INJINIA AINGIA KWENYE 18 ZA RC MWANRI/ ASOMESHWA NAMBA HADHARANI

Ойын-сауық

Пікірлер: 368

  • @asiasaidi6302
    @asiasaidi63022 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz

  • @peterpain5594
    @peterpain55945 жыл бұрын

    Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini

  • @brandmj

    @brandmj

    3 жыл бұрын

    Saw

  • @amiriibrahim9041

    @amiriibrahim9041

    3 жыл бұрын

    Tumbuaaaa kabisaaa ao

  • @beatricshadrack321
    @beatricshadrack3212 жыл бұрын

    Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 ай бұрын

    Umeona eee

  • @mpambanajitz7026

    @mpambanajitz7026

    7 ай бұрын

    👍👍👍

  • @am_blessed.1
    @am_blessed.14 жыл бұрын

    Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁

  • @geofreywayesu5638

    @geofreywayesu5638

    2 жыл бұрын

    Oyooo comedian also

  • @yahayamkone4040
    @yahayamkone40405 жыл бұрын

    Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu

  • @mohamedkigwehe3479
    @mohamedkigwehe34795 жыл бұрын

    Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako

  • @eliakazana7252
    @eliakazana72523 жыл бұрын

    Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali

  • @raibethnicholaus1493

    @raibethnicholaus1493

    3 жыл бұрын

    Yes

  • @edenbaraka7533

    @edenbaraka7533

    3 жыл бұрын

    Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako

  • @edenbaraka7533

    @edenbaraka7533

    3 жыл бұрын

    Kwa sasa ZILIPENDWA

  • @edenbaraka7533

    @edenbaraka7533

    3 жыл бұрын

    NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA

  • @mwanaimaabdallah7825

    @mwanaimaabdallah7825

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @slaustv6129
    @slaustv61295 жыл бұрын

    Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa

  • @andrewtamba6671
    @andrewtamba66715 жыл бұрын

    😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!

  • @geoffreychurchkayora1230

    @geoffreychurchkayora1230

    5 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @jabirinkama5981

    @jabirinkama5981

    4 жыл бұрын

    Andrew Tamba 🔉ongeza saut

  • @michaeleustach9352

    @michaeleustach9352

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁

  • @harunarashid6404

    @harunarashid6404

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    3 жыл бұрын

    Hahaha noma kweli mwalimu dotto

  • @barakajulius5938
    @barakajulius59384 жыл бұрын

    Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote

  • @dinahshirima6356

    @dinahshirima6356

    3 жыл бұрын

    Nimecheka.yuko sirias

  • @belitomanuel6240

    @belitomanuel6240

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali

  • @isamazatv.115
    @isamazatv.1155 жыл бұрын

    Good leadership hongera sana from Canada

  • @patmochurchsingida7185

    @patmochurchsingida7185

    2 жыл бұрын

    Hello

  • @gabrielmdem4271

    @gabrielmdem4271

    10 ай бұрын

    🦓🇹🇿

  • @farajakihembwe307
    @farajakihembwe3074 жыл бұрын

    nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42303 жыл бұрын

    KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe51075 жыл бұрын

    huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma87135 жыл бұрын

    Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.

  • @mwidiniharuna9618

    @mwidiniharuna9618

    5 жыл бұрын

    kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia

  • @leonmushi6

    @leonmushi6

    5 жыл бұрын

    da!

  • @johnmagati5017

    @johnmagati5017

    5 жыл бұрын

    Hapo umenena iliokweli

  • @yussuphsnashir5047

    @yussuphsnashir5047

    4 жыл бұрын

    piga kazii

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel71304 жыл бұрын

    Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya22635 жыл бұрын

    Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid

  • @hamdantwaha8042

    @hamdantwaha8042

    5 жыл бұрын

    Chukua kalamu ya kijani upate upako

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi36555 жыл бұрын

    Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine

  • @sengiyumvamathayo1548

    @sengiyumvamathayo1548

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisaa!.

  • @mohammedally5185

    @mohammedally5185

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa..

  • @mohamedfakili3376

    @mohamedfakili3376

    4 жыл бұрын

    Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi

  • @dinahshirima6356

    @dinahshirima6356

    3 жыл бұрын

    Hataki utani

  • @jafarymdollo4420
    @jafarymdollo44205 жыл бұрын

    Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo

  • @rahmarama5669
    @rahmarama566916 күн бұрын

    Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe23015 жыл бұрын

    Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye

  • @abrahamdaniel7564

    @abrahamdaniel7564

    5 жыл бұрын

    Kweli yeye bora asome

  • @mrs2918

    @mrs2918

    4 жыл бұрын

    hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira

  • @mohamedkichendo7720

    @mohamedkichendo7720

    4 жыл бұрын

    Sanaaa asikae.nwanzi wa tape

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    3 жыл бұрын

    Soma iyoooh

  • @ayubuwilliam130
    @ayubuwilliam1304 жыл бұрын

    Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani

  • @ramsoramaa6798
    @ramsoramaa67984 жыл бұрын

    Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍

  • @allykazoa7065
    @allykazoa70654 жыл бұрын

    Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁

  • @davismremi8986
    @davismremi89862 жыл бұрын

    it is my tradition to come and watch this in a while.....

