CLASSMATE WA MAGUFULI ALIA MBELE YA MAKONDA ATAJA MADUDU "MWAMBIE RAIS, KUNA MAJAMBAZI MAJIZI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 303
@mailisagaswe15448 ай бұрын
Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde
@petermarco8656
8 ай бұрын
Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma
@pendomushi63518 ай бұрын
Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa
@claudiayohana65768 ай бұрын
Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢
@MohamedMjenga-vq8vc
7 ай бұрын
Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda
@AishaHussein-en3wf
8 күн бұрын
Apo ajiandae.
@mweyoms55488 ай бұрын
Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.
@modestarubunda42508 ай бұрын
Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.
@aloycesamba9988 ай бұрын
Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭
@revocatussebastian24278 ай бұрын
Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye
@Hustlersec
8 ай бұрын
Acha unafki wewe
@salimalaquimane3077
5 ай бұрын
Ana safari za nje
@BoisDonkoil-rk8lr
25 күн бұрын
Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake
@stellamsokwa67858 ай бұрын
Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏
@maswamills3161
8 ай бұрын
AMEN
@scudmethoo1361
7 ай бұрын
1:15 😅
@AbasJeilan-ns8yp8 ай бұрын
Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi
@laurnyandwi-sb1gu8 ай бұрын
Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢
@Donrugi8 ай бұрын
mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea
@MCNgakungaJunior
8 ай бұрын
Kabisa ni sauti inayovuta usikivu
@rubondopharmacy
8 ай бұрын
hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri
Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana
@WinifridaJonathan-cq2nw8 ай бұрын
Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....
@ashelgabriel16968 ай бұрын
Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana
@lanlady25048 ай бұрын
Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi
@JamesJuma-zy8cn8 ай бұрын
Huyo mzee anafaa kuwa mbunge
@JackobGalish-ky3no
8 ай бұрын
Atalia Sana bungeni😂
@mconedimple53648 ай бұрын
Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako
@anthonikabuye68198 ай бұрын
kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu
@FatnaAlly-go7yt9 күн бұрын
Allah awajaalie kila lenye mafanikio
@Hillary_Daudi_Mrema8 ай бұрын
Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jamilahjamilah4157
8 ай бұрын
Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote
@user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын
Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani
@user-bj3sb6ml7b8 ай бұрын
Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais
@annamwangomo70698 ай бұрын
Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli
@Hasnspop8 ай бұрын
Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂
@gosbertmuta5421
8 ай бұрын
Mbwa hawa
@lilyrose7983
8 ай бұрын
😂😂😂
@mwinshehenassib48538 ай бұрын
Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao. Hati yangu imenasia wizarani hadi leo. Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje" Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢
@user-od5si7ld6bАй бұрын
Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏
@johnsebastian-bx6qn8 ай бұрын
Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana
@happyfaniabatromeo80108 ай бұрын
😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@pendomushi6351
8 ай бұрын
Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni
@RacherBakari-qh2gx8 ай бұрын
Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione
@erickmsigala1388 ай бұрын
Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi
@malianonicass7029
8 ай бұрын
Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii
@aminahkazumari89528 ай бұрын
Mashallah moyo wangu una furaha tele
@mamapeace67308 ай бұрын
Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote
@jamesmachiwa36798 ай бұрын
Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.
@nimrodsigulu62498 ай бұрын
Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..
@alexanderdustan8872
8 ай бұрын
Ni kweli kabsa mojawapo ni wewe
@user-xz4mc4ec7x8 ай бұрын
Mzee apewe ulinzi
@asmahchongoe11178 ай бұрын
Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢
@neemanziku54038 ай бұрын
Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua
@MSOMBAAlon-gh3ps8 ай бұрын
Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww
@songeza4 ай бұрын
Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana
@user-qz5xv5if2u8 ай бұрын
Nakupenda makonda mungu akurinde
@user-kp3vc4rj9o8 ай бұрын
Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv
@henryj33048 ай бұрын
Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr
@mwejstar56785 ай бұрын
Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...
@bwetungegodfrey41318 ай бұрын
Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.
@gladistaemanueliy63368 ай бұрын
Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha
@user-fb6dh6sz2g8 ай бұрын
Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu
@hidayaswai31198 ай бұрын
Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache
@user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын
Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani
@stellamsokwa6785
8 ай бұрын
Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶
@user-po5tm4we4b
8 ай бұрын
Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo
@user-bx3kl4hn6j
8 ай бұрын
@@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani
@MwigaKatumpula-mi3zt8 ай бұрын
Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃
@kambamazig020248 ай бұрын
Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.
@robertigohe7477
8 ай бұрын
Lukuvi Yuko wapi?
@hojamathias99898 ай бұрын
Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu
@yahayamboka9963
8 ай бұрын
Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo
@yohanantemi1008 ай бұрын
Ubarikiwe makonda
@PaskaliCharles-pz8ds7 ай бұрын
Yafanyie kazi mh Mzee analia
@annaepmack72708 ай бұрын
sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭
@user-un2fk7iz7s8 ай бұрын
Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki
@Nyaburyaofficial2178 ай бұрын
R.I.P Magufuli
@LoveWity5 ай бұрын
Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo
@bashobabaraka7068 ай бұрын
Safi Sana mzee
@ahz69078 ай бұрын
Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂
@user-os3yw8hy3w8 ай бұрын
Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri
@user-kd3ey6ez5s4 ай бұрын
Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.
@joakweyahighdigitaltechnol41698 ай бұрын
Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge
@majigeedward9558 ай бұрын
Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao
@user-gu3ol1rv8g5 ай бұрын
Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌
@jamtv18838 ай бұрын
Hii nchi nzito 😅😅😅
@eliamkongwa14508 ай бұрын
Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda
@marthaswai11858 ай бұрын
Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha
@marthaswai1185
5 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG
@davidonelinetv45768 ай бұрын
Daaah inauma sana😢😢
@violethbosha16666 ай бұрын
Njoo kigoma baba
@samwelipima37958 ай бұрын
Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde
@jacklinakinabo64798 ай бұрын
Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu
@eggysulle79888 ай бұрын
🔥
@paschaljoh57298 ай бұрын
Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako
@andrewmwakiholano2555
8 ай бұрын
Kabisa
@evampuya-mp9vf8 ай бұрын
Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji
@nelsonnyamle8 ай бұрын
Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Miaka 60 ya CCM
@user-io1et5ei6p8 ай бұрын
Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.
@barryrioba39348 ай бұрын
RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.
@jamesmulwa11377 ай бұрын
Makonda ni magufuli kweli
@jamilahjamilah41578 ай бұрын
Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana
@ibrahimally8073
8 ай бұрын
Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..
@user-fb6dh6sz2g
8 ай бұрын
@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa
@user-bd1qi9lk9y5 ай бұрын
Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida
@mariethjohn30748 ай бұрын
Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana
@user-uk9vm5jn9d5 ай бұрын
Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa
@jaymalebo21598 ай бұрын
Makondaa Mungu akubariki
@nero79415 ай бұрын
Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢
@dinaalfani5 ай бұрын
Alhamdulilah❤❤ makomd
@innocentludovick47248 ай бұрын
Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.
@abdultandala65768 ай бұрын
Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.
@nbanba71388 ай бұрын
Hii sasa safi👍
@vickysteven11725 ай бұрын
Mungu akutunze makonda wasikumalize
@user-gw8xt6gr4j8 ай бұрын
Naomba raisi watu amrudishe lukuvi wizara ya ardhi hapo ndo ataweza ardhi
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Uzuni chapa kazi bb
@gosbertmuta54218 ай бұрын
Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi
@azizalivingston19545 ай бұрын
Hongela baba hii ujasir mkubwa
@scolasticakaduma51438 ай бұрын
Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.
