MWANASHERIA APANGUA HOJA ZA MAKONDA MBELE YA WANANCHI BILA WOGA "MKAKATE KIKAO USIKU KUNA UMEME"
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 218
Ndugu yangu Makonda, Mungu akulinde na akupe hekima na busara kwa hiki unachokifanya, dhuluma imetamalaki watu wa halo ya chini wananyanyasika, wafute machozi, wamekosa wa kuwatetea, Big Up!
@user-vy5kn6nz4l
6 ай бұрын
Ndugu yangu nani mwenye haki hapo
@stevensteve7519
6 ай бұрын
Kitu ambacho hukijui nikwamba hayo matatizo au kero za wananchi wanazopigia kelele wao ndiyo wanaozisababisha. Ukilijua hilo huwezi mpongeza makonda
@tzasafaritv9937
6 ай бұрын
@@stevensteve7519 Ninaelewa na ndiyo maana nime-comment hivyo, @stevensteve7519 iko hivi haijalisha matatizo yanasababishwa nani lakini ikitokea mtu anaonyesha ndiya au kuthubutu kutatua tatizo hilo basi hakuna budi kupongezwa na kumpa moyo aendelee.
Kweli makonda unajua sheria. Ubarikiwe sana
wa tanzania mnashida sana mjielewi tu mpaka leo
Hahahahahaha nchi ndio inakua ivyo, huko mbele watoto wetu wakiwa wanaangalia highlights wataenjoy sana.
Big up brother
Utawala bora unahitaji mfumo uliorasmi na unaoeleweka. kutatua kero za wananchi kwastaili hii nikufeli kwa mfumo wa utawala bora.
@josephcleopa4652
6 ай бұрын
Tunafeli sana kama nchi. Elimu kubwa inahitajika
@ahz6907
5 ай бұрын
Kwanza sidani kama zinatatuliwa😊
Makonda hiyo nafasi ni kibali Toka Kwa Mungu ili ukisaidie Chama .Ccm Oyeeeeee.
Nenda ngorongoro tujue ukweli wa mali ya wanainchi
@HabibuHemed-hy5qr
6 ай бұрын
Soma land Act section 4 sub 1 ambayo inasema all land is public land vested by president as trustees.
Tunyoooooooshe mpaka tunyoookee Brother
Serikali ni ya ccm inatengeneza lililoharibiwa na serikali ya ccm😂😂
@PyramidSupply-mx1oe
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Sifa za karibu mwenzi ni kama hizi anazozifanya mwenzi taifa makonda hongera kwako makonda endelea kukiimalisha chama Kwa nguvu na chama kisonge mbele naitwa eliud sadick karibu mwenzi msitafu wa tawi la ilongoboto kiwira tukuyu mbeya
Huwezi kutatua migogoro ya ardhi kwa mtindo huu, huku ni kudanganyana.
@OdiloMagungu-uf5is
6 ай бұрын
Bashite hamna kitu kabisa
@marcokaroje8980
6 ай бұрын
@@OdiloMagungu-uf5iskibaka wa idara za serikali wakati hana taaluma zote ajitathimini
@judicalosika7642
6 ай бұрын
waTanzania Bado sana, chama siyo Serikali!!! Chama ni propaganda tu. Ndiyoooooo!!!!!, Ndiyooooooo!!!
Hivi katibu muenezi wa ccm ndiye mkuu wa serikali
@marcokaroje8980
6 ай бұрын
Hakimu wa kila daawa na uarifu wa aina zote ndiyo majukumu ya KATIBU NEC
mungu akuweke makonda uenderee kuwatetea wanyonge
Mungu akulind 🙏Makonde
Kabisa uko vizuri makonda
Niuongo tu. Acha kejeli makonda! Mungu anakuona wananchi wanashida kubwa.
