MHE. RAIS SAMIA AKITEMBELEA KABURI LA HAYATI DKT. JOHN MAGUFULI
Жүктеу.....
Пікірлер: 218
@marysaimon22132 жыл бұрын
Tunaombeni Magufuli day,tulimpenda sana Rais wetu
@nathanaelmhiche9593
Жыл бұрын
Kweli kabsa
@neemamushi6798
Жыл бұрын
Kwakweli magufuli day ni muhimu mzee alikua vizuri
@emerannyongo
Жыл бұрын
Rest in peace kamandaa daah.
@richardonguto5794 Жыл бұрын
we miss Magufuli, he was an amazing president, a true servant of God. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amanisomi8784
Жыл бұрын
Very true
@justinmutabazi7353 Жыл бұрын
Safi Sana Rais Mama Samia kuritemberea Kaburi ra Mtukufu Rais wa Africa Magufuri🇹🇿🇷🇼
@evarkiowi9973 Жыл бұрын
Never forget you my father(mtetez wa wanyonge)
@moodykimwele2564 Жыл бұрын
Poleni sana Tanzania! Wakenya, tulimpenda sana Magafuli. Azidi kulala salama.
@alexjulius6354
Жыл бұрын
Tunashukuru
@maseruka6334 Жыл бұрын
AFRICAN HERO❤❤❤💔💔[R.I.P]
@abrahammnjama7962 Жыл бұрын
Continue singing with the angles JPM🇰🇪
@niyimpumurizamoise2256 Жыл бұрын
Am a burundian I love late president Magu so much. Nakumbuka jinsi aliwapenda wa Tz na wa Affica in general . He must be in heaven undoubtedly.
@amosfaustine Жыл бұрын
Na kuombea kwa mungu akusamee dhambi zako na apokee roho yako Amina.
@shakilayusuf7802 Жыл бұрын
I still remember my president,so sad that he's left us that soon
@steveomodecxofficial Жыл бұрын
A great African statesman! Rest well Pres. J.P Magufuli
@newtonkulla5816 Жыл бұрын
The only president ever to care for the ordinary Tanzanianians ..RIP Mzee wa jumuiya ya African mashariki...
@shukulupaschal7882 Жыл бұрын
Rest easily my president magu you was a real leader every happen again
@ISAAC-S_GENERATION Жыл бұрын
It feels like yesterday I can't believe it's more two-years since we lost you sir am Kenyan but Magufuli forever my president
@MrMuzahuzi Жыл бұрын
Forever missed JPM!
@khalidkhalfan1556 Жыл бұрын
R I p baba yetu mpendwa pumzika kwa amani na mwenyezi mungu akuweke peponi amina
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Asio taamka shahada NA hamtambui mtume mohamed NA wala hakutaamka shada ya kiislaam haingili peponi NA wewe jina lako ya kiislaam vipi kaka yangu
@denysrubangura9866 Жыл бұрын
RIP JPM, we will never forget you, a TRUE SON OF AFRICA.
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
True son of chato
@allymoma9057
Жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 û
@mrcashkenya6771 Жыл бұрын
Kifo cha mmoja kinamfaidi mwingine RIP Magufuli
@ayuburubawa7232 Жыл бұрын
Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Duu, kavuka vigezo vyote vya kusamehewa?. Haijakaa sawa kauli yako
@ayuburubawa7232
Жыл бұрын
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
@monicamwandemele2648 Жыл бұрын
Tunaomba Magufuli day jaman
@masongabeneugene9374
Жыл бұрын
Iyo ni Kweli kabisa
@stevenmalunde8038 Жыл бұрын
Kila akienda Mama Mvua lazima ishuke ni mara chache sana kama kaenda mvua haija nyesha RIP Magu
@darviedeben18852 жыл бұрын
R.I.P ,magu wetu na hongera sana mama
@stephensinka5616 Жыл бұрын
Mangufuli ni moja wa wachache sana kuwahi kutokea katika hii dunia.. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.
