DUH! MUME Amkana MKE WAKE MBELE ya MAKONDA, MKE AANGUA KILIO "SIKO TAYARI KUISHI NA HUYU MWANAMKE"

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 589

  • @mossesmichaelnzowa3378
    @mossesmichaelnzowa33782 ай бұрын

    Hii nimeipenda imekaa vizuri sana na Mh. Makonda MUNGU akuinue.

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija2 ай бұрын

    Pole saana mwanamke mwenzangu mitihani tumeumbiwa sisi Mungu akufanyie wepesi kipenzi 😢😢

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын

    Aisee huyu Mwamba kwakweli Mungu amlinde, Mh Makonda anakila sababu za kupendwa na wananchi. Daaaah mama yetu akuongezee cheo wallah

  • @judiajudia3796

    @judiajudia3796

    2 ай бұрын

    baba kayatimba aswaaaah

  • @user-we3mp7be4c

    @user-we3mp7be4c

    2 ай бұрын

    Afisa ustawi hayupo huyo arudi darasani

  • @zacharialughano3541

    @zacharialughano3541

    2 ай бұрын

    Mmh😢😂😢😂

  • @user-my4dr5oq6v

    @user-my4dr5oq6v

    2 ай бұрын

    Cjaona chochote

  • @user-xk7vy4gb6g

    @user-xk7vy4gb6g

    2 ай бұрын

    @@user-my4dr5oq6v utaonaje na ww una wivu wa kichawi, fitina nyingi, husda kwa sana. Wale wenye husda mtabaki hivyo hivyo mnampango na shetani

  • @AbuuSudais-wf6ns
    @AbuuSudais-wf6ns2 ай бұрын

    Huyu kajifunza kitu Kwa magufuli, makonda for president

  • @RoseMollel-wo3ls

    @RoseMollel-wo3ls

    Ай бұрын

    Kabsa yaan

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy36532 ай бұрын

    I wish siku moja uwe rais my kaka

  • @suzanbegas4139

    @suzanbegas4139

    2 ай бұрын

    Dah! Hata mm Nataman Iwe Ivyo

  • @user-pq2sq7ov8w
    @user-pq2sq7ov8w2 ай бұрын

    Huwa natafuta kibaya Cha nakonda sikion hata kidogo lakn watu wengne hawampendi najiuliza wanachomchukia kakangu Kaka Mungu anakupenda fanya kazi Kaka tuko nyuma yako tunakuombea

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey70522 ай бұрын

    Na alaaaniwe yeyote anaemchukia makonda

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go

    @DEBORAHMASANJA-yz3go

    2 ай бұрын

    Pop yes

  • @elizabethmalenga5221

    @elizabethmalenga5221

    2 ай бұрын

    Amin.

  • @vickytango5591
    @vickytango55912 ай бұрын

    Mhe. MAKONDA wenye roho km hiyo ni wachache mno umewekeza duniani na mbinguni Mungu awe nawe jembe la kazi mema yakufuate popote uwe miaka mingi yenye amani teeeeeeeeeeele mnakupenda sana kakangu mzuri

  • @zabibuhazary6986
    @zabibuhazary69862 ай бұрын

    Masha'Allah Mheshimiwa Makonda maua yako huna haya❤❤❤

  • @issambarak8931
    @issambarak89312 ай бұрын

    Anaemchukia makonda alaamiwe jamani, makonda mungu akulinde na hasadi zote

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de2 ай бұрын

    Dume Zima limeona aibu sasa mdada wa watu kapata lak 8 kweli Mwenyez Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo

  • @user-jz6wu1ed1h
    @user-jz6wu1ed1h2 ай бұрын

    Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu, sifa na utukufu zikurudie wew Mungu wetu

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u2 ай бұрын

    Natamani uyu baba aje kuwa rais wa nchi jamani ni mwamuzi mzuri sana Mungu akulinde mheshimiwa

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Nchi sizani Kama atapewa

  • @emmanuelbirindwahabamungu5715
    @emmanuelbirindwahabamungu571527 күн бұрын

    Roho ya Magufuli ime hama kwako baba Mungu akupe maisha marefu aku ongezeye miaka mingi duniani.

