HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU
HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017
Жүктеу.....
Пікірлер: 111
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
@onelovetz7935
Жыл бұрын
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
@alfredlucas9722 жыл бұрын
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
@frans_dede3 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
@mathewben68333 жыл бұрын
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
@peterkabigi7 жыл бұрын
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
@pizzaboy3640
2 жыл бұрын
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
@motelalasem67552 жыл бұрын
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
@yusuphwella96513 жыл бұрын
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
@mbokaandbahatitv85097 жыл бұрын
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
@ismailkipalanga28123 жыл бұрын
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
@davidcharles56747 жыл бұрын
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
@hajiissa92007 жыл бұрын
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
@omarisalimu366
7 жыл бұрын
Amiin
@omarisalimu366
7 жыл бұрын
Amiin
@munaahmed84993 жыл бұрын
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
@tatulalia8211 Жыл бұрын
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kelvinchadulaga3102 жыл бұрын
RIP mwamba wa african
@fettysalum82907 жыл бұрын
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
@manstiko5890 Жыл бұрын
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
@heridadia96343 жыл бұрын
R.i.p JPM 😭😭
@denismsanzya7145 Жыл бұрын
Upumzike kwa amani kaka yetu
@offblogmedia Жыл бұрын
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
@geopolitics943 жыл бұрын
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
@yohanabiby3581 Жыл бұрын
Yohana E Biby
@Dantaata Жыл бұрын
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
@adelaidaruta29302 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
@abdallahmngoi85387 жыл бұрын
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
@ISSAMITWE-iq1bo8 ай бұрын
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
@sethmotto45132 жыл бұрын
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
@kamuchidyblez2136 Жыл бұрын
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
@farajastudioandstationery57983 жыл бұрын
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
@januaryevarist2093Ай бұрын
Hii is miss you Dr jonh
@mrishoselemani75217 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
@kikosikaziupdate Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@mgeni1233 Жыл бұрын
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
@lgatura2 жыл бұрын
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
@tgeofrey7 жыл бұрын
Kimenuka Shamba la Bibi
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
lema uko wapi? mbona husemi?
@dct4lif
7 жыл бұрын
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
@karimmveyange280 Жыл бұрын
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
@konzerasokoni17732 жыл бұрын
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
@lameckmulokozi46852 жыл бұрын
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
@adammrisho19909 ай бұрын
Mpl
@moshykimario76012 жыл бұрын
The life time president
@veromakoe5017 Жыл бұрын
Mm
@nuhunyambulapi53202 жыл бұрын
We missed you today Mwamba
@arjunelly540
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Inauma jamn
@godfreykwejah Жыл бұрын
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
@lindambilinyi62533 жыл бұрын
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
@JacobAlexander-sc1oh3 ай бұрын
sna la kusema kizuri hakidumu
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@blackmartin2395 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
@abushirikijaji40142 жыл бұрын
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
@kakamau0384 Жыл бұрын
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
@jonasjaphetthomas64342 жыл бұрын
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
@clementmentusela171 Жыл бұрын
In
@paulcosmas8031 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba
@danielimeshack37127 жыл бұрын
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
@dmstephano86436 жыл бұрын
Jamen
@bizzosela61863 жыл бұрын
😭😭😭
@elipidiuskweyamba1394 Жыл бұрын
RIP
@susannaikuni8595 Жыл бұрын
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
@daudikapange9203 Жыл бұрын
😢
@halajanyerere35122 жыл бұрын
Jpm rest in peace
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
@Joseph-lu4yj2 жыл бұрын
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
@avitimushi15417 жыл бұрын
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
@johnnestory9970 Жыл бұрын
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
@sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
@hermanisaay19042 жыл бұрын
Itv
@mudhihirugara88453 ай бұрын
Jeembehiro bwana pumzika salama
@elishebawerema71552 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@allykingu17523 жыл бұрын
Jembe toka chato?
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
@vandamemaress13503 жыл бұрын
Og
@liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын
This guy was a legend
@msandigeorge8355
Жыл бұрын
Was.
@paulkapele2797 Жыл бұрын
Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag
@clausemanuel98917 жыл бұрын
daaah
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
@isackkubimba819 Жыл бұрын
Dodoma
@innocentmalingumu1541 Жыл бұрын
Pumuzika xalamal rais
@ramadhanndemeye69327 жыл бұрын
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
@zawadix9574
7 жыл бұрын
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb
Пікірлер: 111
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
@onelovetz7935
Жыл бұрын
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
@pizzaboy3640
2 жыл бұрын
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
@omarisalimu366
7 жыл бұрын
Amiin
@omarisalimu366
7 жыл бұрын
Amiin
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
RIP mwamba wa african
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
one day they will value your presidency
@abdallahmngoi8538
7 жыл бұрын
dulamatelephone
@Zamb90
3 жыл бұрын
The time is now bro
@felexmaphie8677
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@felexmaphie8677
3 жыл бұрын
Am just realising your comment sir.
Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
R.i.p JPM 😭😭
Upumzike kwa amani kaka yetu
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
Yohana E Biby
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
Hii is miss you Dr jonh
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
Tutakukumbuka daima
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
Kimenuka Shamba la Bibi
lema uko wapi? mbona husemi?
@dct4lif
7 жыл бұрын
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
Mpl
The life time president
Mm
We missed you today Mwamba
@arjunelly540
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Inauma jamn
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
sna la kusema kizuri hakidumu
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
In
Pumzika kwa aman baba
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
Jamen
😭😭😭
RIP
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
😢
Jpm rest in peace
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
Itv
Jeembehiro bwana pumzika salama
😭😭😭😭😭
Jembe toka chato?
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
Og
This guy was a legend
@msandigeorge8355
Жыл бұрын
Was.
Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag
daaah
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
Dodoma
Pumuzika xalamal rais
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
@zawadix9574
7 жыл бұрын
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb
JPM
bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊
@user-vh2pe9lu1v
10 ай бұрын
😊😊😊😊😅
@user-vh2pe9lu1v
10 ай бұрын
😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
10 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
10 ай бұрын
😊
@user-vh2pe9lu1v
10 ай бұрын
😊 17:04 😊😊😊
Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga Ila upo sahihi mzee
Yohana E Biby
Tuta kukumbuka baba