұрын
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
@isayakalafya58653 жыл бұрын
Kama unamuombea mema kiongozi huyu like
@dyanatanz65744 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
@samuelfilmessimon40462 жыл бұрын
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
@gadinuru14544 жыл бұрын
Mwandry 💪💪💪
@saidbabu91984 жыл бұрын
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Jamani umesema ukweli
@isayakalafya58653 жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
@AfroLofiSafariGrooves4 жыл бұрын
come on mennnnnnnnnnnnnnnnnnn
@josephinesiril95214 жыл бұрын
Safi Sana mzee sukuma ndani tuna kuamini
@luckykelvin67094 жыл бұрын
Niko Mbeya mna bonge la mkuu wa mkowa ,hatuwezi vumilia watu kuonewa na viongozi husika wakawa wanafukia
@bienvemwami67684 жыл бұрын
bring this man to goma (Drc) he is the best
@xerxespersian13844 жыл бұрын
Yaani mtu ameshambuliwa Alafu mshambuliwa kalazwa nyie mnatoa dhamana Daaaaaa RC UMEONGEA UKWELI SASA CJUI HAWA WANAOPEWA UONGOZI CJUI WANABAHATI GANI
@abdul-rahmanfakijuma18793 жыл бұрын
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
@abdulimalikhamadi10784 жыл бұрын
Swadakta RC
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid4099
4 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie4104
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON
4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz
4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano2324
4 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
Mzee wa Toronto very good
@oraionsabibi54974 жыл бұрын
Kijijini wakulima wanaonewa na wafugaji na police wanaangalia wenye nacho wanawaachia hakuna haki ci sawa kabisa
@michaelthobias99673 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi tunawo wataka
@japhetjoseph17724 жыл бұрын
Good hakuna kuangalia ujinga lazma Kila mtu aishi kwa Uhuru bila kuoneana hakuna mtu mweny nguvu
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Mtendaji unasema kesi ya watu wako ikiwa Polisi huusiki ??? Acha uongo Mama . Mtendaji , Polisi , Mkuu wa Wilaya , ni wazembe , Mzee Mwanri sukuma ndani hao . Mnagombea Uongozi wa nini na kuongoza hamuwezi ???
@harounplaurent83594 жыл бұрын
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
@steveagustino93684 жыл бұрын
sio wananchi wanapiga makofi km mtu anaolewa hapa.onyesha status..hapa
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
@ahmedathman16242 жыл бұрын
This is man does what magu did during his time...
@mirzah1172 жыл бұрын
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
@ahmedissa7882 Жыл бұрын
Nimefurahi sana Mama kwa kurudisha
@faredamobilo36782 жыл бұрын
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
@lulually52093 жыл бұрын
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
@annalaizer41284 жыл бұрын
Mh mwandri tunakusubiri siha yetu tumebaki nyuma
@barakarobert95164 жыл бұрын
Leo tabora,ingunga na nzega zina taa za mtaani kwa ajiri ya kusaidia usalama wa mji ila jiji la arusha na mwanza yapo gizan hii aibu hongera mkuu wa mkoa Tabora
@eugenmgaya66234 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa !
@elizabethdismas76604 жыл бұрын
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
@maulidhamad36594 жыл бұрын
Camon mana 😂😂😂
@Thuon_2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu jogoo.
@vivarealrapper43444 жыл бұрын
Mzee ameuwasha moto vizur sana
@berthamakortha83874 жыл бұрын
Asante. Wawekwe ndanii haswaa ni wauwaji haoo
@rajabplatinum36524 жыл бұрын
We need life revolution... Ukisikia Democracy ndo hii.
@amiriramadhan77534 жыл бұрын
Mtu anapigwa panga mnachekelea heeeiii wacha iyo 😂 😂 😂
Пікірлер: 421
Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid5665
4 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily5149
4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau5657
4 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua6650
4 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee7186
3 жыл бұрын
sana...
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha7557
3 жыл бұрын
Ameniii
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq5829
4 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan8286
4 жыл бұрын
AMIN
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.3894
4 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses8439
4 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq5829
4 жыл бұрын
Ameen
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho9366
4 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo9049
4 жыл бұрын
Exactly brother
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez9229
4 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga9859
4 жыл бұрын
Come on men
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku240
4 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
Asante baba kwa kazi nzuri
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz5527
3 жыл бұрын
😆😆😆
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
We need more leaders like this man
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
Sukuma ndani
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco4719
4 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb4184
4 жыл бұрын
👏👏👏👏
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia1462
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida2369
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito3891
4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc3422
4 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight4253
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames7574
4 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj6230
4 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald1561
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed5031
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez9229
4 жыл бұрын
hhhhhh
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni7010
4 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza9631
4 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar622
4 жыл бұрын
Wewe je?
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
Hongera sana tutakumiss tu
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
Kama unamuombea mema kiongozi huyu like
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
Mwandry 💪💪💪
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
@alexkabeho5609
4 жыл бұрын
Jamani umesema ukweli
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
come on mennnnnnnnnnnnnnnnnnn
Safi Sana mzee sukuma ndani tuna kuamini
Niko Mbeya mna bonge la mkuu wa mkowa ,hatuwezi vumilia watu kuonewa na viongozi husika wakawa wanafukia
bring this man to goma (Drc) he is the best
Yaani mtu ameshambuliwa Alafu mshambuliwa kalazwa nyie mnatoa dhamana Daaaaaa RC UMEONGEA UKWELI SASA CJUI HAWA WANAOPEWA UONGOZI CJUI WANABAHATI GANI
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
Swadakta RC
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid4099
4 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie4104
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON
4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz
4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano2324
4 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
Mzee wa Toronto very good
Kijijini wakulima wanaonewa na wafugaji na police wanaangalia wenye nacho wanawaachia hakuna haki ci sawa kabisa
Hawa ndio viongozi tunawo wataka
Good hakuna kuangalia ujinga lazma Kila mtu aishi kwa Uhuru bila kuoneana hakuna mtu mweny nguvu
Mtendaji unasema kesi ya watu wako ikiwa Polisi huusiki ??? Acha uongo Mama . Mtendaji , Polisi , Mkuu wa Wilaya , ni wazembe , Mzee Mwanri sukuma ndani hao . Mnagombea Uongozi wa nini na kuongoza hamuwezi ???
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
sio wananchi wanapiga makofi km mtu anaolewa hapa.onyesha status..hapa
Ukizubaaa wataku Tia mkenge Hao, mkuu💪💪
nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
This is man does what magu did during his time...
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
Nimefurahi sana Mama kwa kurudisha
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
Mh mwandri tunakusubiri siha yetu tumebaki nyuma
Leo tabora,ingunga na nzega zina taa za mtaani kwa ajiri ya kusaidia usalama wa mji ila jiji la arusha na mwanza yapo gizan hii aibu hongera mkuu wa mkoa Tabora
Hongera sana mkuu wa mkoa !
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
Camon mana 😂😂😂
Nampenda sana huyu jogoo.
Mzee ameuwasha moto vizur sana
Asante. Wawekwe ndanii haswaa ni wauwaji haoo
We need life revolution... Ukisikia Democracy ndo hii.
Mtu anapigwa panga mnachekelea heeeiii wacha iyo 😂 😂 😂