Umati wa MWAMPOSA wamshangaza RC CHALAMILA,afunguka MAZITO ''kama ni UCHAWI ata mimi usingenifikia''

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 412

  • @aghamedia
    @aghamedia6 күн бұрын

    Speech Yako mkuu ni nzr sana umenena vyema

  • @kingswebe3251
    @kingswebe32513 күн бұрын

    Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini99916 күн бұрын

    Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi

  • @hboywasasa
    @hboywasasa6 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila

  • @victorwilliam9987
    @victorwilliam99875 күн бұрын

    ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana

  • @suzysam6002
    @suzysam60024 күн бұрын

    Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie

  • @edwinamos9734
    @edwinamos97346 күн бұрын

    Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.

  • @VitusMagobe

    @VitusMagobe

    Күн бұрын

    Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy15236 күн бұрын

    Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu

  • @Bilioneabichwa331

    @Bilioneabichwa331

    3 күн бұрын

    Pumbav, yaani akuinue mwamposa?

  • @othmanmaulid4867

    @othmanmaulid4867

    3 күн бұрын

    Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga

  • @terezadotto5458
    @terezadotto54584 күн бұрын

    Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana

  • @HASASON
    @HASASON6 күн бұрын

    Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini

  • @davidsamson8292

    @davidsamson8292

    6 күн бұрын

    Imani yako imekuponya

  • @Henricovicent

    @Henricovicent

    6 күн бұрын

    Machawa wa Mwamposa utawajua tu.

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    6 күн бұрын

    Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu

  • @Henricovicent

    @Henricovicent

    6 күн бұрын

    @@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.

  • @BakariAlly-dm1vf

    @BakariAlly-dm1vf

    6 күн бұрын

    😂😂

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98986 күн бұрын

    Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61736 күн бұрын

    AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA

  • @Maryc2G

    @Maryc2G

    5 күн бұрын

    @@saxannjo6173 yes 👍🏽

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi32156 күн бұрын

    Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno2583 күн бұрын

    Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.

  • @happynkya9770

    @happynkya9770

    2 күн бұрын

    Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi

  • @Maryc2G
    @Maryc2G6 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿

  • @shijandobehe4953

    @shijandobehe4953

    6 күн бұрын

    @@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu

  • @Maryc2G

    @Maryc2G

    6 күн бұрын

    @@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.

  • @martinisadru9899

    @martinisadru9899

    5 күн бұрын

    ​@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,

  • @martinisadru9899

    @martinisadru9899

    5 күн бұрын

    ​@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.

  • @shijandobehe4953

    @shijandobehe4953

    4 күн бұрын

    kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo94936 күн бұрын

    Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏

  • @hamisisaidi9069

    @hamisisaidi9069

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @badirashid4668

    @badirashid4668

    4 күн бұрын

    😂

  • @wadantz123

    @wadantz123

    4 күн бұрын

    We jamaa muongo😂😂😂😂

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo5 күн бұрын

    Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    kweli ili waendelee kuturoga

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo97986 күн бұрын

    Huyu jamaa anakubalika sana not a joke

  • @benmbwele
    @benmbwele5 күн бұрын

    Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui. Chalamila ni mmojawapo. Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70742 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.

  • @TumsifuErick
    @TumsifuErick2 күн бұрын

    Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu

  • @user-st3ws1ns5g
    @user-st3ws1ns5gКүн бұрын

    Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso4 күн бұрын

    Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati3368 сағат бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu🙏🏾👏

  • @mudywaya328
    @mudywaya3286 күн бұрын

    mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥

  • @ruahahilltoplodge
    @ruahahilltoplodge5 күн бұрын

    Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..

  • @vicentpantaleo5837

    @vicentpantaleo5837

    4 күн бұрын

    Kibal gan nisili yke zinduka

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni89976 күн бұрын

    YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

  • @DjMswati

    @DjMswati

    6 күн бұрын

    kweli broo

  • @HamduniYasir

    @HamduniYasir

    6 күн бұрын

    Hamad Shein 😂😂😂

  • @luotagwabt7730

    @luotagwabt7730

    6 күн бұрын

    Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.

