MAGUFULI AMKABIDHI MSTAAFU MWINYI NYUMBA ILIYOJENGWA na SERIKALI, MWINYI Azungumza - ASANTE HAITOSHI
MAGUFULI AMKABIDHI MSTAAFU MWINYI NYUMBA ILIYOJENGWA na SERIKALI, MWINYI Azungumza - ASANTE HAITOSHI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi Nyumba maalumu iliyojengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria namba 3 ya Mwaka 1999 inayo ainisha ujenzi wa Nyumba maalumu kwa ajili ya marais Mara wanapo Staafu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba 2020
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 619
Hongereni sana kwa kutimiza Sheria ya kuwajengea Marais Wastaafu..Hakika ni jambo jema..
@marwaabdalla9306
3 жыл бұрын
Musihau tu nyumba ya kaburini wizi nyie, maghufuli yeye kesha jijengea kiwanja cha ndege kwao, sijui nyumba yake, bolioni moja nukta moja , duu noma wizi hawa Mungu akutie mbaroni
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@marwaabdalla9306 we nae utakufa masikini.kwa roho yako chafu kiwanja cha chato kimewauma sana na wewe kajenge nyumbani kwako kiwanja cha ndege hiyo ni sheria na hako ya kwa mafao waliyotumikia nchi hii we vp MAISHA yamekupiga stress zako unakuja kumalizia mitandaoni 😂😂😂😂kagombee urais na wewe upate nyumba naona moyo wako unavuja dam kwa roho mbaya
@marwaabdalla9306
3 жыл бұрын
@@salmaathuman9156 wewe mshenzi ambae Allah kapiga muhuri ndani ya moyo wako, kwahiyo wewe ni kiziwi, kipofu kwahiyo una macho huoni , una masikio husikii mnafiki tu
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@marwaabdalla9306 wewe Mmbwa koko kumanyoko zako unaweza kufungua domo lako Kama shimo la choo kuniambia mshezg fala wewe tena koma kabisa msange wewe ukweli ndo acha roho mbaya bwege wewe utakufa masikini nguruwe pori tena shika adabu Mmbwa wewe njaa zako peleke huko paka shume wewe nyumba zimejengwa kwa mujibu wa sheria wewe unalalamika mara chato kumejengwa uwanja wa ndege ulitaka wakajenge kwa baba ako pusi wewe
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
@@marwaabdalla9306 wivu utakuua wanastahili hiyo asante uongozi sio ndogo
mashalah jazakalah lkheir/Allah akulipe mazuri rais wetu mh . magufuli na team yakoI . Amin Amin barikiwa sana
Huku ni kumuenzi,uongozi c kazi rahisi, ahsante JPM Kwa kukamilisha Hilo pia
Asante Serikali ya Tanzania na Rais JPM kwa kutimiza kikamilifu ahadi ya kumjengea Rais Mstaafu Mzee Mwinyi nyumba.
@suleimansalym7537
3 жыл бұрын
Sio ahad ni sheria
@azizabdallah585
3 жыл бұрын
@@suleimansalym7537 Sio sheria (kwa MzeeMwinyi) Shekh Suleiman. Sheria hiyo ilipitishwa baada ya Rais mstaafu Mwinyi kuondoka madarakani...kwa madaraka alionayo Rais JPM akaona ni uungwana amwingize pia Mzee Mwinyi... Sheria ilishamwacha Mzee Mwinyi na ilianza kutumika kwa Mzee Mkapa.
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Wanastahili jamani kazi uongozi ni ngumu shida zote za nchi anabeba matusi yote kwao jamani acha aghalao wafutwe machozi kwa hilo
Mzee mstaarabu. Nampenda na anastahili.
Nimejifunza menqi duniani ,ewe mwenyezi munqu tunaishi maisha maqumu duniani,lakini wenqine wanafanya kufuru kwakodi zawanchi masikini,mwenyezi munqu tulinde waja wako,nakuomba mwenyezi munqu unijaalie mwisho mwema amina.
Ni jambo jema kuwajengea marais wastaafu nyumba.... big up.... baada ya kulitumikia taifa...
@ambasonkalenga2047
3 жыл бұрын
Hujitambui rafiki waliotuibia matirioni wanajengewa watoto wetu wanakosa mikopo ya elimu ya juu wanamajumba uharabuni. Masikini wanakufa kwamaradhi yanayotibika wamekosa hata bima 70000 tu rais Wa wanyonge au wamatajiri?
Kiukweri Magufuri hongera mzee wangu unajitahidi Sana mh mungu awe nawe daima ila ustusahau NJOMBE yetu imelala mh
Watu wenye roho za korosho watanung'unika tu
@aliakida1831
3 жыл бұрын
Lazm tunungunike kw sabab sio sahih n kher wenge jeng shule ingekuwa n bora zaidi
@stevek8318
3 жыл бұрын
Mshahara wa nini basi??
RAISI MAGUFULI ASANTE SANA....
Ahsante JPM Mungu akutunze miaka mingi 🤝🇹🇿
@ivankulola5847
3 жыл бұрын
da
😂😂😂 Kama namuona Lisu akiongeza speed ya kuedit nyomi mikutanoni. Kumbe ndo maana kanabishaga na visivyobishika. Anyway pambania kombe mzee baba,Ikulu patamu mno,mnoo,mnoooo..😂😂😂But JPM 5 AGAIN.
@evelyinipaja1202
3 жыл бұрын
😀😀 Kalufunyange umenichekesha sana." Ikulu patamu"
@kalufunyangenyakinyungu5087
3 жыл бұрын
@@evelyinipaja1202 😂😂😂
@mwaramiissa3553
3 жыл бұрын
Ikulu sio wodi. Mtu anaelalamika risasi mda wote hatufai.aende muimbili
RAISI WETU HANA ROHO MBAYA.Ahsante Rais Magufuli
Mungu ni mwema sana. Serikali kwa kumuenzi mpendwa wetu Mzee Rais Ali Hassan Mwinyi. Hekima hii ni fahari kwa wapendwa wastaafu Marais wetu na hata viongozi wengine waandamizi kwa kuenziwa pia. Huu ndio uafrika wetu . Pongezi pia Mzee Mwinyi kwa umri mrefu uliojaliwa na Mwenyezi Mungh. Watz tusiwasaha hata wajane wa viongozi wastaafu.
Acha tuuwane uongozi mtamu jamani hapo anapoishi muda huu penyewe pakishua : hashimu rungwe pambana ndugu yangu .
@hamiskengwa5869
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌duh kwel kwel
@missangela6720
3 жыл бұрын
Dah hata kama hutaki kucheka, yaani lazima tu wee mkaka mmh
@estermathias8354
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@khadeejaabdullah7083
3 жыл бұрын
Hahahaaaa
@robertempire9542
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Daaa nyumba nzuri kuzidi ikulu aiseeee 😳😳😳😳😳😳
@ivankulola5847
3 жыл бұрын
ana haki yakukaaa
Hongera sana Mh Rais JPM Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu ulifikishe gurudumu la maendeleo salama
Waswahili husema "nyongeza huenda kwenye fungu"... Tafuteni maana ya huu msemo kwa aliekua hajaelew.
@frankjoseph6609
3 жыл бұрын
Nafikiri humaanisha aliye nacho ndo huongezewa huwezi ongeza pasipo na kitu
Asante JPM, waache wanaokubeza na kukuona hufai ipo siku watakukumbuka. Hakuna chama bora chenye kupika viongozi Kama CCM.
@ambasonkalenga2047
3 жыл бұрын
Pole kwakutojitambu angejenga madarasa ya shule engesomesha watoto maskini angetengemneza barabara za vijijini angetoa mikopo ya elimu angekuwa vizuri zaidi kwasasababu hao wastaafu wanalipwa mamilioni kila mwezi nawalikomba matirion wakiwa madarakani kama kujenga walishajenga mag hora fa ya kutisha watoto wao wanavyeo vikubwa serikalini wengine wamegomnea hata urais 😱😱😱😱😱😱
@davidjovinary4696
3 жыл бұрын
Acheni siasa kwenye jambo hilo limekaa kisiasa zaidi. Msimamo wa kumchagua LISSU upo palepale. Ni yeye!
@maulakaroli8323
3 жыл бұрын
@@ambasonkalenga2047 roho zenu mbaya hata kama angejenga na kwenu lazima mngechonga tuu shame on u.
@maulakaroli8323
3 жыл бұрын
@@davidjovinary4696 kura yako haitoshi kumpa uraisi huyo mpuuzi bro si wote usitusemee.
@joasitz9559
3 жыл бұрын
@@maulakaroli8323 kabisa wabongo Wana roho mbaya Sana na hicho ndio kinawauma naona.
Hongera sana baba angu mwinyi na serikali yangu ya awamu ya tano👏🏻👏🏻
Mzeee ruksa ana busara sana
Hongera kwa kazi nzuri Mkuu 👍
Halafu mnashangaa! Wajuao mambo, jee kuna nchi nyingine duniani (hasa maskini) yenye sheria kama hii?
@lelekilele2
3 жыл бұрын
Maskini wewe nani sisi wa uchumi wakati kama maskini wewe pambana na hali yako
Mnazambi nyinyi hakuna maji madalasa mungu anawaona
JKT wana uwezo mkubwa wa kukamilisha miradi kwa wakati wapewe miradi yote ya serikali, Wengine ni wababaishaji tu mtu amestaafu miaka 25 iliyopita nyumba anapewa leo? Hongera JPM kwa kuona umuhimu wa wastaafu. 2020 Chagua Magufuli na kazi iendelee
Mwenye nacho anaongezewa. Haya uliyosema Yesu ndo haya yanatendeka. Maneno yako Yesu hayabadiliki. Itoshe tu kusema Yesu nipe wimbo wa sifa na mm. Hata kodi ya chumba sina. Ila bado nna imani
Magufuli acha nikupende tuuu
@givenkwayu423
3 жыл бұрын
Umpendee wakatii watu wengne wanaumia na shida tupuu wengine nyumba ya bati hawana mwinyi Ana nyumba nyingi
@luhanyamipawantobi6888
3 жыл бұрын
@@givenkwayu423 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hivi unakijua cheo kikubwa kuliko vyote duniani wewe!!!! ?? Kwa hiyo mjengewe wote
@ibel4lf
3 жыл бұрын
GIVEN KWAYU usifosi tufanane
@J4UPro
3 жыл бұрын
@@givenkwayu423 unataka ujengewe na wewe! Gombea urais ushinde halafu usitaafu ndiyo Sheria ikufanyie hicho alichofanyiwa mwinyi
@givenkwayu423
3 жыл бұрын
Mkumbo wa kudanganywa na kutotumia akili kufikiri ndo umetufikisha hapa watanzania shame on us.....
ni Jambo zuri sana sana na mafao kwa wastaafu wa serikarini nayo yaboreshwe yanaendane na wakati
@farhatfarhat3816
3 жыл бұрын
Yataboreshwa tu
Wizi wanazidi kutumaliza watanzania
Nyumba ya braza mwinyii
Duuuh kuna baadhi ya maeneo hamn maji,shule wa hosteli za wanafunz hususani wa kike
@mohammedmnasi3228
3 жыл бұрын
Nenda ukawajengee na wew sii mtanazania
@maulakaroli8323
3 жыл бұрын
Kajenge na wewe! Unaishi kwa SHEMEJI yako hafu unalalamika maisha ngamia kabisa wewe!
@nyotanjemaingarayo5384
3 жыл бұрын
Yote Yana umuhimu wake
Mashallah ❤
@rajabugoa2344
3 жыл бұрын
Mwaj mambo
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@rajabugoa2344 poa kabisa
💯👌🔥✅
Ndugu Abdallah hayo ni Maoni sahihi.. watoto Yatima hata wazee wasio Na ndugu wa kuwasitiri. Dunia hii ni mapito. Shukran
Mzee wa Ruksa✊🏾🇧🇮
Kuna kila haja kuipongeza serikali kwa kutambua juhudi na jitihada za hawa wastaafu wetu.Mungu awape afya njema wazee wetu.
Na zile tablet za KUONGEZA umri tuwapatie waishi 200
Asanteni Sana....
Ee Mwenyezi MUNGU nakuomba na Mimi Fungu langu likawe kubwa mbele zako
Mtu hajachaguliwa kaishawafanya wanachama wenzake mashoga nakaishaweka rasilimali zanchi rehani akichukua nchi inakuwaje japo najua haiwezekani,,,viongozi wazuri wanatoka CCM
@davidkaguru9511
3 жыл бұрын
Unafirwa wewe
@HASASON
3 жыл бұрын
@@davidkaguru9511 Lisu ndio anafirwa na wazungu na atakufiria ubeberuni sio Tanzania
Kweli nimeamini Mungu Akitupa Uzima tutakuja kulipwa Mishahara kama sio Wajukuu zetu.basi vitukuu vyetu.
Splendid hiyo ndio kuheshimiana na kuenzi viongozi wetu haswa wale wasio wadokozi. Hongera Tanzania
Duuh hata kama ni sheria😳😳😳
Hongereni, hii nyumba ukoo mzima unaweza kaa hapo duh
Babu mwinyi was very humble president ever
Safi sana hii ni heshima kwa Taifa
Mnapofanya hayo ya kifahari,kumbukeni na wagonjwa wa Kansa watibiwe bure kwani wanapata shida.
@HASASON
3 жыл бұрын
Mbona wagonjwa wa kansa wanatibiwa bure toka Magufuli aingie? Nenda ocean road
Kweli nikiona utu wa president wa Tanzania naisi African ingekua na uyu mzee magufuli kama president wa African yote ikiwemo Kenya yangu hakika hata wazungu wangetii
Wamjengeee na mama Anna Mkapa kwa niaba ya rais Mkapa
@HASASON
3 жыл бұрын
Lupaso alipozikwa nyumba ilijengwa na serikali
SIPATI PICHA LISSU AKIMJENGEA MH.MAGUFULI 🙏
Kwahiyo Rais wetu mwadilifu kuliko wote Mwl.Nyerere hakuna nyumba ubora kama hii alio jengewa??
@saidimoshi1276
3 жыл бұрын
Nyerere alijengewa nyumba na jeshi kabla hata sheria ya kuwajengea maraisi wastaafu haijapitishwa na alichagua mwenyewe aina anayotaka na sehemu anayotaka akachagua butiama
@HASASON
3 жыл бұрын
Alikataa nyumba kubwa kwamba yeye sio tembo
@ambasonkalenga2047
3 жыл бұрын
Nyerere alikuwa mzalendo hawa wapiga dili matumbo yao hayajai wanajitungia sheria zakuwanufaisha wao badala ya wtz tunaowachagua
@christophermwanilwa7074
3 жыл бұрын
Mnaifahamu Nyumba ya Mwalimu pale Mikocheni? Nadhani aliyejengewa
@Skomi-0nedayyes
3 жыл бұрын
Nyerere alikataa kujengewa nyumba na mwisho akajengewa kwa kwa razima na serikali nyumba ya mikocheni, so nijambo zuri lakini lakini serikali ikumbuke pia kuwa jengea nyumba wananchi maskini wasio na makazi maana serikali ya afrika kusini inajengea nyumba wananchi wake kwa kila raia anapofikia utuuzima wa miaka 60 anapewa nyumba bure ya kuishi.
Kuuliza haimanishi una roho mbaya zaidi ya kutaka kujua. Kwani hao marais wetu wastafu hawana nyumba nzuri au anajengewa nzuri zaidi kuliko yake. Mzee Ruksa unastahili kabisa
Kazi nzuri sana.
Wapo ambao hawana hata pakuwekea mguguu. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
@jacklinemshana9595
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@petermachondo8285
3 жыл бұрын
Hahaha... Wivu 😂 pole sana
@HASASON
3 жыл бұрын
Fanya kazi acha wivu, masikini wapo na matajiri wapo toka dunia imekuwepo
Tushukuru sisi watoa Kodi mzee wetu
Mashallha safi sana ila muangalie na jicho la tatu kuhusu wa gonjwa wa siyo jiweza wanakufa kisa pesa za matibabu hawana aswa wa gonjwa wa Kansa naupenda tz na mpenda magufuri mitano tena
Kwa nini marahisi wengine kabla ya MAGUFULI walishindwa kujenga nyuma ya Mwinyi mapema? Where was pesa ya serikali?
Hamjui kukinai ila mnasahau kua Kuna umauti pale mnapo pongezwa kwa kuzidishiwa Mali na kusahau wale ambayo Hawana kabisa. Mwendo ni kuondoka na Sanda tu na wa2 kugawana vilivo vyako.
Yaani ukiwa rais Tanzania, ukoo wako wote ni marais!
@petit1078
3 жыл бұрын
Na wote watajengewa nyumba,Daah!😀😀😀
Good ,,,
Hahahahahahahahahaaaa Mzee Mwinyi Bwana. Kwamba nilale pale nikilala ndani nitaivuruga
@hafidhothman4588
3 жыл бұрын
Hahahaah uneliona hilo
Mzee wetu...Mungu azidi kukutunza
Jee wale mafukara wanaoshii kule jangwani huwahitaji nyumba
vizur inapendeza ila msisaau uku kuna shule azina ata milango wala madilisha
@husseinshabani9522
3 жыл бұрын
Wapi?.
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Hussein Shabani chato
@mwajumabakari3730
3 жыл бұрын
Ama kweli mwenye nacho huongezewa mh!
@husseinshabani9522
3 жыл бұрын
@@jevinjacob5439 Akijenga Mnasema kajenga kwao....tulieni Sasa msilalamike.
@chifupromise9575
3 жыл бұрын
@@jevinjacob5439 usimjibu ndg. maisha tumetofautiana sana utakuta mwenzetu shida azijui anasikiaga tu tangu anazaliwa anasoma mainternation chuo ulaya s wa kumlaumu mana awezi kujua maisha tulioishi wengine uku
Urais bwana,mtam kweli
Duh Mungu wangu!
Masha Allah
@marwaabdalla9306
3 жыл бұрын
mgonjwa ww mashallah tena, wizi hawa , maghufuli mwenyeww kujenga kiwanja cha ndege chake mwenyewe, Ali Hassan hana shida ya nyumba wizi nyie, kaburi ndio nyumba ya kudumu
@aishasmoni5881
3 жыл бұрын
Alhamdulillah sikujaliwakaulimbaya katikamudomowangu nigekutukana lakin niboratuh nikuombee dua MUNGU akusamehemakosayako insha Allah
@marwaabdalla9306
3 жыл бұрын
@@aishasmoni5881 tukana tu mshenzi wewe Allah akufufue na madhalimu kama maghufuli na wezi wenziwe siku ya kiama
Da kweli
Sawa mungu awabariki Ila j ;p:m hatumtakiiiii
@mossymtwana6422
3 жыл бұрын
Sema wewe humtaki sio watanzania woote unatukusea wengine
Hata nyerere pia nakumbuka pale mwitongo nyumba yake kajengewa na serikali ya awamubyapili natatu vilke sinakumbukumbu vizuri nipale butiama nawakatibanafariki ulikuwa bado inaendelea kujengwa kuongezaongeza.
🙏🙏🙏
Aise hata mimi nashukuru sana
Yaani wanalipana fadhila hela za masikini
Munapotea Jamani Nyumba ni ya Akhera ni bora mwengempa hizo hela akatoa sadaka na akasaidia maskini na mayatima. Akhera ndio maisha ya milele na milele. Sayyidna Alliy alimwambia tajiri mmoja ambae alitaka kujenga nyumba siku hizo kua maisha yako hapa duniani ni mafupi sana kajenge nyumba yako ya milele kwani maisha ya huko ni mazito sana
Babu kama ulivyo sema 5 tena baada ya 10 iwe Kama zawadi kwakwe mweshimiwa wetu kauli yako ikawe jibu 20 25 aende mpaka 30 afunge kazi
Jumbalotehili mtu anahela sisi huku masikini wenu hatuna hatamitaji hivi mnapitaga mitaani kweli kuonawananchiwenu tunavyoishi hata hela yakula tunakosaga haya mwaya sisi tutawapa kura zetu haina neno
Hongera kutoka Kenya 🇰🇪
Yaani nyumba nzuri hii daaaa
Very good
Dua la kuku halimpati mwewe
Babu Mwinyi nakupenda sana..una busara kama zotee
Manshallah nyumba nzuri jamani hongereni viongozi kwa hili. Nawengine acheni roho za korosho, kwanini, pia inawauma duu.
Wale Wa Kimara Uliwavunjia Nyumba Zao Mbona Huwapi Fidia Zao?
@zeralucyntazimila6600
3 жыл бұрын
Waulize vizuri hakuna mtu ambaye hakulipwa
@fahamnitwahir9249
3 жыл бұрын
@@zeralucyntazimila6600 ww ndio ulikuwa mlipaji?
@bableeyzabdalla531
3 жыл бұрын
@@zeralucyntazimila6600 muongo hakuna alielipwa hule mradi ulikuwa ni ufadhili WA world bank barabara na flyover serikali ikaambiwe wawalipe kwanza kikwete akashindwa pesa zilikuwa nyingi akaachana nayo magufuli kwa kutaka kujionesha ndio akawavunjia barabara haikujengwa wafadhili wakajenga flyover
@volcano-channel4714.
3 жыл бұрын
@@fahamnitwahir9249 nyumba zipi hazijalipwa fidia hebu mtaje
@fahamnitwahir9249
3 жыл бұрын
@@volcano-channel4714. wewe kweli kilaza niwataje ili iweje? Km ingkuwa wamelipwa watu wangellmika? Au hukumbuki mnyika mbele ya rais alilizungumzia hilo kuhusu watu kulipwa
Wazee ni dawa. Huwezi kusahau dawa. Waundiwe baraza lao la taifa la ushauri wa taifa Tumebahatika kuwa nao na tunashukuru wakienziwa na waliopo na watakaokuja madarakani. Hongera awamu ya 5 kumjali Mzee Mwinyi.
Hongera Rais
Wanajengewa watu wasiohitaji nyumba hv kweli mwinyi hawezi kujenga nyumba kwa pension yake kweli? mtoto wake amekuwa waziri wa ulinzi mda leo tz kuna watu wanakosa pa kulala leo ajengewa mstaafu
@claudianusmlokozi7417
3 жыл бұрын
Awa wanatubuluza kaa mingombe kuna watu ela ya chumba elf 40 kwa mwezi kipengele, wao wanapeana tu
@lelekilele2
3 жыл бұрын
@@claudianusmlokozi7417 mwanaume mzima mwezi mzima unakosa 40,000 njoo upige debe mjjni uone ka unakosa kodi..nyie ndo wazembe hii nchi PIGA KAZI
@abelzablon5977
3 жыл бұрын
Mwinyi mwenyewe kawa waziri kabla hajawa rais huu ni wizi
@lelekilele2
3 жыл бұрын
@@abelzablon5977 umekatazwa kutafuta hela zako??
Ila hiii nchi kiboko
Wananchi wa Tanzania wana njaa mnapeana nyumba si bora Hashim Rungwe anawasaidia watu anawapa ubwabwa
Kuna na makuburi tuu msiya sahau
Hii kitu naona ni unyonge maana hao hao ndo wanayonya wa chini afu bado mnawabariki kwa maerufu ya pesa wakat uku watu wanakufa maji
Good
I wish baba yangu angekua raisi😜😜😜😜😜😜😜😜 maana nyumba za kupanga hizi kunguni tupu manina🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Na mkapa ajengewe waishi hata ndugu zao!!!!Pasu kwa Pasu hata kama hayupo!!Kama ipo sawa ila lupaso tumepaona
@roseberryhamoud6542
3 жыл бұрын
Hukusikia au? Mkapa kajengewa kabla ya Mwinyi
Ingelikuwa utakwenda nayo mbele ya Allah ingelikuwa raha sana lakini huko ni ww na matendo yako tu mema yaaraby tujaalie tuzijenge vyema nyumba zetu za akhera ambazo ni za milele kuliko za kidunia za mpito.aamin
@tumainijohn4346
3 жыл бұрын
Ameni
unamshukuru kwani katoa pesa yake au za walipa kodi , mbona wao hujawashuru
Safi
Sasa anapewa nyumba wakati anapewa mshahara ndg zangu hisiyo sawa kwl
Mungu akupe afya JPM
Vijana hamjui kilichokuwa kwa Mzee ruksa akiwa rais kamuulizani mrema akiwa waziri Wa mambo ya ndani alikamata mzigo Wa dhahabu uwanja wa ndege akaambiwa Wa Mzee ukitoroshwa kwenda nje ya nchi. Hamjui hata maana yakuitwa Mzee ruksa mnasifia tu poleni sana kwakulogwa😿😿😿
daa nyumba nzuri sana na ya kifahari sana hongera dr magu,kwa kufanikisha kazi nzuri,unawafariji sana marais wenzio