MHE. RAIS SAMIA AKITEMBELEA KABURI LA HAYATI DKT. JOHN MAGUFULI

Ойын-сауық

MHE. RAIS SAMIA AKITEMBELEA KABURI LA HAYATI DKT. JOHN MAGUFULI

Пікірлер: 218

  • @marysaimon2213
    @marysaimon22132 жыл бұрын

    Tunaombeni Magufuli day,tulimpenda sana Rais wetu

  • @nathanaelmhiche9593

    @nathanaelmhiche9593

    Жыл бұрын

    Kweli kabsa

  • @neemamushi6798

    @neemamushi6798

    Жыл бұрын

    Kwakweli magufuli day ni muhimu mzee alikua vizuri

  • @emerannyongo

    @emerannyongo

    Жыл бұрын

    Rest in peace kamandaa daah.

  • @richardonguto5794
    @richardonguto5794 Жыл бұрын

    we miss Magufuli, he was an amazing president, a true servant of God. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @amanisomi8784

    @amanisomi8784

    Жыл бұрын

    Very true

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 Жыл бұрын

    Safi Sana Rais Mama Samia kuritemberea Kaburi ra Mtukufu Rais wa Africa Magufuri🇹🇿🇷🇼

  • @evarkiowi9973
    @evarkiowi9973 Жыл бұрын

    Never forget you my father(mtetez wa wanyonge)

  • @moodykimwele2564
    @moodykimwele2564 Жыл бұрын

    Poleni sana Tanzania! Wakenya, tulimpenda sana Magafuli. Azidi kulala salama.

  • @alexjulius6354

    @alexjulius6354

    Жыл бұрын

    Tunashukuru

  • @maseruka6334
    @maseruka6334 Жыл бұрын

    AFRICAN HERO❤❤❤💔💔[R.I.P]

  • @abrahammnjama7962
    @abrahammnjama7962 Жыл бұрын

    Continue singing with the angles JPM🇰🇪

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise2256 Жыл бұрын

    Am a burundian I love late president Magu so much. Nakumbuka jinsi aliwapenda wa Tz na wa Affica in general . He must be in heaven undoubtedly.

  • @amosfaustine
    @amosfaustine Жыл бұрын

    Na kuombea kwa mungu akusamee dhambi zako na apokee roho yako Amina.

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 Жыл бұрын

    I still remember my president,so sad that he's left us that soon

  • @steveomodecxofficial
    @steveomodecxofficial Жыл бұрын

    A great African statesman! Rest well Pres. J.P Magufuli

  • @newtonkulla5816
    @newtonkulla5816 Жыл бұрын

    The only president ever to care for the ordinary Tanzanianians ..RIP Mzee wa jumuiya ya African mashariki...

  • @shukulupaschal7882
    @shukulupaschal7882 Жыл бұрын

    Rest easily my president magu you was a real leader every happen again

  • @ISAAC-S_GENERATION
    @ISAAC-S_GENERATION Жыл бұрын

    It feels like yesterday I can't believe it's more two-years since we lost you sir am Kenyan but Magufuli forever my president

  • @MrMuzahuzi
    @MrMuzahuzi Жыл бұрын

    Forever missed JPM!

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Жыл бұрын

    R I p baba yetu mpendwa pumzika kwa amani na mwenyezi mungu akuweke peponi amina

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    Жыл бұрын

    Asio taamka shahada NA hamtambui mtume mohamed NA wala hakutaamka shada ya kiislaam haingili peponi NA wewe jina lako ya kiislaam vipi kaka yangu

  • @denysrubangura9866
    @denysrubangura9866 Жыл бұрын

    RIP JPM, we will never forget you, a TRUE SON OF AFRICA.

