Mama Samia, Rais wetu, Mungu akupe hekima zaidi. Nimefurahi kukuona ukitafiti maisha ya watanzania wa hali ya chini. Nakuombea afya njema.
@talhiyaibrahim10749 ай бұрын
Tunataka rais kama huyu jamani hongera sana mamalao❤
@txsoundsrecord3663
9 ай бұрын
Ndyo nimependa Sana raisi kujishusha kuongea na wana nchi safikabisaaaa
@danielmwakihemba59059 ай бұрын
Mama hongera sana. Mungu akulinde umetugusa wengi
@kabaranamaganga66469 ай бұрын
Asante Mama! Mwenyezi Mungu akutie nguvu. Huu ndio ukweli wa kuyajua maisha ya walalahoi. Hongera mh Rais
@NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu6 ай бұрын
Hongera Sana mweshmiwa Rais na Mwenyekiti wetu wa chama Cha mapinduzi Taifa kwa kazi nzuri sana unastahili pongezi Rais wetu na kazi iendelee kidumu chama Cha mapinduzi
@ismailhaji64719 ай бұрын
Mama ni mtu poa sana, shida ipo kwa watendaji tu. Ila mama anatosha kwenye nafasi yake
@shamsakiobia64219 ай бұрын
Mungu akulinde Rais wangu ili tuwe na amani tanzania, mungu akulinde na hao wakimbia ulaya
@augustinembaikeya30959 ай бұрын
Hongera Rais leo umenikosha! Hivi ndiyo vitu watanzania tunataka siyo katiba
@noorbazaar9063
9 ай бұрын
😮😮😮😮😮
@noorbazaar9063
9 ай бұрын
😮😮😮😮😮
@naishiyemollel5 ай бұрын
Mama safi sana Mungu akuepushe na Kila Shari tunakuombe Mungu akufikishe mama mwenzetu kazi iendelee
@emmyanold93068 ай бұрын
Rais wetu mungu akupe maisha marefu nakupenda sana
@madammagdarlynmuthembi7295 ай бұрын
Hakika Mama ni kipenzi cha wengi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu
@peninashungu66339 ай бұрын
HAPO MAMA NDO UJIULIZE HIZO PESA WATU WAKO WANASEMA WAMEWAPA WAKINA MAMA MBONA WANALIA NA MITAJI HIZO PESA ZIMEENDA WAPI
@aminaomary55679 ай бұрын
Rais wangu kazi nzuri sana pita na mkoa mingine 👍👍👍🙏🙏
@DoctorRengeda9 ай бұрын
Hivi wa 🇹🇿 mtabadilika lini mkokumpongeza rais kwa kwa lak5 badala ya kumtolea vilio huduma , mahitaji ,chakula na bidhaaa ashushe bei mpo tu kupiga makofi fanyeni mabadiliko wa🇹🇿 amkeni kumekucha washa tuchezea sana hii nchi nitajiri sana ila wanao faidika niwachache wasio na uzalendo ..... ✌️✌️✌️📢📢📢
@mereyamhomesmariamhomes34649 ай бұрын
Kama kweli mama umeamua kusaidia walaia wako msaidie na mama Warda apate mtoto wake tafadhali
@marthagabriel3417
9 ай бұрын
Hapo tu ndo atakuwa katupata wamama wengi ila haya maigizo mengine 😢
@yakobokuzenza6837
9 ай бұрын
@@marthagabriel3417magu ndo alifanya maigizo ya kutosha.Acha unafiki
@fakihbakari
9 ай бұрын
nilitaka kuliongea hili ila umenisaidia natamani kama ao kina mama wangeli mwambia rais samia kuhusu warda
@ummiissaabdulissaabdul8117
9 ай бұрын
kabisa mm ndio namshangaa mbona asisaidie familia ya warda mtoto alipotea miezi na yuko kimya na mwalim yuko huru kwa nini samia ungekua mjukuu wako alipotea ivi ungenyamaza fatilia Sakata la bint apatikane mana yule mwalim akikamatwa na kufinywa mahali atasema mtoto aliko
@marywayuwa58678 ай бұрын
Jameni tazania mpo vizuri 👏👏👏👏 rais Ako sawa mama Samia am frome 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@robertphilip385
3 ай бұрын
Anachea Kodi za wanaichi
@rebekakulwa61599 ай бұрын
Mama usisahau kutupatia katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndio mambo yote
@mwanache
9 ай бұрын
Wabongo bana… yaani akili zao wanazijua wenyewe… chaguzi zimekaribia na tutaona mengi! Mtagaiwa mchele, elfu kumi kumi, mtatembelewa masokoni na maHospitalini BORA TU muwapigie kura!!! AMKENI KUTOKA KWENYE USINGIZI😮
@HelsonRuchagula3 ай бұрын
Nampendaga sana rais wang walai ningekuwa na wezo ningemtembelea hata siku moja
@saidkipalo44279 ай бұрын
Safi Sana muheshimiwa Rais Samia pamoja sana mama.hakika Mama unaupiga mwingi mno 🤝
@Patrick-rf6ro9 ай бұрын
Hakika mama Umeupiga mwingi, hongera Sana
@ghottaman25709 ай бұрын
Mama kwa hili ume tukumbusha mzee wetu safi sana 🇹🇿🇹🇿❤
@PaulNzima-pd8il9 ай бұрын
Mama mtanii.... Hapo ndo ataelewa maisha ya mwananchi wa kawaida👍 Diamond Platnumz amesha sema... Mama for Life 👏👏👏👏👏🇹🇿
@NoufalSalim-yb4ob9 ай бұрын
Hongera mama unafanya kazi mzur
@salimusalim3610
9 ай бұрын
Hapo wenyeroho mbaya inawauma kazi iendelee MUNGU amlinde ampe afya rais wetu
@lukomanomaliki54426 ай бұрын
Mama yuko vizuri sana,ila akina Mwigulu Mchemba ndo wanamchonganisha na Wananchi kwa kauli zao za kifedhuli.
