CLASSMATE WA MAGUFULI ALIA MBELE YA MAKONDA ATAJA MADUDU "MWAMBIE RAIS, KUNA MAJAMBAZI MAJIZI"

Пікірлер: 303

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe15448 ай бұрын

    Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde

  • @petermarco8656

    @petermarco8656

    8 ай бұрын

    Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma

  • @pendomushi6351
    @pendomushi63518 ай бұрын

    Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana65768 ай бұрын

    Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢

  • @MohamedMjenga-vq8vc

    @MohamedMjenga-vq8vc

    7 ай бұрын

    Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda

  • @AishaHussein-en3wf

    @AishaHussein-en3wf

    8 күн бұрын

    Apo ajiandae.

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55488 ай бұрын

    Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda42508 ай бұрын

    Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba9988 ай бұрын

    Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian24278 ай бұрын

    Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye

  • @Hustlersec

    @Hustlersec

    8 ай бұрын

    Acha unafki wewe

  • @salimalaquimane3077

    @salimalaquimane3077

    5 ай бұрын

    Ana safari za nje

  • @BoisDonkoil-rk8lr

    @BoisDonkoil-rk8lr

    25 күн бұрын

    Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa67858 ай бұрын

    Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    8 ай бұрын

    AMEN

  • @scudmethoo1361

    @scudmethoo1361

    7 ай бұрын

    1:15 😅

  • @AbasJeilan-ns8yp
    @AbasJeilan-ns8yp8 ай бұрын

    Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu8 ай бұрын

    Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢

  • @Donrugi
    @Donrugi8 ай бұрын

    mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea

  • @MCNgakungaJunior

    @MCNgakungaJunior

    8 ай бұрын

    Kabisa ni sauti inayovuta usikivu

  • @rubondopharmacy

    @rubondopharmacy

    8 ай бұрын

    hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle8 ай бұрын

    Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho

  • @JaphethIbrahim
    @JaphethIbrahim3 күн бұрын

    Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw8 ай бұрын

    Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel16968 ай бұрын

    Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana

  • @lanlady2504
    @lanlady25048 ай бұрын

    Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn8 ай бұрын

    Huyo mzee anafaa kuwa mbunge

  • @JackobGalish-ky3no

    @JackobGalish-ky3no

    8 ай бұрын

    Atalia Sana bungeni😂

  • @mconedimple5364
    @mconedimple53648 ай бұрын

    Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako

  • @anthonikabuye6819
    @anthonikabuye68198 ай бұрын

    kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt9 күн бұрын

    Allah awajaalie kila lenye mafanikio

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema8 ай бұрын

    Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jamilahjamilah4157

    @jamilahjamilah4157

    8 ай бұрын

    Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын

    Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani

  • @user-bj3sb6ml7b
    @user-bj3sb6ml7b8 ай бұрын

    Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais

  • @annamwangomo7069
    @annamwangomo70698 ай бұрын

    Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli

  • @Hasnspop
    @Hasnspop8 ай бұрын

    Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    8 ай бұрын

    Mbwa hawa

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib48538 ай бұрын

    Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao. Hati yangu imenasia wizarani hadi leo. Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje" Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6bАй бұрын

    Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn8 ай бұрын

    Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo80108 ай бұрын

    😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @pendomushi6351

    @pendomushi6351

    8 ай бұрын

    Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx8 ай бұрын

    Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala1388 ай бұрын

    Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi

  • @malianonicass7029

    @malianonicass7029

    8 ай бұрын

    Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii

  • @aminahkazumari8952
    @aminahkazumari89528 ай бұрын

    Mashallah moyo wangu una furaha tele

  • @mamapeace6730
    @mamapeace67308 ай бұрын

    Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote

  • @jamesmachiwa3679
    @jamesmachiwa36798 ай бұрын

    Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu62498 ай бұрын

    Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..

  • @alexanderdustan8872

    @alexanderdustan8872

    8 ай бұрын

    Ni kweli kabsa mojawapo ni wewe

  • @user-xz4mc4ec7x
    @user-xz4mc4ec7x8 ай бұрын

    Mzee apewe ulinzi

  • @asmahchongoe1117
    @asmahchongoe11178 ай бұрын

    Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54038 ай бұрын

    Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps8 ай бұрын

    Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww

  • @songeza
    @songeza4 ай бұрын

    Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u8 ай бұрын

    Nakupenda makonda mungu akurinde

  • @user-kp3vc4rj9o
    @user-kp3vc4rj9o8 ай бұрын

    Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv

  • @henryj3304
    @henryj33048 ай бұрын

    Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr

  • @mwejstar5678
    @mwejstar56785 ай бұрын

    Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey41318 ай бұрын

    Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy63368 ай бұрын

    Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g8 ай бұрын

    Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai31198 ай бұрын

    Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын

    Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani

  • @stellamsokwa6785

    @stellamsokwa6785

    8 ай бұрын

    Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶

  • @user-po5tm4we4b

    @user-po5tm4we4b

    8 ай бұрын

    Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo

  • @user-bx3kl4hn6j

    @user-bx3kl4hn6j

    8 ай бұрын

    @@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt8 ай бұрын

    Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020248 ай бұрын

    Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.

