MAKONDA AMWAMBIA GWAJIMA MBELE YAKE " MIMI SIO WAKUBEBA AHADI NIWAKUTEKELEZA, NITAMPA KATAPILA 20

Пікірлер: 147

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma9056 ай бұрын

    Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @deusmbuge5740

    @deusmbuge5740

    6 ай бұрын

    Nimecheka sana aisee duh!... Binadamu tunatofautiana sana.

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    6 ай бұрын

    Kampeni baba tunaenda

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    6 ай бұрын

    hahaha Mungu si Mwanadamu

  • @islandinsuranceagency8008

    @islandinsuranceagency8008

    5 ай бұрын

    Maaanina ndo ujue hizi dini zimebebwa na masela

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs

    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs

    5 ай бұрын

    Ahaaahahh😂yaani sio kila nabii ni nabii

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth25116 ай бұрын

    Kweli binadamu tunakutana, makonda na gwajima wakutana

  • @SamweliMuhabwa-dr7bd
    @SamweliMuhabwa-dr7bd6 ай бұрын

    Mh Makonda Uishi Milele Mungu akubariki sana kwa kweli wewe ni kiongozi kabisa

  • @victorguapo7827

    @victorguapo7827

    6 ай бұрын

    Walishagakutanishwa na mzee zamani mno wakapatana

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma9056 ай бұрын

    Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa madhabahuni leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi146 ай бұрын

    Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana

  • @tinajoe5487
    @tinajoe54875 ай бұрын

    Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi,Gwajima kakudhalilisha Lakini Leo akaa Mungu kakuheshimisha Kaka Gwajima anakusujudia na Wewe Sasa ni Boss Wake

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed47636 ай бұрын

    Yaani we kaka mmungu akuweke Sana,huna baya

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge54786 ай бұрын

    Makonda oyeeeeeeeeee.gwaji boy lazima usujudu huyu ndio boss sasa

  • @hailehim1

    @hailehim1

    6 ай бұрын

    Naona mzee baba anasujudia

  • @maduhuruben3825
    @maduhuruben38256 ай бұрын

    Ila SIASA hii tabu sana Leo gwajima ana salute kwa makonda 😅😅🤣🤣 nawaza hapa Kati yao nani kainuliwa

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe4716 ай бұрын

    Safi sana mweshimiwa makonda na gwajima

  • @veraisaria
    @veraisaria6 ай бұрын

    Dah maisha ya kisiasa ya kijinga sana😂😂😂gwajima ndiye wa kuinama mbele ya makonda😅😅😅😅

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    @ebenezerchurchsupremetv9490

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22346 ай бұрын

    Raha sana leo Gwajiboy na Makonda wamekutana na yameisha kazi inaendelea safi sana Sukuma boy ❤❤❤❤

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    6 ай бұрын

    Gwajima alimwambia Makonda maisha ni mzunguko tusitendeane mabaya

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    6 ай бұрын

    @@gibsonjosephat6352 Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    6 ай бұрын

    pesa hahaha

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    6 ай бұрын

    ​@sonnyr189 9 noti mbaya

  • @user-yt9zf6xd8n
    @user-yt9zf6xd8n6 ай бұрын

    Hongera Makonda tunaomba utussidie mwanza barabara za .mitaa hazipitki Ahsante

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    6 ай бұрын

    Bashite ni kichaa anatafuta umaarufu hana uwezo wa kutatua matatizo kama alishindwa akiwa RC ataweza sasa hana mamlaka yeyote

  • @breymbasa3451

    @breymbasa3451

    6 ай бұрын

    ​@@user-fr7jj1bo7y akiwa RC na ufaham wako unajua angekuwa na uwezo wa kupita nchi nzima kama anavyozunguka sasa Tofauti ya RC na katibu mwenezi unaijua?

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony89156 ай бұрын

    Hizo tractor zipelekwe mashambani. Mijini tunahitaji motor graders na 22 kwa jimbo moja ni nyingi mno?