Hakika jembe hatupo nalo tena. Mwenyezi msamehe makosa yake kama nae alivyowasamehe waliokuwa wamemkosea
@abduldebway8332 Жыл бұрын
😔😔😔 we missed him JPM mzalendo Mchapa kazi
@shabanimussa6813
Жыл бұрын
Tunakukumbuka daima
@tabutabu8900 Жыл бұрын
We miss u dady 😭😭😭🤲
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Hakuna kupumzika Kama mwema utalipwa kwa wema wako Kama muovu utalipwa pia kwa uovu wako
@masoudmohamed2230 Жыл бұрын
He came,he saw,and he conquered.
@patrickndichu3905 Жыл бұрын
Tz kila kitu mwafanya kwa mpango na umakini sana...👍👍👍
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...Asante kwa Kazi nzuri Sana uifanyayo kwa Taifa letu la Tanzania.
@alexkungu537 Жыл бұрын
My best president friend nilikupenda sana lakini Mungu akakupenda sana pumzika kwa amani
@leahliwenga3547 Жыл бұрын
Chema huwa hakidumu kamwe yani moyo wangu unakukubali san magufuri lakini ndio hivo tena haupo nasi tena lakini rip
@rashidmshindo1527
Жыл бұрын
moyo unauma sana tumuachie mungu
@gideonsapunyumunei5815 Жыл бұрын
miss you hayati magufuli
@markoezekiel5144 Жыл бұрын
Kila mtu anaenea katika viatu vyake Your doing good madame president because you are really doing as you..! Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
@Nkya2 жыл бұрын
JPM daima✊🏾
@marianablessed6055 Жыл бұрын
My super daddy JPM You are so missed.
@chrissg4026 Жыл бұрын
Je kaburi la Mkapa nalo limejengewa hivi? Kama sivyo basi ifanyike haraka sana!
@christianleonard83082 жыл бұрын
Madam president 👊👊👊
@fanueledmund6408 Жыл бұрын
Mungu unaona kila kitu unaona moyo wa watanzania bado unamshtuko na mipasuko
@turikumwedididier8030 Жыл бұрын
Much respect to u Mama was TAifa and R.I.P forever Hayati JPM😢😢😢
@geffywells4604 Жыл бұрын
It's right on the best
@cloudykusundwa6766 Жыл бұрын
Kila mkifika huko mvua inanyesha, ni jinsi gani Mzee wetu alivyokuwa wa Baraka.
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Жыл бұрын
R.I.P mzee
@evarsmhando Жыл бұрын
Sad sana
@edmundjackson4611 Жыл бұрын
Huwa Napata wakati mgumu sn mkinikumbusha jpm japo mm niko mlengo w kushoto lkn nilimpenda sn kiongoz huyu
@hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын
R.i.p jpm 😩😩😩😩😩😩😩
@faithkamanthe3286 Жыл бұрын
Waah 😮 Kwan alizikwa ...ikulu?sio nyumbani?😊
@marcomakula8764 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa kumbukumbu hizo za upendo
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Mh!😭
@hemedjackson2261 Жыл бұрын
Burian MR. Late President
@tundamasaga9530 Жыл бұрын
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
@omarhassan4555
Жыл бұрын
Aloo...weye upate sanam lako....csemi ncjechezea Ndioge bureee..but Allah ndiye hakimu wa yote haya....labda tusife...
@geofreyambakisye4481 Жыл бұрын
Kuonyesha kuwa hayati MAGU alikuwa rais bora na wa ajabu sana kwa nn matukio yake yote mvua ilinyesha MUNGU we ni mkuu sana!!
@emmanueljengo8103
Жыл бұрын
Kama matukio yapi na yapi?
