No video

AFISA UTUMISHI AKUTANA na KIBANO Cha MAKONDA - "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 21

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi6210Ай бұрын

    mwenyezi mungu akuongoze uwe kiongozi bora natumai mama kuna siku atakupa nafasi kubwa ya uwaziri wa ulinzi utafufaa sana inshaallah.

  • @msalice4451
    @msalice44518 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤ JAMAANI hivi makonda Yuko wapi selikali sisi wananchi tunampenda sana kiongozi wetu❤❤❤❤❤

  • @marcobahati800
    @marcobahati800Ай бұрын

    Mungu akuatamie sana kama kuku aatamiavyo vifaranga kwa maana unachokifanya hakika kinaleta utukufu kwa mungu wetu aliye juu

  • @msalice4451
    @msalice44518 күн бұрын

    Makonda❤❤❤❤ ni kiongozi WA WANYONGE kama baba YETU makufuli snaupendo WA kweli Kwa wananchi❤❤❤❤❤

  • @chumamasunga8855
    @chumamasunga8855Ай бұрын

    Afu umkute huyo Dada kwa ofisi ndo utajuta kuzaliwa, yaani anajua kila kitu ndani nje😅😅😅😅😅😅

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102Ай бұрын

    Ikimpendeza Mungu,siku moja uwe waziri Mkuu.

  • @saidyusuph7357
    @saidyusuph7357Ай бұрын

    Allah akusimamie, piga chini wote hao

  • @ekelaalex9411
    @ekelaalex9411Ай бұрын

    Mungu akubariki m'y mkuu wa mkoa mungu azidi kukulinda

  • @ADIMUSALUMU-ko6zp
    @ADIMUSALUMU-ko6zpАй бұрын

    Makonda nakukubali sana naipenda hiyo uduma yako ungefika songea namtumbo halimashauli pale kunamajizi kweli

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadegeАй бұрын

    Piga nyama chini kaka mkubwa hakuna kucheka nao hao ndo wanaharibu nchi

  • @user-gc4ic1vi4n
    @user-gc4ic1vi4nАй бұрын

    ❤❤❤sFiii Wales pana tuuu

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadegeАй бұрын

    We ndo rais wetu tena sio wa badae 2025

  • @alphoncekachira696
    @alphoncekachira696Ай бұрын

    Tukuombee kwa mungu azidi kushuha neema kwa raisi wetu akuache kwenye uongozi uzidi kusaidia wanainchi

  • @AroycePankaras
    @AroycePankaras17 күн бұрын

    Makonda nakuombea uchukue fomu ugombee ulaisi maana unafanyakazi kwelikweli.

  • @edsongodzy386
    @edsongodzy386Ай бұрын

    Mmechoka wasafi Habari ya mda mnapost leo😂

  • @hatwabiswalehe262

    @hatwabiswalehe262

    Ай бұрын

    Wavivu sana kutafuta Contents

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    Ай бұрын

    Wajinga

  • @user-od1qv6ez6n
    @user-od1qv6ez6nАй бұрын

    😅😅

  • @generosennko8343
    @generosennko8343Ай бұрын

    Huyu afisa utumishi, shes a very weak leader. Tena ni muoga. Hafai kwa kweli kuwa kiongozi

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yuАй бұрын

    Wewe jembe... Kama unavyujua jembe alikati jembe linachimbua... Dogo Poul ... Wachimbue.

Келесі