@user-vj8eu7ih4k
5 ай бұрын
Kwan we shida zote ulizomuomba mungu akutatulia ,umetatuliwa? Huenda Kuna sabab ndo mana hujatatulia kwahy makonda n Binadam kama ww zipo shida zinaweza kusoviwa na zingne zisizoviwe
Kweli kazi ippo tunangoja ukifika kibondo
Makin sanaa mwamba yuko kazni kwel
Muh:Makonda unaakiri nyingi ,hongera
Big up makonda
Sanaaa tupu
Makonda hiyo System unayotumia kupokea kero za wananchi na kuzimaliza nakushauri iwe endelevu, kero zitaisha wananchi watapata amani. Na sio uchaguz ukiisha ututelekeze tena jamani, fanya hilo zoezi kila baada ya miezi 3. Itapendeza sana, yani hata Mungu atakusamehe makosa yako yote ya siku za nyuma.
Kwahiyo Makonda asingezunguka kuuliza haya yasingejulikana .Maafisa wa serikali wako wapi?
Siasa sometime ni shida sana watu wanachezewa akili sana
I wapo upo kwa niaba na kwa ajili ya wananchi nenda Ngorongoro na Loliondo ukasimame upande wao tujue UKWELI NA HAKI
Haya yote yanatokana na katiba mbovu!!!. Wananchi hawawezi kusubiri viongozi ndio waeleze kero zao, mifumo inatakiwa ifanye kazi bila kuingiliwa na watu!.
Hii ni Wizara ya "kusikiliza Kero za Wananchi zilizoshindikana kutekelezwa na serekali".
Unajua maafisa wa serikali kujibu kwamba sikuwepo, au nilikuta tayari, n.k. ni blah blah! Wewe ndo uko ofisini sasa na hayo ni yako kwa sasa. Hutakiwi kujitoa kwenye lawama zinazoelekezwa kwenye ofisi yako.
Makonda unaakiri nyingi sana ni tunu ya taifa la Tz msada wa wanyonge
@noelbryson7840
6 ай бұрын
Mnyonge ni nani? We unaandika vitu gani mitandaoni ?
@ngambikomsu64
6 ай бұрын
Naye ni mporaji kama hao waporaji wengine . Tatizo wa TZ tunasahau haraka sana👁️
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
@@noelbryson7840😂😂😂😂 eti mnyonge nani 😂😂 eti unaandika vitu gani mtandaoni
Tunaona mtetezi wawanyonge mupya mungu akulinde kiongozi
Makonda hula ubavu acha kuweka siasa kwenye mambo ya kutumia akili. Waporaji mko wengi chechemee
Maendelezo ya kiwanja hayahusiani na umilki wa awali wa ardhi hiyo. Mhindi anapaswa aidai manispaa na manispaa ilipe mhindi. Lakini kama ardhi ni uwekezwaji ambao haukuendekezwa Selikali ikabatrisha matumizi ya ardhi hakuna kesi.
@HabibuHemed-hy5qr
6 ай бұрын
Usikute muhindi ana uraia wa Tanzania. Kama hana lazima afuate procedures za ku own ardhi kwa wagen ambap lazima apitie Tanzania investment commission ili apate kibali hiko
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hi
Ni kama vile katika ngazi za mikoa na wilaya hakuna serikali. Makonda anaivua nguo serikali. Ingefaa haya mambo yaongelewe kwenye vikao vya ndani sio hadharani
Makonda uko vizuri sana hiyo nyomi inawatishia watu hicho nikibali kikubwa sana nakuombea ukawe makamu wa rais
@erastushamari770
6 ай бұрын
Sijui tutaelimika lini. Mungu atusaidie.
Nimekukubali Makonda
watZ wengibado wakokwenyegizatotoro Walahawaelewi porojo zamaccm wahuni, yaani KESI yangendere umupelekee nyani itawezekanaje kuajibisha, ndgyangu watZ tubadirike fikila ilitusichewe, wametengeza tatizo halafu wanalitatua wenyewekwawenyewe, wananchi mnashangilia ujinga mtupu
@noelbryson7840
6 ай бұрын
Kabisa kabisa. Mtu akikunyima elimu ameharibu maisha yako
CCM HOYEEEEEÈ MAMA HOYEEEEE KWA HILI MUNGU AWABARIKI NA KUWATANGULIA NA KUWATIA NGUVU KATIKA MAMBO YOTE. CCM HOYEEEEEEE.
