Viongozi wa hivi ndo kweli wazalendo. Anaongea na anachukizwa na kukwama kwa huduma from heart
@samirbinjohn31884 жыл бұрын
Alie sikia simple question na expressed question anipe like zangu jmn 😂😂
@khamiskamtoi5094
4 жыл бұрын
😂😂😂
@ErickKimaro-bf8zs
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AliMohamed-kd1uc4 жыл бұрын
Km unasoma comments km Mimi gonga likes
@sophiapeter55529 ай бұрын
Jmn turudi huku ktk utendaji, hongera Mwanri ulifanya kazi yako vzr
@yonnakenyatta4993
8 ай бұрын
Kabisa mkuu
@coolruler68204 жыл бұрын
Kama umeona waliounga mstari wakimsikiliza RC tupia like hapa
@roserashidi757
4 жыл бұрын
Kweli kabisa hao ni wapuuzi
@robinsonlyamuya95902 жыл бұрын
Enzi za magu Mambo yalikuwa safiiiiiiiiii sana
@HappynessJapheth
Ай бұрын
We acha tu
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Kuomba vyeti vyao ni sawa sawa haiwezekani miaka minne vifaa vimekaa tu pumbavu zao kabisa kongole kwako RC
@edgaredward6944
4 жыл бұрын
Uko sahihi mzee miaka minne daah
@user-zf4qq8bq4j
5 ай бұрын
Huyu jamaa alitakiwa awepo kwenye baraza la mawazri maana yupo imara sana
@anthonyfaru99084 жыл бұрын
Wale wa Toronto tujuane
@mabalakuyola1243
4 жыл бұрын
Torontoooooo hoyeeeeee
@mugwegwe
4 жыл бұрын
I am right here from Toronto . Najivuniya kuwa Burundian-Tanzanian-Canadian
@ramadhanilesenga894
4 жыл бұрын
P1
@salvatoremathias9043
3 жыл бұрын
Mwanri Nikboko aise
@Mike-yg7pb4 жыл бұрын
I appreciate, Kweli magufuli anawatendaji wanoendana na speed yake na wanamwelewa Hongereni sana viongozi, JEMBE Angry Mwari
@babanicole815
4 жыл бұрын
It is useless. Elimu ni shida. Wizara imetumia mamilioni ya fedha kununua equipments lakini wafanyakazi wake hawana uwezo.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
@@babanicole815 kwa hiyo ungekuwa wewe ungefanya mini hapo halafu anaomba vyeti vyao na yeye aoneshe vyake dawa ya moto in moto shit
@sadockchengula5542
Жыл бұрын
Yeye hahitaji kuwa na vyeti ni ufuatiliaji tu kwa wataalamu. Unapokuwa mtaalamu ni mhimu kuwa na uthibitisho wa utaalamu. RC yuko sawa si unaona akina Bashite walikuwa na mashaka na vyeti lakini kwa nafasi yake alifanya kazi kubwa iliyopelekea kuanzishwa kwa kamisheni ya kudhibiti na kupambana na madawa ya kukevya hapa nchini. So si kila nafasi ina hitaji usomee ila kama ni utaalamu ni mhimu. Huoni kama ni madudu kwa vifaa kuwa na miaka mitano alafu wananchi wanasafiri mbali kufata huduma.
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
@@sadockchengula5542 kwa hiyo hapo anapuyanga tu maana hao watumishi hawajathibishwa wizarani? Mkuu wa mkoa ndiyo amepewa mandate ya kuwakagua vyeti vyao huu ni uvivu mkubwa wa kufikiri kufokewa na wachungaji was mbuzi kwenye vituo kazi serikalini nk
@davidgithiomi40712 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa. I salute you . Wewe ni mchapa kazi na watetea wanyonge. Karibu kwetu Kenya utondolee wazembe kazini. Hongera...
@jitukorofi9517
11 ай бұрын
Siasa za kipumbavu serikali haijaajiri wataalamu wa kutosha halafu unalazimisha watu wafanya operesheni
@omarychambo8784 жыл бұрын
Wapatikane wakuu wa mikoa wengine 10 tu kama huyu,kuongeza na Raisi wetu,tutaenda mbele.Hongera sana mkuu.
