TAZAMA GWARIDE NA MIZINGA 21 YA HESHIMA KWA HAYATI DKT. JOHN POMBE NYUMBANI KWAKE CHATO
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 206
Asanti sana ndungu mweshimia sana Raïs John Joseph Pombe Mugufuli. Umpumzike na amani , huruma ya Mungu ifute uzaifu wako wote ombea inchi yako, ombea pia afrika na dunia , tufate mfano wa ukristu wako. Alphonse Marie.
Rais John pombe magufuli your good work and good leadership you have done in Tanzania will never be forgotten for ever and ever
@michaelndilima6210
3 жыл бұрын
Yes I àgree too.
Wazuri nawatetezi wawanyonge tanzania mulikua wawili tu✌️ Nyerere na magufuli tu. Waliobaki nishida tupu pumzikeni kwaamani mashujaa wetu kwamema yenu tunakumbuka sana⚰️💒⚰️💒👋👋🙏🙏💞🗣️💪💞💪💞💪💞
Let me be 101 coment member,we huv lost the giant of Africa this mr Joseph john pombe magafule is,was and shall for ever be remembered
Mzee mangufuli 🕯️ lala pema peponi
Mungu amukumbuke kwa mazuri siyo kwa mabaya mwili wake ulale kwa salama
mungu anapenda watu wazima kaa huyo.niko nataka kumuuliza kwanini anabeba magufuri lakini nikakumbuka kama na yeye anapenda roho nzuri kama hio.mungu akuikarishe karibu yake.akumbuke huluma yako
Baba wa unyenyekevu na roho ya upendo kwa wote pumzika kwa amani Baba😭😭😭
@hassanmfaume4522
7 ай бұрын
Unyenyekevu gn wewe usiyejielewa na udini wako uliokujaa..!
UPUMZIKE SALAMA RAISI WETU KIPENZI. R.I.P.
Mungu mpunguzie athabu za kabri muangazie nuru baba etu🙏😭😭😭
Mungu aiweke roho take maahali pema pepooni..may he RIP..we lokoved u so much.
Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi rais tanzania dkt john pombe magufuli
Mungu akuagazie nuru ya milele peponi 😭🙏💔🇹🇿
@wazambasusan2916
3 жыл бұрын
Rest in peace
Mmungu amrehemu amsamehe aipumzishe roho mahali pema peponi. Ameen.
Bibilia ina sema mwanadamu aliubwa kwa udongo na atarudi udongoni pia inasema mshahara wa dhambi ni mauti bali kalama ya mungu ni uzima wa milele tujitasimini maisha yetu leo kw Mangu kesho kwako kupitia msimba huu tengeneze maisha yako bado uko hai
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Hata kuandika unababaika mno na ulikuwa na ujumbe mzuri mno
@philimonphilipo316
3 жыл бұрын
Amina na mungu akubariki kwa maneno haya mungu umetoa na umetwaa jina lako litukuzwe na mungu haojiwi maisha ni zawadi na kukuchukua niutaratibu wake jina lake litukuzwe amina
@amanimanase5794
3 жыл бұрын
Ameen
@pokafofo973
3 жыл бұрын
Njo kweli
@justinesekomgolola1355
3 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba
No-one whom u can compare with this man in Africa, R. I. P, African president of the century
Mungu akuepushe naazzabu yakabulini babaetu tunakukumbukasana
Pole Sana na msiba huu mkubwa
We crying To much why God you take Magufuli before Africa to be Safe?God God God God why ?Julia's from Dr Congo
Anko Magu naomba umwambie Nyerere Rafiki yake Museveni bado ni Raisi R.I.P
@agnessmtungwa8142
3 жыл бұрын
😂 😂
@carocecil6263
3 жыл бұрын
Hahaha
@irenemukuru4202
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@gladysalbinus7646
3 жыл бұрын
🤣🤣
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
😂😂😂
He sacrificed his life for the people of Africa and not only Tanzania
@petershija7552
2 жыл бұрын
Mm
Magufili wangu uuuuwwwiiiiiiiii❤❤❤
Mwenyenzi Mungu akulaze mahali pema peponi maana sisi tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akuwekee nuru katika kabuli lako lnshallha rais wetu kipenzi
Rip pombe 😭 we ugandans we are crying to God why he didn't take m7instead of you ,why God takes good people and leave evil ones to stay while damaging the world instead of developing it with citizens but to kill them
@aliahantoush1220
3 жыл бұрын
It's good that you know God is taking good people so try to talk to m7 to be good sothat God can take him
@japhetlagat1544
3 жыл бұрын
What a human being expect God does not
Kwa heri shujaa wa Afrika
Hakika umetuachia huzuni pengo lako halozibika, nasi tutakukumbuka daima mungu akulaze mahari pema peponi amina🙏🙏
Dah! Mungu amlaze mahala pema pepon amina
Mungu amlaze mahali pema pepon tutakukumbuka sana baba etu
Asante wasafi kwa kutukumbusha watanzania yaani nikicheki machoz hunitoka kwaheri anko jpm
Mmetuweza na kutuumiza sana kumuuwa kipenzi chetu maumivu hayaishi kame.ooo.rais wangu leo nimekukumbuka sanaaaaaa
😭😭😭😭😭😭🇨🇩🇨🇩 Congo zote tunalia sana magufuli nenda salama
@tomasikuya2310
Жыл бұрын
Wsfrx
Waa mungu ailaze roho yake pema peponi.
