MWANASHERIA APANGUA HOJA ZA MAKONDA MBELE YA WANANCHI BILA WOGA "MKAKATE KIKAO USIKU KUNA UMEME"

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 218

  • @tzasafaritv9937
    @tzasafaritv99376 ай бұрын

    Ndugu yangu Makonda, Mungu akulinde na akupe hekima na busara kwa hiki unachokifanya, dhuluma imetamalaki watu wa halo ya chini wananyanyasika, wafute machozi, wamekosa wa kuwatetea, Big Up!

  • @user-vy5kn6nz4l

    @user-vy5kn6nz4l

    6 ай бұрын

    Ndugu yangu nani mwenye haki hapo

  • @stevensteve7519

    @stevensteve7519

    6 ай бұрын

    Kitu ambacho hukijui nikwamba hayo matatizo au kero za wananchi wanazopigia kelele wao ndiyo wanaozisababisha. Ukilijua hilo huwezi mpongeza makonda

  • @tzasafaritv9937

    @tzasafaritv9937

    6 ай бұрын

    @@stevensteve7519 Ninaelewa na ndiyo maana nime-comment hivyo, @stevensteve7519 iko hivi haijalisha matatizo yanasababishwa nani lakini ikitokea mtu anaonyesha ndiya au kuthubutu kutatua tatizo hilo basi hakuna budi kupongezwa na kumpa moyo aendelee.

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b6 ай бұрын

    Kweli makonda unajua sheria. Ubarikiwe sana

  • @jerome3143
    @jerome31436 ай бұрын

    wa tanzania mnashida sana mjielewi tu mpaka leo

  • @kelvinkiangokipingu370
    @kelvinkiangokipingu3706 ай бұрын

    Hahahahahaha nchi ndio inakua ivyo, huko mbele watoto wetu wakiwa wanaangalia highlights wataenjoy sana.

  • @user-jb2vp8rt7z
    @user-jb2vp8rt7z6 ай бұрын

    Big up brother

  • @stevensteve7519
    @stevensteve75196 ай бұрын

    Utawala bora unahitaji mfumo uliorasmi na unaoeleweka. kutatua kero za wananchi kwastaili hii nikufeli kwa mfumo wa utawala bora.

  • @josephcleopa4652

    @josephcleopa4652

    6 ай бұрын

    Tunafeli sana kama nchi. Elimu kubwa inahitajika

  • @ahz6907

    @ahz6907

    5 ай бұрын

    Kwanza sidani kama zinatatuliwa😊

  • @benignatairo4722
    @benignatairo47226 ай бұрын

    Makonda hiyo nafasi ni kibali Toka Kwa Mungu ili ukisaidie Chama .Ccm Oyeeeeee.

  • @user-lr1sd3wq4d
    @user-lr1sd3wq4d6 ай бұрын

    Nenda ngorongoro tujue ukweli wa mali ya wanainchi

  • @HabibuHemed-hy5qr

    @HabibuHemed-hy5qr

    6 ай бұрын

    Soma land Act section 4 sub 1 ambayo inasema all land is public land vested by president as trustees.

  • @konradkapinga6744
    @konradkapinga67446 ай бұрын

    Tunyoooooooshe mpaka tunyoookee Brother

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi6 ай бұрын

    Serikali ni ya ccm inatengeneza lililoharibiwa na serikali ya ccm😂😂

  • @PyramidSupply-mx1oe

    @PyramidSupply-mx1oe

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ELIUDSADICK-tr8jy
    @ELIUDSADICK-tr8jy6 ай бұрын

    Sifa za karibu mwenzi ni kama hizi anazozifanya mwenzi taifa makonda hongera kwako makonda endelea kukiimalisha chama Kwa nguvu na chama kisonge mbele naitwa eliud sadick karibu mwenzi msitafu wa tawi la ilongoboto kiwira tukuyu mbeya

  • @samweldoe5750
    @samweldoe57506 ай бұрын

    Huwezi kutatua migogoro ya ardhi kwa mtindo huu, huku ni kudanganyana.

