Yaani makonda nampenda anavyotatua kero na kusaidia wanyonge walahi namfagilia sana mpk mme ameshanipa taraka kwa sababu namsifia makonda et😢😢
@aronmtui5972 күн бұрын
Mungu anawaona
@agnesspaul18662 күн бұрын
Safi Makonda ubarikiwe
@salumhassan4083Күн бұрын
Makonda nakukubali aise upo vzr nipo singida ikungi hapa
@Chrisblaze-beats2 күн бұрын
Hao arusha jiji hawafai wOte,kuna vidada viko hapo ni vya kusafisha vyote. Vinapenda rushwa sana. Ukitaka kujenga utajuta.
@awadhsalim26802 күн бұрын
Safi kabisa kiongozi makonda. Yaani natamani ata uniajiri niwe mlinzi wako jinsi ulivo mkarimu mtenda haki. Ukibahatika kuisoma sms hii nitafurahi sana. Nakuombea kwa mungu akupe msimamo huo huo w kutetea haki.
@ulomirabiel69806 сағат бұрын
Nasikitika sana wanasiasa wanadhani haki inapatikana kwa vitisho
@MashakaMagesaКүн бұрын
Nchi yetu inahitaji viongozi kama Hawa wenye maamuzi siyo nitafatilia
@jacobontobi18832 күн бұрын
Mungu awe pamoja nawe makonda najua mingu ipo cku atakupandisha pakubwa zaidi Ili usaidie wanainchi na tunaisubilia hiyo siku kwa hamu
@elizabethmboya3925
2 күн бұрын
Amina
@PauloAlfayo-qi1gn2 күн бұрын
Amemdharau waziri
@aronmtui5972 күн бұрын
Mara mwaka jana hukumu mara siku 14 mnanichanganya
@johnluvanda1902 күн бұрын
Hawa ni wale waliopewa kazi kwa kujuana … tabularasa
@SayyidAhmadBaalawyКүн бұрын
Unamchezea Makonda Kwneye Kiwanja Chake Wewe. ..... Hiyo Shule Uliosoma Mwalimu mkuu alikua makonda mwenyewe utakula spana hapo ushangae.😅😅😅😅
@ramlaaly53142 күн бұрын
kwan walio yaunda hayo yote ninan sio haohao
@husseinkarim76632 күн бұрын
Afisa ardhi amekula pesa, ndio tabia zao, wanawadhulumu wananchi na kukuza migogoro.
@Barakatesha-qc9om2 күн бұрын
Wanapenda rushes hawa
@user-fd4lw7xo7iКүн бұрын
❤
@demicratia40712 күн бұрын
Makonda "kamatakamata" by dat
@ndimimaskati3641Күн бұрын
Viongozi kama hawa hawafai katika nchi huo ni Udikteta Magufuli alikuwa akifanya hivyo, nchi ons sheria au ndo sheria haifuatwi.
@barakakevela2452 күн бұрын
MWAMBA UKO VIZURI
@valenakomba76862 күн бұрын
HUYO NI MBABAISHAJI TUU.
@IDDYHussein-fe7dn2 күн бұрын
Makonda kama ...mazinge😂😂😂
@valenakomba76862 күн бұрын
NA MUNGU TAYARI AMECHOSHWA NA MATENDO YETU MAOVU, AMESHAANZA KUAZIBU.
@kilogreekachananawatuwasio40542 күн бұрын
Atamimi nimesikia kunazuio 😂😂Uchawi wao Umekwisha nguvu piga supana wapumbavu wakubwa 😂😂😂
@adoniemanuel9082 күн бұрын
watanzania bado mna danganywa huyo yuko kwenye denge hilo hilo la wanyanganyi wa ccm tusipo simama kama kenyaa mtaburuzwa mpaka mwisho wadunia badilikeni huyo amaskiza kero ambazo wanao fanya huo ujinga niwatu waserekaki yenu potezeni mudaa kusikiliza propaganga
@veronicabenjamin304
2 күн бұрын
Wewe nenda Kenya sijui unanielewa??
@JimmyCosmas-cl2kh
Күн бұрын
Nenda kenya huku hakukufai
@demicratia40712 күн бұрын
Amekaa kimya na mhahara anapewa kwa nini walipwe na kazi hazifanyikii
@aronmtui5972 күн бұрын
Mara mwaka jana hukumu mara siku 14 mnanichanganya
Пікірлер: 36
Wallahi Makonda, Allah akulinde na akupe ujaasiri huo huo, Huyo mtumishi wa Ardhi na wenzake wote hawafai kuweko ofisini
Viongozi igeni mfano. Tengenezeni legacy sio matumbo yenu. ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤napenda hizo clinic za kero
Yaani makonda nampenda anavyotatua kero na kusaidia wanyonge walahi namfagilia sana mpk mme ameshanipa taraka kwa sababu namsifia makonda et😢😢
Mungu anawaona
Safi Makonda ubarikiwe
Makonda nakukubali aise upo vzr nipo singida ikungi hapa
Hao arusha jiji hawafai wOte,kuna vidada viko hapo ni vya kusafisha vyote. Vinapenda rushwa sana. Ukitaka kujenga utajuta.
Safi kabisa kiongozi makonda. Yaani natamani ata uniajiri niwe mlinzi wako jinsi ulivo mkarimu mtenda haki. Ukibahatika kuisoma sms hii nitafurahi sana. Nakuombea kwa mungu akupe msimamo huo huo w kutetea haki.
Nasikitika sana wanasiasa wanadhani haki inapatikana kwa vitisho
Nchi yetu inahitaji viongozi kama Hawa wenye maamuzi siyo nitafatilia
Mungu awe pamoja nawe makonda najua mingu ipo cku atakupandisha pakubwa zaidi Ili usaidie wanainchi na tunaisubilia hiyo siku kwa hamu
@elizabethmboya3925
2 күн бұрын
Amina
Amemdharau waziri
Mara mwaka jana hukumu mara siku 14 mnanichanganya
Hawa ni wale waliopewa kazi kwa kujuana … tabularasa
Unamchezea Makonda Kwneye Kiwanja Chake Wewe. ..... Hiyo Shule Uliosoma Mwalimu mkuu alikua makonda mwenyewe utakula spana hapo ushangae.😅😅😅😅
kwan walio yaunda hayo yote ninan sio haohao
Afisa ardhi amekula pesa, ndio tabia zao, wanawadhulumu wananchi na kukuza migogoro.
Wanapenda rushes hawa
❤
Makonda "kamatakamata" by dat
Viongozi kama hawa hawafai katika nchi huo ni Udikteta Magufuli alikuwa akifanya hivyo, nchi ons sheria au ndo sheria haifuatwi.
MWAMBA UKO VIZURI
HUYO NI MBABAISHAJI TUU.
Makonda kama ...mazinge😂😂😂
NA MUNGU TAYARI AMECHOSHWA NA MATENDO YETU MAOVU, AMESHAANZA KUAZIBU.
Atamimi nimesikia kunazuio 😂😂Uchawi wao Umekwisha nguvu piga supana wapumbavu wakubwa 😂😂😂
watanzania bado mna danganywa huyo yuko kwenye denge hilo hilo la wanyanganyi wa ccm tusipo simama kama kenyaa mtaburuzwa mpaka mwisho wadunia badilikeni huyo amaskiza kero ambazo wanao fanya huo ujinga niwatu waserekaki yenu potezeni mudaa kusikiliza propaganga
@veronicabenjamin304
2 күн бұрын
Wewe nenda Kenya sijui unanielewa??
@JimmyCosmas-cl2kh
Күн бұрын
Nenda kenya huku hakukufai
Amekaa kimya na mhahara anapewa kwa nini walipwe na kazi hazifanyikii
Mara mwaka jana hukumu mara siku 14 mnanichanganya