Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Пікірлер: 202

  • @Muchoma
    @Muchoma Жыл бұрын

    Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Жыл бұрын

    Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"

  • @gabylove4602

    @gabylove4602

    Жыл бұрын

    Umesema kweli baba

  • @amonphilip5902

    @amonphilip5902

    5 ай бұрын

    Trueeee

  • @user-sh3tr8cm1v

    @user-sh3tr8cm1v

    3 ай бұрын

    Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...

  • @charlesmillinga992

    @charlesmillinga992

    2 ай бұрын

    Hakika kaka

  • @user-sn1ke4su9n

    @user-sn1ke4su9n

    14 күн бұрын

    P0a ​@@gabylove4602

  • @bennie7239
    @bennie7239 Жыл бұрын

    Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 Жыл бұрын

    Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын

    Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa

  • @majumbatv1116

    @majumbatv1116

    Жыл бұрын

    Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu

  • @dalali_professionalwa_dodo8330

    @dalali_professionalwa_dodo8330

    Жыл бұрын

    @@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Жыл бұрын

    Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 Жыл бұрын

    Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana

  • @eliakimyesse6086
    @eliakimyesse60862 жыл бұрын

    Lala pema peponi kamanda,

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri77572 жыл бұрын

    Mungu akupe pumziko la Amani

  • @flova7022
    @flova7022 Жыл бұрын

    Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas

  • @starworldengineering9523
    @starworldengineering9523 Жыл бұрын

    Duh magu mungu akulaze maali pema

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini67932 жыл бұрын

    genious

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo93562 жыл бұрын

    Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 Жыл бұрын

    Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama

  • @jumaakida5951
    @jumaakida59512 жыл бұрын

    Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo

  • @fakiinajummwe9972

    @fakiinajummwe9972

    2 жыл бұрын

    Atotokea Kwa kizazi hiki

  • @mpabwas5916

    @mpabwas5916

    Жыл бұрын

    Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    My President forever R.I.P Baba

  • @johnmichire7809
    @johnmichire78099 ай бұрын

    Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja

  • @richardmalley68
    @richardmalley68 Жыл бұрын

    Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 Жыл бұрын

    Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Жыл бұрын

    Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen

  • @hashimally

    @hashimally

    Жыл бұрын

    Musa shegh dar

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 Жыл бұрын

    Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪

  • @anastaziabenedict7775

    @anastaziabenedict7775

    Жыл бұрын

    Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Жыл бұрын

    Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail54195 ай бұрын

    Allah akuhifadhi mzeh wetu

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 Жыл бұрын

    R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama88692 жыл бұрын

    Huyu mwamba alikuwa chuma

  • @kingmwaxoh6420

    @kingmwaxoh6420

    2 жыл бұрын

    chuma hasaa

  • @azadiunatishamumyloveungab6614
    @azadiunatishamumyloveungab66148 жыл бұрын

    bba ahsante kwa kazi

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 Жыл бұрын

    Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 Жыл бұрын

    Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa

  • @user-sh3tr8cm1v

    @user-sh3tr8cm1v

    3 ай бұрын

    Haha, yani wewe

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын

    Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa

  • @edmundbarongo8649
    @edmundbarongo8649 Жыл бұрын

    Great Loss, Mungu utulinde.

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Жыл бұрын

    Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 Жыл бұрын

    R.i.p jpm🙏🙏

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z3 ай бұрын

    RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!

  • @user-uq2mo7mw2l
    @user-uq2mo7mw2l3 ай бұрын

    Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana

  • @motivational_leader
    @motivational_leader Жыл бұрын

    Nakukumbuka sana magu 😢

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 Жыл бұрын

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @usetobe.1067
    @usetobe.1067 Жыл бұрын