  • @gosbertbuberwa6198

    @gosbertbuberwa6198

    6 күн бұрын

    ​@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!

  • @corrolesscps

    @corrolesscps

    6 күн бұрын

    Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka

  • @VictoriaNgatunga-nm9py
    @VictoriaNgatunga-nm9py3 күн бұрын

    Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester6 күн бұрын

    Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake

  • @eunicejohn5520

    @eunicejohn5520

    6 күн бұрын

    Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats6 күн бұрын

    Watu wana shida mzeee wangu.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_49366 күн бұрын

    Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya

  • @kessiahLutungulu-t3s
    @kessiahLutungulu-t3sКүн бұрын

    Baba mungu akupe maisha milioni

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe49536 күн бұрын

    Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu

  • @user-ez1ky4ls7c

    @user-ez1ky4ls7c

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂kabisa

  • @shijandobehe4953

    @shijandobehe4953

    6 күн бұрын

    @@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥

  • @user-ur7pw9ek6s

    @user-ur7pw9ek6s

    5 күн бұрын

    Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂

  • @Kelvinjoseph-jz7kq

    @Kelvinjoseph-jz7kq

    5 күн бұрын

    @@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm

  • @ce-08

    @ce-08

    5 күн бұрын

    Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu

  • @user-us1mh8zw1v
    @user-us1mh8zw1v6 күн бұрын

    Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff

  • @salummahanzar6714
    @salummahanzar67143 күн бұрын

    RC chalamila nakukubali Sana kaka

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester6 күн бұрын

    Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    6 күн бұрын

    Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle

  • @stanleymissiontv2303

    @stanleymissiontv2303

    6 күн бұрын

    Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    6 күн бұрын

    @@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣

  • @AgnesNjau-iq3gf

    @AgnesNjau-iq3gf

    4 күн бұрын

    Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....

  • @martinlema4192
    @martinlema4192Күн бұрын

    Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22326 күн бұрын

    Chalamila leo umenifuraisha sana

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda75743 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen

  • @ShabanMainde
    @ShabanMainde3 күн бұрын

    Alikusanya dunia sio kijiji😮

  • @lusogoalbert138
    @lusogoalbert138Күн бұрын

    DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62205 күн бұрын

    Kazi kazi

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami50962 күн бұрын

    Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi15 күн бұрын

    Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa45636 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa upo vizuri sana

  • @babajay3445
    @babajay34456 күн бұрын

    Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe

  • @josephdimosso6380

    @josephdimosso6380

    5 күн бұрын

    Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

  • @josephdimosso6380

    @josephdimosso6380

    5 күн бұрын

    Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

  • @PrudencePaul-mr1ge

    @PrudencePaul-mr1ge

    4 күн бұрын

    Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa

  • @calvinpaul2171

    @calvinpaul2171

    3 күн бұрын

    Kwel kabxaa

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani

  • @Dema_Tours
    @Dema_Tours4 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu

  • @yaluclile566
    @yaluclile5665 күн бұрын

    Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e4 күн бұрын

    Namuona magufuli wa badae

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri6 күн бұрын

    Salaam Almassih, Yeshua akibar

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa4 күн бұрын

    Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6t5 күн бұрын

    Mtu wa maaana kabisa chalamila

  • @FurahiniMbise-cb6uf
    @FurahiniMbise-cb6uf4 күн бұрын

    Ameeen and ameen

  • @joshuaezekiel8257
    @joshuaezekiel82573 күн бұрын

    Ameen kubwa mkuuu wetu

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en6 күн бұрын

    Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa Sisi ndio wabongo Bana Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?

