WAKILI KIBATALA ATOA TAMKO KALI SAKATA LA WAKILI MWABUKUSI, "NI AIBU KWA NCHI, TUNAONEKANA WAJINGA"
Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZread Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Жүктеу.....
Пікірлер: 43
@ramadhanmahongole929312 күн бұрын
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
@user-pf2qk8fz9o12 күн бұрын
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
@kakawataifa675212 күн бұрын
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
@user-zu8ou2oe4c12 күн бұрын
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
@ceciliamagalabajimmy439112 күн бұрын
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
@user-gy5gu1mn4x12 күн бұрын
Mabukusi oyeeeeee
@mlangotv846512 күн бұрын
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
@user-fx3xj3on5j12 күн бұрын
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
@user-fx3xj3on5j12 күн бұрын
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
@user-cz4pu9py5s12 күн бұрын
Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea
@ibrahimkibira994312 күн бұрын
Safi sana this our country 😢 😞
@user-ii7yw9ng5d12 күн бұрын
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
@anosiata824211 күн бұрын
Safi sana kibatala umeongea point
@SundaySteven-bz4yq12 күн бұрын
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
@janethpallangyo385511 күн бұрын
Kibatala❤❤❤❤❤❤
@generosennko834311 күн бұрын
As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri
@user-fw6dp9iy4i10 күн бұрын
Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies
@AthumanDauda12 күн бұрын
Akili kubwa sana
@patrinraura139711 күн бұрын
Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda
@foibennjeje773011 күн бұрын
Kibatala hongera kwa kulitambua hili
@simonnaivasha639311 күн бұрын
Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili Mwambukusi na Fattuma Karume.
@King_Of_Everything11 күн бұрын
✌️👍👊.
@tumainimwaifunga388411 күн бұрын
Safi
@ndingolivin-qy6xk9 күн бұрын
Safi sana
@boaziamos122411 күн бұрын
Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani
Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA
@JumaYusuph-o4h9 күн бұрын
Kama Kibadala kasema mi nani nipinge
@user-nm8ym6iq7n17 сағат бұрын
Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??
@fredyfile62312 күн бұрын
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d
12 күн бұрын
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn
12 күн бұрын
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
@WigesaNyerere12 күн бұрын
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
@samsonsimon313811 күн бұрын
Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu
@sagandamalechampullo65911 күн бұрын
YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS
@user-jj7qv7kh2s12 күн бұрын
Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.
@bibletv981812 күн бұрын
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@RevocatusMchau-mp2mg
11 күн бұрын
Umemsikiliza vizuri?
@dilludillu274711 күн бұрын
Safi sana
@harunamtiko11712 күн бұрын
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.
Пікірлер: 43
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
Mabukusi oyeeeeee
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea
Safi sana this our country 😢 😞
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
Safi sana kibatala umeongea point
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
Kibatala❤❤❤❤❤❤
As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri
Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies
Akili kubwa sana
Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda
Kibatala hongera kwa kulitambua hili
Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili Mwambukusi na Fattuma Karume.
✌️👍👊.
Safi
Safi sana
Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani
Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa
Safi sana umeongea kisomi
Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.
Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA
Kama Kibadala kasema mi nani nipinge
Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d
12 күн бұрын
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn
12 күн бұрын
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu
YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS
Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@RevocatusMchau-mp2mg
11 күн бұрын
Umemsikiliza vizuri?
Safi sana
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.