    One in a million..Rest easy Buldoza

  • @tillionsmon6131
    @tillionsmon61312 жыл бұрын

    Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 Жыл бұрын

    daah, RIP JPM

  • @deswaggz6185
    @deswaggz61852 жыл бұрын

    Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu

  • @bonfaceomuhande6332
    @bonfaceomuhande63326 ай бұрын

    That's management indeed.everyone must be accountable for his docket

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco25672 жыл бұрын

    Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga26932 жыл бұрын

    Good job

  • @papangoda229
    @papangoda229 Жыл бұрын

    Ulinidanganya sindio

  • @bizzosela6186
    @bizzosela61862 жыл бұрын

    😭😭😭R.I.P

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco25672 жыл бұрын

    Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda

  • @jairosjulius3466

    @jairosjulius3466

    Жыл бұрын

    Ahahaha mwenyewe nikajua museven

  • @sisye1
    @sisye12 жыл бұрын

    Kama drama vile.. Sema ukweli

  • @FaridaIbrahim-ym6jy
    @FaridaIbrahim-ym6jy3 ай бұрын

    Rest in peace

  • @anthonynjoroge968
    @anthonynjoroge9683 ай бұрын

    😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,

  • @basitv2299
    @basitv2299 Жыл бұрын

    We miss u baba

  • @waswajumbe1075
    @waswajumbe1075 Жыл бұрын

    Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Жыл бұрын

    Mising you so much my przdt😭

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj3 ай бұрын

    Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka milele😭😭😭😭

  • @mpabwas5916
    @mpabwas5916 Жыл бұрын

    Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri

  • @user-vn9yi3dj4q
    @user-vn9yi3dj4q7 ай бұрын

    Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani

  • @LengaiSaruni
    @LengaiSaruni5 ай бұрын

    Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said

  • @user-zd7iw3my3y
    @user-zd7iw3my3y9 ай бұрын

    😢😢 r.i.p Jpm

  • @saidsalum4602
    @saidsalum4602 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka baba

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Жыл бұрын

    Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo

  • @eriminahchai8489
    @eriminahchai8489 Жыл бұрын

    Kazi safi sana makofuli

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza75092 жыл бұрын

    Huyu mwamba dah

  • @thabitabas7539

    @thabitabas7539

    2 жыл бұрын

    r i p magu mis you

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen10 ай бұрын

    Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Жыл бұрын

    Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Mwamba uyo

  • @lameckkasuga2270
    @lameckkasuga2270 Жыл бұрын

    Magufuli 🙏

  • @gedionngetich6678
    @gedionngetich6678 Жыл бұрын

    Rip

  • @nsanzetito1453
    @nsanzetito1453 Жыл бұрын

    Kasim atafanya kazi badae

  • @tedroyc9897
    @tedroyc9897 Жыл бұрын

    You went too soon ,Much love from Rwanda

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi2748 жыл бұрын

    Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...

  • @user-wg1hw5kj2o
    @user-wg1hw5kj2o4 ай бұрын

    Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00

  • @lutahmwesi8525
    @lutahmwesi8525 Жыл бұрын

    😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.

  • @evanstum5032
    @evanstum503211 ай бұрын

    RIP baba

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg9 ай бұрын

    Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni

  • @adrianbrown3586
    @adrianbrown35864 ай бұрын

    I.will always remember you

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Жыл бұрын

    Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 Жыл бұрын

    Tumekumiss sana dah😭😭😭😭

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Жыл бұрын

    Baba 🇹🇿🙏

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini67932 жыл бұрын

    ni yeyeeeeeeeeeee

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh

  • @flova7022
    @flova7022 Жыл бұрын

    RIP Baba daah

  • @denistarange5580
    @denistarange55802 жыл бұрын

    Dah

  • @user-wg1hw5kj2o
    @user-wg1hw5kj2o4 ай бұрын

    14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын

    Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu

  • @FabriceKihanga-de7rp
    @FabriceKihanga-de7rp9 күн бұрын

    Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Жыл бұрын

    Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Ulikuwa n uozo Ila!!!

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke26102 жыл бұрын

    Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika

  • @huguetteomari3198

    @huguetteomari3198

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,

  • @huguetteomari3198

    @huguetteomari3198

    2 жыл бұрын

    Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,

  • @amosalphonce1631
    @amosalphonce16312 ай бұрын

    Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alirashid4887
    @alirashid4887 Жыл бұрын

    BABA HAKUNA KAMA WW 😭

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Жыл бұрын

    I miss you

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 Жыл бұрын

    Rest pema mkuu

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya56654 ай бұрын

    R.I.P dady😭😭😭😭😭😭😭

  • @williumjoel1410
    @williumjoel1410 Жыл бұрын

    Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana

  • @teulechristopher1845
    @teulechristopher1845 Жыл бұрын

    Huyu mwamba basi tu

  • @nuruabasi5503
    @nuruabasi5503 Жыл бұрын

    😭😭😭

  • @paulkarani559
    @paulkarani5598 ай бұрын

    4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309Ай бұрын

    Nnani anaepitia magufuli 2024 ❤❤❤

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata9 ай бұрын

    Tunakukumbuka sana