Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa

“Mwanamke aliyekuzidi kwa shughuli…hata kwa kimo…ni mama huyo...” - Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ally Hassan Mwinyi akitoa salamu za pole wakati wa maziko ya Hayati John Magufuli.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 162

  • @gracejohn4256
    @gracejohn42563 жыл бұрын

    Kama Bado unairudia hotuba ya Mzee wetu gonga like😂😂😂

  • @housnayousif780

    @housnayousif780

    3 жыл бұрын

    Tupo mamy

  • @sumashunda9711
    @sumashunda97113 жыл бұрын

    Hongera Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kwa vitendo. Umemtumbua Waziri wa TAMIISEMI kwasababu ya kutoajibika ipasavyo. Wote Wanaofanya rushwa waondolewe. Tunahitaji serikali yakutekeleza Kazi zilizopangwa.

  • @matagilimbigili3018
    @matagilimbigili30183 жыл бұрын

    Mungu mjalie maisha marefu mzee wetu Ally Hassan Mwinyi aendelee kuwepo kwa Faraja na maliwazo sisi wajukuu zake waTz

  • @isackkamondo7042
    @isackkamondo70423 жыл бұрын

    Amewainua wamachinga, kamemsumbua kutamka mzee wetu. Like kwa mzee wetu...

  • @linuscharles964
    @linuscharles9643 жыл бұрын

    Tanzania yangu nchi yangu. I love you Tanzania

  • @samsonjudith3425
    @samsonjudith34253 жыл бұрын

    Tunakupenda Sana doctor Ally Hassan Mwinyi Rais WA pili WA Tanzania mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice20573 жыл бұрын

    Kweli tuna uzuni sana, lakini nimemfurahiya huyu mzee🤩 kwa ku mchekesha kidogo mama yetu mjane Janeti Magufuli. Mama ujipe moyo MUNGU anaweza yote, faraja pia ni kwake👏👏👏

  • @officer1208

    @officer1208

    3 жыл бұрын

    Sawa Furaha Beatrice

  • @happinesskebaso8911

    @happinesskebaso8911

    3 жыл бұрын

    @@officer1208 a

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor86883 жыл бұрын

    Mwinyiiiiiiiiii dah Allah akupe kheri kwa kusuuza nafsi za watu Allah akupe afyanjema na umri mrefu wa baraja

  • @zainababdulrahman9246
    @zainababdulrahman92463 жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah Allah akujalie afya njema mzee bodyguard ana kazi hadi ya kumsaidia kuongea maneno mazuri babu Muheshimiwa Rais usimchoke msikilize😊

  • @leoniammasi6634
    @leoniammasi66343 жыл бұрын

    Nimefurahi sana mzee wetu mwinyi umejua kutufuta machoz. Mungu akupe baraka na maisha marefu

  • @nyirigirajbosco3250
    @nyirigirajbosco32503 жыл бұрын

    Mzee Mwinyi ni Mzee kijana kabisa hapa🇷🇼🇷🇼 tunampenda sanaaaa👍🏻👍🏻

  • @adelen9937
    @adelen99373 жыл бұрын

    Mzee Mwinyi 🙏🙏🙏kwa humri huu atumie miwani???✌✌✌shikamoo mzee mungu hakujali.

  • @ibrahimjoseph2789

    @ibrahimjoseph2789

    3 жыл бұрын

    Umeona mimi mwenyewe nimekoma iki chuma hakina gongo wala mawani na anasoma kaaaaa🇹🇿✋✋🕋

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio99223 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu Rais wate, mzee wetu tunakuhitaji uweze kukemea tunapopotoka.

  • @georgerichard9590
    @georgerichard95903 жыл бұрын

    Kiswahili cha mzee kizuri sana..kinavutia kusikiliza

  • @abubakarshoka3799

    @abubakarshoka3799

    3 жыл бұрын

    Unguja mjina ndiyo.kunako.ongewa kiswahiki fasaha

  • @shamzone388

    @shamzone388

    3 жыл бұрын

    @@abubakarshoka3799 kiswahili fasaha kipo kwa watu wa pwani sio zanzibar tanga dares salaam tuna kiswahili sahihi

  • @mbandedenis575
    @mbandedenis5753 жыл бұрын

    Uzee wote huu bado anasoma bila miwan hongera yako.

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo6 ай бұрын

    Ni wewe uliumia mzee lakini watu wengine walifurahi,😭😭😭😭😭

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay97763 жыл бұрын

    Mzee wa ruksaaaaaaa. Stay safe n healthy mr president Mwinyi😅🥰😍🤩😛❤❤❤❤💕💕💕💞💓💗💖❣❣

  • @japharjuma3504
    @japharjuma35043 жыл бұрын

    Mashaa Allah mzee wetu Allah akupe maisha marefu Inshaa Allah

  • @kassabilahmakalala3121

    @kassabilahmakalala3121

    3 жыл бұрын

    Mungu amlaze pema rais wetu

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    3 жыл бұрын

    Hadhina ya taifa tutakuenze Allah akupe mwisho mwema

  • @user-gy8no9js2u
    @user-gy8no9js2u4 ай бұрын

    Tunaongalia 2024 tujuane

  • @JumaMvungi-ot4ef

    @JumaMvungi-ot4ef

    3 ай бұрын

    Kabisa

  • @omarimzora5640
    @omarimzora56403 жыл бұрын

    Musikilize mzee Mwinyi yani pamoja na msiba, utacheka utafurahi! Mungu azidi kumpa maisha marefu babu wetu wa faraja

  • @browskymuba6923
    @browskymuba69233 жыл бұрын

    Mungu akulinde rais mama weye amin ya rabi 😭

  • @marympemba1829
    @marympemba18293 жыл бұрын

    Asante baba kwa kuwafariji wafiwa na watanzania wote 🙏🙏

  • @matagilimbigili3018
    @matagilimbigili30183 жыл бұрын

    Hongera mzee kwa kuwa na afya njema hasa macho yenye uwezo wa kuona bila miwani

  • @ClemenceMwenda
    @ClemenceMwenda Жыл бұрын

    Mungu ibariki tanzania uwabariki na viongozi wake🙏🙏🙏

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 жыл бұрын

    Alisimama kidete kuimarisha na kutetea uzalendo wa kiafrika ki siasa, ki jamii na ki uchumi na kupelekea Kiswahili kupendwa na kutukuzwa kiasi cha kupelekea kufanywa kuwa ndio lugha rasmi ya nchi nyingi za Africa.

  • @daudiangolwisye8473
    @daudiangolwisye84733 жыл бұрын

    Mungu akujarie maisha marefu Babu

  • @nuruhashimu7675
    @nuruhashimu7675 Жыл бұрын

    Panaitwaje APA Aaah chato mzee Wa ruksa maisha marefu

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi64283 жыл бұрын

    Man of the match msibani

  • @amit77

    @amit77

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @samuelalushula3364
    @samuelalushula33643 жыл бұрын

    A graceful old man, still strong!

  • @fredrickkibuba4627
    @fredrickkibuba46273 жыл бұрын

    Wajukuu wakikaa na Mababu zao ua wanafurahia kwa maneno ya Babu Yao. ONGERA Mzee Mwinyi Mungu akupe miaka mingi.

  • @rukiaali9183
    @rukiaali91833 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu mzee wetu

  • @abuukhubeyb2763

    @abuukhubeyb2763

    3 жыл бұрын

    Wenye kheri na yeye sio mrefu tu

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota35893 жыл бұрын

    Nataman sana mzee mwinyi hata ungekua babu yangu tuwe tunacheka tuu jaman Mungu akuweke

  • @simondangote3245
    @simondangote32453 жыл бұрын

    Panaitwaje hivi hapa🤣🤣 asante babu

  • @Directorjax55
    @Directorjax553 жыл бұрын

    Asante BABA YETU KIONGOZ WETU MZEE WETU MSTAAFU n kweli tumepotewa na Kiongoz Bora Rais wawanyonge ama kweli inauma sn Ila bas tumwachie MUNGU WATANZANIA tuzdn kujipa pole na kujipa Moyo wa huruma

  • @luberengaerisa7437
    @luberengaerisa74373 жыл бұрын

    Thanks fomer presidol of tz

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta4 ай бұрын

    Mzee alitoa ya moyoni hasa. Na alimkubali sana Magufuli. Sasa wewe unayeponda kazi za Magufuli unataka kubishana na huyu mzee aliyeshika uraisi pande zote mbili za muungano.

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta62583 жыл бұрын

    Mzee fundi sana huyu

  • @fatmamashua4789
    @fatmamashua47893 жыл бұрын

    Hongera bwana bodyguard inabidi aisome hotuba na awe makini kumsikiliza mzee wetu

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza3 жыл бұрын

    Love you Mwinyi

  • @gracejohn4256
    @gracejohn42563 жыл бұрын

    Alli Hassan mwinyi oyeeee

  • @mahabsaid5324
    @mahabsaid53243 жыл бұрын

    Mzee who transformed Tanzania for the late to stabilize the government to serve it's citizens.Hongera Mzee Mwinyi

  • @geemushy1714
    @geemushy17143 жыл бұрын

    Mwiny tunakutakia Kila la kher mung akulinde umemfarij mjane janeth magfuli

  • @VictorChesaro
    @VictorChesaro4 ай бұрын

    Great speech. Rest in peace great man ❤

  • @dizzobnoor8609
    @dizzobnoor86093 жыл бұрын

    maisha marefu kwake

  • @godelivamuswahili2988
    @godelivamuswahili29883 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏

  • @mwajumaomari4383
    @mwajumaomari43833 жыл бұрын

    Allah akbar Mzee umeleta faraja mungu akuongezee umri

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja79923 жыл бұрын

    Kweli Jungu kuu halikosi ukoko. Yaani katika hotuba zote watu hawakutabasamu kwa takribam week, ni vilio tuu vilikuwa. Ila wewe umekuja watu tumeona meno yao kwa mara ya kwanza hata ya mama mfiwa. Daah! Kweli uzee si mvi ni akili.

  • @riccohtiller8999

    @riccohtiller8999

    3 жыл бұрын

    tet

  • @daudiangolwisye8473
    @daudiangolwisye84733 жыл бұрын

    Miongoni mwa viongozi na wazee bora na hawatumii miwani kwa umri huu mzee mwinyi in bora sana

  • @mussakidangi5510
    @mussakidangi55104 ай бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu mwinyi.comrade

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga58664 ай бұрын

    Mwinyi alikuwa muungwana sana,Mungu amrehemu huko alipo

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula42543 жыл бұрын

    Babu yetu mwinyi

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61264 ай бұрын

    RIP, GOOD SPEECH

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin7114 ай бұрын

    Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa yake baba aitu wa taifa Allah anhehemu amlahemu

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial34153 жыл бұрын

    Mji bila wazee haiwezekani

  • @rosemaryw2b
    @rosemaryw2b3 жыл бұрын

    Safi sana Mzee wetu Mwinyi 👏👏👏... Wazee ni hazina ya Taifa

  • @harunabdallah1
    @harunabdallah13 жыл бұрын

    Allah awalinde viongozi wetu hawa

  • @mariammmbaga976
    @mariammmbaga9764 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @anochrisskatabazirwe3861
    @anochrisskatabazirwe38613 жыл бұрын

    Nice mzeee

  • @danieldafaa981
    @danieldafaa9813 жыл бұрын

    Huyu mwenetu anaitwaje vilee?

  • @victorkabingo888
    @victorkabingo8883 жыл бұрын

    Babu yuko poaaa mzee ruksa uyooo

  • @majutojackson5718
    @majutojackson57183 жыл бұрын

    kumchekesha mjane aliefiwa na mumewe!tena rais

  • @user-yy9ob9dg6l
    @user-yy9ob9dg6l4 ай бұрын

    Good memories and is strikes 7:27

  • @felicianbwinyende4884
    @felicianbwinyende48843 жыл бұрын

    Mwinyi mi5 tena

  • @samwellwiza1098

    @samwellwiza1098

    3 жыл бұрын

    Wee!! Acha kumtania babu yetu bhana...alishakuambia siku hizi anasahau..tukimpa mitano atakuja kujisahau kuwa yeye ni rais..halafu unatarajia nini 🤝🤣🤣🤣🤣

  • @bahathnyoni6994

    @bahathnyoni6994

    3 жыл бұрын

    Kenge

  • @josiahkessy6660
    @josiahkessy66603 жыл бұрын

    Good

  • @saimonmolel7089
    @saimonmolel70893 жыл бұрын

    Uzee mwema ni hazina njema.

  • @majutojackson5718
    @majutojackson57183 жыл бұрын

    Mzee amejua kutupunguzia huzuni, kucheka kwenye majonzi makubwa mzee ulitusahaulisha kwa muda

  • @daudmaganga5719
    @daudmaganga57193 жыл бұрын

    Daaah

  • @leonardfabian4584
    @leonardfabian45843 жыл бұрын

    Buriani Baba Magufuli

  • @mkaligreen1875
    @mkaligreen18753 жыл бұрын

    Ilike that thank you azam tv

  • @mkaligreen1875

    @mkaligreen1875

    3 жыл бұрын

    Good nice to here you

  • @mkaligreen1875

    @mkaligreen1875

    3 жыл бұрын

    Good nice to here you

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy68224 ай бұрын

    Pumzika Kwa amani Mzee Ali Hassan Mwinyi..tumekupenda sana..mtu mwema na muungwana sana.. Allah akupe kauli thabiti insha Allah

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99442 жыл бұрын

    Kicheko cha kwanza baada ya week nzima ya majonzi. Kweli wazee ni dawa.

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo6 ай бұрын

    Mzee anatambua lakini wajanja hawatambui, pole baba

  • @joshuakalinga344
    @joshuakalinga3443 жыл бұрын

    Alie sikia kwamba sisi tulikua nakaubairi aweke like hapa👇

  • @joshuakalinga344

    @joshuakalinga344

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwinyi nikiboko yao tulikua nakaubairi

  • @khalekichambo1131

    @khalekichambo1131

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe22723 жыл бұрын

    Fulaha kwenye huzuni Asante nzee wetu kwakutufaliji msibani🙏🙏

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily854 ай бұрын

    Kenyaaa chukuweeeni mfano wa mzee mwinyii kwa kuitangamanishhaa nchi kwa upend woo na Amani na imani….nchi ipateee kuendeleyaaaa….

  • @johnkakui7255
    @johnkakui72553 жыл бұрын

    God bless you guys

  • @bahaliasimango3034
    @bahaliasimango30343 жыл бұрын

    Ukitenda mema hapa duniani utaishi marefu kama mzee mwinyi.

  • @jacklinekanunu4667
    @jacklinekanunu46673 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 babu yetu umejua kutufurahisha hata kama tunamajonzi yamepungua kupitia hotuba yako mungu akuongezee umri mrefu zaidi.

  • @makamejuma2061
    @makamejuma20613 жыл бұрын

    I hi

  • @sasamama7934
    @sasamama79343 жыл бұрын

    Ata sisi pia tumeemewa kwa huzni moaka leo 🇴🇲

  • @annageorge9725

    @annageorge9725

    3 жыл бұрын

    Jina lake liimidiwe.

  • @SamuelChege-rt4vl
    @SamuelChege-rt4vl4 ай бұрын

    .mzee anaye ongea kwa ukakamavu mwingi sana

  • @glennmajanga57
    @glennmajanga574 ай бұрын

    Great Man. May his soul rest in erternal peace.

  • @rashidhassan6899
    @rashidhassan68993 жыл бұрын

    Somo

  • @joshuaalsel5828
    @joshuaalsel58283 жыл бұрын

    Pamoja na kwamba mimi si mtanzania, ila nashangaa kuamini ma rais watanzania wenye agenda ya africa ni wakristo na nasikitika tanzania kubaki mikononi mwa viongozi wastafu wote wa islam, kwanini iwe ivo, naweza nikaeleweka kuwa mbaguzi ila sielewi kwanini fikra kama hizi zinijie. Que Dieu me pardone

  • @shafiijafari3680

    @shafiijafari3680

    2 жыл бұрын

    Unawaza mini mbona majibu unayooo

  • @pavillioncry5241

    @pavillioncry5241

    2 жыл бұрын

    We nguruwe acha usenge na ubaguz

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    2 жыл бұрын

    Joshua Alsel, nimekuelewa Sana Ila ukitaka kuishi umri mrefu nakushauri mfuate na kumuabudu Mungu wa kweli.

  • @samwelipmbise3877

    @samwelipmbise3877

    2 жыл бұрын

    @@wazirisaid8326 Mungu wa kweli ni yupi?

  • @wazirisaid8326

    @wazirisaid8326

    2 жыл бұрын

    @@samwelipmbise3877 Ni yuke alieumba mbingu na Ardhi pamoja na vitu vyote vilivyomo kati yake wakiwemo viumbe vyote vinavyoishi au vilivyo wahi kuishi ulimwenguni. Mungu wa kweli hajazaa Wala kuzaliwa na Hakuna mfano wake Bali ameumba vitu vingi kwa mfano wake autakao!Na hapa ndipo watu wanapojichanganya na kuhusu kuwa wao wanafanana na Mungu.Mungu Huyu hawahi kuka,kunywa,kwenda chooni, kushindwa, kuomba msaada Wala kulia machozi.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36094 ай бұрын

    Mama Siti yuko pale panaitwaje vile hapa? (Chato)

  • @zamhatjuma5015
    @zamhatjuma50153 жыл бұрын

    Ama kweli ishi uzomewe kufa usifiwe.

  • @ramahamis5793

    @ramahamis5793

    3 жыл бұрын

    Kweri kbs siku zote ukifa ndo unasifiwa

  • @nelsonimtaturu8115

    @nelsonimtaturu8115

    3 жыл бұрын

    kweli kabsa yaani

  • @alhaji6094
    @alhaji60943 жыл бұрын

    Babu wetu wa Taifa❤️

  • @mwengatv3058
    @mwengatv30583 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂hii ni zaid ya comedy

  • @bornthagylife3802
    @bornthagylife38023 жыл бұрын

    Malkiaasamiaa unafaaa kutuongozatz

  • @ashafundi2941

    @ashafundi2941

    3 жыл бұрын

    Mungu akulinde mzee wetu

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita29953 жыл бұрын

    Uzee dawa

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Mtu mzima dawa

  • @edgaribrahim3931
    @edgaribrahim39313 жыл бұрын

    Mmezingua sijaona inatosha apo

  • @ntuzuboy7342
    @ntuzuboy73423 жыл бұрын

    Mzee wa busara

  • @marckocharless4682
    @marckocharless46823 жыл бұрын

    . .

  • @jasmnjoseph6331
    @jasmnjoseph63312 жыл бұрын

    Mitindo nywe

  • @muminually2846
    @muminually28463 жыл бұрын

    O

  • @gracepatrick6389
    @gracepatrick63893 жыл бұрын

    😂😂

  • @ommyakili552
    @ommyakili5523 жыл бұрын

    Board guard wa Hussein Mwinyi hana mbavu

  • @roberttyeflo6316

    @roberttyeflo6316

    3 жыл бұрын

    Hahaa

  • @user-kw3qv6uo3x
    @user-kw3qv6uo3x4 ай бұрын

    Mazishi yamwiny

  • @user-kw3qv6uo3x
    @user-kw3qv6uo3x4 ай бұрын

    Mazishi yamwiny I

Келесі