MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...

MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 328

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @cosmasthobias5408
    @cosmasthobias5408Ай бұрын

    Makondo you deserve everything brother,,, uongozi ni kipawa toka kwa mungu na siyo kujifunza,,,,,makonda nikiongozi huyu ni mwamba wa wakuu wa mikoa wote,,,,,,,rolu modo wa wakuu wa mikoa wote,,,,kama wananchi lazima tuwe wakweli,,,,,,,umeona alivyomnyosha huyo mwanasheri ni nomaaaaaaaa apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809Ай бұрын

    😂😂😂😂 Napenda sana Kuskiliza Mikutano ya Makonda ananikumbusha Mikutano ya Marehem Rais wetu wa awamu ya Tano

  • @josephmahando493
    @josephmahando493Ай бұрын

    Hapa Sasa naona umuhimu wa nafasi ya ukuu wa mkoa, ila Kwa hapa Tanzania, tunae mmoja tuuu Makonda ,

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    Ай бұрын

    Hata mimi sikujuaga kazi za wakuu wa mikoa mpk umri wangu wa miaka 70. Na naamini wakuu wengi wa mikoa hawajui, niulize, je wakuu wa wilaya majukumu yao ni yepi?

  • @elizalutiga6287

    @elizalutiga6287

    Ай бұрын

    Haswaaa

  • @saleheinnocent7636

    @saleheinnocent7636

    Ай бұрын

    Huu ni uongoz wa ki governor wenye sifa za kuchaguliwa na wananchi ebu Ccm mkubali serikali za kimajimbo tupate viongoz wengi km huyu nchi isonge kwa speed ya digital.

  • @LuhanyaMipawantobi-pj1iu

    @LuhanyaMipawantobi-pj1iu

    Ай бұрын

    Kuwapata Sasa hao viongozi wazuri ndo issue ​@@saleheinnocent7636

  • @natihaikastephano661

    @natihaikastephano661

    22 күн бұрын

    Huyu mwanasheria mrefu Yuko vizuri sana.Huyu mwingine wa mji mdogo hamna kitu

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976Ай бұрын

    Makonda oyeeeeee Nakupenda sana makonda mpaka Nakupenda Tena M/mungu akupe maisha marefu 🌹

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578Ай бұрын

    Makonda nilikua nakuchukia, ila kwa sasa hakutoi mtu moyoni mwangu. Nimekukubali 100%. Kumbe ulikuwa unasingiziwa ubaya na Askofu feki

  • @rosetreffert4179

    @rosetreffert4179

    Ай бұрын

    Kabisaa ❤!@@!! Tansania yetu ukiwa unafanya kazi nzuri maadui ni wengi ,haswa wala rushwa

  • @erickmisilakuba6426

    @erickmisilakuba6426

    Ай бұрын

    Naungana na ww kwakwel

  • @kiondosaimon6149

    @kiondosaimon6149

    Ай бұрын

    Kama mm tuu ❤❤

  • @KennethMgona-jy4vc

    @KennethMgona-jy4vc

    Ай бұрын

    Amina npo pamoja na wew

  • @AliMasudi-td7gy

    @AliMasudi-td7gy

    Ай бұрын

    Makonda kuwa natakwimu ukibishana nae unapoteswa duniani

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6tsАй бұрын

    Wanaomuelewa mhshmw Makonda na team yake tusichoke kuwaombea kwa sababu hawatakosa maadui, kama tujuavyo, alipo Mungu shetani hakosekani. Hivyo maombi ni lazima.

  • @KennethMgona-jy4vc

    @KennethMgona-jy4vc

    Ай бұрын

    Npo pamoja na wew

  • @Erickkweka05
    @Erickkweka05Ай бұрын

    Mheshimiwa sasa nakuelewa ...hii ndio kazi wengi tulitamani kuiona hasa kusimamia haki na kutoa adhabu stahiki kwa wanaokwenda ndivyo sivyo..am now proud of you, and you are my inspiration

  • @user-jk9np7vc1x

    @user-jk9np7vc1x

    Ай бұрын

    huyu mkuu wa mkoa apewe ht mikoa mitano mbona anaimudu

  • @rithamatiko4952
    @rithamatiko4952Ай бұрын

    Mh Makonda Asante tumakuelewa wale tunaopenda haki Hakika wewe ni Kiongozi unayoeleza Kila mwanainchi anafunguka masikio mwenye kuelewa Asante Baba

