A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS

#ijuesheria #TLSAGM2024
Video kwa hisani ya Jambo TV

Пікірлер: 105

  • @alfredsotoka2852
    @alfredsotoka28525 күн бұрын

    Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623814 күн бұрын

    Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo778515 күн бұрын

    Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana

  • @thagondale9041
    @thagondale90415 күн бұрын

    I stand with you learned counsel

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh14 күн бұрын

    Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje450813 күн бұрын

    Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.

  • @nestor384
    @nestor38415 күн бұрын

    Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile, Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary558814 күн бұрын

    Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800

  • @jovinbikongoro3469
    @jovinbikongoro346914 күн бұрын

    Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard13 күн бұрын

    Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323112 күн бұрын

    Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol13 күн бұрын

    Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda17568 күн бұрын

    unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d15 күн бұрын

    Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro296814 күн бұрын

    wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono

  • @D.P.O
    @D.P.O5 күн бұрын

    Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv14 күн бұрын

    Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda17568 күн бұрын

    Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733813 күн бұрын

    Hawa ndo watetea haki?

  • @anosiata8242
    @anosiata824215 күн бұрын

    Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha639313 күн бұрын

    Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu14 күн бұрын

    Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    12 күн бұрын

    Mihemko gani apo acha uchwaraa

  • @faustinejemsi1488

    @faustinejemsi1488

    11 күн бұрын

    Umeona hajierewi

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo987015 күн бұрын

    This is double standard we won't vote

  • @user-fm3ew9tu9y
    @user-fm3ew9tu9y15 күн бұрын

    Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d15 күн бұрын

    Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja656212 күн бұрын

    Hongera sana wakili ❤

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha639313 күн бұрын

    Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha639313 күн бұрын

    Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx9 күн бұрын

    Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo987015 күн бұрын

    Hili hatukubaliani nalo

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын

    Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes953613 күн бұрын

    Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.

  • @migerajacob581
    @migerajacob58114 күн бұрын

    We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z14 күн бұрын

    Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima

  • @Eulalia-zs5vd

    @Eulalia-zs5vd

    14 күн бұрын

    Mungu akusaidie na aendelee kukupa nguvu.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    13 күн бұрын

    Akutunze na kukulinda 🙏

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk14 күн бұрын

    Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi

  • @HenryShaury
    @HenryShaury13 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps13 күн бұрын

    Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu6 күн бұрын

    Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo778515 күн бұрын

    Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea

  • @MethodkasyupaMwifyusi
    @MethodkasyupaMwifyusi14 күн бұрын

    Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee

  • @rizikiminga3010

    @rizikiminga3010

    12 күн бұрын

    Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢

  • @EphraimMwasonya-s1w
    @EphraimMwasonya-s1w7 күн бұрын

    Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu6 күн бұрын

    Mwabukusi nijembe sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666214 күн бұрын

    Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s14 күн бұрын

    Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu

  • @user-pv8iu6em6l
    @user-pv8iu6em6l15 күн бұрын

    Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    13 күн бұрын

    Haki huinua taifa

  • @gabapentin8070
    @gabapentin807014 күн бұрын

    Mwabukusi🔥

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii782314 күн бұрын

    Yap💪💪💪💪💪

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r15 күн бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk14 күн бұрын

    Mwamba tunakuhitaji mno

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella751615 күн бұрын

    Naomben mamba yake aise

  • @freddymdassa
    @freddymdassa12 күн бұрын

    Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura. Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything7 күн бұрын

    👊👍✌️

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx9 күн бұрын

    Corruption to our country only God will prevail

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын

    Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb13 күн бұрын

    Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z14 күн бұрын

    Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza

  • @D.P.O
    @D.P.O5 күн бұрын

    Akinyea pilau😂😂😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323112 күн бұрын

    Siasa ni m b aya

  • @user-ph7ht5iw8x
    @user-ph7ht5iw8x13 күн бұрын

    Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha639313 күн бұрын

    TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo65913 күн бұрын

    Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki

  • @manethmwiyanja7654
    @manethmwiyanja76543 күн бұрын

    Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p11 күн бұрын

    Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76027 күн бұрын

    Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya662411 күн бұрын

    Myaki tulipamopene

  • @FedrickNgonyani
    @FedrickNgonyani12 күн бұрын

    Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu

  • @akramissa3393
    @akramissa339311 күн бұрын

    TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa94836 күн бұрын

    Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587113 күн бұрын

    Hatutapiga kura wakati ukifika

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo10 күн бұрын

    Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q12 күн бұрын

    Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa

  • @menyemusic

    @menyemusic

    12 күн бұрын

    Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p11 күн бұрын

    Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena

  • @josephpetro2968
    @josephpetro296814 күн бұрын

    machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi813212 күн бұрын

    Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo778515 күн бұрын

    Niko nyuma yako mkuu

  • @laninjeje8290
    @laninjeje829012 күн бұрын

    Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын

    Mbona unajikamua sanaaaa? Angalia usijetokwa na haja kubwa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa83815 күн бұрын

    Ww unacheza na serikali. Wala bado.

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын

    Palipobaki tafuta ngurue ufuge .

  • @user-vg9sd2fc1k

    @user-vg9sd2fc1k

    14 күн бұрын

    Mmmh😢😢

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    14 күн бұрын

    wewe huhitambui

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j15 күн бұрын

    Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS. Huna sifa zakuongoza ndugu

  • @Kwelihukuwekahuru

    @Kwelihukuwekahuru

    15 күн бұрын

    Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja

  • @cyprianonesmo1832

    @cyprianonesmo1832

    14 күн бұрын

    Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! ​@@Kwelihukuwekahuru

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    14 күн бұрын

    wewe jizi kubwa katika Taifa letu.

  • @user-lw3tg3yg5b

    @user-lw3tg3yg5b

    14 күн бұрын

    Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla

  • @abdull_hafidh

    @abdull_hafidh

    14 күн бұрын

    Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge559715 күн бұрын

    Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia

  • @jumashimba9620

    @jumashimba9620

    15 күн бұрын

    TLs toothless

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma655213 күн бұрын

    Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua

Келесі