𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.#wasafi #wasafitv #wasafifm
mwenyezi mungu akuongoze uwe kiongozi bora natumai mama kuna siku atakupa nafasi kubwa ya uwaziri wa ulinzi utafufaa sana inshaallah.
❤❤❤❤❤❤ JAMAANI hivi makonda Yuko wapi selikali sisi wananchi tunampenda sana kiongozi wetu❤❤❤❤❤
Mungu akuatamie sana kama kuku aatamiavyo vifaranga kwa maana unachokifanya hakika kinaleta utukufu kwa mungu wetu aliye juu
Makonda❤❤❤❤ ni kiongozi WA WANYONGE kama baba YETU makufuli snaupendo WA kweli Kwa wananchi❤❤❤❤❤
Afu umkute huyo Dada kwa ofisi ndo utajuta kuzaliwa, yaani anajua kila kitu ndani nje😅😅😅😅😅😅
Ikimpendeza Mungu,siku moja uwe waziri Mkuu.
Allah akusimamie, piga chini wote hao
Mungu akubariki m'y mkuu wa mkoa mungu azidi kukulinda
Makonda nakukubali sana naipenda hiyo uduma yako ungefika songea namtumbo halimashauli pale kunamajizi kweli
Piga nyama chini kaka mkubwa hakuna kucheka nao hao ndo wanaharibu nchi
❤❤❤sFiii Wales pana tuuu
We ndo rais wetu tena sio wa badae 2025
Tukuombee kwa mungu azidi kushuha neema kwa raisi wetu akuache kwenye uongozi uzidi kusaidia wanainchi
Makonda nakuombea uchukue fomu ugombee ulaisi maana unafanyakazi kwelikweli.
Mmechoka wasafi Habari ya mda mnapost leo😂
Wavivu sana kutafuta Contents
Wajinga
😅😅
Huyu afisa utumishi, shes a very weak leader. Tena ni muoga. Hafai kwa kweli kuwa kiongozi
Wewe jembe... Kama unavyujua jembe alikati jembe linachimbua... Dogo Poul ... Wachimbue.
Пікірлер: 21
mwenyezi mungu akuongoze uwe kiongozi bora natumai mama kuna siku atakupa nafasi kubwa ya uwaziri wa ulinzi utafufaa sana inshaallah.
❤❤❤❤❤❤ JAMAANI hivi makonda Yuko wapi selikali sisi wananchi tunampenda sana kiongozi wetu❤❤❤❤❤
Mungu akuatamie sana kama kuku aatamiavyo vifaranga kwa maana unachokifanya hakika kinaleta utukufu kwa mungu wetu aliye juu
Makonda❤❤❤❤ ni kiongozi WA WANYONGE kama baba YETU makufuli snaupendo WA kweli Kwa wananchi❤❤❤❤❤
Afu umkute huyo Dada kwa ofisi ndo utajuta kuzaliwa, yaani anajua kila kitu ndani nje😅😅😅😅😅😅
Ikimpendeza Mungu,siku moja uwe waziri Mkuu.
Allah akusimamie, piga chini wote hao
Mungu akubariki m'y mkuu wa mkoa mungu azidi kukulinda
Makonda nakukubali sana naipenda hiyo uduma yako ungefika songea namtumbo halimashauli pale kunamajizi kweli
Piga nyama chini kaka mkubwa hakuna kucheka nao hao ndo wanaharibu nchi
❤❤❤sFiii Wales pana tuuu
We ndo rais wetu tena sio wa badae 2025
Tukuombee kwa mungu azidi kushuha neema kwa raisi wetu akuache kwenye uongozi uzidi kusaidia wanainchi
Makonda nakuombea uchukue fomu ugombee ulaisi maana unafanyakazi kwelikweli.
Mmechoka wasafi Habari ya mda mnapost leo😂
@hatwabiswalehe262
Ай бұрын
Wavivu sana kutafuta Contents
@simonmalegesi414
Ай бұрын
Wajinga
😅😅
Huyu afisa utumishi, shes a very weak leader. Tena ni muoga. Hafai kwa kweli kuwa kiongozi
Wewe jembe... Kama unavyujua jembe alikati jembe linachimbua... Dogo Poul ... Wachimbue.