MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...
MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 328
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Makondo you deserve everything brother,,, uongozi ni kipawa toka kwa mungu na siyo kujifunza,,,,,makonda nikiongozi huyu ni mwamba wa wakuu wa mikoa wote,,,,,,,rolu modo wa wakuu wa mikoa wote,,,,kama wananchi lazima tuwe wakweli,,,,,,,umeona alivyomnyosha huyo mwanasheri ni nomaaaaaaaa apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 Napenda sana Kuskiliza Mikutano ya Makonda ananikumbusha Mikutano ya Marehem Rais wetu wa awamu ya Tano
Hapa Sasa naona umuhimu wa nafasi ya ukuu wa mkoa, ila Kwa hapa Tanzania, tunae mmoja tuuu Makonda ,
@dorahmushi-we6ts
Ай бұрын
Hata mimi sikujuaga kazi za wakuu wa mikoa mpk umri wangu wa miaka 70. Na naamini wakuu wengi wa mikoa hawajui, niulize, je wakuu wa wilaya majukumu yao ni yepi?
@elizalutiga6287
Ай бұрын
Haswaaa
@saleheinnocent7636
Ай бұрын
Huu ni uongoz wa ki governor wenye sifa za kuchaguliwa na wananchi ebu Ccm mkubali serikali za kimajimbo tupate viongoz wengi km huyu nchi isonge kwa speed ya digital.
@LuhanyaMipawantobi-pj1iu
Ай бұрын
Kuwapata Sasa hao viongozi wazuri ndo issue @@saleheinnocent7636
@natihaikastephano661
22 күн бұрын
Huyu mwanasheria mrefu Yuko vizuri sana.Huyu mwingine wa mji mdogo hamna kitu
Makonda oyeeeeee Nakupenda sana makonda mpaka Nakupenda Tena M/mungu akupe maisha marefu 🌹
Makonda nilikua nakuchukia, ila kwa sasa hakutoi mtu moyoni mwangu. Nimekukubali 100%. Kumbe ulikuwa unasingiziwa ubaya na Askofu feki
@rosetreffert4179
Ай бұрын
Kabisaa ❤!@@!! Tansania yetu ukiwa unafanya kazi nzuri maadui ni wengi ,haswa wala rushwa
@erickmisilakuba6426
Ай бұрын
Naungana na ww kwakwel
@kiondosaimon6149
Ай бұрын
Kama mm tuu ❤❤
@KennethMgona-jy4vc
Ай бұрын
Amina npo pamoja na wew
@AliMasudi-td7gy
Ай бұрын
Makonda kuwa natakwimu ukibishana nae unapoteswa duniani
Wanaomuelewa mhshmw Makonda na team yake tusichoke kuwaombea kwa sababu hawatakosa maadui, kama tujuavyo, alipo Mungu shetani hakosekani. Hivyo maombi ni lazima.
@KennethMgona-jy4vc
Ай бұрын
Npo pamoja na wew
Mheshimiwa sasa nakuelewa ...hii ndio kazi wengi tulitamani kuiona hasa kusimamia haki na kutoa adhabu stahiki kwa wanaokwenda ndivyo sivyo..am now proud of you, and you are my inspiration
@user-jk9np7vc1x
Ай бұрын
huyu mkuu wa mkoa apewe ht mikoa mitano mbona anaimudu
Mh Makonda Asante tumakuelewa wale tunaopenda haki Hakika wewe ni Kiongozi unayoeleza Kila mwanainchi anafunguka masikio mwenye kuelewa Asante Baba
Ndio kamanda wetu Makonda Mungu akusimamie katika kutenda hakki
Makonda hujawahi kuniangusha Mungu akujalie afya njema wewe nihazina Kwa taifa,❤❤❤
@KennethMgona-jy4vc
Ай бұрын
Amina makonda 🎉🎉
Mh. Makonda tafadhali waamshe wakuu wote wa mikoa ya Tanzania wa chape kazi kama wewe. Mikoa miimgi Ina shida nyingi sana hasa Bagamoyo. Basi sisi wananchi tunatamani ungekuwa unazunguka mikoa yote tungeishi kwa matumaini. Mungu akubariki sana lakini ombi letu ni kukuomba uhamasishe wakuu wote wa mikoa wafanye kazi walizoomba. Makonda Kila jambo jema hutoka juu. Tunakuombra sana baraka na afya njema na hatimaye uweze kuhudumia taifa lote maana Mungu anakitumia.
@mathewmalewah
21 күн бұрын
Mmmmh huyu Jamaa ana husubutu wa kweli na sio sifa
Huyu mhe Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha kaziunayo endelea naohao wababaishaji nakuzurumu wananchi pole yao piga kazi mhe ❤
Si jambo zuri kutetea maovu mheshimiwa mwanasheria. RC ana nia njema kwa wananchi.
Malouda you're the best may Allah protect you ❤
Piga kazi Makonda ,wananchi hawakuwa na mahala pa kutoa malalamiko yao,Mungu Akusimamie
Bravo Paul christian makonda....unamuwakilisha vyema mama SAMIA...keep it up
@marcokaroje8980
Ай бұрын
Huyo anatafuta sifa naye anajitafuta kwani hajui kama wewe
@MnubiMm
Ай бұрын
@@marcokaroje8980Hayo MAWAZO yako wewe na ndivyo ulivyo elewa
@fadhilmaxom4760
Ай бұрын
We nae lipumbavu sijui lawapi mtu anatatua kero zs wananchi wewe unaleta hija zako zakifala hapa malaya wakiume wewe nyie ndio mnafanya hii nchi iuzwe nakuonekana wote niwapumbavu kebge wewe@@marcokaroje8980
@marcokaroje8980
Ай бұрын
Rais Samoa naye ni mbabe ?
@MsAggie5
Ай бұрын
@@marcokaroje8980sifa yake faida kwa wanyonge
I love makonda ❤️
Kazi iendelee kaka mungu akulinde na maadui
Makonda jameni ni mtu na nusu❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@KennethMgona-jy4vc
Ай бұрын
Amin
@user-ek6on1rh9x
13 күн бұрын
Umeuaaa vibe uhakika
Ha ha ha makondaa ni genious kwenye uongoz
HUU ni UTAPELI,unajenga eneo la biashara,kisha baada ya muda anakuja mwenye nguvu anahonga ili utolewee!!
Congratulations mh makonda niko na appreciate kazi yako
Mungu mbariki makonda
Bora mgekaa kimya tu maana hamjui wanayopitia maumivu wananchi wasio kuwa na uwezo
@dorahmushi-we6ts
Ай бұрын
Lkn mwenzie akinyolewa hajui anatakiwa zake atie maji...
Wanasheria waserekali kuweni makini msilitafutie taifa hili matatizo ni madudu tuu wasomi fekii😂😂😂😂😂😂
wanasheria wa serikali ni shida kwenye Taifa hili
@hamudshabani7801
Ай бұрын
Hawa ndo wanaoliingiza taifa kwenye mikataba mibovu inayoitafuna nchi kwa kushirikiana na walafi
Muombeeni Makonda Mungu amkinge kila aina yamabalaa
Mh! Mkuu wa mkoa Paul Makonda kwa kweli sijawahi ona uongozi uliotukuka kiasi hiki Mungu akuzidishie hekima na busara na utetezi huo wa wanyonge; natamani siku moja uwe waziri fulani
Tuna tuzo kuubwa Tanzania mungu ametupatia makonda piga kaziiiiii babaaa 🙏🙏🙏
mwanasheria acha kutetea mkataba BATWILI!! Ahsante BROTHER MAKONDO!!
@ismailahmed5133
17 күн бұрын
Makondo ni yupi?