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian46736 ай бұрын

    Duh, eee kumbe Mungu wetu ni wa msamaha kwa wamkimbiliao. Na kweli alisema Asie samehe hatasameewa. Mbarikiwe kwa mapatano yenu Amn.

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha88346 ай бұрын

    Ninasikia fraha Sana kuona Gwajima na Makonda meza Moja .Ila Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Una Hekima sanaaaa

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    6 ай бұрын

    Huu ndiyo ukuaji wa akili, mwili na roho

  • @paullyabuyenze1884

    @paullyabuyenze1884

    6 ай бұрын

    Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi

  • @clevermngao7565
    @clevermngao75656 ай бұрын

    😂😂😂 Jamani! Jaman! Nimejifunza kuwa katika maisha tuwe na akiba ya maneno, tusimalize kwani ipo siku utapata aibu!!!

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila6 ай бұрын

    Gwajiboy unaizalilisha ufufuo na uzima bashite si alikuita muuza madawa ya kulevya? Amekusafisha lini?

  • @Oswardkadron
    @Oswardkadron6 ай бұрын

    Yeye alete kuhusu Hela anaejua yeye mwenyewe wananchi tunataka kazi hongela makonda

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    6 ай бұрын

    Samia katoa pesa au wananchi wametoa kupitia kodi zao?? ..Samia hana pesa za kujenga barabara pesa zake anatumia na familia yake sio kujengea barabara

  • @Adam.k202
    @Adam.k2026 ай бұрын

    Safi sana mheshimiwa makonda

  • @Maulambo
    @Maulambo6 ай бұрын

    Sisi sio milima tutakutana sisi ni people 😂😂

  • @denniskado3990
    @denniskado39906 ай бұрын

    Miaka 60 ya uhuru hamtakiwi kujinadii kila kitu mlisha prove failure

  • @muhsiniissa8151

    @muhsiniissa8151

    6 ай бұрын

    Sahihi kabisa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 ай бұрын

    G​@@muhsiniissa8151 Generalisation is kind of fallacy

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 ай бұрын

    Generalisation is kind of fallacy

  • @ausonjustinian4673

    @ausonjustinian4673

    6 ай бұрын

    Wewe ni wale msiokua na shukurani. Uka ktk kundi la Wakoma 9 ambao hawakushukuri kuponywa.

  • @yourboysil_star2883
    @yourboysil_star28836 ай бұрын

    Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi

  • @kjb_user0077
    @kjb_user00776 ай бұрын

    Usiseme ukamaliza😂 akiba ya maneno ni mhimu sana

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u6 ай бұрын

    Hivi katapila moja inauzwa sh ngapi??🤔🤔🤔

  • @JafariAbdallah-ot9gp
    @JafariAbdallah-ot9gp6 ай бұрын

    Mama Samia raisi wetu mungu akubariki sana kwa uongozi wako na viongozi ulowachagua wewe

  • @lanezboy7016
    @lanezboy70166 ай бұрын

    Bhana bhana

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki33416 ай бұрын

    Kumbe ata hatuna haja ya wabunge baadhi ya maeneno..

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    6 ай бұрын

    Hahahahaaaaaa

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl6 ай бұрын

    Hajaleta fedha sema tumekusanya kodi za wananchi ndizo zinajenga

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt6 ай бұрын

    MAKONDA TUNAOMBA UJE NA MWANZA BUSWERU WILAYA YA ILEMELA BARABARA MAJI NI CHANGAMOTO PLZ MAKONDA.

  • @sungwasamson277
    @sungwasamson2776 ай бұрын

    tunaomba uje na tabora mh makonda 🙏🙏🙏🙏👍

  • @sund2553
    @sund25536 ай бұрын

    Hizo katapila matajiri wajiandae huko mjini 😊😅

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99126 ай бұрын

    Bado watanzania mnaiamini CCM

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga44906 ай бұрын

    NDO MAANA TUNAAMBIWA WOTE TUPENDANE.🙏🙏🙏🙏

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa12386 ай бұрын

    MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency80085 ай бұрын

    Siasa sio nzuri

  • @aminimushi6945
    @aminimushi69456 ай бұрын

    Na taarifa za CAG nazo uzizingumzie kama kweli una nia ya kuokoa fedha za Watanzania,Watanzania tunapigwa si mchezo,sukari kilo moja 5000/-.

