KIVUMBI! BIBI ALIYEBOMOLEWA NYUMBA NA CCM, MAKONDA AWABANANISHA VIONGOZI WA CHAMA JUKWAANI

KIVUMBI! BIBI ALIYEBOMOLEWA NYUMBA NA CCM, MAKONDA AWABANANISHA VIONGOZI WA CHAMA JUKWAANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 384

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79885 ай бұрын

    Mungu akubariki sana makonda from Congo🇨🇩 to Sweden 🇸🇪

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41796 ай бұрын

    Hii nchi imeoza kwa kipindi kifupi tu ,Mungu asante kwa zawadi huyu kijana makonda ❤❤❤

  • @melkizedekwiliam-hi7bz

    @melkizedekwiliam-hi7bz

    6 ай бұрын

    Huyu Makonda ni Rais 2030.

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    6 ай бұрын

    Hujamjua Mungu bado Mungu sio mtu Mungu SI kigeugeu Mungu ana watu wengi.alimuacha Saul na KUMPA Daud ufalme.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi75826 ай бұрын

    Bila hii mikutano tusingeyajua kama hata viongozi wa ccm wasio wema na chama wadhulumati safi sana makonda mungu amlinde raisi wetu mama samia

  • @GabrielSimba-gx5er

    @GabrielSimba-gx5er

    4 ай бұрын

    Ww ao wakilitka eneo lako wanalichkua kwanguvu tena napolisi unaltewa

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana79746 ай бұрын

    Makonda, Makonda, Makonda, utafika mbali kwa jina la Yesu

  • @ezraochora8495

    @ezraochora8495

    5 ай бұрын

    Acha.kutaja.jinala.yesu.kwenye.komedi.kamaizi

  • @user-ym3qt5fd2u
    @user-ym3qt5fd2u6 ай бұрын

    Makonda songa mbele baba Mungu akulinde,waangalie sana wasikuue,,wabaya sana mafisad wamenuna zaiiiiid

  • @tisiradidas
    @tisiradidas6 ай бұрын

    Asante Makonda wasambaratishe hao dhulumati wa CCM ndio wanaoangusha chama.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba6 ай бұрын

    Magufuli mdogo oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉

  • @user-oh6pc7zd4s

    @user-oh6pc7zd4s

    6 ай бұрын

    Anakuaje makufuli mdogo wakati yeye Magu alimuona hamfai ndio akamfukuza kazi na kumkosesha ubunge kwa makusudi.Mama ndie aliemleta na kumpa madaraka makubwa sasa hapo jina la Magu linahuzikaje?Badala ya kumtaja Mama Samia unamtaje mtu ambaye alimfukuza kazi na kumwekea vikwazo au mdio udini na ukabila vinawasumbua?

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    6 ай бұрын

    YESU KASEMA ufalme haujifitini .eti wakomeshe hao CCM wakati nae ni CCM .hata wakale walisema zimwi likujualo halikuli likakumaliza.unaetengenezwa hapo ni wewe mwanainchi wa Hali ya chini

  • @jicholafursa7058

    @jicholafursa7058

    6 ай бұрын

    Nani alimpandisha tukamjua​@@user-oh6pc7zd4s

  • @user-el5fd8kk6y
    @user-el5fd8kk6y6 ай бұрын

    Mzimu wa Magufuli umemvaa Makonda bira kupinga😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @devgodfrey

    @devgodfrey

    6 ай бұрын

    anawachapia na mapambio kabisa🙌🏻

  • @mahijjaeidi9144

    @mahijjaeidi9144

    5 ай бұрын

    Kabisa yani makuful kafa nafsi imeenda kwamakonda mungu amlinde

  • @user-pn5kp4rm2d

    @user-pn5kp4rm2d

    2 ай бұрын

    Exactly

  • @AsifiweChaula
    @AsifiweChaula6 ай бұрын

    Hongera mwenezi kwakusikiliza kelo za wananchi wa tunduma songwe

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba5 ай бұрын

    Asante samia kwa kumpa kazi huyo kijana makonda safisha wanao kicha chama

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati23035 ай бұрын

    Be blessed Makonda. MUNGU hakutangulie.

