MTOTO ALIYE BAKWA AMLIZA RC MAKONDA "KANIAMBIYA ATANIUA NIKISEMA""AKAMATWE LEO APELEKWE MAHAKAMANI"

#AdilTV

Пікірлер: 524

  • @JenniferJohnmshi
    @JenniferJohnmshi8 күн бұрын

    Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert47510 күн бұрын

    Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    8 күн бұрын

    Aamin

  • @innocentinyasi9198

    @innocentinyasi9198

    8 күн бұрын

    ​@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢

  • @Walesi-e4v

    @Walesi-e4v

    7 күн бұрын

    Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa

  • @Walesi-e4v

    @Walesi-e4v

    7 күн бұрын

    Yaenda kuungua

  • @FaudhiaAbrahaman

    @FaudhiaAbrahaman

    7 күн бұрын

    Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb12 күн бұрын

    Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    8 күн бұрын

    Aamin

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi743512 күн бұрын

    I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.

  • @mejamiela7436

    @mejamiela7436

    12 күн бұрын

    Alhamdullah

  • @rukiangilla3113

    @rukiangilla3113

    12 күн бұрын

    Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢

  • @wisemaliva5376

    @wisemaliva5376

    12 күн бұрын

    Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie

  • @jacksonjamesndyabawe471

    @jacksonjamesndyabawe471

    12 күн бұрын

    Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri

  • @vickhongole6611

    @vickhongole6611

    11 күн бұрын

    Asante

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf11 күн бұрын

    Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.

  • @TwahaMaziku
    @TwahaMaziku12 күн бұрын

    Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda

  • @DavalsonMarlony

    @DavalsonMarlony

    8 күн бұрын

    uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu

  • @relaxstarman981
    @relaxstarman98110 күн бұрын

    KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉

  • @gloriamagoma5583

    @gloriamagoma5583

    8 күн бұрын

    Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....

  • @melinawilson1383

    @melinawilson1383

    2 күн бұрын

    Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina959911 күн бұрын

    Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda

  • @allykagawa

    @allykagawa

    11 күн бұрын

    Poleni sana ndugu zetu

  • @PrincessNechi

    @PrincessNechi

    9 күн бұрын

    Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    8 күн бұрын

    Amen

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    8 күн бұрын

    Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    8 күн бұрын

    Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe47112 күн бұрын

    Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother

  • @esterjoseph6075

    @esterjoseph6075

    2 күн бұрын

    Umeoneeehh makonda oyeeeeee

  • @user-xt7ue1jo9x
    @user-xt7ue1jo9x12 күн бұрын

    Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto

  • @mwasoprince3459

    @mwasoprince3459

    8 күн бұрын

    Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,

  • @amanihenry7981

    @amanihenry7981

    8 күн бұрын

    Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    8 күн бұрын

    😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa

  • @esterlucassolah8823

    @esterlucassolah8823

    8 күн бұрын

    Exactly

  • @user-ns4oj9cw1j

    @user-ns4oj9cw1j

    8 күн бұрын

    Anyongwe akikamatwa

  • @user-vg7gh6df9w
    @user-vg7gh6df9w13 күн бұрын

    Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako

  • @muhammadmpahi338
    @muhammadmpahi33811 күн бұрын

    Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi

  • @user-rt8ox1ht1m

    @user-rt8ox1ht1m

    8 күн бұрын

    Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon

  • @mamymoria4267

    @mamymoria4267

    6 күн бұрын

    Kabisaa

  • @atuswegemposi1668
    @atuswegemposi16689 күн бұрын

    Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe69659 күн бұрын

    Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa

  • @MannesamEmmah
    @MannesamEmmah8 күн бұрын

    Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake

  • @hassanalshaqsi6707
    @hassanalshaqsi670712 күн бұрын

    Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza666411 күн бұрын

    Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.

  • @neymantz

    @neymantz

    7 күн бұрын

    Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly33798 күн бұрын

    mahakimu wote kukumamee zenuuu....

  • @Ramakhanmalone-lz3qw
    @Ramakhanmalone-lz3qw6 күн бұрын

    nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.

  • @reginamushi
    @reginamushi3 күн бұрын

    Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤

  • @annamtapila5761
    @annamtapila576111 күн бұрын

    😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu972812 күн бұрын

    Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿

  • @EdithaNnko-fm6ph
    @EdithaNnko-fm6ph6 күн бұрын

    Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa

  • @marryjames-wl7be
    @marryjames-wl7be5 күн бұрын

    Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo76110 күн бұрын

    Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et8 күн бұрын

    Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢

  • @MariamJames-b5x
    @MariamJames-b5x11 күн бұрын

    Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana

  • @GreciousMolleli
    @GreciousMolleli6 күн бұрын

    Hili jambo limeniumaaa sanaaah JAMANI mtoto Mdogo JAMANI Kwanini jamaniii😭😭😭😭😭

  • @frankokenyamtumewaneema9179
    @frankokenyamtumewaneema91794 күн бұрын

    Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗

  • @maniriyoali8675
    @maniriyoali867512 күн бұрын

    Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢

  • @henrymatebe

    @henrymatebe

    12 күн бұрын

    Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?

  • @yasirfaisal9723

    @yasirfaisal9723

    12 күн бұрын

    Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha7 күн бұрын

    Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen

  • @SixbertDamo
    @SixbertDamo11 күн бұрын

    Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,

  • @KitalambaMwinyimvuwa
    @KitalambaMwinyimvuwa7 күн бұрын

    yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!

  • @TheSalma1999

    @TheSalma1999

    6 күн бұрын

    Umeona eh hata hawajali kabisa

  • @philipinamboya2204
    @philipinamboya220410 күн бұрын

    Mungu mlinde muheshimiwa makonda

  • @RuckieDady-gk3ph
    @RuckieDady-gk3ph9 күн бұрын

    Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤

  • @MahdouMomba

    @MahdouMomba

    7 күн бұрын

    Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    4 күн бұрын

    Uongozi ni mzigo

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    4 күн бұрын

    ​@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina389311 күн бұрын

    Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina

  • @lucynkonya8709
    @lucynkonya87097 күн бұрын

    Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.

  • @danieljosephodada3195
    @danieljosephodada31957 сағат бұрын

    Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii

  • @kyaro5945
    @kyaro594512 күн бұрын

    I lo❤ve you Makonda

  • @HelmanDaud
    @HelmanDaud11 күн бұрын

    Dah mweshimiwa mungu akulinde

  • @KatabaroCleophace
    @KatabaroCleophace11 күн бұрын

    Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe384411 күн бұрын

    MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.

  • @JacksonEstomi
    @JacksonEstomi7 күн бұрын

    Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala

  • @mpokimwakisimba692
    @mpokimwakisimba6925 күн бұрын

    Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi

  • @MerryUrio
    @MerryUrio10 күн бұрын

    Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde

  • @mpelienock
    @mpelienock3 күн бұрын

    Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi. Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya. It hurts 😢

  • @user-yc1ef1mp3s
    @user-yc1ef1mp3s10 күн бұрын

    Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd4 күн бұрын

    Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia

  • @goodluckjohnuiso-gt1fg
    @goodluckjohnuiso-gt1fg12 күн бұрын

    Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo

  • @dickymediapro4179

    @dickymediapro4179

    11 күн бұрын

    Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo

  • @SamwellubigisaLubigisa
    @SamwellubigisaLubigisa9 күн бұрын

    Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana

  • @teresiatemu4459
    @teresiatemu44595 күн бұрын

    Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana

  • @GetrudesharifuMsuya
    @GetrudesharifuMsuya6 күн бұрын

    Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢

  • @magrethelias8734
    @magrethelias87347 күн бұрын

    Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke

  • @missarepafra3973
    @missarepafra39733 күн бұрын

    Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana. Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu. Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini. Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa. Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.

  • @user-pe9cl1bc7h
    @user-pe9cl1bc7h7 күн бұрын

    Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo

  • @rosemaryogallo4183
    @rosemaryogallo41835 күн бұрын

    Makonda l love you very much Mungu akubariki

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed90637 күн бұрын

    Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora

  • @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
    @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww7 күн бұрын

    Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi6 күн бұрын

    Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania

  • @frankmaeda4284
    @frankmaeda42842 күн бұрын

    Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia

  • @paulinahussen9129
    @paulinahussen91297 күн бұрын

    Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f7 күн бұрын

    Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana

  • @edinakyaruzi9226

    @edinakyaruzi9226

    7 күн бұрын

    Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu

  • @mohammedmakarani2802
    @mohammedmakarani28022 күн бұрын

    Nice one R c makonda mungu atakuongoza

  • @KefaHamisi-k7x
    @KefaHamisi-k7xКүн бұрын

    😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini

  • @EmmanuelMurula
    @EmmanuelMurula8 күн бұрын

    Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika

  • @zulfajuma6894
    @zulfajuma68948 күн бұрын

    Mungu ampe maisha marefu

  • @samsonsanga4368
    @samsonsanga436810 күн бұрын

    Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.