Poleni sana wapedwa
RIP Baba wetu Magufuli
Msemaji wa wanyonge kwa heri
May his soul rest in peace 😓😓😓😓😓😓
So it's true 😭😭😭😭😭
R.I.P The Lion of Africa
@niyonzimasamson9042
3 жыл бұрын
À
Nice Parade
Rest in peace african legend🙏🙏
@athumaniomary3857
2 жыл бұрын
Botro
Nimekubali
Lala salama Dkt John Pombe Joseph Magufuli,tinakukumbuka
We Will rember him forever
R.I.P 😢😢😢baba yetu
Laala salaama baba
Mungu. Amulinde sana. Shupavu wetu.
RIP AFRICAN HERO
Kweli ivumayo haidumu.lala salama J p m
Rest in peace Rais John pombe tutakukumbuka san
Pumzika kwa aman jpm mwamba wa Tanzania
Pumzika kwa aman
Rest in peace President John
Pole
Rest In Peace father and son of Africa 😭😭😭😭
Tunamshukuru mwenyekiti wa chadema kwa hotuba nzuri
له الرحمه والمغفره رئيس الجمهورية تنزانيا
Tumepoteza mwamba wa Africa
R. I. P mzee wa kazi bwana Maghufuli
Ulale salama baba
@bhokeanthony129
3 жыл бұрын
Rest in piece anko magu
Jay merody
The man has gone😭😭!!
Kwa nini anaangalia saa ? Huyu mama nae! RIP JPM. 🙏🏾🤲🇹🇿
@twalibhamza9059
3 жыл бұрын
Hakuzoe maziko haya
@elsiemildred9471
3 жыл бұрын
Kuna shida mtu akiangalia watch yake aki wanadamu, 😪
@emanueljoseph602
3 жыл бұрын
We ulitaka aangalie matako yako?
@roi2554
3 жыл бұрын
Yan binaadam bwana Yan mumemtafuta mmama wa wa2 ilimradi mupate cha kusema tuu Kuweni makini nchi yetu atutaki ujinga
@stanslauselias9002
3 жыл бұрын
Acha utoko unamutisha nani
Japhary jentsr
👌👌👌
😭😭😭
Mngu wabaliki familia ya magufuli wetu
Good by shujaa wa afica
Rip great son of the soil
Vifo vinauma sana ila hakuna kama Cha magufili kwangu mimi jaman
RIP 🙏
R.I.P Magufuli
Raia Umejikwaa umeangukia katikati ya hao makamanda...uuwi ... RIP Our hero JPM
@mutanindalo7520
3 жыл бұрын
unakula maarufu coz headlines zote utakuwa wewe lakn utamweleza mabeyo nan aliekutuma
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
RIP maguful
lala salaama baba yetu
Lala salama
Rip Papa Afrika
R.i.p magufuli
Rip 😭😭
Rip
inauma sana
Rest in power
Rest in peace son of Africa
Prize jay the musician
😭
R i p magu
Mwanga wa milele umpe ee bwana
R.I.P Mr president
Daaah
Diamond 2021
Télécharger
Mbon sijaon iyo mizing
Wallahi gun isianguke hapo. RIP President JPM
Rest in peace
Tbc love
He was a comrade
Aslay
@sijaicostantinosijalicosta9075
2 жыл бұрын
Aslay
Wasavi
This is perfect parade and very displened.
😭😭😭😭😭😭
Tanzania gwaride na mizinga