@edwinedward53529 ай бұрын
Mungu akulinde na wenye nia mbaya nawewe wasio litaki taifa letu amani mama kwakweli umeupiga mwingi naoba iendelee ivyo hivyo kuwajali wanyonge👏👏👏🇹🇿🇹🇿🙏🏾🙏🏾
@khamiskulasha9 ай бұрын
Watz tunahitaji katiba mpya. Hayo aliyoyafanya Mh Rais. Yatakuwa maradufu ya hayo. Tusiache Mbachao kwa msala upitao.
@V24hrs9 ай бұрын
Safi saaana mama.. huko kutakusaidia kujua maisha halisi ya wananchi wako hasa wakawaida
@hemedrashid29219 ай бұрын
mungu akupe afya njema,barka ,aman ,subra na alinde mamlaka yako inshaallah safi na badooo uko vzr mama yetu
@user-ci1st3qe7q9 ай бұрын
Ee hee! ndo hivyo maisha tunavyo ishi kwa hili na mimi nimeipenda maana ukiwa hivyo ni lazima ujue hali ilioko katika watu! Hiyo" na mimi mama" nipo nawe? pia
@bigimbaruhaimable255 ай бұрын
Like Father like daughter ❤ love you from Kigali 🇷🇼 your excellence Dr samia . Your work is really appreciated as what our brother HE kagame keep doing for rwandaise. Keep it up hereos ❤❤❤❤
@jovinsylivester36018 күн бұрын
Imependeza sana kuona Rais anacheka na kutabasamu na watu wake. Nivizuri viongozi wote kuiga. Karibu na kyerwa mbona kyerwa hatupati ziara kama hizi, au wawakirishi wetu, kyerwa tunataka kukushukuru Kwa bei ya kahawa
@hawahawaynat-ps1tu9 ай бұрын
Maa shaa allah❤❤❤
@user-nt3xr1he8o9 ай бұрын
Hii nimeipenda mama ukiendelea hivi itakufanya kujua maisha ya watu wako wasio na mshahara Kwa mwezi kula ya kwangu chukua nawengine 100 walio nyuma yangu lazima nikupe 2025 na zaidi Mungu akulinde na madui uwe mshindi Kila eneo la maisha Yako
@jumaiddyyusuph9 ай бұрын
Uyu nd raisi inavyo paswa awe aje kuangalia changamoto za mitaani🎉🎉❤
@jitabojilala61629 ай бұрын
Barikiwe mama kwa kazi nzuri ,but free mbarikiwa
@fatmaaliomar97332 ай бұрын
Muheshimiwa Rais umefanya vizuri ulivyoshuka mwenyewe sokoni kuwaona wanawake wanavofanya biashara zao lakini pia uwelewe bei za bidhaa wanazopanga wananchi ikiwezekana wapunguze bei katika viungo vya mchuzi na mboga mboga ili wenye kipato cha chini waweze kumudu mlo wa mara moja.Kazi iendelee.
@jastinedaudi-qi9vr9 ай бұрын
Mam m2 anaekuchukia ww hana akili kbsa mam unatuinua sna vijan saiv
@victoriarwerengera4831
9 ай бұрын
Mama ni safi sana...ila waliomzunguka anaowaamini ndo kimbembe
@user-fm4hg6us7z9 ай бұрын
Hongera sana mama etu mpendwa RAIS SAMIA ❤❤❤❤
@edwardmaguluko65419 ай бұрын
SAFI SANA MAMA SAMIA RAIS WETU UMEJUA KUWAFURAHISHA WANANCHI WAKO NA UMEFANYA KITU CHA TOFAUTI SANA MUNGU AKUBARIKI
@IsayaSosolo-nx8zk9 ай бұрын
Hayo mapichapicha tu uhalisia wa tukio lililo tengenezwa mnasifia wamepiga deki na kuwapanga wadanganye wasio juwa sanaa za namna hiyo!
@nestorypantaleo9 ай бұрын
Hongera ,Mh. Raisi Samia, , Uje na Chekereni ya Mabogini hali ya soko na Barabara ni mbaya ,.
@pirminmatumizi54649 ай бұрын
LEO MAMA SAMIA UMEUKONGA MOYO WANGU. KEEP IT UP MOM!
@kefamwakipesile2759 ай бұрын
Huyu ni mnafki tuu,mwenzie hakuwa mtu wa kutafuta kiki kipindi uchaguzi unakaribia Kwa sisi tulio soma katiba huwa tunasema "SAMAKI MTUNGONI" Kwa wale wa kyuba watanielewa
@kekiplus1andonly9 ай бұрын
Weeeee mama kajipanga,hataki mchezo😂😂😂😂😂
@rashidhamad33089 ай бұрын
Mama mawazo yangu baada ya kutembelea sokoni na baazi wafanya biashara kuwapa au kuwaangezea mitaji jambo zuru sanaa Mungu akuweke lakini ungefanya wafanya biashara wadogo wadogo ungetuondoshia kodi ndogo ndogo.wangefurahi sanaaa huo ndo ushauri wangu kuwapa mtaji si solution.