  • @OdiloMagungu-uf5is

    @OdiloMagungu-uf5is

    6 ай бұрын

    Bashite hamna kitu kabisa

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    6 ай бұрын

    ​@@OdiloMagungu-uf5iskibaka wa idara za serikali wakati hana taaluma zote ajitathimini

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    6 ай бұрын

    waTanzania Bado sana, chama siyo Serikali!!! Chama ni propaganda tu. Ndiyoooooo!!!!!, Ndiyooooooo!!!

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k6 ай бұрын

    Hivi katibu muenezi wa ccm ndiye mkuu wa serikali

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    6 ай бұрын

    Hakimu wa kila daawa na uarifu wa aina zote ndiyo majukumu ya KATIBU NEC

  • @MwajumaAbdalah-pg7jr
    @MwajumaAbdalah-pg7jr5 ай бұрын

    mungu akuweke makonda uenderee kuwatetea wanyonge

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78476 ай бұрын

    Mungu akulind 🙏Makonde

  • @thomasluhanga6439
    @thomasluhanga64396 ай бұрын

    Kabisa uko vizuri makonda

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s6 ай бұрын

    Niuongo tu. Acha kejeli makonda! Mungu anakuona wananchi wanashida kubwa.

  • @user-vj8eu7ih4k

    @user-vj8eu7ih4k

    5 ай бұрын

    Kwan we shida zote ulizomuomba mungu akutatulia ,umetatuliwa? Huenda Kuna sabab ndo mana hujatatulia kwahy makonda n Binadam kama ww zipo shida zinaweza kusoviwa na zingne zisizoviwe

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25136 ай бұрын

    Kweli kazi ippo tunangoja ukifika kibondo

  • @danielljohn
    @danielljohn6 ай бұрын

    Makin sanaa mwamba yuko kazni kwel

  • @johnmtumishi8554
    @johnmtumishi85546 ай бұрын

    Muh:Makonda unaakiri nyingi ,hongera

  • @KhadijaMhenangu
    @KhadijaMhenangu6 ай бұрын

    Big up makonda

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima61066 ай бұрын

    Sanaaa tupu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 ай бұрын

    Makonda hiyo System unayotumia kupokea kero za wananchi na kuzimaliza nakushauri iwe endelevu, kero zitaisha wananchi watapata amani. Na sio uchaguz ukiisha ututelekeze tena jamani, fanya hilo zoezi kila baada ya miezi 3. Itapendeza sana, yani hata Mungu atakusamehe makosa yako yote ya siku za nyuma.

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah28025 ай бұрын

    Kwahiyo Makonda asingezunguka kuuliza haya yasingejulikana .Maafisa wa serikali wako wapi?

  • @danielkanso
    @danielkanso6 ай бұрын

    Siasa sometime ni shida sana watu wanachezewa akili sana

  • @VincentOlioruko
    @VincentOlioruko6 ай бұрын

    I wapo upo kwa niaba na kwa ajili ya wananchi nenda Ngorongoro na Loliondo ukasimame upande wao tujue UKWELI NA HAKI

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui7296 ай бұрын

    Haya yote yanatokana na katiba mbovu!!!. Wananchi hawawezi kusubiri viongozi ndio waeleze kero zao, mifumo inatakiwa ifanye kazi bila kuingiliwa na watu!.

  • @danielmanko9164
    @danielmanko91645 ай бұрын

    Hii ni Wizara ya "kusikiliza Kero za Wananchi zilizoshindikana kutekelezwa na serekali".

  • @TheNichym
    @TheNichym6 ай бұрын

    Unajua maafisa wa serikali kujibu kwamba sikuwepo, au nilikuta tayari, n.k. ni blah blah! Wewe ndo uko ofisini sasa na hayo ni yako kwa sasa. Hutakiwi kujitoa kwenye lawama zinazoelekezwa kwenye ofisi yako.

