Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
Жүктеу.....
Пікірлер: 202
@Muchoma Жыл бұрын
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602
Жыл бұрын
Umesema kweli baba
@amonphilip5902
5 ай бұрын
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga992
2 ай бұрын
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9n
14 күн бұрын
P0a @@gabylove4602
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
@edwardnamakonde156 Жыл бұрын
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv1116
Жыл бұрын
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo8330
Жыл бұрын
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401
Жыл бұрын
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
@frenziangella6676 Жыл бұрын
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
@eliakimyesse60862 жыл бұрын
Lala pema peponi kamanda,
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la Amani
@flova7022 Жыл бұрын
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
@starworldengineering9523 Жыл бұрын
Duh magu mungu akulaze maali pema
@jumahassan273 Жыл бұрын
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
@kelvinmugini67932 жыл бұрын
genious
@mialanomangobo93562 жыл бұрын
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
@robertchuri3222 Жыл бұрын
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
@jumaakida59512 жыл бұрын
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe9972
2 жыл бұрын
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916
Жыл бұрын
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
@chidiomari.65 Жыл бұрын
My President forever R.I.P Baba
@johnmichire78099 ай бұрын
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
@richardmalley68 Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
@evancykashaga6576 Жыл бұрын
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally
Жыл бұрын
Musa shegh dar
@emmanuelntalima1717 Жыл бұрын
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775
Жыл бұрын
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
@ndikumanaismail54195 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzeh wetu
@safarirockerz2781 Жыл бұрын
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
chuma hasaa
@azadiunatishamumyloveungab66148 жыл бұрын
bba ahsante kwa kazi
@stanslausbereghe3819 Жыл бұрын
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
@stevenmundi3142 Жыл бұрын
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Haha, yani wewe
@emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
@edmundbarongo8649 Жыл бұрын
Great Loss, Mungu utulinde.
@issayasosolo6033 Жыл бұрын
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
@fredythomas1848 Жыл бұрын
R.i.p jpm🙏🙏
@user-ct4jp1ux1z3 ай бұрын
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
@user-uq2mo7mw2l3 ай бұрын
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
@motivational_leader Жыл бұрын
Nakukumbuka sana magu 😢
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
@clementmusa7799 Жыл бұрын
Mungu acha aitwe Mungu
@usetobe.1067 Жыл бұрын
One in a million..Rest easy Buldoza
@tillionsmon61312 жыл бұрын
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
@mfarijikibinga9281 Жыл бұрын
daah, RIP JPM
@deswaggz61852 жыл бұрын
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
@bonfaceomuhande63326 ай бұрын
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
@fedrickmaganga26932 жыл бұрын
Good job
@papangoda229 Жыл бұрын
Ulinidanganya sindio
@bizzosela61862 жыл бұрын
😭😭😭R.I.P
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466
Жыл бұрын
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
@sisye12 жыл бұрын
Kama drama vile.. Sema ukweli
@FaridaIbrahim-ym6jy3 ай бұрын
Rest in peace
@anthonynjoroge9683 ай бұрын
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
@basitv2299 Жыл бұрын
We miss u baba
@waswajumbe1075 Жыл бұрын
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
@chrissamani7921 Жыл бұрын
Mising you so much my przdt😭
@Joseph-lu4yj3 ай бұрын
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
@isayakiyeyeu6295 Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
@mpabwas5916 Жыл бұрын
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
@user-vn9yi3dj4q7 ай бұрын
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
@LengaiSaruni5 ай бұрын
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
@user-zd7iw3my3y9 ай бұрын
😢😢 r.i.p Jpm
@saidsalum4602 Жыл бұрын
Tutakukumbuka baba
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
@eriminahchai8489 Жыл бұрын
Kazi safi sana makofuli
@richardtungaraza75092 жыл бұрын
Huyu mwamba dah
@thabitabas7539
2 жыл бұрын
r i p magu mis you
@rehemashabaniameen10 ай бұрын
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
@patrickmarwa5024 Жыл бұрын
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
@jumahassan273 Жыл бұрын
Mwamba uyo
@lameckkasuga2270 Жыл бұрын
Magufuli 🙏
@gedionngetich6678 Жыл бұрын
Rip
@nsanzetito1453 Жыл бұрын
Kasim atafanya kazi badae
@tedroyc9897 Жыл бұрын
You went too soon ,Much love from Rwanda
@fadhilimbilinyi2748 жыл бұрын
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
@user-wg1hw5kj2o4 ай бұрын
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
@lutahmwesi8525 Жыл бұрын
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
@evanstum503211 ай бұрын
RIP baba
@PrissilaHussein-og3cg9 ай бұрын
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
@adrianbrown35864 ай бұрын
I.will always remember you
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
@emarrgeorge8536 Жыл бұрын
Baba 🇹🇿🙏
@kelvinmugini67932 жыл бұрын
ni yeyeeeeeeeeeee
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
@flova7022 Жыл бұрын
RIP Baba daah
@denistarange55802 жыл бұрын
Dah
@user-wg1hw5kj2o4 ай бұрын
14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
@FabriceKihanga-de7rp9 күн бұрын
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
@expert5898 Жыл бұрын
Ulikuwa n uozo Ila!!!
@alexmpoke26102 жыл бұрын
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
@amosalphonce16312 ай бұрын
Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@alirashid4887 Жыл бұрын
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
@isacksimonmahungilo Жыл бұрын
I miss you
@stevenmundi3142 Жыл бұрын
Rest pema mkuu
@edrickniwamanya56654 ай бұрын
R.I.P dady😭😭😭😭😭😭😭
@williumjoel1410 Жыл бұрын
Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana
@teulechristopher1845 Жыл бұрын
Huyu mwamba basi tu
@nuruabasi5503 Жыл бұрын
😭😭😭
@paulkarani5598 ай бұрын
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Пікірлер: 202
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602
Жыл бұрын
Umesema kweli baba
@amonphilip5902
5 ай бұрын
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga992
2 ай бұрын
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9n
14 күн бұрын
P0a @@gabylove4602
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv1116
Жыл бұрын
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo8330
Жыл бұрын
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401
Жыл бұрын
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
Lala pema peponi kamanda,
Mungu akupe pumziko la Amani
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
Duh magu mungu akulaze maali pema
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
genious
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe9972
2 жыл бұрын
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916
Жыл бұрын
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
My President forever R.I.P Baba
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally
Жыл бұрын
Musa shegh dar
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775
Жыл бұрын
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
Allah akuhifadhi mzeh wetu
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
chuma hasaa
bba ahsante kwa kazi
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Haha, yani wewe
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
Great Loss, Mungu utulinde.
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
R.i.p jpm🙏🙏
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
Nakukumbuka sana magu 😢
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
Mungu acha aitwe Mungu
One in a million..Rest easy Buldoza
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
daah, RIP JPM
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
Good job
Ulinidanganya sindio
😭😭😭R.I.P
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466
Жыл бұрын
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
Kama drama vile.. Sema ukweli
Rest in peace
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
We miss u baba
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
Mising you so much my przdt😭
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
😢😢 r.i.p Jpm
Tutakukumbuka baba
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
Kazi safi sana makofuli
Huyu mwamba dah
@thabitabas7539
2 жыл бұрын
r i p magu mis you
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
Mwamba uyo
Magufuli 🙏
Rip
Kasim atafanya kazi badae
You went too soon ,Much love from Rwanda
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
RIP baba
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
I.will always remember you
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
Baba 🇹🇿🙏
ni yeyeeeeeeeeeee
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
RIP Baba daah
Dah
14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
Ulikuwa n uozo Ila!!!
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
I miss you
Rest pema mkuu
R.I.P dady😭😭😭😭😭😭😭
Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana
Huyu mwamba basi tu
😭😭😭
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Nnani anaepitia magufuli 2024 ❤❤❤
Tunakukumbuka sana