UTACHEKA! OSCAR AKIIGIZA SAUTI YA MAGUFULI "MAKONDA NITAMTUMBUA HAPAHAPA"
Ойын-сауық
UTACHEKA! OSCAR AKIIGIZA SAUTI YA MAGUFULI "MAKONDA NITAMTUMBUA HAPAHAPA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 79
Kwamalechela umeupiga mwingiii!!!!
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉kazi iendelee
Wa kwanza hapa
Hii sio sauti ya Magufuli ni Nyerere hapo
@aldomtate575
8 ай бұрын
MWishoni amemaliza na sauti ya Magufuli kabsa😂😂
@sethnsohoye1220
8 ай бұрын
Wewe skiliza hadi mwisho utaisikia sauti ya magufuli
@user-vv3ep8tw5b
7 ай бұрын
Bado saan
Hii siyo sauti ya Magufuli ni sauti ya Nyerere bhana rekebisheni, Enzi za nyerere Makonda alikuwa bado mdogo sana
Hii imeenda
Ñoma saana aisee 🔥💥🖐️
Yuyo jama noma sana hongela sana
Hongera sana umewezaa
JPM wetu hoyeeeeeeeeeee♥️
Jamaa kakunja ndita kweli kweli!
Makonda ni mtumishi wa Mungu hiyo haipingiki
Hongera kwa kumuigiza Baba wa Taifa, lakini hicho Ni kilemba cha ukoka jitafakarini CCM.
Shida ya kuajiri vijana wadogo WASIO jua maraisi wao sasa huyu si Nyerere magufuli Ako wapi 🤣
@Magicvoi
8 ай бұрын
Uko sahihihi dg😂😂😂
@user-zl5mt6lk4n
8 ай бұрын
Sikiliza mpk mwisho ndo utaelewa hyo Mwisho saut ya Magufuli ndo kasema atamtumbua
@yohanamagehematictok
8 ай бұрын
Tatizo mnasikiliza nusunusu
@jenahando2747
8 ай бұрын
@@yohanamagehematictok ndio hivyo. Wanatakiwa wamalize
@AliMahmoud-tj2jb
8 ай бұрын
Kama anamuigiza nyerere bac hampatii kabisa
CCM....hizi sarakasi hazifai kabisa.
@BigZhumbe
8 ай бұрын
Kwa nini?
Sasa huyu magu au nyerere
Ukimkuta anasema SENJELE MIE NACHOKA TUTAENDELEA KESHO 😂😂😂 KAMA SIO YEYE
@ONEdreamfilmtz
8 ай бұрын
Haaaaahaaa kama sio yeye vile
Safii sanaaa
Ni sauti ya Hayati Nyerere.
Huyu jamaa kiboko 😅😅
SHANGWE LA SAUTI YA MAGUFULI INAASHILIA KITU GANI KWA WEWE ULIYE SOMA QUBA 🤔🤔 LETE MAJIBU
@sophiajohn2958
8 ай бұрын
Magufuli kipenzi cha wa Tanzania Milele Wametajwa watu walio hai lakini mashangilio yalikua chini lakini kwa Magufuli shangwe juuu,huyu baba japo amekufa kimwili lakini Roho yake inaishi nasi upendo na matendo mema kwetu❤❤❤Mungu akulaze mahali pema peponi Magufuli wetu Rais kipenzi cha wa Tanzania Amina
Huyo sauti ni ya baba wa taifa mwl JK Nyerere,acha uongo
🎉🎉🎉🎉
Hongera mh: Paulo makonda.
@ZuhuraThabit-do3ep
7 ай бұрын
Mbengu ya magu iyo mungu akulinde makonda 🇹🇿
Huyu jamaa ni hatari aisee sio jambo la kawaida kuiga sauti za watu wengi ni kipaji kikubwa sana.
,💥💥💥🔥🔥🔥🔥💥💥
Naomba namba ya Makonda jamani
Huyu jamaa noma sana anajua kuigiza
Akashughulike nao kivipi sasa.
nyelele sio magufuri
@user-ot8fp5pu9g
8 ай бұрын
"Nyelele"...hivi hata kusoma hujawahi kuona kwamba ni "Nyerere"??..dumb ass!!
Ya Halima Mdee bado
Oscar umetisha
Hamna kitu hapo
Nyelele huyo sio magufuli
Ali Tambaa na hela ya Tasafu Magu Alisema Aludishe haja ludisha
Baraka is the Best
Kwani Atalipiza kisasi kwa nani ? Walimufanyanini?Twambieni?Au Nape auGwajima Mbona ni wenjetu hawa
Mh sio magufuli huyu
Nyerere na jpm ndo anazoweza vema
ila baraka mbaya zaid
Sauti ya nyerere
Mungu yupo upende wako daima! Hongera.
Asingekuja ccm Safar hii ccm ingelala mbele
huyo ni nyerere sio magufuri
Makonda kiboko jmungu akulinde
Ccm yooyee
uchawa ni utumwa ,ivi machawa wana wake majumbani mwao kweli .
Huyu jamaa akili mingi sana
Watu wamesikia sauti ya JPM kelele za kutosha
Jpm hoyeee
Sauti ya nyerere ,sio Magufuli
@mkwinda
7 ай бұрын
Ameziigiza Sauti Tofauti tofauti
Kampeni zmeanza kwan
😂😂😂😂😂😂
Wapi maokoto
machawa kusifia Kila kitu
Huyu jamaa ni senjele au
@bakaryiddy431
8 ай бұрын
Ndio yeye 😂
Hii sio sauti ya maguful ni sauti ya nyerere au wewe mwandishi humufahamu nyerere???
😂💔😢
Pumbav kabisa 😢😢
Kama tairaa
@najmasalim-rg6ow
8 ай бұрын
Bado ujasema
Wewe nimjinga unasifia ujinga wakat nchi Iko vibaya jifanye unasifia wakati watoto wako wanalala na njaa mjinga mkubwa
Anaweza sauti ya hayati nyerere zingine Ni uzushi
@SsSs-zz7pc
4 ай бұрын
Sikiliza mwisho