  • @issarashid7707
    @issarashid7707Ай бұрын

    Ndio kamanda wetu Makonda Mungu akusimamie katika kutenda hakki

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616Ай бұрын

    Makonda hujawahi kuniangusha Mungu akujalie afya njema wewe nihazina Kwa taifa,❤❤❤

  • @KennethMgona-jy4vc

    @KennethMgona-jy4vc

    Ай бұрын

    Amina makonda 🎉🎉

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bwАй бұрын

    Mh. Makonda tafadhali waamshe wakuu wote wa mikoa ya Tanzania wa chape kazi kama wewe. Mikoa miimgi Ina shida nyingi sana hasa Bagamoyo. Basi sisi wananchi tunatamani ungekuwa unazunguka mikoa yote tungeishi kwa matumaini. Mungu akubariki sana lakini ombi letu ni kukuomba uhamasishe wakuu wote wa mikoa wafanye kazi walizoomba. Makonda Kila jambo jema hutoka juu. Tunakuombra sana baraka na afya njema na hatimaye uweze kuhudumia taifa lote maana Mungu anakitumia.

  • @mathewmalewah

    @mathewmalewah

    21 күн бұрын

    Mmmmh huyu Jamaa ana husubutu wa kweli na sio sifa

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5Ай бұрын

    Huyu mhe Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha kaziunayo endelea naohao wababaishaji nakuzurumu wananchi pole yao piga kazi mhe ❤

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800Ай бұрын

    Si jambo zuri kutetea maovu mheshimiwa mwanasheria. RC ana nia njema kwa wananchi.

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4kАй бұрын

    Malouda you're the best may Allah protect you ❤

  • @hamidaawadhi835
    @hamidaawadhi835Ай бұрын

    Piga kazi Makonda ,wananchi hawakuwa na mahala pa kutoa malalamiko yao,Mungu Akusimamie

  • @abdul-rahimkadhi766
    @abdul-rahimkadhi766Ай бұрын

    Bravo Paul christian makonda....unamuwakilisha vyema mama SAMIA...keep it up

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Ай бұрын

    Huyo anatafuta sifa naye anajitafuta kwani hajui kama wewe

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    Ай бұрын

    ​@@marcokaroje8980Hayo MAWAZO yako wewe na ndivyo ulivyo elewa

  • @fadhilmaxom4760

    @fadhilmaxom4760

    Ай бұрын

    We nae lipumbavu sijui lawapi mtu anatatua kero zs wananchi wewe unaleta hija zako zakifala hapa malaya wakiume wewe nyie ndio mnafanya hii nchi iuzwe nakuonekana wote niwapumbavu kebge wewe​@@marcokaroje8980

  • @marcokaroje8980

    @marcokaroje8980

    Ай бұрын

    Rais Samoa naye ni mbabe ?

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    ​@@marcokaroje8980sifa yake faida kwa wanyonge

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914Ай бұрын

    I love makonda ❤️

  • @HappyYusuph-ru3nn
    @HappyYusuph-ru3nn25 күн бұрын

    Kazi iendelee kaka mungu akulinde na maadui

  • @justinog3105
    @justinog3105Ай бұрын

    Makonda jameni ni mtu na nusu❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @KennethMgona-jy4vc

    @KennethMgona-jy4vc

    Ай бұрын

    Amin

  • @user-ek6on1rh9x

    @user-ek6on1rh9x

    13 күн бұрын

    Umeuaaa vibe uhakika

  • @philipomwazyunga4572
    @philipomwazyunga4572Ай бұрын

    Ha ha ha makondaa ni genious kwenye uongoz

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    HUU ni UTAPELI,unajenga eneo la biashara,kisha baada ya muda anakuja mwenye nguvu anahonga ili utolewee!!

  • @JaphethIsmail-wt1rx
    @JaphethIsmail-wt1rx9 сағат бұрын

    Congratulations mh makonda niko na appreciate kazi yako

  • @TeresiaAplonary
    @TeresiaAplonaryАй бұрын

    Mungu mbariki makonda

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612Ай бұрын

    Bora mgekaa kimya tu maana hamjui wanayopitia maumivu wananchi wasio kuwa na uwezo

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    Ай бұрын

    Lkn mwenzie akinyolewa hajui anatakiwa zake atie maji...