@BarackIsmailJoseph-zy6ep9 ай бұрын
kind leaders ,,,kind people i love tanzania viva tanzania
@josekapufi-ut8ku9 ай бұрын
Wakati wa kudanganywa watanganyika, watanunua nyanya, na watanunua dagaa, kila kitu, mara wanapiga magoti,mara wanalia ili miradi muwachague serikali za mitaa 2024, na 2025.
@leokamil6284
9 ай бұрын
Asante kwa uelewa maana sisi watanzania tunajua kujisahau kwa maigizo tu .Sijui tumerogwa na nani ?
@mako3319 ай бұрын
Mama Sasa hii ndio kazi, pita mitaani uone maisha halisi
@user-np6mv2qi7l8 ай бұрын
Saiz nineanza kuelewa kumbe mama yetu anawapenda watoto wake ukiwa mtukutu anakuchapa mama tunakupenda pamoja na yule kaka yetu makonda nakupenda Tanzania kwa moyo wangu wote
@ummiissaabdulissaabdul81179 ай бұрын
mm uyu samia mbona yuafanya shughuli nyengine badala ya kuingilia Sakata la warda mtoto alipotea kwa njia ya tatanishi yeye yuko kimya kama hasikii wala ajui wazazi waumia uyu mwanamke cjui yukoje
@moreenonesmo-jz2ws8 ай бұрын
Hua nampenda Mh.Bashe Sana kwa Kujieleza
@alexvenas26999 ай бұрын
Hii mama imekaa sawa kabisa ,Mungu akubariki sana ukipita mtaani ukawaona wananchi wachini Mungu akupe afya njema
@obadiajuma4369 ай бұрын
Niwapi uko mama amefanya vizuri hivyo kumbe nitabora Mungu akubariki mama
@user-py6xu6hm9h9 ай бұрын
Mama ubarikiwe Raisi wetu Mungu atakujaria na kurinde Sana nakupeenda
@rashidishabani95219 ай бұрын
Masha Allah. Hii ndio maana halisi ya kiongozi, kujua bei za bidhaa na maisha halisi ya wananchi wa kipato cha chini.
@merlianynduva11429 ай бұрын
Hadi nimeyasahau mabaya yake yote jamaaani ❣️🥰🧚💃😍
@salimusalim3610
9 ай бұрын
Tuzidi kumuombea dua MUNGU ampe afya na amlinde na kila baya
@joyceabeli37879 ай бұрын
Safi sana mh rais umefanya jambo jema hakika mungu akulinde uendlee kutuongoza mama hakuna kama mama
@NoelMalecela9 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia, Wengi sana wataanza kujifanya watukufu.. Kumbe ni mashetani walewale..
@leokamil6284
9 ай бұрын
Asante sana ila wanadhani ndio uhalisia ulivyo kumbe tunatapeliwa kuwapa ulaji nchi ya kudanganywa tunazipenda sana
@MariamAlly-hk7io
Ай бұрын
Yupo hivyo kitambo ubaya hamjawahi kuuona waliotangulia kutoka kusokojulikanA
@ernestjohnbosco20538 ай бұрын
Nimekupenda hadi nimesisimkwq na mwili kwa roho nzuri ulionayo mama Mungu akutunze Mungu akubariki Mungu akupe maisha marefu Mungu akukumbuke usiku na mchana katika uongozi wako Mungu aufanye uongozi wako kama uongozi wa suleimani akivyopewa hekima na maarifa.
@khadijayusuph26349 ай бұрын
Ndo ajue maisha ya raia ilivyo ngumu "10000 unabajet mpaka kichwa kinauma
@maimunamnandowa59489 ай бұрын
Mungu akubari Rais wetu
@judiththobias51329 ай бұрын
Yaani suala la bandari limekutafuna vibaya mno hata ugawe hela huelewekiii
@user-sh8xp5dn3w9 ай бұрын
Mama mama mama mama nakupenda mama yangu
@halimahbwelele6949 ай бұрын
MashaAllah,ukitoka ndio utajua hali ya maisha
@peninashungu66339 ай бұрын
Sijampenda mama muuza nyanya sijui hajiamin ata haja shukuru vizuri😂 mie ninge ruka ruka mpaka nikavunja genge
@judiththobias5132
9 ай бұрын
Anajitambua bandari
@muzdalifatsaid3658
8 ай бұрын
Hahahaaa
@Boniphaceshayo59 ай бұрын
Mapigo ya magu hayo
@SophlaJackson-nt1nc
9 ай бұрын
Usiongee saana wata kuona😅😅😅
@NeemaNyanda4 ай бұрын
Mama fanya hivi hivi mioyo yetu inafulahi kuona mama unatujali namna hii jitume kama jpm mama angu nakupenda nakuombea uwemama mzuri zaidi kwetu sote watanzania
@miriamowenya19289 ай бұрын
Da mwenyezi Mungu akuzidishie mama yetu
@WilbertChambilo-yl1kc9 ай бұрын
Ubariki Sana mama
@twaliwamhagaha12179 ай бұрын
Moyo huu ulioonyesha Mheshimiwa Raisi ni Jema sana na Mungu Akubariki sana.