Tanzania ni Nchi yenye utawala wa sheria kwa kufuata utaratibu.Makonda acha majukwaa ya kutafuta Kiki ya urais,huna sifa
@AllyGibu-cz2vo
6 ай бұрын
Nenda wewe Sasa mwenye sifa ukatatue kero
@emmanuelzephania989
6 ай бұрын
Acha zako wew unaweza hata kutafuta kiki
Shida watu hawajui sheria,
Hii .nikuonyesha serikari haipo kazin. Mpaka mwenezi afanye hili. Wakati. Kuna mkuu wamkoa. Waziri nk
@mohamedkitwiko3675
5 ай бұрын
We tulia aliejitoa uyo makonda Wacha aendelee selikali inawatu
Makonda ishu za shule usiwe unagusia aiseee utaturudisha nyumba bnaa
Manispaa imlipe muhindi pesa zake sio wananchi.
Makondaaaaaa
😂😂😂 sema makonda kamgalagaza jamaa vibaya
@mohamedkitwiko3675
5 ай бұрын
Umeonaeeee
Mikutano ya kihuni kabisa na udhalilishaji tu
@abdalahmwendafeysal9093
6 ай бұрын
Haikuhusu tulia
@happyfiverickaldo4662
6 ай бұрын
Kabisa
@noelbryson7840
6 ай бұрын
Anakusanya watu wasiojitambua, wenye uelewa mdogo na kuwadanganya..
@emmanuelzephania989
6 ай бұрын
Anawadanganya nn sasa hapo acha jamaa kapige kazi
Ila wana CCM bwana wanavurundaaa hawataki hata kushaurika,ukikaribia uchaguzi wanaanza kujiosha utadhani malaika, CCM ni walewale WAJINGA NDIO WALIWAO.
Unafiki ni mkubwa sana, inauma sana
1917 huyo jamaa alikuwepo ni noma
Unawapenda kwa sababu wote wezi na wakina kayombo
WEWE SIO JIBU LA KUMWAMBIA HUYO MZEE MATATULIE MATATIZO HUYO MZEE
hii inamaanisha mfumo wa sheria umefeli, case hazitakiwi kusolviwa hivi bali mfumo wa sheria kusikiliza pande mbili na kutoa haki sawa sawa.
Kusaga, mwanasheria amgaragaza makonda!!!!!!!!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dennisishengoma2743
6 ай бұрын
Yaani hovyo kabisa!!
Mbona sisi Watanzania tumejenga nyumba zetu na tunalipa kodi ya jengo Serikalini,kwani Serikali ilitujengea hizo nyumba?
@olomweneabongela1717
5 ай бұрын
Dunia nzima ardhi niya serikali
Makonda Makonda Makonda🎉
Kama CCM ingetatua matatizo hivi siku zote basi nchi yangu Tanzania ingekuwa Paradiso ndogo
Makonda mjanja sana anasafisha njia kwa nguvu sana😂
Siasa za hivi kweli kuna nchi inayoweza kupiga hatua kwa ujinga huu
Makonda anahitaji shule kwa kweli
Khaaaa
Maeneo kweli yanaweza kuwa ya kambaita ila yalibaki pori kwa muda wananchi waachwe kambaita apewe maeneo mengine na halimashauri ndiyo vile .....
Hii hainatofauti na imetokea uku kwetu KIGOMA na wananchi wakavunjiwa MAKAZI yao kwa NGUVU
mbona siasa nyosha maneno
Tifu tifu kama hili ni kipindi Cha kutafuta kura tyu 😂😂😂
Nchi ya wananchi wa Tanzania au ya mhindi?😂😂😂😂
Siasa za Tanzania hazimsaidii mwananchi. Haki hakuna.
Mzee una siasa nyingi be forward 😅
Alafu kiutaratibu haitakiwi mtu kujibu chochote ambacho Makonda anauliza maana anauliza maswali ya kiutendaji wa serikali na yy sio kiongozi wa serikali.