  • @MagrethSudy
    @MagrethSudyКүн бұрын

    Pamoja mtumishi

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f6 күн бұрын

    Watu wengi kama utitiri

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise25956 күн бұрын

    Jina la bwana libarikiwe.

  • @dismaboytz4849
    @dismaboytz48496 күн бұрын

    Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa

  • @MuniraShughuli-kc7vj

    @MuniraShughuli-kc7vj

    6 күн бұрын

    Ovyooo

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    6 күн бұрын

    Na ujinga pia unatuponza

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    5 күн бұрын

    Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.

  • @ashuramuhammed3257

    @ashuramuhammed3257

    5 күн бұрын

    Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena

  • @upendomwakalibule
    @upendomwakalibule6 күн бұрын

    Ameeeeeeen

  • @akidahabibu7862
    @akidahabibu78627 сағат бұрын

    maokoto kaisha chukua ya mwamposa sema kaongea point ila mwamposa bado kwangu niwa mchongo akili nyingi sana.

  • @user-yh8ny1nf3f
    @user-yh8ny1nf3f5 күн бұрын

    Maneno ya upako

  • @jaromemwazembe6396
    @jaromemwazembe63966 күн бұрын

    Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.

  • @ChristopherNgubiagai

    @ChristopherNgubiagai

    6 күн бұрын

    Undisha wewe labda niwitowako achakujitia wewe ndie unamjuamungu saaana fuatayako

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂

  • @ChristopherNgubiagai

    @ChristopherNgubiagai

    4 күн бұрын

    @Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    @@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro

  • @ChristopherNgubiagai

    @ChristopherNgubiagai

    3 күн бұрын

    @Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw6 күн бұрын

    Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake

  • @MaurenEmmanuely-nc9id

    @MaurenEmmanuely-nc9id

    6 күн бұрын

    Ww umetubu nyoko ww

  • @ezekiakiwovele7794

    @ezekiakiwovele7794

    6 күн бұрын

    Fungua na wew

  • @maryamtanzania9743

    @maryamtanzania9743

    6 күн бұрын

    Hivi hawa watu huwa siwaelewi wenyewe yesu ndo wanamuita mngu au

  • @bonifasiemanueli21

    @bonifasiemanueli21

    6 күн бұрын

    Kiukweli mwamposa Yuko upande wA shetani,

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    Atubu kwani amekokesea nin

  • @yaluclile566
    @yaluclile5665 күн бұрын

    Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee6 күн бұрын

    Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    6 күн бұрын

    Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?

  • @shongatv1224

    @shongatv1224

    6 күн бұрын

    ​@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    6 күн бұрын

    @@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    4 күн бұрын

    @@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    4 күн бұрын

    @@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu56546 күн бұрын

    Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo

  • @isaackambofi1241

    @isaackambofi1241

    6 күн бұрын

    We chiz

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    pambana na hali yako

  • @tseaamaqhamarabura7138
    @tseaamaqhamarabura71384 күн бұрын

    Dar imepata RC hakika

  • @mrsmussa115
    @mrsmussa1156 күн бұрын

    ujinga ni mzigo Allah atuongoze

  • @omytifa6403

    @omytifa6403

    6 күн бұрын

    Ameen

  • @tanzanianpatriotic3532

    @tanzanianpatriotic3532

    6 күн бұрын

    Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.

  • @luotagwabt7730

    @luotagwabt7730

    6 күн бұрын

    Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???

  • @pastadandan3569

    @pastadandan3569

    6 күн бұрын

    Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi

  • @gosbertbuberwa6198

    @gosbertbuberwa6198

    6 күн бұрын

    ​@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline63666 күн бұрын

    Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥

  • @Beauthoms

    @Beauthoms

    6 күн бұрын

    Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    6 күн бұрын

    We mwenyewe zezeta au hujajiua?