  • @godfredmbanyi5389

    @godfredmbanyi5389

    Жыл бұрын

    I thought i was alone, 😂

  • @alfredmsambaa1443
    @alfredmsambaa14434 жыл бұрын

    Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...

  • @junioramos2997
    @junioramos29975 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96515 жыл бұрын

    Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo

  • @husseinsalimhemed7169
    @husseinsalimhemed71695 жыл бұрын

    Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa

  • @papaampondele1750
    @papaampondele17505 жыл бұрын

    Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 Жыл бұрын

    Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera6855 жыл бұрын

    Kiongoz bora kbsaa

  • @decruzz6792
    @decruzz67922 ай бұрын

    27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like

  • @husseinomary4466
    @husseinomary44665 жыл бұрын

    Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa

  • @odilinadonald261
    @odilinadonald2615 жыл бұрын

    Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno

  • @beckasalum2620

    @beckasalum2620

    2 жыл бұрын

    Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi

  • @elibarikimiage6204
    @elibarikimiage62042 жыл бұрын

    Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI

  • @msafiriduwiya953

    @msafiriduwiya953

    Жыл бұрын

    Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo

  • @tsagytz6755
    @tsagytz67553 жыл бұрын

    Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO

  • @andrewzimba6844

    @andrewzimba6844

    5 жыл бұрын

    Zefa Mange hi

  • @ramsokhamis9262
    @ramsokhamis92625 жыл бұрын

    Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀

  • @sarahgihoshwa7715

    @sarahgihoshwa7715

    3 жыл бұрын

    😂😂😂🤣

  • @athumankhalfan7836

    @athumankhalfan7836

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 hatar

  • @rashidsalim3801
    @rashidsalim38015 жыл бұрын

    Hongera sana mheshimiwa

  • @alikhamisame9636
    @alikhamisame96365 жыл бұрын

    Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee

  • @innocentoder8481

    @innocentoder8481

    10 ай бұрын

    This is genius leader

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace77555 жыл бұрын

    Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please

  • @ahmadymuhina6546
    @ahmadymuhina65462 жыл бұрын

    😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi55172 жыл бұрын

    Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka12392 жыл бұрын

    Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86455 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa

  • @omarykindaile6451

    @omarykindaile6451

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @Basagamp4
    @Basagamp45 жыл бұрын

    Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako

  • @laurentsunta5169

    @laurentsunta5169

    5 жыл бұрын

    Basaga hahahaha

  • @peterpain5594
    @peterpain55945 жыл бұрын

    Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz62094 жыл бұрын

    🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc

  • @gigotz1755
    @gigotz17555 жыл бұрын

    Magu ampe uwaziri wa michezo

  • @beckasalum2620

    @beckasalum2620

    2 жыл бұрын

    Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n3 күн бұрын

    Asante baba!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71585 жыл бұрын

    Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana

  • @khanbaba8125
    @khanbaba81253 жыл бұрын

    Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu

  • @barakaalmas3399
    @barakaalmas33995 жыл бұрын

    Sukuma dani mweshimi huyo

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    5 жыл бұрын

    Mbona Makonda naye yupo Moto?

  • @swaleheally8134
    @swaleheally81343 жыл бұрын

    Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa

  • @mwidiniharuna9618
    @mwidiniharuna96185 жыл бұрын

    kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa

  • @amanimwaifunga6524
    @amanimwaifunga65245 жыл бұрын

    Mwanri Big up Sana kiongozi

  • @kindboywillsmis8152
    @kindboywillsmis81525 жыл бұрын

    Amekunywa

  • @jamesmodest3206
    @jamesmodest32063 жыл бұрын

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021

  • @kyambarungwe4453
    @kyambarungwe44535 жыл бұрын

    jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora

  • @salehali9203
    @salehali92035 жыл бұрын

    Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.

  • @lucasmanyama2892
    @lucasmanyama2892 Жыл бұрын

    You deserve to president in this country.

  • @mwengwamwengwa9678
    @mwengwamwengwa96783 жыл бұрын

    Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo

  • @hunchoonetz8747
    @hunchoonetz87473 жыл бұрын

    Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis75595 жыл бұрын

    Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah

  • @graysonnyamsogoro376
    @graysonnyamsogoro3764 жыл бұрын

    Daah i like this RC

  • @mwalaprosper2291
    @mwalaprosper22912 жыл бұрын

    Mis you mwamri!!