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack2 ай бұрын

    Mheshimiwa Makonda nafurahia sana jnc uongozi wako ulivyo kwa kuckiliza kero za wananchi na kujarb kuzitatua.Ila naomba sn kiongozi, wananchi hawa waekewe ulinzi, maan kuna watu hawapendi kufichuliwa mabaya yao,wataweka kisasii daimaa.

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba33482 ай бұрын

    Makonda umeongea point mtoto atakiwi kujua mambo ya wazazi wake

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we2 ай бұрын

    Makonda uyo jamaa hamna kitu mchunguzeni iyo kz kapewa na mjomba yake hana taaluma yoyote

  • @rabsonchisumo6640

    @rabsonchisumo6640

    2 ай бұрын

    Achunguzwe nini Sheria aijaweka wazi nenda kule dawati la jinsia uone kwa nini saiz wanawake awakimbilii huko maelezo anaweza kuambulia elfu hamsini kwa mwezi mzima kama hauna kipatoa sahihi kwa kila siku elewa sawa

  • @mcutanorsonvanwillson2991

    @mcutanorsonvanwillson2991

    Ай бұрын

    Sasa ndo angetoa maelezo hayo,,anajikanyaga sana anashindwa kuongea kama kiongozi​@@rabsonchisumo6640

  • @user-lm5fu5tu5z
    @user-lm5fu5tu5zАй бұрын

    Daaah wanaume sisi huyu mama anaonekana anampenda sana mumewe sema hilo jamaa ni lilevi na kiburi sana Mama wa watu mzuri sana huyo na anaheshima nzuri tu mungu fundi sana watu wa hovyo anawapa wanawake wazuri sana na wenye upendo wa kweli sisi ambao tumetulia zetu ndio tunapata mijanamke ya hovyo.

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Tena minyang'au ya kutosha

  • @joycehaule9717

    @joycehaule9717

    Ай бұрын

    Wanaume wa Arsh wanakiburi mnoo acha kabisa yan ukiwa na mwanaume wa arsh ujipange

  • @NehemiaLuwela-ld9zn

    @NehemiaLuwela-ld9zn

    Ай бұрын

    Uhakika

  • @user-xh3qf9xv9v

    @user-xh3qf9xv9v

    Ай бұрын

    Kabisa mdogo wangu ,, Mwanamke mzuri sana ila nimegundua huyu mwamba anasikiliza dada zake,na dada zake wanawivu na wifi Yao ,kwa uzuri wanaona kama mwamba alivyokuwa jela ,Kuna fisi alikuwa anamla huyu demu,na mwamba dada zake wanaviela wanamdanganya mwamba ukimuacha huyu mwanamke tutakusaidia ,mwamba dhaifu, wanawake wengi wanaroho mbaya sana hapa duniani,Mungu atampa maisha mazuri huyu demu na mtoto wake

  • @eslammurad540

    @eslammurad540

    Ай бұрын

    Kabisa makonda akigombea urais kura yangu yake

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26202 ай бұрын

    Mwenyez mungu akulinde makonda mwenyezi mungu atakulinda wewe na familia yako

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97172 ай бұрын

    Makonda nakupenda kaka barikiwa mnoooo YESU NI MKUU SANA ANAKUPIGANIA SANA

  • @RuthRobert-vb8vz
    @RuthRobert-vb8vz2 ай бұрын

    Makonda umepewa kibari na mungu hii ndiyi ngao yako lsaya 54_17

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97172 ай бұрын

    Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu aliye HAI kweli kweli

  • @AmaniJoseph-ij2id
    @AmaniJoseph-ij2id2 ай бұрын

    AMINI NA KUMBUKA MANENO YANGU SIKU MOJA UTAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII AMEN

  • @EvangelistMiriamIdarus

    @EvangelistMiriamIdarus

    2 ай бұрын

    100%🎉🎉🎉🎉

  • @EvangelistMiriamIdarus

    @EvangelistMiriamIdarus

    2 ай бұрын

    100%🎉🎉🎉🎉

  • @BeatriceMuhomi-cz9cr

    @BeatriceMuhomi-cz9cr

    2 ай бұрын

    Aameen🙏

  • @jokhajj

    @jokhajj

    Ай бұрын

    Amen

  • @AsteriaLushanga
    @AsteriaLushanga2 ай бұрын

    Mungu akutunze Makonda uwe na roho ya hekima zaidi

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya32682 ай бұрын

    Ila Mh ,Makonda kazi yako ni ngumu Sana ,Mungu akujalie akuinulie waombaji wa kukubebe kwenye maombi.

