MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA

MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 145

  • @MonicaMussa-gy6nb
    @MonicaMussa-gy6nb8 ай бұрын

    Haya ndo mambo ya kufundisha watoto sio kuwafundisha mambo ya ovyoovyo tuu big up mwanangu

  • @KipolomaHasani
    @KipolomaHasani4 ай бұрын

    Ongera sana mtoto ningekua na maisha mazur ningekuwezesha upo vzr sana

  • @severinekatumo2871
    @severinekatumo28715 ай бұрын

    Hongera sana Rais Mama Suluhu.Naona umemsahau mpishi wa hao watoto yaani Mwalimu

  • @user-rj4yq3bm1t
    @user-rj4yq3bm1t5 ай бұрын

    Hongera san mtot mung akutimiziye ndot zak Masha Allah❤❤

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita76908 ай бұрын

    Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_411510 ай бұрын

    Nakushukuru sana Wasafi kwa kunasa kipindi hiki.pia waalimu wote mlioshiriki kunuandaa mtoto huyo.

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb3 ай бұрын

    Nakupenda Sana Raisi wetu Kuwa opendo wako Kwa jami Wote bila kujali nafas Yao ya maisha

  • @izaquiobernardo9025
    @izaquiobernardo90256 ай бұрын

    Sensacional, tô muito emocionado pelas crianças discursando na presença de sua EXCELÊNCIA presidente Samia suluhu

  • @SaraAfricanus
    @SaraAfricanus3 ай бұрын

    Nice🎉

  • @SaraAfricanus

    @SaraAfricanus

    3 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-eq4us3qk1l
    @user-eq4us3qk1l11 ай бұрын

    Hongera mkerewe🎉

  • @sanurahimid1833
    @sanurahimid1833 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana ubunifu mzuri sana

  • @mkanaonlinetv2994
    @mkanaonlinetv299410 ай бұрын

    Mtoto yupo vizuri sana na inawezekana ana mambo ya ziada ya kuendelezwa

  • @munaomar1755
    @munaomar17555 ай бұрын

    Nawapa hongera saana kw juhudi zao zote MashaAllah uuu.

  • @EstherDor-dk1pi
    @EstherDor-dk1pi6 ай бұрын

    Naipenda tanzaniya mimi mungu jaliya congo yangu neema

  • @bittemsigwa2031
    @bittemsigwa20314 ай бұрын

    Hongera Sana mtoto uko vizuri

  • @munaomar1755
    @munaomar17555 ай бұрын

    Allah awabariki hao wtt na awazidishie kw kukariri kla jmboo.na mma samia suluhu hassan mungu akujaze kla LA kheri.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch1695 ай бұрын

    ALLAH AWAONGOZE❤❤❤

  • @user-tk4vn5ed8n
    @user-tk4vn5ed8n11 ай бұрын

    Wallaahi nimivutiwa na alichokifanya mama yetu Rais wetu bi Samiyya ...❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @onestartz
    @onestartz Жыл бұрын

    Safiii Sana👏👏👏

  • @user-oh8oe7zy6z
    @user-oh8oe7zy6z9 ай бұрын

    Mwenyezi mungu amjaalie

  • @user-px7ef5oc2x
    @user-px7ef5oc2x10 ай бұрын

    Mama yangu you deserv that, love you dk samia

  • @stanfordrobert7677
    @stanfordrobert7677 Жыл бұрын

    Sema huyo dogo asiyeongea mfupi kuliko wote (kulia) ni star xn😄

  • @kokububelwa

    @kokububelwa

    Жыл бұрын

    😂😂😂😊

  • @zubedadello9117
    @zubedadello9117 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @user-uy2nt9wp1v
    @user-uy2nt9wp1v7 ай бұрын

    Hongela sana kikana kwakipiji chao

  • @user-sc7sn6ux2v
    @user-sc7sn6ux2v9 ай бұрын

    Congratulations 🎉

  • @NeemaPeter-xo5tz
    @NeemaPeter-xo5tz10 ай бұрын

    😘😘🥰🥰🥰😍😍

  • @user-dd8jg8gn3v
    @user-dd8jg8gn3v11 ай бұрын

    Nimeipenda hiyo

  • @LendaMwanga-wm6xb
    @LendaMwanga-wm6xb5 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @user-tn4rz8dr6m
    @user-tn4rz8dr6m11 ай бұрын

    Hiyo mtoto ni vizuri aendelezwe Ana Jambo la ziada

  • @user-xs7bw2im8h
    @user-xs7bw2im8h4 ай бұрын

    Jamani mngu awabariki hao wtt kipaji Chao kiendelee

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Жыл бұрын

    Ww unajua mafanikio au unaropok😮😮😮..sema kamekaririshwa maskin

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    Fanya kazi dear huwezi letewa kula kwako na hawezi maliza maendeleo Yote pekee

  • @francismndeme6032

    @francismndeme6032

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @sophialusonzo3594
    @sophialusonzo359411 ай бұрын

    Mimi mjinga eti nalia na sijui nalia nini watoto wapo vizuri sana hao

  • @user-vu8rs9sj4z

    @user-vu8rs9sj4z

    3 ай бұрын

    Inalia kw furaha madame wangu %

  • @bama9271
    @bama9271 Жыл бұрын

    Huyu mtoto amelipwa!!!!

