KIVUMBI! BIBI ALIYEBOMOLEWA NYUMBA NA CCM, MAKONDA AWABANANISHA VIONGOZI WA CHAMA JUKWAANI
KIVUMBI! BIBI ALIYEBOMOLEWA NYUMBA NA CCM, MAKONDA AWABANANISHA VIONGOZI WA CHAMA JUKWAANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 384
Mungu akubariki sana makonda from Congo🇨🇩 to Sweden 🇸🇪
Hii nchi imeoza kwa kipindi kifupi tu ,Mungu asante kwa zawadi huyu kijana makonda ❤❤❤
@melkizedekwiliam-hi7bz
6 ай бұрын
Huyu Makonda ni Rais 2030.
@frankjohn8706
6 ай бұрын
Hujamjua Mungu bado Mungu sio mtu Mungu SI kigeugeu Mungu ana watu wengi.alimuacha Saul na KUMPA Daud ufalme.
Bila hii mikutano tusingeyajua kama hata viongozi wa ccm wasio wema na chama wadhulumati safi sana makonda mungu amlinde raisi wetu mama samia
@GabrielSimba-gx5er
4 ай бұрын
Ww ao wakilitka eneo lako wanalichkua kwanguvu tena napolisi unaltewa
Makonda, Makonda, Makonda, utafika mbali kwa jina la Yesu
@ezraochora8495
5 ай бұрын
Acha.kutaja.jinala.yesu.kwenye.komedi.kamaizi
Makonda songa mbele baba Mungu akulinde,waangalie sana wasikuue,,wabaya sana mafisad wamenuna zaiiiiid
Asante Makonda wasambaratishe hao dhulumati wa CCM ndio wanaoangusha chama.
Magufuli mdogo oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉
@user-oh6pc7zd4s
6 ай бұрын
Anakuaje makufuli mdogo wakati yeye Magu alimuona hamfai ndio akamfukuza kazi na kumkosesha ubunge kwa makusudi.Mama ndie aliemleta na kumpa madaraka makubwa sasa hapo jina la Magu linahuzikaje?Badala ya kumtaja Mama Samia unamtaje mtu ambaye alimfukuza kazi na kumwekea vikwazo au mdio udini na ukabila vinawasumbua?
@frankjohn8706
6 ай бұрын
YESU KASEMA ufalme haujifitini .eti wakomeshe hao CCM wakati nae ni CCM .hata wakale walisema zimwi likujualo halikuli likakumaliza.unaetengenezwa hapo ni wewe mwanainchi wa Hali ya chini
@jicholafursa7058
6 ай бұрын
Nani alimpandisha tukamjua@@user-oh6pc7zd4s
Mzimu wa Magufuli umemvaa Makonda bira kupinga😂😂😂😂😂😂😂😂
@devgodfrey
6 ай бұрын
anawachapia na mapambio kabisa🙌🏻
@mahijjaeidi9144
5 ай бұрын
Kabisa yani makuful kafa nafsi imeenda kwamakonda mungu amlinde
@user-pn5kp4rm2d
2 ай бұрын
Exactly
Hongera mwenezi kwakusikiliza kelo za wananchi wa tunduma songwe
Asante samia kwa kumpa kazi huyo kijana makonda safisha wanao kicha chama
Be blessed Makonda. MUNGU hakutangulie.
i am from kenya good job bro keep it up makonda
@abdulaisha4145
2 ай бұрын
Mungu awabariki watanzania wanapata viongozi bora
eeeee Mungu umlinde Rais wetu Samia Raisi wetu mpendwa. Pia na mwenezi Makonda.
Makonda damu ya yesu ikufunike kaka kazi njema umefanya
@melkizedekwiliam-hi7bz
6 ай бұрын
Hakika
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
Amen
@GraceMhoja-zc7yg
5 ай бұрын
Tuendelee kumuombea raisi wetu wa baadae
Huyo jamaa anasoma barua kama kapiga gongo😅
@Mary-fs4mc
6 ай бұрын
Kweli bhana atakuwa kapiga kidogo😂😂
@MwigaKatumpula-mi3zt
6 ай бұрын
Tunduma hoyeee 😃😀😀
@jamesmwita2995
6 ай бұрын
Ameanza vzr kusoma lakn mwishoni akaanza kujifanya amelewa
@user-pv9em1qz9t
5 ай бұрын
@@MwigaKatumpula-mi3zt😅😅😅😅umeambiwa usome barua
Paul Christian MAKONDA Mungu akulinde, hakika unapiga kazi. Dhuluma waliotaka kuifanya UWT -Tunduma kwa huyo mama imenitoa machozi. Tunashukuru Mungu tatizo limeisha na liishe hivyo lisitokee jitu kubatilisha Tena Hilo jambo. Hakika tunamuona Magufuli ndani Yako.