  • @denismabubu291
    @denismabubu2916 ай бұрын

    Makonda unaakiri nyingi sana ni tunu ya taifa la Tz msada wa wanyonge

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    6 ай бұрын

    Mnyonge ni nani? We unaandika vitu gani mitandaoni ?

  • @ngambikomsu64

    @ngambikomsu64

    6 ай бұрын

    Naye ni mporaji kama hao waporaji wengine . Tatizo wa TZ tunasahau haraka sana👁️

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    6 ай бұрын

    ​@@noelbryson7840😂😂😂😂 eti mnyonge nani 😂😂 eti unaandika vitu gani mtandaoni

  • @Majariwauser-jj6si5vm6n
    @Majariwauser-jj6si5vm6n6 ай бұрын

    Tunaona mtetezi wawanyonge mupya mungu akulinde kiongozi

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu646 ай бұрын

    Makonda hula ubavu acha kuweka siasa kwenye mambo ya kutumia akili. Waporaji mko wengi chechemee

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi49506 ай бұрын

    Maendelezo ya kiwanja hayahusiani na umilki wa awali wa ardhi hiyo. Mhindi anapaswa aidai manispaa na manispaa ilipe mhindi. Lakini kama ardhi ni uwekezwaji ambao haukuendekezwa Selikali ikabatrisha matumizi ya ardhi hakuna kesi.

  • @HabibuHemed-hy5qr

    @HabibuHemed-hy5qr

    6 ай бұрын

    Usikute muhindi ana uraia wa Tanzania. Kama hana lazima afuate procedures za ku own ardhi kwa wagen ambap lazima apitie Tanzania investment commission ili apate kibali hiko

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga13016 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rn2zm7lu5w
    @user-rn2zm7lu5w6 ай бұрын

    Hi

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah28025 ай бұрын

    Ni kama vile katika ngazi za mikoa na wilaya hakuna serikali. Makonda anaivua nguo serikali. Ingefaa haya mambo yaongelewe kwenye vikao vya ndani sio hadharani

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33346 ай бұрын

    Makonda uko vizuri sana hiyo nyomi inawatishia watu hicho nikibali kikubwa sana nakuombea ukawe makamu wa rais

  • @erastushamari770

    @erastushamari770

    6 ай бұрын

    Sijui tutaelimika lini. Mungu atusaidie.

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe23016 ай бұрын

    Nimekukubali Makonda

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano70676 ай бұрын

    watZ wengibado wakokwenyegizatotoro Walahawaelewi porojo zamaccm wahuni, yaani KESI yangendere umupelekee nyani itawezekanaje kuajibisha, ndgyangu watZ tubadirike fikila ilitusichewe, wametengeza tatizo halafu wanalitatua wenyewekwawenyewe, wananchi mnashangilia ujinga mtupu

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    6 ай бұрын

    Kabisa kabisa. Mtu akikunyima elimu ameharibu maisha yako

  • @lilianlema4744
    @lilianlema47446 ай бұрын

    CCM HOYEEEEEÈ MAMA HOYEEEEE KWA HILI MUNGU AWABARIKI NA KUWATANGULIA NA KUWATIA NGUVU KATIKA MAMBO YOTE. CCM HOYEEEEEEE.

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda35026 ай бұрын

    Tanzania ni Nchi yenye utawala wa sheria kwa kufuata utaratibu.Makonda acha majukwaa ya kutafuta Kiki ya urais,huna sifa

  • @AllyGibu-cz2vo

    @AllyGibu-cz2vo

    6 ай бұрын

    Nenda wewe Sasa mwenye sifa ukatatue kero

  • @emmanuelzephania989

    @emmanuelzephania989

    6 ай бұрын

    Acha zako wew unaweza hata kutafuta kiki

  • @stevenkileo7484
    @stevenkileo74846 ай бұрын

    Shida watu hawajui sheria,

  • @user-yi3jk5vd8l
    @user-yi3jk5vd8l6 ай бұрын

    Hii .nikuonyesha serikari haipo kazin. Mpaka mwenezi afanye hili. Wakati. Kuna mkuu wamkoa. Waziri nk

  • @mohamedkitwiko3675

    @mohamedkitwiko3675

    5 ай бұрын

    We tulia aliejitoa uyo makonda Wacha aendelee selikali inawatu

  • @Marjeby
    @Marjeby6 ай бұрын

    Makonda ishu za shule usiwe unagusia aiseee utaturudisha nyumba bnaa

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo62366 ай бұрын

    Manispaa imlipe muhindi pesa zake sio wananchi.

  • @mohamedkitwiko3675
    @mohamedkitwiko36755 ай бұрын

    Makondaaaaaa

  • @helsonjonathan
    @helsonjonathan6 ай бұрын

    😂😂😂 sema makonda kamgalagaza jamaa vibaya

  • @mohamedkitwiko3675

    @mohamedkitwiko3675

    5 ай бұрын

    Umeonaeeee

  • @Marjeby
    @Marjeby6 ай бұрын

    Mikutano ya kihuni kabisa na udhalilishaji tu

  • @abdalahmwendafeysal9093

    @abdalahmwendafeysal9093

    6 ай бұрын

    Haikuhusu tulia

  • @happyfiverickaldo4662

    @happyfiverickaldo4662

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    6 ай бұрын

    Anakusanya watu wasiojitambua, wenye uelewa mdogo na kuwadanganya..

  • @emmanuelzephania989

    @emmanuelzephania989

    6 ай бұрын

    Anawadanganya nn sasa hapo acha jamaa kapige kazi

  • @user-sp4xo9rm8l
    @user-sp4xo9rm8l6 ай бұрын

    Ila wana CCM bwana wanavurundaaa hawataki hata kushaurika,ukikaribia uchaguzi wanaanza kujiosha utadhani malaika, CCM ni walewale WAJINGA NDIO WALIWAO.

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda92326 ай бұрын

    Unafiki ni mkubwa sana, inauma sana

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla92736 ай бұрын

    1917 huyo jamaa alikuwepo ni noma

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni13026 ай бұрын

    Unawapenda kwa sababu wote wezi na wakina kayombo

  • @ramadhanisalum7476
    @ramadhanisalum74766 ай бұрын

    WEWE SIO JIBU LA KUMWAMBIA HUYO MZEE MATATULIE MATATIZO HUYO MZEE

  • @user-lx9to6jd7w
    @user-lx9to6jd7w6 ай бұрын

    hii inamaanisha mfumo wa sheria umefeli, case hazitakiwi kusolviwa hivi bali mfumo wa sheria kusikiliza pande mbili na kutoa haki sawa sawa.

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r6 ай бұрын

    Kusaga, mwanasheria amgaragaza makonda!!!!!!!!!!! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dennisishengoma2743

    @dennisishengoma2743

    6 ай бұрын

    Yaani hovyo kabisa!!

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge55976 ай бұрын

    Mbona sisi Watanzania tumejenga nyumba zetu na tunalipa kodi ya jengo Serikalini,kwani Serikali ilitujengea hizo nyumba?

  • @olomweneabongela1717

    @olomweneabongela1717

    5 ай бұрын

    Dunia nzima ardhi niya serikali

  • @CatherineMollel-uh6dd
    @CatherineMollel-uh6dd6 ай бұрын

    Makonda Makonda Makonda🎉

  • @kilianngailo3269
    @kilianngailo32696 ай бұрын

    Kama CCM ingetatua matatizo hivi siku zote basi nchi yangu Tanzania ingekuwa Paradiso ndogo

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e6 ай бұрын

    Makonda mjanja sana anasafisha njia kwa nguvu sana😂

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan1116 ай бұрын

    Siasa za hivi kweli kuna nchi inayoweza kupiga hatua kwa ujinga huu

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv6 ай бұрын

    Makonda anahitaji shule kwa kweli

  • @eliasingano4787
    @eliasingano47876 ай бұрын

    Khaaaa

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga17176 ай бұрын

    Maeneo kweli yanaweza kuwa ya kambaita ila yalibaki pori kwa muda wananchi waachwe kambaita apewe maeneo mengine na halimashauri ndiyo vile .....