@paiwanjara35024 жыл бұрын
big up mkuu wa mkoa wa toroto nakukubali sana kwa kazi yako unayofanya MUNGU akulinde kwa kazi yako
@telaamtauta2227
2 жыл бұрын
Amiin
@chusseboywcb28084 жыл бұрын
Nakukubali sanaaaa mweshimiwa mkuu wa mkoa. 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@fredygetala828
Жыл бұрын
Ni Kweli mkuu waambie hao wanazingua
@najma32684 жыл бұрын
😂😂😂Muheshimiwa wakienda kuuza viazi uwape na sare zao tuwajue 😂😂😂
@bimaisarankamia4153
4 жыл бұрын
😂😂😂
@woielmalya7164
4 жыл бұрын
Machine zimekaa 4 years bila kuwashwa Wala kuwa tested Wala kuwa commissioned Hizo Ni lazima zitakuwa zimepitwa na technology na hivyo kuwa obsolete hata Kama Ni mpya
@JamalDaudlulyeho
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 we kiboko asee
@davidmadudu88594 жыл бұрын
Bonge la kiongozi yani unatufaa mbeya mh rais tuletee mbeya
@mst1studio2704 жыл бұрын
Oooooooyes I congratulating you Region Mwanly
@davidmbilinyi14534 жыл бұрын
Rafiki angu magu ulimtoa wapi huyu hongera sana
@aloycekiwia86134 жыл бұрын
Duh..! Vyombo vipya,havifanyi kazi. Jenereta mpya,hatuna umeme.!? Hiyo ndiyo Bongo.
@zakayokambainei5963
4 жыл бұрын
Hatariii sana
@samwelrobert9687
4 жыл бұрын
😢😢😢😢 duu bongo jaman hiv shida nin kama watu hawana uwezo wa kuoparet kwanin wawang'ang'anie .aiza wawaletee xpat kuwatrain tu
@thabitmunuo93672 жыл бұрын
Yani natamani siku huyu mkuu achukue nchi naona tutakaa vzur sana
@giftchristopher93474 жыл бұрын
Alufu hulela hulela😂😂😂😂 ,, ambaye kaipata hyo Gonga like
@turkeyphone96294 жыл бұрын
Jamaaa at best kwelii hongera sanaa na asante sanaa hapa ni kazi tu
@baranyikwamohammedamorosso5080 Жыл бұрын
Eeeh 4years that is to long ,autority is a charity hongera mzee kwa job nzuri
@Hopestone_counselling_point.4 жыл бұрын
Ila huyu mama dr anajua kujibu maswali nimempenda anajua namna kujibu maswali strategically
@amosimwangonji68914 жыл бұрын
Ole wako mtu afe sasa nae anakwendaaaaaa safi sana mkuu nakupenda sana fukuza wote wanaofanana na ao
@hojajmagingila10994 жыл бұрын
Bado kuna watu wanavichwa vigumu serikalini na hawataki kuwa wabunifu. Machine zimeletwa miaka 4 hajawahi kufanya kazi. Daaah.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
Utawala bora hautumii amri za kuwandamiza.watu.kwa hiyo.watumie.hela.zao mifukoni kuendesha hospitali tuachane na uonevu huu tuthukumiwa siku kiama
@phantyrhymes95362 жыл бұрын
Respect sana kwa mkuu wa Mkoa Tabora enzi hizo...Aggrey Mwanri.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
Unapongeza mtu hajasoma hapo alikuwa tuition unamuona hapo anaelewa mini?
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Huo ndio uelewa wa wanyonge hapa Bongo Mimi siyo mnyonge wa kuunga mkono mawazo mgando kama haya ya RC kama huyu hiyo ni kazi ya kitaalam inafanyika kwa utaratibu wake
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Safi sana kiongozi mungu azidi kkupa nguvu uchape kazi💪
@user-rq6vm5gj4jАй бұрын
safi sana Mh. utendaji wako ni wa kukumbukwa
@karisacharo20742 жыл бұрын
Kama uko hapa na huez endesha hiz mashine outiiiii🤣🤣🤣
@ommarysaid73914 жыл бұрын
Tunafanya Operesheni Hapa hapa Ole wako Afe mtu Hapa kwa Uzembe out
@zaytunhijja6771
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
😅😅😅
@patricksebastian35933 жыл бұрын
Aliyeturoga watanzania!!!. Mungu anamuona, miaka minne vifaa vipo bench
@MrKanyash
2 жыл бұрын
Sio watanzania tu bali ni wafrika wote aliyeturoga aliifa na alituachia laana kubwa tunasema utumwa uliisha tulipo pata uhuru lakini utumwa wa akili bado umekidhiri katika akila za wafrika.lazima kufatwa kama watoto ili watu wazima wafanye kazi ni aibu kubwa sana.
@maimborajabu94964 жыл бұрын
KAMA UPO TAYARI KUPIMWA TEZI DUME HAPO GONGA LIKE NIWASHE MASHINE 😂😂😂😂
@saadashim6180
4 жыл бұрын
Mzee kikwete aliwaletea machine safi
@voicejoachim1370
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@karanidicky44894 жыл бұрын
😀😀😀Hizi ndo hadith za Alfu Lela Ulela
@beatriceokama6352
4 жыл бұрын
Ekaya za abunuasi elsopoo 😁😁😁😁
@innokirigiti4 жыл бұрын
"😁😁Mganga mkuu wa mkoa weka mguu chini" Gonga like kama umesikia
Tuwe wawazi, kazi ya udaktari ni ngumu sana wapendwa, mkuu kwa kweli watu wanapokosa itabidi waadhibishwe ila kwa madaktari kazi yao ni ngumu sana si rahisi kama tunavofikilia, case kama ni ngumu ni lazima itolewe rufaa ila iking'ang'aniwa kituoni akifa itakua deni, mi nadhani tujalibu kuheshimu madaktari, ila wanapokosea lazima waadhibishwe
@edwinelias85544 жыл бұрын
Km umesikia zima hiyo gonga like
@hashimrweabula916 күн бұрын
Daaah huyuu mzeee namkumbuka sanaaa nataman one day awe rais tuwasomeshe ramani Kwanza tuwapime sutii 😂
@davidmbilinyi14534 жыл бұрын
Wafanyakazi wa Tanzania ni wengi wao ni wazito sana sijui ni kwa nini
@zuenaramadhan8024 жыл бұрын
Nakupenda sana we mzee
@salehekasangas32919 ай бұрын
Nakubalii mzeee babaa mungu akusaidieee
@bahatituyayine50372 жыл бұрын
Ongela sanauu ndiye utumishi sahh kabisa
@deusdeditswebe89304 жыл бұрын
Aliesikia alfulela, hadithi za Esopo...gonga like
@peterbayo4677
4 жыл бұрын
❤🔥🔥🔥
@mussamkalawa21014 жыл бұрын
Kama umesikia Out gonga like hapa
@barakamweta99584 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa safi sana, huyu awe waziri.
@jumamwene115
4 жыл бұрын
Alishawahi kuwa wazili wa.elimu
@liliankapia451
3 жыл бұрын
Dàaah kweli wamebanwaaaa
@filbertkapama88244 жыл бұрын
Kam huna tatizo utakaa mkao ufanane na tatizo ulilonalo😂😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
@barakamweta99584 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mbona kimyaaaaa, mnanini?
@nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын
ccm hii tumeipenda kiukweli maana r.c mwanri hana mchezo kwenye awamu hii ya j.p.m
@simongalahenga68584 жыл бұрын
Mashine miaka minne tangu zije wangapi wamekufa kwa kukosa huduma hiyo hili tatizo
@huseinally17924 жыл бұрын
Sawa kabisa mhe Mwanri huu ni uzembe mkubwa sana mashine kukaa miaka minne bila kafanya kazi
@emmadominic9601
2 жыл бұрын
Inawezekana wagonjwa wa operation hawakuwepo sasa madactari wafanyeje?
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
Kaz kuandikia watu wanajazana muhimbili referal, machine zpo et hamna wataalam watu wanamaliza degree za udaktari wanaambiwa kaz hamna inakuja kweli?!
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Hao hawajui kuzitumia😃😃. Atoe veti uone madudu hapo😂😂
@juliassugwa6924
4 жыл бұрын
Safi Sana nimeipenda
@pabrozungu59062 жыл бұрын
Namkubali Sana Magufuli na watendaji wake
@suleabdullah2247 Жыл бұрын
Mamaa SAMIA MIMI MTANZANIA MWANACCM HUYU MZEE MRUDISHE KWENYE SYSTEM
@jumannemsengi21954 жыл бұрын
Mh. Hapo hakuna wasomi, hvi hawa watanzania wamelogwa nn lakin mpka waje wazungu kuvifanyiakazi
@makonamaykom89504 жыл бұрын
Mh. Wewe bora kuliko wakuu wote mikoa hongera sana unastahili kuwa mkuu wa mkoa wa Dar. Big up Mwaniri
@ahmedhassani70584 жыл бұрын
Km huna vyetu twambiye mapema ukauze viazi speed 120
Dah hakika nimekumis Sana. Mwanri sukuma ndan aiseee ipo siku mama Samia atakurudisha madarakan usukume watu ndan
@ignasiissaya17183 жыл бұрын
mara ya tano hii naicheki hii video Aggrey Mwanri mwambaa
@davoo25554 жыл бұрын
Vyeti sio tatizo Cheti na uwezo wa kufanya kazi ni vitu 2 tofauti, Kupata GPA kubwa sio kwamba ndio mtu anauwezo mkubwa wa kufanya kazi. Vyeti wanavyo ila ni kufanya kazi hawawezi na mishahara wanataka
@salehjambo40754 жыл бұрын
Mimi napendekeza uyu bwana achukue nafasi pale magu atakapo maliza mudawake namkubali sana
@upendohalisi804 жыл бұрын
Tutakuelewa tu mzee mkubwa! Tunajifanyaje hatukuelewi kumbe tumejaa urasimu tu!!