@user-xe3fo1bh5s8 ай бұрын
Makonda safi sana
@finehotelzanzibar8 ай бұрын
Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊
Пікірлер: 303
Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde
@petermarco8656
8 ай бұрын
Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma
Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa
Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢
@MohamedMjenga-vq8vc
7 ай бұрын
Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda
@AishaHussein-en3wf
8 күн бұрын
Apo ajiandae.
Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.
Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.
Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭
Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye
@Hustlersec
8 ай бұрын
Acha unafki wewe
@salimalaquimane3077
5 ай бұрын
Ana safari za nje
@BoisDonkoil-rk8lr
25 күн бұрын
Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake
Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏
@maswamills3161
8 ай бұрын
AMEN
@scudmethoo1361
7 ай бұрын
1:15 😅
Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi
Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢
mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea
@MCNgakungaJunior
8 ай бұрын
Kabisa ni sauti inayovuta usikivu
@rubondopharmacy
8 ай бұрын
hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri
Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho
Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana
Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....
Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana
Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi
Huyo mzee anafaa kuwa mbunge
@JackobGalish-ky3no
8 ай бұрын
Atalia Sana bungeni😂
Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako
kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu
Allah awajaalie kila lenye mafanikio
Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jamilahjamilah4157
8 ай бұрын
Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote
Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani
Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais
Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli
Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂
@gosbertmuta5421
8 ай бұрын
Mbwa hawa
@lilyrose7983
8 ай бұрын
😂😂😂
Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao. Hati yangu imenasia wizarani hadi leo. Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje" Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢
Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏
Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana
😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@pendomushi6351
8 ай бұрын
Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni
Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione
Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi
@malianonicass7029
8 ай бұрын
Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii
Mashallah moyo wangu una furaha tele
Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote
Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.
Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..
@alexanderdustan8872
8 ай бұрын
Ni kweli kabsa mojawapo ni wewe
Mzee apewe ulinzi
Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢
Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua
Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww
Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana
Nakupenda makonda mungu akurinde
Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv
Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr
Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...
Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.
Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha
Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu
Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache
Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani
@stellamsokwa6785
8 ай бұрын
Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶
@user-po5tm4we4b
8 ай бұрын
Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo
@user-bx3kl4hn6j
8 ай бұрын
@@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani
Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃
Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.
@robertigohe7477
8 ай бұрын
Lukuvi Yuko wapi?
Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu
@yahayamboka9963
8 ай бұрын
Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo
Ubarikiwe makonda
Yafanyie kazi mh Mzee analia
sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭
Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki
R.I.P Magufuli
Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰
Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo
Safi Sana mzee
Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂
Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri
Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.
Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge
Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao
Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌
Hii nchi nzito 😅😅😅
Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda
Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.
@tanzcanmediatv4473
5 ай бұрын
Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha
@marthaswai1185
5 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG
Daaah inauma sana😢😢
Njoo kigoma baba
Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde
Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu
🔥
Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako
@andrewmwakiholano2555
8 ай бұрын
Kabisa
Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji
Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?
@adelinelyaruu3036
5 ай бұрын
Miaka 60 ya CCM
Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.
RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.
Makonda ni magufuli kweli
Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana
@ibrahimally8073
8 ай бұрын
Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..
@user-fb6dh6sz2g
8 ай бұрын
@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa
Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida
Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana
Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa
Makondaa Mungu akubariki
Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢
Alhamdulilah❤❤ makomd
Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.
Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.
Hii sasa safi👍
Mungu akutunze makonda wasikumalize
Naomba raisi watu amrudishe lukuvi wizara ya ardhi hapo ndo ataweza ardhi
Uzuni chapa kazi bb
Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi
Hongela baba hii ujasir mkubwa
Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.
Makonda safi sana
Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊
Daah inauma sana aise 😥😥😥
Jmn jmn makonda mbn unarithi tabia ya magu