Kikwete akumbushia ukaribu wake na Manji, akumbushia misukosuko iliwahi kumkuta Manji

Спорт

“Baba yake Mehbub Manji ndiye alikuwa rafiki yangu” maneno ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisimulia ukaribu wake na aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga SC, marehemu Yusuf Manji.
Kikwete anasema Yusuf Manji alikuwa ni kama mwanae kutokana na ukaribu aliokuwa nao yeye na baba yake Mehbub Manji.
Rais huyo mstaafu wa Tanzania amesimulia pia namna Yusuf Manji alivyokuwa akimshirikisha nyakti za misukosuko na yeye alikuwa akimtuliza.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер: 44

  • @nuhuallyzsung
    @nuhuallyzsung7 күн бұрын

    Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine

  • @lindatogether
    @lindatogether7 күн бұрын

    Very humble man. Live long Jakaya

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z8 күн бұрын

    Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv8 күн бұрын

    Duuu dunia inamengi sana

  • @stn4873
    @stn48738 күн бұрын

    Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂

  • @Coffted

    @Coffted

    6 күн бұрын

    Chakaram sana

  • @stn4873

    @stn4873

    6 күн бұрын

    @@Coffted Since wayback.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828Күн бұрын

    Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba

  • @samgaya
    @samgaya7 күн бұрын

    Jk yuko humble sana

  • @lindatogether

    @lindatogether

    7 күн бұрын

    Sana

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses68608 күн бұрын

    Hongera sana

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu20767 күн бұрын

    Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby

  • @user-zz5ng1yb8d

    @user-zz5ng1yb8d

    6 күн бұрын

    Amiiin

  • @abednego3876
    @abednego38767 күн бұрын

    Raisi wa matajiri bwn.

  • @hassanimlacha8479
    @hassanimlacha84794 күн бұрын

    Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz

  • @shabanrufumbo3701
    @shabanrufumbo37018 күн бұрын

    daaah mzeee yupo real sana muungwana sana

  • @hamisimuhunzi7916

    @hamisimuhunzi7916

    5 күн бұрын

    hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j5 күн бұрын

    Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi

  • @AndrewMtweve-pm7gl
    @AndrewMtweve-pm7gl7 күн бұрын

    Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa

  • @RahimhalmasRahimhalmas
    @RahimhalmasRahimhalmasКүн бұрын

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr

  • @georgesolos344
    @georgesolos3447 күн бұрын

    Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.

  • @edithamboya5016

    @edithamboya5016

    5 күн бұрын

    We ungekataa? Punguza makasiriko !!

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    4 күн бұрын

    ​@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego77038 күн бұрын

    Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    7 күн бұрын

    Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75838 күн бұрын

    Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa

  • @OmariZayo
    @OmariZayo5 күн бұрын

    Mungu akupe maisha marefu jakaya

  • @denismasele4130
    @denismasele41306 күн бұрын

    Kuna comment naitafta siioni😢

  • @DM_15
    @DM_159 сағат бұрын

    Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz7 күн бұрын

    Mzee hongera sana umelea wengi

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly6 күн бұрын

    😢😢

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n8 күн бұрын

    Allahumma Ameen

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz7 күн бұрын

    Makubwaaa

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk8 күн бұрын

    Innalillah wainna ilayhi Rajuun

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban12038 күн бұрын

    Poleni sana familia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything8 күн бұрын

    👍✌️🙏

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila5 күн бұрын

    Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna98212 күн бұрын

    Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j5 күн бұрын

    Mbona ya madawa husemi?

  • @maylusasi1239
    @maylusasi12398 күн бұрын

    Chakaramu sana 😂😂😂

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t5 күн бұрын

    Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.

  • @JoshuaSabu-r2p

    @JoshuaSabu-r2p

    Күн бұрын

    Unaushahid ndg

  • @gaspermatovu2899
    @gaspermatovu28994 күн бұрын

    Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!! Yusufu papa wa hadaway ya ...... Ndege wa ranging moja hutembea pamoja. Za mbayuwayu changing na zako.

  • @RahimhalmasRahimhalmas
    @RahimhalmasRahimhalmasКүн бұрын

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr

Келесі