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    True son of chato

  • @allymoma9057

    @allymoma9057

    Жыл бұрын

    @@hassanmfaume4522 û

  • @mrcashkenya6771
    @mrcashkenya6771 Жыл бұрын

    Kifo cha mmoja kinamfaidi mwingine RIP Magufuli

  • @ayuburubawa7232
    @ayuburubawa7232 Жыл бұрын

    Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯

  • @adamdaudi6191

    @adamdaudi6191

    Жыл бұрын

    Duu, kavuka vigezo vyote vya kusamehewa?. Haijakaa sawa kauli yako

  • @ayuburubawa7232

    @ayuburubawa7232

    Жыл бұрын

    Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran

  • @monicamwandemele2648
    @monicamwandemele2648 Жыл бұрын

    Tunaomba Magufuli day jaman

  • @masongabeneugene9374

    @masongabeneugene9374

    Жыл бұрын

    Iyo ni Kweli kabisa

  • @stevenmalunde8038
    @stevenmalunde8038 Жыл бұрын

    Kila akienda Mama Mvua lazima ishuke ni mara chache sana kama kaenda mvua haija nyesha RIP Magu

  • @darviedeben1885
    @darviedeben18852 жыл бұрын

    R.I.P ,magu wetu na hongera sana mama

  • @stephensinka5616
    @stephensinka5616 Жыл бұрын

    Mangufuli ni moja wa wachache sana kuwahi kutokea katika hii dunia.. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.

  • @emanuelkidali9733

    @emanuelkidali9733

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @geoffreyruhinda8875
    @geoffreyruhinda8875 Жыл бұрын

    Ntuzibagirana wakunda Abaturage ruhukira mumahoro mubyeyi🇷🇼

  • @oscarkasalile5058
    @oscarkasalile50582 жыл бұрын

    Hakika jembe hatupo nalo tena. Mwenyezi msamehe makosa yake kama nae alivyowasamehe waliokuwa wamemkosea

  • @abduldebway8332
    @abduldebway8332 Жыл бұрын

    😔😔😔 we missed him JPM mzalendo Mchapa kazi

  • @shabanimussa6813

    @shabanimussa6813

    Жыл бұрын

    Tunakukumbuka daima

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 Жыл бұрын

    We miss u dady 😭😭😭🤲

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Hakuna kupumzika Kama mwema utalipwa kwa wema wako Kama muovu utalipwa pia kwa uovu wako

  • @masoudmohamed2230
    @masoudmohamed2230 Жыл бұрын

    He came,he saw,and he conquered.

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 Жыл бұрын

    Tz kila kitu mwafanya kwa mpango na umakini sana...👍👍👍

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...Asante kwa Kazi nzuri Sana uifanyayo kwa Taifa letu la Tanzania.

  • @alexkungu537
    @alexkungu537 Жыл бұрын

    My best president friend nilikupenda sana lakini Mungu akakupenda sana pumzika kwa amani

  • @leahliwenga3547
    @leahliwenga3547 Жыл бұрын

    Chema huwa hakidumu kamwe yani moyo wangu unakukubali san magufuri lakini ndio hivo tena haupo nasi tena lakini rip

  • @rashidmshindo1527

    @rashidmshindo1527

    Жыл бұрын

    moyo unauma sana tumuachie mungu

  • @gideonsapunyumunei5815
    @gideonsapunyumunei5815 Жыл бұрын

    miss you hayati magufuli

  • @markoezekiel5144
    @markoezekiel5144 Жыл бұрын

    Kila mtu anaenea katika viatu vyake Your doing good madame president because you are really doing as you..! Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝

  • @Nkya
    @Nkya2 жыл бұрын

    JPM daima✊🏾

  • @marianablessed6055
    @marianablessed6055 Жыл бұрын

    My super daddy JPM You are so missed.

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Жыл бұрын

    Je kaburi la Mkapa nalo limejengewa hivi? Kama sivyo basi ifanyike haraka sana!

  • @christianleonard8308
    @christianleonard83082 жыл бұрын

    Madam president 👊👊👊

  • @fanueledmund6408
    @fanueledmund6408 Жыл бұрын

    Mungu unaona kila kitu unaona moyo wa watanzania bado unamshtuko na mipasuko

  • @turikumwedididier8030
    @turikumwedididier8030 Жыл бұрын

    Much respect to u Mama was TAifa and R.I.P forever Hayati JPM😢😢😢

  • @geffywells4604
    @geffywells4604 Жыл бұрын

    It's right on the best

  • @cloudykusundwa6766
    @cloudykusundwa6766 Жыл бұрын

    Kila mkifika huko mvua inanyesha, ni jinsi gani Mzee wetu alivyokuwa wa Baraka.