@gilbertkalanda93549 ай бұрын
Safi Mama, umeanza vizuri. Pita alimopita mtangulizi wako. That is real politics ambayo wabongo wanapenda kuona
@wazirijunior33438 ай бұрын
Yan mama hao wakina mama ulioahidi kuwasaidia Kama ni pesa ungewagea hapo hapo otherwise hao unaowakabizi hayo majukumu wallahi mama zetu watapigwa na kitu kizito😂😂😂😂😂
@godfreymkanje56679 ай бұрын
Ahhaha afadhari uwe unazunguka mama uone maisha harisi ya watanzania
@hassanmoalimmuse6014
9 ай бұрын
Point
@EdgarKakuru-vv1lc7 ай бұрын
Mama Samia naomba unisaidie chuo kinaelekea kugoma kwa kukosa mkopo jamani
@TM-zs3rm4 ай бұрын
Siku moja tu mtanzania unaridhika. Ndo maana mnaandamana bei zishuke. Hii danganya ya leo tu mwaka mzima uraisi Vipi? Bado Tuko mbali sana.Tunahitaji mfumo utakaompa kila Mtanzania unafuu wa maisha. Tuache kuridhika kwa kuhongwa kwa siku moja tu.
@Manswabu9 ай бұрын
Daaaa kweli ukituja na mtu mwenye hela Kila mtu anaomba hela jaman 😢
@twiseghekisilu88459 ай бұрын
Mama anaongea vizuri mpaka raha!
@ZEDTVSHOWRWANDA8 ай бұрын
Thanks for the humility ❤
@williamkaranja95298 ай бұрын
Twakupenda Mama❤❤ kenya 🇰🇪
@mulumederwasifa48018 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mama
@christopherjoseph83309 ай бұрын
Mama Samia unapendeza zaidi ukitembelea wananchi wa hali ya chini pia unapata baraka na nuru usoni, kazi za ofisi waachie wengine.
@constanciapeter24979 ай бұрын
maama Huyoooo🎉🎉🎉❤
@Kilizon89 ай бұрын
Bora kupita na huku mitaani kujua hali na maisha kwa ujumla ya wananchi ili pindi mnapo pandisha vitu bei na kuwafukuza watu kwenye biashara zetu sisi wananchi za kujipatia vijisenti ndiyo muone sasa mtafanyaje lenu huko viongozi wetu.na tunawapenda sana. Tena sana
@Nuru_ya_sunnah.official4 ай бұрын
😂😂mama kafika gengeni mwenyewe yan akina mama kwa mapishi bn hahah
@user-yb6wh1bk9d8 ай бұрын
Badala awe mkweli ili wazidi kusaidiwa Hy et wanakosa mtaji na mtaji unaonekana Bora tu useme mtaji nnao lakini mdogo mm nna familiya mtaji mdogo naomba muheshimiwa rais nisaidie kuongezea mtaji ukue lkn wote hawana mtaji sokoni na hvyo wanavyo uza Nini km sio mtaji mpe mtu moyo ili muzidi kusaidiwa
@ezekielsulle92499 ай бұрын
Mnataka tuandika ili tukamatwe au🤔🤔🤔🤔
@zainabuselemanimsalama27032 ай бұрын
Mama hao watendaji hawarudigi na wakirudi Kama ulimpa kumi ataleta 3 ndio wanaokuharibia
@mahammoudhaji9 ай бұрын
Mm nimfunga Leo! Nimeipenda hii
@eddyeddy13379 ай бұрын
Safi kabisa Mama
@sunaybrajabu2389 ай бұрын
Natamani nicomment Lakin wananchi wapuuzi wasio juwa nin maana ya siasa wataona namponda Rais wao, siasa ni mchezo mchafu mnatengenezewa mazingira ya utoaji kura 2025, na vigelegele mnapiga Tanzania tutaishi maisha magumu kwa upofu wa akili, tumbaka
@Kasonadi-hp1lv
9 ай бұрын
We hutaki. Jichague sasa
@vicentjulius
9 ай бұрын
Watu wanatekwa akili mbila kutambua
@SophlaJackson-nt1nc
9 ай бұрын
MiMi nime kuelewa ila usiongee saana watakudunda Hawa😅😅😅
@sunaybrajabu238
9 ай бұрын
@@Kasonadi-hp1lv miongoni mwa wapuuzi wa akili😂
@Kasonadi-hp1lv
9 ай бұрын
@@sunaybrajabu238 kwa hiyo na wewe unatuteka akili tukukubali sio? Acha unafiki Akifanya ohooooo Asipofanya ohoooo
@emanuelleopod39499 ай бұрын
Siyo kila kitu anachofanya bi mdashi basi nipinge,, hapa hongera mama
@Octavinaelisa-fn6js4 ай бұрын
Waoo mama kwakweri karibu na huku kwetu 😊
@JosephLamau-yq1lx9 ай бұрын
Hongera sana mama kutembelea wanchi wako kuju jinsi maisha yalivyo magumu Mungu akubariki sana uwe na maisha marefu Raid oyeee
@user-gs4od6ii2f
9 ай бұрын
Khaaaa
@sankajoseph46279 ай бұрын
Safi mama yetu rais wetu mungu akulinde
@stewartdyamvunye-wz6rn9 ай бұрын
Sasa ndgu zangu kwa kweli hata nami au mtu yeyote nikipewa laki tano leo nitafuarahi sana na nitashangilia. Ila tujiulize, je kwa mtu mkuu wa nchi kufanya hivyo, ndo itakuwa suluhu ya kudumu ya uchumi hoi bin taabani wa nchi yetu? Na kwa nafasi yake kama rais, hao ni walala hoi kiduchu tu wa Tabora, je wa mikoa mingine? Nao wangestahili au wanasubiri wapewe hizo laki tano, tatu. Je mhe. ataweza kugawa kwa walala hoi nchi nzima? Vinginevyo raisi asishangae kuamsha kilio cha walalahoi wa mikoa mingine wakiomba awatembelee na wapate mtaji! Naam, pamoja na yote hayo, moyo wa kutoa ni ibada. Tafakari.