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu23275 жыл бұрын

    Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !

  • @ezekielndaraba7221
    @ezekielndaraba72215 жыл бұрын

    😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto

  • @mgenikilindo5793
    @mgenikilindo57934 жыл бұрын

    Viongozi kama hawa ndo wanatakiwa Tanzania...

  • @jamesmassy5022
    @jamesmassy50222 жыл бұрын

    Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17125 жыл бұрын

    Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri

  • @Basagamp4
    @Basagamp45 жыл бұрын

    Mwl Dotto tunakuaminiaaaaaa

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz70267 ай бұрын

    Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty79922 жыл бұрын

    🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer46315 жыл бұрын

    😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu

  • @ommyathumani7264

    @ommyathumani7264

    5 жыл бұрын

    Hahahahah

  • @zainabshabani7076

    @zainabshabani7076

    5 жыл бұрын

    Saf

  • @imeldabamba3779

    @imeldabamba3779

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃🏃🏃👌👌👌👌mambo ni fireeeee

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    5 жыл бұрын

    Hahahah watabika sana😂😂😂

  • @ezekielngondya9590
    @ezekielngondya95903 жыл бұрын

    Kaz nzuriiiiii

  • @abdulkhamis815
    @abdulkhamis8152 жыл бұрын

    Hongera

  • @mchaking6504
    @mchaking65045 жыл бұрын

    Value for Money

  • @kilingechasimulizi2072
    @kilingechasimulizi20722 жыл бұрын

    Uyu anafaa kuwa waziri wa ujenzi. Kama Mimi ndiye ningekuwa raisi huyu angekuwa ndiye

  • @ramadhaniibrahimu9308
    @ramadhaniibrahimu93085 жыл бұрын

    katika kazi namkibari uyu hana siasa kazi zake

  • @ramsokhamis9262
    @ramsokhamis92625 жыл бұрын

    Aiiiseee lololoooo atatusomesha uyuu mwambiyee akaye pembenii.. 😂😂

  • @mstapheradriano1616

    @mstapheradriano1616

    4 жыл бұрын

    Safi sana mkuu wa mkoa big up

  • @amriharuna4236
    @amriharuna42365 жыл бұрын

    Mwalimu DOTTOOO

  • @paulkessy5267
    @paulkessy52675 жыл бұрын

    Laaaaaaaaa aiseee noma sana

  • @abdullasuleiman
    @abdullasuleiman2 ай бұрын

    "msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂

  • @salumally6614
    @salumally6614 Жыл бұрын

    Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania

  • @johnbuluma8861
    @johnbuluma88612 жыл бұрын

    Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51925 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa nyoosha tabora yote

  • @MusaMasika-yx6ho
    @MusaMasika-yx6ho Жыл бұрын

    Mwalimu doto job is present

  • @chidijuma3925
    @chidijuma39255 жыл бұрын

    vingozi.kama.hawa.ndio.wanatakiwa.sio.wanao.ofisini

  • @kulwamussa2582
    @kulwamussa25823 жыл бұрын

    safisana tukipata viongozi kamahawa nchi itafika mbarisana rakini kwasasa wezi wanajitawara kirakona wenfine tayari wamegeuka madarari wawa china madarari wawazungu huku kwenye utawara uropita wamefanya mambo yakipuuzi kabisa watanzania tusikubari nchihii tunamasomi majizi mafisadi nahayafungwi yanarerewa kirasku nakuchekewa

  • @didiermunguakonkwa5933
    @didiermunguakonkwa59332 жыл бұрын

    Gouvernement kama iyi ikifika DRC yani tuta songa mbele sana Nawapongeza tanzaniya musonge mbele tena muwa chaguwe viongozi wazuri

  • @zeddyshiznit
    @zeddyshiznit5 жыл бұрын

    Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!

  • @gloriousn6425

    @gloriousn6425

    5 жыл бұрын

    Zablab 😆😆😆😆😆😆

  • @allyomaly7795

    @allyomaly7795

    3 жыл бұрын

    Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele

  • @eliahedward7490
    @eliahedward74904 жыл бұрын

    Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike

  • @sadamrisho7719
    @sadamrisho77193 жыл бұрын

    Yupo vzr sana anafaa kuja kuwa raisi

  • @proffjay3882
    @proffjay38823 жыл бұрын

    Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa16384 ай бұрын

    Ss wananchi tunachangilia sana ila watumishi wa umma wanastress hao hawana raha yan

  • @samwelingasa1638

    @samwelingasa1638

    4 ай бұрын

    Mtu anamka na stress zake anawaka

Келесі