BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?
#TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 35
Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu
Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu
✌️
Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!
Mungu wangu. Mmmmh ee mungu tuonee huruma sisi wanyonge ambao tupo hapa duniani kwa mpango wako. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa tuhurumie mungu.
Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli
Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮
Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢
❤❤❤❤❤
Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza
Mungu wangu duuu tutakoma
Pambana lissu tunakutegemea
Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.
Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!
Shida
Du! Hatari
Huyu jamaa akili kutwa sana
Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .
Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂
Tutajuana tu
Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu
@amosdickson6318
19 күн бұрын
Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo Acha ulevi huooo
Hatar kubwa hii
@user-uh3eg5cj2r
21 күн бұрын
Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!
Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi
Serkali hiii!! "
Hii serikari itajifunza lini
Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?
👍🇹🇿💪🔥
KUNDULISU shujaa
LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!
Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu
Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu
Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje