A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS
#ijuesheria #TLSAGM2024 Video kwa hisani ya Jambo TV
Жүктеу.....
Пікірлер: 105
@alfredsotoka28525 күн бұрын
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
@sammykateregga623814 күн бұрын
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
@denisipaulo778515 күн бұрын
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
@thagondale90415 күн бұрын
I stand with you learned counsel
@abdull_hafidh14 күн бұрын
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
@dignakanje450813 күн бұрын
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
@nestor38415 күн бұрын
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile, Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..
@clarencehilary558814 күн бұрын
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
@jovinbikongoro346914 күн бұрын
Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili
@TemuCalvinWilbard13 күн бұрын
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
@gracekagoma323112 күн бұрын
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
@BarnabaChota-tw7ol13 күн бұрын
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
@japhethbaalinda17568 күн бұрын
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
@user-ii7yw9ng5d15 күн бұрын
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.
@josephpetro296814 күн бұрын
wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono
@D.P.O5 күн бұрын
Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
@FabianJustine-bq6qv14 күн бұрын
Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi
@japhethbaalinda17568 күн бұрын
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!
@abdulmajidmageja656212 күн бұрын
Hongera sana wakili ❤
@simonnaivasha639313 күн бұрын
Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!
@simonnaivasha639313 күн бұрын
Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.
@AndrewMwenda-ib1mx9 күн бұрын
Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu
@isackphilipo987015 күн бұрын
Hili hatukubaliani nalo
@user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын
Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm
@phantyrhymes953613 күн бұрын
Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.
@migerajacob58114 күн бұрын
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.
@user-bs7cw1oi6z14 күн бұрын
Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima
@Eulalia-zs5vd
14 күн бұрын
Mungu akusaidie na aendelee kukupa nguvu.
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Akutunze na kukulinda 🙏
@NixonJohnson-zn8nk14 күн бұрын
Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi
@HenryShaury13 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps13 күн бұрын
Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu
@AmosRugaimukamu6 күн бұрын
Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana
@denisipaulo778515 күн бұрын
Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea
@MethodkasyupaMwifyusi14 күн бұрын
Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee
@rizikiminga3010
12 күн бұрын
Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢
@EphraimMwasonya-s1w7 күн бұрын
Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya
@AmosRugaimukamu6 күн бұрын
Mwabukusi nijembe sana
@christinenyagiro666214 күн бұрын
Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?
@user-jj7qv7kh2s14 күн бұрын
Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu
@user-pv8iu6em6l15 күн бұрын
Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Haki huinua taifa
@gabapentin807014 күн бұрын
Mwabukusi🔥
@juliusjohnii782314 күн бұрын
Yap💪💪💪💪💪
@user-pw8ml6ts8r15 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@NixonJohnson-zn8nk14 күн бұрын
Mwamba tunakuhitaji mno
@mathiasombella751615 күн бұрын
Naomben mamba yake aise
@freddymdassa12 күн бұрын
Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura. Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.
@King_Of_Everything7 күн бұрын
👊👍✌️
@AndrewMwenda-ib1mx9 күн бұрын
Corruption to our country only God will prevail
@user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын
Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm
@NorbethJosphath-hm1zb13 күн бұрын
Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya
@user-bs7cw1oi6z14 күн бұрын
Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza
@D.P.O5 күн бұрын
Akinyea pilau😂😂😂
@gracekagoma323112 күн бұрын
Siasa ni m b aya
@user-ph7ht5iw8x13 күн бұрын
Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?
@simonnaivasha639313 күн бұрын
TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !
@sagandamalechampullo65913 күн бұрын
Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki
@manethmwiyanja76543 күн бұрын
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.
@GidionKombe-h1p11 күн бұрын
Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika
@hawaelymaricca76027 күн бұрын
Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.
@ayububrantaya662411 күн бұрын
Myaki tulipamopene
@FedrickNgonyani12 күн бұрын
Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu
@akramissa339311 күн бұрын
TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃
@jumamnumbwa94836 күн бұрын
Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?
@lucymsheshi587113 күн бұрын
Hatutapiga kura wakati ukifika
@DiwaniMwafongo10 күн бұрын
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
@user-bq4tk6yq2q12 күн бұрын
Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa
@menyemusic
12 күн бұрын
Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna
@GidionKombe-h1p11 күн бұрын
Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena
@josephpetro296814 күн бұрын
machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .
@christianmwabukusi813212 күн бұрын
Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili
@denisipaulo778515 күн бұрын
Niko nyuma yako mkuu
@laninjeje829012 күн бұрын
Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima
@user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын
Mbona unajikamua sanaaaa? Angalia usijetokwa na haja kubwa
@hamidmussa83815 күн бұрын
Ww unacheza na serikali. Wala bado.
@user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын
Palipobaki tafuta ngurue ufuge .
@user-vg9sd2fc1k
14 күн бұрын
Mmmh😢😢
@user-jj7qv7kh2s
14 күн бұрын
wewe huhitambui
@user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын
Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS. Huna sifa zakuongoza ndugu
@Kwelihukuwekahuru
15 күн бұрын
Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja
@cyprianonesmo1832
14 күн бұрын
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! @@Kwelihukuwekahuru
@user-jj7qv7kh2s
14 күн бұрын
wewe jizi kubwa katika Taifa letu.
@user-lw3tg3yg5b
14 күн бұрын
Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla
@abdull_hafidh
14 күн бұрын
Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana
@sebastianmwantuge559715 күн бұрын
Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia
@jumashimba9620
15 күн бұрын
TLs toothless
@aloycemruma655213 күн бұрын
Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua
Пікірлер: 105
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
I stand with you learned counsel
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile, Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!
Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.
wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono
Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
Hawa ndo watetea haki?
Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja
Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.
Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.
@user-qy7he6cl8w
12 күн бұрын
Mihemko gani apo acha uchwaraa
@faustinejemsi1488
11 күн бұрын
Umeona hajierewi
This is double standard we won't vote
Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi
Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!
Hongera sana wakili ❤
Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!
Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!
Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.
Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu
Hili hatukubaliani nalo
Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm
Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.
Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima
@Eulalia-zs5vd
14 күн бұрын
Mungu akusaidie na aendelee kukupa nguvu.
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Akutunze na kukulinda 🙏
Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu
Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana
Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea
Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee
@rizikiminga3010
12 күн бұрын
Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢
Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya
Mwabukusi nijembe sana
Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?
Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu
Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala
@adelinelyaruu3036
13 күн бұрын
Haki huinua taifa
Mwabukusi🔥
Yap💪💪💪💪💪
👏👏👏👏👏👏👏👏
Mwamba tunakuhitaji mno
Naomben mamba yake aise
Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura. Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.
👊👍✌️
Corruption to our country only God will prevail
Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm
Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya
Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza
Akinyea pilau😂😂😂
Siasa ni m b aya
Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?
TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !
Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.
Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika
Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.
Myaki tulipamopene
Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu
TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃
Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?
Hatutapiga kura wakati ukifika
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa
@menyemusic
12 күн бұрын
Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna
Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena
machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .
Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili
Niko nyuma yako mkuu
Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima
Mbona unajikamua sanaaaa? Angalia usijetokwa na haja kubwa
Ww unacheza na serikali. Wala bado.
Palipobaki tafuta ngurue ufuge .
@user-vg9sd2fc1k
14 күн бұрын
Mmmh😢😢
@user-jj7qv7kh2s
14 күн бұрын
wewe huhitambui
Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS. Huna sifa zakuongoza ndugu
@Kwelihukuwekahuru
15 күн бұрын
Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja
@cyprianonesmo1832
14 күн бұрын
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! @@Kwelihukuwekahuru
@user-jj7qv7kh2s
14 күн бұрын
wewe jizi kubwa katika Taifa letu.
@user-lw3tg3yg5b
14 күн бұрын
Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla
@abdull_hafidh
14 күн бұрын
Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana
Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia
@jumashimba9620
15 күн бұрын
TLs toothless
Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua