MAGUFULI AMKABIDHI MSTAAFU MWINYI NYUMBA ILIYOJENGWA na SERIKALI, MWINYI Azungumza - ASANTE HAITOSHI

MAGUFULI AMKABIDHI MSTAAFU MWINYI NYUMBA ILIYOJENGWA na SERIKALI, MWINYI Azungumza - ASANTE HAITOSHI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi Nyumba maalumu iliyojengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria namba 3 ya Mwaka 1999 inayo ainisha ujenzi wa Nyumba maalumu kwa ajili ya marais Mara wanapo Staafu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba 2020
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 619

  • @dianamkita6571
    @dianamkita65713 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kutimiza Sheria ya kuwajengea Marais Wastaafu..Hakika ni jambo jema..

  • @marwaabdalla9306

    @marwaabdalla9306

    3 жыл бұрын

    Musihau tu nyumba ya kaburini wizi nyie, maghufuli yeye kesha jijengea kiwanja cha ndege kwao, sijui nyumba yake, bolioni moja nukta moja , duu noma wizi hawa Mungu akutie mbaroni

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    @@marwaabdalla9306 we nae utakufa masikini.kwa roho yako chafu kiwanja cha chato kimewauma sana na wewe kajenge nyumbani kwako kiwanja cha ndege hiyo ni sheria na hako ya kwa mafao waliyotumikia nchi hii we vp MAISHA yamekupiga stress zako unakuja kumalizia mitandaoni 😂😂😂😂kagombee urais na wewe upate nyumba naona moyo wako unavuja dam kwa roho mbaya

  • @marwaabdalla9306

    @marwaabdalla9306

    3 жыл бұрын

    @@salmaathuman9156 wewe mshenzi ambae Allah kapiga muhuri ndani ya moyo wako, kwahiyo wewe ni kiziwi, kipofu kwahiyo una macho huoni , una masikio husikii mnafiki tu

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    3 жыл бұрын

    @@marwaabdalla9306 wewe Mmbwa koko kumanyoko zako unaweza kufungua domo lako Kama shimo la choo kuniambia mshezg fala wewe tena koma kabisa msange wewe ukweli ndo acha roho mbaya bwege wewe utakufa masikini nguruwe pori tena shika adabu Mmbwa wewe njaa zako peleke huko paka shume wewe nyumba zimejengwa kwa mujibu wa sheria wewe unalalamika mara chato kumejengwa uwanja wa ndege ulitaka wakajenge kwa baba ako pusi wewe

  • @rosetreffert6727

    @rosetreffert6727

    3 жыл бұрын

    @@marwaabdalla9306 wivu utakuua wanastahili hiyo asante uongozi sio ndogo

  • @umiashamzee9701
    @umiashamzee97013 жыл бұрын

    mashalah jazakalah lkheir/Allah akulipe mazuri rais wetu mh . magufuli na team yakoI . Amin Amin barikiwa sana

  • @aludomakori4230
    @aludomakori42303 жыл бұрын

    Huku ni kumuenzi,uongozi c kazi rahisi, ahsante JPM Kwa kukamilisha Hilo pia

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah5853 жыл бұрын

    Asante Serikali ya Tanzania na Rais JPM kwa kutimiza kikamilifu ahadi ya kumjengea Rais Mstaafu Mzee Mwinyi nyumba.

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    3 жыл бұрын

    Sio ahad ni sheria

  • @azizabdallah585

    @azizabdallah585

    3 жыл бұрын

    @@suleimansalym7537 Sio sheria (kwa MzeeMwinyi) Shekh Suleiman. Sheria hiyo ilipitishwa baada ya Rais mstaafu Mwinyi kuondoka madarakani...kwa madaraka alionayo Rais JPM akaona ni uungwana amwingize pia Mzee Mwinyi... Sheria ilishamwacha Mzee Mwinyi na ilianza kutumika kwa Mzee Mkapa.

  • @rosetreffert6727

    @rosetreffert6727

    3 жыл бұрын

    Wanastahili jamani kazi uongozi ni ngumu shida zote za nchi anabeba matusi yote kwao jamani acha aghalao wafutwe machozi kwa hilo

  • @ericapingi8354
    @ericapingi83543 жыл бұрын

    Mzee mstaarabu. Nampenda na anastahili.

  • @jacklinethomas110
    @jacklinethomas1103 жыл бұрын

    Nimejifunza menqi duniani ,ewe mwenyezi munqu tunaishi maisha maqumu duniani,lakini wenqine wanafanya kufuru kwakodi zawanchi masikini,mwenyezi munqu tulinde waja wako,nakuomba mwenyezi munqu unijaalie mwisho mwema amina.

  • @hamulimajeshi1512
    @hamulimajeshi15123 жыл бұрын

    Ni jambo jema kuwajengea marais wastaafu nyumba.... big up.... baada ya kulitumikia taifa...

  • @ambasonkalenga2047

    @ambasonkalenga2047

    3 жыл бұрын

    Hujitambui rafiki waliotuibia matirioni wanajengewa watoto wetu wanakosa mikopo ya elimu ya juu wanamajumba uharabuni. Masikini wanakufa kwamaradhi yanayotibika wamekosa hata bima 70000 tu rais Wa wanyonge au wamatajiri?

  • @severnymlowe6376
    @severnymlowe63763 жыл бұрын

    Kiukweri Magufuri hongera mzee wangu unajitahidi Sana mh mungu awe nawe daima ila ustusahau NJOMBE yetu imelala mh

  • @sakinaamri9529
    @sakinaamri95293 жыл бұрын

    Watu wenye roho za korosho watanung'unika tu

  • @aliakida1831

    @aliakida1831

    3 жыл бұрын

    Lazm tunungunike kw sabab sio sahih n kher wenge jeng shule ingekuwa n bora zaidi

  • @stevek8318

    @stevek8318

    3 жыл бұрын

    Mshahara wa nini basi??

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe58003 жыл бұрын

    RAISI MAGUFULI ASANTE SANA....

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp82243 жыл бұрын

    Ahsante JPM Mungu akutunze miaka mingi 🤝🇹🇿

  • @ivankulola5847

    @ivankulola5847

    3 жыл бұрын

    da

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu50873 жыл бұрын

    😂😂😂 Kama namuona Lisu akiongeza speed ya kuedit nyomi mikutanoni. Kumbe ndo maana kanabishaga na visivyobishika. Anyway pambania kombe mzee baba,Ikulu patamu mno,mnoo,mnoooo..😂😂😂But JPM 5 AGAIN.

  • @evelyinipaja1202

    @evelyinipaja1202

    3 жыл бұрын

    😀😀 Kalufunyange umenichekesha sana." Ikulu patamu"

  • @kalufunyangenyakinyungu5087

    @kalufunyangenyakinyungu5087

    3 жыл бұрын

    @@evelyinipaja1202 😂😂😂

  • @mwaramiissa3553

    @mwaramiissa3553

    3 жыл бұрын

    Ikulu sio wodi. Mtu anaelalamika risasi mda wote hatufai.aende muimbili

  • @husseinally5550
    @husseinally55503 жыл бұрын

    RAISI WETU HANA ROHO MBAYA.Ahsante Rais Magufuli

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Mungu ni mwema sana. Serikali kwa kumuenzi mpendwa wetu Mzee Rais Ali Hassan Mwinyi. Hekima hii ni fahari kwa wapendwa wastaafu Marais wetu na hata viongozi wengine waandamizi kwa kuenziwa pia. Huu ndio uafrika wetu . Pongezi pia Mzee Mwinyi kwa umri mrefu uliojaliwa na Mwenyezi Mungh. Watz tusiwasaha hata wajane wa viongozi wastaafu.

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46653 жыл бұрын

    Acha tuuwane uongozi mtamu jamani hapo anapoishi muda huu penyewe pakishua : hashimu rungwe pambana ndugu yangu .

  • @hamiskengwa5869

    @hamiskengwa5869

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌duh kwel kwel

  • @missangela6720

    @missangela6720

    3 жыл бұрын

    Dah hata kama hutaki kucheka, yaani lazima tu wee mkaka mmh

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @khadeejaabdullah7083

    @khadeejaabdullah7083

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @robertempire9542

    @robertempire9542

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @peterchuwa5880
    @peterchuwa58803 жыл бұрын

    Daaa nyumba nzuri kuzidi ikulu aiseeee 😳😳😳😳😳😳

  • @ivankulola5847

    @ivankulola5847

    3 жыл бұрын

    ana haki yakukaaa

  • @hopesteven9732
    @hopesteven97323 жыл бұрын

    Hongera sana Mh Rais JPM Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu ulifikishe gurudumu la maendeleo salama

  • @zulfaomar8185
    @zulfaomar81853 жыл бұрын

    Waswahili husema "nyongeza huenda kwenye fungu"... Tafuteni maana ya huu msemo kwa aliekua hajaelew.

  • @frankjoseph6609

    @frankjoseph6609

    3 жыл бұрын

    Nafikiri humaanisha aliye nacho ndo huongezewa huwezi ongeza pasipo na kitu

  • @joasitz9559
    @joasitz95593 жыл бұрын

    Asante JPM, waache wanaokubeza na kukuona hufai ipo siku watakukumbuka. Hakuna chama bora chenye kupika viongozi Kama CCM.

  • @ambasonkalenga2047

    @ambasonkalenga2047

    3 жыл бұрын

    Pole kwakutojitambu angejenga madarasa ya shule engesomesha watoto maskini angetengemneza barabara za vijijini angetoa mikopo ya elimu angekuwa vizuri zaidi kwasasababu hao wastaafu wanalipwa mamilioni kila mwezi nawalikomba matirion wakiwa madarakani kama kujenga walishajenga mag hora fa ya kutisha watoto wao wanavyeo vikubwa serikalini wengine wamegomnea hata urais 😱😱😱😱😱😱

  • @davidjovinary4696

    @davidjovinary4696

    3 жыл бұрын

    Acheni siasa kwenye jambo hilo limekaa kisiasa zaidi. Msimamo wa kumchagua LISSU upo palepale. Ni yeye!

  • @maulakaroli8323

    @maulakaroli8323

    3 жыл бұрын

    @@ambasonkalenga2047 roho zenu mbaya hata kama angejenga na kwenu lazima mngechonga tuu shame on u.

  • @maulakaroli8323

    @maulakaroli8323

    3 жыл бұрын

    @@davidjovinary4696 kura yako haitoshi kumpa uraisi huyo mpuuzi bro si wote usitusemee.

  • @joasitz9559

    @joasitz9559

    3 жыл бұрын

    @@maulakaroli8323 kabisa wabongo Wana roho mbaya Sana na hicho ndio kinawauma naona.

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv39143 жыл бұрын

    Hongera sana baba angu mwinyi na serikali yangu ya awamu ya tano👏🏻👏🏻

  • @prosperkullaya4529
    @prosperkullaya45293 жыл бұрын

    Mzeee ruksa ana busara sana

  • @adammwita3150
    @adammwita31503 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri Mkuu 👍

  • @Nedjadist
    @Nedjadist3 жыл бұрын

    Halafu mnashangaa! Wajuao mambo, jee kuna nchi nyingine duniani (hasa maskini) yenye sheria kama hii?

  • @lelekilele2

    @lelekilele2

    3 жыл бұрын

    Maskini wewe nani sisi wa uchumi wakati kama maskini wewe pambana na hali yako

  • @lucasjacob9733
    @lucasjacob97333 жыл бұрын

    Mnazambi nyinyi hakuna maji madalasa mungu anawaona

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus85823 жыл бұрын

    JKT wana uwezo mkubwa wa kukamilisha miradi kwa wakati wapewe miradi yote ya serikali, Wengine ni wababaishaji tu mtu amestaafu miaka 25 iliyopita nyumba anapewa leo? Hongera JPM kwa kuona umuhimu wa wastaafu. 2020 Chagua Magufuli na kazi iendelee

  • @acrestv8636
    @acrestv86363 жыл бұрын

    Mwenye nacho anaongezewa. Haya uliyosema Yesu ndo haya yanatendeka. Maneno yako Yesu hayabadiliki. Itoshe tu kusema Yesu nipe wimbo wa sifa na mm. Hata kodi ya chumba sina. Ila bado nna imani

  • @ibel4lf
    @ibel4lf3 жыл бұрын

    Magufuli acha nikupende tuuu

  • @givenkwayu423

    @givenkwayu423

    3 жыл бұрын

    Umpendee wakatii watu wengne wanaumia na shida tupuu wengine nyumba ya bati hawana mwinyi Ana nyumba nyingi

  • @luhanyamipawantobi6888

    @luhanyamipawantobi6888

    3 жыл бұрын

    @@givenkwayu423 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hivi unakijua cheo kikubwa kuliko vyote duniani wewe!!!! ?? Kwa hiyo mjengewe wote

  • @ibel4lf

    @ibel4lf

    3 жыл бұрын

    GIVEN KWAYU usifosi tufanane

  • @J4UPro

    @J4UPro

    3 жыл бұрын

    @@givenkwayu423 unataka ujengewe na wewe! Gombea urais ushinde halafu usitaafu ndiyo Sheria ikufanyie hicho alichofanyiwa mwinyi

  • @givenkwayu423

    @givenkwayu423

    3 жыл бұрын

    Mkumbo wa kudanganywa na kutotumia akili kufikiri ndo umetufikisha hapa watanzania shame on us.....

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba28623 жыл бұрын

    ni Jambo zuri sana sana na mafao kwa wastaafu wa serikarini nayo yaboreshwe yanaendane na wakati

  • @farhatfarhat3816

    @farhatfarhat3816

    3 жыл бұрын

    Yataboreshwa tu

  • @Saidykj
    @Saidykj3 жыл бұрын

    Wizi wanazidi kutumaliza watanzania

  • @francejoseph454
    @francejoseph4543 жыл бұрын

    Nyumba ya braza mwinyii

  • @kiulajoshua6029
    @kiulajoshua60293 жыл бұрын

    Duuuh kuna baadhi ya maeneo hamn maji,shule wa hosteli za wanafunz hususani wa kike

  • @mohammedmnasi3228

    @mohammedmnasi3228

    3 жыл бұрын

    Nenda ukawajengee na wew sii mtanazania

  • @maulakaroli8323

    @maulakaroli8323

    3 жыл бұрын

    Kajenge na wewe! Unaishi kwa SHEMEJI yako hafu unalalamika maisha ngamia kabisa wewe!

  • @nyotanjemaingarayo5384

    @nyotanjemaingarayo5384

    3 жыл бұрын

    Yote Yana umuhimu wake

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын

    Mashallah ❤

  • @rajabugoa2344

    @rajabugoa2344

    3 жыл бұрын

    Mwaj mambo

  • @mwanajumaomahundumla6504

    @mwanajumaomahundumla6504

    3 жыл бұрын

    @@rajabugoa2344 poa kabisa

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis66843 жыл бұрын

    💯👌🔥✅

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi65843 жыл бұрын

    Ndugu Abdallah hayo ni Maoni sahihi.. watoto Yatima hata wazee wasio Na ndugu wa kuwasitiri. Dunia hii ni mapito. Shukran

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1093 жыл бұрын

    Mzee wa Ruksa✊🏾🇧🇮

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13083 жыл бұрын

    Kuna kila haja kuipongeza serikali kwa kutambua juhudi na jitihada za hawa wastaafu wetu.Mungu awape afya njema wazee wetu.

  • @massoudsultan3926
    @massoudsultan39263 жыл бұрын

    Na zile tablet za KUONGEZA umri tuwapatie waishi 200

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41593 жыл бұрын

    Asanteni Sana....

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын

    Ee Mwenyezi MUNGU nakuomba na Mimi Fungu langu likawe kubwa mbele zako

  • @meddymushimaz4998
    @meddymushimaz49983 жыл бұрын

    Mtu hajachaguliwa kaishawafanya wanachama wenzake mashoga nakaishaweka rasilimali zanchi rehani akichukua nchi inakuwaje japo najua haiwezekani,,,viongozi wazuri wanatoka CCM

  • @davidkaguru9511

    @davidkaguru9511

    3 жыл бұрын

    Unafirwa wewe

  • @HASASON

    @HASASON

    3 жыл бұрын

    @@davidkaguru9511 Lisu ndio anafirwa na wazungu na atakufiria ubeberuni sio Tanzania

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani95223 жыл бұрын

    Kweli nimeamini Mungu Akitupa Uzima tutakuja kulipwa Mishahara kama sio Wajukuu zetu.basi vitukuu vyetu.

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa29873 жыл бұрын

    Splendid hiyo ndio kuheshimiana na kuenzi viongozi wetu haswa wale wasio wadokozi. Hongera Tanzania

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele3503 жыл бұрын

    Duuh hata kama ni sheria😳😳😳

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39853 жыл бұрын

    Hongereni, hii nyumba ukoo mzima unaweza kaa hapo duh

  • @joshuamwangomo2615
    @joshuamwangomo26153 жыл бұрын

    Babu mwinyi was very humble president ever

  • @user-uy8vp1fr7e
    @user-uy8vp1fr7e4 ай бұрын

    Safi sana hii ni heshima kwa Taifa

  • @suzanasimon1169
    @suzanasimon11693 жыл бұрын

    Mnapofanya hayo ya kifahari,kumbukeni na wagonjwa wa Kansa watibiwe bure kwani wanapata shida.

  • @HASASON

    @HASASON

    3 жыл бұрын

    Mbona wagonjwa wa kansa wanatibiwa bure toka Magufuli aingie? Nenda ocean road

  • @totodavis1949
    @totodavis19493 жыл бұрын

    Kweli nikiona utu wa president wa Tanzania naisi African ingekua na uyu mzee magufuli kama president wa African yote ikiwemo Kenya yangu hakika hata wazungu wangetii

  • @chingychingy2066
    @chingychingy20663 жыл бұрын

    Wamjengeee na mama Anna Mkapa kwa niaba ya rais Mkapa

  • @HASASON

    @HASASON

    3 жыл бұрын

    Lupaso alipozikwa nyumba ilijengwa na serikali

  • @japhrystar2597
    @japhrystar25973 жыл бұрын

    SIPATI PICHA LISSU AKIMJENGEA MH.MAGUFULI 🙏

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus453 жыл бұрын

    Kwahiyo Rais wetu mwadilifu kuliko wote Mwl.Nyerere hakuna nyumba ubora kama hii alio jengewa??

  • @saidimoshi1276

    @saidimoshi1276

    3 жыл бұрын

    Nyerere alijengewa nyumba na jeshi kabla hata sheria ya kuwajengea maraisi wastaafu haijapitishwa na alichagua mwenyewe aina anayotaka na sehemu anayotaka akachagua butiama

  • @HASASON

    @HASASON

    3 жыл бұрын

    Alikataa nyumba kubwa kwamba yeye sio tembo

  • @ambasonkalenga2047

    @ambasonkalenga2047

    3 жыл бұрын

    Nyerere alikuwa mzalendo hawa wapiga dili matumbo yao hayajai wanajitungia sheria zakuwanufaisha wao badala ya wtz tunaowachagua

  • @christophermwanilwa7074

    @christophermwanilwa7074

    3 жыл бұрын

    Mnaifahamu Nyumba ya Mwalimu pale Mikocheni? Nadhani aliyejengewa

  • @Skomi-0nedayyes

    @Skomi-0nedayyes

    3 жыл бұрын

    Nyerere alikataa kujengewa nyumba na mwisho akajengewa kwa kwa razima na serikali nyumba ya mikocheni, so nijambo zuri lakini lakini serikali ikumbuke pia kuwa jengea nyumba wananchi maskini wasio na makazi maana serikali ya afrika kusini inajengea nyumba wananchi wake kwa kila raia anapofikia utuuzima wa miaka 60 anapewa nyumba bure ya kuishi.

  • @manungda9955
    @manungda99553 жыл бұрын

    Kuuliza haimanishi una roho mbaya zaidi ya kutaka kujua. Kwani hao marais wetu wastafu hawana nyumba nzuri au anajengewa nzuri zaidi kuliko yake. Mzee Ruksa unastahili kabisa

  • @thisiszai2045
    @thisiszai20453 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana.

  • @mtukwao3195
    @mtukwao31953 жыл бұрын

    Wapo ambao hawana hata pakuwekea mguguu. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.

  • @jacklinemshana9595

    @jacklinemshana9595

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @petermachondo8285

    @petermachondo8285

    3 жыл бұрын

    Hahaha... Wivu 😂 pole sana

  • @HASASON

    @HASASON

    3 жыл бұрын

    Fanya kazi acha wivu, masikini wapo na matajiri wapo toka dunia imekuwepo

  • @petermushy9883
    @petermushy98833 жыл бұрын

    Tushukuru sisi watoa Kodi mzee wetu

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78483 жыл бұрын

    Mashallha safi sana ila muangalie na jicho la tatu kuhusu wa gonjwa wa siyo jiweza wanakufa kisa pesa za matibabu hawana aswa wa gonjwa wa Kansa naupenda tz na mpenda magufuri mitano tena

  • @maridadi8
    @maridadi83 жыл бұрын

    Kwa nini marahisi wengine kabla ya MAGUFULI walishindwa kujenga nyuma ya Mwinyi mapema? Where was pesa ya serikali?

  • @saheedali7467
    @saheedali74673 жыл бұрын

    Hamjui kukinai ila mnasahau kua Kuna umauti pale mnapo pongezwa kwa kuzidishiwa Mali na kusahau wale ambayo Hawana kabisa. Mwendo ni kuondoka na Sanda tu na wa2 kugawana vilivo vyako.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist3 жыл бұрын

    Yaani ukiwa rais Tanzania, ukoo wako wote ni marais!

  • @petit1078

    @petit1078

    3 жыл бұрын

    Na wote watajengewa nyumba,Daah!😀😀😀

  • @peterkabambala2527
    @peterkabambala25273 жыл бұрын

    Good ,,,

  • @mtoto_wa_Mfalme12
    @mtoto_wa_Mfalme123 жыл бұрын

    Hahahahahahahahahaaaa Mzee Mwinyi Bwana. Kwamba nilale pale nikilala ndani nitaivuruga

  • @hafidhothman4588

    @hafidhothman4588

    3 жыл бұрын

    Hahahaah uneliona hilo

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91413 жыл бұрын

    Mzee wetu...Mungu azidi kukutunza

  • @mohammedally977
    @mohammedally9773 жыл бұрын

    Jee wale mafukara wanaoshii kule jangwani huwahitaji nyumba

  • @chifupromise9575
    @chifupromise95753 жыл бұрын

    vizur inapendeza ila msisaau uku kuna shule azina ata milango wala madilisha

  • @husseinshabani9522

    @husseinshabani9522

    3 жыл бұрын

    Wapi?.

  • @jevinjacob5439

    @jevinjacob5439

    3 жыл бұрын

    Hussein Shabani chato

  • @mwajumabakari3730

    @mwajumabakari3730

    3 жыл бұрын

    Ama kweli mwenye nacho huongezewa mh!

  • @husseinshabani9522

    @husseinshabani9522

    3 жыл бұрын

    @@jevinjacob5439 Akijenga Mnasema kajenga kwao....tulieni Sasa msilalamike.

  • @chifupromise9575

    @chifupromise9575

    3 жыл бұрын

    @@jevinjacob5439 usimjibu ndg. maisha tumetofautiana sana utakuta mwenzetu shida azijui anasikiaga tu tangu anazaliwa anasoma mainternation chuo ulaya s wa kumlaumu mana awezi kujua maisha tulioishi wengine uku

  • @patricknanyaro6391
    @patricknanyaro63913 жыл бұрын

    Urais bwana,mtam kweli

  • @wahangaalphons5649
    @wahangaalphons56493 жыл бұрын

    Duh Mungu wangu!

  • @aishasmoni5881
    @aishasmoni58813 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @marwaabdalla9306

    @marwaabdalla9306

    3 жыл бұрын

    mgonjwa ww mashallah tena, wizi hawa , maghufuli mwenyeww kujenga kiwanja cha ndege chake mwenyewe, Ali Hassan hana shida ya nyumba wizi nyie, kaburi ndio nyumba ya kudumu

  • @aishasmoni5881

    @aishasmoni5881

    3 жыл бұрын

    Alhamdulillah sikujaliwakaulimbaya katikamudomowangu nigekutukana lakin niboratuh nikuombee dua MUNGU akusamehemakosayako insha Allah

  • @marwaabdalla9306

    @marwaabdalla9306

    3 жыл бұрын

    @@aishasmoni5881 tukana tu mshenzi wewe Allah akufufue na madhalimu kama maghufuli na wezi wenziwe siku ya kiama

  • @rosesolomon826
    @rosesolomon8263 жыл бұрын

    Da kweli

  • @goddytarime1626
    @goddytarime16263 жыл бұрын

    Sawa mungu awabariki Ila j ;p:m hatumtakiiiii

  • @mossymtwana6422

    @mossymtwana6422

    3 жыл бұрын

    Sema wewe humtaki sio watanzania woote unatukusea wengine

  • @ashrafumohammedi5078
    @ashrafumohammedi50783 жыл бұрын

    Hata nyerere pia nakumbuka pale mwitongo nyumba yake kajengewa na serikali ya awamubyapili natatu vilke sinakumbukumbu vizuri nipale butiama nawakatibanafariki ulikuwa bado inaendelea kujengwa kuongezaongeza.

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97313 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Aise hata mimi nashukuru sana

  • @abelzablon5977
    @abelzablon59773 жыл бұрын

    Yaani wanalipana fadhila hela za masikini

  • @saidrashid5972
    @saidrashid59723 жыл бұрын

    Munapotea Jamani Nyumba ni ya Akhera ni bora mwengempa hizo hela akatoa sadaka na akasaidia maskini na mayatima. Akhera ndio maisha ya milele na milele. Sayyidna Alliy alimwambia tajiri mmoja ambae alitaka kujenga nyumba siku hizo kua maisha yako hapa duniani ni mafupi sana kajenge nyumba yako ya milele kwani maisha ya huko ni mazito sana

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo86723 жыл бұрын

    Babu kama ulivyo sema 5 tena baada ya 10 iwe Kama zawadi kwakwe mweshimiwa wetu kauli yako ikawe jibu 20 25 aende mpaka 30 afunge kazi

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j3 жыл бұрын

    Jumbalotehili mtu anahela sisi huku masikini wenu hatuna hatamitaji hivi mnapitaga mitaani kweli kuonawananchiwenu tunavyoishi hata hela yakula tunakosaga haya mwaya sisi tutawapa kura zetu haina neno

  • @iammarwa
    @iammarwa3 жыл бұрын

    Hongera kutoka Kenya 🇰🇪

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya85373 жыл бұрын

    Yaani nyumba nzuri hii daaaa

  • @maisaalawi5399
    @maisaalawi53993 жыл бұрын

    Very good

  • @hindisaid2413
    @hindisaid24133 жыл бұрын

    Dua la kuku halimpati mwewe

  • @habibaathman7953
    @habibaathman79533 жыл бұрын

    Babu Mwinyi nakupenda sana..una busara kama zotee

  • @rahmajumbe5516
    @rahmajumbe55163 жыл бұрын

    Manshallah nyumba nzuri jamani hongereni viongozi kwa hili. Nawengine acheni roho za korosho, kwanini, pia inawauma duu.

  • @godmremi3558
    @godmremi35583 жыл бұрын

    Wale Wa Kimara Uliwavunjia Nyumba Zao Mbona Huwapi Fidia Zao?

  • @zeralucyntazimila6600

    @zeralucyntazimila6600

    3 жыл бұрын

    Waulize vizuri hakuna mtu ambaye hakulipwa

  • @fahamnitwahir9249

    @fahamnitwahir9249

    3 жыл бұрын

    @@zeralucyntazimila6600 ww ndio ulikuwa mlipaji?

  • @bableeyzabdalla531

    @bableeyzabdalla531

    3 жыл бұрын

    @@zeralucyntazimila6600 muongo hakuna alielipwa hule mradi ulikuwa ni ufadhili WA world bank barabara na flyover serikali ikaambiwe wawalipe kwanza kikwete akashindwa pesa zilikuwa nyingi akaachana nayo magufuli kwa kutaka kujionesha ndio akawavunjia barabara haikujengwa wafadhili wakajenga flyover

  • @volcano-channel4714.

    @volcano-channel4714.

    3 жыл бұрын

    @@fahamnitwahir9249 nyumba zipi hazijalipwa fidia hebu mtaje

  • @fahamnitwahir9249

    @fahamnitwahir9249

    3 жыл бұрын

    @@volcano-channel4714. wewe kweli kilaza niwataje ili iweje? Km ingkuwa wamelipwa watu wangellmika? Au hukumbuki mnyika mbele ya rais alilizungumzia hilo kuhusu watu kulipwa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Wazee ni dawa. Huwezi kusahau dawa. Waundiwe baraza lao la taifa la ushauri wa taifa Tumebahatika kuwa nao na tunashukuru wakienziwa na waliopo na watakaokuja madarakani. Hongera awamu ya 5 kumjali Mzee Mwinyi.