Makonda hongera Mungu amekuchagua na mama yetu akiwa ndiye kichwa fanya kazi ya Mungu bila kuchoka
Love ❤️ for Makonda kwangu ni ya mda Sana be blessed bro
Makonda utabarikiwa na mungu🙌🙌🙌🙌
Piya tunamshukuru saaaaana mama yetu SAMIYA mama mimi kama mimi nakupenda sana mama na makonda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏
Hii nchi kuna watu wanawaonea sana watu .. Hongera Makonda
CCM Kuna watu wezi na waonevu tu wanaichafua chama
Kamata wote wanaofanya maovu kwa wananchi makonda oyeeeeeee love you man ❤❤❤😂😂😂
May God bless you & give you long life.. Amen!!!! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mheshimiwa makonda mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri unaewatendea watanzania kwani umekua mkombozi wa watanzania... Tunakuomba ututembelee na sisi siku Moja wananchi Wa kata ya KIA wanchi tuna nyanyaswa sana na kampuni wanao jiita CARDCO tunakuomba sana mkombozi wananchi tumenyang'anywa maeneo yetu.
Hongera sana karibu mwenezi Taifa.weweni mwokozi wetu wanyonge
Hao Ni machumia tumbo hovyo kabisa
Kuna watu wanapaswa kufungwa maisha
@user-ym3qt5fd2u
6 ай бұрын
Afungwe huyo anayesoma mwizi huyoooo
@evaristmbuya6220
6 ай бұрын
@@user-ym3qt5fd2u 😅😅😅😅😅
Mungu tu amlinde ili ikimpendeza yeye aliye juu ampe uraisi bac
@othmarluwawilo8308
6 ай бұрын
Hatuhitaji Rais Mbumbumbu, uraisi lazima usome.
Mama samiha umefanya mahamusi sahihihi samiha hoyeeeee makonda poa ccm poaaaaaa
Mungu akukumbuke zaidi mheshimiwa Makonda
Mimi sijawai kuwapenda wanasiasa ila kwa makonda unanishawishi sana allah akulinde inshaallah
Mh Makonda Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki napia kuendelea kutetea haki za Wanainchi hakika umeletwa na Mungu watanzania tuna imani sana nawe
Hata viongozi wenye misimamo kama yako Makonda viongozi mikoani wanawachukia sana hasta kina mama wanajarribu hata kuwawekea mizengwe wasijiendeleze
Kweli kila nikiangali kazi za makonda naishiakulia.watu wanateseka,wanateswa na viongozi.Makonda Mungu akulinde na azidi kukuongoza. Makonda,mwanangu piga kazi .Tetea wanaoonewa
Nipeni namba yamakonda nimwambie na hawa tiaraei mbeya pare tazala watume mpelerezi
Magufuli ndani ya makonda 😢
@user-oh6pc7zd4s
6 ай бұрын
Kwani si ni Magu aliyemfukuza huyo MAKONDA?TUACHE UNAFIKI MPONGEZE MAMA ALIYEMREJESHA? AU UDINI NA UKABILA VINAKUSUMBUA?
Eeh M/MUNGU tusaidie mm amuachie uyu 2025 agombee uraisi🙏
bravo makonda for the excellent job
@DaudMsessa
6 ай бұрын
😊😊😊😅😊😊
Kwel Mzee watu watu wamezowea kuwazulumu wanyonge Asante sana muheshimiwa
Ndonaamini yale maneno yamtaani yakuwa makonda ni first born wamagufuli ambaye alimzaa kipindi anajifunza mapenzi🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️
Zipo siku si nyingi utapata cheo kikubwa zaidi katika jina la Yesu
Mh! makonda mungu akubariki sana karbu kwetu Tanga vijiji mnazi kupitia mkomazi mboga zawanyama karibu sana mkuu
Mama huyu anafaaa Kua waziri Mkuu Mama msaidie huyu Kaka mm nampenda Sana
Makonda oyeeeeeee
❤ nakupenda sanawkaka mako mwenyezi mungu akuzidi shie umli mlefu uzidi kupamba nia watu
Magufuli number 2! You're the next president baba...u got my vote
Hakuna cha tunduma oyee soma barua na tumbo lako hilo
Kabisa kabisa kabisa Mungu wetu aliye HAI, AENDELEE KUMLINDA RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASANI, PAMOJA NA VIONGOZI WANAOMSAIDIA, AKIWEMO MH PAUL MAKONDA.