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97172 ай бұрын

    Wanawake wa arusha wazurii wanaume wao km chokoraa khaa

  • @idinado-wk3lx

    @idinado-wk3lx

    2 ай бұрын

    Kumbe nawe umeona sijuwi tatizo nini 😂😂😂😂😂😂😂

  • @zanishirima9257

    @zanishirima9257

    2 ай бұрын

    Watu wanajiita wadudu 😅 lazima waonekane kidudu dudu

  • @joyce55727

    @joyce55727

    2 ай бұрын

    Mimi kidogo niseme ivo 😁 tena wanapendwa sana na wasukuma

  • @user-ne5cg4vv1h

    @user-ne5cg4vv1h

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina mbavu

  • @joycemkeka3769

    @joycemkeka3769

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli nimecheka kwa sauti eti wanajiita wadudu

  • @filbertdamiani101
    @filbertdamiani1012 ай бұрын

    Kwanini watu wengine wanamnyooshea kidole makonda, wakati huyu jamaa ni mpenda haki!

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    2 ай бұрын

    Wajinga na wadhurumaji Tu,

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    2 ай бұрын

    Huwezi kua mzur wote huwez kua mbaya wote

  • @wazinzatv3152

    @wazinzatv3152

    2 ай бұрын

    Vizuri ndo hupigwa vita

  • @ntangiregemfuruki5478

    @ntangiregemfuruki5478

    2 ай бұрын

    Love you rc❤ Shida yako.kauli yako mfano kusema . Weee kitanzania nitusi. Wewe nimwamba sana.kasoro nihiyo tu.tunampenda mnoo.lakini turekebishe kauli tu.au Tamsin lake tu.love yoo makonda.hujui tuna kubiliv mno

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene52 ай бұрын

    Duh!!!!! Mh Makonda wewe ni wa mungu tuuu Rais wangu mungu akupe Afya njema na akubariki sana Insha Allah

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l2 ай бұрын

    Mheshimiwa Makonda pole sana una kazi kubwa sana . Pole sana Mwenyezi Mungu akusimamie

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w2 ай бұрын

    Sema hamjui tuu uwezi jua jamaa anapitia nn siku wanaume tukisema tutoke tueleze mambo tunayopitia kwa wake zetuu watu watatukataaa

  • @user-dq9lf3vp8m

    @user-dq9lf3vp8m

    2 ай бұрын

    Hiyo kweli kabisa, jama kaongee alipopata matatizo mwanamke alimkimbia

  • @user-ir5mc7vk8b

    @user-ir5mc7vk8b

    2 ай бұрын

    Umejuaje wanaume wanisili Sana

  • @davidsika5292

    @davidsika5292

    2 ай бұрын

    Huwezi kushindana na mwanamke akijitetea hasa akiwa public

  • @HadjiMbugi

    @HadjiMbugi

    2 ай бұрын

    Kabisa aiseeh ukiona mwanaume amefika mwisho Kuna jambo

  • @wamburasungura6812

    @wamburasungura6812

    Ай бұрын

    @@davidsika5292 basi achana na mkeo tunza mtoto wako kaka

  • @JumaSiajaly-vt2un
    @JumaSiajaly-vt2un2 ай бұрын

    Makonda akiwa raisi atakua km magufuli piga kazi baba namuona kua raisi wa miaka ijayo

  • @suzanbegas4139

    @suzanbegas4139

    2 ай бұрын

    ❤️❤️❤️

  • @MankaAlly
    @MankaAlly2 ай бұрын

    Aisee mpaka machozi yamenitoka Mungu akubariki sana muheshimiwa Makonda

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd2 ай бұрын

    Mashaallah kakaangu makonda Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤

  • @arya-star53
    @arya-star53Ай бұрын

    Yani sijui nisemaje,nakupenda sana Kaka makonda Mungu akujaalie umri mrefu ili uendelee kuyatimiza yaliyomo makusudi yake kwa wanatanzania