@geraldlazaro4523 Жыл бұрын
Pole Sana Mama Janet Magufuri
@kilianidanda1609 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@ismairirajabu-xh4je Жыл бұрын
Mnafki tu uyoo uzuri wake iyoo safari ya kira mtu ukisaini reo kesho wanakusaini ww maisha yanaenda
@SinyamaziTVONLINE Жыл бұрын
Tunashukuru kwa kila jambo💪
@tumpekyando1512 Жыл бұрын
Apumuzike Kwa amani baba tumesha mukubuka😭😭
@geraldhongani8765 Жыл бұрын
Inasaidia nn ata ukiangalia Kama matendo yake uyaenz akuna Mana nisawa na kujiangalia mwenyewe katka kioo
@amanafi1288 Жыл бұрын
Rais wetu IGA uthubutu wa kuanzisha miradi mikubwa iliyo na maslah mapana kwa Nchi.,, Kama alivokuwa na uthubutu JPM
@maikorubeni6509 Жыл бұрын
Hongera kwakunfariji make wa maree maana mareemu aritufanya sisi watanzania maskini tutembee kifua mbere
@aidamapunda6832 Жыл бұрын
R.i.p 😭😭😭
@magrethcostantine9223 Жыл бұрын
😭😭😭😭I MISS DADDY.
@pillymcharo9855 Жыл бұрын
We missed jpm😭
@user-bi7mk3ef1mАй бұрын
As anti mama samia
@richardmakaa5188 Жыл бұрын
Rayvan mpya
@khalidkhalfan1556 Жыл бұрын
R I P mtoto wa allah lazima aende peponi amina
@allymohamed8658 Жыл бұрын
JPM tutakukumbuka daima
@apostlejoelyamo2983 Жыл бұрын
Aliumiza wengi bora mama
@PeterKamera Жыл бұрын
We miss u dady
@malelabmalela5016 Жыл бұрын
Ok
@mustafaosman18383 ай бұрын
😢😢
@HouseofCards-Election Жыл бұрын
Rip John Pombe
@Aida-qh3jq
Жыл бұрын
Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi
@dogotwaanails_mafunzo Жыл бұрын
😭😭😭
@benjuma9517 Жыл бұрын
Rip shujaa
@edwinelias8554 Жыл бұрын
Barakoa za nini sasa kwani corona bado ipo 😂
@user-ox1ce7iu8i8 ай бұрын
Asant saan mama
@StevengeorgeMtoi-pp9ip Жыл бұрын
😭😭imc u baba
@davidrichmanndeleko8947 Жыл бұрын
Kifo chake lazima kitalipizwa. Msaliti Samia
@JosephuSendeu-ul5pc3 ай бұрын
❤
@mirajimbega83502 жыл бұрын
Pole sana Mh Rais na Watanzania sisi sote!MUNGU Akubariki uendeleze Inshallah pale alipoishia, Mimi na Watanzania tupo pamoja na ww Mama
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
@kombasalimu3532 жыл бұрын
Poleni
@abdulatiftu9836 Жыл бұрын
Dah!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@jimmycarter6165 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿 😭😭😭
@kennywilliam2466 Жыл бұрын
Ni mtu wa watu ila haimaanishi kuwa ni mtu wa kila mtu.
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani JPM
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Unataka utuibie pesa zetu mchaga wake Ni utambuzi wa pesa baasi😬😬😬
@raphaelmwamakimbula9642
Жыл бұрын
😃
@ramadhanimtetu7246
Жыл бұрын
Napita tuu
@edwardalick5616
Жыл бұрын
Kisa una bet na kupata pesa ndio unasema unautambuzi
@bagumajustin2528 Жыл бұрын
Ana andika nini jamani
@moraamary4624 Жыл бұрын
Respect mama Samia sana
@michaelmakono1184 Жыл бұрын
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
@minayoflorence Жыл бұрын
We really miss Magufuli
@jacrinsubi41982 ай бұрын
Mngu akusamehe makosa baba
@tausikondo6097 Жыл бұрын
Tunaomba magufuli day tumempenda sana rais wetu wa wanyonge
@sadijuma8853
Жыл бұрын
Pumzika kwaamani raisi. Wetu kipenzi
@brianmaina5388 Жыл бұрын
How different would TZ and Africa be had he lived?