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
@jtheophil54994 жыл бұрын
Akina mama msituangushe jamani.mkipewa nafasi mzitendee haki.
@abbuseif72434 жыл бұрын
Hongera sana kiongozii
@nsodyaphilimon91534 жыл бұрын
Kumbe waganga wengine ni chenga. Vifaa serikali inaleta halafu havifanyi kazi na kila siku wagonjwa wengi rufaa hamtoi hadi vifo vinatokea. Kweli ni halali mkuu wa mkoa akusukumie ndani.
@saidimohamed15954 жыл бұрын
aisee huyu jamaa namkubali sanaa
@jacksonndutu40244 жыл бұрын
Dah hii Hospitali ya Nyumbani kabisa kijijini kwetu, najisikia faraja sana kuona Waheshimiwa sikuizi wanafika hadi vijijini.
@NOVATISIYAME5 ай бұрын
Saizi kama unaomba kazi inabidii tuukuulize kama ni msukuma wasukuma wazalendo sanaa tena zaidi
@gatomkudegatomkude91904 жыл бұрын
Hili jembe jembe lingefaa pale kitengo cha afya ingependeza Sana maana anaspidi ya 4G Safi mkuu
@danielmgonja99064 жыл бұрын
Dah 4 yrs machine ziko idle kwel .. afu msigwa anasimama bungeni serious et watu wasifatiliwe wakae ofcn...
@kushahandakama6970 Жыл бұрын
Kama ulichukua cheti muhimbiri hauko compentent !! tupishe na ole wako mgonjwa afeeee😂😂😂😂😂😂
@gitongakelvin49173 жыл бұрын
Nimetoka Kenya nanimefurahi kumpata mcheshi Mwaniri hapa, itabidi nimezisaka video zake zote.
@allyhassan83574 жыл бұрын
vyeti.!!! ?some times ndo tatizo la kuajiriwa ..!
@dianessmonyo303
4 жыл бұрын
W
@hassanimwikalo50484 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkowa
@SM-fu1yv Жыл бұрын
Mama samia mpe sehemu huyu mwamba ana fanya kazi kwa juhudi
@ombenianton36112 жыл бұрын
Nice job
@flova70222 жыл бұрын
Hebu wanasiasa muache kututesa Kwa pressure watu WA afya..afya haitaki siasa mzeee wewe .angalia tatizo na ulitatue Kwa busara.. hiyo operation Anza ufanyiwe weww.. ukipona bas ntakuja namm
@imanuelmikael32254 жыл бұрын
Toronto IPO juuu!!
@saidahj25434 жыл бұрын
Tupeni mheshimiwa aje Kenya awe raisi wetu jamani...
@gooddeeds162
4 жыл бұрын
Saidah licious 254 you’ve Mr Matiang’i in Kenya, That’ Guy can change Kenya if chance is given to him .
@batusimajogoro610
4 жыл бұрын
Magufuli au mwanri
@saidahj2543
4 жыл бұрын
@@batusimajogoro610 wote ingependeza
@esterkiyabo1329
4 жыл бұрын
Na sisi je!😳😳
@OmanOman-hr6cb
4 жыл бұрын
@@esterkiyabo1329 😀😀
@user-vc8cc2pt7n26 күн бұрын
Hi nchi inataka watu km Hawa wanamamuzi ya kizalendo sana nchi hii wapo wachache sana yupo makonda alikuepo mzee makamba magufuli mzee baba kasimu majaliwa japo nisiseme nitakamatwa
@leonardsimon21484 жыл бұрын
Huyu akiwa mwalimu wako zero inakuhusu😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
@suddmohamedyyusuf79184 жыл бұрын
Nakukubali sana
@lameckkinuke8262 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa namkinari sana. Anafaa kuwa Rais wa Nchi hii, ningeomba jamani aombwe agombee urais, huyu Mama hafai kuwa Rais
@nassormohammed17434 жыл бұрын
hii ndio serikali yetu ya ccm
@winfridashango64814 жыл бұрын
Hahahahahaha ole wako mtu afe
@williammasesa64374 жыл бұрын
Baba we konki zaidi ya master
@barakamweta99584 жыл бұрын
Safi sana, watanzania wanatoka hivyo
@mustaphamsumary23034 жыл бұрын
We mzee kuna cku utatafuna mtu khaa!!! Hahahah
@mdasad2148
3 жыл бұрын
Nakukubar mkuu fanya Kaz kabisa waskuchezee upo kazn mkuu hakuna michezo
@tumainielwilson81323 жыл бұрын
Safi hiyo mkuuu🙏🙏🙏
@hoseabigaye57873 жыл бұрын
2021
@jumannemsengi21954 жыл бұрын
Aibu kwa wasomi jaman hiv hata hawa wanyamwezi wa Sikonge vipi jamani na ndio hao waliobahatikaga na Baloz wa kwanza baada ya Uhuru jman.