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758Ай бұрын

    Wanasheria waserekali kuweni makini msilitafutie taifa hili matatizo ni madudu tuu wasomi fekii😂😂😂😂😂😂

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234Ай бұрын

    wanasheria wa serikali ni shida kwenye Taifa hili

  • @hamudshabani7801

    @hamudshabani7801

    Ай бұрын

    Hawa ndo wanaoliingiza taifa kwenye mikataba mibovu inayoitafuna nchi kwa kushirikiana na walafi

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1tАй бұрын

    Muombeeni Makonda Mungu amkinge kila aina yamabalaa

  • @Olafkaria123
    @Olafkaria123Ай бұрын

    Mh! Mkuu wa mkoa Paul Makonda kwa kweli sijawahi ona uongozi uliotukuka kiasi hiki Mungu akuzidishie hekima na busara na utetezi huo wa wanyonge; natamani siku moja uwe waziri fulani

  • @yunisluvanga4211
    @yunisluvanga4211Ай бұрын

    Tuna tuzo kuubwa Tanzania mungu ametupatia makonda piga kaziiiiii babaaa 🙏🙏🙏

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    mwanasheria acha kutetea mkataba BATWILI!! Ahsante BROTHER MAKONDO!!

  • @ismailahmed5133

    @ismailahmed5133

    17 күн бұрын

    Makondo ni yupi?

  • @Alexismadimo

    @Alexismadimo

    15 күн бұрын

    ​@@ismailahmed5133error

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iwАй бұрын

    Wahuni tu wanasheria ndio wanao wapa vichwa wapigaji wanachanganya sanaa serikali inapata shida hao ndio nuksi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    MGEMSHITAKI KWA UTAPELI HUYO MWANASHELIA SIO KAZI YAKE 😂😂😂😂😂

  • @ChristinaFlorian
    @ChristinaFlorian28 күн бұрын

    Kuanzia Sasa wew nimagufuli mungu akubaliki akuepushe na mabalaayote

  • @maxsenciusalexander2213
    @maxsenciusalexander2213Ай бұрын

    “Mwanasheria profesheno”😂 Enheee🤣🤣

  • @RASHIDMPUMU
    @RASHIDMPUMU16 күн бұрын

    RC P Makonda, upo vizuri una jeshi kamili la wataalam kwenye vikao nyako ,asante sana

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy152327 күн бұрын

    Ubarikiwe Mh. Makonda tenda haki kwa kuzingatia kesho kwa m.mungu malipo mwema. Umeletwa na mungu shukrani sanaaa 🤲 mpaka machozi yanatoka💪💯🙏✅🇹🇿🌹🌹🌹🌹

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179Ай бұрын

    MAKONDA ❤❤❤

  • @niyongere86
    @niyongere86Ай бұрын

    Tatizo nikwamba inch za Africa azipendi msamakweli. Makonda anafaakuwa hata rais wa inch, acha tusubiri. Tanzania mnabahati yakupata viongizi wazuri lakini mnatamani watoke. I wish him he can becoming a presindent for my coutry. Makonda oyeeeeeeeeee❤

  • @beathersengerema
    @beathersengeremaАй бұрын

    Makonda uongozi wako una hofu ya mungu. Endelea umtegemea mungu ktk kazi zako❤

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891Ай бұрын

    Mwanasheria Profeshenoooo

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    😂

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640Ай бұрын

    Mwanasheria professional

  • @dullahbakari4813
    @dullahbakari4813Ай бұрын

    Kama viongozi wote wa ccm watakuwa kama makonda upinzani wakazi sasa

  • @bakarykijazi293
    @bakarykijazi29328 күн бұрын

    Arusha mungu kawaona wenzetu

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748Ай бұрын

    Kumbe rais. Samia Kumpa ukuu wamkoa Makonda sahihi Haya angekuwa Katibu asingeyaweza Kwasasa watanyooka

  • @JerryGasper-ft6kr
    @JerryGasper-ft6krАй бұрын

    Me naomba makonda akabiziwe mikoa yote ya Tanzania awe anasimamia yeye

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828Ай бұрын

    Huyu mwana sheria nimemkumbuka mwaka flani hivi usharikani alikuwa nana kashutuma 😊

  • @JuliusLomanya

    @JuliusLomanya

    Ай бұрын

    Alafu ety na Sisi tunasema tunao wanasheria duuh

  • @user-hw6zp5mz8m

    @user-hw6zp5mz8m

    Ай бұрын

  • @shamidubadru9505
    @shamidubadru9505Ай бұрын

    Sukuma ndani hao

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801Ай бұрын

    Huyu mbabaisha tu hana sifa za uanasheria maana anaonekana ni sehemu ya wahujumu uchumi wa nchi