  • @user-ee4bg6my9u
    @user-ee4bg6my9u6 ай бұрын

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38626 ай бұрын

    Daa haya maisha tuyaache yalivyo yaani Gwajima leo anasalimu amri kwa kuitikia ndiyo mkuu Bashite

  • @AkhlySports38
    @AkhlySports386 ай бұрын

    Hizo Cart peel zenu msituletee Kisanga hatuhitaji Cart peel kuchongewa Barabara tunatala Lami msije kuja kuzidi kuziharibu Barabara, tunaomba mtuwekee Lami.

  • @kingmakavely9861
    @kingmakavely98616 ай бұрын

    Ila siasa banaa 😂😂

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi78376 ай бұрын

    Hii Dunia ina vituko

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya66246 ай бұрын

    Daah siasa noma

  • @raymondmathayomsigwa8737
    @raymondmathayomsigwa87376 ай бұрын

    Mimi ni cha Demema lakini tuseme ukweli makonda ananguvu gwajima chali maamuzi ya Kiume sio Rais samia anamung'unya maneno wakina Kasimu majariwa hamumuoni makonda jamaa nijiwe tuseme ukweli angekuwa waziri mkuu samia angekaa pembeni

  • @MichaelKangeta-lt2gh
    @MichaelKangeta-lt2gh6 ай бұрын

    Hapo sawa kabisa

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa76235 ай бұрын

    USIMDHALAU MTU KABLA YA KIFO CHAKE KAMA HAMANI MTI ALIOUCHONGA ALITUNDIKWA MWENYEWE BASHITE KAWA BOSS WAKO SASA UNASUJUDU KWELI MUNGU SI MWANADAMU

  • @MerereJr
    @MerereJr6 ай бұрын

    Nao waandishi wa hovyo kweli nyie, kwani kamwambia Askofu Gwajima? Au alikuwa anaongea kwa watu ambao hawawajibiki.

  • @pastorgidion
    @pastorgidion6 ай бұрын

    Gwajima kwenye barabara amefanya kazi kubwa sana. Apewe maua yake

  • @gtvonlinemdee7001

    @gtvonlinemdee7001

    6 ай бұрын

    Ipi unaishi mbinguni au😅😅😅

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni42035 ай бұрын

    Gwajima amekwesha kabisa. Aibu kabisa kwa mtu kama Gwajima kumnyenyekea Bashite.

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown11016 ай бұрын

    Ndio maana machadema yanakuogopa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chukialberto4659
    @chukialberto46596 ай бұрын

    Endelea kupiga kazi Kiongozi wetu Makonda.Hakika Mhe.Samia anaupiga mwingi kwelikweli.

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61266 ай бұрын

    King Kiba , Sisi siyo milima....

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph68255 ай бұрын

    Maninah, Bashite leo anasujudiwa na askofu

  • @user98771
    @user987716 ай бұрын

    Mabwepande ,,barabara za bunju b mpaka kitunda makonda njooo uone huku,hakuna mitaro barabara mbovu sana Gwajima nooo

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya58556 ай бұрын

    Daaa haya maneno yakiwa kweli kumekucha,ila kitaani mbona bado balabala bado mbovu

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n6 ай бұрын

    😂😂😂uchaguzi tutaona mengi

  • @MerereJr
    @MerereJr6 ай бұрын

    Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?

  • @bakarithegeoinformatician7406

    @bakarithegeoinformatician7406

    6 ай бұрын

    Nenda mkoa wa mara ukajifujze toka miaka ya 90 watu wamefanya kwa pesa zao, mashule kibao Musoma vijijini yalijengwa na wabunge , barabara nk.