@Alexismadimo
15 күн бұрын
@@ismailahmed5133error
Wahuni tu wanasheria ndio wanao wapa vichwa wapigaji wanachanganya sanaa serikali inapata shida hao ndio nuksi
MGEMSHITAKI KWA UTAPELI HUYO MWANASHELIA SIO KAZI YAKE 😂😂😂😂😂
Kuanzia Sasa wew nimagufuli mungu akubaliki akuepushe na mabalaayote
“Mwanasheria profesheno”😂 Enheee🤣🤣
RC P Makonda, upo vizuri una jeshi kamili la wataalam kwenye vikao nyako ,asante sana
Ubarikiwe Mh. Makonda tenda haki kwa kuzingatia kesho kwa m.mungu malipo mwema. Umeletwa na mungu shukrani sanaaa 🤲 mpaka machozi yanatoka💪💯🙏✅🇹🇿🌹🌹🌹🌹
MAKONDA ❤❤❤
Tatizo nikwamba inch za Africa azipendi msamakweli. Makonda anafaakuwa hata rais wa inch, acha tusubiri. Tanzania mnabahati yakupata viongizi wazuri lakini mnatamani watoke. I wish him he can becoming a presindent for my coutry. Makonda oyeeeeeeeeee❤
Makonda uongozi wako una hofu ya mungu. Endelea umtegemea mungu ktk kazi zako❤
Mwanasheria Profeshenoooo
@MsAggie5
Ай бұрын
😂
Mwanasheria professional
Kama viongozi wote wa ccm watakuwa kama makonda upinzani wakazi sasa
Arusha mungu kawaona wenzetu
Kumbe rais. Samia Kumpa ukuu wamkoa Makonda sahihi Haya angekuwa Katibu asingeyaweza Kwasasa watanyooka
Me naomba makonda akabiziwe mikoa yote ya Tanzania awe anasimamia yeye
Huyu mwana sheria nimemkumbuka mwaka flani hivi usharikani alikuwa nana kashutuma 😊
@JuliusLomanya
Ай бұрын
Alafu ety na Sisi tunasema tunao wanasheria duuh
@user-hw6zp5mz8m
Ай бұрын
❤
Sukuma ndani hao
Huyu mbabaisha tu hana sifa za uanasheria maana anaonekana ni sehemu ya wahujumu uchumi wa nchi
Kweli kapata za uso
@user-ii6gs2jg4g
Ай бұрын
Hakika
asante sana mwanasheria makonda ni mpigadebe
Aiseeee
Akichukua fomu ya urais makonda alafu akipita dah watammaliza afiki mbali watamuuwa
@nestorypastory6882
Ай бұрын
Wengi wanaofia hatua huyo ila itakuwa vyema sana akichukuwa form
Daah..hii nchi
Hakika Makonda wewe ni mfano wa kuigwa.umevaa uzalendo wa kweli,Mungu akupe maisha marefu
Mkuu wa mkowa ongera sana
Ifikia hatua kuwe na cheo cha kusimamia wakuu wote wa mkoa halaf Makonda awe ndo top wananchi tungeenjoy
Ni ishara nzr na unawakilisha vyema vijana tujifunze kupitia kwako.
Makonda yuko vizuri zaidi
etii umepigwa spana😂😂😂😂😂
@stephenkalidush5446
Ай бұрын
lizards never lack
Kimeumana!!!❤
Tunashukuru sana Mhe RC Makonda kusikia mikataba ilikuwa endelevu. Lakini kosa lilikuwa kwa Mkuu wa Nchi JPM ambapo ndie aliagiza watu kunyan'ganywa vibanda hivyo. Lakini uhalisia ni kwamba vibanda hivyo vinapaswa kurudi kwa waliovijenga vyote Nchi nzima Mhe RC Makonda jamani.
Mungu wa mbinguni akulinde
Makonda Bi up 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwanasheria anatamani ayeyuke kama mchaw😅😅
@benardpeter3562
Ай бұрын
😅😅😅😅
Wasomi wa kizazi kipyaa wanazidiwa akili na maalifa ata na Mama ntilie ni vile tuu Mama ntilie hawana vyeti vya kuheshimika na wao wamepata nafasi ya vyeti vya kuheshimika Lakini uchukue msomi Na Mama ntilie uwape laki 5 kilammoja ndani ya miezi 3 msomi utamkuta atamaniki.... Na Mama ntilie utakuta amefanikiwa kupita kiwango na laki 5 yako atakurejeshea
Muongp huyo mwanasheria wa michongo michongo 😂😂
Huyo mwanasheria alikua anachunga ngombe.