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
@davidbahati3748
Жыл бұрын
Kulitumikia Taifa sio lazma uwe police au mwanajeshi au mwajiriwa wa serikali, waweza kulitumikia Taifa mahali popote ulipo
Пікірлер: 218
Tunaombeni Magufuli day,tulimpenda sana Rais wetu
@nathanaelmhiche9593
Жыл бұрын
Kweli kabsa
@neemamushi6798
Жыл бұрын
Kwakweli magufuli day ni muhimu mzee alikua vizuri
@emerannyongo
Жыл бұрын
Rest in peace kamandaa daah.
we miss Magufuli, he was an amazing president, a true servant of God. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amanisomi8784
Жыл бұрын
Very true
Safi Sana Rais Mama Samia kuritemberea Kaburi ra Mtukufu Rais wa Africa Magufuri🇹🇿🇷🇼
Never forget you my father(mtetez wa wanyonge)
Poleni sana Tanzania! Wakenya, tulimpenda sana Magafuli. Azidi kulala salama.
@alexjulius6354
Жыл бұрын
Tunashukuru
AFRICAN HERO❤❤❤💔💔[R.I.P]
Continue singing with the angles JPM🇰🇪
Am a burundian I love late president Magu so much. Nakumbuka jinsi aliwapenda wa Tz na wa Affica in general . He must be in heaven undoubtedly.
Na kuombea kwa mungu akusamee dhambi zako na apokee roho yako Amina.
I still remember my president,so sad that he's left us that soon
A great African statesman! Rest well Pres. J.P Magufuli
The only president ever to care for the ordinary Tanzanianians ..RIP Mzee wa jumuiya ya African mashariki...
Rest easily my president magu you was a real leader every happen again
It feels like yesterday I can't believe it's more two-years since we lost you sir am Kenyan but Magufuli forever my president
Forever missed JPM!
R I p baba yetu mpendwa pumzika kwa amani na mwenyezi mungu akuweke peponi amina
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Asio taamka shahada NA hamtambui mtume mohamed NA wala hakutaamka shada ya kiislaam haingili peponi NA wewe jina lako ya kiislaam vipi kaka yangu
RIP JPM, we will never forget you, a TRUE SON OF AFRICA.
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
True son of chato
@allymoma9057
Жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 û
Kifo cha mmoja kinamfaidi mwingine RIP Magufuli
Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
@adamdaudi6191
Жыл бұрын
Duu, kavuka vigezo vyote vya kusamehewa?. Haijakaa sawa kauli yako
@ayuburubawa7232
Жыл бұрын
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
Tunaomba Magufuli day jaman
@masongabeneugene9374
Жыл бұрын
Iyo ni Kweli kabisa
Kila akienda Mama Mvua lazima ishuke ni mara chache sana kama kaenda mvua haija nyesha RIP Magu
R.I.P ,magu wetu na hongera sana mama
Mangufuli ni moja wa wachache sana kuwahi kutokea katika hii dunia.. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.
@emanuelkidali9733
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Ntuzibagirana wakunda Abaturage ruhukira mumahoro mubyeyi🇷🇼
Hakika jembe hatupo nalo tena. Mwenyezi msamehe makosa yake kama nae alivyowasamehe waliokuwa wamemkosea
😔😔😔 we missed him JPM mzalendo Mchapa kazi
@shabanimussa6813
Жыл бұрын
Tunakukumbuka daima
We miss u dady 😭😭😭🤲
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Hakuna kupumzika Kama mwema utalipwa kwa wema wako Kama muovu utalipwa pia kwa uovu wako
He came,he saw,and he conquered.
Tz kila kitu mwafanya kwa mpango na umakini sana...👍👍👍
Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...Asante kwa Kazi nzuri Sana uifanyayo kwa Taifa letu la Tanzania.
My best president friend nilikupenda sana lakini Mungu akakupenda sana pumzika kwa amani
Chema huwa hakidumu kamwe yani moyo wangu unakukubali san magufuri lakini ndio hivo tena haupo nasi tena lakini rip
@rashidmshindo1527
Жыл бұрын
moyo unauma sana tumuachie mungu
miss you hayati magufuli
Kila mtu anaenea katika viatu vyake Your doing good madame president because you are really doing as you..! Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
JPM daima✊🏾
My super daddy JPM You are so missed.
Je kaburi la Mkapa nalo limejengewa hivi? Kama sivyo basi ifanyike haraka sana!
