MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA
MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 145
Haya ndo mambo ya kufundisha watoto sio kuwafundisha mambo ya ovyoovyo tuu big up mwanangu
Ongera sana mtoto ningekua na maisha mazur ningekuwezesha upo vzr sana
Hongera sana Rais Mama Suluhu.Naona umemsahau mpishi wa hao watoto yaani Mwalimu
Hongera san mtot mung akutimiziye ndot zak Masha Allah❤❤
Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤
Nakushukuru sana Wasafi kwa kunasa kipindi hiki.pia waalimu wote mlioshiriki kunuandaa mtoto huyo.
Nakupenda Sana Raisi wetu Kuwa opendo wako Kwa jami Wote bila kujali nafas Yao ya maisha
Sensacional, tô muito emocionado pelas crianças discursando na presença de sua EXCELÊNCIA presidente Samia suluhu
Nice🎉
@SaraAfricanus
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
Hongera mkerewe🎉
Nimeipenda sana ubunifu mzuri sana
Mtoto yupo vizuri sana na inawezekana ana mambo ya ziada ya kuendelezwa
Nawapa hongera saana kw juhudi zao zote MashaAllah uuu.
Naipenda tanzaniya mimi mungu jaliya congo yangu neema
Hongera Sana mtoto uko vizuri
Allah awabariki hao wtt na awazidishie kw kukariri kla jmboo.na mma samia suluhu hassan mungu akujaze kla LA kheri.
ALLAH AWAONGOZE❤❤❤
Wallaahi nimivutiwa na alichokifanya mama yetu Rais wetu bi Samiyya ...❤❤❤❤❤❤❤❤
Safiii Sana👏👏👏
Mwenyezi mungu amjaalie
Mama yangu you deserv that, love you dk samia
Sema huyo dogo asiyeongea mfupi kuliko wote (kulia) ni star xn😄
@kokububelwa
Жыл бұрын
😂😂😂😊
Safi sana
Hongela sana kikana kwakipiji chao
Congratulations 🎉
😘😘🥰🥰🥰😍😍
Nimeipenda hiyo
❤❤❤
Hiyo mtoto ni vizuri aendelezwe Ana Jambo la ziada
Jamani mngu awabariki hao wtt kipaji Chao kiendelee
Ww unajua mafanikio au unaropok😮😮😮..sema kamekaririshwa maskin
@Awatee
Жыл бұрын
Fanya kazi dear huwezi letewa kula kwako na hawezi maliza maendeleo Yote pekee
@francismndeme6032
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Mimi mjinga eti nalia na sijui nalia nini watoto wapo vizuri sana hao
@user-vu8rs9sj4z
3 ай бұрын
Inalia kw furaha madame wangu %
Huyu mtoto amelipwa!!!!
Siyo msukuma motor ni Mkerewe
Kabisa
Tangu enziza za kenyatta , moi, kibaki, uhuru, hadi Leo ndio sirikali inatunyanyaza no no we are not happy kama jamii ya maa community.
Moto ni mhaya
wasafi munadanganya huyu mutoto ni mkelewe halafu nyinyi munaandika musukuma 2:09
@AAA-zu1vy
11 ай бұрын
Ni wasukuma me na ona wasukum Wana kua hiv
Ata Mimi nimeumia kuona vipaji vya watoto
mtoto balaa sana
Haukuwa upole katika jambo ispokuwa hulipamba jambo hilo🎉
Syo mskuma hyo bna ni mtto wa u.k moja mskuma kweli awe jasili namna hiii🤣🤣🤣awe bna hongera katoto upo vzri
Watoto wadogo kuwacheza coma ni kuwaharibu Bora mashahiri tuache Mila potovu mtoto kuimba na kuvaa vinyago hatari kuharibi watt
😂😂 toto mlipewa sh ngapii , msiniulize kama hainihusu
Mama mwenyewe hachekiiiiiii
Tatizo lako wewe unaumwa u.t.i kila mwezi na bado umekomaa na mfumo wako wa kunywa maji kikombe 1 kwa siku, umechoma sindano, umemeza vidonge lkn kesho tena unayooo🤔🤔🤔🤔 umejitutumua umetumia dawa ya asili umepona/hujapona lakini hata ulaji wako ni wa kisasaa Chipsi/kuku wa kisasa, soda, juisi za kiwandani na hujali kabisaa chakula cha asili,, ndugu yangu jirekebisheee. chunguza mfumo wako wa maisha na urekebishe mapungufu uliyonayo utakuja kunishukuruu, usipojirekebisha nimekaa pale nakusubiri uje utumie dawa ya Stopper, Stopper ni dawa ya asili yenye kutibu hormone imbalance, UTI sugu, fangasi sugu za ukeni, kutokwa uchafu sehemu za siri, kuwashwa sehemu za siri, chango, Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa hedhi, kukosa ute wa mimba na kushindwa kushika ujauzito, kukosa hamu ya tendo, inasaidiaa pia kubana ukee na kuongeza joto Ukenii. Stopper ndio suluhisho pekee la changamoto hizo, utaipata kwa 15,000 tuu, karibuu. kujifunza zaidi tembelea page yetu ya instagram instagram.com/jproducttz?igshid=ZGUzMzM3NWJiOQ== Tunapatikana Dar es salaam -Buza 0719021558
Hii imeenda kbx
Hongera sana mjukuu wetu. Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza Amina
Njaaa mbayaa Sanaa inakutia ujasiri😂😂😂😂 big up
@bandit3779
Жыл бұрын
Hahhhhaa mamaee
@charlessmashaka9859
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂kwel
Matumizi mabaya ya muda,watoto wanakaririshwa kila kitu,ndiyo maana tunaambulia kupata viongozi wa hovyo hovyo ,hawa uwezo wa kiungozi,kutwa nzima kusifia na kupotosha.Mama katoa pesa kwa ajili ya ujenzi barabara.Aibu kwa Taifa.
dg janj up vzur
👏👏👏
Kama ngoma za mizimu vile?