Anapenda kuona polisi wakiwa wamevaa gwanda especially wale ambao Mungu amewajalia
@josephdionizy2868
6 ай бұрын
Kama hujachanja huwez elewa
Makonda kuna mwingine yupo kibamba anaitwa kaim msaídizi anaitwa faziri mwingíne anaitwa hamisi kàmishina arizi wa ubungo kipíñdi mkuu wa wiraya ànaitwa herí jemsi wametusumbuwa sana tafazarí makonda ujé
Kwakweli nchi yetu bila katiba ni mazingaumbwe tu
@hajihassan5433
6 ай бұрын
Katiba ipo na ipo vizuri, kama haifuatwi na HAITEKELEZWI hiyo issue nyingine.
@user-uo8xw9kr4b
6 ай бұрын
Haswa we usmesema hat hiyo iliyopo haifanyiw kazi kwahiyo nishida tup kila mtu ana mamlaka wanyonge tuende wap sijui.
@noelbryson7840
6 ай бұрын
Katiba mpya ni suluhisho.. Nyie mnaotetea hii ya sasa kuna mahali inawafaidisha..
Hii ina onyesha serikali ya ccm imekufa au imelala kabisa kabisa. Ina maanisha Makonda ndiye Rais anacho kifanya ni sawa Serikali haipo kabisa hii ni aibu.
Uyo mwwkezaji afuatwe na kufutiwa uwekezaji wao upo sawa makonda ila usiongee kama siasa tu tekeleza
Anachokifanya makonda ni kudhihirisha udhaifu wa vyombo vyetu vya haki!
Issue si iko mahakamani
Inchi hii imeoza
Allah akupe afya na ubarkiwe sana Allah akulinde sana.
Wananchi mnaghilibiwa na maneno marahisi sana.
@shanelmbunga1301
6 ай бұрын
Unataka wafanyeje
Makona anafanya kitu kizuri Sana lakin naomba kuuliza na kupata ufafanuzi ili nielewe ivi utakuzi wa kero wa wananchi niwa kiongozi wachama au ni WA kiongozi wa wananchi Alie chaguliwa na wananchi maana wakurugenzi na wanasheria na ma rpc na ma ocd Wana bwekewa Kama wanachama wa ccm kwani nchi hii kila anae fanya kazi ni mwana ccm au naomben mnieleweshe
Ccm mmepigaje hapo😊
Vipi kama mhindi akisema hauzi eneo lake watoe nyumba zao,,hiyo ndo maana ya kujumuisha maendeleo yaliyofanyika
Watanzania badilikeni tokeni usingizini hawa CCM kwa sasa wanawahadaa kwa porojo hakuna chochote zaidi ya mazingaombwe ishu ni CCM kuipiga chini watanzania acheni ujinga hao mkiwarudisha madarakani mtasota tena miaka10
Moshi kweli duuu!?
Kama Umeamua Kusimamia Haki Kwa Wananchi Wasikilize Wananchi Vizuli Bila Vitisho Haki Ni Njia Ya Pepo
makonda upon juu Kwa hili
Kama kero zote unazo fikishiwa utazitatua kwa kuzingatia haki ya kila mmoja basi unafaa kupewa ata urais
Makonda acha kuvuruga
Makondaaaaa! Utajengaje kwenye kiwanja cha mtuuuu?
watanzania sijuo ni lini mtafanyiana uzalendo shida ya wengine wanafanya pa kupatia hela
Yaani makonda sasa nakuelewa, naomba uje na huku kigoma, kuna madudu mengi.
Zinazotafutw hapo ni kura tyu 😂😂
😂😂😂
Master kamaliza kiume kabisa
MAKONDA NIMEKUPENDA BURE.
Huyo Kambaita ni mhuni Unadaije na mali isiyo ya kwako?
Yani siasa za maji taka ni za ovyo😂😂😂😂😂😂
@jamesmfinanga1717
6 ай бұрын
Ndo vile wahanga wanafaidika kupitia kampeni na wapigaji wanatoboa kupitia migogoro au unaonaje apo ....
Makonda umenona mzee, hadi nimekusahau, ulikuwa unakula uzazi nn?? Karibu tena kwa wananchi
MAHAKAMA PAPO KWA PAPO NA HAKUMU HAPO