RC MAKONDA AKUTANA USO KWA USO NA NDUGU YAKE RAIS SAMIA AKIWA NA MATATIZO YA MACHO

#AdilTV

Пікірлер: 31

  • @user-dx9gf7vx1r
    @user-dx9gf7vx1r15 күн бұрын

    Mhe/ Mkuu wa Mkoa hongera sana Kwa kazi nzuri unayofanya ndani ya Mkoa wetu wa Arusha. Mimi mwenyewe hapa nilipo nimefanya malipo yote Atdhi na kusaini nyaraka zote na nikaahidiwa nitapigiwa simu nikachukuwe Hati yangu, lakini hadi leo imegeuka kuwa historia naomba Kwa msg hii nikuombe unisaidie kupata haki yangu

  • @Ngongongalimedia

    @Ngongongalimedia

    14 күн бұрын

    Hapa Hawezi kuona sms Yako jaribu kufika Ofisin kwake Utapata Msaada Wa haraka

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt22 сағат бұрын

    Allah akulipe kiongozi wetu na akulinde yarabi chapa kazi baba

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya67217 күн бұрын

    Namkubali sana MH Makonda uyu ndie MAGU alie tuachia tumuombee sana nipo Japan ila kweli tunakupenda sana brother na tunakuombea sana

  • @duncannjau1223
    @duncannjau122314 күн бұрын

    This is a responsible government working for it's people. Tanzania will be a powerhouse in Africa for making service delivery for it's people and not political class the priority.

  • @noelchao292
    @noelchao29214 күн бұрын

    My RC ur the best

  • @dolawaudi9959
    @dolawaudi995914 күн бұрын

    Hongera

  • @Ahmedikiringamoyo
    @Ahmedikiringamoyo7 күн бұрын

    ALLAAH akulinde kilalashari makonda unafaa kua raisi

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x11 күн бұрын

    Hongera sana Makonda.

  • @nkidakisenga9004
    @nkidakisenga900412 күн бұрын

    Makoda wewe ni kiongozi mzuri sana njoo na simiyu utuongoze

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe457814 күн бұрын

    Huyo jamaa kameza kanda au!

  • @ameirzapy1318

    @ameirzapy1318

    14 күн бұрын

    😂😂😂 anaongea sana😅

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556710 күн бұрын

    Mwanangu Makonda❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @nehemiamwasile8696
    @nehemiamwasile86965 күн бұрын

    Hongera sana

  • @ShabiruIssa-go4ft
    @ShabiruIssa-go4ft14 күн бұрын

    Makònda.wasaidie.watu.mungu.atakusaidia

  • @user-hd5bg8qw1b
    @user-hd5bg8qw1b14 күн бұрын

    MUNGU AKULINDE NA MAADUI KILA MWENYESHARI MUNGU AMUELELEZE NA SHARI ZAKE

  • @dolawaudi9959
    @dolawaudi995914 күн бұрын

    Hongerra 6:16

  • @ShabiruIssa-go4ft
    @ShabiruIssa-go4ft14 күн бұрын

    Makonda.wakupe.uwazir.uwasaidie.watu.kiongòź

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt22 сағат бұрын

    Oooh allah hakika wewe ni mwema na ni njuzi nakuomba mola wangu nakuomba rabana tujaalie kila lenye kheri na la shari tuondoleee yarabi

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani262214 күн бұрын

    huyu jamaa anafaa kweye kampeni

  • @karlokifaru1074
    @karlokifaru107415 күн бұрын

    Piga kazi Makonda

  • @josephchimbunga4886
    @josephchimbunga488614 күн бұрын

    Anaongea kama Majanaba.😂

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy131814 күн бұрын

    Kameza cd

  • @ShabaniOmary-nf6qu
    @ShabaniOmary-nf6qu14 күн бұрын

    Makonda anaelewa elimi ya ciuber

  • @samwelgeho2602
    @samwelgeho26029 күн бұрын

    Tungewapata akina makonda 10 tu Tanzania tungekuwa sawa watu wanaonewa sana Kwa upande wa ardhi

  • @user-ih4ew6tq3z
    @user-ih4ew6tq3z5 күн бұрын

    Nakuona mzeee makonda 2035

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange28010 күн бұрын

    Mh.Makonda uko vizuri mbele ya watz. Kasoro wale Wanafiki Maadui wa haki. Tunakuomba saaana ingia kwenye maombi saana,maana wale wa karibu yako ni ukweli usio fichika,ya kwamba WANAKUCHUKIA NA KUKUONEA WIVU, watakuchekea sana kumbe siyo.Tusije kukukosa kama tulivyo wakosa,SOKOINE NA JPM. Tunakuhitaji.MAFISADI WA TAIFA HILI UNAWAJUA,NA HAWAKUPENDI KWA JINSI WANAVYO UPENDA USHETANI.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er5 күн бұрын

    Huyu mtoa malalamiko yuko Vizuri

  • @zainabmuhammed6294
    @zainabmuhammed62947 күн бұрын

    Muheshimiwa makonda tunakupenda sana .m8mi pia nimzaliwa wa Arusha ninamitihani sana huko kwetu .ila neolewa zanzibar wanadhani sina haki ya kwetu

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t10 күн бұрын

    Maicrofon 😂😂😂😂😂 ❤❤❤❤❤🎉 yn maicrofoni ninomasana

  • @AbdallaMpambika-bp6ub
    @AbdallaMpambika-bp6ub10 күн бұрын

    Uyu ndo rais sasa

Келесі