  • @user-ip3el1zw1u
    @user-ip3el1zw1u5 ай бұрын

    i am from kenya good job bro keep it up makonda

  • @abdulaisha4145

    @abdulaisha4145

    2 ай бұрын

    Mungu awabariki watanzania wanapata viongozi bora

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz6 ай бұрын

    eeeee Mungu umlinde Rais wetu Samia Raisi wetu mpendwa. Pia na mwenezi Makonda.

  • @user-me5qu5kw4u
    @user-me5qu5kw4u6 ай бұрын

    Makonda damu ya yesu ikufunike kaka kazi njema umefanya

  • @melkizedekwiliam-hi7bz

    @melkizedekwiliam-hi7bz

    6 ай бұрын

    Hakika

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    6 ай бұрын

    Amen

  • @GraceMhoja-zc7yg

    @GraceMhoja-zc7yg

    5 ай бұрын

    Tuendelee kumuombea raisi wetu wa baadae

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage25236 ай бұрын

    Huyo jamaa anasoma barua kama kapiga gongo😅

  • @Mary-fs4mc

    @Mary-fs4mc

    6 ай бұрын

    Kweli bhana atakuwa kapiga kidogo😂😂

  • @MwigaKatumpula-mi3zt

    @MwigaKatumpula-mi3zt

    6 ай бұрын

    Tunduma hoyeee 😃😀😀

  • @jamesmwita2995

    @jamesmwita2995

    6 ай бұрын

    Ameanza vzr kusoma lakn mwishoni akaanza kujifanya amelewa

  • @user-pv9em1qz9t

    @user-pv9em1qz9t

    5 ай бұрын

    ​@@MwigaKatumpula-mi3zt😅😅😅😅umeambiwa usome barua

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo62366 ай бұрын

    Paul Christian MAKONDA Mungu akulinde, hakika unapiga kazi. Dhuluma waliotaka kuifanya UWT -Tunduma kwa huyo mama imenitoa machozi. Tunashukuru Mungu tatizo limeisha na liishe hivyo lisitokee jitu kubatilisha Tena Hilo jambo. Hakika tunamuona Magufuli ndani Yako.

  • @faustinasway2745
    @faustinasway27455 ай бұрын

    Makonda hongera Mungu amekuchagua na mama yetu akiwa ndiye kichwa fanya kazi ya Mungu bila kuchoka

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera66486 ай бұрын

    Love ❤️ for Makonda kwangu ni ya mda Sana be blessed bro

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon35776 ай бұрын

    Makonda utabarikiwa na mungu🙌🙌🙌🙌

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8lАй бұрын

    Piya tunamshukuru saaaaana mama yetu SAMIYA mama mimi kama mimi nakupenda sana mama na makonda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏

  • @salumsaid1861
    @salumsaid18616 ай бұрын

    Hii nchi kuna watu wanawaonea sana watu .. Hongera Makonda

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb6 ай бұрын

    CCM Kuna watu wezi na waonevu tu wanaichafua chama

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын

    Kamata wote wanaofanya maovu kwa wananchi makonda oyeeeeeee love you man ❤❤❤😂😂😂

  • @fancytulula9537
    @fancytulula95372 ай бұрын

    May God bless you & give you long life.. Amen!!!! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-rq7wp9lt9z
    @user-rq7wp9lt9z5 ай бұрын

    Mheshimiwa makonda mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri unaewatendea watanzania kwani umekua mkombozi wa watanzania... Tunakuomba ututembelee na sisi siku Moja wananchi Wa kata ya KIA wanchi tuna nyanyaswa sana na kampuni wanao jiita CARDCO tunakuomba sana mkombozi wananchi tumenyang'anywa maeneo yetu.

  • @JOYCEPASTORY-up6tg
    @JOYCEPASTORY-up6tg6 ай бұрын

    Hongera sana karibu mwenezi Taifa.weweni mwokozi wetu wanyonge

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti75416 ай бұрын

    Hao Ni machumia tumbo hovyo kabisa

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62206 ай бұрын

    Kuna watu wanapaswa kufungwa maisha

  • @user-ym3qt5fd2u

    @user-ym3qt5fd2u

    6 ай бұрын

    Afungwe huyo anayesoma mwizi huyoooo

  • @evaristmbuya6220

    @evaristmbuya6220

    6 ай бұрын

    @@user-ym3qt5fd2u 😅😅😅😅😅

  • @eliusngereza156
    @eliusngereza1566 ай бұрын

    Mungu tu amlinde ili ikimpendeza yeye aliye juu ampe uraisi bac

  • @othmarluwawilo8308

    @othmarluwawilo8308

    6 ай бұрын

    Hatuhitaji Rais Mbumbumbu, uraisi lazima usome.