  • @lilianevelyn6977
    @lilianevelyn697720 сағат бұрын

    Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua

  • @marthamwampamba7127
    @marthamwampamba7127Күн бұрын

    Mungu akulinde

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa837213 күн бұрын

    Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....

  • @judithkahise6451
    @judithkahise64517 күн бұрын

    Huyu ni Rais mtarajiwa mtetezi wawanyonge🙏

  • @DattiKassim

    @DattiKassim

    5 күн бұрын

    Sahau

  • @z-1il
    @z-1ilКүн бұрын

    Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia

  • @YefthaKornelio
    @YefthaKornelio11 күн бұрын

    Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu

  • @walterkiage6113
    @walterkiage61138 күн бұрын

    Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar93163 күн бұрын

    Huyu atakuwa Rais wajamuhuri ya Muungano wa Tanzania nimeota ndoto mara 3 Ile Ile Naimani itatimia 🙏

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai31192 күн бұрын

    Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.

  • @ScolaMwansasu
    @ScolaMwansasu8 күн бұрын

    Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu

  • @godlovechaula7635
    @godlovechaula76358 күн бұрын

    Anacho kufanya Makonda kinatakiwa kuigwa naviongozi Kwa kusikiliza kero za watu

  • @neemanjau8648
    @neemanjau864810 күн бұрын

    Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo

  • @NewMarathon
    @NewMarathon11 күн бұрын

    Dah yan nimetika machozi najivunia kuw muislam makanda aijajua din yako lakin allah akulinde sana maana ni vita na maadui hongera sana broo

  • @Umuhili_Ngendo

    @Umuhili_Ngendo

    10 күн бұрын

    Sasa uislam unefikaje hapa??

  • @theopistachialo6750

    @theopistachialo6750

    10 күн бұрын

    ​@@Umuhili_NgendoNashangaa

  • @JULIUSNCHAGWA

    @JULIUSNCHAGWA

    9 күн бұрын

    Hapa ndo mahali nawadharau Waislamu mnakuaga na mawenge Yan kila kitu mnaweka udini mbelee

  • @FrankPhilimon-e3n
    @FrankPhilimon-e3n3 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda

  • @TynerGodfrey
    @TynerGodfrey9 күн бұрын

    Mungu akulinde makonda

  • @EduLimika
    @EduLimika6 күн бұрын

    So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable

  • @MiliyaMhehe
    @MiliyaMhehe8 күн бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y12 күн бұрын

    Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto

  • @anointedhandmaiden5261
    @anointedhandmaiden526110 күн бұрын

    I hurt deeply for the little one. May justice prevail in Jesus Name

  • @JeannetteUwamwezi
    @JeannetteUwamwezi7 күн бұрын

    Oooohhh nimeumia jamani hivi kweli mahakama kama hiyo imechunguza au wamekura rushwa

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula267912 күн бұрын

    Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤

  • @malcomx4067
    @malcomx40673 күн бұрын

    Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.

  • @RooneyKonga-qd4oo
    @RooneyKonga-qd4oo18 сағат бұрын

    Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia794010 күн бұрын

    My leader makonda Mungu akusimamie

  • @omariselemani6578
    @omariselemani657813 күн бұрын

    Nihatari sana tanzania Jamani

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz85477 күн бұрын

    Pole bibi 😭 the world is so cruel wallah

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd4 күн бұрын

    Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.

  • @user-ct1lf6ox4t
    @user-ct1lf6ox4t7 күн бұрын

    Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi187810 күн бұрын

    Wanyonge wanaumizwa Sana nchi hii! Hongera RC

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen336411 күн бұрын

    MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.

  • @Asha-yn4bu
    @Asha-yn4bu5 күн бұрын

    Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K

  • @CastoSungununu
    @CastoSungununu9 күн бұрын

    Tuwe na Imani vijana tusiaribu vizazi vipya ni taifa la kesho

  • @edinakyaruzi9226

    @edinakyaruzi9226

    7 күн бұрын

    Kweli kabisa watoto wa nini jamani majidada mengi sana Yana taka miguu ya bandia hata bure watoto wa nini

  • @user-wp2dc3dr3w
    @user-wp2dc3dr3w8 күн бұрын

    Watz mko nawa tetezi sio kma kwetu Kenya aki😢😢😢

Келесі