  • @paullyabuyenze1884

    @paullyabuyenze1884

    6 ай бұрын

    Una ushahidi amenunua Greda kwa pesa zake unajua unatiletea siasa za ajabu.

  • @neemageorge7082
    @neemageorge70826 ай бұрын

    Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo

  • @beatricemwita8365
    @beatricemwita83656 ай бұрын

    Haya

  • @zaburi2386
    @zaburi23866 ай бұрын

    Gwajima c alimfuta makonda kweny ulimwengu wa siasa mbona saiz anampa heshma Kwa kumuinamia😂😂

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone6 ай бұрын

    Kampeni hizi kaka tunajua

  • @patricknewguy8189
    @patricknewguy81896 ай бұрын

    Hivi gwajima anapacha wake..mbona sielewi na bashite ni nani😂

  • @harmonicheharmo3230
    @harmonicheharmo32305 ай бұрын

    Waandishi wahabari hata kukwepesha camera hamtaki 😂😂😂

  • @erickmbegalo1152
    @erickmbegalo115229 күн бұрын

    Ndugu yenu katolewa na tamko limetoka tena ata kwenye ukuu wa mkoa afiki miez 6

  • @gtvonlinemdee7001
    @gtvonlinemdee70016 ай бұрын

    Uchaguzi serikali za mitaa😅😅😅

  • @harrywarren61
    @harrywarren616 ай бұрын

    Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv94906 ай бұрын

    Makonda amemjibu Gwajima kwa vitendo

  • @Manierichie403
    @Manierichie4036 ай бұрын

    Mi hii nchi naiangalia tu huwa sipendi kulijaji taifa langu

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani6 ай бұрын

    Kwanini Makonda afiki mkowa pwani wilaya ya Kisarawe. Vijijini balabala mbovu kuanzia Masaki mpaka Vikumbulu.

  • @papafikiri
    @papafikiri5 ай бұрын

    Alisema anamfuta kwenye siasa hadi pale akiomba msamaha na kurudi kusoma. Je hayo hayajafanyika?

  • @issadassa6668
    @issadassa66686 ай бұрын

    Kweli CCM kwenye usanii mmehitim😂

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila6 ай бұрын

    Bashite na muuza unga meza moja? Kwa sasa sio ziro bleini? Kweli dunia duara

  • @user-vr1ne9ix8j
    @user-vr1ne9ix8j6 ай бұрын

    Kuna kitu NIMEJIFUNZA Ila ngoja nikae kimya

  • @saturinimushi4746

    @saturinimushi4746

    6 ай бұрын

    😂 Kaa Chonjo Hii Ndiyo Bongo Dar es Salaam. What Goes Around Comes Around..... Hata Mimi Nimeona Nikae 'Kimya'. Kumekucha Tena.

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    6 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani6 ай бұрын

    0:43

  • @ThomasMhindi-zs2ic
    @ThomasMhindi-zs2ic6 ай бұрын

    Wewe unasema aish milele mpuuz

  • @user-pc5np6ut6b
    @user-pc5np6ut6b6 ай бұрын

    4:06

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2756 ай бұрын

    Siasa

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga65766 ай бұрын

    Nina shanhaa sana malizote tulizonazo bado hata mji au jiji mmoja lilio na kamilika balabala za lami inashanganza sana

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13086 ай бұрын

    Gwajima 5 tena.

  • @prospermango6526
    @prospermango65266 ай бұрын

    Hivi Gwajima anajisikiaje kuwa karibu na KONDABOY?