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Жыл бұрын

    R.I.P mzee

  • @evarsmhando
    @evarsmhando Жыл бұрын

    Sad sana

  • @edmundjackson4611
    @edmundjackson4611 Жыл бұрын

    Huwa Napata wakati mgumu sn mkinikumbusha jpm japo mm niko mlengo w kushoto lkn nilimpenda sn kiongoz huyu

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын

    R.i.p jpm 😩😩😩😩😩😩😩

  • @faithkamanthe3286
    @faithkamanthe3286 Жыл бұрын

    Waah 😮 Kwan alizikwa ...ikulu?sio nyumbani?😊

  • @marcomakula8764
    @marcomakula8764 Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana kwa kumbukumbu hizo za upendo

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын

    Mh!😭

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Жыл бұрын

    Burian MR. Late President

  • @tundamasaga9530
    @tundamasaga9530 Жыл бұрын

    Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.

  • @omarhassan4555

    @omarhassan4555

    Жыл бұрын

    Aloo...weye upate sanam lako....csemi ncjechezea Ndioge bureee..but Allah ndiye hakimu wa yote haya....labda tusife...

  • @geofreyambakisye4481
    @geofreyambakisye4481 Жыл бұрын

    Kuonyesha kuwa hayati MAGU alikuwa rais bora na wa ajabu sana kwa nn matukio yake yote mvua ilinyesha MUNGU we ni mkuu sana!!

  • @emmanueljengo8103

    @emmanueljengo8103

    Жыл бұрын

    Kama matukio yapi na yapi?

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 Жыл бұрын

    Pole Sana Mama Janet Magufuri

  • @kilianidanda1609
    @kilianidanda1609 Жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @ismairirajabu-xh4je
    @ismairirajabu-xh4je Жыл бұрын

    Mnafki tu uyoo uzuri wake iyoo safari ya kira mtu ukisaini reo kesho wanakusaini ww maisha yanaenda

  • @SinyamaziTVONLINE
    @SinyamaziTVONLINE Жыл бұрын

    Tunashukuru kwa kila jambo💪

  • @tumpekyando1512
    @tumpekyando1512 Жыл бұрын

    Apumuzike Kwa amani baba tumesha mukubuka😭😭

  • @geraldhongani8765
    @geraldhongani8765 Жыл бұрын

    Inasaidia nn ata ukiangalia Kama matendo yake uyaenz akuna Mana nisawa na kujiangalia mwenyewe katka kioo

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Жыл бұрын

    Rais wetu IGA uthubutu wa kuanzisha miradi mikubwa iliyo na maslah mapana kwa Nchi.,, Kama alivokuwa na uthubutu JPM

  • @maikorubeni6509
    @maikorubeni6509 Жыл бұрын

    Hongera kwakunfariji make wa maree maana mareemu aritufanya sisi watanzania maskini tutembee kifua mbere

  • @aidamapunda6832
    @aidamapunda6832 Жыл бұрын

    R.i.p 😭😭😭

  • @magrethcostantine9223
    @magrethcostantine9223 Жыл бұрын

    😭😭😭😭I MISS DADDY.