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes87002 ай бұрын

    Makonda kwenye hili na pongeza mno ubarikiwe mara mbili ya hili

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su2 ай бұрын

    Mpaka nimetoa machozi...😢 dada Mungu akutie nguvu sana katika hatua zako za maisha. Najua ni kwa jinsi gani umepata maumivu kukataliwa mbele ya haraiki. Ila niamini mimi siku zote kisasi ni cha Mungu, huyu baba kufanikiwa kwenye kazi zake asahau kabisa mana hapo amepanda laana. Hakuna chozi la mwanamke ambalo linadondoka bure. MHE Makonda: Mungu akubariki mnoooo naiona roho ya magufuli ndani yako. Utunzwe na kulindwa na Mungu siku zote za maisha yako🙏

  • @Magreth-pt5zt

    @Magreth-pt5zt

    6 күн бұрын

    🙏🙏🙏

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid96682 ай бұрын

    Mungu amlinde makonda 👏👏👏👏

  • @user-ie5on4xy9o
    @user-ie5on4xy9o2 ай бұрын

    Kaka Makonda nakupenda sana Mungu akutunze

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod39492 ай бұрын

    Nani kaskia AJIRA ZA KUPEANA HIZO

  • @ValenceKazoba
    @ValenceKazoba2 ай бұрын

    Mungu akulinde Makonda pia pambana sana

  • @BeatriceAdolf-gj6lr
    @BeatriceAdolf-gj6lr2 ай бұрын

    Hakuna ustawi wa jamii hapo,,wa mchongoo,,halijui kitu

  • @Octavinaelisa-fn6js

    @Octavinaelisa-fn6js

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @PureSoul-rf4xd

    @PureSoul-rf4xd

    2 ай бұрын

    😅😅😅

  • @KalondaSongolo

    @KalondaSongolo

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w2 ай бұрын

    Uko vizuri muheshimiwa mungu akulinde na akupe kibali cha kuwa rais wa tanzania.

  • @rosebeniel
    @rosebeniel2 ай бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @lubavacastory1831
    @lubavacastory18312 ай бұрын

    Ukiona mwanamke kamuita mwanaume aliyemzalisha Jina tofauti na Jina lake au baba flani au Mme wangu...Jua apo tatizo lipo Kwa mwanamke....Mwanamke anayempenda mwanaume aliyemzalisha hawezi kumuita ..(HUYU BABA)

  • @Marlin-pb1ru

    @Marlin-pb1ru

    Ай бұрын

    We huna akili nini hujasikia huyo shetani na yeye alivyosema mimi siwezi kuishi na huyu mwanamke si bora haya yeye kasema baba...unajua maumivu ya kutelekezwa na mtoto wewe wanaume wakiachiwa watoto wanapiga kelele mpak mbingu zinatingishika na sisi mjue sio mawe tuna mioyo na tunaumia pia huwezi kumpenda mtu aliyekuacha na mtoto na ndugu zake wanakufukuza nyumbani huwezi broo put your self in her shoes ndo uongee unless na wewe ni shetani kama yeye...

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga99772 ай бұрын

    Arusha watu wanapeana kazi kindugu,Rushwa zimetawala Doh

  • @Ndu-wa.uroony2

    @Ndu-wa.uroony2

    2 ай бұрын

    Kwenda huko kirenga mkubwa wewe?

  • @judithkirenga9977

    @judithkirenga9977

    2 ай бұрын

    @@Ndu-wa.uroony2kula ushibe ndio utanielewa

  • @ridhiwankanjoe2078
    @ridhiwankanjoe20782 ай бұрын

    Hahahahahahahaha kumbea arusha tunaoa kwa soda 😂😂😂😂😂😂

  • @user-ui4qg2kl4f
    @user-ui4qg2kl4f2 ай бұрын

    Huyo afisa ustawi yupo sawa, ila ni presha, ya kuitwa na mkuu wa mkoa.

