For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately. I pray for this country. God save Tanzanians
@user-sn1qv9ic4f4 ай бұрын
mama Mungu akubaliki sana Rais wetu
@richardasiimwe37264 ай бұрын
Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.
@user-kh2bm4ug9t8 ай бұрын
Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤
@nyandwijeanbosco80413 ай бұрын
God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.
@florachogo2438 ай бұрын
Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤
@maernov42574 ай бұрын
Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤
@user-sx2sz6sr8d
2 ай бұрын
hhhhhhhhhhh
@SuleyGodwin-eg1fh4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu
@augustinsafari56993 ай бұрын
Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda
@shaluamagandi21848 ай бұрын
Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤
@ustadhisimbula86228 ай бұрын
Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee
@liberatusjackson5045
8 ай бұрын
Asante sanA kwakulitambua
@profemmanuelmbennah55998 ай бұрын
Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu. Balozi Prof Mbennah
@Chrisjosiah-xk9ds4 ай бұрын
Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.
@wanzambinya85013 ай бұрын
I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM
@benterokuom84643 ай бұрын
Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾
@jackmsuya68428 ай бұрын
Nimekupenda mama❤
@omwengajoseph42983 ай бұрын
Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.
Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan
@judithdonald20238 ай бұрын
Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana
@alphason60048 ай бұрын
Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@richardbegga6679
8 ай бұрын
ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge
@saidfhamad
8 ай бұрын
@@richardbegga6679Sio sheria kaka
@zissons36964 ай бұрын
Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts
@nelsonandrew26388 ай бұрын
Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo
@paulsavana56108 ай бұрын
Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.
@alexandermutakha8828 ай бұрын
Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.
@simionbirai78518 ай бұрын
Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda! Mwl.Simon Birai
@zenakioga65678 ай бұрын
Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?
@thomskasong28398 ай бұрын
God bless tanzania🇨🇩🇹🇿
@nyandwijeanbosco80413 ай бұрын
My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life
@christinadominic9803 ай бұрын
Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina
@user-gc1ez1yv4k4 ай бұрын
Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua
@muhetostylewilly58843 ай бұрын
God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤
@KhadijaSaid-vj9kh4 ай бұрын
Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana
@nyabuharajulian33064 ай бұрын
Tanzanian swahili is sooo nice .
@damaspmtz10186 ай бұрын
Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤
@mungaiwamungai73833 ай бұрын
I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!! This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird. Long live my neighbor country.... from 🇰🇪
@agnesmangale31638 ай бұрын
Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤
@makambosafari27468 ай бұрын
Imeenda ❤❤❤😊
@RajaburashidiKamsweka4 ай бұрын
Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti
@JonaTaus-gb3ep6 ай бұрын
Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu
@idrissamustafabukenya61104 ай бұрын
Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama
@davidlinerevelation34274 ай бұрын
Thank you maam
@josephinamkono51833 ай бұрын
Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona
@MariaStepheno-it5jp8 ай бұрын
Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika
@ignasnyembo12566 ай бұрын
Haina maana yeyote selikali yako kujenga hiyo nyumba. Umemgeuka john halafu unadanganya uma kwa kujenga hicho kijumba
@SifaBushashire3 ай бұрын
Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-fm8dp7we6m6 ай бұрын
Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏
@novatuserasmi4744
4 ай бұрын
❤ karib Tz mkongoman😊😊❤
@alexsambia30463 ай бұрын
Waooooh najiskia vzr snaa
@kennedykimaiwua19383 ай бұрын
Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...
@peteretlawe62694 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana
@user-lk5ln4fi8h8 ай бұрын
Kazi nzuri sana! Mama yetu.
@anithawidambe75438 ай бұрын
MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO
@naomiilikeyoursongmumgodbl67483 ай бұрын
Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama
@marthaanton69678 ай бұрын
Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno
@user-dc1qh3nm5s8 ай бұрын
Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu
@FlorideUwamaliya4 ай бұрын
Mungu ababarikiye mama
@NumberOneProductions8 ай бұрын
Mama Mungu akubariki
@user-sg4dc3ow5x5 ай бұрын
Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh
@ImanueliNyela4 ай бұрын
Mungu.akubariki.sana
@verombwambo37033 ай бұрын
Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.
@sifunimakongwa3 ай бұрын
Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.
@user-lq6hq4jr6t8 ай бұрын
Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge
@rosejohn8494
3 ай бұрын
we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha
@nkurunzizafidel20262 ай бұрын
serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge
@Edinaghkemuto8 ай бұрын
🙌🙏❤️
@willibroadwilliam67983 ай бұрын
Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.
@AMENMUSHI-wt4li3 ай бұрын
Ubarikiwe
@muhirebruno3 ай бұрын
Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤
@LuisAgostinhoMonteiro8 ай бұрын
Mungu amubariki sana raisi Samia suluh
@user-in6dx2zy1b8 ай бұрын
Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@user-ry8bx1fr7v4 ай бұрын
binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊
@rajabushaibu10683 ай бұрын
Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba
@BalboAlain3 ай бұрын
Super sana maman
@GeradinaJohn5 ай бұрын
Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤
@anastazialushika8 ай бұрын
Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful
@David-zb6kk8 ай бұрын
Naona mnavyomsifia huyo mama yenu utafikiri amemnunulia kwa pesa zake
@Kawumah6 ай бұрын
DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.
@khadijayusuph26343 ай бұрын
Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo
@jumanzumbi12154 ай бұрын
Mama samia Mungu akubariki sana.