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 Жыл бұрын

    Siyo msukuma motor ni Mkerewe

  • @niyonzimasimeon1823
    @niyonzimasimeon18239 ай бұрын

    Kabisa

  • @user-nm4zi2iv8h
    @user-nm4zi2iv8h9 ай бұрын

    Tangu enziza za kenyatta , moi, kibaki, uhuru, hadi Leo ndio sirikali inatunyanyaza no no we are not happy kama jamii ya maa community.

  • @user-ee2mi6xw9g
    @user-ee2mi6xw9g10 ай бұрын

    Moto ni mhaya

  • @user-rv3it6oh8i
    @user-rv3it6oh8i Жыл бұрын

    wasafi munadanganya huyu mutoto ni mkelewe halafu nyinyi munaandika musukuma 2:09

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Ni wasukuma me na ona wasukum Wana kua hiv

  • @user-lg7tm9jx2b
    @user-lg7tm9jx2b9 ай бұрын

    Ata Mimi nimeumia kuona vipaji vya watoto

  • @user-si2uz3zg2m
    @user-si2uz3zg2m11 ай бұрын

    mtoto balaa sana

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr7 ай бұрын

    Haukuwa upole katika jambo ispokuwa hulipamba jambo hilo🎉

  • @MageDeogratius-rz6sw
    @MageDeogratius-rz6sw10 ай бұрын

    Syo mskuma hyo bna ni mtto wa u.k moja mskuma kweli awe jasili namna hiii🤣🤣🤣awe bna hongera katoto upo vzri

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa8 ай бұрын

    Watoto wadogo kuwacheza coma ni kuwaharibu Bora mashahiri tuache Mila potovu mtoto kuimba na kuvaa vinyago hatari kuharibi watt

  • @FridaMmari
    @FridaMmari7 ай бұрын

    😂😂 toto mlipewa sh ngapii , msiniulize kama hainihusu

  • @KirangoJoseph-pm7ww
    @KirangoJoseph-pm7ww Жыл бұрын

    Mama mwenyewe hachekiiiiiii

  • @danimark3300
    @danimark3300 Жыл бұрын

    Tatizo lako wewe unaumwa u.t.i kila mwezi na bado umekomaa na mfumo wako wa kunywa maji kikombe 1 kwa siku, umechoma sindano, umemeza vidonge lkn kesho tena unayooo🤔🤔🤔🤔 umejitutumua umetumia dawa ya asili umepona/hujapona lakini hata ulaji wako ni wa kisasaa Chipsi/kuku wa kisasa, soda, juisi za kiwandani na hujali kabisaa chakula cha asili,, ndugu yangu jirekebisheee. chunguza mfumo wako wa maisha na urekebishe mapungufu uliyonayo utakuja kunishukuruu, usipojirekebisha nimekaa pale nakusubiri uje utumie dawa ya Stopper, Stopper ni dawa ya asili yenye kutibu hormone imbalance, UTI sugu, fangasi sugu za ukeni, kutokwa uchafu sehemu za siri, kuwashwa sehemu za siri, chango, Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa hedhi, kukosa ute wa mimba na kushindwa kushika ujauzito, kukosa hamu ya tendo, inasaidiaa pia kubana ukee na kuongeza joto Ukenii. Stopper ndio suluhisho pekee la changamoto hizo, utaipata kwa 15,000 tuu, karibuu. kujifunza zaidi tembelea page yetu ya instagram instagram.com/jproducttz?igshid=ZGUzMzM3NWJiOQ== Tunapatikana Dar es salaam -Buza 0719021558

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e11 ай бұрын

    Hii imeenda kbx

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5279 ай бұрын

    Hongera sana mjukuu wetu. Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza Amina

  • @kadushimediatz
    @kadushimediatz Жыл бұрын

    Njaaa mbayaa Sanaa inakutia ujasiri😂😂😂😂 big up

  • @bandit3779

    @bandit3779

    Жыл бұрын

    Hahhhhaa mamaee

  • @charlessmashaka9859

    @charlessmashaka9859

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂kwel

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k3 ай бұрын

    Matumizi mabaya ya muda,watoto wanakaririshwa kila kitu,ndiyo maana tunaambulia kupata viongozi wa hovyo hovyo ,hawa uwezo wa kiungozi,kutwa nzima kusifia na kupotosha.Mama katoa pesa kwa ajili ya ujenzi barabara.Aibu kwa Taifa.

  • @user-pq9oy3tc7y
    @user-pq9oy3tc7y6 ай бұрын

    dg janj up vzur

  • @singanoabbas669
    @singanoabbas669 Жыл бұрын

    👏👏👏

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22586 ай бұрын

    Kama ngoma za mizimu vile?

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Жыл бұрын

    Wamemhalibu na wanamharibu mtoto.Anaongea vitu ambavyo havijui,U tafikiri wakoloni walivyokuwa wanataka babu zetu wasifie hadi vinyesi vya wakoloni

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 ай бұрын

    Umeona eee

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Жыл бұрын

    Wasukuma mnatubeza tu ila tunatisha👏👏👏👏

  • @kissakayuni767

    @kissakayuni767

    Жыл бұрын

    Hongera Sana mtoto

  • @basumaadam2686

    @basumaadam2686

    Жыл бұрын

    Sanaaa

  • @chankamba

    @chankamba

    Жыл бұрын

    Siyo. Msukuma Ni mkerewe

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce43303 ай бұрын

    Lakini ajira hakuna hata kama kuna vyumba vya madarasa

  • @user-dz3jx2wm3v
    @user-dz3jx2wm3v3 ай бұрын

    ukipewa uongozi utaweza au unajuwa kukosoa 2

  • @honorathakileo1181
    @honorathakileo11818 ай бұрын

    Hizo Kaniki vipi jamani 😮😮

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Жыл бұрын

    Mpaka machozi yamenitoka mtoto mashaallah ana kipaji cha kukariri

  • @user-fo1vr5hi2u

    @user-fo1vr5hi2u

    Жыл бұрын

    Ametisha. Sanaaaaaa

  • @ChachaIkwabe-tw5vc

    @ChachaIkwabe-tw5vc

    Жыл бұрын

    Nimeipenda

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    11 ай бұрын

    Hii imeenda kweli kwli

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    @rabanphotostudionyakanazi_4115

    10 ай бұрын

    Akika

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 Жыл бұрын

    Mna mpongeza alafu mkitoka nje mnasema vibay kwann msimwambie ukweli hali ngumu mtaan

  • @samwa9496

    @samwa9496

    11 ай бұрын

    Wewe piga kelele kwa upande wako watu wengine wanaporomosha majumba

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo59462 ай бұрын

    Vp wadudu kwani wao wanàsemaje😅😅😅😅

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana55189 ай бұрын

    Wakerewe au Wasukuma?

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l4 ай бұрын

    Daaa nimeliya mpaka kichwa kinauma

  • @mercypeter162
    @mercypeter16211 ай бұрын

    Safi sana mtoto MUNGU akutimizie ndoto yako Na mdogo wako. Waoooo waooo

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja85845 ай бұрын

    Kwanini usukumani tunapenda uchafu kuwa eti ndo umaarufu ktkt ngoma!!!!???? Uchafu ni ujinga jananiii!!!!!!

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay953511 ай бұрын

    Safi mtoto kiboko

  • @hassankaka
    @hassankaka Жыл бұрын

    Duh nomakweli

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c10 ай бұрын

    Hao wanamatwi hizo kaniki vipi jamani

  • @user-zb4pc6pe7c
    @user-zb4pc6pe7c11 ай бұрын

    Jaman kijana nimeipeda san hyo

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k11 ай бұрын

    Watoto wanawaza njaa.wote shida,mtu mzima unasifiwa na watoto waliokaririsuwa,na wewe unafurahi.CCM lao kubwa ni kusifiana.

  • @samwa9496

    @samwa9496

    11 ай бұрын

    Kwa hiyo umechukia

  • @mariamponera6386

    @mariamponera6386

    10 ай бұрын

    ulizana wewe hata kama amekarieishwa ikumbukwe hata kukariri nacho n kipajo

  • @tezrantangeki5845

    @tezrantangeki5845

    8 ай бұрын

    Hata kama wamekaririshwa lkn huoni uwakilishi mzuri ns kujiamini kwa huyu mtoto! Sema tu una kachuki na kawivu labda!!

  • @erickdeus4177
    @erickdeus4177 Жыл бұрын

    Halafu huyo sio mtoto wa kisukuma ni mkerewe sikia tu ata lafudhi ya matamsh yake

  • @simonchabara2464
    @simonchabara246410 ай бұрын

    Faida ya kula samaki hyo

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Жыл бұрын

    Kataja sifa za JPM .Hawa watu wa mwanza .🤣🤣🤣🤣🤣.