  • @user-tz6co2yf3e
    @user-tz6co2yf3e5 ай бұрын

    Mama samiha umefanya mahamusi sahihihi samiha hoyeeeee makonda poa ccm poaaaaaa

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana79746 ай бұрын

    Mungu akukumbuke zaidi mheshimiwa Makonda

  • @fikirimachela4778
    @fikirimachela47785 ай бұрын

    Mimi sijawai kuwapenda wanasiasa ila kwa makonda unanishawishi sana allah akulinde inshaallah

  • @rithamatiko4952
    @rithamatiko49524 ай бұрын

    Mh Makonda Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki napia kuendelea kutetea haki za Wanainchi hakika umeletwa na Mungu watanzania tuna imani sana nawe

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si6 ай бұрын

    Hata viongozi wenye misimamo kama yako Makonda viongozi mikoani wanawachukia sana hasta kina mama wanajarribu hata kuwawekea mizengwe wasijiendeleze

  • @AminaKissenge
    @AminaKissenge4 ай бұрын

    Kweli kila nikiangali kazi za makonda naishiakulia.watu wanateseka,wanateswa na viongozi.Makonda Mungu akulinde na azidi kukuongoza. Makonda,mwanangu piga kazi .Tetea wanaoonewa

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30386 ай бұрын

    Nipeni namba yamakonda nimwambie na hawa tiaraei mbeya pare tazala watume mpelerezi

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo56 ай бұрын

    Magufuli ndani ya makonda 😢

  • @user-oh6pc7zd4s

    @user-oh6pc7zd4s

    6 ай бұрын

    Kwani si ni Magu aliyemfukuza huyo MAKONDA?TUACHE UNAFIKI MPONGEZE MAMA ALIYEMREJESHA? AU UDINI NA UKABILA VINAKUSUMBUA?

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi50545 ай бұрын

    Eeh M/MUNGU tusaidie mm amuachie uyu 2025 agombee uraisi🙏

  • @drallan6879
    @drallan68796 ай бұрын

    bravo makonda for the excellent job

  • @DaudMsessa

    @DaudMsessa

    6 ай бұрын

    😊😊😊😅😊😊

  • @user-jg4bx9hs4p
    @user-jg4bx9hs4p5 ай бұрын

    Kwel Mzee watu watu wamezowea kuwazulumu wanyonge Asante sana muheshimiwa

  • @edinachami4318
    @edinachami43185 ай бұрын

    Ndonaamini yale maneno yamtaani yakuwa makonda ni first born wamagufuli ambaye alimzaa kipindi anajifunza mapenzi🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana79746 ай бұрын

    Zipo siku si nyingi utapata cheo kikubwa zaidi katika jina la Yesu

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9ml5 ай бұрын

    Mh! makonda mungu akubariki sana karbu kwetu Tanga vijiji mnazi kupitia mkomazi mboga zawanyama karibu sana mkuu

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px6 ай бұрын

    Mama huyu anafaaa Kua waziri Mkuu Mama msaidie huyu Kaka mm nampenda Sana

  • @reubengapy2878
    @reubengapy28786 ай бұрын

    Makonda oyeeeeeee

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y5 ай бұрын

    ❤ nakupenda sanawkaka mako mwenyezi mungu akuzidi shie umli mlefu uzidi kupamba nia watu

  • @kimjuiyoung1686
    @kimjuiyoung16864 ай бұрын

    Magufuli number 2! You're the next president baba...u got my vote

  • @JosephAtanazi-hs3gw
    @JosephAtanazi-hs3gw6 ай бұрын

    Hakuna cha tunduma oyee soma barua na tumbo lako hilo

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82766 ай бұрын

    Kabisa kabisa kabisa Mungu wetu aliye HAI, AENDELEE KUMLINDA RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASANI, PAMOJA NA VIONGOZI WANAOMSAIDIA, AKIWEMO MH PAUL MAKONDA.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts2 ай бұрын

    Makonda Mungu azidi kukulinda....Makonda Mungu azidi kukulinda, maadui zako wote wateleze na kuanguka mbele yako.