@karimkassam571
9 ай бұрын
HIYO NI TAFITI YA KIUCHUMI AS PRESIDENT..MAMA YUPO VIZURI
@robertmanari5467
9 ай бұрын
Anachokifanya ni kujua uhalisia wa MAISHA yalivyo kwa sasa hivyo yupo sahihi!!kama samaki wa elfu Moja kamshangaa ndo ajue wananchi tunaishi vipi
@selemanimtepa-eh7rs
9 ай бұрын
We ulitakaje?
@user-bo5qp9gz8m
9 ай бұрын
Sawa ametoa mtaji je iyo ela itatosha kulipia fremu na kuchukulia bidhaa za kuuza maana ukisema ufanye biashara ya kutembeza machinga ndo ivo wanawakamata na kuwabebea bidhaa ukienda kufuatilia unaambia toa faini je iyo ela utatoa wap uk umekopa au umechukua bidhaa mali kauli ukiuza nd ulipe ubaki na faida 😢😢
@hummymgaza6915
9 ай бұрын
Sijui wewe ulitakaje? Yaani hana jema uyo mama anachofanya basi tu mukosoe.
@olaripsabaya-kr1tu9 ай бұрын
Safi Hussein Bashe umejua kujitetea mbele ya Mkuu 😁😁
@BakariIssa-nx3yf9 ай бұрын
Mama anatuzuga amegundua laiya awamuelewi ameamua kujakivingine ilitumuelelwe asitupoteze atoe matozo wamasai katibampya tume Uhuru bandarizetu
@joycesamwely78968 ай бұрын
Samia mama angalia kitakacho wanufaisha watu wa hali ya chin kwa ujumla mfan shusha bei ya chakula imarisha taasisi ya mikopo na vipaumbele vyake kwasabab weng tunashida hauwez tueneza mama❤
@cheba21579 ай бұрын
😂😂😂 asema yeye hapati hata elfu 10 😂😂😂, wanasiasa waongooo wakukatwa ulimi kabisa. Anataka kusema mshahara wa raisi ni laki 2 na tisini
@SifaBushashire3 ай бұрын
Maaaaama mama mama uwezo wakukulipa sina mama mungu akupe🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Пікірлер: 479
Mama Samia, Rais wetu, Mungu akupe hekima zaidi. Nimefurahi kukuona ukitafiti maisha ya watanzania wa hali ya chini. Nakuombea afya njema.
Tunataka rais kama huyu jamani hongera sana mamalao❤
@txsoundsrecord3663
9 ай бұрын
Ndyo nimependa Sana raisi kujishusha kuongea na wana nchi safikabisaaaa
Mama hongera sana. Mungu akulinde umetugusa wengi
Asante Mama! Mwenyezi Mungu akutie nguvu. Huu ndio ukweli wa kuyajua maisha ya walalahoi. Hongera mh Rais
Hongera Sana mweshmiwa Rais na Mwenyekiti wetu wa chama Cha mapinduzi Taifa kwa kazi nzuri sana unastahili pongezi Rais wetu na kazi iendelee kidumu chama Cha mapinduzi
Mama ni mtu poa sana, shida ipo kwa watendaji tu. Ila mama anatosha kwenye nafasi yake
Mungu akulinde Rais wangu ili tuwe na amani tanzania, mungu akulinde na hao wakimbia ulaya
Hongera Rais leo umenikosha! Hivi ndiyo vitu watanzania tunataka siyo katiba
@noorbazaar9063
9 ай бұрын
😮😮😮😮😮
@noorbazaar9063
9 ай бұрын
😮😮😮😮😮
Mama safi sana Mungu akuepushe na Kila Shari tunakuombe Mungu akufikishe mama mwenzetu kazi iendelee
Rais wetu mungu akupe maisha marefu nakupenda sana
Hakika Mama ni kipenzi cha wengi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu
HAPO MAMA NDO UJIULIZE HIZO PESA WATU WAKO WANASEMA WAMEWAPA WAKINA MAMA MBONA WANALIA NA MITAJI HIZO PESA ZIMEENDA WAPI
Rais wangu kazi nzuri sana pita na mkoa mingine 👍👍👍🙏🙏
Hivi wa 🇹🇿 mtabadilika lini mkokumpongeza rais kwa kwa lak5 badala ya kumtolea vilio huduma , mahitaji ,chakula na bidhaaa ashushe bei mpo tu kupiga makofi fanyeni mabadiliko wa🇹🇿 amkeni kumekucha washa tuchezea sana hii nchi nitajiri sana ila wanao faidika niwachache wasio na uzalendo ..... ✌️✌️✌️📢📢📢
Kama kweli mama umeamua kusaidia walaia wako msaidie na mama Warda apate mtoto wake tafadhali
@marthagabriel3417
9 ай бұрын
Hapo tu ndo atakuwa katupata wamama wengi ila haya maigizo mengine 😢
@yakobokuzenza6837
9 ай бұрын
@@marthagabriel3417magu ndo alifanya maigizo ya kutosha.Acha unafiki
@fakihbakari
9 ай бұрын
nilitaka kuliongea hili ila umenisaidia natamani kama ao kina mama wangeli mwambia rais samia kuhusu warda
@ummiissaabdulissaabdul8117
9 ай бұрын
kabisa mm ndio namshangaa mbona asisaidie familia ya warda mtoto alipotea miezi na yuko kimya na mwalim yuko huru kwa nini samia ungekua mjukuu wako alipotea ivi ungenyamaza fatilia Sakata la bint apatikane mana yule mwalim akikamatwa na kufinywa mahali atasema mtoto aliko
Jameni tazania mpo vizuri 👏👏👏👏 rais Ako sawa mama Samia am frome 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@robertphilip385
