Kikwete akumbushia ukaribu wake na Manji, akumbushia misukosuko iliwahi kumkuta Manji
Спорт
“Baba yake Mehbub Manji ndiye alikuwa rafiki yangu” maneno ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisimulia ukaribu wake na aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga SC, marehemu Yusuf Manji.
Kikwete anasema Yusuf Manji alikuwa ni kama mwanae kutokana na ukaribu aliokuwa nao yeye na baba yake Mehbub Manji.
Rais huyo mstaafu wa Tanzania amesimulia pia namna Yusuf Manji alivyokuwa akimshirikisha nyakti za misukosuko na yeye alikuwa akimtuliza.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji
Пікірлер: 44
Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine
Very humble man. Live long Jakaya
Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .
Duuu dunia inamengi sana
Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂
@Coffted
6 күн бұрын
Chakaram sana
@stn4873
6 күн бұрын
@@Coffted Since wayback.
Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba
Jk yuko humble sana
@lindatogether
7 күн бұрын
Sana
Hongera sana
Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby
@user-zz5ng1yb8d
6 күн бұрын
Amiiin
Raisi wa matajiri bwn.
Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz
daaah mzeee yupo real sana muungwana sana
@hamisimuhunzi7916
5 күн бұрын
hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja
Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi
Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.
@edithamboya5016
5 күн бұрын
We ungekataa? Punguza makasiriko !!
@ilynpayne7491
4 күн бұрын
@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza
Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂
@leokamil6284
7 күн бұрын
Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani
Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa
Mungu akupe maisha marefu jakaya
Kuna comment naitafta siioni😢
Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa
Mzee hongera sana umelea wengi
😢😢
Allahumma Ameen
Makubwaaa
Innalillah wainna ilayhi Rajuun
Poleni sana familia
👍✌️🙏
Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.
Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM
Mbona ya madawa husemi?
Chakaramu sana 😂😂😂
Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.
@JoshuaSabu-r2p
Күн бұрын
Unaushahid ndg
Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!! Yusufu papa wa hadaway ya ...... Ndege wa ranging moja hutembea pamoja. Za mbayuwayu changing na zako.
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr