RC MAKONDA AKUTANA USO KWA USO NA NDUGU YAKE RAIS SAMIA AKIWA NA MATATIZO YA MACHO
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@user-dx9gf7vx1r15 күн бұрын
Mhe/ Mkuu wa Mkoa hongera sana Kwa kazi nzuri unayofanya ndani ya Mkoa wetu wa Arusha. Mimi mwenyewe hapa nilipo nimefanya malipo yote Atdhi na kusaini nyaraka zote na nikaahidiwa nitapigiwa simu nikachukuwe Hati yangu, lakini hadi leo imegeuka kuwa historia naomba Kwa msg hii nikuombe unisaidie kupata haki yangu
Allah akulipe kiongozi wetu na akulinde yarabi chapa kazi baba
@prosperkullaya67217 күн бұрын
Namkubali sana MH Makonda uyu ndie MAGU alie tuachia tumuombee sana nipo Japan ila kweli tunakupenda sana brother na tunakuombea sana
@duncannjau122314 күн бұрын
This is a responsible government working for it's people. Tanzania will be a powerhouse in Africa for making service delivery for it's people and not political class the priority.
@noelchao29214 күн бұрын
My RC ur the best
@dolawaudi995914 күн бұрын
Hongera
@Ahmedikiringamoyo7 күн бұрын
ALLAAH akulinde kilalashari makonda unafaa kua raisi
@user-oy9wr2zc6x11 күн бұрын
Hongera sana Makonda.
@nkidakisenga900412 күн бұрын
Makoda wewe ni kiongozi mzuri sana njoo na simiyu utuongoze
@nsiamasawe457814 күн бұрын
Huyo jamaa kameza kanda au!
@ameirzapy1318
14 күн бұрын
😂😂😂 anaongea sana😅
@aminaomary556710 күн бұрын
Mwanangu Makonda❤❤❤❤🎉🎉🎉
@nehemiamwasile86965 күн бұрын
Hongera sana
@ShabiruIssa-go4ft14 күн бұрын
Makònda.wasaidie.watu.mungu.atakusaidia
@user-hd5bg8qw1b14 күн бұрын
MUNGU AKULINDE NA MAADUI KILA MWENYESHARI MUNGU AMUELELEZE NA SHARI ZAKE
@dolawaudi995914 күн бұрын
Hongerra 6:16
@ShabiruIssa-go4ft14 күн бұрын
Makonda.wakupe.uwazir.uwasaidie.watu.kiongòź
@FatnaAlly-go7yt22 сағат бұрын
Oooh allah hakika wewe ni mwema na ni njuzi nakuomba mola wangu nakuomba rabana tujaalie kila lenye kheri na la shari tuondoleee yarabi
@fauzishabani262214 күн бұрын
huyu jamaa anafaa kweye kampeni
@karlokifaru107415 күн бұрын
Piga kazi Makonda
@josephchimbunga488614 күн бұрын
Anaongea kama Majanaba.😂
@ameirzapy131814 күн бұрын
Kameza cd
@ShabaniOmary-nf6qu14 күн бұрын
Makonda anaelewa elimi ya ciuber
@samwelgeho26029 күн бұрын
Tungewapata akina makonda 10 tu Tanzania tungekuwa sawa watu wanaonewa sana Kwa upande wa ardhi
@user-ih4ew6tq3z5 күн бұрын
Nakuona mzeee makonda 2035
@karimmveyange28010 күн бұрын
Mh.Makonda uko vizuri mbele ya watz. Kasoro wale Wanafiki Maadui wa haki. Tunakuomba saaana ingia kwenye maombi saana,maana wale wa karibu yako ni ukweli usio fichika,ya kwamba WANAKUCHUKIA NA KUKUONEA WIVU, watakuchekea sana kumbe siyo.Tusije kukukosa kama tulivyo wakosa,SOKOINE NA JPM. Tunakuhitaji.MAFISADI WA TAIFA HILI UNAWAJUA,NA HAWAKUPENDI KWA JINSI WANAVYO UPENDA USHETANI.
@stevenemwakasimba-pt8er5 күн бұрын
Huyu mtoa malalamiko yuko Vizuri
@zainabmuhammed62947 күн бұрын
Muheshimiwa makonda tunakupenda sana .m8mi pia nimzaliwa wa Arusha ninamitihani sana huko kwetu .ila neolewa zanzibar wanadhani sina haki ya kwetu
Пікірлер: 31
Mhe/ Mkuu wa Mkoa hongera sana Kwa kazi nzuri unayofanya ndani ya Mkoa wetu wa Arusha. Mimi mwenyewe hapa nilipo nimefanya malipo yote Atdhi na kusaini nyaraka zote na nikaahidiwa nitapigiwa simu nikachukuwe Hati yangu, lakini hadi leo imegeuka kuwa historia naomba Kwa msg hii nikuombe unisaidie kupata haki yangu
@Ngongongalimedia
14 күн бұрын
Hapa Hawezi kuona sms Yako jaribu kufika Ofisin kwake Utapata Msaada Wa haraka
Allah akulipe kiongozi wetu na akulinde yarabi chapa kazi baba
Namkubali sana MH Makonda uyu ndie MAGU alie tuachia tumuombee sana nipo Japan ila kweli tunakupenda sana brother na tunakuombea sana
This is a responsible government working for it's people. Tanzania will be a powerhouse in Africa for making service delivery for it's people and not political class the priority.
My RC ur the best
Hongera
ALLAAH akulinde kilalashari makonda unafaa kua raisi
Hongera sana Makonda.
Makoda wewe ni kiongozi mzuri sana njoo na simiyu utuongoze
Huyo jamaa kameza kanda au!
@ameirzapy1318
14 күн бұрын
😂😂😂 anaongea sana😅
Mwanangu Makonda❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hongera sana
Makònda.wasaidie.watu.mungu.atakusaidia
MUNGU AKULINDE NA MAADUI KILA MWENYESHARI MUNGU AMUELELEZE NA SHARI ZAKE
Hongerra 6:16
Makonda.wakupe.uwazir.uwasaidie.watu.kiongòź
Oooh allah hakika wewe ni mwema na ni njuzi nakuomba mola wangu nakuomba rabana tujaalie kila lenye kheri na la shari tuondoleee yarabi
huyu jamaa anafaa kweye kampeni
Piga kazi Makonda
Anaongea kama Majanaba.😂
Kameza cd
Makonda anaelewa elimi ya ciuber
Tungewapata akina makonda 10 tu Tanzania tungekuwa sawa watu wanaonewa sana Kwa upande wa ardhi
Nakuona mzeee makonda 2035
Mh.Makonda uko vizuri mbele ya watz. Kasoro wale Wanafiki Maadui wa haki. Tunakuomba saaana ingia kwenye maombi saana,maana wale wa karibu yako ni ukweli usio fichika,ya kwamba WANAKUCHUKIA NA KUKUONEA WIVU, watakuchekea sana kumbe siyo.Tusije kukukosa kama tulivyo wakosa,SOKOINE NA JPM. Tunakuhitaji.MAFISADI WA TAIFA HILI UNAWAJUA,NA HAWAKUPENDI KWA JINSI WANAVYO UPENDA USHETANI.
Huyu mtoa malalamiko yuko Vizuri
Muheshimiwa makonda tunakupenda sana .m8mi pia nimzaliwa wa Arusha ninamitihani sana huko kwetu .ila neolewa zanzibar wanadhani sina haki ya kwetu
Maicrofon 😂😂😂😂😂 ❤❤❤❤❤🎉 yn maicrofoni ninomasana
Uyu ndo rais sasa