Madam president 👊👊👊
Mungu unaona kila kitu unaona moyo wa watanzania bado unamshtuko na mipasuko
Much respect to u Mama was TAifa and R.I.P forever Hayati JPM😢😢😢
It's right on the best
Kila mkifika huko mvua inanyesha, ni jinsi gani Mzee wetu alivyokuwa wa Baraka.
R.I.P mzee
Sad sana
Huwa Napata wakati mgumu sn mkinikumbusha jpm japo mm niko mlengo w kushoto lkn nilimpenda sn kiongoz huyu
R.i.p jpm 😩😩😩😩😩😩😩
Waah 😮 Kwan alizikwa ...ikulu?sio nyumbani?😊
Mungu awabariki sana kwa kumbukumbu hizo za upendo
Mh!😭
Burian MR. Late President
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
@omarhassan4555
Жыл бұрын
Aloo...weye upate sanam lako....csemi ncjechezea Ndioge bureee..but Allah ndiye hakimu wa yote haya....labda tusife...
Kuonyesha kuwa hayati MAGU alikuwa rais bora na wa ajabu sana kwa nn matukio yake yote mvua ilinyesha MUNGU we ni mkuu sana!!
@emmanueljengo8103
Жыл бұрын
Kama matukio yapi na yapi?
Pole Sana Mama Janet Magufuri
😭😭😭😭
Mnafki tu uyoo uzuri wake iyoo safari ya kira mtu ukisaini reo kesho wanakusaini ww maisha yanaenda
Tunashukuru kwa kila jambo💪
Apumuzike Kwa amani baba tumesha mukubuka😭😭
Inasaidia nn ata ukiangalia Kama matendo yake uyaenz akuna Mana nisawa na kujiangalia mwenyewe katka kioo
Rais wetu IGA uthubutu wa kuanzisha miradi mikubwa iliyo na maslah mapana kwa Nchi.,, Kama alivokuwa na uthubutu JPM
Hongera kwakunfariji make wa maree maana mareemu aritufanya sisi watanzania maskini tutembee kifua mbere
R.i.p 😭😭😭
😭😭😭😭I MISS DADDY.
We missed jpm😭
As anti mama samia
Rayvan mpya
R I P mtoto wa allah lazima aende peponi amina
JPM tutakukumbuka daima
Aliumiza wengi bora mama
We miss u dady
Ok
😢😢
Rip John Pombe
@Aida-qh3jq
Жыл бұрын
Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi
😭😭😭
Rip shujaa
Barakoa za nini sasa kwani corona bado ipo 😂
Asant saan mama
😭😭imc u baba
Kifo chake lazima kitalipizwa. Msaliti Samia
❤
Pole sana Mh Rais na Watanzania sisi sote!MUNGU Akubariki uendeleze Inshallah pale alipoishia, Mimi na Watanzania tupo pamoja na ww Mama
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
Poleni
Dah!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
🇹🇿🇹🇿 😭😭😭
Ni mtu wa watu ila haimaanishi kuwa ni mtu wa kila mtu.
Pumzika kwa amani JPM
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Unataka utuibie pesa zetu mchaga wake Ni utambuzi wa pesa baasi😬😬😬
@raphaelmwamakimbula9642
Жыл бұрын
😃
@ramadhanimtetu7246
Жыл бұрын
Napita tuu
@edwardalick5616
Жыл бұрын
Kisa una bet na kupata pesa ndio unasema unautambuzi
Ana andika nini jamani
Respect mama Samia sana
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
We really miss Magufuli
Mngu akusamehe makosa baba
Tunaomba magufuli day tumempenda sana rais wetu wa wanyonge
@sadijuma8853
Жыл бұрын
Pumzika kwaamani raisi. Wetu kipenzi
How different would TZ and Africa be had he lived?
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
@davidbahati3748
Жыл бұрын
Kulitumikia Taifa sio lazma uwe police au mwanajeshi au mwajiriwa wa serikali, waweza kulitumikia Taifa mahali popote ulipo
Africa TRUE president jpm rip we will miss you
My
Nishida kweli rais wa Africa
Mama la Mama 👍👍
Ustadhimaji