LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.

Пікірлер: 257

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын

    Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona

  • @kaystyle614
    @kaystyle614 Жыл бұрын

    Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace

  • @petermillanzi960
    @petermillanzi9604 жыл бұрын

    Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @esterkimario1126
    @esterkimario11264 жыл бұрын

    huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 жыл бұрын

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine

  • @neemantandu5852
    @neemantandu58524 жыл бұрын

    Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs

  • @festokibiki8961
    @festokibiki89614 жыл бұрын

    Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote

  • @festokibiki8961
    @festokibiki89614 жыл бұрын

    Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe

  • @florajohn1927
    @florajohn19274 жыл бұрын

    Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.

  • @brownmwangome7816
    @brownmwangome78164 жыл бұрын

    Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.

  • @bernaddimosso9121
    @bernaddimosso91214 жыл бұрын

    Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim14594 жыл бұрын

    Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .

  • @fatmas7338

    @fatmas7338

    4 жыл бұрын

    Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo

  • @jafarimkova9173
    @jafarimkova91734 жыл бұрын

    Umetixha we babalao

  • @omarumwanjali4614
    @omarumwanjali46144 жыл бұрын

    Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.

  • @priscameshack6288
    @priscameshack62884 жыл бұрын

    Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu

  • @barakafesto3055

    @barakafesto3055

    4 жыл бұрын

    Ahsante sana jembe letu

  • @hermankinyaiya9256

    @hermankinyaiya9256

    Жыл бұрын

    Jamanii,INANIUMASANA

  • @esterkimario1126
    @esterkimario11264 жыл бұрын

    ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge

  • @kebo2155

    @kebo2155

    4 жыл бұрын

    Ukweli mtupu.. 🇹🇿

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale72414 жыл бұрын

    Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege84774 жыл бұрын

    Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14504 жыл бұрын

    Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu

  • @nemuelombasa8810
    @nemuelombasa88104 жыл бұрын

    Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe96367 ай бұрын

    Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.

  • @isaacnyongeza167
    @isaacnyongeza167 Жыл бұрын

    Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president

  • @stanleymsenga9118
    @stanleymsenga91184 жыл бұрын

    Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze

  • @kelvinmwambandile2783
    @kelvinmwambandile27834 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi

  • @JustusMwania
    @JustusMwania9 ай бұрын

    Born a leader dead a leader RIP mzee .

  • @frankoiputa8181
    @frankoiputa81818 ай бұрын

    The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️

  • @sameermilo2492
    @sameermilo24924 жыл бұрын

    Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja

  • @dullyyesu9036
    @dullyyesu90364 жыл бұрын

    rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari

  • @RioIpo

    @RioIpo

    4 жыл бұрын

    Ihiiiiii

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba12044 жыл бұрын

    mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius

  • @johnpeter404
    @johnpeter4048 ай бұрын

    Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌

  • @Nikolasmatabaro-fl5ez

    @Nikolasmatabaro-fl5ez

    6 ай бұрын

    bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩‍🔬😅🇺🇬❤

  • @maikopaulmaiko1900
    @maikopaulmaiko19004 жыл бұрын

    Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana

  • @annakulanga5415

    @annakulanga5415

    4 жыл бұрын

    Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭

  • @jacobphilemon6394
    @jacobphilemon63944 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge

  • @hamidjuma6109
    @hamidjuma61094 жыл бұрын

    Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda

  • @ramadhanihussein3918
    @ramadhanihussein39184 жыл бұрын

    Ahsante sana mzee baba

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge43124 жыл бұрын

    Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena

  • @mangegervas9651
    @mangegervas96514 жыл бұрын

    Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын

    JPM rais wa watu na watanzania

  • @mangegervas9651

    @mangegervas9651

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo

  • @zakkaumeme9829
    @zakkaumeme98294 жыл бұрын

    magufuli we noma walah

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge66494 жыл бұрын

    pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын

    Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM

  • @nurusimbeye562
    @nurusimbeye5624 жыл бұрын

    Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын

    Am frm kampala watching these videos

  • @ommyakili552
    @ommyakili5524 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын

    If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm

  • @maryoswad7022
    @maryoswad70224 жыл бұрын

    Hmmmm barikiwa sanaaaaa

  • @fredkyara3278
    @fredkyara32784 жыл бұрын

    Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.

  • @selemaniathumani9855
    @selemaniathumani9855 Жыл бұрын

    Mungu akuweke mahali pema pepon amen

  • @DamianNdege-gh3tj
    @DamianNdege-gh3tj8 ай бұрын

    Mungu akupumzishe mahari pema peponi

  • @maikopaulmaiko1900
    @maikopaulmaiko19004 жыл бұрын

    Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar56328 ай бұрын

    Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.

  • @aisharamdan8358

    @aisharamdan8358

    6 ай бұрын

    Sana mungu atalipa

  • @dennisjuma3940
    @dennisjuma3940 Жыл бұрын

    Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli

  • @sweetbertmalimi1567
    @sweetbertmalimi15674 жыл бұрын

    MZEE JPM NI MTU WA WATU..