  • @wiganschilima9533
    @wiganschilima95333 жыл бұрын

    Hongera Rais

  • @abdulibatenga7281
    @abdulibatenga72813 жыл бұрын

    Wanajengewa watu wasiohitaji nyumba hv kweli mwinyi hawezi kujenga nyumba kwa pension yake kweli? mtoto wake amekuwa waziri wa ulinzi mda leo tz kuna watu wanakosa pa kulala leo ajengewa mstaafu

  • @claudianusmlokozi7417

    @claudianusmlokozi7417

    3 жыл бұрын

    Awa wanatubuluza kaa mingombe kuna watu ela ya chumba elf 40 kwa mwezi kipengele, wao wanapeana tu

  • @lelekilele2

    @lelekilele2

    3 жыл бұрын

    @@claudianusmlokozi7417 mwanaume mzima mwezi mzima unakosa 40,000 njoo upige debe mjjni uone ka unakosa kodi..nyie ndo wazembe hii nchi PIGA KAZI

  • @abelzablon5977

    @abelzablon5977

    3 жыл бұрын

    Mwinyi mwenyewe kawa waziri kabla hajawa rais huu ni wizi

  • @lelekilele2

    @lelekilele2

    3 жыл бұрын

    @@abelzablon5977 umekatazwa kutafuta hela zako??

  • @priscasanga9341
    @priscasanga93413 жыл бұрын

    Ila hiii nchi kiboko

  • @muradiseifhumoud7880
    @muradiseifhumoud78803 жыл бұрын

    Wananchi wa Tanzania wana njaa mnapeana nyumba si bora Hashim Rungwe anawasaidia watu anawapa ubwabwa

  • @ramadhanisalum2121
    @ramadhanisalum21213 жыл бұрын

    Kuna na makuburi tuu msiya sahau

  • @johfantv1236
    @johfantv12363 жыл бұрын

    Hii kitu naona ni unyonge maana hao hao ndo wanayonya wa chini afu bado mnawabariki kwa maerufu ya pesa wakat uku watu wanakufa maji

  • @kasimujumannekipemba3732
    @kasimujumannekipemba37323 жыл бұрын

    Good

  • @felisterchimtunga7011
    @felisterchimtunga70113 жыл бұрын

    I wish baba yangu angekua raisi😜😜😜😜😜😜😜😜 maana nyumba za kupanga hizi kunguni tupu manina🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan21503 жыл бұрын

    Na mkapa ajengewe waishi hata ndugu zao!!!!Pasu kwa Pasu hata kama hayupo!!Kama ipo sawa ila lupaso tumepaona

  • @roseberryhamoud6542

    @roseberryhamoud6542

    3 жыл бұрын

    Hukusikia au? Mkapa kajengewa kabla ya Mwinyi

  • @alirashid3239
    @alirashid32393 жыл бұрын

    Ingelikuwa utakwenda nayo mbele ya Allah ingelikuwa raha sana lakini huko ni ww na matendo yako tu mema yaaraby tujaalie tuzijenge vyema nyumba zetu za akhera ambazo ni za milele kuliko za kidunia za mpito.aamin

  • @tumainijohn4346

    @tumainijohn4346

    3 жыл бұрын

    Ameni

  • @nassormohammed1743
    @nassormohammed17433 жыл бұрын

    unamshukuru kwani katoa pesa yake au za walipa kodi , mbona wao hujawashuru

  • @shukrankifyasi1500
    @shukrankifyasi15003 жыл бұрын

    Safi

  • @hopejafarson4347
    @hopejafarson43473 жыл бұрын

    Sasa anapewa nyumba wakati anapewa mshahara ndg zangu hisiyo sawa kwl

  • @amnaalshabani2777
    @amnaalshabani27773 жыл бұрын

    Mungu akupe afya JPM

  • @ambasonkalenga2047
    @ambasonkalenga20473 жыл бұрын

    Vijana hamjui kilichokuwa kwa Mzee ruksa akiwa rais kamuulizani mrema akiwa waziri Wa mambo ya ndani alikamata mzigo Wa dhahabu uwanja wa ndege akaambiwa Wa Mzee ukitoroshwa kwenda nje ya nchi. Hamjui hata maana yakuitwa Mzee ruksa mnasifia tu poleni sana kwakulogwa😿😿😿

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba12043 жыл бұрын

    daa nyumba nzuri sana na ya kifahari sana hongera dr magu,kwa kufanikisha kazi nzuri,unawafariji sana marais wenzio

Келесі