3 ай бұрын
Anachea Kodi za wanaichi
Mama usisahau kutupatia katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndio mambo yote
@mwanache
9 ай бұрын
Wabongo bana… yaani akili zao wanazijua wenyewe… chaguzi zimekaribia na tutaona mengi! Mtagaiwa mchele, elfu kumi kumi, mtatembelewa masokoni na maHospitalini BORA TU muwapigie kura!!! AMKENI KUTOKA KWENYE USINGIZI😮
Nampendaga sana rais wang walai ningekuwa na wezo ningemtembelea hata siku moja
Safi Sana muheshimiwa Rais Samia pamoja sana mama.hakika Mama unaupiga mwingi mno 🤝
Hakika mama Umeupiga mwingi, hongera Sana
Mama kwa hili ume tukumbusha mzee wetu safi sana 🇹🇿🇹🇿❤
Mama mtanii.... Hapo ndo ataelewa maisha ya mwananchi wa kawaida👍 Diamond Platnumz amesha sema... Mama for Life 👏👏👏👏👏🇹🇿
Hongera mama unafanya kazi mzur
@salimusalim3610
9 ай бұрын
Hapo wenyeroho mbaya inawauma kazi iendelee MUNGU amlinde ampe afya rais wetu
Mama yuko vizuri sana,ila akina Mwigulu Mchemba ndo wanamchonganisha na Wananchi kwa kauli zao za kifedhuli.
Mungu akulinde na wenye nia mbaya nawewe wasio litaki taifa letu amani mama kwakweli umeupiga mwingi naoba iendelee ivyo hivyo kuwajali wanyonge👏👏👏🇹🇿🇹🇿🙏🏾🙏🏾
Watz tunahitaji katiba mpya. Hayo aliyoyafanya Mh Rais. Yatakuwa maradufu ya hayo. Tusiache Mbachao kwa msala upitao.
Safi saaana mama.. huko kutakusaidia kujua maisha halisi ya wananchi wako hasa wakawaida
mungu akupe afya njema,barka ,aman ,subra na alinde mamlaka yako inshaallah safi na badooo uko vzr mama yetu
Ee hee! ndo hivyo maisha tunavyo ishi kwa hili na mimi nimeipenda maana ukiwa hivyo ni lazima ujue hali ilioko katika watu! Hiyo" na mimi mama" nipo nawe? pia
Like Father like daughter ❤ love you from Kigali 🇷🇼 your excellence Dr samia . Your work is really appreciated as what our brother HE kagame keep doing for rwandaise. Keep it up hereos ❤❤❤❤
Imependeza sana kuona Rais anacheka na kutabasamu na watu wake. Nivizuri viongozi wote kuiga. Karibu na kyerwa mbona kyerwa hatupati ziara kama hizi, au wawakirishi wetu, kyerwa tunataka kukushukuru Kwa bei ya kahawa
Maa shaa allah❤❤❤
Hii nimeipenda mama ukiendelea hivi itakufanya kujua maisha ya watu wako wasio na mshahara Kwa mwezi kula ya kwangu chukua nawengine 100 walio nyuma yangu lazima nikupe 2025 na zaidi Mungu akulinde na madui uwe mshindi Kila eneo la maisha Yako
Uyu nd raisi inavyo paswa awe aje kuangalia changamoto za mitaani🎉🎉❤
Barikiwe mama kwa kazi nzuri ,but free mbarikiwa
Muheshimiwa Rais umefanya vizuri ulivyoshuka mwenyewe sokoni kuwaona wanawake wanavofanya biashara zao lakini pia uwelewe bei za bidhaa wanazopanga wananchi ikiwezekana wapunguze bei katika viungo vya mchuzi na mboga mboga ili wenye kipato cha chini waweze kumudu mlo wa mara moja.Kazi iendelee.
Mam m2 anaekuchukia ww hana akili kbsa mam unatuinua sna vijan saiv
@victoriarwerengera4831
9 ай бұрын
Mama ni safi sana...ila waliomzunguka anaowaamini ndo kimbembe
Hongera sana mama etu mpendwa RAIS SAMIA ❤❤❤❤
SAFI SANA MAMA SAMIA RAIS WETU UMEJUA KUWAFURAHISHA WANANCHI WAKO NA UMEFANYA KITU CHA TOFAUTI SANA MUNGU AKUBARIKI
Hayo mapichapicha tu uhalisia wa tukio lililo tengenezwa mnasifia wamepiga deki na kuwapanga wadanganye wasio juwa sanaa za namna hiyo!
Hongera ,Mh. Raisi Samia, , Uje na Chekereni ya Mabogini hali ya soko na Barabara ni mbaya ,.
LEO MAMA SAMIA UMEUKONGA MOYO WANGU. KEEP IT UP MOM!
Huyu ni mnafki tuu,mwenzie hakuwa mtu wa kutafuta kiki kipindi uchaguzi unakaribia Kwa sisi tulio soma katiba huwa tunasema "SAMAKI MTUNGONI" Kwa wale wa kyuba watanielewa
Weeeee mama kajipanga,hataki mchezo😂😂😂😂😂
Mama mawazo yangu baada ya kutembelea sokoni na baazi wafanya biashara kuwapa au kuwaangezea mitaji jambo zuru sanaa Mungu akuweke lakini ungefanya wafanya biashara wadogo wadogo ungetuondoshia kodi ndogo ndogo.wangefurahi sanaaa huo ndo ushauri wangu kuwapa mtaji si solution.
kind leaders ,,,kind people i love tanzania viva tanzania
Wakati wa kudanganywa watanganyika, watanunua nyanya, na watanunua dagaa, kila kitu, mara wanapiga magoti,mara wanalia ili miradi muwachague serikali za mitaa 2024, na 2025.