@zulekhasaud483
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Dah jamn mpaka uruma mzee wetu
Uwezo wa kusikiliza hoja upo chini sana. Hivyo kujua kiini cha tatizo hakiwezi kupatikana.
🔥🚒
Mwenye nguvu mpishe,ilikuwa zamani co sasa,haonewi m2,mwanasheria archie ngazi
Wakuu wa mikoa mingine wako wapi? Hatuwasikii
Uuuuwh uyu mzee jamn mwachen
Huyu mzee wa nyuma alitaka amgonge na maiki hili boya na suti yake ya bluuu😅😅😅😅 ndo kwanza anapigishwa pindi na litaaramu TANGANYIKA LAW SOCIETY ...mwanasheri a miyeyusha huyo 😅😅😅 kwanza hajui anacho sema
❤❤
Mikataba hiyo ni sahiii
@MsAggie5
Ай бұрын
Mimi si mwanasheria lakini sijawahi ona mkataba ulioandikwa Kwa kuchapwa pia Kwa mkono halafu wenye tarehe tofauti. Hata mtu asiyejua sheria anaona hapo si sahihi
Wanasheria wa Tanzania ni hovyo kabisa
Huu ushindani umeelemea upande mmoja,wakili wa upande wa pili hawezi kufanya kazi kwa confidence
RC OYEEEE🎉
Makonda juuuuuuuuuuuuuuuuuu
Makonda wewe uko juu.....
Piga kazi kaka
makonda uwezo wako uko juu sana kaka
Kumbe watu walikua wakusema vbaya kumbe ww nijembe wakuu wa mikoa wanajifunza Nini hapo tendeni kama makonda mungu ataweka mkongo wake
Ulipaswa kujua huo udhaifu kabla ya kuja hapo,sio unakuja kutetea ujinga
@user-ii6gs2jg4g
Ай бұрын
Umeona ndugu. Hawa ndio wanatetea mafisadi makonda akichukua hatua anaoenaka mkorofi
@victormichael6100
Ай бұрын
AKILI KUBWA
Huyo mzee wa nyuma alivyoshangilia mpaka mwanasheria kamgeukia😂😂😂😂
@rewardyesse7314
28 күн бұрын
Kashamkariri
Hiyo jamaa anajikanyaga kila kona kama amezoea kunyoosha maneno ya zulma Leo Mungu amewaonea huruma wananchi nakuufinya ulimi wako ona unavyojingata mwenyewe
Sijuwi Kama watasalimiana 😅😅😅😅
@user-ck3sj6ni4z
29 күн бұрын
Umewaza kama mimi..Yan nimecheka balala😂😂😂
Nyosha baba
Tatz advocate mnasahau nguvu ya media 😂😂😂😂
Ili apewe udocta bado nn hajatimiza mhe.?
Hiv wakuu wa mikoa wengine tofaut na makonda na chalamila wanafanya kaz gan?
😂😂😂😂😂 baba eveniii pole sana
Wanasheria wa halmashauri wanachafua jina la wanacheria wachache wazuri. Hapa hiki jambo limepita kiutaniutani lakini uhalisia unaonyesha jinsi gani wanasheria wanaweza kuwa wachafu.
Namjua huyo mzee wa dear gambe?
Duhhh jamaangu mwana sheria 😮😮
Hapo kwenye kushuhudia mkataba Wakili wa TLS amezingua
Yani Mh Kaka hao watakuchosha kwa sababu wilaya kalibu zote zinawatu wasiyo jua kutekeleza wajibuwao mfano: mpaka hapa nilipo tunawiki moja hatuna maji wakati Baba Wawa nyonge alituachia maji .tembea nao kwa makini siyo waku
Huyu mwanasheria mwenye mkataba feki ndio ameshapoteza wateja wake na wengine hawawezi kumpa kazi tena