HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017

Пікірлер: 111

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Жыл бұрын

    Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.

  • @onelovetz7935

    @onelovetz7935

    Жыл бұрын

    Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas9722 жыл бұрын

    Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge

  • @frans_dede
    @frans_dede3 жыл бұрын

    Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100

  • @mathewben6833
    @mathewben68333 жыл бұрын

    Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka

  • @peterkabigi
    @peterkabigi7 жыл бұрын

    Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.

  • @pizzaboy3640

    @pizzaboy3640

    2 жыл бұрын

    HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M

  • @motelalasem6755
    @motelalasem67552 жыл бұрын

    Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96513 жыл бұрын

    Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv85097 жыл бұрын

    Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.

  • @ismailkipalanga2812
    @ismailkipalanga28123 жыл бұрын

    Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli

  • @davidcharles5674
    @davidcharles56747 жыл бұрын

    this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS

  • @hajiissa9200
    @hajiissa92007 жыл бұрын

    hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio

  • @omarisalimu366

    @omarisalimu366

    7 жыл бұрын

    Amiin

  • @omarisalimu366

    @omarisalimu366

    7 жыл бұрын

    Amiin

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84993 жыл бұрын

    Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲

  • @tatulalia8211
    @tatulalia8211 Жыл бұрын

    That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kelvinchadulaga310
    @kelvinchadulaga3102 жыл бұрын

    RIP mwamba wa african

  • @fettysalum8290
    @fettysalum82907 жыл бұрын

    Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz

  • @Lex_review
    @Lex_review7 жыл бұрын

    one day they will value your presidency

  • @abdallahmngoi8538

    @abdallahmngoi8538

    7 жыл бұрын

    dulamatelephone

  • @Zamb90

    @Zamb90

    3 жыл бұрын

    The time is now bro

  • @felexmaphie8677

    @felexmaphie8677

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @felexmaphie8677

    @felexmaphie8677

    3 жыл бұрын

    Am just realising your comment sir.

  • @alfredjustinian9753
    @alfredjustinian97533 жыл бұрын

    Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe

  • @rozinajumbe4237
    @rozinajumbe4237 Жыл бұрын

    Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 Жыл бұрын

    Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima

  • @heridadia9634
    @heridadia96343 жыл бұрын

    R.i.p JPM 😭😭

  • @denismsanzya7145
    @denismsanzya7145 Жыл бұрын

    Upumzike kwa amani kaka yetu

  • @offblogmedia
    @offblogmedia Жыл бұрын

    Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)

  • @geopolitics94
    @geopolitics943 жыл бұрын

    Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 Жыл бұрын

    Yohana E Biby

  • @Dantaata
    @Dantaata Жыл бұрын

    hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi

  • @adelaidaruta2930
    @adelaidaruta29302 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima

  • @abdallahmngoi8538
    @abdallahmngoi85387 жыл бұрын

    mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana

  • @ISSAMITWE-iq1bo
    @ISSAMITWE-iq1bo8 ай бұрын

    sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Жыл бұрын

    Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,

  • @sethmotto4513
    @sethmotto45132 жыл бұрын

    Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 Жыл бұрын

    Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery57983 жыл бұрын

    Nimemis Hii sauti kiukweli...!

  • @januaryevarist2093
    @januaryevarist2093Ай бұрын

    Hii is miss you Dr jonh

  • @mrishoselemani7521
    @mrishoselemani75217 жыл бұрын

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate Жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @mgeni1233
    @mgeni1233 Жыл бұрын

    Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Жыл бұрын

    Sawa bac ninaumia sana nikifikiri

  • @lgatura
    @lgatura2 жыл бұрын

    Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP

  • @tgeofrey
    @tgeofrey7 жыл бұрын

    Kimenuka Shamba la Bibi

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye69327 жыл бұрын

    lema uko wapi? mbona husemi?