  • @wemakingdaily1462

    @wemakingdaily1462

    2 ай бұрын

    Sipenda alivyomdhalilisha

  • @AngelRimoy

    @AngelRimoy

    2 ай бұрын

    Kutokujiamini 2

  • @rabsonchisumo6640

    @rabsonchisumo6640

    2 ай бұрын

    Umeona eeh Sheria aijasema ila inaangalia kipato chako kwa unaingizaje kama hauna kazi ni ungaunga kina cha chini huwa wanakadiria elfu 50

  • @josephinelauwo4947

    @josephinelauwo4947

    2 ай бұрын

    Makonda hajabisha ila ametaka ajibu kisomi kwamba kifungu flan no.fln kwa mujib wa sheria ndio aseme

  • @SophiaMwambalaswa
    @SophiaMwambalaswa2 ай бұрын

    Makonda wewe hunaga baya bro mungu akupe umri mrefu maisha marefu kaka chapa kazi hayo ndo ulicho itiwa maua yako nakupa

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n2 ай бұрын

    Makonda the best leader🎉

  • @chikusangalala7759

    @chikusangalala7759

    2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @sawegasper9670
    @sawegasper96702 ай бұрын

    High level of incompetence,what a shame😢

  • @jacqueli18
    @jacqueli18Ай бұрын

    Mapenzi yana siri sana.... imagine huyu mama anamlilia huyo mwanaume 😢😢😢😢😢😢

  • @familytalks1
    @familytalks12 ай бұрын

    Point mtoto atakiwi kuambiwa mabaya ma wazazi. mama pambana mtaji ndo huo sasa.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28962 ай бұрын

    😂😂😂huyu jamaa wa ustawi ni shida

  • @user-th8bo9lu8n

    @user-th8bo9lu8n

    2 ай бұрын

    Sio shida tu aibu 😅😅😅

  • @uwembatvonline

    @uwembatvonline

    2 ай бұрын

    Ni presha

  • @TimothbenardToyibahora

    @TimothbenardToyibahora

    Ай бұрын

    Ni balaa kubwa sana😂😂😂

  • @TimothbenardToyibahora

    @TimothbenardToyibahora

    Ай бұрын

    Huyu jamaA wa ustawi arudi shule, tena arudi form 4F

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119Ай бұрын

    Makonda I wish nifanye kazi na wewe. Yaaani yaaani. Uuuwiii. Nahitaji boss aliyenyooka km wewe. Uuuwi jamanii.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Allah ajaalie mtende haki kwa uwezo wa allah ins

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasamaАй бұрын

    Mm Huwa nikitazama p makonda Huwa nalia sana jisi anavyo juwa kufaliji nakuombea maisha marefu ❤

  • @SophiaNgua
    @SophiaNgua2 ай бұрын

    Elisante huba lilipo kuwa tamu alitoa siri ya shamba😂😂😂😂 huba limeisha anamkana

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16102 ай бұрын

    Kama mtu huna elimu na kitu, achana nacho ustuletee aibu mkutanoni! Unakaa tu unatulia!

  • @mwajabuswedi2252
    @mwajabuswedi225213 күн бұрын

    Mh. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri unayofanya.

  • @user-my5nb9jn2d
    @user-my5nb9jn2d2 ай бұрын

    Mwamba hajasikilizwa.. Ndivyo wanaume tunavyoangamia mbele ya macho ya Watu.. Ameshutumiwa moja kwa moja bila kujitetea. 😢

  • @user-lm5fu5tu5z

    @user-lm5fu5tu5z

    Ай бұрын

    Anitetee na nini wakati amefanya upumbavu mkubwa hv huyo mwanamke unavyomuona anaweza kuwa tofauti na anachokisema.

  • @user-jz3hk5ry4o

    @user-jz3hk5ry4o

    Ай бұрын

    Sure iyo isnhu haina balance mwanaume imekandamizwa

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97172 ай бұрын

    Mmoja katia ajira yakupeana hahahahahahahaa watu

  • @getrudajustine
    @getrudajustineАй бұрын

    MuNGu Mwenyezi akulinde kaka kwa utendaji wako wa kazi kwa wananchi.Nakuombe heri na baraka tele juu yako,Roho Mtakatifu akuzidishie Hekima uendelee kusaidia wananchi ambao ni Taifa la MuNGu.BARIKIWA KATIKA KAZI ZAKO ZOTE UZIFANYAZO.