@RamazaniMulongeca4 жыл бұрын
“Operesheni ya TEZI-DUME itafanyiwa hapa”😂😂😂😂😂😂😂😂
@ashalawrentreuben4739
4 жыл бұрын
Nimecheka had basi
@mirajikinuke98494 жыл бұрын
😄😄😄Safi sana mkuu wa mkoa...Mguu pande
@jonaslameck15634 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani..
@MACHOYATAI-jk6fu
9 ай бұрын
Umeona eee
@marysarota70744 жыл бұрын
Hongera
@user-po7ik4zz1l9 ай бұрын
Kama kuna vihio 😂😂😂😂
@user-mw6ij7px2v4 жыл бұрын
Haki tukiwa naviongonzi kama hawa nchi yetu itasonga bele
Пікірлер: 411
Viongozi wa hivi ndo kweli wazalendo. Anaongea na anachukizwa na kukwama kwa huduma from heart
Alie sikia simple question na expressed question anipe like zangu jmn 😂😂
@khamiskamtoi5094
4 жыл бұрын
😂😂😂
@ErickKimaro-bf8zs
5 ай бұрын
😂😂😂😂
Km unasoma comments km Mimi gonga likes
Jmn turudi huku ktk utendaji, hongera Mwanri ulifanya kazi yako vzr
@yonnakenyatta4993
8 ай бұрын
Kabisa mkuu
Kama umeona waliounga mstari wakimsikiliza RC tupia like hapa
@roserashidi757
4 жыл бұрын
Kweli kabisa hao ni wapuuzi
Enzi za magu Mambo yalikuwa safiiiiiiiiii sana
@HappynessJapheth
Ай бұрын
We acha tu
Kuomba vyeti vyao ni sawa sawa haiwezekani miaka minne vifaa vimekaa tu pumbavu zao kabisa kongole kwako RC
@edgaredward6944
4 жыл бұрын
Uko sahihi mzee miaka minne daah
@user-zf4qq8bq4j
5 ай бұрын
Huyu jamaa alitakiwa awepo kwenye baraza la mawazri maana yupo imara sana
Wale wa Toronto tujuane
@mabalakuyola1243
4 жыл бұрын
Torontoooooo hoyeeeeee
@mugwegwe
4 жыл бұрын
I am right here from Toronto . Najivuniya kuwa Burundian-Tanzanian-Canadian
@ramadhanilesenga894
4 жыл бұрын
P1
@salvatoremathias9043
3 жыл бұрын
Mwanri Nikboko aise
I appreciate, Kweli magufuli anawatendaji wanoendana na speed yake na wanamwelewa Hongereni sana viongozi, JEMBE Angry Mwari
@babanicole815
4 жыл бұрын
It is useless. Elimu ni shida. Wizara imetumia mamilioni ya fedha kununua equipments lakini wafanyakazi wake hawana uwezo.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
@@babanicole815 kwa hiyo ungekuwa wewe ungefanya mini hapo halafu anaomba vyeti vyao na yeye aoneshe vyake dawa ya moto in moto shit
@sadockchengula5542
Жыл бұрын
Yeye hahitaji kuwa na vyeti ni ufuatiliaji tu kwa wataalamu. Unapokuwa mtaalamu ni mhimu kuwa na uthibitisho wa utaalamu. RC yuko sawa si unaona akina Bashite walikuwa na mashaka na vyeti lakini kwa nafasi yake alifanya kazi kubwa iliyopelekea kuanzishwa kwa kamisheni ya kudhibiti na kupambana na madawa ya kukevya hapa nchini. So si kila nafasi ina hitaji usomee ila kama ni utaalamu ni mhimu. Huoni kama ni madudu kwa vifaa kuwa na miaka mitano alafu wananchi wanasafiri mbali kufata huduma.