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily6 ай бұрын

    Hii hainatofauti na imetokea uku kwetu KIGOMA na wananchi wakavunjiwa MAKAZI yao kwa NGUVU

  • @jerome3143
    @jerome31436 ай бұрын

    mbona siasa nyosha maneno

  • @nyansilujoseph-pm8im
    @nyansilujoseph-pm8im6 ай бұрын

    Tifu tifu kama hili ni kipindi Cha kutafuta kura tyu 😂😂😂

  • @user-lr1sd3wq4d
    @user-lr1sd3wq4d6 ай бұрын

    Nchi ya wananchi wa Tanzania au ya mhindi?😂😂😂😂

  • @erastisamsoni3162
    @erastisamsoni31626 ай бұрын

    Siasa za Tanzania hazimsaidii mwananchi. Haki hakuna.

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic33266 ай бұрын

    Mzee una siasa nyingi be forward 😅

  • @user-pg1ex8vk5m
    @user-pg1ex8vk5m6 ай бұрын

    Alafu kiutaratibu haitakiwi mtu kujibu chochote ambacho Makonda anauliza maana anauliza maswali ya kiutendaji wa serikali na yy sio kiongozi wa serikali.

  • @princejoseph5818
    @princejoseph58186 ай бұрын

    Anapenda kuona polisi wakiwa wamevaa gwanda especially wale ambao Mungu amewajalia

  • @josephdionizy2868

    @josephdionizy2868

    6 ай бұрын

    Kama hujachanja huwez elewa

  • @user-dh2nm4xv8f
    @user-dh2nm4xv8f6 ай бұрын

    Makonda kuna mwingine yupo kibamba anaitwa kaim msaídizi anaitwa faziri mwingíne anaitwa hamisi kàmishina arizi wa ubungo kipíñdi mkuu wa wiraya ànaitwa herí jemsi wametusumbuwa sana tafazarí makonda ujé

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda92326 ай бұрын

    Kwakweli nchi yetu bila katiba ni mazingaumbwe tu

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    6 ай бұрын

    Katiba ipo na ipo vizuri, kama haifuatwi na HAITEKELEZWI hiyo issue nyingine.

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    6 ай бұрын

    Haswa we usmesema hat hiyo iliyopo haifanyiw kazi kwahiyo nishida tup kila mtu ana mamlaka wanyonge tuende wap sijui.

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    6 ай бұрын

    Katiba mpya ni suluhisho.. Nyie mnaotetea hii ya sasa kuna mahali inawafaidisha..

  • @billgussy6099
    @billgussy60996 ай бұрын

    Hii ina onyesha serikali ya ccm imekufa au imelala kabisa kabisa. Ina maanisha Makonda ndiye Rais anacho kifanya ni sawa Serikali haipo kabisa hii ni aibu.

  • @pendokimathi99
    @pendokimathi996 ай бұрын

    Uyo mwwkezaji afuatwe na kufutiwa uwekezaji wao upo sawa makonda ila usiongee kama siasa tu tekeleza

  • @Darian2550
    @Darian25506 ай бұрын

    Anachokifanya makonda ni kudhihirisha udhaifu wa vyombo vyetu vya haki!

  • @maduhuruben3825
    @maduhuruben38256 ай бұрын

    Issue si iko mahakamani

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd6 ай бұрын

    Inchi hii imeoza

  • @barkathkassam4680
    @barkathkassam46806 ай бұрын

    Allah akupe afya na ubarkiwe sana Allah akulinde sana.

