BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?

#TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 35

  • @DullahKalanje
    @DullahKalanje18 күн бұрын

    Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw4 күн бұрын

    Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph78773 күн бұрын

    ✌️

  • @user-on5cj4mj6s
    @user-on5cj4mj6s18 күн бұрын

    Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz4 күн бұрын

    Mungu wangu. Mmmmh ee mungu tuonee huruma sisi wanyonge ambao tupo hapa duniani kwa mpango wako. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa tuhurumie mungu.

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe78225 күн бұрын

    Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli

  • @MatayoLekitonyi
    @MatayoLekitonyi8 күн бұрын

    Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon17 күн бұрын

    Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢

  • @zhaozlyoung
    @zhaozlyoung21 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter20 күн бұрын

    Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum200419 күн бұрын

    Mungu wangu duuu tutakoma

  • @obednyagani506
    @obednyagani50619 күн бұрын

    Pambana lissu tunakutegemea

  • @kisinza6077
    @kisinza607715 күн бұрын

    Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r21 күн бұрын

    Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma655219 күн бұрын

    Shida

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y15 күн бұрын

    Du! Hatari

  • @daudysanga8492
    @daudysanga849220 күн бұрын

    Huyu jamaa akili kutwa sana

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830818 күн бұрын

    Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c8 күн бұрын

    Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂

  • @Mwalazanyi
    @Mwalazanyi7 күн бұрын

    Tutajuana tu

  • @binismail2029
    @binismail202920 күн бұрын

    Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu

  • @amosdickson6318

    @amosdickson6318

    19 күн бұрын

    Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo Acha ulevi huooo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz519221 күн бұрын

    Hatar kubwa hii

  • @user-uh3eg5cj2r

    @user-uh3eg5cj2r

    21 күн бұрын

    Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum200419 күн бұрын

    Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo21 күн бұрын

    Serkali hiii!! "

  • @amosdickson6318
    @amosdickson631819 күн бұрын

    Hii serikari itajifunza lini

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine652616 күн бұрын

    Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?

  • @martinisadru9899
    @martinisadru989921 күн бұрын

    👍🇹🇿💪🔥

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja36447 күн бұрын

    KUNDULISU shujaa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376412 күн бұрын

    LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari305720 күн бұрын

    Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum200419 күн бұрын

    Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu

  • @allymusira2153
    @allymusira215318 күн бұрын

    Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje

Келесі