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde78132 ай бұрын

    Huyu waustawi wa jamii amesoma lakini hajasomea kazi anayoifanya nakubwa zaidi shahiri shahiri haipendi hiikazi anafanya kwakua kunamchirizi wa pesa

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    2 ай бұрын

    hapana yeye hilo sio eneo lake hilo ni jambo la mahakama yeye eneo lake lingine kabisa haoa basi tu ana mabana kkwa sababu jamaa ni mstaarab

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi30912 ай бұрын

    Bado kwangu naomba mungu akupe nafasi kubwa zaidi hii ndogo,mama samia angalia hili jembe

  • @issakamangila4143
    @issakamangila41432 ай бұрын

    Jamaa ame umbuka ile mbaya 😢😢

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2eАй бұрын

    Kiongozi shupavu mungu akuongezee hekima na maisha marefu

  • @faizaabdallah7570
    @faizaabdallah7570Ай бұрын

    Alhamdullilah watching from Uganda ❤❤❤❤❤

  • @emanueldavid1241
    @emanueldavid1241Ай бұрын

    Mungu akubariki sana baba kwa kazi hii nakufuata nikiwa Congo RDC,,,Pia Mungu akulinde mukuu wamukuwa

  • @RuthRobert-vb8vz
    @RuthRobert-vb8vz2 ай бұрын

    Makonda umepewa kibari na Mungu lsaya 54 -1

  • @emmanuelbirindwahabamungu5715
    @emmanuelbirindwahabamungu571527 күн бұрын

    Hakika Mungu wa Tanzania ni Mungu mzima Tanzania mume barikiwa Na viongozi Toka kwa Mungu.

  • @ZuhuraHamadi-py4cu
    @ZuhuraHamadi-py4cu2 ай бұрын

    😭😭nimejikuta Nalia, hata mm nilikataliwa na babawatoto wangu hivi hivi ,nikiwa na watototo wangu mapacha wamwaka 1 na miez 7,nilisikia aibu na uchungu sitasahau,Mbele ya usuluhishi km hiv alisema hivyo hivyo hanihitaji hataki kuishi namimi tena ila atalea watoto tuu,😢🙏Asante mungu mpk leo nimesimama nimungu tuu,

  • @neemaneychricious6493

    @neemaneychricious6493

    2 ай бұрын

    poleee sana dear

  • @RuthMureithi
    @RuthMureithiАй бұрын

    Aki Mheshimiwa njoo Kenya utuongoze jinsi hii. I wish we has such leaders here in Kenya! 🙏

  • @CabdiraxmanDalmar-iv5ft
    @CabdiraxmanDalmar-iv5ft2 ай бұрын

    Makonda mungu akubariki sana ndugu yangu wewe una nia nzuri na watu wako na nchi yako god bless you Leo ningekuwa dar es Salam wlhi nigekuja arusha ku kupongeza lkni niko Somalia

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l2 ай бұрын

    Daaaaah 😭😭😭 wanawake tunapitia changamoto Sana😭😭eee Mungu tulinde wamama wote.

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w2 ай бұрын

    Atakae mtukana makonda tutakunyosha natutakushughulikia

  • @manasecharles894
    @manasecharles8942 ай бұрын

    Ee Mungu tusaidie siku moja Makonda aje kuwa Rais wetu🙏🙏🙏🙏

  • @mscantraah8210
    @mscantraah82102 ай бұрын

    Yes very good huyo ndio anajuwa haki ya raiya very good god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻💪🏻 na kuombea sana

  • @geraldngumbi8415
    @geraldngumbi84152 ай бұрын

    Mungu aendelee kukuongoza ili watanzania woooote wakiri kuwa ni Mungu tu ndiye aliye kusimika kuwa ķiongozi wawatanzania kwa uweza wa Jina la Yesu amen.

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo40272 ай бұрын

    Mi sipendi ccm Ila makonda nimekukubali Sanaa Arusha tumepata kiongozi

  • @VERONICALAIZER-vt3ui
    @VERONICALAIZER-vt3uiАй бұрын

    Huyu dada anaonekana ana hekima sana Mungu aiongeze hiyo hela upate maisha

  • @WitnessNnko-e9j
    @WitnessNnko-e9j6 күн бұрын

    Makonda unaupiga mwingi baba mungu akulinde🎉🎉

  • @Erickkweka05
    @Erickkweka05Ай бұрын

    Well!you are a leader but also an educator

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman34872 ай бұрын

    thanks so much

  • @DaudiMasai
    @DaudiMasaiАй бұрын

    Jamani makonda nakubali sana watokee viongozi kama wa 5 Tanzania itakuwa nchi kweli

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth22822 ай бұрын

    Mungu akulinde Makonda akukinge na kila Hila za adui na akukinge na Maadui waliopanga kukuangusha.

  • @AliceLaizer
    @AliceLaizerАй бұрын

    Hii mhe makonda uko vizur mungu akulinde wakomeshe hao wanaume wanao zalisha watot wawatu

  • @josephinebuxay3392
    @josephinebuxay33922 ай бұрын

    Mh. Makonda Mungu akulinde akuepushe na kila kibaya, uwe Rais wa nchi, kweli unangalia haki.

  • @MaryMatunda-p1f
    @MaryMatunda-p1f20 күн бұрын

    Makonda kijanana mwema wa mama $amia huna baya kaka yetu, mikono ya Mungu ii juu yako kwa kweliii!!!

  • @user-xo3vy7lx5s
    @user-xo3vy7lx5s2 ай бұрын

    Safi sana muheshimiwa Paul Makonda Kwa kuwajibika wanaume mjifunze mnapowaacha wanawake mliowazalisha mnawatesa watoto, na MUNGU hapendi kabisa,watoto wanateseka sana

  • @Fanikiwa
    @Fanikiwa10 күн бұрын

    Makondo Anafaa kugombea ulaisi kwakweli mungu Amaulipe mema

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79402 ай бұрын

    Amazing leadership on movement

  • @AgustinaAlfonce
    @AgustinaAlfonce28 күн бұрын

    Jamani kwanini sisi wanawake tunateswahivi Dh?baba yetu Makonda tunaomba utetee haki za wanawake jamani wa Tanzania 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @WardaKangezi
    @WardaKangezi2 ай бұрын

    Safi sana kaka ungekua rais wanyonge tungepona

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe28 күн бұрын

    Pole mwanamke mwenzangu 😢😢😢 mtu kukukataa mbele yauma dah!!

  • @GiftyMwamwezi
    @GiftyMwamweziАй бұрын

    Mwamba uko poa sana yaan mungu akuzidishie hekima na maongiz

  • @Isackhamka
    @Isackhamka28 күн бұрын

    hakika wewe unafaa hata mungu ana pedezwa na upatanisho lakini kama mtu atakuwa mungumu hasila ya mungu itakuwa juu yake

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g2 ай бұрын

    MWENYEZI MUNGU ainyooshe nakuisafisha njia yako kadri itakavyo MPENDEZA

  • @annejacobilkiuyoni2971

    @annejacobilkiuyoni2971

    2 ай бұрын

    KABISAAA MUNGU AMSAFISHIE

  • @joycemkeka3769

    @joycemkeka3769

    2 ай бұрын

    Amina 🙏

  • @nancyg8664
    @nancyg86642 ай бұрын

    "Sina shughuli nashughulika na shughuli za vibarua", kazi ipo

  • @annejacobilkiuyoni2971

    @annejacobilkiuyoni2971

    2 ай бұрын

    THE BEST LEADER🙏MUNGU AKULINDE SANAA🙏🙏🙏

  • @user-ec2yl7hv6z

    @user-ec2yl7hv6z

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-ex4ro3zw4s
    @user-ex4ro3zw4s14 күн бұрын

    Ngoja namie nirudi moshi nikaamshe na mie timbwili langu maana toka 2009 nalea wanangu mwenyewe mpaka saivi mmoja yupo chuo mwingine yupo form 4 alafu limwanaume linatingisha 1200 zake likijisifia kuwa linawatoto mwanza ngoja nikaonane na Makonda🏃🏃🏃

  • @zeldakahitwa7509
    @zeldakahitwa750929 күн бұрын

    Kweli Mh. Makonda Mbinguni utaingia kirahisi na una nafasi kubwa sana kwenye nchi hii ila Mungu bado anakutengeneza na muda utaongea

Келесі