Makonda Mungu azidi kukulinda....Makonda Mungu azidi kukulinda, maadui zako wote wateleze na kuanguka mbele yako.
Nakuombea poul makonda mwenyezi mungu Akulinde baada ya miaka mitano mingine ya mama wewe ndiyo uje uwe my president🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯🙏🙌🥰👏🤲
Asanteeh
We ni magufuli namba mbili mungu akupe maisha malefu makonda
Hongera sana mungu akulinde
Asante makonda apo apo dozi juyadozi
Makonda mungu akupe afyanje teleyele akuongezee nauhaipia
May God bless you sir ❤❤
Respect kiongoz one day hii nchi itakuelewa 2,nanukuu maneno yako kuwa "usiogope kuonekana waajabu Kama unakitu unakiamini"
WATOE NA FIDIA KWA KUMSUMBUA MAMS WA WATU IILA NAMPA HONGERA KAPAMBANIS HAKI YAKE NA AMESHINDA.
Congratulations keep it up good job sir ❤❤❤
Tunduma oyeee oyaa soma barua 😂😂😂😂 nimependa hiyooi
Mwanangu,hongera kwa kuwasaidia wanyonge wanaonyanyaswa
Watu hawaana huruma jamani uyo mama anavio onekana munawezaje kumubomolewa nyumba????😢😢😢😢😢 mmmmm
Majibu ya kifedhuli Sana, akamlete Magufuli , atamtoa wapi? Yaani jamani
@EliaMwaijumba
5 ай бұрын
Mungu kamleta kijana wamagufuli
Makonda unanipa raha.kweli makufuli halikufunza na ukaitim.mkombozi wa wanyonge❤
Makonda makonda Mimi lukas siku ukitokewa kwenye kitengo hichi Mimi nahama chamaaa
Nakupenda sana makonda kila siku nakuonea baba karibu arusha
Hapa akipatikana na Sabaya kazi itakuwa nzur
@rosetreffert4179
6 ай бұрын
Kabisaa
@rosetreffert4179
6 ай бұрын
Na mr polepole
Makonda angalia huyo mama anavyolia NAMI nalia huku Kwa wema wako makonda mungu akulinde sana sana
Je niwangapi wanaohitaji kumuona. Makonda kwa changamoto Kama hizi!??
We makonda yani cc tunalia kila siku tukiangalia Hutuba zako Mungu akulinde
Kwel mungu ni mwema,,haku ya mtu haipotei,, Kaka yangu makonda mungu akutunze,,ww nimsema ukweli 🎉
Huyu makonda ako na umagufuli ndani yake ako vizuri sana
Tupambanie wanyonge sasa viatu vya baba vimepata mwenyewe kweli mama anakijana.mmemuona huyooo🎉🎉🎉🎉
Late president would have been proud of you makonda 🎉
Makonda unanifurahisha sana maana unawabana mpaka majibu yanapatikana papo kwa papo yaani njia ya muongo ni fupi
ubarikiwe sana makonda mungu akupe miaka mingi ya kuishi
Kweli mama unamoyo pamoja nakufanyiwa ubaya na viongozi wa chama ccm lakin bado tu bibi kavaa Sale ya chama kwakwer anakipenda chama kama mm siwez kuivaa
Huyu jamaa anaesoma mbabaishaji sana 😂😂😂 au kalewa
Kaka makonda mungu akubariki
Binamu umetisha sana
Carry on Makonda CCM OYE
Makonda mungu akuzidishiye miyaka
Mungu akubariki san
Mungu hamtupi mjawake mkonda fanya kazi br.
Sasa kama hizi ziara hakuna wakuzifanya hawa wanyonge ambao ni wengi watasaidika vipi...Mbona binadamu wanakosa hofu na Mungu....especially viongozi?
Makonda apewe nchi asaidie mama
Nice job
Ona litumbo lake la kula rushwa
Safi huo ndo utendaji ulio makini sisi haki za binadamu tunapenda watu wasinyayasike
Magufuli amefufuka ndani ya makonda😂😂😂
Mungu akulinde Malinda ❤❤❤❤
Ulindwe na Mungu mtetezi wa wanyonge,,,
Hongera makonda
Kwakweli kazi anayoifanya MAKONDA is very big RISK,,,,Yaani inataka moyo saana kupambana na changamoto walizonazo wananchi
Masikini dunia yote tunaonewa sana mungu tulinde
Makonda tunahitaji viongozi kama ww maana nchi hii Ina uozo mwingi sana
Mmeona makonda uwt mmemuangusha mama ombeni msamaaa chama
Viva Makonda you are a leader
Paul MAKONDA mungu atakufanyia mambo makuu mpaka ushangae! Natabiri utakuwa RAISI