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila6 ай бұрын

    Gwajima siasa imekutoa peponi imekupeka jehanam

  • @jonathanmussa474
    @jonathanmussa4746 ай бұрын

    Mama samia kaweka fedha au serikali imeweka fedha ?!?anyway tuendelee

  • @user-nt4mh4xj2f
    @user-nt4mh4xj2f6 ай бұрын

    umeme vipi 😂😂😂😂

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын

    Nimejifunza watu wenye hofu ya mngu wameweka tofaut zao pemben watutumikie wananch

  • @jamesmwafumbila510
    @jamesmwafumbila5106 ай бұрын

    Jamani naona mnakwenda mjini tu uko Balabala ya kuanzia mbagala kokoto Mpka kongowe ni shida au uku hawakai watu....

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai4826 ай бұрын

    Tapeli mkubwa Kwa hiyo wewe ndo Raisi sasa, si Rais ajiudhulu sasa?

  • @prospernahashon2321
    @prospernahashon23216 ай бұрын

    CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania

  • @josephlorri431
    @josephlorri4316 ай бұрын

    Gwajima ni tapeli, alimtukana sana makonda... kisa alihusishwa (Gwajima) na biashara ya madawa

  • @davidmagesa6773

    @davidmagesa6773

    6 ай бұрын

    tapeli mama yako sio Gwajima paka wewe

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    6 ай бұрын

    @@davidmagesa6773 ww ni msukule wake... ni tapeli tu...

  • @user98771
    @user987716 ай бұрын

    Barabara za bunju b na maeneo meengi nni mbovu sana Mb Gwajima 2025 yaja

  • @mariosigala8760
    @mariosigala87606 ай бұрын

    Gwajima upo hapo

  • @abdibilali4186
    @abdibilali41866 ай бұрын

    Tunaomba mtukumbuke boko msikitini hali ni mbaya

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki86926 ай бұрын

    Hivi fedha ni ya Samia au serikali?

  • @augustinocosmas4784

    @augustinocosmas4784

    6 ай бұрын

    Za Samia ndio anae Lipa kodi mi nawewe hatulip

  • @imanihussein9457
    @imanihussein94576 ай бұрын

    cmm bado sana ujinga mtupu

  • @user-wi5wj2yh5m
    @user-wi5wj2yh5m6 ай бұрын

    Wewe ninani nahizo caterpiler unazitoa wapi na bajeti ya kuzilipa hizo ishirini unazitoa wapi

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    6 ай бұрын

    Sio kazi yako.

  • @YamunguMuha

    @YamunguMuha

    6 ай бұрын

    Wewe ni nani unataka kujua Hela zinatoka wapi?

  • @augustinocosmas4784

    @augustinocosmas4784

    6 ай бұрын

    Mlipa kodi

  • @fredernestonline6011
    @fredernestonline60116 ай бұрын

    Kwan makonda ndo nan kwenye hii nchi mpk atoe izo 20 caterpillar

  • @modestusndunguru7183

    @modestusndunguru7183

    6 ай бұрын

    Chama chavmapinduzi kinatoa..hapo sio yeye na ela zake...kuza fuvu hilo...akili yako ndogo 😂😂😂

  • @modestusndunguru7183

    @modestusndunguru7183

    6 ай бұрын

    Halafu maendeleo hayana Cha mtu..hata mtu binafsi anaweza toa mchango..wa maendeleo kaka.. usikariri..nyinyi ndio wale wale wa chadomo...midomo.mbele

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene56 ай бұрын

    Katibu itikadi siasa ns uenezi ziara yako umetaja na Tanga nakuomba utufikie na w Kilindi utone tupo kisiwani hatuna barabara toka mkoroni njoo ujionee mradi huu wa barabara hautekerezeki kwa wakati ktb njoo utuokowe nasi tuonekane tunafaa kuwa narami kama wenzetu w

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila63086 ай бұрын

    Bifu kati ya Hawa ni bifu

  • @user-it3kl7td2c
    @user-it3kl7td2c6 ай бұрын

    Matapel nyie wkubwa

  • @IssahYasini
    @IssahYasini6 ай бұрын

    Makondo mtu kaz sio bla bla

  • @Leo-kg2lt
    @Leo-kg2lt6 ай бұрын

    Doooo !!!!

Келесі