  • @dct4lif

    @dct4lif

    7 жыл бұрын

    Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Жыл бұрын

    Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia

  • @konzerasokoni1773
    @konzerasokoni17732 жыл бұрын

    Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late

  • @lameckmulokozi4685
    @lameckmulokozi46852 жыл бұрын

    Tutakuenzi baba lala kwa hamn

  • @adammrisho1990
    @adammrisho19909 ай бұрын

    Mpl

  • @moshykimario7601
    @moshykimario76012 жыл бұрын

    The life time president

  • @veromakoe5017
    @veromakoe5017 Жыл бұрын

    Mm

  • @nuhunyambulapi5320
    @nuhunyambulapi53202 жыл бұрын

    We missed you today Mwamba

  • @arjunelly540

    @arjunelly540

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Inauma jamn

  • @godfreykwejah
    @godfreykwejah Жыл бұрын

    Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62533 жыл бұрын

    Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa

  • @JacobAlexander-sc1oh
    @JacobAlexander-sc1oh3 ай бұрын

    sna la kusema kizuri hakidumu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @blackmartin2395
    @blackmartin2395 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza

  • @abushirikijaji4014
    @abushirikijaji40142 жыл бұрын

    Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Жыл бұрын

    Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas64342 жыл бұрын

    We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!

  • @clementmentusela171
    @clementmentusela171 Жыл бұрын

    In

  • @paulcosmas8031
    @paulcosmas8031 Жыл бұрын

    Pumzika kwa aman baba

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack37127 жыл бұрын

    nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba

  • @dmstephano8643
    @dmstephano86436 жыл бұрын

    Jamen

  • @bizzosela6186
    @bizzosela61863 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @elipidiuskweyamba1394
    @elipidiuskweyamba1394 Жыл бұрын

    RIP

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni8595 Жыл бұрын

    Shujaa hutasahao lika milele lala salama

  • @daudikapange9203
    @daudikapange9203 Жыл бұрын

    😢

  • @halajanyerere3512
    @halajanyerere35122 жыл бұрын

    Jpm rest in peace

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Жыл бұрын

    Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj2 жыл бұрын

    Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?

  • @avitimushi1541
    @avitimushi15417 жыл бұрын

    The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania

  • @johnnestory9970
    @johnnestory9970 Жыл бұрын

    JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿

  • @sadamkuntukumu3672
    @sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын

    Kwanin samia suluhu afanyi hivi

  • @hermanisaay1904
    @hermanisaay19042 жыл бұрын

    Itv

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara88453 ай бұрын

    Jeembehiro bwana pumzika salama

  • @elishebawerema7155
    @elishebawerema71552 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @allykingu1752
    @allykingu17523 жыл бұрын

    Jembe toka chato?

  • @maluhismadila9593
    @maluhismadila9593 Жыл бұрын

    Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba

  • @vandamemaress1350
    @vandamemaress13503 жыл бұрын

    Og

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын

    This guy was a legend

  • @msandigeorge8355

    @msandigeorge8355

    Жыл бұрын

    Was.

  • @paulkapele2797
    @paulkapele2797 Жыл бұрын

    Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag

  • @clausemanuel9891
    @clausemanuel98917 жыл бұрын

    daaah

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 Жыл бұрын

    Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye69327 жыл бұрын

    nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni

  • @isackkubimba819
    @isackkubimba819 Жыл бұрын

    Dodoma

  • @innocentmalingumu1541
    @innocentmalingumu1541 Жыл бұрын

    Pumuzika xalamal rais

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye69327 жыл бұрын

    je hicho chombo kina uzwa bei gani?

  • @zawadix9574

    @zawadix9574

    7 жыл бұрын

    Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb

  • @emmanuelshilinde2512
    @emmanuelshilinde2512 Жыл бұрын

    JPM

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile2753 жыл бұрын

    bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa

  • @user-vh2pe9lu1v
    @user-vh2pe9lu1v10 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊

  • @user-vh2pe9lu1v

    @user-vh2pe9lu1v

    10 ай бұрын

    😊😊😊😊😅

  • @user-vh2pe9lu1v

    @user-vh2pe9lu1v

    10 ай бұрын

    😊😊😊😊

  • @user-vh2pe9lu1v

    @user-vh2pe9lu1v

    10 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊

  • @user-vh2pe9lu1v

    @user-vh2pe9lu1v

    10 ай бұрын

    😊

  • @user-vh2pe9lu1v

    @user-vh2pe9lu1v

    10 ай бұрын

    😊 17:04 😊😊😊

  • @bumsnyagenda9639
    @bumsnyagenda96393 жыл бұрын

    Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga Ila upo sahihi mzee

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 Жыл бұрын

    Yohana E Biby

  • @nicholaus6859
    @nicholaus6859 Жыл бұрын

    Tuta kukumbuka baba

Келесі