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
@@sadockchengula5542 kwa hiyo hapo anapuyanga tu maana hao watumishi hawajathibishwa wizarani? Mkuu wa mkoa ndiyo amepewa mandate ya kuwakagua vyeti vyao huu ni uvivu mkubwa wa kufikiri kufokewa na wachungaji was mbuzi kwenye vituo kazi serikalini nk
Mkuu wa mkoa. I salute you . Wewe ni mchapa kazi na watetea wanyonge. Karibu kwetu Kenya utondolee wazembe kazini. Hongera...
@jitukorofi9517
11 ай бұрын
Siasa za kipumbavu serikali haijaajiri wataalamu wa kutosha halafu unalazimisha watu wafanya operesheni
Wapatikane wakuu wa mikoa wengine 10 tu kama huyu,kuongeza na Raisi wetu,tutaenda mbele.Hongera sana mkuu.
big up mkuu wa mkoa wa toroto nakukubali sana kwa kazi yako unayofanya MUNGU akulinde kwa kazi yako
@telaamtauta2227
2 жыл бұрын
Amiin
Nakukubali sanaaaa mweshimiwa mkuu wa mkoa. 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@fredygetala828
Жыл бұрын
Ni Kweli mkuu waambie hao wanazingua
😂😂😂Muheshimiwa wakienda kuuza viazi uwape na sare zao tuwajue 😂😂😂
@bimaisarankamia4153
4 жыл бұрын
😂😂😂
@woielmalya7164
4 жыл бұрын
Machine zimekaa 4 years bila kuwashwa Wala kuwa tested Wala kuwa commissioned Hizo Ni lazima zitakuwa zimepitwa na technology na hivyo kuwa obsolete hata Kama Ni mpya
@JamalDaudlulyeho
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 we kiboko asee
Bonge la kiongozi yani unatufaa mbeya mh rais tuletee mbeya
Oooooooyes I congratulating you Region Mwanly
Rafiki angu magu ulimtoa wapi huyu hongera sana
Duh..! Vyombo vipya,havifanyi kazi. Jenereta mpya,hatuna umeme.!? Hiyo ndiyo Bongo.
@zakayokambainei5963
4 жыл бұрын
Hatariii sana
@samwelrobert9687
4 жыл бұрын
😢😢😢😢 duu bongo jaman hiv shida nin kama watu hawana uwezo wa kuoparet kwanin wawang'ang'anie .aiza wawaletee xpat kuwatrain tu
Yani natamani siku huyu mkuu achukue nchi naona tutakaa vzur sana
Alufu hulela hulela😂😂😂😂 ,, ambaye kaipata hyo Gonga like
Jamaaa at best kwelii hongera sanaa na asante sanaa hapa ni kazi tu
Eeeh 4years that is to long ,autority is a charity hongera mzee kwa job nzuri
Ila huyu mama dr anajua kujibu maswali nimempenda anajua namna kujibu maswali strategically
Ole wako mtu afe sasa nae anakwendaaaaaa safi sana mkuu nakupenda sana fukuza wote wanaofanana na ao
Bado kuna watu wanavichwa vigumu serikalini na hawataki kuwa wabunifu. Machine zimeletwa miaka 4 hajawahi kufanya kazi. Daaah.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
Utawala bora hautumii amri za kuwandamiza.watu.kwa hiyo.watumie.hela.zao mifukoni kuendesha hospitali tuachane na uonevu huu tuthukumiwa siku kiama
Respect sana kwa mkuu wa Mkoa Tabora enzi hizo...Aggrey Mwanri.
@marcokaroje8980
2 жыл бұрын
Unapongeza mtu hajasoma hapo alikuwa tuition unamuona hapo anaelewa mini?
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Huo ndio uelewa wa wanyonge hapa Bongo Mimi siyo mnyonge wa kuunga mkono mawazo mgando kama haya ya RC kama huyu hiyo ni kazi ya kitaalam inafanyika kwa utaratibu wake
Safi sana kiongozi mungu azidi kkupa nguvu uchape kazi💪
safi sana Mh. utendaji wako ni wa kukumbukwa
Kama uko hapa na huez endesha hiz mashine outiiiii🤣🤣🤣
Tunafanya Operesheni Hapa hapa Ole wako Afe mtu Hapa kwa Uzembe out
@zaytunhijja6771
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
😅😅😅
Aliyeturoga watanzania!!!. Mungu anamuona, miaka minne vifaa vipo bench
@MrKanyash
2 жыл бұрын
Sio watanzania tu bali ni wafrika wote aliyeturoga aliifa na alituachia laana kubwa tunasema utumwa uliisha tulipo pata uhuru lakini utumwa wa akili bado umekidhiri katika akila za wafrika.lazima kufatwa kama watoto ili watu wazima wafanye kazi ni aibu kubwa sana.
