hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28
@jedidahbintidaudi82412 күн бұрын
Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia
@JojiKiwelo-s2u3 күн бұрын
Tanzania.tulimpoteza mtu wa maana kabisa haji tokea
@marychami17003 күн бұрын
Proud of my country, my president
@mawajacobamaza82163 күн бұрын
RIP 😢😢😢😢Dr JPM 🙏🙏🙏🙏
@kambamazig020243 күн бұрын
Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.
@user-fj5qu1qy4u3 күн бұрын
Mama uko sawasawa japho niwakazi
@KhamisMsellem-jt4hs3 күн бұрын
Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako
@Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@kuntaalkinte54153 күн бұрын
HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.
@Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
@Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
@Donyo-rh8do3 күн бұрын
Kama watanzania tulishawahi kupata raisi ni Jembe letu. Magu. Pumzika kwa amani comrade wetu.
@jombadulla3 күн бұрын
magufuli alikua anapasisha akiw chato
@IBRAHIMALI-isal3 күн бұрын
Maa shaa Allah mama..binafsi nakupenda sana..nataman siku moja nikuone live
@lingsonKasomwa-ho1tf3 күн бұрын
Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe
@tanzanite99443 күн бұрын
Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.
@AmusedLargeTree-md2jv3 күн бұрын
Hamna lolote hao wote wizi
@MwigaAdam3 күн бұрын
Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??
@karafuu3 күн бұрын
Mkoa wa Kusini Unguja
@tanzanite99443 күн бұрын
@@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika
@MwigaAdam3 күн бұрын
@@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok
@karafuu3 күн бұрын
@@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....
@bir44503 күн бұрын
Unguja kama ilivokuwa Chato
@abubacarjallow4 күн бұрын
Don't by divided
@pacomezouzoua91754 күн бұрын
Chuma kweli kweli daah Why God ulimchukua mapema 😢
@jumakapilima72954 күн бұрын
Mashaallah!!
@Namaize-lc8sh4 күн бұрын
Rudi hata mara moja tu jamani
@LaurianMwanosa4 күн бұрын
Hizo zilipendwa mwenye hiyo kazi kashatangulia
@hassan-sarumbo4 күн бұрын
😂😂makuyuni kikosi changu utalii nje njee wanyama sio maadui
@SanziNzige4 күн бұрын
Tuna washangaa HATA hatuelewi kinaendelea Nini ili iweje.
@mahendekamodestus7674 күн бұрын
Katafa au kitaifa
@FredrickKabura-gd7hg5 күн бұрын
John magufuli NITAUENZI MUUNGANO, maneno haya aliyaongea katika kampeni za mwisho mwaka 2015
@FredrickKabura-gd7hg5 күн бұрын
UDUMU (MUUNGANO) IDUMU TANZANIA NO UZANZIBARI NA UZANZIBARA mwinyi,karume nyerere hoyeeeeeeeeeeeeee.
@masudikingwiti54255 күн бұрын
Kingwiti
@seemanishekiao5 күн бұрын
Sichoki kumsikiliza
@ElaviusSaulo5 күн бұрын
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
@SkellyKachangei5 күн бұрын
Tulikupenda sana 😮😮😂😂😂
@allengregory60305 күн бұрын
Swahili to the world🇹🇿
@MariamHussein-rt8dz5 күн бұрын
Mungu watie nguvu
@DavidMsigwa-qh5ze5 күн бұрын
2024
@MrishoMtika-ir1xv6 күн бұрын
Naomba msaada nimeenda kumwita savey amekuja ameniambia kuwa maji mpaka yakifika kwangu ni 1200000 je hiyo ndiyi bei ya kulipia watanzania
@SALOMELAZARO-l4e6 күн бұрын
Hongeni sana hongera kwa rais wetu, Hongereni kwa maonyesho hayo na ushirikiano huu. Mungu ibariki Tanzania
@masagapaul50396 күн бұрын
Hongera mama yetu Kwa mashikiano mema na Mozambique ❤
@user-cz7bd9tc5k6 күн бұрын
Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana
@user-cz7bd9tc5k6 күн бұрын
Mwandishi Huyu Vipi?
@SimionMarwa-p5i6 күн бұрын
Rest in peace 56:14
@stephenjonas48667 күн бұрын
Always TPDF🔥🔥🔥🔥
@user-rk6jf6zq6d7 күн бұрын
Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??
Пікірлер
ARUSHA JEE?
Mabalozi nahitaji fursa
Matukio
hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28
Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia
Tanzania.tulimpoteza mtu wa maana kabisa haji tokea
Proud of my country, my president
RIP 😢😢😢😢Dr JPM 🙏🙏🙏🙏
Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.
Mama uko sawasawa japho niwakazi
Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako
Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.
Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Kama watanzania tulishawahi kupata raisi ni Jembe letu. Magu. Pumzika kwa amani comrade wetu.
magufuli alikua anapasisha akiw chato
Maa shaa Allah mama..binafsi nakupenda sana..nataman siku moja nikuone live
Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe
Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.
Hamna lolote hao wote wizi
Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??
Mkoa wa Kusini Unguja
@@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika
@@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok
@@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....
Unguja kama ilivokuwa Chato
Don't by divided
Chuma kweli kweli daah Why God ulimchukua mapema 😢
Mashaallah!!
Rudi hata mara moja tu jamani
Hizo zilipendwa mwenye hiyo kazi kashatangulia
😂😂makuyuni kikosi changu utalii nje njee wanyama sio maadui
Tuna washangaa HATA hatuelewi kinaendelea Nini ili iweje.
Katafa au kitaifa
John magufuli NITAUENZI MUUNGANO, maneno haya aliyaongea katika kampeni za mwisho mwaka 2015
UDUMU (MUUNGANO) IDUMU TANZANIA NO UZANZIBARI NA UZANZIBARA mwinyi,karume nyerere hoyeeeeeeeeeeeeee.
Kingwiti
Sichoki kumsikiliza
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
Tulikupenda sana 😮😮😂😂😂
Swahili to the world🇹🇿
Mungu watie nguvu
2024
Naomba msaada nimeenda kumwita savey amekuja ameniambia kuwa maji mpaka yakifika kwangu ni 1200000 je hiyo ndiyi bei ya kulipia watanzania
Hongeni sana hongera kwa rais wetu, Hongereni kwa maonyesho hayo na ushirikiano huu. Mungu ibariki Tanzania
Hongera mama yetu Kwa mashikiano mema na Mozambique ❤
Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana
Mwandishi Huyu Vipi?
Rest in peace 56:14
Always TPDF🔥🔥🔥🔥
Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??
Rest in peace 😢😢😢😢😢😢
Duh mwamba kabisa
Bangi 0:56 0:57 0:59