@LugelaMweya8 ай бұрын
Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana
@GemmaMfoi-jx6go8 ай бұрын
Anapeleka wapi jmn na kuna watu hatuna hata pa kulala
@kitsao-kb3qk8 ай бұрын
Nampongeza mama Samia suluu Kwa kitendo hiki
@donvanpierre43694 ай бұрын
hivi nyumba ya nyerer ndioo ile ile iliyojengwa n jeshi au ....
@geraldluiso67928 ай бұрын
❤🎉
@PeterMichael-xd1mt8 ай бұрын
Mzee uyu alikua anaipenda sana nchii hii ad alisahau kujenga kwake
@SifaBushashire3 ай бұрын
Mama ni mama🇨🇩🇨🇩
@ElietSteven-cm6gc8 ай бұрын
Mungu nimwema
@user-ou2kw3rx3h8 ай бұрын
hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.
@Lydia-mz7jm3 ай бұрын
Hongera sanaa mama
@ndaskoindaskoi78118 ай бұрын
Asante sana Mama
@R0gastianEzekiel8 ай бұрын
Mungu ni mwema
@user-tf9gh8iu5s4 ай бұрын
Mashalaa adi nimelia jaman
@SamweliFelix-ij2pc5 ай бұрын
Mama nisaidie naomba unipeleke studio
@user-tf9nj3sn2z8 ай бұрын
That's all blessings to u
@fransicmushenyera93028 ай бұрын
sasa Rais unanza kuingia kwenye hisia za watz unajua JPM anapendw na watanzania hakitokea mtu akampuuza anaumiza mioyo sasa unaelekea kuzuri
@AIGLE-2568 ай бұрын
Jambo jema ❤❤
@topfootballtrends65178 ай бұрын
Ameshindwa Kuyaishi aliyoacha Marehemu Jpm kutoa Nyumba ni Unafiki mtupu
@frankfabian5438 ай бұрын
Nimemona watu wakilia ipyaa
@kaesarka32438 ай бұрын
Aksante sana mama
@floriankatunzi6038 ай бұрын
Mama asante sana
@asteriashios18523 ай бұрын
Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli
Пікірлер: 164
For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately. I pray for this country. God save Tanzanians
mama Mungu akubaliki sana Rais wetu
Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.
Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤
God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.
Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤
Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤
@user-sx2sz6sr8d
2 ай бұрын
hhhhhhhhhhh
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu
Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda
Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤
Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee
@liberatusjackson5045
8 ай бұрын
Asante sanA kwakulitambua
Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu. Balozi Prof Mbennah
Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.
I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM
Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾
Nimekupenda mama❤
Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.
Mfano mzuri sana, hongera mama, hongera watanzania wote, baraka Tele idumu
Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana
Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@richardbegga6679
8 ай бұрын
ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge
@saidfhamad
8 ай бұрын
@@richardbegga6679Sio sheria kaka
Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts
Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo
Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.
Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.
Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda! Mwl.Simon Birai
Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi
@aishaalbalushaishabalush8291
7 ай бұрын
kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?
God bless tanzania🇨🇩🇹🇿
My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life
Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina
Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua
God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤
Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana
Tanzanian swahili is sooo nice .
Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤
I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!! This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird. Long live my neighbor country.... from 🇰🇪
Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤
Imeenda ❤❤❤😊
Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti
Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu
Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama
Thank you maam
Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona
Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika
Haina maana yeyote selikali yako kujenga hiyo nyumba. Umemgeuka john halafu unadanganya uma kwa kujenga hicho kijumba
Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏
@novatuserasmi4744
4 ай бұрын
❤ karib Tz mkongoman😊😊❤
Waooooh najiskia vzr snaa
Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...
Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana
Kazi nzuri sana! Mama yetu.
MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO
Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama
Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno
Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu
Mungu ababarikiye mama
Mama Mungu akubariki
Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh
Mungu.akubariki.sana
Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.
Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.
Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge
@rosejohn8494
3 ай бұрын
we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha
serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge
🙌🙏❤️
Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.
Ubarikiwe
Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤
Mungu amubariki sana raisi Samia suluh
Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏
binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊
Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba
Super sana maman
Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤
Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful
Naona mnavyomsifia huyo mama yenu utafikiri amemnunulia kwa pesa zake
DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.
Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo
Mama samia Mungu akubariki sana.
Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana
Anapeleka wapi jmn na kuna watu hatuna hata pa kulala
Nampongeza mama Samia suluu Kwa kitendo hiki
hivi nyumba ya nyerer ndioo ile ile iliyojengwa n jeshi au ....
❤🎉
Mzee uyu alikua anaipenda sana nchii hii ad alisahau kujenga kwake
Mama ni mama🇨🇩🇨🇩
Mungu nimwema
hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.
Hongera sanaa mama
Asante sana Mama
Mungu ni mwema
Mashalaa adi nimelia jaman
Mama nisaidie naomba unipeleke studio
That's all blessings to u
sasa Rais unanza kuingia kwenye hisia za watz unajua JPM anapendw na watanzania hakitokea mtu akampuuza anaumiza mioyo sasa unaelekea kuzuri
Jambo jema ❤❤
Ameshindwa Kuyaishi aliyoacha Marehemu Jpm kutoa Nyumba ni Unafiki mtupu
Nimemona watu wakilia ipyaa
Aksante sana mama
Mama asante sana
Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli