Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
@deusmbuge5740
6 ай бұрын
Nimecheka sana aisee duh!... Binadamu tunatofautiana sana.
@Wamoyothenumberone
6 ай бұрын
Kampeni baba tunaenda
@trophywilson7211
6 ай бұрын
hahaha Mungu si Mwanadamu
@islandinsuranceagency8008
5 ай бұрын
Maaanina ndo ujue hizi dini zimebebwa na masela
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
5 ай бұрын
Ahaaahahh😂yaani sio kila nabii ni nabii
@servantofalmightygoddranth25116 ай бұрын
Kweli binadamu tunakutana, makonda na gwajima wakutana
@SamweliMuhabwa-dr7bd6 ай бұрын
Mh Makonda Uishi Milele Mungu akubariki sana kwa kweli wewe ni kiongozi kabisa
@victorguapo7827
6 ай бұрын
Walishagakutanishwa na mzee zamani mno wakapatana
@prosperjuma9056 ай бұрын
Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa madhabahuni leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
@msatibongonyuzi146 ай бұрын
Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana
@tinajoe54875 ай бұрын
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi,Gwajima kakudhalilisha Lakini Leo akaa Mungu kakuheshimisha Kaka Gwajima anakusujudia na Wewe Sasa ni Boss Wake
@zainabumohamed47636 ай бұрын
Yaani we kaka mmungu akuweke Sana,huna baya
@jareengeorge54786 ай бұрын
Makonda oyeeeeeeeeee.gwaji boy lazima usujudu huyu ndio boss sasa
@hailehim1
6 ай бұрын
Naona mzee baba anasujudia
@maduhuruben38256 ай бұрын
Ila SIASA hii tabu sana Leo gwajima ana salute kwa makonda 😅😅🤣🤣 nawaza hapa Kati yao nani kainuliwa
@jacksonjamesndyabawe4716 ай бұрын
Safi sana mweshimiwa makonda na gwajima
@veraisaria6 ай бұрын
Dah maisha ya kisiasa ya kijinga sana😂😂😂gwajima ndiye wa kuinama mbele ya makonda😅😅😅😅
@ebenezerchurchsupremetv9490
6 ай бұрын
😂😂😂
@halimamasai22346 ай бұрын
Raha sana leo Gwajiboy na Makonda wamekutana na yameisha kazi inaendelea safi sana Sukuma boy ❤❤❤❤
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
Gwajima alimwambia Makonda maisha ni mzunguko tusitendeane mabaya
@sonnyr1899
6 ай бұрын
@@gibsonjosephat6352 Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.
@trophywilson7211
6 ай бұрын
pesa hahaha
@trophywilson7211
6 ай бұрын
@sonnyr189 9 noti mbaya
@user-yt9zf6xd8n6 ай бұрын
Hongera Makonda tunaomba utussidie mwanza barabara za .mitaa hazipitki Ahsante
@user-fr7jj1bo7y
6 ай бұрын
Bashite ni kichaa anatafuta umaarufu hana uwezo wa kutatua matatizo kama alishindwa akiwa RC ataweza sasa hana mamlaka yeyote
@breymbasa3451
6 ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y akiwa RC na ufaham wako unajua angekuwa na uwezo wa kupita nchi nzima kama anavyozunguka sasa Tofauti ya RC na katibu mwenezi unaijua?
@humphreymkony89156 ай бұрын
Hizo tractor zipelekwe mashambani. Mijini tunahitaji motor graders na 22 kwa jimbo moja ni nyingi mno?
@ausonjustinian46736 ай бұрын
Duh, eee kumbe Mungu wetu ni wa msamaha kwa wamkimbiliao. Na kweli alisema Asie samehe hatasameewa. Mbarikiwe kwa mapatano yenu Amn.
@anafikamugisha88346 ай бұрын
Ninasikia fraha Sana kuona Gwajima na Makonda meza Moja .Ila Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Una Hekima sanaaaa
@iviejustified8109
6 ай бұрын
Huu ndiyo ukuaji wa akili, mwili na roho
@paullyabuyenze1884
6 ай бұрын
Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi
@clevermngao75656 ай бұрын
😂😂😂 Jamani! Jaman! Nimejifunza kuwa katika maisha tuwe na akiba ya maneno, tusimalize kwani ipo siku utapata aibu!!!
@ndemabhwila6 ай бұрын
Gwajiboy unaizalilisha ufufuo na uzima bashite si alikuita muuza madawa ya kulevya? Amekusafisha lini?
@Oswardkadron6 ай бұрын
Yeye alete kuhusu Hela anaejua yeye mwenyewe wananchi tunataka kazi hongela makonda
@user-fr7jj1bo7y
6 ай бұрын
Samia katoa pesa au wananchi wametoa kupitia kodi zao?? ..Samia hana pesa za kujenga barabara pesa zake anatumia na familia yake sio kujengea barabara
@Adam.k2026 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa makonda
@Maulambo6 ай бұрын
Sisi sio milima tutakutana sisi ni people 😂😂
@denniskado39906 ай бұрын
Miaka 60 ya uhuru hamtakiwi kujinadii kila kitu mlisha prove failure
@muhsiniissa8151
6 ай бұрын
Sahihi kabisa
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
G@@muhsiniissa8151 Generalisation is kind of fallacy
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Generalisation is kind of fallacy
@ausonjustinian4673
6 ай бұрын
Wewe ni wale msiokua na shukurani. Uka ktk kundi la Wakoma 9 ambao hawakushukuri kuponywa.
@yourboysil_star28836 ай бұрын
Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi
@kjb_user00776 ай бұрын
Usiseme ukamaliza😂 akiba ya maneno ni mhimu sana
@user-de2rg9kk7u6 ай бұрын
Hivi katapila moja inauzwa sh ngapi??🤔🤔🤔
@JafariAbdallah-ot9gp6 ай бұрын
Mama Samia raisi wetu mungu akubariki sana kwa uongozi wako na viongozi ulowachagua wewe
@lanezboy70166 ай бұрын
Bhana bhana
@sifuelinyaki33416 ай бұрын
Kumbe ata hatuna haja ya wabunge baadhi ya maeneno..
@timothmwakakusyu4563
6 ай бұрын
Hahahahaaaaaa
@pidiusDominick-qi7nl6 ай бұрын
Hajaleta fedha sema tumekusanya kodi za wananchi ndizo zinajenga
@SaidHamis-yz1vt6 ай бұрын
MAKONDA TUNAOMBA UJE NA MWANZA BUSWERU WILAYA YA ILEMELA BARABARA MAJI NI CHANGAMOTO PLZ MAKONDA.
@sungwasamson2776 ай бұрын
tunaomba uje na tabora mh makonda 🙏🙏🙏🙏👍
@sund25536 ай бұрын
Hizo katapila matajiri wajiandae huko mjini 😊😅
@elvisoscar99126 ай бұрын
Bado watanzania mnaiamini CCM
@florakweyunga44906 ай бұрын
NDO MAANA TUNAAMBIWA WOTE TUPENDANE.🙏🙏🙏🙏
@mathayomwashambwa12386 ай бұрын
MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE
@islandinsuranceagency80085 ай бұрын
Siasa sio nzuri
@aminimushi69456 ай бұрын
Na taarifa za CAG nazo uzizingumzie kama kweli una nia ya kuokoa fedha za Watanzania,Watanzania tunapigwa si mchezo,sukari kilo moja 5000/-.
@user-ee4bg6my9u6 ай бұрын
❤
@paschalpaul38626 ай бұрын
Daa haya maisha tuyaache yalivyo yaani Gwajima leo anasalimu amri kwa kuitikia ndiyo mkuu Bashite
Mimi ni cha Demema lakini tuseme ukweli makonda ananguvu gwajima chali maamuzi ya Kiume sio Rais samia anamung'unya maneno wakina Kasimu majariwa hamumuoni makonda jamaa nijiwe tuseme ukweli angekuwa waziri mkuu samia angekaa pembeni
@MichaelKangeta-lt2gh6 ай бұрын
Hapo sawa kabisa
@aderanderwa76235 ай бұрын
USIMDHALAU MTU KABLA YA KIFO CHAKE KAMA HAMANI MTI ALIOUCHONGA ALITUNDIKWA MWENYEWE BASHITE KAWA BOSS WAKO SASA UNASUJUDU KWELI MUNGU SI MWANADAMU
@MerereJr6 ай бұрын
Nao waandishi wa hovyo kweli nyie, kwani kamwambia Askofu Gwajima? Au alikuwa anaongea kwa watu ambao hawawajibiki.
@pastorgidion6 ай бұрын
Gwajima kwenye barabara amefanya kazi kubwa sana. Apewe maua yake
@gtvonlinemdee7001
6 ай бұрын
Ipi unaishi mbinguni au😅😅😅
@renatusikanoni42035 ай бұрын
Gwajima amekwesha kabisa. Aibu kabisa kwa mtu kama Gwajima kumnyenyekea Bashite.
@eaglecrown11016 ай бұрын
Ndio maana machadema yanakuogopa😂😂😂😂😂😂😂😂
@chukialberto46596 ай бұрын
Endelea kupiga kazi Kiongozi wetu Makonda.Hakika Mhe.Samia anaupiga mwingi kwelikweli.
@bbclondonulimwenguwasoka61266 ай бұрын
King Kiba , Sisi siyo milima....
@jamesjoseph68255 ай бұрын
Maninah, Bashite leo anasujudiwa na askofu
@user987716 ай бұрын
Mabwepande ,,barabara za bunju b mpaka kitunda makonda njooo uone huku,hakuna mitaro barabara mbovu sana Gwajima nooo
@pascarmwatosya58556 ай бұрын
Daaa haya maneno yakiwa kweli kumekucha,ila kitaani mbona bado balabala bado mbovu
@user-zs4qz4wm2n6 ай бұрын
😂😂😂uchaguzi tutaona mengi
@MerereJr6 ай бұрын
Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?
@bakarithegeoinformatician7406
6 ай бұрын
Nenda mkoa wa mara ukajifujze toka miaka ya 90 watu wamefanya kwa pesa zao, mashule kibao Musoma vijijini yalijengwa na wabunge , barabara nk.
@paullyabuyenze1884
6 ай бұрын
Una ushahidi amenunua Greda kwa pesa zake unajua unatiletea siasa za ajabu.
@neemageorge70826 ай бұрын
Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo
@beatricemwita83656 ай бұрын
Haya
@zaburi23866 ай бұрын
Gwajima c alimfuta makonda kweny ulimwengu wa siasa mbona saiz anampa heshma Kwa kumuinamia😂😂
@Wamoyothenumberone6 ай бұрын
Kampeni hizi kaka tunajua
@patricknewguy81896 ай бұрын
Hivi gwajima anapacha wake..mbona sielewi na bashite ni nani😂
@harmonicheharmo32305 ай бұрын
Waandishi wahabari hata kukwepesha camera hamtaki 😂😂😂
@erickmbegalo115229 күн бұрын
Ndugu yenu katolewa na tamko limetoka tena ata kwenye ukuu wa mkoa afiki miez 6
@gtvonlinemdee70016 ай бұрын
Uchaguzi serikali za mitaa😅😅😅
@harrywarren616 ай бұрын
Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂
@ebenezerchurchsupremetv94906 ай бұрын
Makonda amemjibu Gwajima kwa vitendo
@Manierichie4036 ай бұрын
Mi hii nchi naiangalia tu huwa sipendi kulijaji taifa langu
@jumasuleymani6 ай бұрын
Kwanini Makonda afiki mkowa pwani wilaya ya Kisarawe. Vijijini balabala mbovu kuanzia Masaki mpaka Vikumbulu.
@papafikiri5 ай бұрын
Alisema anamfuta kwenye siasa hadi pale akiomba msamaha na kurudi kusoma. Je hayo hayajafanyika?
@issadassa66686 ай бұрын
Kweli CCM kwenye usanii mmehitim😂
@ndemabhwila6 ай бұрын
Bashite na muuza unga meza moja? Kwa sasa sio ziro bleini? Kweli dunia duara
@user-vr1ne9ix8j6 ай бұрын
Kuna kitu NIMEJIFUNZA Ila ngoja nikae kimya
@saturinimushi4746
6 ай бұрын
😂 Kaa Chonjo Hii Ndiyo Bongo Dar es Salaam. What Goes Around Comes Around..... Hata Mimi Nimeona Nikae 'Kimya'. Kumekucha Tena.
@MiriamAbdallah
6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭
@jumasuleymani6 ай бұрын
0:43
@ThomasMhindi-zs2ic6 ай бұрын
Wewe unasema aish milele mpuuz
@user-pc5np6ut6b6 ай бұрын
4:06
@kennethbenjamin2756 ай бұрын
Siasa
@evancykashaga65766 ай бұрын
Nina shanhaa sana malizote tulizonazo bado hata mji au jiji mmoja lilio na kamilika balabala za lami inashanganza sana
@erickchitumbi13086 ай бұрын
Gwajima 5 tena.
@prospermango65266 ай бұрын
Hivi Gwajima anajisikiaje kuwa karibu na KONDABOY?
@ndemabhwila6 ай бұрын
Gwajima siasa imekutoa peponi imekupeka jehanam
@jonathanmussa4746 ай бұрын
Mama samia kaweka fedha au serikali imeweka fedha ?!?anyway tuendelee
@user-nt4mh4xj2f6 ай бұрын
umeme vipi 😂😂😂😂
@BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын
Nimejifunza watu wenye hofu ya mngu wameweka tofaut zao pemben watutumikie wananch
@jamesmwafumbila5106 ай бұрын
Jamani naona mnakwenda mjini tu uko Balabala ya kuanzia mbagala kokoto Mpka kongowe ni shida au uku hawakai watu....
@ezekielmabwai4826 ай бұрын
Tapeli mkubwa Kwa hiyo wewe ndo Raisi sasa, si Rais ajiudhulu sasa?
@prospernahashon23216 ай бұрын
CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania
@josephlorri4316 ай бұрын
Gwajima ni tapeli, alimtukana sana makonda... kisa alihusishwa (Gwajima) na biashara ya madawa
@davidmagesa6773
6 ай бұрын
tapeli mama yako sio Gwajima paka wewe
@josephlorri431
6 ай бұрын
@@davidmagesa6773 ww ni msukule wake... ni tapeli tu...
@user987716 ай бұрын
Barabara za bunju b na maeneo meengi nni mbovu sana Mb Gwajima 2025 yaja
@mariosigala87606 ай бұрын
Gwajima upo hapo
@abdibilali41866 ай бұрын
Tunaomba mtukumbuke boko msikitini hali ni mbaya
@mfwimiekayuki86926 ай бұрын
Hivi fedha ni ya Samia au serikali?
@augustinocosmas4784
6 ай бұрын
Za Samia ndio anae Lipa kodi mi nawewe hatulip
@imanihussein94576 ай бұрын
cmm bado sana ujinga mtupu
@user-wi5wj2yh5m6 ай бұрын
Wewe ninani nahizo caterpiler unazitoa wapi na bajeti ya kuzilipa hizo ishirini unazitoa wapi
@hajihassan5433
6 ай бұрын
Sio kazi yako.
@YamunguMuha
6 ай бұрын
Wewe ni nani unataka kujua Hela zinatoka wapi?
@augustinocosmas4784
6 ай бұрын
Mlipa kodi
@fredernestonline60116 ай бұрын
Kwan makonda ndo nan kwenye hii nchi mpk atoe izo 20 caterpillar
@modestusndunguru7183
6 ай бұрын
Chama chavmapinduzi kinatoa..hapo sio yeye na ela zake...kuza fuvu hilo...akili yako ndogo 😂😂😂
@modestusndunguru7183
6 ай бұрын
Halafu maendeleo hayana Cha mtu..hata mtu binafsi anaweza toa mchango..wa maendeleo kaka.. usikariri..nyinyi ndio wale wale wa chadomo...midomo.mbele
@menelus911mene56 ай бұрын
Katibu itikadi siasa ns uenezi ziara yako umetaja na Tanga nakuomba utufikie na w Kilindi utone tupo kisiwani hatuna barabara toka mkoroni njoo ujionee mradi huu wa barabara hautekerezeki kwa wakati ktb njoo utuokowe nasi tuonekane tunafaa kuwa narami kama wenzetu w
Пікірлер: 147
Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
@deusmbuge5740
6 ай бұрын
Nimecheka sana aisee duh!... Binadamu tunatofautiana sana.
@Wamoyothenumberone
6 ай бұрын
Kampeni baba tunaenda
@trophywilson7211
6 ай бұрын
hahaha Mungu si Mwanadamu
@islandinsuranceagency8008
5 ай бұрын
Maaanina ndo ujue hizi dini zimebebwa na masela
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
5 ай бұрын
Ahaaahahh😂yaani sio kila nabii ni nabii
Kweli binadamu tunakutana, makonda na gwajima wakutana
Mh Makonda Uishi Milele Mungu akubariki sana kwa kweli wewe ni kiongozi kabisa
@victorguapo7827
6 ай бұрын
Walishagakutanishwa na mzee zamani mno wakapatana
Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa madhabahuni leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi,Gwajima kakudhalilisha Lakini Leo akaa Mungu kakuheshimisha Kaka Gwajima anakusujudia na Wewe Sasa ni Boss Wake
Yaani we kaka mmungu akuweke Sana,huna baya
Makonda oyeeeeeeeeee.gwaji boy lazima usujudu huyu ndio boss sasa
@hailehim1
6 ай бұрын
Naona mzee baba anasujudia
Ila SIASA hii tabu sana Leo gwajima ana salute kwa makonda 😅😅🤣🤣 nawaza hapa Kati yao nani kainuliwa
Safi sana mweshimiwa makonda na gwajima
Dah maisha ya kisiasa ya kijinga sana😂😂😂gwajima ndiye wa kuinama mbele ya makonda😅😅😅😅
@ebenezerchurchsupremetv9490
6 ай бұрын
😂😂😂
Raha sana leo Gwajiboy na Makonda wamekutana na yameisha kazi inaendelea safi sana Sukuma boy ❤❤❤❤
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
Gwajima alimwambia Makonda maisha ni mzunguko tusitendeane mabaya
@sonnyr1899
6 ай бұрын
@@gibsonjosephat6352 Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.
@trophywilson7211
6 ай бұрын
pesa hahaha
@trophywilson7211
6 ай бұрын
@sonnyr189 9 noti mbaya
Hongera Makonda tunaomba utussidie mwanza barabara za .mitaa hazipitki Ahsante
@user-fr7jj1bo7y
6 ай бұрын
Bashite ni kichaa anatafuta umaarufu hana uwezo wa kutatua matatizo kama alishindwa akiwa RC ataweza sasa hana mamlaka yeyote
@breymbasa3451
6 ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y akiwa RC na ufaham wako unajua angekuwa na uwezo wa kupita nchi nzima kama anavyozunguka sasa Tofauti ya RC na katibu mwenezi unaijua?
Hizo tractor zipelekwe mashambani. Mijini tunahitaji motor graders na 22 kwa jimbo moja ni nyingi mno?
Duh, eee kumbe Mungu wetu ni wa msamaha kwa wamkimbiliao. Na kweli alisema Asie samehe hatasameewa. Mbarikiwe kwa mapatano yenu Amn.
Ninasikia fraha Sana kuona Gwajima na Makonda meza Moja .Ila Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Una Hekima sanaaaa
@iviejustified8109
6 ай бұрын
Huu ndiyo ukuaji wa akili, mwili na roho
@paullyabuyenze1884
6 ай бұрын
Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi
😂😂😂 Jamani! Jaman! Nimejifunza kuwa katika maisha tuwe na akiba ya maneno, tusimalize kwani ipo siku utapata aibu!!!
Gwajiboy unaizalilisha ufufuo na uzima bashite si alikuita muuza madawa ya kulevya? Amekusafisha lini?
Yeye alete kuhusu Hela anaejua yeye mwenyewe wananchi tunataka kazi hongela makonda
@user-fr7jj1bo7y
6 ай бұрын
Samia katoa pesa au wananchi wametoa kupitia kodi zao?? ..Samia hana pesa za kujenga barabara pesa zake anatumia na familia yake sio kujengea barabara
Safi sana mheshimiwa makonda
Sisi sio milima tutakutana sisi ni people 😂😂
Miaka 60 ya uhuru hamtakiwi kujinadii kila kitu mlisha prove failure
@muhsiniissa8151
6 ай бұрын
Sahihi kabisa
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
G@@muhsiniissa8151 Generalisation is kind of fallacy
@jumakapilima7295
6 ай бұрын
Generalisation is kind of fallacy
@ausonjustinian4673
6 ай бұрын
Wewe ni wale msiokua na shukurani. Uka ktk kundi la Wakoma 9 ambao hawakushukuri kuponywa.
Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi
Usiseme ukamaliza😂 akiba ya maneno ni mhimu sana
Hivi katapila moja inauzwa sh ngapi??🤔🤔🤔
Mama Samia raisi wetu mungu akubariki sana kwa uongozi wako na viongozi ulowachagua wewe
Bhana bhana
Kumbe ata hatuna haja ya wabunge baadhi ya maeneno..
@timothmwakakusyu4563
6 ай бұрын
Hahahahaaaaaa
Hajaleta fedha sema tumekusanya kodi za wananchi ndizo zinajenga
MAKONDA TUNAOMBA UJE NA MWANZA BUSWERU WILAYA YA ILEMELA BARABARA MAJI NI CHANGAMOTO PLZ MAKONDA.
tunaomba uje na tabora mh makonda 🙏🙏🙏🙏👍
Hizo katapila matajiri wajiandae huko mjini 😊😅
Bado watanzania mnaiamini CCM
NDO MAANA TUNAAMBIWA WOTE TUPENDANE.🙏🙏🙏🙏
MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE
Siasa sio nzuri
Na taarifa za CAG nazo uzizingumzie kama kweli una nia ya kuokoa fedha za Watanzania,Watanzania tunapigwa si mchezo,sukari kilo moja 5000/-.
❤
Daa haya maisha tuyaache yalivyo yaani Gwajima leo anasalimu amri kwa kuitikia ndiyo mkuu Bashite
Hizo Cart peel zenu msituletee Kisanga hatuhitaji Cart peel kuchongewa Barabara tunatala Lami msije kuja kuzidi kuziharibu Barabara, tunaomba mtuwekee Lami.
Ila siasa banaa 😂😂
Hii Dunia ina vituko
Daah siasa noma
Mimi ni cha Demema lakini tuseme ukweli makonda ananguvu gwajima chali maamuzi ya Kiume sio Rais samia anamung'unya maneno wakina Kasimu majariwa hamumuoni makonda jamaa nijiwe tuseme ukweli angekuwa waziri mkuu samia angekaa pembeni
Hapo sawa kabisa
USIMDHALAU MTU KABLA YA KIFO CHAKE KAMA HAMANI MTI ALIOUCHONGA ALITUNDIKWA MWENYEWE BASHITE KAWA BOSS WAKO SASA UNASUJUDU KWELI MUNGU SI MWANADAMU
Nao waandishi wa hovyo kweli nyie, kwani kamwambia Askofu Gwajima? Au alikuwa anaongea kwa watu ambao hawawajibiki.
Gwajima kwenye barabara amefanya kazi kubwa sana. Apewe maua yake
@gtvonlinemdee7001
6 ай бұрын
Ipi unaishi mbinguni au😅😅😅
Gwajima amekwesha kabisa. Aibu kabisa kwa mtu kama Gwajima kumnyenyekea Bashite.
Ndio maana machadema yanakuogopa😂😂😂😂😂😂😂😂
Endelea kupiga kazi Kiongozi wetu Makonda.Hakika Mhe.Samia anaupiga mwingi kwelikweli.
King Kiba , Sisi siyo milima....
Maninah, Bashite leo anasujudiwa na askofu
Mabwepande ,,barabara za bunju b mpaka kitunda makonda njooo uone huku,hakuna mitaro barabara mbovu sana Gwajima nooo
Daaa haya maneno yakiwa kweli kumekucha,ila kitaani mbona bado balabala bado mbovu
😂😂😂uchaguzi tutaona mengi
Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?
@bakarithegeoinformatician7406
6 ай бұрын
Nenda mkoa wa mara ukajifujze toka miaka ya 90 watu wamefanya kwa pesa zao, mashule kibao Musoma vijijini yalijengwa na wabunge , barabara nk.
@paullyabuyenze1884
6 ай бұрын
Una ushahidi amenunua Greda kwa pesa zake unajua unatiletea siasa za ajabu.
Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo
Haya
Gwajima c alimfuta makonda kweny ulimwengu wa siasa mbona saiz anampa heshma Kwa kumuinamia😂😂
Kampeni hizi kaka tunajua
Hivi gwajima anapacha wake..mbona sielewi na bashite ni nani😂
Waandishi wahabari hata kukwepesha camera hamtaki 😂😂😂
Ndugu yenu katolewa na tamko limetoka tena ata kwenye ukuu wa mkoa afiki miez 6
Uchaguzi serikali za mitaa😅😅😅
Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂
Makonda amemjibu Gwajima kwa vitendo
Mi hii nchi naiangalia tu huwa sipendi kulijaji taifa langu
Kwanini Makonda afiki mkowa pwani wilaya ya Kisarawe. Vijijini balabala mbovu kuanzia Masaki mpaka Vikumbulu.
Alisema anamfuta kwenye siasa hadi pale akiomba msamaha na kurudi kusoma. Je hayo hayajafanyika?
Kweli CCM kwenye usanii mmehitim😂
Bashite na muuza unga meza moja? Kwa sasa sio ziro bleini? Kweli dunia duara
Kuna kitu NIMEJIFUNZA Ila ngoja nikae kimya
@saturinimushi4746
6 ай бұрын
😂 Kaa Chonjo Hii Ndiyo Bongo Dar es Salaam. What Goes Around Comes Around..... Hata Mimi Nimeona Nikae 'Kimya'. Kumekucha Tena.
@MiriamAbdallah
6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭
0:43
Wewe unasema aish milele mpuuz
4:06
Siasa
Nina shanhaa sana malizote tulizonazo bado hata mji au jiji mmoja lilio na kamilika balabala za lami inashanganza sana
Gwajima 5 tena.
Hivi Gwajima anajisikiaje kuwa karibu na KONDABOY?
Gwajima siasa imekutoa peponi imekupeka jehanam
Mama samia kaweka fedha au serikali imeweka fedha ?!?anyway tuendelee
umeme vipi 😂😂😂😂
Nimejifunza watu wenye hofu ya mngu wameweka tofaut zao pemben watutumikie wananch
Jamani naona mnakwenda mjini tu uko Balabala ya kuanzia mbagala kokoto Mpka kongowe ni shida au uku hawakai watu....
Tapeli mkubwa Kwa hiyo wewe ndo Raisi sasa, si Rais ajiudhulu sasa?
CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania
Gwajima ni tapeli, alimtukana sana makonda... kisa alihusishwa (Gwajima) na biashara ya madawa
@davidmagesa6773
6 ай бұрын
tapeli mama yako sio Gwajima paka wewe
@josephlorri431
6 ай бұрын
@@davidmagesa6773 ww ni msukule wake... ni tapeli tu...
Barabara za bunju b na maeneo meengi nni mbovu sana Mb Gwajima 2025 yaja
Gwajima upo hapo
Tunaomba mtukumbuke boko msikitini hali ni mbaya
Hivi fedha ni ya Samia au serikali?
@augustinocosmas4784
6 ай бұрын
Za Samia ndio anae Lipa kodi mi nawewe hatulip
cmm bado sana ujinga mtupu
Wewe ninani nahizo caterpiler unazitoa wapi na bajeti ya kuzilipa hizo ishirini unazitoa wapi
@hajihassan5433
6 ай бұрын
Sio kazi yako.
@YamunguMuha
6 ай бұрын
Wewe ni nani unataka kujua Hela zinatoka wapi?
@augustinocosmas4784
6 ай бұрын
Mlipa kodi
Kwan makonda ndo nan kwenye hii nchi mpk atoe izo 20 caterpillar
@modestusndunguru7183
6 ай бұрын
Chama chavmapinduzi kinatoa..hapo sio yeye na ela zake...kuza fuvu hilo...akili yako ndogo 😂😂😂
@modestusndunguru7183
6 ай бұрын
Halafu maendeleo hayana Cha mtu..hata mtu binafsi anaweza toa mchango..wa maendeleo kaka.. usikariri..nyinyi ndio wale wale wa chadomo...midomo.mbele
Katibu itikadi siasa ns uenezi ziara yako umetaja na Tanga nakuomba utufikie na w Kilindi utone tupo kisiwani hatuna barabara toka mkoroni njoo ujionee mradi huu wa barabara hautekerezeki kwa wakati ktb njoo utuokowe nasi tuonekane tunafaa kuwa narami kama wenzetu w
Bifu kati ya Hawa ni bifu
Matapel nyie wkubwa
Makondo mtu kaz sio bla bla
Doooo !!!!