  • @LatifaWilliam-ng8hr

    @LatifaWilliam-ng8hr

    10 ай бұрын

    Masha llah 🧘🧘🧘

  • @evavicent9116

    @evavicent9116

    9 ай бұрын

    🤣🤣

  • @mimiraia2531
    @mimiraia253110 ай бұрын

    Promotion kibaaaaooooo, huku jahazi linasombwa na vimbunga kibao.

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic29307 ай бұрын

    Sijawahi kuon watoto wa hao wanaojit viongoz wanakat viuno mbele yawat ujinga mkubwa san viongoz mtaendakulizwa naujingwenu hu

  • @fidisonbiseko7674
    @fidisonbiseko76747 ай бұрын

    Ukerewe matwi gacharo

  • @nasraomar3701
    @nasraomar3701 Жыл бұрын

    Sijaona hatalamana

  • @simonchabara2464
    @simonchabara246410 ай бұрын

    Oh yec nimeenda sana ....big up Mkerewe...bhwachatata

  • @eventelias3566
    @eventelias356611 ай бұрын

    Dogo ana kipaji cha kumeza yaani huyu ukitengeneza mlungula anauchana dk mbili keshakarrir

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Жыл бұрын

    Ila wanawake du!hawajawahi kuwa na aibu hata kidogo🤔🤔🤔🤔 ni mwendo wa kukata mayenu🤣🤣🤣🤣

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    Жыл бұрын

    Ndo asili yetu wa Africa wewe wa ulaya huwezi kuelewa

  • @FrolaMpagike
    @FrolaMpagike3 ай бұрын

    Upo vir😅

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Жыл бұрын

    Mtoto kasema ni mkerewe sio msukuma

  • @michaelemanuel3132

    @michaelemanuel3132

    Жыл бұрын

    Sio kaz za Rais Samia izo!! Acheni uongo na njia za kujitafutia umaarufu izo kazi za hayat Magufuri!! Hongera zake zimwendee na zimfikie popote alipo japo nayeye tulisema hafai katika utawala wake.

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Жыл бұрын

    Ameweza

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Жыл бұрын

    Mmmhhhhh

  • @IzackMayunga-dc2qn

    @IzackMayunga-dc2qn

    8 ай бұрын

    Sob re

  • @user-eq2nq6os7v
    @user-eq2nq6os7v11 ай бұрын

    Congratulations ❤❤

  • @user-xz2wq7ie8t
    @user-xz2wq7ie8t6 ай бұрын

    Ayat nyerere

  • @user-ku7zp2ds4o
    @user-ku7zp2ds4o10 ай бұрын

    UBATILI NA KUJILISHA UPEPO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO PEKEE KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA

  • @user-dw1um8rc2w

    @user-dw1um8rc2w

    8 ай бұрын

    Jitambuww

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Жыл бұрын

    Daah nimejikuta tu machozi yananitoka wallah 🤔😂😂

  • @sponsormedia398

    @sponsormedia398

    Жыл бұрын

    Kwakweli

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l10 ай бұрын

    Mbona machozi yananitoka!

  • @EvaSadala-vv8jn
    @EvaSadala-vv8jn7 ай бұрын

    Ningekua na ww hapo mtto ninge kuzabia kibao elim Bure unajua tunapita mangapi wanstupa watto mbari huko ambako hata serikal haipo kurudisha pesa nyingi nafasi wanauza huyu nae umbwa nyie sijui majitu ya wapi nyie

  • @user-dz3jx2wm3v
    @user-dz3jx2wm3v3 ай бұрын

    jitaid muwe na fadhila

  • @matthewpaddy6444
    @matthewpaddy644410 ай бұрын

    Ni wa ukeleweni sio usukumani😂 hongereni sana

  • @ayoubdallu4476
    @ayoubdallu4476 Жыл бұрын

    Kuwa uyaone

  • @SwaleheAthumaniManyehe-fv5wt
    @SwaleheAthumaniManyehe-fv5wt11 ай бұрын

    Kanda yaziwa Kuna vipaji

  • @MasaluPetro
    @MasaluPetro11 ай бұрын

    Hogela Sana edelea

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria388410 ай бұрын

    Hata siwez Bora nikalime bustan tu

  • @NickolasMgandi-nc4vd
    @NickolasMgandi-nc4vd5 ай бұрын

    Danlowad

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Жыл бұрын

    Hivyo mlivyo mtakufa bila nguo

  • @FlolaKanjanja

    @FlolaKanjanja

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @maxiellmillians9pl278
    @maxiellmillians9pl278 Жыл бұрын

    Dogo mkelewe huyo

  • @MwemaSaid
    @MwemaSaid18 күн бұрын

    Zuch

Келесі