Nilimnyang'anya Kikwete Mic Nikamzuia Kuongea - Dr Slaa

Dr Willibrod Slaa kwenye mahojiano maalum na Power Breakfast ya Clouds FM

Пікірлер: 23

  • @abuukarata9653
    @abuukarata965312 күн бұрын

    Mpuuzi Sana huyu Mzee.

  • @MariamMasunga-v7n
    @MariamMasunga-v7n12 күн бұрын

    Mnafiki namba moja

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga95097 күн бұрын

    anaenda na upepo huyu mzee hatabiliki wala hatumwamini kabsa

  • @zumbembwana5693
    @zumbembwana569311 күн бұрын

    Dr. anaongea uongo! Founder wa ccbrt ni mdachi mmoja anaitwa Vanestee. Labda aseme yeye ni co-founder kwa kuwa Vanestee alikuwa ni foreigner.

  • @ibrahimmbarouk1564
    @ibrahimmbarouk15649 күн бұрын

    Hata hapo anaendelea kupiga siasa, mzee Slaa yeye ilimradi Tonge iende kinywani -ukamnyang'anye rais kipaza sauti hao walinzi hawajamparuza na hiyo ndiyo ingekuwa habari ya kutrend isiyosahalika...!

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo446013 күн бұрын

    TUNAKUELEWA MZEE. FUNGUA CHAMA NA TUKO NYUMA YAKO.

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko254613 күн бұрын

    Pazuri ndio umepakata.

  • @LeiyoKippi
    @LeiyoKippi13 күн бұрын

    Mbn ulikimbia kwa ability kuhongwa na ccm

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe8149 күн бұрын

    Muongo huyo

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome63912 күн бұрын

    Sawa Lakini Umekwisha KABISA kisiasa.

  • @AssociationofPhilosophy
    @AssociationofPhilosophy13 күн бұрын

    CCBRT HONGERA SANA

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    13 күн бұрын

    Ni yake au?

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo13 күн бұрын

    Hakuna kitu wote wapigaji tu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729512 күн бұрын

    Huyu mzee mhuni tu

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu12 күн бұрын

    HUNA jipya

  • @Myunani_DivineStudios
    @Myunani_DivineStudios13 күн бұрын

    Tutatambuana mbele matembezini😂

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman925313 күн бұрын

    katika wazee wapuuzi huyu ni mmoja wapo.

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    13 күн бұрын

    Uwezi kuwa kusema fulani mchawi bila ya kuwa na wewe mchawi. Kudi la wapuuzi utakuwemo?

  • @adamlubawa1281

    @adamlubawa1281

    13 күн бұрын

    Saaana yaani hajielewi

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    13 күн бұрын

    Kwakweli ni punguani

  • @corporatethugsent7380

    @corporatethugsent7380

    13 күн бұрын

    Mwanangu sure aseenagonga like kwako.ni kweli anejituma mengi kuliko kawaida but ni mzee mmoja mavi sana kwa ile kitu alotulostisha watanzania duni mwaka 2015.yan ata atage anye akojoe hatakuja kushinda kuushinda ule uchaguzi ...emb acha nkasikilize ngoma yangu ya Chief Duke na Niki mbishi na Beka asee sio ushenzi huu wa kujifanya fundi wa maelimu na ujuaji wakati kiila simu wasomi wabaturudisha tuu nyuma acha ni baki na risasi za tundu lissu nijue kuna mungu na kuokoka kwa Mpina kumfata mungu japo alikua mule mule but hata bangi hua inaachwa big up mpina but slaa haachi usenge wake miaka nenda rudi.adi inaboa kutupa vitukio vyake vya ushujaa vilivopitaga kitamboo wakati mwisho alisaliti tuu kisa demu wake

  • @ustawiwetu

    @ustawiwetu

    12 күн бұрын

    Kama ulijaliwa kwenda shule usingesema hayo

  • @rashidsaid6015
    @rashidsaid601513 күн бұрын

    Ni kweli mzee slaa lkn hiyo kumpoka maiki io kwel hakun anaethubuty kwa mfumo.wa nchi.hii

Келесі