Wamemhalibu na wanamharibu mtoto.Anaongea vitu ambavyo havijui,U tafikiri wakoloni walivyokuwa wanataka babu zetu wasifie hadi vinyesi vya wakoloni
@MACHOYATAI-jk6fu
9 ай бұрын
Umeona eee
Wasukuma mnatubeza tu ila tunatisha👏👏👏👏
@kissakayuni767
Жыл бұрын
Hongera Sana mtoto
@basumaadam2686
Жыл бұрын
Sanaaa
@chankamba
Жыл бұрын
Siyo. Msukuma Ni mkerewe
Lakini ajira hakuna hata kama kuna vyumba vya madarasa
ukipewa uongozi utaweza au unajuwa kukosoa 2
Hizo Kaniki vipi jamani 😮😮
Mpaka machozi yamenitoka mtoto mashaallah ana kipaji cha kukariri
@user-fo1vr5hi2u
Жыл бұрын
Ametisha. Sanaaaaaa
@ChachaIkwabe-tw5vc
Жыл бұрын
Nimeipenda
@user-qq6mv6vh3e
11 ай бұрын
Hii imeenda kweli kwli
@rabanphotostudionyakanazi_4115
10 ай бұрын
Akika
Mna mpongeza alafu mkitoka nje mnasema vibay kwann msimwambie ukweli hali ngumu mtaan
@samwa9496
11 ай бұрын
Wewe piga kelele kwa upande wako watu wengine wanaporomosha majumba
Vp wadudu kwani wao wanàsemaje😅😅😅😅
Wakerewe au Wasukuma?
Daaa nimeliya mpaka kichwa kinauma
Safi sana mtoto MUNGU akutimizie ndoto yako Na mdogo wako. Waoooo waooo
Kwanini usukumani tunapenda uchafu kuwa eti ndo umaarufu ktkt ngoma!!!!???? Uchafu ni ujinga jananiii!!!!!!
Safi mtoto kiboko
Duh nomakweli
Hao wanamatwi hizo kaniki vipi jamani
Jaman kijana nimeipeda san hyo
Watoto wanawaza njaa.wote shida,mtu mzima unasifiwa na watoto waliokaririsuwa,na wewe unafurahi.CCM lao kubwa ni kusifiana.
@samwa9496
11 ай бұрын
Kwa hiyo umechukia
@mariamponera6386
10 ай бұрын
ulizana wewe hata kama amekarieishwa ikumbukwe hata kukariri nacho n kipajo
@tezrantangeki5845
8 ай бұрын
Hata kama wamekaririshwa lkn huoni uwakilishi mzuri ns kujiamini kwa huyu mtoto! Sema tu una kachuki na kawivu labda!!
Halafu huyo sio mtoto wa kisukuma ni mkerewe sikia tu ata lafudhi ya matamsh yake
Faida ya kula samaki hyo
Kataja sifa za JPM .Hawa watu wa mwanza .🤣🤣🤣🤣🤣.
@LatifaWilliam-ng8hr
10 ай бұрын
Masha llah 🧘🧘🧘
@evavicent9116
9 ай бұрын
🤣🤣
Promotion kibaaaaooooo, huku jahazi linasombwa na vimbunga kibao.
Sijawahi kuon watoto wa hao wanaojit viongoz wanakat viuno mbele yawat ujinga mkubwa san viongoz mtaendakulizwa naujingwenu hu
Ukerewe matwi gacharo
Sijaona hatalamana
Oh yec nimeenda sana ....big up Mkerewe...bhwachatata
Dogo ana kipaji cha kumeza yaani huyu ukitengeneza mlungula anauchana dk mbili keshakarrir
Ila wanawake du!hawajawahi kuwa na aibu hata kidogo🤔🤔🤔🤔 ni mwendo wa kukata mayenu🤣🤣🤣🤣
@verobecamfipa8655
Жыл бұрын
Ndo asili yetu wa Africa wewe wa ulaya huwezi kuelewa
Upo vir😅
Mtoto kasema ni mkerewe sio msukuma
@michaelemanuel3132
Жыл бұрын
Sio kaz za Rais Samia izo!! Acheni uongo na njia za kujitafutia umaarufu izo kazi za hayat Magufuri!! Hongera zake zimwendee na zimfikie popote alipo japo nayeye tulisema hafai katika utawala wake.
Ameweza
Mmmhhhhh
@IzackMayunga-dc2qn
8 ай бұрын
Sob re
Congratulations ❤❤
Ayat nyerere
UBATILI NA KUJILISHA UPEPO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO PEKEE KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA
@user-dw1um8rc2w
8 ай бұрын
Jitambuww
Daah nimejikuta tu machozi yananitoka wallah 🤔😂😂
@sponsormedia398
Жыл бұрын
Kwakweli
Mbona machozi yananitoka!
Ningekua na ww hapo mtto ninge kuzabia kibao elim Bure unajua tunapita mangapi wanstupa watto mbari huko ambako hata serikal haipo kurudisha pesa nyingi nafasi wanauza huyu nae umbwa nyie sijui majitu ya wapi nyie
jitaid muwe na fadhila
Ni wa ukeleweni sio usukumani😂 hongereni sana
Kuwa uyaone
Kanda yaziwa Kuna vipaji
Hogela Sana edelea
Hata siwez Bora nikalime bustan tu
Danlowad
Hivyo mlivyo mtakufa bila nguo
@FlolaKanjanja
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Dogo mkelewe huyo
Zuch