KAMA UPO TAYARI KUPIMWA TEZI DUME HAPO GONGA LIKE NIWASHE MASHINE 😂😂😂😂
@saadashim6180
4 жыл бұрын
Mzee kikwete aliwaletea machine safi
@voicejoachim1370
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀Hizi ndo hadith za Alfu Lela Ulela
@beatriceokama6352
4 жыл бұрын
Ekaya za abunuasi elsopoo 😁😁😁😁
"😁😁Mganga mkuu wa mkoa weka mguu chini" Gonga like kama umesikia
@v_i_p1109
4 жыл бұрын
😂😂
Ngombea uraisi babaa nakukubari sana Mimi
Da! Mkowapi jamani ,mbpna mmelala? Hamtaki kujifunza jamani
Tuwe wawazi, kazi ya udaktari ni ngumu sana wapendwa, mkuu kwa kweli watu wanapokosa itabidi waadhibishwe ila kwa madaktari kazi yao ni ngumu sana si rahisi kama tunavofikilia, case kama ni ngumu ni lazima itolewe rufaa ila iking'ang'aniwa kituoni akifa itakua deni, mi nadhani tujalibu kuheshimu madaktari, ila wanapokosea lazima waadhibishwe
Km umesikia zima hiyo gonga like
Daaah huyuu mzeee namkumbuka sanaaa nataman one day awe rais tuwasomeshe ramani Kwanza tuwapime sutii 😂
Wafanyakazi wa Tanzania ni wengi wao ni wazito sana sijui ni kwa nini
Nakupenda sana we mzee
Nakubalii mzeee babaa mungu akusaidieee
Ongela sanauu ndiye utumishi sahh kabisa
Aliesikia alfulela, hadithi za Esopo...gonga like
@peterbayo4677
4 жыл бұрын
❤🔥🔥🔥
Kama umesikia Out gonga like hapa
Mkuu wa mkoa safi sana, huyu awe waziri.
@jumamwene115
4 жыл бұрын
Alishawahi kuwa wazili wa.elimu
@liliankapia451
3 жыл бұрын
Dàaah kweli wamebanwaaaa
Kam huna tatizo utakaa mkao ufanane na tatizo ulilonalo😂😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
Wakuu wa mikoa wengine mbona kimyaaaaa, mnanini?
ccm hii tumeipenda kiukweli maana r.c mwanri hana mchezo kwenye awamu hii ya j.p.m
Mashine miaka minne tangu zije wangapi wamekufa kwa kukosa huduma hiyo hili tatizo
Sawa kabisa mhe Mwanri huu ni uzembe mkubwa sana mashine kukaa miaka minne bila kafanya kazi
@emmadominic9601
2 жыл бұрын
Inawezekana wagonjwa wa operation hawakuwepo sasa madactari wafanyeje?
Kaz kuandikia watu wanajazana muhimbili referal, machine zpo et hamna wataalam watu wanamaliza degree za udaktari wanaambiwa kaz hamna inakuja kweli?!
Hao hawajui kuzitumia😃😃. Atoe veti uone madudu hapo😂😂
@juliassugwa6924
4 жыл бұрын
Safi Sana nimeipenda
Namkubali Sana Magufuli na watendaji wake
Mamaa SAMIA MIMI MTANZANIA MWANACCM HUYU MZEE MRUDISHE KWENYE SYSTEM
Mh. Hapo hakuna wasomi, hvi hawa watanzania wamelogwa nn lakin mpka waje wazungu kuvifanyiakazi
Mh. Wewe bora kuliko wakuu wote mikoa hongera sana unastahili kuwa mkuu wa mkoa wa Dar. Big up Mwaniri
Km huna vyetu twambiye mapema ukauze viazi speed 120
Inasikitisha sana.wananchi wanakosa uduma vifaa vimefungiwa chumbani.watu hawajielewi kwakweli
Dah hakika nimekumis Sana. Mwanri sukuma ndan aiseee ipo siku mama Samia atakurudisha madarakan usukume watu ndan
mara ya tano hii naicheki hii video Aggrey Mwanri mwambaa
Vyeti sio tatizo Cheti na uwezo wa kufanya kazi ni vitu 2 tofauti, Kupata GPA kubwa sio kwamba ndio mtu anauwezo mkubwa wa kufanya kazi. Vyeti wanavyo ila ni kufanya kazi hawawezi na mishahara wanataka
Mimi napendekeza uyu bwana achukue nafasi pale magu atakapo maliza mudawake namkubali sana
Tutakuelewa tu mzee mkubwa! Tunajifanyaje hatukuelewi kumbe tumejaa urasimu tu!!