  • @pillymcharo9855
    @pillymcharo9855 Жыл бұрын

    We missed jpm😭

  • @user-bi7mk3ef1m
    @user-bi7mk3ef1mАй бұрын

    As anti mama samia

  • @richardmakaa5188
    @richardmakaa5188 Жыл бұрын

    Rayvan mpya

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Жыл бұрын

    R I P mtoto wa allah lazima aende peponi amina

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 Жыл бұрын

    JPM tutakukumbuka daima

  • @apostlejoelyamo2983
    @apostlejoelyamo2983 Жыл бұрын

    Aliumiza wengi bora mama

  • @PeterKamera
    @PeterKamera Жыл бұрын

    We miss u dady

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 Жыл бұрын

    Ok

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman18383 ай бұрын

    😢😢

  • @HouseofCards-Election
    @HouseofCards-Election Жыл бұрын

    Rip John Pombe

  • @Aida-qh3jq

    @Aida-qh3jq

    Жыл бұрын

    Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo Жыл бұрын

    😭😭😭

  • @benjuma9517
    @benjuma9517 Жыл бұрын

    Rip shujaa

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Жыл бұрын

    Barakoa za nini sasa kwani corona bado ipo 😂

  • @user-ox1ce7iu8i
    @user-ox1ce7iu8i8 ай бұрын

    Asant saan mama

  • @StevengeorgeMtoi-pp9ip
    @StevengeorgeMtoi-pp9ip Жыл бұрын

    😭😭imc u baba

  • @davidrichmanndeleko8947
    @davidrichmanndeleko8947 Жыл бұрын

    Kifo chake lazima kitalipizwa. Msaliti Samia

  • @JosephuSendeu-ul5pc
    @JosephuSendeu-ul5pc3 ай бұрын

  • @mirajimbega8350
    @mirajimbega83502 жыл бұрын

    Pole sana Mh Rais na Watanzania sisi sote!MUNGU Akubariki uendeleze Inshallah pale alipoishia, Mimi na Watanzania tupo pamoja na ww Mama

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza

  • @kombasalimu353
    @kombasalimu3532 жыл бұрын

    Poleni

  • @abdulatiftu9836
    @abdulatiftu9836 Жыл бұрын

    Dah!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jimmycarter6165
    @jimmycarter6165 Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿 😭😭😭

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 Жыл бұрын

    Ni mtu wa watu ila haimaanishi kuwa ni mtu wa kila mtu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Pumzika kwa amani JPM

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Unataka utuibie pesa zetu mchaga wake Ni utambuzi wa pesa baasi😬😬😬

  • @raphaelmwamakimbula9642

    @raphaelmwamakimbula9642

    Жыл бұрын

    😃

  • @ramadhanimtetu7246

    @ramadhanimtetu7246

    Жыл бұрын

    Napita tuu

  • @edwardalick5616

    @edwardalick5616

    Жыл бұрын

    Kisa una bet na kupata pesa ndio unasema unautambuzi

  • @bagumajustin2528
    @bagumajustin2528 Жыл бұрын

    Ana andika nini jamani

  • @moraamary4624
    @moraamary4624 Жыл бұрын

    Respect mama Samia sana

  • @michaelmakono1184
    @michaelmakono1184 Жыл бұрын

    Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia

  • @minayoflorence
    @minayoflorence Жыл бұрын

    We really miss Magufuli

  • @jacrinsubi4198
    @jacrinsubi41982 ай бұрын

    Mngu akusamehe makosa baba

  • @tausikondo6097
    @tausikondo6097 Жыл бұрын

    Tunaomba magufuli day tumempenda sana rais wetu wa wanyonge

  • @sadijuma8853

    @sadijuma8853

    Жыл бұрын

    Pumzika kwaamani raisi. Wetu kipenzi

  • @brianmaina5388
    @brianmaina5388 Жыл бұрын

    How different would TZ and Africa be had he lived?

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿

  • @davidbahati3748

    @davidbahati3748

    Жыл бұрын

    Kulitumikia Taifa sio lazma uwe police au mwanajeshi au mwajiriwa wa serikali, waweza kulitumikia Taifa mahali popote ulipo

  • @hakatemekinijasho418
    @hakatemekinijasho418 Жыл бұрын

    Africa TRUE president jpm rip we will miss you

  • @rashidisaguti6000
    @rashidisaguti6000 Жыл бұрын

    My

  • @salumumoket
    @salumumoket Жыл бұрын

    Nishida kweli rais wa Africa

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69722 жыл бұрын

    Mama la Mama 👍👍

  • @mariammtila6678
    @mariammtila6678 Жыл бұрын

    Ustadhimaji

Келесі