  • @user-uw1fs5mj9l
    @user-uw1fs5mj9lАй бұрын

    Kweli kapata za uso

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Hakika

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b18 күн бұрын

    asante sana mwanasheria makonda ni mpigadebe

  • @user-jn9fx8pe7y
    @user-jn9fx8pe7y28 күн бұрын

    Aiseeee

  • @NeemaJuma-os6uo
    @NeemaJuma-os6uoАй бұрын

    Akichukua fomu ya urais makonda alafu akipita dah watammaliza afiki mbali watamuuwa

  • @nestorypastory6882

    @nestorypastory6882

    Ай бұрын

    Wengi wanaofia hatua huyo ila itakuwa vyema sana akichukuwa form

  • @biomedicaleliatosha7485
    @biomedicaleliatosha7485Ай бұрын

    Daah..hii nchi

  • @NyarubangoMashacka
    @NyarubangoMashackaАй бұрын

    Hakika Makonda wewe ni mfano wa kuigwa.umevaa uzalendo wa kweli,Mungu akupe maisha marefu

  • @HamisiMauridi
    @HamisiMauridiАй бұрын

    Mkuu wa mkowa ongera sana

  • @kakuyajumanne7335
    @kakuyajumanne733513 күн бұрын

    Ifikia hatua kuwe na cheo cha kusimamia wakuu wote wa mkoa halaf Makonda awe ndo top wananchi tungeenjoy

  • @mturimesso8907
    @mturimesso890721 күн бұрын

    Ni ishara nzr na unawakilisha vyema vijana tujifunze kupitia kwako.

  • @DidierAKILIMupimbidjumaDidier
    @DidierAKILIMupimbidjumaDidierАй бұрын

    Makonda yuko vizuri zaidi

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773Ай бұрын

    etii umepigwa spana😂😂😂😂😂

  • @stephenkalidush5446

    @stephenkalidush5446

    Ай бұрын

    lizards never lack

  • @BrightVistaMedia
    @BrightVistaMedia29 күн бұрын

    Kimeumana!!!❤

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMririАй бұрын

    Tunashukuru sana Mhe RC Makonda kusikia mikataba ilikuwa endelevu. Lakini kosa lilikuwa kwa Mkuu wa Nchi JPM ambapo ndie aliagiza watu kunyan'ganywa vibanda hivyo. Lakini uhalisia ni kwamba vibanda hivyo vinapaswa kurudi kwa waliovijenga vyote Nchi nzima Mhe RC Makonda jamani.

  • @MaryLee-sh4nd
    @MaryLee-sh4ndАй бұрын

    Mungu wa mbinguni akulinde

  • @yothamlameck2973
    @yothamlameck2973Ай бұрын

    Makonda Bi up 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidkhatib9146
    @saidkhatib9146Ай бұрын

    Mwanasheria anatamani ayeyuke kama mchaw😅😅

  • @benardpeter3562

    @benardpeter3562

    Ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300Ай бұрын

    Wasomi wa kizazi kipyaa wanazidiwa akili na maalifa ata na Mama ntilie ni vile tuu Mama ntilie hawana vyeti vya kuheshimika na wao wamepata nafasi ya vyeti vya kuheshimika Lakini uchukue msomi Na Mama ntilie uwape laki 5 kilammoja ndani ya miezi 3 msomi utamkuta atamaniki.... Na Mama ntilie utakuta amefanikiwa kupita kiwango na laki 5 yako atakurejeshea

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xkАй бұрын

    Muongp huyo mwanasheria wa michongo michongo 😂😂

  • @abednego3876
    @abednego3876Ай бұрын

    Huyo mwanasheria alikua anachunga ngombe.

  • @zulekhasaud483

    @zulekhasaud483

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yzАй бұрын

    Dah jamn mpaka uruma mzee wetu

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel698029 күн бұрын

    Uwezo wa kusikiliza hoja upo chini sana. Hivyo kujua kiini cha tatizo hakiwezi kupatikana.

  • @ben.tz9
    @ben.tz9Ай бұрын

    🔥🚒

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200Ай бұрын

    Mwenye nguvu mpishe,ilikuwa zamani co sasa,haonewi m2,mwanasheria archie ngazi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578Ай бұрын

    Wakuu wa mikoa mingine wako wapi? Hatuwasikii

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yzАй бұрын

    Uuuuwh uyu mzee jamn mwachen

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed513317 күн бұрын

    Huyu mzee wa nyuma alitaka amgonge na maiki hili boya na suti yake ya bluuu😅😅😅😅 ndo kwanza anapigishwa pindi na litaaramu TANGANYIKA LAW SOCIETY ...mwanasheri a miyeyusha huyo 😅😅😅 kwanza hajui anacho sema