  • @gelarisjonathan7081
    @gelarisjonathan70816 күн бұрын

    Çhalamira mbona muhubiri mzuri

  • @mpjozzegalvanize4926

    @mpjozzegalvanize4926

    6 күн бұрын

    Ana tone ya kuhubiri kabisa

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2776 күн бұрын

    Hapo ni wanawake ni wengi sn

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini

  • @happynkya9770
    @happynkya97702 күн бұрын

    Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og57196 күн бұрын

    Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa

  • @PaulinaOtaigo-cr3sq

    @PaulinaOtaigo-cr3sq

    6 күн бұрын

    Kufa kufaana

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky6 күн бұрын

    Duh

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyiКүн бұрын

    Watu wanapenda miujiza kuliko neno

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano99916 күн бұрын

    Mwamposa ni asset kwa wanasiasa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x6 күн бұрын

    Haya mambo haya hatutoboi hata miaka 100. Watu wamejikita kwenye hamna kuliko kufanya kazi eti mpo kwenye maombi. Fanya kazi omba mungu hata pekeyako atakusikia tu.

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    5 күн бұрын

    Kumbuka hapo ndiyo kulikuwa na kiwanda cha nyama Tanganyika Packers, l

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    Wameamua wenyewe wakiwa na akili timamu, wewe unaumia nn?

  • @PrinceCharlz-vv1zs
    @PrinceCharlz-vv1zs6 күн бұрын

    waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida

  • @omytifa6403

    @omytifa6403

    6 күн бұрын

    Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    6 күн бұрын

    Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa

  • @user-cq4lp5rv1l

    @user-cq4lp5rv1l

    6 күн бұрын

    Mungu wako sisi waislam hatuna mungu

  • @omytifa6403

    @omytifa6403

    6 күн бұрын

    @@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    @@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya4386 күн бұрын

    Ukovizuri mr copypest.

  • @consolatamaunde9820
    @consolatamaunde98204 күн бұрын

    Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda27346 күн бұрын

    Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    6 күн бұрын

    Yani wewe akili yako imeishia hapo

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    6 күн бұрын

    Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.

  • @ambakisyemwakinunu2002

    @ambakisyemwakinunu2002

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    6 күн бұрын

    Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    ufahamu wako kiwango cha chini kabisa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54816 күн бұрын

    Innarilah wainahilah rajiun

  • @Nick16697

    @Nick16697

    6 күн бұрын

    Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..

  • @SharifTwahirAbdullqadir

    @SharifTwahirAbdullqadir

    5 күн бұрын

    Nailo ndo guza lenyewe​@@Nick16697

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu. Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana. Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye

  • @MozaSihha
    @MozaSihha5 күн бұрын

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv11676 күн бұрын

    Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi

  • @MwalimuJelly
    @MwalimuJelly6 күн бұрын

    Amen

  • @HappinessMsham
    @HappinessMshamКүн бұрын

    ❤❤

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye94876 күн бұрын

    Hosea 4;6 watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa! Kwa hapo your done

  • @PrinceCharlz-vv1zs

    @PrinceCharlz-vv1zs

    6 күн бұрын

    kumuabudu Mungu ni kukosa maarifa sibora kwenda kwenye maombi kuloko kwenda kujiuza au baa kulewa

  • @leonardjackson269

    @leonardjackson269

    6 күн бұрын

    Tuambie wamekosa maarifa gan hapo.

  • @ce-08

    @ce-08

    5 күн бұрын

    ​@@leonardjackson269 Hajui anachokiongea huyo mstali wenyewe amekalili

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    ​@@PrinceCharlz-vv1zsHajui hata maana ya huo mstari

  • @othmanmaulid4867

    @othmanmaulid4867

    3 күн бұрын

    @@leonardjackson269Kutumia amafuta ya upako sijui mchanga wa israseli sijui Fagio ya upako vyote hivyo sio kumuabudu mungu

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo77393 күн бұрын

    RC UMESAHAU AU HAUJUI KUWA MAANDIKO YANATIMIA SOMA MATHAYO 7:13 "NJIA IENDAYO UTOTEVUNI NI PANA, NAO NI WENGI WAIPITATOOO.