@leokamil6284
9 ай бұрын
Asante kwa uelewa maana sisi watanzania tunajua kujisahau kwa maigizo tu .Sijui tumerogwa na nani ?
Mama Sasa hii ndio kazi, pita mitaani uone maisha halisi
Saiz nineanza kuelewa kumbe mama yetu anawapenda watoto wake ukiwa mtukutu anakuchapa mama tunakupenda pamoja na yule kaka yetu makonda nakupenda Tanzania kwa moyo wangu wote
mm uyu samia mbona yuafanya shughuli nyengine badala ya kuingilia Sakata la warda mtoto alipotea kwa njia ya tatanishi yeye yuko kimya kama hasikii wala ajui wazazi waumia uyu mwanamke cjui yukoje
Hua nampenda Mh.Bashe Sana kwa Kujieleza
Hii mama imekaa sawa kabisa ,Mungu akubariki sana ukipita mtaani ukawaona wananchi wachini Mungu akupe afya njema
Niwapi uko mama amefanya vizuri hivyo kumbe nitabora Mungu akubariki mama
Mama ubarikiwe Raisi wetu Mungu atakujaria na kurinde Sana nakupeenda
Masha Allah. Hii ndio maana halisi ya kiongozi, kujua bei za bidhaa na maisha halisi ya wananchi wa kipato cha chini.
Hadi nimeyasahau mabaya yake yote jamaaani ❣️🥰🧚💃😍
@salimusalim3610
9 ай бұрын
Tuzidi kumuombea dua MUNGU ampe afya na amlinde na kila baya
Safi sana mh rais umefanya jambo jema hakika mungu akulinde uendlee kutuongoza mama hakuna kama mama
Uchaguzi umekaribia, Wengi sana wataanza kujifanya watukufu.. Kumbe ni mashetani walewale..
@leokamil6284
9 ай бұрын
Asante sana ila wanadhani ndio uhalisia ulivyo kumbe tunatapeliwa kuwapa ulaji nchi ya kudanganywa tunazipenda sana
@MariamAlly-hk7io
Ай бұрын
Yupo hivyo kitambo ubaya hamjawahi kuuona waliotangulia kutoka kusokojulikanA
Nimekupenda hadi nimesisimkwq na mwili kwa roho nzuri ulionayo mama Mungu akutunze Mungu akubariki Mungu akupe maisha marefu Mungu akukumbuke usiku na mchana katika uongozi wako Mungu aufanye uongozi wako kama uongozi wa suleimani akivyopewa hekima na maarifa.
Ndo ajue maisha ya raia ilivyo ngumu "10000 unabajet mpaka kichwa kinauma
Mungu akubari Rais wetu
Yaani suala la bandari limekutafuna vibaya mno hata ugawe hela huelewekiii
Mama mama mama mama nakupenda mama yangu
MashaAllah,ukitoka ndio utajua hali ya maisha
Sijampenda mama muuza nyanya sijui hajiamin ata haja shukuru vizuri😂 mie ninge ruka ruka mpaka nikavunja genge
@judiththobias5132
9 ай бұрын
Anajitambua bandari
@muzdalifatsaid3658
8 ай бұрын
Hahahaaa
Mapigo ya magu hayo
@SophlaJackson-nt1nc
9 ай бұрын
Usiongee saana wata kuona😅😅😅
Mama fanya hivi hivi mioyo yetu inafulahi kuona mama unatujali namna hii jitume kama jpm mama angu nakupenda nakuombea uwemama mzuri zaidi kwetu sote watanzania
Da mwenyezi Mungu akuzidishie mama yetu
Ubariki Sana mama
Moyo huu ulioonyesha Mheshimiwa Raisi ni Jema sana na Mungu Akubariki sana.
Safi Mama, umeanza vizuri. Pita alimopita mtangulizi wako. That is real politics ambayo wabongo wanapenda kuona
Yan mama hao wakina mama ulioahidi kuwasaidia Kama ni pesa ungewagea hapo hapo otherwise hao unaowakabizi hayo majukumu wallahi mama zetu watapigwa na kitu kizito😂😂😂😂😂
Ahhaha afadhari uwe unazunguka mama uone maisha harisi ya watanzania
@hassanmoalimmuse6014
9 ай бұрын
Point
Mama Samia naomba unisaidie chuo kinaelekea kugoma kwa kukosa mkopo jamani
Siku moja tu mtanzania unaridhika. Ndo maana mnaandamana bei zishuke. Hii danganya ya leo tu mwaka mzima uraisi Vipi? Bado Tuko mbali sana.Tunahitaji mfumo utakaompa kila Mtanzania unafuu wa maisha. Tuache kuridhika kwa kuhongwa kwa siku moja tu.
Daaaa kweli ukituja na mtu mwenye hela Kila mtu anaomba hela jaman 😢
Mama anaongea vizuri mpaka raha!