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj29 күн бұрын

    ❤❤

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525Ай бұрын

    Mikataba hiyo ni sahiii

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Mimi si mwanasheria lakini sijawahi ona mkataba ulioandikwa Kwa kuchapwa pia Kwa mkono halafu wenye tarehe tofauti. Hata mtu asiyejua sheria anaona hapo si sahihi

  • @Juke995
    @Juke995Ай бұрын

    Wanasheria wa Tanzania ni hovyo kabisa

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba740329 күн бұрын

    Huu ushindani umeelemea upande mmoja,wakili wa upande wa pili hawezi kufanya kazi kwa confidence

  • @MezdDimoso
    @MezdDimosoАй бұрын

    RC OYEEEE🎉

  • @josephyamathlaizer-op9sw
    @josephyamathlaizer-op9swАй бұрын

    Makonda juuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @geoffreymzaga4644
    @geoffreymzaga4644Ай бұрын

    Makonda wewe uko juu.....

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664Ай бұрын

    Piga kazi kaka

  • @SeleNdiboi
    @SeleNdiboiАй бұрын

    makonda uwezo wako uko juu sana kaka

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440Ай бұрын

    Kumbe watu walikua wakusema vbaya kumbe ww nijembe wakuu wa mikoa wanajifunza Nini hapo tendeni kama makonda mungu ataweka mkongo wake

  • @user-uw1fs5mj9l
    @user-uw1fs5mj9lАй бұрын

    Ulipaswa kujua huo udhaifu kabla ya kuja hapo,sio unakuja kutetea ujinga

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Umeona ndugu. Hawa ndio wanatetea mafisadi makonda akichukua hatua anaoenaka mkorofi

  • @victormichael6100

    @victormichael6100

    Ай бұрын

    AKILI KUBWA

  • @user-ck3sj6ni4z
    @user-ck3sj6ni4z29 күн бұрын

    Huyo mzee wa nyuma alivyoshangilia mpaka mwanasheria kamgeukia😂😂😂😂

  • @rewardyesse7314

    @rewardyesse7314

    28 күн бұрын

    Kashamkariri

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4jАй бұрын

    Hiyo jamaa anajikanyaga kila kona kama amezoea kunyoosha maneno ya zulma Leo Mungu amewaonea huruma wananchi nakuufinya ulimi wako ona unavyojingata mwenyewe

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549Ай бұрын

    Sijuwi Kama watasalimiana 😅😅😅😅

  • @user-ck3sj6ni4z

    @user-ck3sj6ni4z

    29 күн бұрын

    Umewaza kama mimi..Yan nimecheka balala😂😂😂

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fpАй бұрын

    Nyosha baba

  • @user-jd6kn6wr9t
    @user-jd6kn6wr9t7 күн бұрын

    Tatz advocate mnasahau nguvu ya media 😂😂😂😂

  • @ezramhegele9460
    @ezramhegele9460Ай бұрын

    Ili apewe udocta bado nn hajatimiza mhe.?

  • @kingthedon508
    @kingthedon5084 күн бұрын

    Hiv wakuu wa mikoa wengine tofaut na makonda na chalamila wanafanya kaz gan?

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yzАй бұрын

    😂😂😂😂😂 baba eveniii pole sana

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735Ай бұрын

    Wanasheria wa halmashauri wanachafua jina la wanacheria wachache wazuri. Hapa hiki jambo limepita kiutaniutani lakini uhalisia unaonyesha jinsi gani wanasheria wanaweza kuwa wachafu.

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543Ай бұрын

    Namjua huyo mzee wa dear gambe?

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga156029 күн бұрын

    Duhhh jamaangu mwana sheria 😮😮

  • @gallusmbaga5522
    @gallusmbaga5522Ай бұрын

    Hapo kwenye kushuhudia mkataba Wakili wa TLS amezingua

  • @ushindidaycare234
    @ushindidaycare234Ай бұрын

    Yani Mh Kaka hao watakuchosha kwa sababu wilaya kalibu zote zinawatu wasiyo jua kutekeleza wajibuwao mfano: mpaka hapa nilipo tunawiki moja hatuna maji wakati Baba Wawa nyonge alituachia maji .tembea nao kwa makini siyo waku

  • @ladislausmsongole8479
    @ladislausmsongole8479Ай бұрын

    Huyu mwanasheria mwenye mkataba feki ndio ameshapoteza wateja wake na wengine hawawezi kumpa kazi tena

Келесі