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf5 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj6 күн бұрын

    Astaghafirullah

  • @luotagwabt7730

    @luotagwabt7730

    6 күн бұрын

    Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo

  • @Nick16697

    @Nick16697

    6 күн бұрын

    ​@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar

  • @AGM19697

    @AGM19697

    3 күн бұрын

    ​@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?

  • @barakalameck7342
    @barakalameck73426 күн бұрын

    Mungu awasaidie watu wake wanaangamia sana kwakuamini manabii hawa..ila mungu hadhihakiwi nawaambia kua mungu atawasambalatisha mmoja baada ya mwingine ole wenu acheni kucheza na mungu.

  • @Nick16697

    @Nick16697

    6 күн бұрын

    Omba Mungu akupe rehema ya kumjua yeye na taratibu zake

  • @barakalameck7342

    @barakalameck7342

    5 күн бұрын

    ​@@Nick16697Tunamambo mengi sana yakumwomba mungu, ikiwemo kuombea taifa nasio kuomba kumjua mtu zaidi chakukushauli nikwamba umwombe mungu kumjua yeye zaidi ndo utajua maana yayote hayo unayoyaona duniani unaishi kwaamani sana nakumwamini yeye siyokuamini mitume na manabii??

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    mungu ndie anaehukumu wewe umepata wapi ujasiri wa kutoa hukumu kua makini isije akarudi kwako 😊

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    Ujinga unakusumbua msiwe mna musisha Mungu kwenye upumbavu wa akili zenu

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70742 күн бұрын

    AMEN🙏🙏

  • @user-ii1gz2it4c
    @user-ii1gz2it4c5 күн бұрын

    🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry6 күн бұрын

    kweli njia ni pana sana

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi6 күн бұрын

    Niwatahadhalishe, huyo ni Mchawi kama wachawi wengine, na anawakokota kuwapeleka kuzimu. Poleni.

  • @Maryc2G

    @Maryc2G

    6 күн бұрын

    @@EmmanueliZani-ur9bi neno la kuambiwa ongeza na lako pia uchunguze, muombe wa bwana akuongoze

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    hongera uliefika mbinguni hongera sana ambae huna zambi hata moja

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    Itakua na wewe ni mchawi na mnafanya wote uchawi tofauti na hapo kaa kimya usije ukahukumiwa bure

  • @jacksonmbonea7411
    @jacksonmbonea74116 күн бұрын

    Ambae haamini nguvu yamadhabahu hii namuonea huruma,Yesu anafanyakazi kuliko kawaida katika huduma hii

  • @user-xd1zk7tq4p

    @user-xd1zk7tq4p

    6 күн бұрын

    Mimi siamini kabisa Ila nitaanza kuwamini

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    6 күн бұрын

    Mimi siwaelewi mnaabudu yesu aw mungu

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    6 күн бұрын

    Unajuaje kama ni Yesu anayetenda kazi!? Hujawahi soma Yesu alivyowajibu wenye mtazamo kama wako kwamba tuliponya kwa jina lako, Yesu akawaambia ondokeni kwangu sikuwatambua?

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    6 күн бұрын

    @@RubenMtuwaMungu-bz8ee tatizo ndugi zetu wanaabudu yesu hawaabudu mungu anavyo taka mungu wanaabudu wanavyo taka wao

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma49326 күн бұрын

    Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...

  • @karimjuma4019
    @karimjuma40196 күн бұрын

    Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa

  • @NashonJunior-or5eh
    @NashonJunior-or5eh5 күн бұрын

    Sijawai ona akihubir watu waache dhambii

  • @Leeeeeeee-96

    @Leeeeeeee-96

    4 күн бұрын

    una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    3 күн бұрын

    Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu

Келесі