LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.
Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.
Пікірлер: 257
Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona
Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace
Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi
Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine
Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs
Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote
Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe
Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.
Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.
Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,
Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .
@fatmas7338
4 жыл бұрын
Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo
Umetixha we babalao
Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.
Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu
@barakafesto3055
4 жыл бұрын
Ahsante sana jembe letu
@hermankinyaiya9256
Жыл бұрын
Jamanii,INANIUMASANA
ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge
@kebo2155
4 жыл бұрын
Ukweli mtupu.. 🇹🇿
Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako
Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.
Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu
Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.
Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.
Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president
Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze
Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi
Born a leader dead a leader RIP mzee .
The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️
Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja
rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari
@RioIpo
4 жыл бұрын
Ihiiiiii
mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius
Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌
@Nikolasmatabaro-fl5ez
6 ай бұрын
bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩🔬😅🇺🇬❤
Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana
@annakulanga5415
4 жыл бұрын
Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭
Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge
Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda
Ahsante sana mzee baba
Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena
Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge
JPM rais wa watu na watanzania
@mangegervas9651
4 жыл бұрын
Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo
magufuli we noma walah
pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais
Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM
Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa
Am frm kampala watching these videos
😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye
If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm
Hmmmm barikiwa sanaaaaa
Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.
Mungu akuweke mahali pema pepon amen
Mungu akupumzishe mahari pema peponi
Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa
Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.
@aisharamdan8358
6 ай бұрын
Sana mungu atalipa
Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli
MZEE JPM NI MTU WA WATU..
Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana
Nakupenda mnoo baba wa haki
Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.
I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho
I am a kenyan and I love magufuli and his leadership
@ommyakili552
4 жыл бұрын
😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu
We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self
Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......
Reaching to the poor good. God bless you.
Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍
Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu
Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli
Duh huyu rais mbinguni moja kwa moja
Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.
Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace
True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..
Magufuli baba lao
Continue resting well Rais magufuli
ninachokiona magufuli ni mwanaume mmoja tanzania ambae hata usiposaidia kupiga kampeni mwanaume anamaliza peke yake
Huyu ndo rais
NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME ) MATH and l0ve.
We lost great leader😭😭😭😭
president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..
Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you
Huyu ndio rais Allah amuhifadhi
Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.
@raymondmsuya7127
4 жыл бұрын
Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo
Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI
Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.
Your man power are coming back. R.I.P
Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass
Magufuli ana kazi
@joearm5551
4 жыл бұрын
Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!
AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME
@hermankinyaiya9256
Жыл бұрын
Yaaah
@peternjoroge9209
7 ай бұрын
Pombe is the best president in the world.
Alikuwa kiboko yao Hayati JPM
Mh raisi ebu nenda kapunzike kidogo hata ulale jamani wiki nzima umeshughulika na msiba una usingizi umechoka ebu nenda kapetiwe na mamaaa
@ommyakili552
4 жыл бұрын
Ile ipo haiondoki ataikuta tu😂😂😂😂😂😂😂 tamu ile yake bhana
Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!
Unagombea udiwani😂😂😂
Good job.
Sasa si wamekusaidia mama na ww wangekubaka 😂😂😂
@janiterndalila2375
4 жыл бұрын
Et akajibu eee baba😄😄😃😃
Piga kazi baba
Magufuli Hoyeee
Mr. President chapa kazi...
R.I.P Mr president .We miss u
Wangapi wamesikia rais anaulizwa umenielewa vizuri nae kasema naelewa nipe comment
@J4UPro
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@raymondmsuya7127
4 жыл бұрын
😂😂😂 hao ndio wazaramu wa mkuranga
@ibel4lf
3 жыл бұрын
Nimecheka sana wazaramo hawa 🤣🤣🤣
Sawa kabisa.
God is able ..grow Tanzania.
@yassinmmone6806
Жыл бұрын
A
Roho yako ipumzike katika amani
Huyu ndie rais wawanyonge
Wana jua wao
Aksante baba, RIP