  • @robertigohe7477

    @robertigohe7477

    8 ай бұрын

    Lukuvi Yuko wapi?

  • @hojamathias9989
    @hojamathias99898 ай бұрын

    Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu

  • @yahayamboka9963

    @yahayamboka9963

    8 ай бұрын

    Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo

  • @yohanantemi100
    @yohanantemi1008 ай бұрын

    Ubarikiwe makonda

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds7 ай бұрын

    Yafanyie kazi mh Mzee analia

  • @annaepmack7270
    @annaepmack72708 ай бұрын

    sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭

  • @user-un2fk7iz7s
    @user-un2fk7iz7s8 ай бұрын

    Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial2178 ай бұрын

    R.I.P Magufuli

  • @LoveWity
    @LoveWity5 ай бұрын

    Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11548 ай бұрын

    Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo

  • @bashobabaraka706
    @bashobabaraka7068 ай бұрын

    Safi Sana mzee

  • @ahz6907
    @ahz69078 ай бұрын

    Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂

  • @user-os3yw8hy3w
    @user-os3yw8hy3w8 ай бұрын

    Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri

  • @user-kd3ey6ez5s
    @user-kd3ey6ez5s4 ай бұрын

    Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.

  • @joakweyahighdigitaltechnol4169
    @joakweyahighdigitaltechnol41698 ай бұрын

    Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge

  • @majigeedward955
    @majigeedward9558 ай бұрын

    Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao

  • @user-gu3ol1rv8g
    @user-gu3ol1rv8g5 ай бұрын

    Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌

  • @jamtv1883
    @jamtv18838 ай бұрын

    Hii nchi nzito 😅😅😅

  • @eliamkongwa1450
    @eliamkongwa14508 ай бұрын

    Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda

  • @marthaswai1185
    @marthaswai11858 ай бұрын

    Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    5 ай бұрын

    Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha

  • @marthaswai1185

    @marthaswai1185

    5 ай бұрын

    @@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG

  • @davidonelinetv4576
    @davidonelinetv45768 ай бұрын

    Daaah inauma sana😢😢

  • @violethbosha1666
    @violethbosha16666 ай бұрын

    Njoo kigoma baba

  • @samwelipima3795
    @samwelipima37958 ай бұрын

    Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo64798 ай бұрын

    Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle79888 ай бұрын

    🔥

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh57298 ай бұрын

    Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako

  • @andrewmwakiholano2555

    @andrewmwakiholano2555

    8 ай бұрын

    Kabisa

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf8 ай бұрын

    Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle8 ай бұрын

    Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Miaka 60 ya CCM

  • @user-io1et5ei6p
    @user-io1et5ei6p8 ай бұрын

    Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.

  • @barryrioba3934
    @barryrioba39348 ай бұрын

    RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.

  • @jamesmulwa1137
    @jamesmulwa11377 ай бұрын

    Makonda ni magufuli kweli

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah41578 ай бұрын

    Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    8 ай бұрын

    Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..

  • @user-fb6dh6sz2g

    @user-fb6dh6sz2g

    8 ай бұрын

    ​@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa

  • @user-bd1qi9lk9y
    @user-bd1qi9lk9y5 ай бұрын

    Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida

  • @mariethjohn3074
    @mariethjohn30748 ай бұрын

    Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana

  • @user-uk9vm5jn9d
    @user-uk9vm5jn9d5 ай бұрын

    Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo21598 ай бұрын

    Makondaa Mungu akubariki

  • @nero7941
    @nero79415 ай бұрын

    Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢

  • @dinaalfani
    @dinaalfani5 ай бұрын

    Alhamdulilah❤❤ makomd

  • @innocentludovick4724
    @innocentludovick47248 ай бұрын

    Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.

  • @abdultandala6576
    @abdultandala65768 ай бұрын

    Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.

  • @nbanba7138
    @nbanba71388 ай бұрын

    Hii sasa safi👍

  • @vickysteven1172
    @vickysteven11725 ай бұрын

    Mungu akutunze makonda wasikumalize

  • @user-gw8xt6gr4j
    @user-gw8xt6gr4j8 ай бұрын

    Naomba raisi watu amrudishe lukuvi wizara ya ardhi hapo ndo ataweza ardhi

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos3 ай бұрын

    Uzuni chapa kazi bb

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta54218 ай бұрын

    Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi

  • @azizalivingston1954
    @azizalivingston19545 ай бұрын

    Hongela baba hii ujasir mkubwa

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma51438 ай бұрын

    Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s8 ай бұрын

    Makonda safi sana

  • @finehotelzanzibar
    @finehotelzanzibar8 ай бұрын

    Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊

  • @user-gx7uk1qe6n
    @user-gx7uk1qe6n5 ай бұрын

    Daah inauma sana aise 😥😥😥

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa42218 ай бұрын

    Jmn jmn makonda mbn unarithi tabia ya magu

Келесі