Thanks for the humility ❤
Twakupenda Mama❤❤ kenya 🇰🇪
Mungu akupe maisha marefu mama
Mama Samia unapendeza zaidi ukitembelea wananchi wa hali ya chini pia unapata baraka na nuru usoni, kazi za ofisi waachie wengine.
maama Huyoooo🎉🎉🎉❤
Bora kupita na huku mitaani kujua hali na maisha kwa ujumla ya wananchi ili pindi mnapo pandisha vitu bei na kuwafukuza watu kwenye biashara zetu sisi wananchi za kujipatia vijisenti ndiyo muone sasa mtafanyaje lenu huko viongozi wetu.na tunawapenda sana. Tena sana
😂😂mama kafika gengeni mwenyewe yan akina mama kwa mapishi bn hahah
Badala awe mkweli ili wazidi kusaidiwa Hy et wanakosa mtaji na mtaji unaonekana Bora tu useme mtaji nnao lakini mdogo mm nna familiya mtaji mdogo naomba muheshimiwa rais nisaidie kuongezea mtaji ukue lkn wote hawana mtaji sokoni na hvyo wanavyo uza Nini km sio mtaji mpe mtu moyo ili muzidi kusaidiwa
Mnataka tuandika ili tukamatwe au🤔🤔🤔🤔
Mama hao watendaji hawarudigi na wakirudi Kama ulimpa kumi ataleta 3 ndio wanaokuharibia
Mm nimfunga Leo! Nimeipenda hii
Safi kabisa Mama
Natamani nicomment Lakin wananchi wapuuzi wasio juwa nin maana ya siasa wataona namponda Rais wao, siasa ni mchezo mchafu mnatengenezewa mazingira ya utoaji kura 2025, na vigelegele mnapiga Tanzania tutaishi maisha magumu kwa upofu wa akili, tumbaka
@Kasonadi-hp1lv
9 ай бұрын
We hutaki. Jichague sasa
@vicentjulius
9 ай бұрын
Watu wanatekwa akili mbila kutambua
@SophlaJackson-nt1nc
9 ай бұрын
MiMi nime kuelewa ila usiongee saana watakudunda Hawa😅😅😅
@sunaybrajabu238
9 ай бұрын
@@Kasonadi-hp1lv miongoni mwa wapuuzi wa akili😂
@Kasonadi-hp1lv
9 ай бұрын
@@sunaybrajabu238 kwa hiyo na wewe unatuteka akili tukukubali sio? Acha unafiki Akifanya ohooooo Asipofanya ohoooo
Siyo kila kitu anachofanya bi mdashi basi nipinge,, hapa hongera mama
Waoo mama kwakweri karibu na huku kwetu 😊
Hongera sana mama kutembelea wanchi wako kuju jinsi maisha yalivyo magumu Mungu akubariki sana uwe na maisha marefu Raid oyeee
@user-gs4od6ii2f
9 ай бұрын
Khaaaa
Safi mama yetu rais wetu mungu akulinde
Sasa ndgu zangu kwa kweli hata nami au mtu yeyote nikipewa laki tano leo nitafuarahi sana na nitashangilia. Ila tujiulize, je kwa mtu mkuu wa nchi kufanya hivyo, ndo itakuwa suluhu ya kudumu ya uchumi hoi bin taabani wa nchi yetu? Na kwa nafasi yake kama rais, hao ni walala hoi kiduchu tu wa Tabora, je wa mikoa mingine? Nao wangestahili au wanasubiri wapewe hizo laki tano, tatu. Je mhe. ataweza kugawa kwa walala hoi nchi nzima? Vinginevyo raisi asishangae kuamsha kilio cha walalahoi wa mikoa mingine wakiomba awatembelee na wapate mtaji! Naam, pamoja na yote hayo, moyo wa kutoa ni ibada. Tafakari.
@karimkassam571
9 ай бұрын
HIYO NI TAFITI YA KIUCHUMI AS PRESIDENT..MAMA YUPO VIZURI
@robertmanari5467
9 ай бұрын
Anachokifanya ni kujua uhalisia wa MAISHA yalivyo kwa sasa hivyo yupo sahihi!!kama samaki wa elfu Moja kamshangaa ndo ajue wananchi tunaishi vipi
@selemanimtepa-eh7rs
9 ай бұрын
We ulitakaje?
@user-bo5qp9gz8m
9 ай бұрын
Sawa ametoa mtaji je iyo ela itatosha kulipia fremu na kuchukulia bidhaa za kuuza maana ukisema ufanye biashara ya kutembeza machinga ndo ivo wanawakamata na kuwabebea bidhaa ukienda kufuatilia unaambia toa faini je iyo ela utatoa wap uk umekopa au umechukua bidhaa mali kauli ukiuza nd ulipe ubaki na faida 😢😢
@hummymgaza6915
9 ай бұрын
Sijui wewe ulitakaje? Yaani hana jema uyo mama anachofanya basi tu mukosoe.
Safi Hussein Bashe umejua kujitetea mbele ya Mkuu 😁😁
Mama anatuzuga amegundua laiya awamuelewi ameamua kujakivingine ilitumuelelwe asitupoteze atoe matozo wamasai katibampya tume Uhuru bandarizetu
Samia mama angalia kitakacho wanufaisha watu wa hali ya chin kwa ujumla mfan shusha bei ya chakula imarisha taasisi ya mikopo na vipaumbele vyake kwasabab weng tunashida hauwez tueneza mama❤
😂😂😂 asema yeye hapati hata elfu 10 😂😂😂, wanasiasa waongooo wakukatwa ulimi kabisa. Anataka kusema mshahara wa raisi ni laki 2 na tisini
Maaaaama mama mama uwezo wakukulipa sina mama mungu akupe🇨🇩🇨🇩🇨🇩