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew42455 ай бұрын

    Nakuombea poul makonda mwenyezi mungu Akulinde baada ya miaka mitano mingine ya mama wewe ndiyo uje uwe my president🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯🙏🙌🥰👏🤲

  • @user-sv1ki5zt6t
    @user-sv1ki5zt6t6 ай бұрын

    Asanteeh

  • @SimonLucas-ls5sz
    @SimonLucas-ls5szАй бұрын

    We ni magufuli namba mbili mungu akupe maisha malefu makonda

  • @victoriapaul-kj6st
    @victoriapaul-kj6st2 ай бұрын

    Hongera sana mungu akulinde

  • @TinahFrank
    @TinahFrank2 ай бұрын

    Asante makonda apo apo dozi juyadozi

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392Ай бұрын

    Makonda mungu akupe afyanje teleyele akuongezee nauhaipia

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita76902 ай бұрын

    May God bless you sir ❤❤

  • @user-ko8xi4qs2n
    @user-ko8xi4qs2n3 ай бұрын

    Respect kiongoz one day hii nchi itakuelewa 2,nanukuu maneno yako kuwa "usiogope kuonekana waajabu Kama unakitu unakiamini"

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22586 ай бұрын

    WATOE NA FIDIA KWA KUMSUMBUA MAMS WA WATU IILA NAMPA HONGERA KAPAMBANIS HAKI YAKE NA AMESHINDA.

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita76902 ай бұрын

    Congratulations keep it up good job sir ❤❤❤

  • @user-uw4pu9nm1u
    @user-uw4pu9nm1uАй бұрын

    Tunduma oyeee oyaa soma barua 😂😂😂😂 nimependa hiyooi

  • @user-kl4yh8yh5m
    @user-kl4yh8yh5m6 ай бұрын

    Mwanangu,hongera kwa kuwasaidia wanyonge wanaonyanyaswa

  • @janetchinga695
    @janetchinga6956 ай бұрын

    Watu hawaana huruma jamani uyo mama anavio onekana munawezaje kumubomolewa nyumba????😢😢😢😢😢 mmmmm

  • @user-im3le1tv5b
    @user-im3le1tv5b6 ай бұрын

    Majibu ya kifedhuli Sana, akamlete Magufuli , atamtoa wapi? Yaani jamani

  • @EliaMwaijumba

    @EliaMwaijumba

    5 ай бұрын

    Mungu kamleta kijana wamagufuli

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu40055 ай бұрын

    Makonda unanipa raha.kweli makufuli halikufunza na ukaitim.mkombozi wa wanyonge❤

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l6 ай бұрын

    Makonda makonda Mimi lukas siku ukitokewa kwenye kitengo hichi Mimi nahama chamaaa

  • @emyfaustin7618
    @emyfaustin76184 ай бұрын

    Nakupenda sana makonda kila siku nakuonea baba karibu arusha

  • @daudkindy8062
    @daudkindy80626 ай бұрын

    Hapa akipatikana na Sabaya kazi itakuwa nzur

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    6 ай бұрын

    Kabisaa

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    6 ай бұрын

    Na mr polepole

  • @geleminapatrick8701
    @geleminapatrick87015 ай бұрын

    Makonda angalia huyo mama anavyolia NAMI nalia huku Kwa wema wako makonda mungu akulinde sana sana

  • @onespour7189
    @onespour71896 ай бұрын

    Je niwangapi wanaohitaji kumuona. Makonda kwa changamoto Kama hizi!??