  • @christophermganga5216
    @christophermganga52164 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana

  • @gracebruno2644
    @gracebruno26444 жыл бұрын

    Nakupenda mnoo baba wa haki

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja12024 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl7 ай бұрын

    I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho

  • @rasnews1703
    @rasnews17034 жыл бұрын

    I am a kenyan and I love magufuli and his leadership

  • @ommyakili552

    @ommyakili552

    4 жыл бұрын

    😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын

    We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self

  • @emmanuelmashishanga5057
    @emmanuelmashishanga5057 Жыл бұрын

    Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri74804 жыл бұрын

    Reaching to the poor good. God bless you.

  • @emmanuelturuka8528
    @emmanuelturuka85284 жыл бұрын

    Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍

  • @athumanidona4944
    @athumanidona4944 Жыл бұрын

    Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel1830 Жыл бұрын

    Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim14594 жыл бұрын

    Duh huyu rais mbinguni moja kwa moja

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6tАй бұрын

    Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.

  • @KabazoMumba
    @KabazoMumba8 ай бұрын

    Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace

  • @Vincentsyona-bj6qj
    @Vincentsyona-bj6qj5 ай бұрын

    True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..

  • @castokasekenya467
    @castokasekenya4674 жыл бұрын

    Magufuli baba lao

  • @natashamwikali3413
    @natashamwikali3413 Жыл бұрын

    Continue resting well Rais magufuli

  • @gbbuku4714
    @gbbuku47144 жыл бұрын

    ninachokiona magufuli ni mwanaume mmoja tanzania ambae hata usiposaidia kupiga kampeni mwanaume anamaliza peke yake

  • @JumanneSalisali
    @JumanneSalisali9 ай бұрын

    Huyu ndo rais

  • @johnsentamu4353
    @johnsentamu43538 ай бұрын

    NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME ) MATH and l0ve.

  • @josephmbugua2580
    @josephmbugua2580 Жыл бұрын

    We lost great leader😭😭😭😭

  • @odaxkasita8264
    @odaxkasita82644 жыл бұрын

    president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..

  • @joharikhatibu27
    @joharikhatibu27 Жыл бұрын

    Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you

  • @allyhamisi2639
    @allyhamisi2639 Жыл бұрын

    Huyu ndio rais Allah amuhifadhi

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege84774 жыл бұрын

    Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.

  • @raymondmsuya7127

    @raymondmsuya7127

    4 жыл бұрын

    Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe96367 ай бұрын

    Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe96367 ай бұрын

    Your man power are coming back. R.I.P

  • @saidaamir4462
    @saidaamir4462 Жыл бұрын

    Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    Magufuli ana kazi

  • @joearm5551

    @joearm5551

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!

  • @raphaellyela2910
    @raphaellyela29104 жыл бұрын

    AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME

  • @hermankinyaiya9256

    @hermankinyaiya9256

    Жыл бұрын

    Yaaah

  • @peternjoroge9209

    @peternjoroge9209

    7 ай бұрын

    Pombe is the best president in the world.

  • @Dennis-qg3qr
    @Dennis-qg3qr Жыл бұрын

    Alikuwa kiboko yao Hayati JPM

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim14594 жыл бұрын

    Mh raisi ebu nenda kapunzike kidogo hata ulale jamani wiki nzima umeshughulika na msiba una usingizi umechoka ebu nenda kapetiwe na mamaaa

  • @ommyakili552

    @ommyakili552

    4 жыл бұрын

    Ile ipo haiondoki ataikuta tu😂😂😂😂😂😂😂 tamu ile yake bhana

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Жыл бұрын

    Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!

  • @josephmtalemwa7615
    @josephmtalemwa76154 жыл бұрын

    Unagombea udiwani😂😂😂

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri74804 жыл бұрын

    Good job.

  • @castrodaniel1412
    @castrodaniel14124 жыл бұрын

    Sasa si wamekusaidia mama na ww wangekubaka 😂😂😂

  • @janiterndalila2375

    @janiterndalila2375

    4 жыл бұрын

    Et akajibu eee baba😄😄😃😃

  • @steventambi6353
    @steventambi63534 жыл бұрын

    Piga kazi baba

  • @mankiyagodwin3286
    @mankiyagodwin32864 жыл бұрын

    Magufuli Hoyeee

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын

    Mr. President chapa kazi...

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Жыл бұрын

    R.I.P Mr president .We miss u

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo41514 жыл бұрын

    Wangapi wamesikia rais anaulizwa umenielewa vizuri nae kasema naelewa nipe comment

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @raymondmsuya7127

    @raymondmsuya7127

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 hao ndio wazaramu wa mkuranga

  • @ibel4lf

    @ibel4lf

    3 жыл бұрын

    Nimecheka sana wazaramo hawa 🤣🤣🤣

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe96367 ай бұрын

    Sawa kabisa.

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri74804 жыл бұрын

    God is able ..grow Tanzania.

  • @yassinmmone6806

    @yassinmmone6806

    Жыл бұрын

    A

  • @ZawadiSamy
    @ZawadiSamy4 ай бұрын

    Roho yako ipumzike katika amani

  • @tithomwamengo3497
    @tithomwamengo34974 жыл бұрын

    Huyu ndie rais wawanyonge

  • @OnesmoKapinga-yi3lv
    @OnesmoKapinga-yi3lv9 ай бұрын

    Wana jua wao

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe96367 ай бұрын

    Aksante baba, RIP

Келесі