Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

CHANELI RASMI YA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU

Songa na Samia Msimu wa Nne

Songa na Samia Msimu wa Nne

Songa na Samia Ep 3

Songa na Samia Ep 3

SONGA NA SAMIA - SS, AFYA

SONGA NA SAMIA - SS, AFYA

Пікірлер

  • @Sheba938
    @Sheba938Сағат бұрын

    ARUSHA JEE?

  • @NathanTzautoengineering
    @NathanTzautoengineering19 сағат бұрын

    Mabalozi nahitaji fursa

  • @AbudyJuma
    @AbudyJuma2 күн бұрын

    Matukio

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82412 күн бұрын

    hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82412 күн бұрын

    Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia

  • @JojiKiwelo-s2u
    @JojiKiwelo-s2u3 күн бұрын

    Tanzania.tulimpoteza mtu wa maana kabisa haji tokea

  • @marychami1700
    @marychami17003 күн бұрын

    Proud of my country, my president

  • @mawajacobamaza8216
    @mawajacobamaza82163 күн бұрын

    RIP 😢😢😢😢Dr JPM 🙏🙏🙏🙏

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020243 күн бұрын

    Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u3 күн бұрын

    Mama uko sawasawa japho niwakazi

  • @KhamisMsellem-jt4hs
    @KhamisMsellem-jt4hs3 күн бұрын

    Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte54153 күн бұрын

    HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @Donyo-rh8do
    @Donyo-rh8do3 күн бұрын

    Kama watanzania tulishawahi kupata raisi ni Jembe letu. Magu. Pumzika kwa amani comrade wetu.

  • @jombadulla
    @jombadulla3 күн бұрын

    magufuli alikua anapasisha akiw chato

  • @IBRAHIMALI-isal
    @IBRAHIMALI-isal3 күн бұрын

    Maa shaa Allah mama..binafsi nakupenda sana..nataman siku moja nikuone live

  • @lingsonKasomwa-ho1tf
    @lingsonKasomwa-ho1tf3 күн бұрын

    Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99443 күн бұрын

    Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.

  • @AmusedLargeTree-md2jv
    @AmusedLargeTree-md2jv3 күн бұрын

    Hamna lolote hao wote wizi

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam3 күн бұрын

    Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??

  • @karafuu
    @karafuu3 күн бұрын

    Mkoa wa Kusini Unguja

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99443 күн бұрын

    @@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam3 күн бұрын

    @@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok

  • @karafuu
    @karafuu3 күн бұрын

    @@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....

  • @bir4450
    @bir44503 күн бұрын

    Unguja kama ilivokuwa Chato

  • @abubacarjallow
    @abubacarjallow4 күн бұрын

    Don't by divided

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua91754 күн бұрын

    Chuma kweli kweli daah Why God ulimchukua mapema 😢

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72954 күн бұрын

    Mashaallah!!

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh4 күн бұрын

    Rudi hata mara moja tu jamani

  • @LaurianMwanosa
    @LaurianMwanosa4 күн бұрын

    Hizo zilipendwa mwenye hiyo kazi kashatangulia

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo4 күн бұрын

    😂😂makuyuni kikosi changu utalii nje njee wanyama sio maadui

  • @SanziNzige
    @SanziNzige4 күн бұрын

    Tuna washangaa HATA hatuelewi kinaendelea Nini ili iweje.

  • @mahendekamodestus767
    @mahendekamodestus7674 күн бұрын

    Katafa au kitaifa

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg5 күн бұрын

    John magufuli NITAUENZI MUUNGANO, maneno haya aliyaongea katika kampeni za mwisho mwaka 2015

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg5 күн бұрын

    UDUMU (MUUNGANO) IDUMU TANZANIA NO UZANZIBARI NA UZANZIBARA mwinyi,karume nyerere hoyeeeeeeeeeeeeee.

  • @masudikingwiti5425
    @masudikingwiti54255 күн бұрын

    Kingwiti

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao5 күн бұрын

    Sichoki kumsikiliza

  • @ElaviusSaulo
    @ElaviusSaulo5 күн бұрын

    Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM

  • @SkellyKachangei
    @SkellyKachangei5 күн бұрын

    Tulikupenda sana 😮😮😂😂😂

  • @allengregory6030
    @allengregory60305 күн бұрын

    Swahili to the world🇹🇿

  • @MariamHussein-rt8dz
    @MariamHussein-rt8dz5 күн бұрын

    Mungu watie nguvu

  • @DavidMsigwa-qh5ze
    @DavidMsigwa-qh5ze5 күн бұрын

    2024

  • @MrishoMtika-ir1xv
    @MrishoMtika-ir1xv6 күн бұрын

    Naomba msaada nimeenda kumwita savey amekuja ameniambia kuwa maji mpaka yakifika kwangu ni 1200000 je hiyo ndiyi bei ya kulipia watanzania

  • @SALOMELAZARO-l4e
    @SALOMELAZARO-l4e6 күн бұрын

    Hongeni sana hongera kwa rais wetu, Hongereni kwa maonyesho hayo na ushirikiano huu. Mungu ibariki Tanzania

  • @masagapaul5039
    @masagapaul50396 күн бұрын

    Hongera mama yetu Kwa mashikiano mema na Mozambique ❤

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k6 күн бұрын

    Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k6 күн бұрын

    Mwandishi Huyu Vipi?

  • @SimionMarwa-p5i
    @SimionMarwa-p5i6 күн бұрын

    Rest in peace 56:14

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas48667 күн бұрын

    Always TPDF🔥🔥🔥🔥

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d7 күн бұрын

    Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??

  • @BarakaLulay
    @BarakaLulay7 күн бұрын

    Rest in peace 😢😢😢😢😢😢

  • @goodlegacytv5068
    @goodlegacytv50687 күн бұрын

    Duh mwamba kabisa

  • @MuddyChilume
    @MuddyChilume8 күн бұрын

    Bangi 0:56 0:57 0:59