  • @user-pz9by1ml2x
    @user-pz9by1ml2x5 ай бұрын

    We makonda yani cc tunalia kila siku tukiangalia Hutuba zako Mungu akulinde

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs6 ай бұрын

    Kwel mungu ni mwema,,haku ya mtu haipotei,, Kaka yangu makonda mungu akutunze,,ww nimsema ukweli 🎉

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi7744 ай бұрын

    Huyu makonda ako na umagufuli ndani yake ako vizuri sana

  • @BhM255
    @BhM2555 ай бұрын

    Tupambanie wanyonge sasa viatu vya baba vimepata mwenyewe kweli mama anakijana.mmemuona huyooo🎉🎉🎉🎉

  • @AtumKimirei
    @AtumKimirei6 ай бұрын

    Late president would have been proud of you makonda 🎉

  • @user-ml3zf7mw1y
    @user-ml3zf7mw1y6 ай бұрын

    Makonda unanifurahisha sana maana unawabana mpaka majibu yanapatikana papo kwa papo yaani njia ya muongo ni fupi

  • @zuberichelesi
    @zuberichelesi5 ай бұрын

    ubarikiwe sana makonda mungu akupe miaka mingi ya kuishi

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas65165 ай бұрын

    Kweli mama unamoyo pamoja nakufanyiwa ubaya na viongozi wa chama ccm lakin bado tu bibi kavaa Sale ya chama kwakwer anakipenda chama kama mm siwez kuivaa

  • @alphoncealexander8536
    @alphoncealexander85366 ай бұрын

    Huyu jamaa anaesoma mbabaishaji sana 😂😂😂 au kalewa

  • @Chachadaudimniko
    @Chachadaudimniko2 ай бұрын

    Kaka makonda mungu akubariki

  • @bahatimwaigaga5947
    @bahatimwaigaga59476 ай бұрын

    Binamu umetisha sana

  • @SuleimanOmar-gq9rg
    @SuleimanOmar-gq9rg5 ай бұрын

    Carry on Makonda CCM OYE

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8lАй бұрын

    Makonda mungu akuzidishiye miyaka

  • @rehemakabogo1992
    @rehemakabogo19922 ай бұрын

    Mungu akubariki san

  • @ShijaJafari
    @ShijaJafari4 ай бұрын

    Mungu hamtupi mjawake mkonda fanya kazi br.

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona90855 ай бұрын

    Sasa kama hizi ziara hakuna wakuzifanya hawa wanyonge ambao ni wengi watasaidika vipi...Mbona binadamu wanakosa hofu na Mungu....especially viongozi?

  • @user-bt7ki5pz9t
    @user-bt7ki5pz9t6 ай бұрын

    Makonda apewe nchi asaidie mama

  • @LinetBungei
    @LinetBungei2 ай бұрын

    Nice job

  • @jamillahshabani2500
    @jamillahshabani25006 ай бұрын

    Ona litumbo lake la kula rushwa

  • @SolomonJumakitigwa
    @SolomonJumakitigwa2 ай бұрын

    Safi huo ndo utendaji ulio makini sisi haki za binadamu tunapenda watu wasinyayasike

  • @flavourboyke
    @flavourboyke6 ай бұрын

    Magufuli amefufuka ndani ya makonda😂😂😂

  • @TatuMasudy
    @TatuMasudy3 ай бұрын

    Mungu akulinde Malinda ❤❤❤❤

  • @user-lh5cd5xn7k
    @user-lh5cd5xn7k5 ай бұрын

    Ulindwe na Mungu mtetezi wa wanyonge,,,

  • @user-sm4le9un9w
    @user-sm4le9un9w5 ай бұрын

    Hongera makonda

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59576 ай бұрын

    Kwakweli kazi anayoifanya MAKONDA is very big RISK,,,,Yaani inataka moyo saana kupambana na changamoto walizonazo wananchi

  • @janetchinga695
    @janetchinga6956 ай бұрын

    Masikini dunia yote tunaonewa sana mungu tulinde

  • @hermentthomas6945
    @hermentthomas69456 ай бұрын

    Makonda tunahitaji viongozi kama ww maana nchi hii Ina uozo mwingi sana

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l6 ай бұрын

    Mmeona makonda uwt mmemuangusha mama ombeni msamaaa chama

  • @Matikomitinidawa
    @Matikomitinidawa5 ай бұрын

    Viva Makonda you are a leader

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u6 ай бұрын

    Paul MAKONDA mungu atakufanyia mambo makuu mpaka ushangae! Natabiri utakuwa RAISI

Келесі