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel69806 ай бұрын

    Wananchi mnaghilibiwa na maneno marahisi sana.

  • @shanelmbunga1301

    @shanelmbunga1301

    6 ай бұрын

    Unataka wafanyeje

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m6 ай бұрын

    Makona anafanya kitu kizuri Sana lakin naomba kuuliza na kupata ufafanuzi ili nielewe ivi utakuzi wa kero wa wananchi niwa kiongozi wachama au ni WA kiongozi wa wananchi Alie chaguliwa na wananchi maana wakurugenzi na wanasheria na ma rpc na ma ocd Wana bwekewa Kama wanachama wa ccm kwani nchi hii kila anae fanya kazi ni mwana ccm au naomben mnieleweshe

  • @CatherineMollel-uh6dd
    @CatherineMollel-uh6dd6 ай бұрын

    Ccm mmepigaje hapo😊

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse73146 ай бұрын

    Vipi kama mhindi akisema hauzi eneo lake watoe nyumba zao,,hiyo ndo maana ya kujumuisha maendeleo yaliyofanyika

  • @shijageorge5995
    @shijageorge59956 ай бұрын

    Watanzania badilikeni tokeni usingizini hawa CCM kwa sasa wanawahadaa kwa porojo hakuna chochote zaidi ya mazingaombwe ishu ni CCM kuipiga chini watanzania acheni ujinga hao mkiwarudisha madarakani mtasota tena miaka10

  • @Theprincipalmboya
    @Theprincipalmboya6 ай бұрын

    Moshi kweli duuu!?

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab6 ай бұрын

    Kama Umeamua Kusimamia Haki Kwa Wananchi Wasikilize Wananchi Vizuli Bila Vitisho Haki Ni Njia Ya Pepo

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4186 ай бұрын

    makonda upon juu Kwa hili

  • @hajiabdulrahmani9204
    @hajiabdulrahmani92046 ай бұрын

    Kama kero zote unazo fikishiwa utazitatua kwa kuzingatia haki ya kila mmoja basi unafaa kupewa ata urais

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k6 ай бұрын

    Makonda acha kuvuruga

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd6 ай бұрын

    Makondaaaaa! Utajengaje kwenye kiwanja cha mtuuuu?

  • @marymremi1051
    @marymremi10516 ай бұрын

    watanzania sijuo ni lini mtafanyiana uzalendo shida ya wengine wanafanya pa kupatia hela

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye59726 ай бұрын

    Yaani makonda sasa nakuelewa, naomba uje na huku kigoma, kuna madudu mengi.

  • @nyansilujoseph-pm8im
    @nyansilujoseph-pm8im6 ай бұрын

    Zinazotafutw hapo ni kura tyu 😂😂

  • @eliasingano4787
    @eliasingano47876 ай бұрын

    😂😂😂

  • @gilberthpeter2450
    @gilberthpeter24506 ай бұрын

    Master kamaliza kiume kabisa

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking246 ай бұрын

    MAKONDA NIMEKUPENDA BURE.

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela67986 ай бұрын

    Huyo Kambaita ni mhuni Unadaije na mali isiyo ya kwako?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi58716 ай бұрын

    Yani siasa za maji taka ni za ovyo😂😂😂😂😂😂

  • @jamesmfinanga1717

    @jamesmfinanga1717

    6 ай бұрын

    Ndo vile wahanga wanafaidika kupitia kampeni na wapigaji wanatoboa kupitia migogoro au unaonaje apo ....

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 ай бұрын

    Makonda umenona mzee, hadi nimekusahau, ulikuwa unakula uzazi nn?? Karibu tena kwa wananchi

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye44886 ай бұрын

    MAHAKAMA PAPO KWA PAPO NA HAKUMU HAPO

Келесі