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
Akina mama msituangushe jamani.mkipewa nafasi mzitendee haki.
Hongera sana kiongozii
Kumbe waganga wengine ni chenga. Vifaa serikali inaleta halafu havifanyi kazi na kila siku wagonjwa wengi rufaa hamtoi hadi vifo vinatokea. Kweli ni halali mkuu wa mkoa akusukumie ndani.
aisee huyu jamaa namkubali sanaa
Dah hii Hospitali ya Nyumbani kabisa kijijini kwetu, najisikia faraja sana kuona Waheshimiwa sikuizi wanafika hadi vijijini.
Saizi kama unaomba kazi inabidii tuukuulize kama ni msukuma wasukuma wazalendo sanaa tena zaidi
Hili jembe jembe lingefaa pale kitengo cha afya ingependeza Sana maana anaspidi ya 4G Safi mkuu
Dah 4 yrs machine ziko idle kwel .. afu msigwa anasimama bungeni serious et watu wasifatiliwe wakae ofcn...
Kama ulichukua cheti muhimbiri hauko compentent !! tupishe na ole wako mgonjwa afeeee😂😂😂😂😂😂
Nimetoka Kenya nanimefurahi kumpata mcheshi Mwaniri hapa, itabidi nimezisaka video zake zote.
vyeti.!!! ?some times ndo tatizo la kuajiriwa ..!
@dianessmonyo303
4 жыл бұрын
W
Hongera sana mkuu wa mkowa
Mama samia mpe sehemu huyu mwamba ana fanya kazi kwa juhudi
Nice job
Hebu wanasiasa muache kututesa Kwa pressure watu WA afya..afya haitaki siasa mzeee wewe .angalia tatizo na ulitatue Kwa busara.. hiyo operation Anza ufanyiwe weww.. ukipona bas ntakuja namm
Toronto IPO juuu!!
Tupeni mheshimiwa aje Kenya awe raisi wetu jamani...
@gooddeeds162
4 жыл бұрын
Saidah licious 254 you’ve Mr Matiang’i in Kenya, That’ Guy can change Kenya if chance is given to him .
@batusimajogoro610
4 жыл бұрын
Magufuli au mwanri
@saidahj2543
4 жыл бұрын
@@batusimajogoro610 wote ingependeza
@esterkiyabo1329
4 жыл бұрын
Na sisi je!😳😳
@OmanOman-hr6cb
4 жыл бұрын
@@esterkiyabo1329 😀😀
Hi nchi inataka watu km Hawa wanamamuzi ya kizalendo sana nchi hii wapo wachache sana yupo makonda alikuepo mzee makamba magufuli mzee baba kasimu majaliwa japo nisiseme nitakamatwa
Huyu akiwa mwalimu wako zero inakuhusu😂😂😂
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
Nakukubali sana
Huyu mheshimiwa namkinari sana. Anafaa kuwa Rais wa Nchi hii, ningeomba jamani aombwe agombee urais, huyu Mama hafai kuwa Rais
hii ndio serikali yetu ya ccm
Hahahahahaha ole wako mtu afe
Baba we konki zaidi ya master
Safi sana, watanzania wanatoka hivyo
We mzee kuna cku utatafuna mtu khaa!!! Hahahah
@mdasad2148
3 жыл бұрын
Nakukubar mkuu fanya Kaz kabisa waskuchezee upo kazn mkuu hakuna michezo
Safi hiyo mkuuu🙏🙏🙏
2021
Aibu kwa wasomi jaman hiv hata hawa wanyamwezi wa Sikonge vipi jamani na ndio hao waliobahatikaga na Baloz wa kwanza baada ya Uhuru jman.
“Operesheni ya TEZI-DUME itafanyiwa hapa”😂😂😂😂😂😂😂😂
@ashalawrentreuben4739
4 жыл бұрын
Nimecheka had basi
😄😄😄Safi sana mkuu wa mkoa...Mguu pande
Huyu jamaa anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani..
@MACHOYATAI-jk6fu
9 ай бұрын
Umeona eee
Hongera
Kama kuna vihio 😂😂😂😂
Haki tukiwa naviongonzi kama hawa nchi yetu itasonga bele
Amen