MAKONDA AWAKA- "LIPENI HIYO Milioni 132 NDANI ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAJADIRI

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 53

  • @AznatJonas
    @AznatJonas27 күн бұрын

    Makonda ana spirit ya magufl

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe293927 күн бұрын

    Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi763523 сағат бұрын

    Kwa kazi ya namna hii, nimempenda Makonda !

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza27 күн бұрын

    Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:

  • @godwineliya4686
    @godwineliya468628 күн бұрын

    Waizi tu hao Piga spana Makonda

  • @papayikoyo741
    @papayikoyo74115 күн бұрын

    Kazi njema baba ang Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal

  • @egdldm4981
    @egdldm498128 күн бұрын

    Tasaf imejaa wapigaji sana

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina28 күн бұрын

    Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga888923 күн бұрын

    kazi kaz kazi

  • @RuthMwakilembe
    @RuthMwakilembe21 күн бұрын

    Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo28 күн бұрын

    Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote

  • @frankmfuse6990

    @frankmfuse6990

    28 күн бұрын

    Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu

  • @Cyb-TideTide
    @Cyb-TideTide16 күн бұрын

    😊😊

  • @sadikingitu
    @sadikingitu28 күн бұрын

    Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa? Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.

  • @JohnNditi-jg2me

    @JohnNditi-jg2me

    27 күн бұрын

    Yeye😢

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara799028 күн бұрын

    Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    25 күн бұрын

    Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼

  • @daslamonline4665
    @daslamonline466529 күн бұрын

    Mwendo wa spana tu😅

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын

    Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh25 күн бұрын

    Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын

    Tupe.hela.yetu

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d29 күн бұрын

    Nimecheka san jmn

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547926 күн бұрын

    Wasafi mko nyuma sn Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost

  • @saidsalim851
    @saidsalim85128 күн бұрын

    Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa29 күн бұрын

    Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    27 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    25 күн бұрын

    Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu

  • @ndekagotfried

    @ndekagotfried

    23 күн бұрын

    Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?

  • @SaidiAyubu-of8zt
    @SaidiAyubu-of8zt28 күн бұрын

    Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee

  • @maryjames7438

    @maryjames7438

    20 күн бұрын

    Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu26 күн бұрын

    Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮

  • @jumongderick-ub2if

    @jumongderick-ub2if

    26 күн бұрын

    then she's laghs

  • @user-qg3nu1kv2n

    @user-qg3nu1kv2n

    25 күн бұрын

    Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

  • @user-qg3nu1kv2n

    @user-qg3nu1kv2n

    25 күн бұрын

    Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

  • @ndekagotfried

    @ndekagotfried

    23 күн бұрын

    Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa28 күн бұрын

    Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani

  • @frankmfuse6990

    @frankmfuse6990

    28 күн бұрын

    Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye

  • @Arsenal002
    @Arsenal00228 күн бұрын

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    26 күн бұрын

    Wanakera

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r20 күн бұрын

    😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge

  • @officialhansi4462
    @officialhansi446228 күн бұрын

    hapa kuna shido gani kwano 😅

  • @mgoledaudi7598

    @mgoledaudi7598

    28 күн бұрын

    😂😂😂

  • @mariambakari7010

    @mariambakari7010

    25 күн бұрын

    😂😂😂😅 ni shido kwakwelo

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday832529 күн бұрын

    Mwanamke nikilaza huyu

  • @ndekagotfried

    @ndekagotfried

    23 күн бұрын

    Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara799028 күн бұрын

    Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu

  • @ndekagotfried

    @ndekagotfried

    23 күн бұрын

    Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa

  • @user-lucas47
    @user-lucas4724 күн бұрын

    Kwelii bwana walipe helaa

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti754126 күн бұрын

    Samia analea wajinga

  • @user-ko5co3bk9f

    @user-ko5co3bk9f

    22 күн бұрын

    Point🎉🎉

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547926 күн бұрын

    Hivi huyu mratibu ana akili kweli? Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa? U cant be serious aiseee! Hii nchi ngumu jmn🙌

  • @ndekagotfried

    @ndekagotfried

    23 күн бұрын

    Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother

  • @Arsenal002
    @Arsenal00228 күн бұрын

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana

Келесі