Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu
@jumanesaidi763523 сағат бұрын
Kwa kazi ya namna hii, nimempenda Makonda !
@SundayNkaza27 күн бұрын
Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:
@godwineliya468628 күн бұрын
Waizi tu hao Piga spana Makonda
@papayikoyo74115 күн бұрын
Kazi njema baba ang Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal
@egdldm498128 күн бұрын
Tasaf imejaa wapigaji sana
@MitchellErmina28 күн бұрын
Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda
@japhetmasunga888923 күн бұрын
kazi kaz kazi
@RuthMwakilembe21 күн бұрын
Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima
@FatumaMombo28 күн бұрын
Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote
@frankmfuse6990
28 күн бұрын
Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu
@Cyb-TideTide16 күн бұрын
😊😊
@sadikingitu28 күн бұрын
Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa? Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.
@JohnNditi-jg2me
27 күн бұрын
Yeye😢
@theresiamwandara799028 күн бұрын
Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa
@mwanaidimussa
25 күн бұрын
Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼
@daslamonline466529 күн бұрын
Mwendo wa spana tu😅
@user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын
Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan
@HussainMaula-tz8dh25 күн бұрын
Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын
Tupe.hela.yetu
@user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын
Nimecheka san jmn
@christinewomanoffaith547926 күн бұрын
Wasafi mko nyuma sn Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost
@saidsalim85128 күн бұрын
Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂
@MashakaMagesa29 күн бұрын
Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela
@user-po8hz7xw9j
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mwanaidimussa
25 күн бұрын
Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?
@SaidiAyubu-of8zt28 күн бұрын
Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee
@maryjames7438
20 күн бұрын
Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja
@MeckitilidaTushabe-or9hu26 күн бұрын
Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮
@jumongderick-ub2if
26 күн бұрын
then she's laghs
@user-qg3nu1kv2n
25 күн бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@user-qg3nu1kv2n
25 күн бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe
@MashakaMagesa28 күн бұрын
Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani
@frankmfuse6990
28 күн бұрын
Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye
@Arsenal00228 күн бұрын
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana
@christinewomanoffaith5479
26 күн бұрын
Wanakera
@user-vj1ek5us4r20 күн бұрын
😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge
@officialhansi446228 күн бұрын
hapa kuna shido gani kwano 😅
@mgoledaudi7598
28 күн бұрын
😂😂😂
@mariambakari7010
25 күн бұрын
😂😂😂😅 ni shido kwakwelo
@emmanuelsunday832529 күн бұрын
Mwanamke nikilaza huyu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili
@theresiamwandara799028 күн бұрын
Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa
@user-lucas4724 күн бұрын
Kwelii bwana walipe helaa
@jumaigoti754126 күн бұрын
Samia analea wajinga
@user-ko5co3bk9f
22 күн бұрын
Point🎉🎉
@christinewomanoffaith547926 күн бұрын
Hivi huyu mratibu ana akili kweli? Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa? U cant be serious aiseee! Hii nchi ngumu jmn🙌
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother
@Arsenal00228 күн бұрын
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana
Пікірлер: 53
Makonda ana spirit ya magufl
Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu
Kwa kazi ya namna hii, nimempenda Makonda !
Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:
Waizi tu hao Piga spana Makonda
Kazi njema baba ang Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal
Tasaf imejaa wapigaji sana
Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda
kazi kaz kazi
Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima
Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote
@frankmfuse6990
28 күн бұрын
Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu
😊😊
Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa? Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.
@JohnNditi-jg2me
27 күн бұрын
Yeye😢
Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa
@mwanaidimussa
25 күн бұрын
Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼
Mwendo wa spana tu😅
Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan
Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Tupe.hela.yetu
Nimecheka san jmn
Wasafi mko nyuma sn Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost
Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂
Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela
@user-po8hz7xw9j
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mwanaidimussa
25 күн бұрын
Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?
Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee
@maryjames7438
20 күн бұрын
Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja
Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮
@jumongderick-ub2if
26 күн бұрын
then she's laghs
@user-qg3nu1kv2n
25 күн бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@user-qg3nu1kv2n
25 күн бұрын
Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe
Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani
@frankmfuse6990
28 күн бұрын
Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana
@christinewomanoffaith5479
26 күн бұрын
Wanakera
😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge
hapa kuna shido gani kwano 😅
@mgoledaudi7598
28 күн бұрын
😂😂😂
@mariambakari7010
25 күн бұрын
😂😂😂😅 ni shido kwakwelo
Mwanamke nikilaza huyu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili
Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa
Kwelii bwana walipe helaa
Samia analea wajinga
@user-ko5co3bk9f
22 күн бұрын
Point🎉🎉
Hivi huyu mratibu ana akili kweli? Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa? U cant be serious aiseee! Hii nchi ngumu jmn🙌
@ndekagotfried
23 күн бұрын
Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother
Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana